MTANZANIA AGUNDUA MASHINE YA KUFUA UMEME NYUMBANI KWAKE | HANA SHIDA YA UMEME

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ส.ค. 2024
  • Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
    BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp....
    Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
    Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
    Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5

ความคิดเห็น • 61

  • @mashapromise3364
    @mashapromise3364 ปีที่แล้ว +4

    Bro ongera sana bro achana na izo guruwe zinazo penda kukukatisha moyo endeleya tu na ujuzi wako

  • @anfaal03
    @anfaal03 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana boss ila naona hujatoa maelekezo mawasiliano yako na bei ya hicho kifaa

  • @aminmohammed4249
    @aminmohammed4249 ปีที่แล้ว +1

    Safi sana bro unaeleweka sana🙌
    Kuna watu watakoment ujinga tu huku…ni wale walikuaga wanasugua mikono darasani afu wananusa kama inanuka mavi ya kuku😅

  • @Samsonmajula
    @Samsonmajula 18 วันที่ผ่านมา

    Yan nashindwa kuelewa kwann mabeinki serikali kwenye haya mambo haitoi mpunga brother, utengeneze nyingi zaidi kwa ufanisi, issue ni wabongo hatuaminiani

  • @zanriztv
    @zanriztv ปีที่แล้ว

    Kazi nzuri hata kuiga ni kazi ngumu

  • @josephjohn2114
    @josephjohn2114 ปีที่แล้ว +2

    Kuna tofauti ya kugundua na kubuni.

  • @chuma9476
    @chuma9476 หลายเดือนก่อน

    Vyakawaidatuu😂

  • @Innocente1994
    @Innocente1994 ปีที่แล้ว +2

    Totally, lack of understanding of the law of energy and its mechanism

  • @salimhamis3581
    @salimhamis3581 2 หลายเดือนก่อน

    Naomba mawasiliano ya huyo jamaa (Mangana)

  • @solobennymwanshinga6714
    @solobennymwanshinga6714 หลายเดือนก่อน

    Kila jambo lishaelezewa, cha kwanza unatakiwa kuelewa nishati huwezi kuzalisha mwanadam unaweza badili nishati kutoka kwenye umeme kwenda mwanga, sauti, joto nk.

  • @oklahommy9838
    @oklahommy9838 ปีที่แล้ว +6

    Kuna tofauti ya innovation na invention hio si invention ni innovation coz tayari hayo mambo yapo

    • @khamisiddi5961
      @khamisiddi5961 ปีที่แล้ว +2

      Kweli hajagundua yeye video kama hiyo zimejaa tele TH-cam.

    • @rockymalisa9446
      @rockymalisa9446 9 หลายเดือนก่อน

      Kama hajagundua bas gundua wewe tuone kama hivi

    • @Laizer3
      @Laizer3 2 หลายเดือนก่อน

      Wewe unawezq nini zaidi ya kwenda chooni😅

    • @martinisadru9899
      @martinisadru9899 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@rockymalisa9446mzee usilazibishe, huyo sio mgunduzi, mimi mwenyewe nimeunda generator ya 9kva kwa kutazama wazungu walivounda, watu walianza kutengeza hizo zaidi ya miaka 40, hata mimi ninayo kubwa kuliko hiyo, nimeunda mimi mwenyewe,, inaendesha pamp ya kuvuta maji 140 mita kutoa chini ya mwamba wa kisima, na kupikia kwa majiko yote ya umeme home. Pasi, microwave, refrigerator. Oven ya 2000 wat.

    • @user-qk7bn8dj4z
      @user-qk7bn8dj4z 15 วันที่ผ่านมา

      Unawivuu

  • @genxonlinetv2219
    @genxonlinetv2219 ปีที่แล้ว +1

    Tattoo kubwa sana tunalo kwa Hawa Waandishi wa Habari Uchwara. Hawakutaja Jina Kamili Ła Mlengwa, hawajaweka contact zake na social media. Hawaja sema wkwamba anapatikana wami. Wameweka Ma link yao tu hapa. Pumbav sana.

  • @martinisadru9899
    @martinisadru9899 2 หลายเดือนก่อน +1

    mzee usilazibishe, huyo sio mgunduzi, mimi mwenyewe nimeunda generator ya 9kva kwa kutazama wazungu walivounda, watu walianza kutengeza hizo zaidi ya miaka 40, hata mimi ninayo kubwa kuliko hiyo, nimeunda mimi mwenyewe,, inaendesha pamp ya kuvuta maji 140 mita kutoa chini ya mwamba wa kisima, na kupikia kwa majiko yote ya umeme home. Pasi, microwave, refrigerator. Oven ya 2000 wat.

  • @solobennymwanshinga6714
    @solobennymwanshinga6714 หลายเดือนก่อน

    Usidanganye watu bro, ni waz kabisa wewe sio injinia, hiyo mashine haifanyi kazi, cha pili unit ni kipimo halisi kama hujui sema hujui, kifupi injini altenator ya 20kw hii kwa saa moja inazalisha 20 unit (20kwh)

  • @mafundisho81
    @mafundisho81 หลายเดือนก่อน

    Sauti ndogo

  • @muhsinkimaro4283
    @muhsinkimaro4283 3 หลายเดือนก่อน

    Kwa idadi ya wavumbuz wa umeme ambao nishawaona, serikal ingewatumia tanzania tusingepata tabu ya umeme kabis

  • @deogratiusyudatadei5658
    @deogratiusyudatadei5658 ปีที่แล้ว +1

    Brother naomba namba ya huyo jamaa

  • @EdnaKiyenze
    @EdnaKiyenze 4 หลายเดือนก่อน

    Jitahidini sana kuonyesha chombo kilicho buniwa na si watu watu hapo mtakiwa mmeupiga mwingi

  • @user-bt8bk7pm6e
    @user-bt8bk7pm6e 5 หลายเดือนก่อน

    Matumizi yake ikoje io mashine ya kuzalisha umeme.mana tanesko oohhh

  • @BakriHoumadi-ub5it
    @BakriHoumadi-ub5it ปีที่แล้ว

    Hello

  • @SadockSkyfarm
    @SadockSkyfarm ปีที่แล้ว

    Wanapatikana wapi ndugu naomba namba tafadhari
    Sio vzr kuwahoji bila kutoa mawasiliano

  • @suleimanalzakwany
    @suleimanalzakwany 4 หลายเดือนก่อน

    Mawasilianoooooo

  • @abdullahliguya1104
    @abdullahliguya1104 ปีที่แล้ว

    Kazi nzuri ila kwenye upande wa ku-remove excitor (battery) ungeongeza electornic switch (High speed switching) ili kuboresha ufanisi Zaid
    Kuliko kuendelea kuiondoa Excitor manually after the machine attain 1500rpm.

  • @anthonygndegesogoranyomo7528
    @anthonygndegesogoranyomo7528 ปีที่แล้ว

    Mbunifu nakuhitaji sana ,maana mashine za dizeli zitanifirisi

    • @elibarikkiakyoo
      @elibarikkiakyoo ปีที่แล้ว

      Achana nazo tumia petrol utafuahia maisha diesel ngum

  • @yay2116
    @yay2116 ปีที่แล้ว

    Mbona hamjaweka mawasiliano yake.... anapatikanaje?

  • @mkoma49
    @mkoma49 10 หลายเดือนก่อน

    mbona mawasiliano yake hamjaweka?

  • @chackszephaniah592
    @chackszephaniah592 3 หลายเดือนก่อน

    Sasa huyo mtangazaji hajitambui mbona hajamwambia namba ya cm kwa Tanzania ili aweze pata wateja

  • @isayachaula
    @isayachaula ปีที่แล้ว

    Naomba namba please

  • @mashapromise3364
    @mashapromise3364 ปีที่แล้ว +1

    Kwa Nini wa Tanzania wengi Wana ROH mbaya kama yaviongozi waho Pali yakumsapot mwezenu nyinyi Tena ndo wakwanza kuwa chafuwa akili zenu na vihongozi wenu ni Moja tu 😲😲😲😲 munapitwa akili na guruwe

  • @user-kb6rw5uv1n
    @user-kb6rw5uv1n 7 หลายเดือนก่อน

    Kaka wengi tunashida na umeme huo tafadhali tia no ya mawasiliano

  • @maalimwenga452
    @maalimwenga452 ปีที่แล้ว

    Tunapataje namba za huyu jamaaa m on hamkuziweka kwenye mahojiano

  • @mlionea
    @mlionea ปีที่แล้ว

    Number yake iko wapi?

  • @jameskahamba4023
    @jameskahamba4023 ปีที่แล้ว +1

    vip nayule alogungundua umeme wa smaku nae aliishia wapi jamani?

    • @Expedito2512
      @Expedito2512 ปีที่แล้ว

      Duu, yule wa sumaku ni kichomi hakuna umeme pale

    • @mch.deosinkala3120
      @mch.deosinkala3120 ปีที่แล้ว +1

      Kweli kabisa..tena yeye ili kuwa ni rahisi kweli haina kelele..daa serikali bhana

    • @jameskahamba4023
      @jameskahamba4023 ปีที่แล้ว

      @@Expedito2512 jamani hakuna umeme akati serikali wamethibitisha kabisa na hata kwake tuliona kabisa umeme unawaka!!!

    • @jameskahamba4023
      @jameskahamba4023 ปีที่แล้ว

      @@mch.deosinkala3120 asee nchi yetu hakuna kitu kabisa

    • @yay2116
      @yay2116 ปีที่แล้ว +1

      Hawa jamaa wanapotea ghafla... baadae kimyaaa... sijui ndio wataharibu biashara za watu... au na wao mizinguo tu

  • @hudsson75
    @hudsson75 หลายเดือนก่อน

    hakuna siri hapo kaka.wabonga kibao wanatengeneza hizo.na kwenye youtube hiyo kitu zipo kibao.kwaiyo ww sio mgunduzi wa hiyo kitu ,ww umecopy tu.

  • @SadockSkyfarm
    @SadockSkyfarm ปีที่แล้ว

    Samahani naomba namba yake kupitia email yangu

  • @dannympollo8359
    @dannympollo8359 ปีที่แล้ว

    Naomba namba yake ya simu

    • @Winningodds123
      @Winningodds123 6 หลายเดือนก่อน

      Umeshapata namba ya huyu engeneer?

  • @shedrackmutalemwa7310
    @shedrackmutalemwa7310 ปีที่แล้ว

    Mwambie aache uongo

  • @CastoryKapinga-nb7ht
    @CastoryKapinga-nb7ht 4 หลายเดือนก่อน

    MTAMBO MWEPESI HUO ,UKIPATA MOTA YA KUZUNGUSHA WHEEL YAILI NA UKIPATA MOTA INAYO ZALISHA UMEME TAYAR USHAMALIZA KAZI

  • @mohammedikingazi5109
    @mohammedikingazi5109 ปีที่แล้ว

    Kagundua au kaunga unga vitu ambavo vimeshatengenezwa na wenzetu bhana

    • @HerriMaeda-eg1jn
      @HerriMaeda-eg1jn ปีที่แล้ว

      Unga unga basi na wew tuone

    • @deogratiusyudatadei5658
      @deogratiusyudatadei5658 ปีที่แล้ว

      Ww umeunga ungann au umeunganga roho mbaya na chuki

    • @helsonjonathan
      @helsonjonathan ปีที่แล้ว

      Asiyejua atachukulia poa mimi niliwahi kuishia njiani big up my brother wengi tumefeli

    • @khamisiddi5961
      @khamisiddi5961 ปีที่แล้ว

      Huyo hajagundua ' kaiga kwa wahindi.