RAIS MWINYI AONESHA HISIA ZAKE, HAFURAHISHWI KINACHO WAKUTA WANANCHI WA PEMBA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 3 ม.ค. 2024
- Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 717 619 834
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Sauti Byego
Camera Department"
Dadi Ali
Omar (OJ)
Nassor Shaibu
Abdallah Juma
Editors:
Juma Maulid
Dadi Ali
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...
Asante mh.
Allah akufanyie wepesi inshaall
Mashalla Rais wetu kwa kutujali sana Allah akusimamie na akupe nguvu na akufanikishe katika malengo yote kwa wananchi wako hakika ww ni Kiongozi wa mfano na wa kuigwa kwa mazuri uyafanyao Allah akupe umri mrefu zaidi uendelelee na majukum yako ya nchi nzima Amin
Asante sana
Bora biashara ikiwa ya ushindani nakupgeza kwa hilo Allah akupe nguvu Amina
Safi sana
Mjomba mwinyi maeneo yapo na tulime Tu kama hao vikosi vya SMZ.migambo jku. Polisi magereza.faya wawe wakulima mana hawana kazi kubwa kupokea mshahara Tu na kuvuta mabangi.wape jembe walime sio kutegemea nchi za watu wakati ardhi Mungu ametupa.kama huko pemba na unguja maeneo mbalimbali yapo matupu
polisi haimuhusu wala magereza huku zanzbar kuna mafunzo
Nia njema hairogwi
Nia yako Allah anaiona na siku zote anakupa nguvu❤
Ili kurahisisha nafuu ya bei ya bidhaa,ni vizuri bandari iwe WESHA(CHAKE CHAKE).Hapo itakuwa kati baina ya kusini na kaskazini
Viva mheshimiwa Raisi!
Viva
SIJAACHA KUMKUBALI DR HUSEYN NITAKUPA DADAA
Muheshmiwa kanini meli zifikie bara nawakati sisi ndio twenye bandari ya kimataifa kuliko bara kwa nini ni hivi muheshmiwa
Uwongo tu unyonyaji tu unaotafutwa
Chuki na roho mbaya haijawahi kumuwacha mtu......Wazanzibari huyo ndio Raisi wetu Tena tunataka akae Milele madarakani mpaka tumchoke au Achoke yeye kutuongoza
@@rajabmsinzia1715uhakika hasaa huyu ni kiumbe stahiki
Kabisa bidada maana Zanzibar hatujawahipo kupata Aina ya Raisi huyu mwenye Maono na Nia Safi ya kututumikia Wazanzibari ukimuondoa Karume Baba....Ila nashangaa Hao wenye kumpinga kisa tu wanataka wao ndio waongoze Serikali hahahaha watasahau
@@rajabmsinzia1715 sema tumepata mcha mungu anahofu ya Mungu haswaaa mengine mishenzi tu piga uwa