"Mimi NITAJIUZULU, Waziri TUSIJIBIZANE" Mbunge Shangai akiwasha Bungeni

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2024
  • Mbunge wa Ngorongoro (CCM) Emmanuel Shangai wakati akichangia katika mjadala wa makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Maliasili na Utalii kwa mwaka 2023/24 leo.

ความคิดเห็น • 26

  • @barakalesukwi5636
    @barakalesukwi5636 หลายเดือนก่อน

    Hongera xanaaaaa Mheshimiwa kwa kuwatetea wananchi wako wa ngorongo Mungu wa mbinnguni na aendelee kukulinda xana.

  • @FahmiAbdalla-oi8ed
    @FahmiAbdalla-oi8ed ปีที่แล้ว +3

    HONGERA MH EMANUEL SHANGAI(BIG UP

  • @ShekutuKillel
    @ShekutuKillel ปีที่แล้ว +1

    Asanteee sana mbunge wetu Kwa kuwa tetea wananchi wako mungu akulinde

  • @MelauKoitumet
    @MelauKoitumet 8 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki ndugu shangai kwa kazi mzuri unayofanya❤

  • @Eliaelibarik
    @Eliaelibarik ปีที่แล้ว +1

    Tunakuelewaaaa sanaaaa mh mbunge wetu mungu azidi kukulinda ili uzidi kuwatetea wanchi wako na tunakuombea

  • @KondeeeCharles
    @KondeeeCharles ปีที่แล้ว +1

    Asante mbunge wetu unatupigania

  • @LebahatiLaizer-b4q
    @LebahatiLaizer-b4q 9 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana mhe uko vizuri kabisa 💯

  • @williamkeko9244
    @williamkeko9244 ปีที่แล้ว +1

    Mh. Mbunge wangu nachukua nafasi yangu kumuomba mwenyenzi Mungu akulinde,akupe afya ,akuinue ufike hatua nyingine ,kama sii huyu mwarabu na Manongi 😢😢😢,tungekuwa na uhakika wa mambo unayoyasemea juu ya wanangorongoro 🙏🙏

  • @JEMISOLEMORUAISiria
    @JEMISOLEMORUAISiria 11 หลายเดือนก่อน

    Asante sana kwa kua unatetea wananchi wako,,Mungu akisaidiwa?.

  • @DaudiNasari-o9r
    @DaudiNasari-o9r 2 หลายเดือนก่อน

    Mzee mungu akulinde san

  • @LazaroMoringe-f3i
    @LazaroMoringe-f3i หลายเดือนก่อน

    Mambo ngeza moshimiwa Shangai Mungu akulite ngorongoro atuami mimi musaliwa wa ngorongro nitama kwenda wap sanare satinda

  • @KosyandoKadege
    @KosyandoKadege ปีที่แล้ว +1

    Ongea brother

  • @ngakenyatinayai
    @ngakenyatinayai 8 หลายเดือนก่อน

    mheshimiwa mungu akubariki sana

  • @Danielmatanda-di2jc
    @Danielmatanda-di2jc 5 หลายเดือนก่อน

    Asante sana shangai hayo nikweli

  • @lazaromoko1227
    @lazaromoko1227 ปีที่แล้ว +1

    Shangai nakukubali sana

  • @ErickBenson-ld6mh
    @ErickBenson-ld6mh 6 หลายเดือนก่อน

    Mungu akuongeza vema mbuge wetu

  • @njironairabamollel710
    @njironairabamollel710 ปีที่แล้ว +1

    ongera sana mbunge

  • @YohanaTapwaa
    @YohanaTapwaa ปีที่แล้ว

    mbunge ubarikiwe san mungu yupo pamoja na ww

  • @francismadoshi8529
    @francismadoshi8529 ปีที่แล้ว +3

    Royal Tour imefail, inaonyesha Zanzibar na mkoa wa Arusha tu. Sijuwi ni kwa nini? Tanzania ni kubwa sana. Kwanini mikoa mingine hayionyeshwi? Unaogopa nini?

    • @adkajisi4536
      @adkajisi4536 ปีที่แล้ว +1

      Usijali tunaandaa part2😁😁

  • @SurprisedCamel-ow6md9
    @SurprisedCamel-ow6md9 หลายเดือนก่อน

    Ongela

  • @OlesabetiMamasita
    @OlesabetiMamasita 11 หลายเดือนก่อน

    Sawa

  • @LoataMollel
    @LoataMollel หลายเดือนก่อน

    Njoo kimayani olashee lemaaa

  • @JoshuaMunyere040-px7nj
    @JoshuaMunyere040-px7nj ปีที่แล้ว

    Mambo

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 หลายเดือนก่อน

    Kuepukana na machozi ya wananchi. Mbunge anaongea kwa unyenyekevu mkubwa. Tujifunze kwake.

  • @jastinmollel5502
    @jastinmollel5502 6 หลายเดือนก่อน

    Hawa ndio wabunge wa mfano wa kuigwa wanajua kutetea wanainchi wake sio unaenda bungeni kugonga meza masaa ziishe urudi nyumbani zambi kubwa sana