Namna hotuba ya Mzee Mwinyi ilivyoleta faraja kwa wafiwa

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 3 ส.ค. 2024
  • “Mwanamke aliyekuzidi kwa shughuli…hata kwa kimo…ni mama huyo...” - Rais Mstaafu wa awamu ya pili, Mzee Ally Hassan Mwinyi akitoa salamu za pole wakati wa maziko ya Hayati John Magufuli.
    #BurianiMagufuli #RIPMagufuli #BurianiJPM
    Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
    ►INSTAGRAM: / azamtvtz
    ►INSTAGRAM: / azamsports2
    ►TWITTER: / azamtvtz
    ►FACEBOOK: / azamtvtz
    ►WEBSITE: www.azamtv.co.tz

ความคิดเห็น • 162

  • @gracejohn4256
    @gracejohn4256 3 ปีที่แล้ว +114

    Kama Bado unairudia hotuba ya Mzee wetu gonga like😂😂😂

  • @isackkamondo7042
    @isackkamondo7042 3 ปีที่แล้ว +5

    Amewainua wamachinga, kamemsumbua kutamka mzee wetu. Like kwa mzee wetu...

  • @linuscharles964
    @linuscharles964 3 ปีที่แล้ว +6

    Tanzania yangu nchi yangu. I love you Tanzania

  • @matagilimbigili3018
    @matagilimbigili3018 3 ปีที่แล้ว +4

    Mungu mjalie maisha marefu mzee wetu Ally Hassan Mwinyi aendelee kuwepo kwa Faraja na maliwazo sisi wajukuu zake waTz

  • @furahabeatrice2057
    @furahabeatrice2057 3 ปีที่แล้ว +16

    Kweli tuna uzuni sana, lakini nimemfurahiya huyu mzee🤩 kwa ku mchekesha kidogo mama yetu mjane Janeti Magufuli. Mama ujipe moyo MUNGU anaweza yote, faraja pia ni kwake👏👏👏

  • @sumashunda9711
    @sumashunda9711 3 ปีที่แล้ว +4

    Hongera Mheshimiwa Rais Mama Samia Suluhu Hassan kwa kufanya kazi kwa vitendo. Umemtumbua Waziri wa TAMIISEMI kwasababu ya kutoajibika ipasavyo. Wote Wanaofanya rushwa waondolewe. Tunahitaji serikali yakutekeleza Kazi zilizopangwa.

  • @issamohammednassor8688
    @issamohammednassor8688 3 ปีที่แล้ว +11

    Mwinyiiiiiiiiii dah Allah akupe kheri kwa kusuuza nafsi za watu Allah akupe afyanjema na umri mrefu wa baraja

  • @samsonjudith3425
    @samsonjudith3425 3 ปีที่แล้ว +2

    Tunakupenda Sana doctor Ally Hassan Mwinyi Rais WA pili WA Tanzania mwenyezi Mungu akupe Maisha marefu

  • @zaydelabay9776
    @zaydelabay9776 3 ปีที่แล้ว +8

    Mzee wa ruksaaaaaaa. Stay safe n healthy mr president Mwinyi😅🥰😍🤩😛❤❤❤❤💕💕💕💞💓💗💖❣❣

  • @TarimoTarimo-pf5lo
    @TarimoTarimo-pf5lo 6 หลายเดือนก่อน +4

    Ni wewe uliumia mzee lakini watu wengine walifurahi,😭😭😭😭😭

  • @nyirigirajbosco3250
    @nyirigirajbosco3250 3 ปีที่แล้ว +5

    Mzee Mwinyi ni Mzee kijana kabisa hapa🇷🇼🇷🇼 tunampenda sanaaaa👍🏻👍🏻

  • @zainababdulrahman9246
    @zainababdulrahman9246 3 ปีที่แล้ว +2

    Mashallah tabarakallah Allah akujalie afya njema mzee bodyguard ana kazi hadi ya kumsaidia kuongea maneno mazuri babu Muheshimiwa Rais usimchoke msikilize😊

  • @georgerichard9590
    @georgerichard9590 3 ปีที่แล้ว +10

    Kiswahili cha mzee kizuri sana..kinavutia kusikiliza

    • @abubakarshoka3799
      @abubakarshoka3799 3 ปีที่แล้ว +4

      Unguja mjina ndiyo.kunako.ongewa kiswahiki fasaha

    • @shamzone388
      @shamzone388 3 ปีที่แล้ว +1

      @@abubakarshoka3799 kiswahili fasaha kipo kwa watu wa pwani sio zanzibar tanga dares salaam tuna kiswahili sahihi

  • @mbandedenis575
    @mbandedenis575 3 ปีที่แล้ว +14

    Uzee wote huu bado anasoma bila miwan hongera yako.

  • @leoniammasi6634
    @leoniammasi6634 3 ปีที่แล้ว +6

    Nimefurahi sana mzee wetu mwinyi umejua kutufuta machoz. Mungu akupe baraka na maisha marefu

  • @adelen9937
    @adelen9937 3 ปีที่แล้ว +5

    Mzee Mwinyi 🙏🙏🙏kwa humri huu atumie miwani???✌✌✌shikamoo mzee mungu hakujali.

    • @ibrahimjoseph2789
      @ibrahimjoseph2789 3 ปีที่แล้ว +1

      Umeona mimi mwenyewe nimekoma iki chuma hakina gongo wala mawani na anasoma kaaaaa🇹🇿✋✋🕋

  • @samuelalushula3364
    @samuelalushula3364 3 ปีที่แล้ว +5

    A graceful old man, still strong!

  • @kilalaurio9922
    @kilalaurio9922 3 ปีที่แล้ว +4

    Mungu akupe maisha marefu Rais wate, mzee wetu tunakuhitaji uweze kukemea tunapopotoka.

  • @marympemba1829
    @marympemba1829 3 ปีที่แล้ว +6

    Asante baba kwa kuwafariji wafiwa na watanzania wote 🙏🙏

  • @browskymuba6923
    @browskymuba6923 3 ปีที่แล้ว +3

    Mungu akulinde rais mama weye amin ya rabi 😭

  • @omarimzora5640
    @omarimzora5640 3 ปีที่แล้ว +8

    Musikilize mzee Mwinyi yani pamoja na msiba, utacheka utafurahi! Mungu azidi kumpa maisha marefu babu wetu wa faraja

  • @mutomubaya
    @mutomubaya 3 ปีที่แล้ว +5

    Alisimama kidete kuimarisha na kutetea uzalendo wa kiafrika ki siasa, ki jamii na ki uchumi na kupelekea Kiswahili kupendwa na kutukuzwa kiasi cha kupelekea kufanywa kuwa ndio lugha rasmi ya nchi nyingi za Africa.

  • @japharjuma3504
    @japharjuma3504 3 ปีที่แล้ว +7

    Mashaa Allah mzee wetu Allah akupe maisha marefu Inshaa Allah

  • @juliusmushi6428
    @juliusmushi6428 3 ปีที่แล้ว +10

    Man of the match msibani

    • @amit77
      @amit77 3 ปีที่แล้ว

      Hahaha

  • @ClemenceMwenda
    @ClemenceMwenda ปีที่แล้ว +1

    Mungu ibariki tanzania uwabariki na viongozi wake🙏🙏🙏

  • @daudiangolwisye8473
    @daudiangolwisye8473 3 ปีที่แล้ว +2

    Mungu akujarie maisha marefu Babu

  • @fredrickkibuba4627
    @fredrickkibuba4627 3 ปีที่แล้ว +2

    Wajukuu wakikaa na Mababu zao ua wanafurahia kwa maneno ya Babu Yao. ONGERA Mzee Mwinyi Mungu akupe miaka mingi.

  • @matagilimbigili3018
    @matagilimbigili3018 3 ปีที่แล้ว +6

    Hongera mzee kwa kuwa na afya njema hasa macho yenye uwezo wa kuona bila miwani

  • @mahabsaid5324
    @mahabsaid5324 3 ปีที่แล้ว +4

    Mzee who transformed Tanzania for the late to stabilize the government to serve it's citizens.Hongera Mzee Mwinyi

  • @user-gy8no9js2u
    @user-gy8no9js2u 5 หลายเดือนก่อน +7

    Tunaongalia 2024 tujuane

  • @luberengaerisa7437
    @luberengaerisa7437 3 ปีที่แล้ว +2

    Thanks fomer presidol of tz

  • @VictorChesaro
    @VictorChesaro 4 หลายเดือนก่อน

    Great speech. Rest in peace great man ❤

  • @rukiaali9183
    @rukiaali9183 3 ปีที่แล้ว +8

    Allah akupe umri mrefu mzee wetu

    • @abuukhubeyb2763
      @abuukhubeyb2763 3 ปีที่แล้ว

      Wenye kheri na yeye sio mrefu tu

  • @nuruhashimu7675
    @nuruhashimu7675 ปีที่แล้ว +4

    Panaitwaje APA
    Aaah chato mzee Wa ruksa maisha marefu

  • @Directorjax55
    @Directorjax55 3 ปีที่แล้ว +2

    Asante BABA YETU KIONGOZ WETU MZEE WETU MSTAAFU n kweli tumepotewa na Kiongoz Bora Rais wawanyonge ama kweli inauma sn Ila bas tumwachie MUNGU WATANZANIA tuzdn kujipa pole na kujipa Moyo wa huruma

  • @Aidansimwanza
    @Aidansimwanza 3 ปีที่แล้ว +2

    Love you Mwinyi

  • @MihayoMageta
    @MihayoMageta 5 หลายเดือนก่อน +2

    Mzee alitoa ya moyoni hasa. Na alimkubali sana Magufuli. Sasa wewe unayeponda kazi za Magufuli unataka kubishana na huyu mzee aliyeshika uraisi pande zote mbili za muungano.

  • @gamgangweesechota3589
    @gamgangweesechota3589 3 ปีที่แล้ว +1

    Nataman sana mzee mwinyi hata ungekua babu yangu tuwe tunacheka tuu jaman Mungu akuweke

  • @simondangote3245
    @simondangote3245 3 ปีที่แล้ว +5

    Panaitwaje hivi hapa🤣🤣 asante babu

  • @fatmamashua4789
    @fatmamashua4789 3 ปีที่แล้ว +2

    Hongera bwana bodyguard inabidi aisome hotuba na awe makini kumsikiliza mzee wetu

  • @farajibuteta6258
    @farajibuteta6258 3 ปีที่แล้ว +5

    Mzee fundi sana huyu

  • @ameedamilja7992
    @ameedamilja7992 3 ปีที่แล้ว +6

    Kweli Jungu kuu halikosi ukoko. Yaani katika hotuba zote watu hawakutabasamu kwa takribam week, ni vilio tuu vilikuwa. Ila wewe umekuja watu tumeona meno yao kwa mara ya kwanza hata ya mama mfiwa. Daah! Kweli uzee si mvi ni akili.

  • @godelivamuswahili2988
    @godelivamuswahili2988 3 ปีที่แล้ว +5

    👏👏👏👏👏👏

  • @gracejohn4256
    @gracejohn4256 3 ปีที่แล้ว +4

    Alli Hassan mwinyi oyeeee

  • @geemushy1714
    @geemushy1714 3 ปีที่แล้ว +4

    Mwiny tunakutakia Kila la kher mung akulinde umemfarij mjane janeth magfuli

  • @bbclondonulimwenguwasoka6126
    @bbclondonulimwenguwasoka6126 5 หลายเดือนก่อน

    RIP, GOOD SPEECH

  • @mussakidangi5510
    @mussakidangi5510 5 หลายเดือนก่อน

    Pumzika kwa amani mzee wetu mwinyi.comrade

  • @dizzobnoor8609
    @dizzobnoor8609 3 ปีที่แล้ว +3

    maisha marefu kwake

  • @mwajumaomari4383
    @mwajumaomari4383 3 ปีที่แล้ว +3

    Allah akbar Mzee umeleta faraja mungu akuongezee umri

  • @anochrisskatabazirwe3861
    @anochrisskatabazirwe3861 3 ปีที่แล้ว +1

    Nice mzeee

  • @daudiangolwisye8473
    @daudiangolwisye8473 3 ปีที่แล้ว +5

    Miongoni mwa viongozi na wazee bora na hawatumii miwani kwa umri huu mzee mwinyi in bora sana

  • @mariammmbaga976
    @mariammmbaga976 5 หลายเดือนก่อน

    Alhamdulillah

  • @ziadayasin711
    @ziadayasin711 5 หลายเดือนก่อน

    Innalillah waina lillah rajuuni Allah amsamehe makosa yake baba aitu wa taifa Allah anhehemu amlahemu

  • @gasparlubaga5866
    @gasparlubaga5866 5 หลายเดือนก่อน

    Mwinyi alikuwa muungwana sana,Mungu amrehemu huko alipo

  • @user-yy9ob9dg6l
    @user-yy9ob9dg6l 5 หลายเดือนก่อน

    Good memories and is strikes 7:27

  • @husseinsalimmaula4254
    @husseinsalimmaula4254 3 ปีที่แล้ว +3

    Babu yetu mwinyi

  • @josiahkessy6660
    @josiahkessy6660 3 ปีที่แล้ว

    Good

  • @mkaligreen1875
    @mkaligreen1875 3 ปีที่แล้ว +1

    Ilike that thank you azam tv

  • @rosemaryw2b
    @rosemaryw2b 3 ปีที่แล้ว +4

    Safi sana Mzee wetu Mwinyi 👏👏👏... Wazee ni hazina ya Taifa

  • @ustadhharunabdallah
    @ustadhharunabdallah 3 ปีที่แล้ว +6

    Allah awalinde viongozi wetu hawa

  • @johnkakui7255
    @johnkakui7255 3 ปีที่แล้ว

    God bless you guys

  • @ybmtaakwamtaaofficial3415
    @ybmtaakwamtaaofficial3415 3 ปีที่แล้ว +5

    Mji bila wazee haiwezekani

  • @victorkabingo888
    @victorkabingo888 3 ปีที่แล้ว +2

    Babu yuko poaaa mzee ruksa uyooo

  • @majutojackson5718
    @majutojackson5718 3 ปีที่แล้ว +8

    kumchekesha mjane aliefiwa na mumewe!tena rais

  • @daudmaganga5719
    @daudmaganga5719 3 ปีที่แล้ว

    Daaah

  • @majutojackson5718
    @majutojackson5718 3 ปีที่แล้ว +6

    Mzee amejua kutupunguzia huzuni, kucheka kwenye majonzi makubwa mzee ulitusahaulisha kwa muda

  • @TarimoTarimo-pf5lo
    @TarimoTarimo-pf5lo 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mzee anatambua lakini wajanja hawatambui, pole baba

  • @abdulabdy6822
    @abdulabdy6822 5 หลายเดือนก่อน

    Pumzika Kwa amani Mzee Ali Hassan Mwinyi..tumekupenda sana..mtu mwema na muungwana sana.. Allah akupe kauli thabiti insha Allah

  • @faridahalwaily85
    @faridahalwaily85 5 หลายเดือนก่อน

    Kenyaaa chukuweeeni mfano wa mzee mwinyii kwa kuitangamanishhaa nchi kwa upend woo na Amani na imani….nchi ipateee kuendeleyaaaa….

  • @jumamkongowe2272
    @jumamkongowe2272 3 ปีที่แล้ว +3

    Fulaha kwenye huzuni Asante nzee wetu kwakutufaliji msibani🙏🙏

  • @tanzanite9944
    @tanzanite9944 2 ปีที่แล้ว +3

    Kicheko cha kwanza baada ya week nzima ya majonzi. Kweli wazee ni dawa.

  • @leonardfabian4584
    @leonardfabian4584 3 ปีที่แล้ว

    Buriani Baba Magufuli

  • @felicianbwinyende4884
    @felicianbwinyende4884 3 ปีที่แล้ว +13

    Mwinyi mi5 tena

    • @samwellwiza1098
      @samwellwiza1098 3 ปีที่แล้ว +2

      Wee!! Acha kumtania babu yetu bhana...alishakuambia siku hizi anasahau..tukimpa mitano atakuja kujisahau kuwa yeye ni rais..halafu unatarajia nini
      🤝🤣🤣🤣🤣

    • @bahathnyoni6994
      @bahathnyoni6994 3 ปีที่แล้ว

      Kenge

  • @jacklinekanunu4667
    @jacklinekanunu4667 3 ปีที่แล้ว +1

    🤣🤣🤣🤣 babu yetu umejua kutufurahisha hata kama tunamajonzi yamepungua kupitia hotuba yako mungu akuongezee umri mrefu zaidi.

  • @saimonmolel7089
    @saimonmolel7089 3 ปีที่แล้ว +3

    Uzee mwema ni hazina njema.

  • @danieldafaa981
    @danieldafaa981 3 ปีที่แล้ว +5

    Huyu mwenetu anaitwaje vilee?

  • @joshuakalinga344
    @joshuakalinga344 3 ปีที่แล้ว +1

    Alie sikia kwamba sisi tulikua nakaubairi aweke like hapa👇

    • @joshuakalinga344
      @joshuakalinga344 3 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂mwinyi nikiboko yao tulikua nakaubairi

    • @khalekichambo1131
      @khalekichambo1131 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂😂😂

  • @glennmajanga57
    @glennmajanga57 5 หลายเดือนก่อน

    Great Man. May his soul rest in erternal peace.

  • @sasamama7934
    @sasamama7934 3 ปีที่แล้ว +3

    Ata sisi pia tumeemewa kwa huzni moaka leo 🇴🇲

  • @joshuaalsel5828
    @joshuaalsel5828 3 ปีที่แล้ว +2

    Pamoja na kwamba mimi si mtanzania, ila nashangaa kuamini ma rais watanzania wenye agenda ya africa ni wakristo na nasikitika tanzania kubaki mikononi mwa viongozi wastafu wote wa islam, kwanini iwe ivo, naweza nikaeleweka kuwa mbaguzi ila sielewi kwanini fikra kama hizi zinijie.
    Que Dieu me pardone

    • @shafiijafari3680
      @shafiijafari3680 2 ปีที่แล้ว

      Unawaza mini mbona majibu unayooo

    • @pavillioncry5241
      @pavillioncry5241 2 ปีที่แล้ว +1

      We nguruwe acha usenge na ubaguz

    • @wazirisaid8326
      @wazirisaid8326 2 ปีที่แล้ว +2

      Joshua Alsel, nimekuelewa Sana Ila ukitaka kuishi umri mrefu nakushauri mfuate na kumuabudu Mungu wa kweli.

    • @samwelipmbise3877
      @samwelipmbise3877 2 ปีที่แล้ว

      @@wazirisaid8326 Mungu wa kweli ni yupi?

    • @wazirisaid8326
      @wazirisaid8326 2 ปีที่แล้ว +4

      @@samwelipmbise3877 Ni yuke alieumba mbingu na Ardhi pamoja na vitu vyote vilivyomo kati yake wakiwemo viumbe vyote vinavyoishi au vilivyo wahi kuishi ulimwenguni. Mungu wa kweli hajazaa Wala kuzaliwa na Hakuna mfano wake Bali ameumba vitu vingi kwa mfano wake autakao!Na hapa ndipo watu wanapojichanganya na kuhusu kuwa wao wanafanana na Mungu.Mungu Huyu hawahi kuka,kunywa,kwenda chooni, kushindwa, kuomba msaada Wala kulia machozi.

  • @makamejuma2061
    @makamejuma2061 3 ปีที่แล้ว

    I hi

  • @bahaliasimango3034
    @bahaliasimango3034 3 ปีที่แล้ว +4

    Ukitenda mema hapa duniani utaishi marefu kama mzee mwinyi.

  • @alhaji6094
    @alhaji6094 3 ปีที่แล้ว

    Babu wetu wa Taifa❤️

  • @davidmakuke3922
    @davidmakuke3922 5 หลายเดือนก่อน

    R I P

  • @mwengatv3058
    @mwengatv3058 3 ปีที่แล้ว +1

    😂😂😂😂😂😂😂😂hii ni zaid ya comedy

  • @SamuelChege-rt4vl
    @SamuelChege-rt4vl 5 หลายเดือนก่อน

    .mzee anaye ongea kwa ukakamavu mwingi sana

  • @zamhatjuma5015
    @zamhatjuma5015 3 ปีที่แล้ว +1

    Ama kweli ishi uzomewe kufa usifiwe.

  • @edgaribrahim3931
    @edgaribrahim3931 3 ปีที่แล้ว +3

    Mmezingua sijaona inatosha apo

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 5 หลายเดือนก่อน

    Mama Siti yuko pale panaitwaje vile hapa? (Chato)

  • @bornthagylife3802
    @bornthagylife3802 3 ปีที่แล้ว +3

    Malkiaasamiaa unafaaa kutuongozatz

    • @ashafundi2941
      @ashafundi2941 3 ปีที่แล้ว

      Mungu akulinde mzee wetu

  • @muminually2846
    @muminually2846 3 ปีที่แล้ว

    O

  • @marckocharless4682
    @marckocharless4682 3 ปีที่แล้ว

    .
    .

  • @Ali-nl2du
    @Ali-nl2du 3 ปีที่แล้ว +5

    Mtu mzima dawa

  • @ntuzuboy7342
    @ntuzuboy7342 3 ปีที่แล้ว +2

    Mzee wa busara

  • @gracepatrick6389
    @gracepatrick6389 3 ปีที่แล้ว +2

    😂😂

  • @JF-wj6wp
    @JF-wj6wp 3 ปีที่แล้ว

    Why this body guard was so furious?

  • @rashidhassan6899
    @rashidhassan6899 3 ปีที่แล้ว

    Somo

  • @ommyakili552
    @ommyakili552 3 ปีที่แล้ว +3

    Board guard wa Hussein Mwinyi hana mbavu

  • @jamesmwita2995
    @jamesmwita2995 3 ปีที่แล้ว +5

    Uzee dawa

  • @jasmnjoseph6331
    @jasmnjoseph6331 2 ปีที่แล้ว

    Mitindo nywe