MFAHAMU KOPLO KOJA: ASKARI ALIYETREND AKIONGOZA MSAFARA WA RAIS MWINYI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 11 มิ.ย. 2023
- MFAHAMU KOPLO KOJA: ASKARI ALIYETREND AKIONGOZA MSAFARA WA RAIS MWINYI
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Yuko vzr ameongea point pia anaonesha kuipenda na kuithamini ajira yake hongera ndugu kwa kazi nzuri
Safi sana,shupavu sana,utapata cheo kwa uwezo wa allah 🙏🏿
Kazi kazi All the Best Soldier.. %
Safi sana kazi nzuri
Safi sana big up officer
Aaaakh!!! Maa Shaa Allah Mwanangu Sana Tanga Moja hiyo
Safi kaka nakukubali uko vizuri umewakulisha vizuri kambi ya bomani pia big up.
Hongera Sana jinsi ulivo ongoza msafara wa mweshimiwa rais Ally mwinyi mungu akutangulie Raha sana
Halikuwezaaa kuzowelaas au hakika pigiwa pichaaa zikarushwaaa hivyooo alivyooo fanya ndioo utaratibu kazi nzuri kijana
Hanalolote huyo mshamba tu
Anko nassir mwanyevu pangarawe icon never give up mjomba🙏🏻
Mjomba kwenye majukumu yake 👍
Anapenda sifa tu Mtanaga
Mimi pia nmempenda pia japokuwa hajajibu vema,jibu nihivi niheshima na nidhamu kwa mwenye kukuzid cheo,kapiga gwaride kwa kutanua njia watakqyopita na salute kwa wakuu big up
MACECHU STAND UP ✌
Kakaaaaaa ndugu yangu kijana wangu mwanafunzi wangu Tanga hukooooo
Broo nakukubali
100%100 Allah akufikishe mbali inshallh
Hongera sana askari wetu
Hongera sana bro Nassir wew ni mchapa kazi, kazi iyendeleeeeeee
Mashaallha kazi nzuri💯
Na kukubali sana kamanda umejieleza vizuri sana
Nimemkubaali sana huyu mwamba 👍Apewe MAUA yake nimepja KAZI mahiri
😂😂😂😂 maua
Safi sana chapa kazi🎉
Hakika uko vizuri nimeipenda hiyo uko makini na kazi yako
Nijasir Sana big up Sana 💪 kwake
Long life blood... Askari ameweza kinoma 😂
Wakati wa Mungu ukifika hakuna wa kuzuia
Safi sana kazi nzuri afande
Yupo vizuri Sana hongera sana
Pambana mkwe kazi Kwanza majungu bdy inshaallh
Mashalwahu kwa ulakamavu wako
Kazi nzuri
Hongera sana
Safi sana👍
Makini sana
Baba yako huko alipo anajivunia sana kaka na hata sisi wanatanga wenzako tunajivunia kupata habari nzuri kama hizi kaka, mwenyewzi Mungu zaidi kukubariki kuja boy. Kwaminchi umepata jembe
Vizuri sana
Good job
Mungu akuongoze inshallah 😊😊
KAZI nzuri makanda
Mungu Amjaalie apate cheo Amin ila Nchi hii ina Fitna sana na uchoyo Wonderfully Kamanda Piga kaz
Cheo cha kazi Gani?
Muheshimiwa raosi jamaa kajielezea vizuri namuombea japo kijinyota huyo mpeeeeeeee❤
Huyo ni askari, turn out yake, yuko sawia,mkakakamavu ,smart,uwezo kujieleza yuko safi.Kwa ujumla huyo Ni askari.
Mashallah
upo vzr kaka,,ALLAH ATAKULINDA
Trafic yupo vizuri sana ❤❤❤❤❤❤
hongeren sn
👍🏿👍🏿❤️
Very nice,, congratulation soldier
Tunakuomba dr mwinyi huyu Askari Ameweka heshima kubwa sana kwako kwa hi staili Aliotuonyesha wa tanzania na wazanzibar kwa ujumla.
Utaratibu wa kazi upo hivyo hata angewekwa mwingine angefanya kama yeye
@@mhandoonthebeats8581 dah hv una shida gani ww...wangap hawajawah kufanya???
All the best Afisor
Bravo🎉🎉😮
kazi ipo kwenye damu safi sana kaka
Nice job
Hongera sana best wangu
Hakuna kitu special hapo,ni moja ya mbwembwe tu katika kazi
Si mbwembwe bro. Kihana anaipenda kazi yake.
Kijana.
Ndio kazi inayompa maisha mjini
Good job son
Kamanda nakupa maua yako upo vinzur nakuombea kwamwenyezi mungu upate cheo kikubwa zaidi
Congratulations Corpral,very smart and very alert.
Anapenda sifa mwambie sifa mbaya izotabia zakufukuza daladala kwa honda ili kulazimisha rushwa atapotea
Kwa roho zenu mbaya.
Kama wew si konda au dereva lazima utasema kuwa tuna roho mbaya ila anaemjuwa huyo kama mim hiyo tabia ya kukufata na chombo anayo mim ashikamata sana tu anajita mandonga
Very nice smart kabisa
Nzur kak 🎉
Huyu Askari ni mnoko sana namchukia sana
Huo ndio uwaskari lazima uwe mnoko kwenye sheria kuzisimamia, maana ili askar awe mnoko aende kinyume na raiyaa anavyo taka
Mnoko kweli aambiwe
Unoko ndiyo uaskari wenyewe
Sifaa zinatrend kuliko mambo yabandari
Kijana wangu, nakuona sheikh naona umeiva,,
Nyny waandishi tafuteni habari za maana km hamna bora tulieni tu ss ndio kuna kipya gn alichokifanya hapo
Tanzania unatrend ukifanya majukumu yako. Halafu haya yanatokea kwa kuwa hatuna standard za kuongoza hivi vitu so watu wanatumia utashi binafsi kufanya majukumu.
Anapenda rushwa huyo
Hakika huyu askari sio mbinafsi akiongea asemi yeye anasema sisi. yaani askari wote wapo kama anavyo fanya yeye
Ila hapo traffic akikosea upande wa msafara... Maamuzi yanakuwa yapi, watamfwata traffic, au wataendelea na protocol.. af wazungumze baadae issue ilikuwa ni nini
Safiiiii
Huyu jamaa ni mnoko balaa anaongoza kwa kulazmisha kula rushwa Ukweli namchukia sana
Umeongea pwent broo
Angalia account yako Ina picha Gani basi Kisha sema hisia zako. Njia unayotumia kujiweka huru sio salama kwako
Wwe ni fala mbwa ww
Jina lako peke yake linashabihiana na tuhuma zako kwake kwamba nazo ni za mchongo!!😅😂
Congratulations
❤❤❤
Noma
❤❤❤❤❤
Kinyozi nzuri anayetumia wembe na kitana
Hahahahaaaaaaaaa
Sarut Nafulai Sana nikiona mtu anaipenda kaziyake naiiyote nikwasababu moyo,akili,mwili, vimelidhika nakaziyako,ila laitikama ivyo vyote vingekataa ninatumaini iyokazi ungeichukia Pigakazi dume tafuta pesa,usitafute sketi Wala majungu chukuwa mauwa yako ayo🎉🎉🎉🎉
Mnakuza vitu vya kijinga Kwan Kuna maajabu gan kwa huyo Askari si yupo kwenye moja ya utekelezaji wa majukumu yake ujinga tu ndyo maana utendaji watanzania ni duni sana
Kbx yn kuna vitu muhimu hawajadil
❤
Khoja
😢
Safi sana maiki
Good job mkuu
Bro. Hunaga makuu wewe af Jabir af Jahfar nk..ZANZIBAR OYEEEEEEE❤️❤️❤️🤣🤣🤣😂😂😂
Kazi iendelee
Good kijana.
gari kali.za.kifahari nchi.hoehae
Aibu
Hivi mmeishiwa habari au?sasa hapo nn cha ajabu🤔
Chuki wivu
katikati ya mji wa zanzibar kivip?
Hizo nimbwembwe 2 kinacho kufanya tukuheshim niutendajiwako siyombwembwe hizo he upotimam kikazi?
Good job offisa
Yuko vizuri kuna siku alinikaamata akanifahamisha tu bila pesa akaniachia hana Tamaa tofauti na askali wengine niliona kweli watu hatufanani
Masiaya
Ki today kakiweka wp ?
Kazinzur kk
Zanzibari wazaledo
Wabongo washamba sana ivi vitabia vya kuonyesha funguo za gari ndo nini si uiweke kwa mfuko tu
Fanya yako
We mshamba zaid ya watanzania wote 😁😁😁😁
Funguo ya pikipiki TVS mzee wala sio gar Ako proud na pikpik yake😂😂
@@salamasaidi6620 haha aya inawezekana nikawa mshamba ila uyu amenizidi na ndo munauzaga sura kwa kuonyesha onyesha funguo ulimbukeni utasema mtu mwenye miaka 18 kumbe jitu zima
Anaipenda kazi yake.
Jina apandishwe cheo yuko vizur sana
Hhhhh umetisha nasir H2
sawa koja
Mbona kawida Cha ajabu ni nn au kutembe?
Mmmm