MFAHAMU KOPLO KOJA: ASKARI ALIYETREND AKIONGOZA MSAFARA WA RAIS MWINYI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 มิ.ย. 2023
  • MFAHAMU KOPLO KOJA: ASKARI ALIYETREND AKIONGOZA MSAFARA WA RAIS MWINYI
    www.youtube.com/@Wasafi_Media...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

ความคิดเห็น • 202

  • @user-id3ef7ui7n
    @user-id3ef7ui7n ปีที่แล้ว +5

    Yuko vzr ameongea point pia anaonesha kuipenda na kuithamini ajira yake hongera ndugu kwa kazi nzuri

  • @saidrakwe8727
    @saidrakwe8727 ปีที่แล้ว +21

    Safi sana,shupavu sana,utapata cheo kwa uwezo wa allah 🙏🏿

  • @Andrewbendera
    @Andrewbendera ปีที่แล้ว +6

    Kazi kazi All the Best Soldier.. %

  • @youngbob9761
    @youngbob9761 ปีที่แล้ว +7

    Safi sana kazi nzuri

  • @abdulazizabuu
    @abdulazizabuu ปีที่แล้ว +7

    Safi sana big up officer

  • @hassanmsipi4094
    @hassanmsipi4094 ปีที่แล้ว +4

    Aaaakh!!! Maa Shaa Allah Mwanangu Sana Tanga Moja hiyo

  • @hassanrashid9436
    @hassanrashid9436 ปีที่แล้ว +4

    Safi kaka nakukubali uko vizuri umewakulisha vizuri kambi ya bomani pia big up.

  • @ramadhanihamisi9393
    @ramadhanihamisi9393 ปีที่แล้ว +6

    Hongera Sana jinsi ulivo ongoza msafara wa mweshimiwa rais Ally mwinyi mungu akutangulie Raha sana

  • @rizikiabdalla2501
    @rizikiabdalla2501 ปีที่แล้ว +5

    Halikuwezaaa kuzowelaas au hakika pigiwa pichaaa zikarushwaaa hivyooo alivyooo fanya ndioo utaratibu kazi nzuri kijana

    • @cholosadi4352
      @cholosadi4352 ปีที่แล้ว

      Hanalolote huyo mshamba tu

  • @Sampertz
    @Sampertz ปีที่แล้ว +2

    Anko nassir mwanyevu pangarawe icon never give up mjomba🙏🏻

  • @jumaamwairo2264
    @jumaamwairo2264 ปีที่แล้ว +7

    Mjomba kwenye majukumu yake 👍

  • @kayumbasosthenes3596
    @kayumbasosthenes3596 4 หลายเดือนก่อน

    Mimi pia nmempenda pia japokuwa hajajibu vema,jibu nihivi niheshima na nidhamu kwa mwenye kukuzid cheo,kapiga gwaride kwa kutanua njia watakqyopita na salute kwa wakuu big up

  • @ibni_H2TL6r
    @ibni_H2TL6r 5 หลายเดือนก่อน +3

    MACECHU STAND UP ✌

  • @allyzumo5832
    @allyzumo5832 ปีที่แล้ว +8

    Kakaaaaaa ndugu yangu kijana wangu mwanafunzi wangu Tanga hukooooo

  • @user-uj5yk5ty3m
    @user-uj5yk5ty3m ปีที่แล้ว +5

    Broo nakukubali
    100%100 Allah akufikishe mbali inshallh

  • @alphamwasakyen7696
    @alphamwasakyen7696 ปีที่แล้ว +4

    Hongera sana askari wetu

  • @takrimumakame2271
    @takrimumakame2271 5 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sana bro Nassir wew ni mchapa kazi, kazi iyendeleeeeeee

  • @UstadhImran
    @UstadhImran ปีที่แล้ว +2

    Mashaallha kazi nzuri💯

  • @edithaeugeni9695
    @edithaeugeni9695 ปีที่แล้ว +4

    Na kukubali sana kamanda umejieleza vizuri sana

  • @fadhilplatnumz8474
    @fadhilplatnumz8474 ปีที่แล้ว +10

    Nimemkubaali sana huyu mwamba 👍Apewe MAUA yake nimepja KAZI mahiri

  • @user-oo5xr9mk8e
    @user-oo5xr9mk8e ปีที่แล้ว +3

    Safi sana chapa kazi🎉

  • @athumaniyshehoza2252
    @athumaniyshehoza2252 ปีที่แล้ว +3

    Hakika uko vizuri nimeipenda hiyo uko makini na kazi yako

  • @johnycavishe5207
    @johnycavishe5207 ปีที่แล้ว +2

    Nijasir Sana big up Sana 💪 kwake

  • @boraimanijumamahenge7554
    @boraimanijumamahenge7554 ปีที่แล้ว +5

    Long life blood... Askari ameweza kinoma 😂

  • @spiderelexander9977
    @spiderelexander9977 ปีที่แล้ว +4

    Wakati wa Mungu ukifika hakuna wa kuzuia

  • @yudamanyumbu4978
    @yudamanyumbu4978 5 หลายเดือนก่อน +1

    Safi sana kazi nzuri afande

  • @fadhilhimid2776
    @fadhilhimid2776 ปีที่แล้ว +1

    Yupo vizuri Sana hongera sana

  • @user-dx1wg4wr7q
    @user-dx1wg4wr7q 7 หลายเดือนก่อน +1

    Pambana mkwe kazi Kwanza majungu bdy inshaallh

  • @mwajunassibu4192
    @mwajunassibu4192 ปีที่แล้ว +3

    Mashalwahu kwa ulakamavu wako

  • @jelaategroup3750
    @jelaategroup3750 ปีที่แล้ว +2

    Kazi nzuri

  • @aminasaid4771
    @aminasaid4771 ปีที่แล้ว +1

    Hongera sana

  • @abdulkareemchacha2625
    @abdulkareemchacha2625 ปีที่แล้ว +2

    Safi sana👍

  • @ashiriiyulu6430
    @ashiriiyulu6430 ปีที่แล้ว +1

    Makini sana

  • @user-qx5kb7og9p
    @user-qx5kb7og9p 4 หลายเดือนก่อน

    Baba yako huko alipo anajivunia sana kaka na hata sisi wanatanga wenzako tunajivunia kupata habari nzuri kama hizi kaka, mwenyewzi Mungu zaidi kukubariki kuja boy. Kwaminchi umepata jembe

  • @JumaMsukwa-bu5nt
    @JumaMsukwa-bu5nt ปีที่แล้ว +2

    Vizuri sana

  • @dr.alexmagufwa9131
    @dr.alexmagufwa9131 ปีที่แล้ว +1

    Good job

  • @user-ej1mw7xw5x
    @user-ej1mw7xw5x 4 หลายเดือนก่อน

    Mungu akuongoze inshallah 😊😊

  • @raymondcreditconsultant5067
    @raymondcreditconsultant5067 3 หลายเดือนก่อน

    KAZI nzuri makanda

  • @nassormessi-zk5cz
    @nassormessi-zk5cz ปีที่แล้ว +2

    Mungu Amjaalie apate cheo Amin ila Nchi hii ina Fitna sana na uchoyo Wonderfully Kamanda Piga kaz

  • @user-bo4be2yq8x
    @user-bo4be2yq8x 6 หลายเดือนก่อน

    Muheshimiwa raosi jamaa kajielezea vizuri namuombea japo kijinyota huyo mpeeeeeeee❤

  • @athanasekiyoja8369
    @athanasekiyoja8369 ปีที่แล้ว +5

    Huyo ni askari, turn out yake, yuko sawia,mkakakamavu ,smart,uwezo kujieleza yuko safi.Kwa ujumla huyo Ni askari.

  • @nassorrashid2419
    @nassorrashid2419 ปีที่แล้ว +2

    Mashallah

  • @user-zd5gd5qd2i
    @user-zd5gd5qd2i 3 หลายเดือนก่อน

    Trafic yupo vizuri sana ❤❤❤❤❤❤

  • @ramadhanijumapugilaleo
    @ramadhanijumapugilaleo ปีที่แล้ว +1

    hongeren sn

  • @saidrakwe8727
    @saidrakwe8727 ปีที่แล้ว +3

    👍🏿👍🏿❤️

  • @mswaki_newstz
    @mswaki_newstz 5 หลายเดือนก่อน

    Very nice,, congratulation soldier

  • @suleimanmuhammed1347
    @suleimanmuhammed1347 ปีที่แล้ว +2

    Tunakuomba dr mwinyi huyu Askari Ameweka heshima kubwa sana kwako kwa hi staili Aliotuonyesha wa tanzania na wazanzibar kwa ujumla.

    • @mhandoonthebeats8581
      @mhandoonthebeats8581 ปีที่แล้ว

      Utaratibu wa kazi upo hivyo hata angewekwa mwingine angefanya kama yeye

    • @salamasaidi6620
      @salamasaidi6620 ปีที่แล้ว +1

      @@mhandoonthebeats8581 dah hv una shida gani ww...wangap hawajawah kufanya???

  • @Amourharoub-rf1tc
    @Amourharoub-rf1tc 4 หลายเดือนก่อน

    All the best Afisor

  • @gimbagembeyale5252
    @gimbagembeyale5252 4 หลายเดือนก่อน +1

    Bravo🎉🎉😮

  • @KarimuYusuph
    @KarimuYusuph 4 หลายเดือนก่อน

    kazi ipo kwenye damu safi sana kaka

  • @aminaaminahmuhammad8838
    @aminaaminahmuhammad8838 8 หลายเดือนก่อน

    Nice job

  • @user-sp9re7kc1u
    @user-sp9re7kc1u 4 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana best wangu

  • @jebellwallace3509
    @jebellwallace3509 ปีที่แล้ว +2

    Hakuna kitu special hapo,ni moja ya mbwembwe tu katika kazi

    • @salimharrasy7047
      @salimharrasy7047 5 หลายเดือนก่อน

      Si mbwembwe bro. Kihana anaipenda kazi yake.

    • @salimharrasy7047
      @salimharrasy7047 5 หลายเดือนก่อน

      Kijana.

  • @ShabanisaidiMsangi-jg6uq
    @ShabanisaidiMsangi-jg6uq 3 หลายเดือนก่อน

    Ndio kazi inayompa maisha mjini

  • @princes6045
    @princes6045 ปีที่แล้ว +1

    Good job son

  • @user-nw8vw8ev6b
    @user-nw8vw8ev6b 6 หลายเดือนก่อน +1

    Kamanda nakupa maua yako upo vinzur nakuombea kwamwenyezi mungu upate cheo kikubwa zaidi

  • @osodowilberforce2321
    @osodowilberforce2321 7 หลายเดือนก่อน +1

    Congratulations Corpral,very smart and very alert.

  • @cholosadi4352
    @cholosadi4352 ปีที่แล้ว +3

    Anapenda sifa mwambie sifa mbaya izotabia zakufukuza daladala kwa honda ili kulazimisha rushwa atapotea

    • @salmahalfani6307
      @salmahalfani6307 ปีที่แล้ว

      Kwa roho zenu mbaya.

    • @user-py6mn1uq7z
      @user-py6mn1uq7z ปีที่แล้ว

      Kama wew si konda au dereva lazima utasema kuwa tuna roho mbaya ila anaemjuwa huyo kama mim hiyo tabia ya kukufata na chombo anayo mim ashikamata sana tu anajita mandonga

  • @jumannemfaume
    @jumannemfaume ปีที่แล้ว

    Very nice smart kabisa

  • @hassankaduara436
    @hassankaduara436 4 หลายเดือนก่อน

    Nzur kak 🎉

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh ปีที่แล้ว +4

    Huyu Askari ni mnoko sana namchukia sana

    • @murattywamuratty9778
      @murattywamuratty9778 ปีที่แล้ว +1

      Huo ndio uwaskari lazima uwe mnoko kwenye sheria kuzisimamia, maana ili askar awe mnoko aende kinyume na raiyaa anavyo taka

    • @cholosadi4352
      @cholosadi4352 ปีที่แล้ว

      Mnoko kweli aambiwe

    • @thomasgogomoka6404
      @thomasgogomoka6404 ปีที่แล้ว

      Unoko ndiyo uaskari wenyewe

  • @jamesjustine2811
    @jamesjustine2811 ปีที่แล้ว +2

    Sifaa zinatrend kuliko mambo yabandari

  • @allythabiti8150
    @allythabiti8150 ปีที่แล้ว

    Kijana wangu, nakuona sheikh naona umeiva,,

  • @feisalboy6702
    @feisalboy6702 ปีที่แล้ว +3

    Nyny waandishi tafuteni habari za maana km hamna bora tulieni tu ss ndio kuna kipya gn alichokifanya hapo

    • @barackhussein312
      @barackhussein312 ปีที่แล้ว +1

      Tanzania unatrend ukifanya majukumu yako. Halafu haya yanatokea kwa kuwa hatuna standard za kuongoza hivi vitu so watu wanatumia utashi binafsi kufanya majukumu.

    • @cholosadi4352
      @cholosadi4352 ปีที่แล้ว +1

      Anapenda rushwa huyo

  • @mohamedkondo-tq2bm
    @mohamedkondo-tq2bm ปีที่แล้ว +2

    Hakika huyu askari sio mbinafsi akiongea asemi yeye anasema sisi. yaani askari wote wapo kama anavyo fanya yeye

  • @othmannkya5837
    @othmannkya5837 ปีที่แล้ว +1

    Ila hapo traffic akikosea upande wa msafara... Maamuzi yanakuwa yapi, watamfwata traffic, au wataendelea na protocol.. af wazungumze baadae issue ilikuwa ni nini

  • @kurumwagodfrey7052
    @kurumwagodfrey7052 ปีที่แล้ว

    Safiiiii

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh ปีที่แล้ว +4

    Huyu jamaa ni mnoko balaa anaongoza kwa kulazmisha kula rushwa Ukweli namchukia sana

    • @cholosadi4352
      @cholosadi4352 ปีที่แล้ว

      Umeongea pwent broo

    • @aliiddi608
      @aliiddi608 ปีที่แล้ว

      Angalia account yako Ina picha Gani basi Kisha sema hisia zako. Njia unayotumia kujiweka huru sio salama kwako

    • @baaliyanuun416
      @baaliyanuun416 ปีที่แล้ว

      Wwe ni fala mbwa ww

    • @shabanihamis-lc3ww
      @shabanihamis-lc3ww ปีที่แล้ว

      Jina lako peke yake linashabihiana na tuhuma zako kwake kwamba nazo ni za mchongo!!😅😂

  • @aminamrisho8878
    @aminamrisho8878 ปีที่แล้ว

    Congratulations

  • @hakunamatataznz5508
    @hakunamatataznz5508 4 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤

  • @user-rf1fd4kf8l
    @user-rf1fd4kf8l 4 หลายเดือนก่อน

    Noma

  • @ErnestChrispin-ob2rn
    @ErnestChrispin-ob2rn 6 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤❤

  • @kiyabolnjemu9646
    @kiyabolnjemu9646 ปีที่แล้ว +1

    Kinyozi nzuri anayetumia wembe na kitana

  • @hamiduchingi2672
    @hamiduchingi2672 5 หลายเดือนก่อน

    Sarut Nafulai Sana nikiona mtu anaipenda kaziyake naiiyote nikwasababu moyo,akili,mwili, vimelidhika nakaziyako,ila laitikama ivyo vyote vingekataa ninatumaini iyokazi ungeichukia Pigakazi dume tafuta pesa,usitafute sketi Wala majungu chukuwa mauwa yako ayo🎉🎉🎉🎉

  • @waytvtz2549
    @waytvtz2549 ปีที่แล้ว +5

    Mnakuza vitu vya kijinga Kwan Kuna maajabu gan kwa huyo Askari si yupo kwenye moja ya utekelezaji wa majukumu yake ujinga tu ndyo maana utendaji watanzania ni duni sana

  • @aimanankya7405
    @aimanankya7405 5 หลายเดือนก่อน

  • @dullahrajabu6418
    @dullahrajabu6418 4 หลายเดือนก่อน

    Khoja

  • @herimbinguni9384
    @herimbinguni9384 ปีที่แล้ว

    😢

  • @aloyceponela3249
    @aloyceponela3249 5 หลายเดือนก่อน

    Safi sana maiki

  • @mazeenipia8782
    @mazeenipia8782 ปีที่แล้ว

    Good job mkuu

  • @msellemseif3102
    @msellemseif3102 ปีที่แล้ว

    Bro. Hunaga makuu wewe af Jabir af Jahfar nk..ZANZIBAR OYEEEEEEE❤️❤️❤️🤣🤣🤣😂😂😂

  • @AbdallaJuma-ih4ib
    @AbdallaJuma-ih4ib 5 หลายเดือนก่อน

    Kazi iendelee

  • @anthonymilambo6038
    @anthonymilambo6038 ปีที่แล้ว

    Good kijana.

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 ปีที่แล้ว +2

    gari kali.za.kifahari nchi.hoehae

  • @adaboychibu1659
    @adaboychibu1659 ปีที่แล้ว +2

    Hivi mmeishiwa habari au?sasa hapo nn cha ajabu🤔

  • @abdillahchikota4303
    @abdillahchikota4303 ปีที่แล้ว +1

    katikati ya mji wa zanzibar kivip?

  • @papaamakolokolo3868
    @papaamakolokolo3868 5 หลายเดือนก่อน

    Hizo nimbwembwe 2 kinacho kufanya tukuheshim niutendajiwako siyombwembwe hizo he upotimam kikazi?

  • @KUPASteven
    @KUPASteven ปีที่แล้ว

    Good job offisa

  • @YasrFak
    @YasrFak ปีที่แล้ว

    Yuko vizuri kuna siku alinikaamata akanifahamisha tu bila pesa akaniachia hana Tamaa tofauti na askali wengine niliona kweli watu hatufanani

  • @user-up3tn4de9u
    @user-up3tn4de9u ปีที่แล้ว

    Masiaya

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea5083 6 หลายเดือนก่อน

    Ki today kakiweka wp ?

  • @muyongahassan2188
    @muyongahassan2188 ปีที่แล้ว

    Kazinzur kk

  • @MahdiMkubwa-yb1oz
    @MahdiMkubwa-yb1oz ปีที่แล้ว

    Zanzibari wazaledo

  • @mbarakazuberi7915
    @mbarakazuberi7915 ปีที่แล้ว +1

    Wabongo washamba sana ivi vitabia vya kuonyesha funguo za gari ndo nini si uiweke kwa mfuko tu

    • @alextanzania
      @alextanzania ปีที่แล้ว

      Fanya yako

    • @salamasaidi6620
      @salamasaidi6620 ปีที่แล้ว

      We mshamba zaid ya watanzania wote 😁😁😁😁

    • @daudjohn752
      @daudjohn752 ปีที่แล้ว

      Funguo ya pikipiki TVS mzee wala sio gar Ako proud na pikpik yake😂😂

    • @mbarakazuberi7915
      @mbarakazuberi7915 ปีที่แล้ว

      @@salamasaidi6620 haha aya inawezekana nikawa mshamba ila uyu amenizidi na ndo munauzaga sura kwa kuonyesha onyesha funguo ulimbukeni utasema mtu mwenye miaka 18 kumbe jitu zima

  • @longinusbankyanule191
    @longinusbankyanule191 ปีที่แล้ว +1

    Anaipenda kazi yake.

  • @Matha-rl8bq
    @Matha-rl8bq ปีที่แล้ว

    Jina apandishwe cheo yuko vizur sana

  • @kombohajjihamad8776
    @kombohajjihamad8776 3 หลายเดือนก่อน

    Hhhhh umetisha nasir H2

  • @chibudyside5617
    @chibudyside5617 ปีที่แล้ว

    sawa koja

  • @user-rw6pl4zd8x
    @user-rw6pl4zd8x 4 หลายเดือนก่อน

    Mbona kawida Cha ajabu ni nn au kutembe?

  • @AmosiEmanuel-dw2pj
    @AmosiEmanuel-dw2pj 3 หลายเดือนก่อน

    Mmmm