CHOZI LAZIMA LIKUTOKE | ALICHOKIFANYA MWANDALE MBELE YA RAIS SAMIA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 27 ก.ย. 2024
- Mwandale ni binti anaelazimishwa kuolewa na baba yake akiwa bado mwanafunzi kwaajili ya tamaa za mali. Na kutokana na baba yake kutokuwa na uelewa mzuri kuhusu elimu kwa mtoto wa kike anaona amuozeshe binti yake kwa ng'ombe 400, kwa kigezo cha kwamba mtoto wa kike hapaswi kupata elimu. Mwandale anakataa na kukimbilia kwenye Mfuko wa hifadhi ya jamii Equal Opportunity Trust Fund (EOTF). Kwasasa ni mhitimu wa ngazi ya sheria. #mwandale #mrishompoto #eotf2022 #ikulumawasiliano #mamasamia
Mungu aingilie kati ili mtoto msichana apate haki nchi zote,asante kwa mafunzo mazuri ,keep up that spirit mzidi kuelimisha wengi asanteni sana ,God bless you all.
Nimejikuta nalia 😢, may Almighty God bless me to accomplish my plans, wish to became a great lawyer in Jesus name 🤲🙏
I love you anko mpoto ww nimwalimu hakika Tanzania tunakuitaji mjomba usiwaze pesa na dunia tufikishie ujumbe Kila kukicha mjomba hakika ww niwapekee nakuelewa mjomba mungu akuweke mjomba😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Mrisho Mpoto your the best asee unaweza sana 👊🏻👊🏻
Congratulations it's really touching and has a good teaching, thank you very much team
Mungu wangu nipanguze majonzi nimelia yangu yote 😭😭😭😭
nalia akh😭😭😭ckuweza kutimiza masomo yangu ckua na wakulilia.mungu bariki wadogo wangu
Success comes by continuity and hard working ❤
Watching from kenya but i alwys wish ningezaliwa tanzania
Na sisi tunakupenda sana karibu TZ
Inasikitishaa sana nimejifunzaa daa mpaka machoz yamenitoka
Asante kwa message nzuri
Hayo ndio maisha halis vijijn mjini uko hamjui na watu wanaendelea kuish😢
Mlisho mpoto nimeipenda Asante
I love mama samia's eyes they're so pretty 🤩
Huna akili hata chembe 😂😂
Congratulations am really pleased and grateful for this wonderful education
Ila natamani kuwa sehemu ya wanaopigania haki za hawa watoto
Nakupataje Tunaweza
Nimejifunza mengi kutoka katika historia ya mwandale na kwanzia leo sitalia tena nitakaza mwendo hadi nifanikiwe katika jina la yesu
Joseph. Mungu. Awabaliki
Hongera sana mpotoooooo
Nimeipenda
Shukran....mafunzo mazuri haya...
Good massage
Hawa ndio wasanii halisi. Hongera Mrisho Mpoto
Wow 👏👏
Hakuna kitu kama. Hii kenya😢
Kazi nzuri Mjomba
Nimeipenda sana!! Mwanamke lazima uwe shujaa.
Jamaniiii 😭
Very creative 😮
Mjomba Mashallaah
Aisee 😭
Aiseeeee😭😭😭😭😭😭
Story nzuri sana
Waaa inaumiza moyooo
Nimelia sana 😭😭😭😭😭
I very interested story
Hakika nimepokea kitu kikubwa sana. We have to stand,stand and stand again without give up
Good idea
Macho ya mama samia ya kuibia❤
Baba wimbo huu umetisha
Wow
Pambana mwamba nwandale
Dahhh inawezekanaa,,hata ss tulikataliwa ila tunaeleke tulikopanga😭😭😭
🎉🎉🎉🎉baba yangu najisikia vizuri
Bos mrisho nakupeda Sana siku mojaja
I like tanzanian they know how to act
Yaan nmtoa chozi
😭😭😭inaumiza mno
inauma sana ak,
Kuna watoo wanateseka huu uzalilishaji ufwatiliwe katika mafalili mahakamani
Hii kubwa sana mjomba, sjawahi kukuzoea....umenitoa chozi kijana wako.
Hongela sana mabinti
Ng'ombe zilirudishwa au?
Kipaji kipo. Wewe hatari. Sanaa ya kupigiwa mfano. Hii Ni ya kuufunzwa shule.. Chuo kikuu...
Du kweli mlisho mpoto anaelimisha jamii
Jamani unaweza kuigiza mae
😰😰
Yaguza huu jamani mimi mkenya lakini huu yaniguza zaidi mwandale dada hivyo ndivyo wazazi wetu wa jadi lakini kwa sasa hao ndio watuitaji kama vizazi vyao
So sad 😢😢tuwape Haki watoto wetu🥺🥺
😢
Rwanda, ndarize nange.
❤
Mototo ameweza
Salute sn kwa mpoto
Jamani mtoto wa mwenzio ni wako
Aiseeeee😂😂😂😂😂😂😂😂
Oh my Fighting my 😢 am in a public place
Dah adi urma
Ni vunzu kweli🙏🙏
❤😂
Ok
Sasa haka katoto kanalia nini Jamani
Kukosa elimu nakuozeshwa na mzee Kwa Tamaa za baba yake
Oy mmepoa Sana wanangu
😢😢😢🎉🎉
Had nime ria jamn daaa
Mm nimmoja niliyepata majanga kama ya mwandale naomba msaada
𝑩𝒊𝒈 𝒖𝒑 𝒎𝒋𝒐𝒎𝒃𝒂
Mama jasili kama hyu anatakiwa kuigwa
Matokeo ya mateso kuvumilia😂
Machoz ghafla siijui kwa nn
Mwanamke hajawahi kushindwa
uonevu acha
Tuwape mtoto wa kike haki yake enyi wababa
Hii hata mimi imeniliza
Hawajui kutumia jukwaa kabisa
Haya ndio masaibu ya mtoto WARDA kwa mwalimu Wema.
😅😅😅
Machonzi jamani
😅😅😅😅😅
Wow,!
Ndoa za utotoni , umaskini wa familia na mila potofu.
Niujumbe mzuri sana
Mjomba wangu unajuwa kutuelimisha najifunza vingi kupitia wewe
Mh cy pw
Mpotoò ujumbe umefka
Q
L
Jamila peyte
Jamila peteya jabu
Kweli Mungu awasaidie mabinti wote wapate haki zao
😢
Mama jasili kama hyu anatakiwa kuigwa
Machoz ghafla siijui kwa nn
Somo babu kubwa,mjomba big up sana
Nimejikuta nalia 😢, may Almighty God bless me to accomplish my plans, wish to became a great lawyer in Jesus name 🤲🙏
😅😅😅😅