TAZAMA BINTI MREMBO ZANZIBAR ANAVYO TENGENEZA PESA NYUMBANI KWAO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 28 พ.ค. 2020
- Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#JikingeNaCoronaBakiSalama #KtvTzOnline
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 625 323 932
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Juma Maulid
cc: Masoud Maganga
cc: Sauti Byego
cc: Tunu Salum
cc: Maryam Busara
Camera Department"
Dadi Ali
Mwarabu Mmadi
Nassor Shaibu
Abdallah Dula
Editors:
Juma Maulid
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...
Mashallah. M.Mungu amfungulie milango ya kheri
Amiin ya rabi l~alamiin.....najitahidi kufatilia mapishi yako lakini vifaa vingi kwenye supermarket zetu vinamiss
Ameen
Elfu kumi Original. Hhhhhh hhhhh umenifurahisha. Ila mashallah
Very good shaimaa.Allah bless u
Ameen
Hongera Shaima, utakuwa mfano wa wanawake wengine hapo Zanzibar. Kujitegemea ni ngao na ni silaha halisi ya kukimbia manyanyaso ya kuajiriwa.
Kabisa bro mimi mwenyewe nimepitia hayo unayoyasema
Am kenyan but am proud to say am so proud of you shaymaa. May Allah continue to put baraka in all that you do. You are a beautiful example for our ummah
Mashallah we need more women's like her hapa Zanzibar Allah afungulie milango ya kheri na pia ningeomba angeanza seminar ndogo ndogo kuwa motivate vijana wengine wakike wakizanzibar pia km atakua anahitaji mchumba mwenye connection au information zozote tusaidiane jamani I'm serious about this guys this woman she's the future KTV Tz Online tusaidiane jamani
awadh tevez wataka muoa ?
Wataka muoa ?
@@kisunannannav.9210 eehh! haswa kama kuna uwezekano ila kama hakuna uwezekano basi tutazid kuombeana dua azid kufanikiwa katika maisha yake
@@awadhtevez2918 Swadakta!
@@kisunannannav.9210 Swadakta kabisa ss kama kuna uwo uwezekano wakusaidiana tusaidiane seriously
MaShaAllah. Allah akuzidishie ujuzi na uzidi kupata mafanikio ktk biashara yako . Allah akuhifadhi na kila Hassid . Ameen.
Mashaallah jaman, nmepata moyo wa kufanya nami nnachokipenda, ALLAH akufanyie wepes
Masha Allah.
Allah akubarik .
Na azidi kukufungulia na mambo mengine.
Amiin
Dada Mrembo Halafu Kazi Kazi 🔥🔥🔥
Very impresive mwanangu I adore you May Allah Bless you
MASHALLAH ALLAH AZIDI kukufanyia wepesi ktk mafanikio yako
Bravo habibty wewe ni mfano bora kwa jamii yetu naamini hakuna kisichowezekana. Allah akuongoze pema zaidi kwa ujuzi zaidi ili usaidi wengi. Jazakillah kheir.
MashaAllah our lil one❤keep on going and make us proud dear
MashaAllah mungu akulinde na hasad na akujaalie mafanikio makubwa kwani ur talent deserves an appreciation 🌟🌟🌟🌟🌟
Aamiin
In sha Allah utafika mbali ndugu yangu...
Allah akuepushie hasad🌹
😁Mashallah
Allahuma Aamin
Maashaallaah mung akuzidishie mdogo wang
@@pilikhamis2924 Amiina
@@sumaiahamimu6705 amiina
Alf mabrouk Shaymaa Allah akutilie barka na ufanis zaid katika kazi zako.Aamiyn
Assalaam alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh Mashaa Allah TabaarakAllah. Allah ambarikie na ampe elimu zaidi bint Shaymaa aendee na anufaishe umma. Awe ni kiigizo chema kwa wengine. Pongezi sana bint wa Kizanzibari tunaona fakhari.
MashaAllah Allah akubarik akupe siha afya na umri taweel wenye kheri akutilie barka rizqi yako Ameen
Kila la kheri mdogo wangu. Allah akufungulie rizki zaidi, Soma uje kufikia ndoto yako na ufikie ngazi za kimataifa. Allah aliibariki kazi ya mikono.
MASHAA ALLAH Mungu akuzidishie Elimu na wengine pia In Shaa Allah
Mashaa Allah my students from memon Academy
MashaAllah ubunifu Mzuri hio ni biashara kubwa ulaya watu wanauza mpaka supermarket jaribu kupeleka na madukani au supermarket
Asalam alaykoum. Mashaallah... Allah akuongoze na akulinde na hasadi dada wewe kweli ni mjasiriyamali hivyo inapaswa kushukuru Allah kwa kipaji na uwezo aliokupa.. pia jitahidi kumueka Allah mbele jua kwa mafanikio yako yapo kwake juu ya jitihada unayoifanya pia . Mapendekezo yangu elimu uliopewa unapewa kufunza kwa wengine hii itakua umefanya kazi ya Mitume. Pia ushiwe na riaa juu ya ukifanyacho haitaleta maendeleo kwako .
Sambamba na hilo nilazima uendelee kupata elimu zaidi na.kutafuta wadhamini ili kuwa na kituo kikubwa upate kuwaajiri na wengine na kukupatia taifa faida. Baba Asinaat @ abkally
Beauty with brain💪🏻 I like that and personally am crazy about natural cosmetics 🥰
Masha Allah allah azid kukubariki kwa neema aliyokupa pambana dada usichoke 😍😍😍
Mawasiliano yako
Namba za simu za Shayma Zipo Upande wa Kushoto Juu Ya Video Hii
wekaa number tutawasiliana nae vp
Dada sadia una sauti nzur sana ya utangazaji siku inshallah itafika na utakuwa mtangazaji bora wa kike wa zanzibar/Tanzania/Africa/Dunia
Welldone. I hope you succeed in life n you help many
Masha Allah , Lalwa wakuwatah ilabilah . Mungu akuzidishie Elimu na akuruzuku fahamu. INSHA ALLAH mwaka ujao utahajiri wenzako.♥️♥️😍😍
Masha'Allah,
I'm impressed with you. Be blessed.
mh
Mashaallah sheymaah
Maa Shaa Allah Allah amlinde na hasad ktk kazi zke I'm so proud of her wallah nikioma Wanawake wanamaendeleo halafu ktk umri mdogo nakua naona raha kweli kweli hata cjali ikiwa namjua au cmjui. Any way km kuna contacts zke tuekeeni tumfollow she is an inspirational for me.
Mashaa Allah shaymaa congratulations ur the best ur one girl I like ur hard working keep going mungu akufungulie akusimamie katika kazi zako akutie nguvu imani usivunjike moyo alf alf mabrouk
You are gifted God bless you shaimaa
Very inspirational, may God take you long way and big success in your future life
Good girl keep it up, in shaa Allah all the best, well come to oman🇴🇲
Beautiful my sister my message from USA marekani good jobs zanzibar people 👍🌻
Mashaa allah . Hongera sana
MaashaAllah grow my little sister and keep it up we here to support you. InshaAllah your dream will come true and benefit your goals.
Congrates shaymaa
U can do more than that dear
May Allah bless you
Vzry
Mashallha ongera sana Mungu akuzidishie zaidi me napenda sana nije kuwa mfanya biashara lnshallha mungu atufanyie wepesi nasisi tuliokuwa na ndoto za kufanya pia mm nina makovu sijui kama nitapata sabuni ya kuniponesha miguuni ninge kuwa tz basi najua nisinge kosa kwa sheimha
Masha Allah
Allah akuongeze katita kazi zako pimoja nakumtii yeye na akuongezee ubunifu zaid pia akueepusha na shari ya hiyo kazi yako
But also never be boast for what allhu gave to you and pray for only yeye
Uzuri kujitegemea Allah atakusaidia. Tuletee Oman tunahitaji vitu km hivyo
MashaAllah nimependa sana kaziyako InshaAllah Mwenyezi Mungu akufungulie barka iendelee nawatu wa furahi
In 10yrs she's a billionaire in zanzibar if she doesn't stop
In Shaa Allah
In shaa Allah
Hongera dada
Hongera sana Mungu azidi kukubariki Mungu akijaria nikirudi Zanzibar nitakuja kununua
Good girl, be blessed Shaima.
Mashallah support muhimu hilo ndio tatizo letu ishallah Mwenyenzi Mungu atamjaalia ndoto zake zitimie 🙏
Asalamaalikumu warahamatuwahi unapatikana maneo gani nataka
MashaAllah mungu azidi kumpa kipaji zaid y hicho n kiweze kuendeleza jamii n maisha yake n wazazi wake...🤲🥰
Mashallah hongera dada ... Allah akufanyie wepesi wa kazi yako.....nilichokipenda ni jinsi unajisitiri..... ALLAH akuzidishie stara daima....
Nikweli MashaAllah!! Kujistiri kwake kunaonesha kiwango cha imani na dini yake MashaAllah...!!
Allah atambarik na kumjalia kila la kheri katika maisha yake inShaAllah.
Ningekuwa cjaowa basi nafikiri leo hii hii ningepeleka posa wallahi 😭😭😭 lol!😇
Well done dada Allah akulinde katika maendeleo ya kazi na akujalie mwendelezo mwepesi katika kusudio lako la kusaidia taifa ammin
Mashallah akubariki mwenyezi uziidi wako ujuzi.akuepushe na ftina na hasad n husda za viumbe wakiwemo binadaamu,mashetani na majiini. Alkah akujaaluw afya na afwa insha allah
Hongera sana kwa ubunifu na juhudi ya kujituma ktk kujiletea maendeleo,hongera sana ubarikiwe
Masha Allah baaraka allah fiikum
Dadaangu,insha allah nikitua tu Zanzibar nitakuja dukani kwako
Mashaallah fantastic one 😘
Masha'Allah! Nimependa hii. Made in Zanzibar
Kazi nzuri dada, endelea kufuata njia zako, Mungu atakuongoza insha Allah.
Mzuri tena mrembo kweli masha Allah 😘😘😘All the best shaima
Maashaa-Allaah M/Mungu akulinde na hasadi.
MASHAAllah Shaymaa 😍 nimewahi kutumia sabuni yake na ni nzuri sana ..Keep it up shayma👍🏻♥️
MashaAllah bismillah MashaAllah, Allahumma laa hasad😍🙇🙇🙇
MashaAllaah mwanadada jasiri yaani Alhamdulillaah
Allaah akuzidishie daaimaa
MashaAllah MashaAllah MashaAllah.
Keep on.
Mashallah sheimaa Allah akulinde na kila aina ya hasad na akuzidishie kipaji uweze kufikia malengo yako
MashaAllah Mola akuzidishie kheri na baraka
Hongera mamy Allah akuzidishie
Yah good luck 🍀 my sis,insha Allah mola akutilie baraka kwa kazi yko
Maa shaa Allah! Tabaaraka Allah! Mwenyezi Mungu akufanikishe ufikie malengo yako,jicho la hasad lisikupate yaarabby,nielekeze ulipo pls...
Hongera sana. Allah akujaaliee uwezo zaid
Mashaallah unajitahidii naa vipii mchumbaa kashapitaa hapaa
Allah amjaalie mume mwema ya Rabby
MaashaaAllah Allah akuzidishiye uwezo wako
Hongela dada
MashaAllah ❤️🌹.. Allah azidi kukupaa ujuzi
Mashallah Dada shaymaa usichoke inshallah utafika mbele Allah akuhifadhi. Amin
ma shaa Allah
Baraka Allahu fiik🤗
Aalykum ww hongera sana binti mwenzngu Allah akusimamie na kazi yako
Maa shaa Allah Allah akubarikie kazi zamikono yako
Habar duka liko wap nataka huduma mm nataka dawa ya nywele na ngozi
Mashaallah Allah bless you in all things inshaallah🎁
Mashallah allah akupe wepesi wa kazi zako na akulinde na mahasidi
MaaShaAllah Allah akuongoze zaid😍
Maasha allah c kazi rahisi,
Super woman,,,, congrulation
Maa shaa Allah Mungu akuzidishie Sheymaa
MashaAllah tabaraka Rahman Allah akuzidishie elimu ya kuweza kutengeneza vitu vyengine zaidi ya hivi Allah akuondoshee husda na akulenda na macho na midomo mibaya امين يارب العالمين
Mashaallah hongera kwa kuvumbua biashara hio ambayo ni tiba kwa binaadam, labda nikuulize unapatikana wapi nije nikutembelee?
Wow mashallah 😚
God bless you for your Hard work
Mashallh m, mungu akuongezee zaid
Hongera sister keep moving 👏🔥
Ma shaa Allah Tabaraka'Allah,Allah akuzidishie
Mashaa Allah....Allah kazidishie
Mashhallah ,ubarikiwe Sana'a sanaaaa ,,,nawapendaa sanaaaa wanaharakt wenzanG
KTV Leo mmenipatia kwa kweli, dk 14 zote nimeangalia kipindi hiki, Mashallah, zidini kupekechuapekechua vipaji vipo vingi mitaani, wale wanaohangaika na vyeti kutafuta ajira wazinduke.
Mr Fix Ahsante Kwa Kuwa Nasi "KTV TZ ONLINE HAKIKA HII NI FAHARI YETU"
Mzee baba sema tu umeangalia dakika zote 14 kwasabab hujatosheka kukitizama hcho chuma hapo😄😄😄
Kazi nzuri dada. Ongeza bidii...
MASHALLAH Barrick ukhty Shayma
Mashaa Allah tutakuja kununuwa mwana kwetu Allah akubari zaidi na wanawake wengine tafuteni chengine kama yeye
Bismillah masha Allah tabarrak Allah ♥♥♥♥Allah akuhifadh
Maa shaa Allaah ,Allaah akubaarik..
Great work sheyma big up
Mashallahu mungu akuongoze ufke mbal sana
Mashallah mashallah mungu akubariki katika mazur zaidi inshaallah
A.alaikum shaimaa dukalako likowapi tunahitaji nasiye mashallah allah akuzidishiye
Jitahidi kutoa sadaka kwa kile kidogo unachokipata haswa kwa kuwapa Mayatima,masikini na wajane in shaa Allah.
Taarifa nzuri sana na yakushajiisha, asanteni 👍🏼
MaShaa Allah. Fikiria. think of expanding your products market. Unaweza hata kupata wateja hapa Kenya.