MAAJABU YA CHUMBA CHINI YA BAHARI, RAIS AMEWAHI KUFIKA, KULALA USIKU MMOJA NI ZAIDI YA MIL. 4

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 16 พ.ค. 2022
  • #underwaterroomPemba #millardayoUPDATES
    Huwenda umewahi kusikia kuwa kisiwa cha Pemba kuna chumba cha kulala chini ya Bahari, Chumba hiki kimekuwa maarufu kutoakana na watu kutoka mataifa mbalimbali kuvutiwa na Hoteli hii iliyopewa jina la Manta Resort ili uweze kulala hapa kwa usiku mmoja utatakiwa kulipa dola 1,900 sawa na Milioni na Laki tatu.

ความคิดเห็น • 399

  • @flyimaadonlinetv5539
    @flyimaadonlinetv5539 ปีที่แล้ว +6

    Hongereni sana Ayo Tv....naomba kutowa ushauri kwanza jambo mlolifanya zuri sana la kufanya mahojiano na raia wa nchi nyengine....ombi langu muwe munaweka ssuti ya kutafsiri pale mtu anapozungumza lugha nyengine au mahojiano ya lugha nyengine. Ahsanten sana
    Mko vizuri sana

  • @user-hu2hl9sx1n
    @user-hu2hl9sx1n 2 หลายเดือนก่อน +6

    Huo mtihani sana je ikaja shida ya kupasuka kio maji yakaingia ndani sikifo chakujitakia manankionahapo nikama upo kwenye yai likipasuka hatari sana

  • @nassorsalim8748
    @nassorsalim8748 2 ปีที่แล้ว +19

    Yahe sehemu mzuri sana
    Lakini ni bora kwenda Maka kuliko kuja huku na ni kupoteza pesa
    Bora uko nazo nyingi pesa wasaidie mayatima wajane na mafukara
    Uipate pepo ya Allah
    InnshaAllah Allah atuwezeshe amin

  • @HekaSaid
    @HekaSaid 2 หลายเดือนก่อน +2

    Beautiful i can see one of my hand work it was crazy job for sure

  • @yassirrashid7802
    @yassirrashid7802 2 ปีที่แล้ว +3

    Amazing Sana

  • @ramadhanjuma4087
    @ramadhanjuma4087 2 ปีที่แล้ว

    Mashaallah nicely Ilike it

  • @piusmajo8133
    @piusmajo8133 2 ปีที่แล้ว +8

    Ubunifu mzuri sana,Safi Sana mwanasayansi kwa Jambo hili

  • @mrsinia3064
    @mrsinia3064 2 ปีที่แล้ว +1

    Hongera sana kwa ubunifu muzur, one day nitafk inshaalah

  • @ajayakikoytz590
    @ajayakikoytz590 2 ปีที่แล้ว +8

    Ila wandishi wahabali wanashuhudia mengi Da🥰, Apo kulala tu million Kadhaa na laki mbili😅

  • @hokakoko730
    @hokakoko730 2 ปีที่แล้ว +16

    Daah ila mm siwez kulala sehemu iyo ata ikiwa bure

    • @maujanjatv24h41
      @maujanjatv24h41 2 ปีที่แล้ว

      Huna hela

    • @annajustin1945
      @annajustin1945 2 ปีที่แล้ว +1

      @@maujanjatv24h41 jamani siyo hela kwanza huo usingizi unakujakujaje weeee mm kuyachungulia maji tu hoi

    • @user-xy5uy4eu1x
      @user-xy5uy4eu1x หลายเดือนก่อน

      Hata Mimi siwez, nyangumi mara owaaa kioo chalii

    • @fifo262
      @fifo262 หลายเดือนก่อน

      Hhhhhh uoga uoo

  • @AbisinaRashidi-wg5jt
    @AbisinaRashidi-wg5jt 2 หลายเดือนก่อน +3

    Mwenyezi mungu sianipe mume anipeleke tu hapo mm

    • @samwelsaidsalum676
      @samwelsaidsalum676 2 หลายเดือนก่อน

      Hatakama hautapata mume wa kukupeleka mungu akiamua utaenda2

    • @user-ht8np4yh5t
      @user-ht8np4yh5t หลายเดือนก่อน

      Amin tyu utampata

  • @MussaIbrahim-xz8mr
    @MussaIbrahim-xz8mr หลายเดือนก่อน

    Amazing

  • @tumumaumba3037
    @tumumaumba3037 2 ปีที่แล้ว

    Aisee

  • @shailglobal2296
    @shailglobal2296 2 ปีที่แล้ว +4

    How do you get oxygen inside the watar

  • @cornelytv2839
    @cornelytv2839 2 หลายเดือนก่อน

    congratulations 💐

  • @malikzafarani172
    @malikzafarani172 ปีที่แล้ว +2

    Woow amazing saana 🙌🙌🇶🇦

  • @user-yb6wh1bk9d
    @user-yb6wh1bk9d 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kuna uboresho mzuri ss mpk wageni wanaenda tn miaka na waokoaji hpo wapo karibu kuna umakini

  • @mshamhemedy8567
    @mshamhemedy8567 6 หลายเดือนก่อน +1

    Super cute maganga wa pemba

  • @ismailalfankihiyo3215
    @ismailalfankihiyo3215 หลายเดือนก่อน

    Mimi nilishawahi kukaa 2 days kwakweli ni raha sana,very enjoyments

    • @TonnyMaleko
      @TonnyMaleko หลายเดือนก่อน

      Wegiñe. Ha5a ndege Hawaii. Kapakia.

  • @HassanKubwito-uv7jv
    @HassanKubwito-uv7jv 24 วันที่ผ่านมา

    Kwakweli Zanzibar wamepiga hatua

  • @kassebo
    @kassebo 2 ปีที่แล้ว +7

    Acha mwenye pesa! aendeleee kuitia ushamba Dunia

  • @aliclassic8468
    @aliclassic8468 2 ปีที่แล้ว +5

    Vip kuhusu samaki papa

  • @adamhashim3352
    @adamhashim3352 2 ปีที่แล้ว +4

    Ukilala hapo ni sawa na mwanandani kasoro sanda

  • @user-ou7pe3mv6k
    @user-ou7pe3mv6k 2 ปีที่แล้ว +2

    Mashallah

  • @asiaoman3040
    @asiaoman3040 2 ปีที่แล้ว +5

    MashaAllah 😙😙😙

  • @user-yc5qk4jf5l
    @user-yc5qk4jf5l 2 หลายเดือนก่อน +2

    How do u get oxygen under the water

  • @kassimomar7589
    @kassimomar7589 2 ปีที่แล้ว

    Zanzibar

  • @anitamabuga6346
    @anitamabuga6346 12 วันที่ผ่านมา

    Hizo ni dalili Moja wapo za siku za mwisho, Yesu anarudi hivi karibuni tujiandeni kuraki mwokozi wetu mambo ya Dunia yote ni ubatili tu.

  • @jescaisrael7338
    @jescaisrael7338 หลายเดือนก่อน

    ❤❤cool

  • @NeemaShababi-nu8dr
    @NeemaShababi-nu8dr 2 หลายเดือนก่อน

    Aki ya mungu

  • @mercypeter162
    @mercypeter162 2 ปีที่แล้ว +1

    Mmmh !!

  • @hamadsuleiman5177
    @hamadsuleiman5177 2 ปีที่แล้ว +5

    Milioni 4 kawaida sana hapo kwani hata hizo booking tu unaona zilivo na compition...I think Blue economy ingeangalia miradi kama hii ina collaboration with Ministry of Tourism.

  • @AhmadySeifsoud-ng3bn
    @AhmadySeifsoud-ng3bn 3 หลายเดือนก่อน +1

    Karibu pemba 🤗

  • @Haulat-yc9gz
    @Haulat-yc9gz หลายเดือนก่อน +2

    Mm hata unilipe silali wala siingii

  • @janekuria1898
    @janekuria1898 ปีที่แล้ว +1

    Waaaa 🥺 Mimi siwezi lala kwa hicho chumba. La....

  • @KadeejaKadeeja-ej4bu
    @KadeejaKadeeja-ej4bu 2 หลายเดือนก่อน

    Atali sana

  • @uswegemwasumbi5739
    @uswegemwasumbi5739 2 ปีที่แล้ว +2

    Iko vizur

  • @priscamagambo5320
    @priscamagambo5320 2 ปีที่แล้ว +2

    Acha yanipite,hata bule silali ng'oooo

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 2 ปีที่แล้ว +5

    Mbona rahisi hicho chumba ntakuja kwenye honey moon yangu insh Allah

  • @IsmailDede-nz5ut
    @IsmailDede-nz5ut 2 หลายเดือนก่อน +1

    Cwez lala hapo mm

  • @sharmelasaif47
    @sharmelasaif47 ปีที่แล้ว

    Mmmmh makubwa hayo

  • @agnesbaligono2742
    @agnesbaligono2742 ปีที่แล้ว

    Maajabu kweli

  • @fatmasuleiman1104
    @fatmasuleiman1104 2 ปีที่แล้ว +8

    Jiran yetu ndo walikuwa mafundi waliniambia kma wanatengezea room chini ya bahar nikajua utani kilipoisha kikaonyeshwa kwenye tv akaniambia twende nikupeleke utaingia bure maana bado ndo kwanza tumemaliza kujenga nikamwambia sisubutu maisha bado nayapenda labda mungu atake kunichukuwa kwa hiar yake lakin c kwenda kujitaftia kifo cha kusud

  • @yordanyona1234
    @yordanyona1234 2 ปีที่แล้ว +2

    sio lazima tour

  • @ibraheemiddy8612
    @ibraheemiddy8612 2 ปีที่แล้ว +4

    Watu wanabalaaa jaman mmmh silali aje papa aniletee vurugu mie

  • @user-no2tw5vb8j
    @user-no2tw5vb8j 2 ปีที่แล้ว +2

    Doreen edasi from saudi arabia, jini makata na jini maimuna kanipata mle ndani kwisha mimi 😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @user-ou7pe3mv6k
    @user-ou7pe3mv6k 2 ปีที่แล้ว

    Imshallah wamekusikien wa2 wa oman watajarbh na wao

  • @aggerdihenga4673
    @aggerdihenga4673 ปีที่แล้ว +1

    Makangale manta I mic u so much 2taonana tena soon Inshaallah 🙏

  • @LovelyCoastline-il1lr
    @LovelyCoastline-il1lr 2 หลายเดือนก่อน

    Kwann chumba kimoja

  • @priscillawilliam3603
    @priscillawilliam3603 2 หลายเดือนก่อน

    Mmm kumbe ni huko haya kila na kheri.

  • @user-tj5zs5dj3y
    @user-tj5zs5dj3y หลายเดือนก่อน +3

    Me siwezi lala we maji yakihingia ndani huko jee😂😂

  • @kakabaraka1058
    @kakabaraka1058 2 ปีที่แล้ว +1

    manta🇹🇿

  • @jeremiahsanare8754
    @jeremiahsanare8754 2 ปีที่แล้ว +43

    Hata bure siwezi kulala hapo

  • @user-ii9cc5um1j
    @user-ii9cc5um1j 9 หลายเดือนก่อน +1

    Hv yule Samaki mkubwa anaepinduaga Meli akifanya yake hapo inakuwaje?

  • @MagotaSeif
    @MagotaSeif หลายเดือนก่อน

    Kwenda tu kukiangalia siendi

  • @Chekibob
    @Chekibob 2 ปีที่แล้ว +2

    Mbona mmekata hiyo sauti tusikilize habibi 😁😁😁😂

  • @user-he7nv8no3e
    @user-he7nv8no3e หลายเดือนก่อน

    Ndomujue Tanzania laha

  • @josiahkulwa34
    @josiahkulwa34 2 ปีที่แล้ว

    Good

    • @emmadominic9601
      @emmadominic9601 2 ปีที่แล้ว

      Kusema ukweli,hicho chumba hakina starehe yoyote,nishida tu,jinsi ya kushuka huko kama vile mtu anarumia ngazi za kujengea nyumba

    • @emmadominic9601
      @emmadominic9601 2 ปีที่แล้ว

      Yaani hizo ngazi utadhani mafundi umeme wa tanesco,hata bure sitaki katu

  • @user-cc3ki8vv2p
    @user-cc3ki8vv2p 27 วันที่ผ่านมา

    Kabwawa tu Kindai huku kwwtu nakaogopa hata kusogea,,humo kwa kweli kufika tu nishakuwa marehemu kwa pressure,,tena mbao,,,,,bado tu hazijaoza?

  • @pesamadafu1673
    @pesamadafu1673 หลายเดือนก่อน

    Mungu aritega mahari naichi kafu

  • @user-uh5ps3cl5e
    @user-uh5ps3cl5e 5 หลายเดือนก่อน

    Safiii

  • @ireneathuman5227
    @ireneathuman5227 2 ปีที่แล้ว +3

    Kama starehe nikulala kwenye hicho chumba niacheni kwanza nipo likizo

    • @user-fs7xc2bb5d
      @user-fs7xc2bb5d 10 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂tuko pamoja

  • @neemaneema9969
    @neemaneema9969 2 ปีที่แล้ว +4

    Cwezi kulala humo hata bure

  • @user-dm9or7xh8x
    @user-dm9or7xh8x หลายเดือนก่อน

    Never siwezi hata bure

  • @user-ou7pe3mv6k
    @user-ou7pe3mv6k 2 ปีที่แล้ว

    Mm nikifka hapo siwez kull

  • @SalumuMeso
    @SalumuMeso 2 หลายเดือนก่อน

    Kiukweli ni laha sana namm nakwenda

  • @najmanassoro308
    @najmanassoro308 2 ปีที่แล้ว +2

    Mh ngoja nisome koment tu

  • @aaminaasljbgbvf745
    @aaminaasljbgbvf745 5 หลายเดือนก่อน

    Iyo apana kabisaa siwezifika

  • @benderarulenge2477
    @benderarulenge2477 2 ปีที่แล้ว

    Ata Hilo boat Mimi sipandi kabsaaa,mungu aniepushe majanga hayoo🙉🙉🙉🙉🙉🙉

  • @sabilibrahim2457
    @sabilibrahim2457 ปีที่แล้ว

    Bei gani kwa siku 1

  • @DeusJonathan-np8gd
    @DeusJonathan-np8gd หลายเดือนก่อน

    Duh!! Mie siwezi lala hata kama ninalipwa

  • @nasrahassan7346
    @nasrahassan7346 2 ปีที่แล้ว +3

    Yaani samaki unawaona live bila chenga😀😀

  • @kasukukasuku3896
    @kasukukasuku3896 2 ปีที่แล้ว +1

    It's amazing katumia mechanisms zipi kujenga na je wimbi la bahari likija Hari inakuaje apo

    • @jambo3751
      @jambo3751 2 ปีที่แล้ว

      Hahaha.
      Halafu Ayo ungetutafsiria muarabu wako amesema nini😄
      Nasikia GHORFA TAHTA LMAI MAA MAUJUDI FIY OMAN WA HADHA AWAL MARRA ASHUF HADHA sijui ndio nini amesema😄😄😄🏃🏃🏃🏃

    • @jambo3751
      @jambo3751 2 ปีที่แล้ว

      @@swaumdodoma7591 Nitafsirie.

    • @jambo3751
      @jambo3751 2 ปีที่แล้ว

      @@swaumdodoma7591 bobo ndio wapi?

    • @jambo3751
      @jambo3751 2 ปีที่แล้ว

      @@swaumdodoma7591 Niko nje ya Africa lakini nyumbani TZ.

    • @jambo3751
      @jambo3751 2 ปีที่แล้ว

      @@swaumdodoma7591 Boboo japo unasema kuwa ipo TZ lakini sipajui ila kule nchi jirani KENYA kuna mji unaitwa KAKUMA! Kwahiyo inawezekana kukawa na mahusiano
      baina ya miji miwili hii🏃🏃🏃.

  • @TonnyMaleko
    @TonnyMaleko หลายเดือนก่อน

    Julianne deep Sea.

  • @khayratmhina3735
    @khayratmhina3735 2 ปีที่แล้ว +4

    AyoTV wanamaswali yalioenda shule mashallah

  • @manaseliberatus1347
    @manaseliberatus1347 ปีที่แล้ว +1

    hayo ni maeneo ya washirikina

  • @OliverZachary-dp1vn
    @OliverZachary-dp1vn 27 วันที่ผ่านมา

    hiyo ni hatari mnooo

  • @user-rg3lq7sd9f
    @user-rg3lq7sd9f 2 หลายเดือนก่อน

    Maajabu hayo et nyumba chini ya maji mimi nsons hiyo n miujiza natamani siku moja nitembelee hiyo sehemu

  • @nasrahassan7346
    @nasrahassan7346 2 ปีที่แล้ว +3

    Gorofa heluwa wagidi mashaallah

    • @mariyammariyam6584
      @mariyammariyam6584 2 ปีที่แล้ว

      😀😀😀🇴🇲Heiwaaa ana shufii heluwaa

  • @user-sn9ip6qr3l
    @user-sn9ip6qr3l 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ila wazungu wanapenda kumchefua Mungu anaweza kuwaletea gharika wasiamin

    • @theresialubida161
      @theresialubida161 2 หลายเดือนก่อน

      Wenzao waribadirishiwa rugha Sasa subiri wao MUNGU akikasirika

    • @user-sn9ip6qr3l
      @user-sn9ip6qr3l 2 หลายเดือนก่อน

      Kabisaaaaaa umenenaaaa

  • @neemamjengi9913
    @neemamjengi9913 ปีที่แล้ว +4

    Mwanadamu ana akili nyingi sana,Mungu alizo mjalia

  • @theresiamartin3008
    @theresiamartin3008 2 ปีที่แล้ว +3

    Kwa jinsi navyoogopa maji,Hata kwa buku 2 siwezi kulala hapo

  • @mkalywagoka9913
    @mkalywagoka9913 ปีที่แล้ว +1

    Hela hela zinasababisha tuuwaneeee

  • @ramadhanimtetu3656
    @ramadhanimtetu3656 2 หลายเดือนก่อน

    Naombeni number zenu
    Nipo Kilosa huku najichanga nije huko dadeki

  • @presidentofafrica.5038
    @presidentofafrica.5038 2 หลายเดือนก่อน

    GO EAST GO WEST----AYO TV IS THE BEST.

  • @drankskhally7019
    @drankskhally7019 2 ปีที่แล้ว +6

    Ukiwa na pesa hakuna unachokosa na kushindikana

  • @saidmandoadaahtumepotezaje9937
    @saidmandoadaahtumepotezaje9937 2 หลายเดือนก่อน

    Kwer

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 2 ปีที่แล้ว +5

    Mnao sema hamuwezi kulala wote hamna hz pesa za kulala hapo

    • @fatumakambangwa2915
      @fatumakambangwa2915 2 ปีที่แล้ว

      Ndugu mimi masikini uwezo hata sh 20,000/= sina ila hata kama nimepata msaada sisubutu mimi muoga sana na maji weeeee

    • @khadijahali4837
      @khadijahali4837 2 ปีที่แล้ว

      @@fatumakambangwa2915 kubali huna km unayo ungeenda hvy hvy na uwoga wako

    • @fatumakambangwa2915
      @fatumakambangwa2915 2 ปีที่แล้ว

      Mimi kwer choka mbaya ha sh 20,000/= sina ila hata kwa msaada silali mimi na maji hapana chini ya bahari mmmmm uko juu na boti naendaga basi sina jinsi niingie chini weeeee siwezi

    • @khadijahali4837
      @khadijahali4837 2 ปีที่แล้ว

      @@fatumakambangwa2915 bc waache wanao weza

    • @mikidadymohammedy7603
      @mikidadymohammedy7603 2 ปีที่แล้ว

      Ni kwel Bi khadija pesa hana ndio maana

  • @marcellakomba6758
    @marcellakomba6758 หลายเดือนก่อน

    Wenzetu SA na Ulaya zipo "Under Water Room" zipo nyingi tu.
    Nanga zake ni makini haiwezi kupinduliwa.

  • @edwinamos9734
    @edwinamos9734 8 วันที่ผ่านมา

    Nathamini uhai MUNGU alio nipa siwezi ingia humo hata mkinipa dhahabu zimejaa pipa.

  • @AnnaSanga-bs7pl
    @AnnaSanga-bs7pl 2 หลายเดือนก่อน

    Sunami vipi

  • @jamesobedy3940
    @jamesobedy3940 2 ปีที่แล้ว +5

    Hata kwa bure siwezi kulala 😂😂
    Labda kuingia na kutoka basi 🚶🚶

  • @dorislema2465
    @dorislema2465 2 หลายเดือนก่อน

    0:42 mimi siwezi kufa kwa presha looh,,naona kama nitakua nafata kifo walai siwez kulala apo

  • @Gorgeousij
    @Gorgeousij หลายเดือนก่อน +1

    Inanikubusha ile sub marine iliopasukia America.njia ya kuingia chini ya ogopesha sana juu ukiteleza itakuwa je?hata nikalipwa niende pale siwezi.wenye waliandikisha historia kama Dedan kimathi,Mandela hawako.

  • @user-wl4yo4zp9t
    @user-wl4yo4zp9t หลายเดือนก่อน

    Michepuko mko wapi mnipeleke chini ya bahari nikainjoyi

  • @benderarulenge2477
    @benderarulenge2477 2 ปีที่แล้ว

    Hapo siendi kabisa mimi duuuuh,ata usingizi hauji kwanza,

  • @Fatma99-ve7ys
    @Fatma99-ve7ys 27 วันที่ผ่านมา

    Kuzinga liwa ni majini tu viumbe visivo na urafiki wa binadamu

  • @annachales9623
    @annachales9623 2 ปีที่แล้ว +3

    Ni mandhari nzuri lakini silaliiiiiiiii.......

  • @AsiyaMmanga
    @AsiyaMmanga หลายเดือนก่อน

    Jeeeee wagen ni million 4 na lak mbil jeee kwa wat wa ndan ni bei ndooo hy hvy au

  • @user-vb9ci1wl5e
    @user-vb9ci1wl5e หลายเดือนก่อน

    Ata Bure siwez lala