MAAJABU YA CHUMBA CHINI YA BAHARI, RAIS AMEWAHI KUFIKA, KULALA USIKU MMOJA NI ZAIDI YA MIL. 4
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 16 พ.ค. 2022
- #underwaterroomPemba #millardayoUPDATES
Huwenda umewahi kusikia kuwa kisiwa cha Pemba kuna chumba cha kulala chini ya Bahari, Chumba hiki kimekuwa maarufu kutoakana na watu kutoka mataifa mbalimbali kuvutiwa na Hoteli hii iliyopewa jina la Manta Resort ili uweze kulala hapa kwa usiku mmoja utatakiwa kulipa dola 1,900 sawa na Milioni na Laki tatu.
Hongereni sana Ayo Tv....naomba kutowa ushauri kwanza jambo mlolifanya zuri sana la kufanya mahojiano na raia wa nchi nyengine....ombi langu muwe munaweka ssuti ya kutafsiri pale mtu anapozungumza lugha nyengine au mahojiano ya lugha nyengine. Ahsanten sana
Mko vizuri sana
Huo mtihani sana je ikaja shida ya kupasuka kio maji yakaingia ndani sikifo chakujitakia manankionahapo nikama upo kwenye yai likipasuka hatari sana
Yahe sehemu mzuri sana
Lakini ni bora kwenda Maka kuliko kuja huku na ni kupoteza pesa
Bora uko nazo nyingi pesa wasaidie mayatima wajane na mafukara
Uipate pepo ya Allah
InnshaAllah Allah atuwezeshe amin
Kweli kabisa maana Ii ni fahari ya Dunia tu wala munyanzi mungu haitambui.
Pp0
SubhannahAllah
Kweli ndugu
🙏🙏
Beautiful i can see one of my hand work it was crazy job for sure
Amazing Sana
Mashaallah nicely Ilike it
Ubunifu mzuri sana,Safi Sana mwanasayansi kwa Jambo hili
Hongera sana kwa ubunifu muzur, one day nitafk inshaalah
Ila wandishi wahabali wanashuhudia mengi Da🥰, Apo kulala tu million Kadhaa na laki mbili😅
Daah ila mm siwez kulala sehemu iyo ata ikiwa bure
Huna hela
@@maujanjatv24h41 jamani siyo hela kwanza huo usingizi unakujakujaje weeee mm kuyachungulia maji tu hoi
Hata Mimi siwez, nyangumi mara owaaa kioo chalii
Hhhhhh uoga uoo
Mwenyezi mungu sianipe mume anipeleke tu hapo mm
Hatakama hautapata mume wa kukupeleka mungu akiamua utaenda2
Amin tyu utampata
Amazing
Aisee
How do you get oxygen inside the watar
congratulations 💐
Woow amazing saana 🙌🙌🇶🇦
Kuna uboresho mzuri ss mpk wageni wanaenda tn miaka na waokoaji hpo wapo karibu kuna umakini
Super cute maganga wa pemba
Mimi nilishawahi kukaa 2 days kwakweli ni raha sana,very enjoyments
Wegiñe. Ha5a ndege Hawaii. Kapakia.
Kwakweli Zanzibar wamepiga hatua
Acha mwenye pesa! aendeleee kuitia ushamba Dunia
Vip kuhusu samaki papa
Ukilala hapo ni sawa na mwanandani kasoro sanda
Mashallah
MashaAllah 😙😙😙
How do u get oxygen under the water
Zanzibar
Hizo ni dalili Moja wapo za siku za mwisho, Yesu anarudi hivi karibuni tujiandeni kuraki mwokozi wetu mambo ya Dunia yote ni ubatili tu.
❤❤cool
Aki ya mungu
Mmmh !!
Milioni 4 kawaida sana hapo kwani hata hizo booking tu unaona zilivo na compition...I think Blue economy ingeangalia miradi kama hii ina collaboration with Ministry of Tourism.
Karibu pemba 🤗
Mm hata unilipe silali wala siingii
1
Waaaa 🥺 Mimi siwezi lala kwa hicho chumba. La....
Atali sana
Iko vizur
Acha yanipite,hata bule silali ng'oooo
Mbona rahisi hicho chumba ntakuja kwenye honey moon yangu insh Allah
Nyoko unae ww
Cwez lala hapo mm
Mmmmh makubwa hayo
Maajabu kweli
Jiran yetu ndo walikuwa mafundi waliniambia kma wanatengezea room chini ya bahar nikajua utani kilipoisha kikaonyeshwa kwenye tv akaniambia twende nikupeleke utaingia bure maana bado ndo kwanza tumemaliza kujenga nikamwambia sisubutu maisha bado nayapenda labda mungu atake kunichukuwa kwa hiar yake lakin c kwenda kujitaftia kifo cha kusud
Yaani wewe kama mimi😂😂😂😂
Hata Mimi duuuu
Pia mie siwezi hata kutembea hapo
sio lazima tour
Watu wanabalaaa jaman mmmh silali aje papa aniletee vurugu mie
Doreen edasi from saudi arabia, jini makata na jini maimuna kanipata mle ndani kwisha mimi 😭😭😭😭😭😭😭😭😭
What????
Imshallah wamekusikien wa2 wa oman watajarbh na wao
Fatma uko nizwa sehem gan
Makangale manta I mic u so much 2taonana tena soon Inshaallah 🙏
Kwann chumba kimoja
Mmm kumbe ni huko haya kila na kheri.
Me siwezi lala we maji yakihingia ndani huko jee😂😂
nimecheka sana
manta🇹🇿
Hata bure siwezi kulala hapo
Acha uoga
😄😄😄😄
Bwanaweee 🤣😂🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣☝ pia 😇
🤣🤣🤣acha uoga
Hv yule Samaki mkubwa anaepinduaga Meli akifanya yake hapo inakuwaje?
Kwenda tu kukiangalia siendi
Mbona mmekata hiyo sauti tusikilize habibi 😁😁😁😂
Ndomujue Tanzania laha
Good
Kusema ukweli,hicho chumba hakina starehe yoyote,nishida tu,jinsi ya kushuka huko kama vile mtu anarumia ngazi za kujengea nyumba
Yaani hizo ngazi utadhani mafundi umeme wa tanesco,hata bure sitaki katu
Kabwawa tu Kindai huku kwwtu nakaogopa hata kusogea,,humo kwa kweli kufika tu nishakuwa marehemu kwa pressure,,tena mbao,,,,,bado tu hazijaoza?
Mungu aritega mahari naichi kafu
Safiii
Kama starehe nikulala kwenye hicho chumba niacheni kwanza nipo likizo
😂😂😂tuko pamoja
Cwezi kulala humo hata bure
🤣🤣🤣
Never siwezi hata bure
Mm nikifka hapo siwez kull
Kiukweli ni laha sana namm nakwenda
Mh ngoja nisome koment tu
Iyo apana kabisaa siwezifika
Ata Hilo boat Mimi sipandi kabsaaa,mungu aniepushe majanga hayoo🙉🙉🙉🙉🙉🙉
Bei gani kwa siku 1
Duh!! Mie siwezi lala hata kama ninalipwa
Yaani samaki unawaona live bila chenga😀😀
It's amazing katumia mechanisms zipi kujenga na je wimbi la bahari likija Hari inakuaje apo
Hahaha.
Halafu Ayo ungetutafsiria muarabu wako amesema nini😄
Nasikia GHORFA TAHTA LMAI MAA MAUJUDI FIY OMAN WA HADHA AWAL MARRA ASHUF HADHA sijui ndio nini amesema😄😄😄🏃🏃🏃🏃
@@swaumdodoma7591 Nitafsirie.
@@swaumdodoma7591 bobo ndio wapi?
@@swaumdodoma7591 Niko nje ya Africa lakini nyumbani TZ.
@@swaumdodoma7591 Boboo japo unasema kuwa ipo TZ lakini sipajui ila kule nchi jirani KENYA kuna mji unaitwa KAKUMA! Kwahiyo inawezekana kukawa na mahusiano
baina ya miji miwili hii🏃🏃🏃.
Julianne deep Sea.
AyoTV wanamaswali yalioenda shule mashallah
Tabarakallah
Nishawahi kuenda na family yangu mallah
Mashallah
@@salhidasuleiman6202 mmmh
hayo ni maeneo ya washirikina
hiyo ni hatari mnooo
Maajabu hayo et nyumba chini ya maji mimi nsons hiyo n miujiza natamani siku moja nitembelee hiyo sehemu
Gorofa heluwa wagidi mashaallah
😀😀😀🇴🇲Heiwaaa ana shufii heluwaa
Ila wazungu wanapenda kumchefua Mungu anaweza kuwaletea gharika wasiamin
Wenzao waribadirishiwa rugha Sasa subiri wao MUNGU akikasirika
Kabisaaaaaa umenenaaaa
Mwanadamu ana akili nyingi sana,Mungu alizo mjalia
Kwa jinsi navyoogopa maji,Hata kwa buku 2 siwezi kulala hapo
Mimi ht bule silali
🤣🤣🤣
Hela hela zinasababisha tuuwaneeee
Naombeni number zenu
Nipo Kilosa huku najichanga nije huko dadeki
GO EAST GO WEST----AYO TV IS THE BEST.
Ukiwa na pesa hakuna unachokosa na kushindikana
Afya baba hela inagonga mwamba
Pumzi
Silali humo hata kama ni bure kwanza usingizi sintaupata kabisa
Kwer
Mnao sema hamuwezi kulala wote hamna hz pesa za kulala hapo
Ndugu mimi masikini uwezo hata sh 20,000/= sina ila hata kama nimepata msaada sisubutu mimi muoga sana na maji weeeee
@@fatumakambangwa2915 kubali huna km unayo ungeenda hvy hvy na uwoga wako
Mimi kwer choka mbaya ha sh 20,000/= sina ila hata kwa msaada silali mimi na maji hapana chini ya bahari mmmmm uko juu na boti naendaga basi sina jinsi niingie chini weeeee siwezi
@@fatumakambangwa2915 bc waache wanao weza
Ni kwel Bi khadija pesa hana ndio maana
Wenzetu SA na Ulaya zipo "Under Water Room" zipo nyingi tu.
Nanga zake ni makini haiwezi kupinduliwa.
Nathamini uhai MUNGU alio nipa siwezi ingia humo hata mkinipa dhahabu zimejaa pipa.
Sunami vipi
Hata kwa bure siwezi kulala 😂😂
Labda kuingia na kutoka basi 🚶🚶
Tuko pamoja
Meonae
😂😂😂😂😂
0:42 mimi siwezi kufa kwa presha looh,,naona kama nitakua nafata kifo walai siwez kulala apo
Inanikubusha ile sub marine iliopasukia America.njia ya kuingia chini ya ogopesha sana juu ukiteleza itakuwa je?hata nikalipwa niende pale siwezi.wenye waliandikisha historia kama Dedan kimathi,Mandela hawako.
Michepuko mko wapi mnipeleke chini ya bahari nikainjoyi
Hapo siendi kabisa mimi duuuuh,ata usingizi hauji kwanza,
Kuzinga liwa ni majini tu viumbe visivo na urafiki wa binadamu
Ni mandhari nzuri lakini silaliiiiiiiii.......
😂😂Unaogopa mbona pazuri sana
Jeeeee wagen ni million 4 na lak mbil jeee kwa wat wa ndan ni bei ndooo hy hvy au
Ata Bure siwez lala