Hongera Sana Kingwendu kwa kukimbilia Kanisani Hawa wanaokuponda waache usiwajibu maana wangekuona unaingia kwa mganga Wa kienyeji wasingekusema hivo Shikilia Imani yakoo Kingwendu Nabii Ni Mtumishi Wa MUNGU na tumeona akiwafufua waliokuwa kifoni Hawa wanaokuponda hawajui wafanyaloo
Mnaoongea vibaya kuhusu nabii nahisi mmechoka hamna jipya mnaongea Sana na nahisi mkipewa hela hamuachi shida ya wabongo mkiwa na njaa mnatapika Sana mwacheni nabii Mkuu apige kazi nyie wenye maneno mkifa mtaacha urithi wa umbea hauna faida mnaudhi nyie
🎉nabii Mkuu umeupiga mwingi waache waongee bado hawajathemaaaa . Injili mbele kwa mbele🎉
watanzania hawana jema Wala shukrani na km unaona nabii humtaki pita na yako tunaomkubali mtuachie jaman tunampenda then tunampenda tena na tena 🎉🎉🎉🎉
Hongera Sana Kingwendu kwa kukimbilia Kanisani Hawa wanaokuponda waache usiwajibu maana wangekuona unaingia kwa mganga Wa kienyeji wasingekusema hivo
Shikilia Imani yakoo Kingwendu Nabii Ni Mtumishi Wa MUNGU na tumeona akiwafufua waliokuwa kifoni
Hawa wanaokuponda hawajui wafanyaloo
Yes, angeenda kwa watchdoctor watu wangempongeza
Umepewa sh ngapi kingwendu
Uko sahihi sana
Hahahaha 😂😂😂😂 ukisema akupendinga anakupa ndinga nakukubali sana kigwendu
😅😅😅😅😅ety viungo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣kingwendu okoka mjue mungu vizuri ,acha mzaha ndinga kitu Gani Bora umtafute Mungu utapata zaidi yandinga , nafikiri umenielewa
Iyi njaa bwana 😢😢😢😢😢
Savi Sana gd
Hiz hela, Kingwedu ogopa dhambi
Kumbe huyu kingwendu mkristo
Big up kingwendu
Kweli nambii anabadiriha wtu wengi
kaka kingwendu ulifanya vizuri kwenda kabisani kaka
Njaa inakupeleka motoni
kwani.mkisema.mmeanda kuomba shida bongo movie bana kkk
Safi sana kingwendu umejibu kwa hekima na akili sana
Mr geode vie you are a real prophet we are very Happy all the world are listening and watching you thanks papaaaa
We kingwendu acha ujinga kazi yako ni maana sana kuliko kusifia mambo ya upumbavu hujui Siri iliyopo mungu ndiye ayejua.
Kabisaa ana zingua sana
Hakili ikijaa kufkr uovu utaona kila jambo ovu ach nabii apige kaz
Mikono might umepewa na unakitu chakukupatia rizki tamaaa atakuja kujuta hy pesa za bureeeee du kuna siri
Nakuku bari sana nabimuku
Hatua ulitoichukua inafaa MBELE za Mungu.Mungu amekujibu yale yaliyokuwa hayawezekani .Songa MBELE mtu wa Mungu 11:45
Kingwendu umekosea sana hakuna nabii tena baada ya mtume mhamadi s. A. W. Mlejee mora wako halaka sana mtake msamaha atakusamehe
Kingwendu upo sahihi
Mlevi huyooo
Viongozi wa dini Africa inatupasa kuiga utoaji kwa jeodevi
MTUMISHI WA SHETANI PESA ZA SHETANI ZITAWATOKEA PUANI POLENI NJAA ZITAWAUA
I like to communicate with you I don't know how can I reach there to your church please how and when
Daaah bonge la Baba full midevu eti nabii pumbavu zako njaa mbaya fanya KAZI 😂
Halafu wasani walokwenda kwa huyo wanao mnyenyekea wte ni comedians/movie's,aaise njaa mbaya Sana unaeza roopoka..yy ndioo hajitambui
Dadekii njaa iziii
Nabi Mukuu kwa nani akapewa cheo nanani?
Hiyo kingwendu ni wa dini gani kwanza?
Tamka kwa kinywa chako unachotaka kwa nabii geodevie kuliko povu jingi
Duh
Sasa huyu nabii ana wasaidia wasanii tu😂😂
Wew acha ujinga kubwa Zima ovyo njaa inkupeleka pabaya wewe matatizo Yako peleka Kwa mungu mshamba wewe
Lazarofondation usikateetamaa songambele
hakuna kitu kibaya kwenye maisha kama ukishndwa kuikontroo njaa Yako ndio mana watu wanaliwa kiboga tamaaa
Umeona eee😂😂😂
Kabisaa n kwel njaa izi dadekii
Pole sana
😊😊😊😊😊😊
Kingwendu wwe dishi limeyumba coz unajichora imana dhaifu ivi uislam na Nabii mkuu nwapi na wapi njaa ni miongoni wa mitihani. Subra muhimu kingwendu
Kingwendwe tubu wewe kenge tu nilikua nakuaminia sana kumbe kenge tu huna lolote nguruwe mweusi wewe
Kingwendu ilkua nkikukubali lakini nshakukataa Njaa mbaya sanaa...😂😂😂😂
Huyu siyo mtumishi wa mungu soma maandiko utajua huyu ni mtu anayemwakilisha nani.
Innaalillah wa,innaa,Ilaih raajighun
Huongo huongo kigwnd ACHA
Naitaji kunisa saidiya
Master k njaaa inakuhusu
Mnaoongea vibaya kuhusu nabii nahisi mmechoka hamna jipya mnaongea Sana na nahisi mkipewa hela hamuachi shida ya wabongo mkiwa na njaa mnatapika Sana mwacheni nabii Mkuu apige kazi nyie wenye maneno mkifa mtaacha urithi wa umbea hauna faida mnaudhi nyie
Muze wambiye mambo yanabi muku nibabawababa uyonabiwaukweli
Kuna msanii aliimba umasikini huu umasikini huu utaisha lini ×3
Mlevi wakawaida huyu kingwendu
Njaa mbaya sana yaani eti anakubali mtu ni nabii wakati yy ni muislam abadilishe tu dini.
Njaa mbaya Jamani 🤔🤔🤔
Hizo ndinga zitawatoa roho,
Namba musanda wakonabi wetu natesekasana
Umechoka kingwendu njaa inakupeleka bapaya
Jahili mkubwa huyu mzee hajuii dini nabi na mtume wa mwisho ni Muhamad S.A.W nabii muongo Subjanala
Nyie washika dini badala ya Mungu, kitu gani kinawauma baada ya Kingwendu kwenda kwa mtumishi wa Mungu, unesaidia watu wangapi hapo mtaani kwako?
Inamtaka utapata tuu
Na mm nitafika one day, namuamini
😂😂😂😂
@@venitarugemalila9290
yaani nasubiria nipate nguvu ya kurikodi nimeandika nyimbo nzuri sana.
ASTAGHFIRULLAH
Njaa bwana kiboko
Duuu kwaiy iyo kaz yako yakugawa tako ishakushinda unapeleka mkundu arusha duuu
Jinga wewe,njaa inakusumbua
Njaaa zitawaua nyie
😢😢😢😂😂😂