PASTOR EZEKIELI WA KENYA AMUWASHIA MOTO GEORDAVIE KUPANDISHA MAMISI NA WASANII MADHABAHUNI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ค. 2023
- PASTOR EZEKIELI WA KENYA AMUWASHIA MOTO GEORDAVIE KUPANDISHA MAMISI NA WASANII MADHABAHUNI
Tafadhali tufatilie kwenye mitandao mengine ya kijamii kwa jila la Msomi news...
Napenda pst ezekiel vile unavyo hubiri God bless you ❤
Uko vizuri Pastor shida watumishi wengine wako kimwili zaidi kuliko kiroho,huwezi kuchanganya mambo ya Mungu na ya dunia,huwezi kufanya hekalu la Mungu km soko au mahali pa michanganyo,sasa hapo anahubiri Yesu au anaubiri muziki wa kidunia?Mungu amrehemu
Uko sahihi kabisa Mtumishi wa Mungu, walio katika mwili hawataelewa ila walio katika Roho nadhani wamekuelewa Sana, Mungu azidi kukutunza na uendelee kuyanena maneno ya Mungu kwa ujasili
Wewe nimtumishi, uyo Dev sio mtumishi wa Mungu aliyeumba mbingu na nchi, uyu mtumishi ni wakara wa sheitani.
Watumishi jitaidi kuwajua manabii wa uwongo na wakweli, utamuitaji wakara wa sheitani kusema ni mtumishi wa Mungu
That's true pastor.
Hallelujah 🙏🙏🙏 umesema ukweli mtubu kwa sababu ukiangalia hizo video mwanadada atembea mbele akiwa uji nusu
Roho ipi
Hakika mungu unibariki sikuzote hunipa uzima Asante mungu piya naomba unibariki zaidi sikumoja niweze Toka Tanzania nifike Kenya katika nyumba Yako mungu inayotumiwa na huyu mtumishi wako Ezekiel ni imani yangu🙏 Amina🙏
Ubarikiwe mtumishe Ezekeli
Huyu Pastor Mungu ampe siku nyingi za kuishi na zenye furaha chini ya jua akizihubiri habarii za Bwana
Nabarikiwa nawew pastor wangu mungu akutunze maelfu ya miaka
Pastor Ezekiel Watumishi wote wa Mungu wakusikie na wawe kama wewe, uko vizuri sana pastor Mungu akutunze
MaPastor wote hawwezi kuwa kama ezekiel kila mtu ana mwito wake.kwa mfano ezekiel anavyouza maji na vitamba,Mchungaji mwingie hawezi
@@praisehappiness8312Hilo neno analoongea wasikie na wazingatie
uko rohoni sana mchungaji kutoka Kenya umejibu vizuri 🎉🎉🎉🎉❤
Madhabahu ya Goege David haimuhubiru Yesu Kristo wanazareti definitely So, yanayoendelea hapo nisawa tu
Merci excellence pasteur pour tes conseils afin d'hériter la vie éternelle depuis DRC( Lubumbashi)
Very true, man of God
Pastor Ezekiel Mungu Akubariki sana.nitakuja Kenya.
God bless you pastor 🙏
Truly said man of God. Educative.
Dah Mungu atusaidie mkewake anapitia changamoto sana basi tuu anashindwa afanyaje. Mchungaj G hapana kwakwel
Amen watching you from Zambia Lusaka 🇿🇲
Hiyo siyo kanisa ni sinagogi la shetani ,Wala usimumunye maneno.Amen
@@magretomondi8312haitaji kutumia akili sana , Yesu alisema utawajua kwa matendo Yao kama ni washetani au wana wa Mungu
it's very true man of God
Nihatari, heshima ya Mungu imepewa mwanadamu
Waana wa ULIMWENGU huu, watakubeza!! Ila tunaoipenda Mbingu, tunakubaliana 100% na wewe!
Naitwa james anton nipo tz mchungaji ukweli mungu akuongezee baraka ktk huduma zako zote zaibada nk,ubarikiwe pamoja na sis amen
Aminaaaa
Amen sana mtumishi Bwana aizidishe hekima ya utakatifu ulionao
Me too isay may God bless you so much man of God
I got you pastor
Mungu akutunze pastor kwa kusema ukweli
ubalikiwe pastor ezekiel kwakusema ukweli Mungu akuongezee nguvu zaidi
Ameen pastor ubarikiwe sana mungu azid kukueka zaid na zaid ameeeen naiwe ivyooooo kwa jina la yesu
Uko sahihi mtumishi Mungu akubariki sana
God bless you pastor.
Ubarikiwe Mt...
Emen barikiwa Baba
Kwa dalili nyingi, zinaonyesha Geordavie amepoteza mwelekeo.
Sema ukweli pasta napenda nije kuimba kwako mwimbaji naitwa Obadiah Jackson toka tanzania
Amina baba ubarikiwe sanaa baba
Kweli Amezidi sana anapiga bongo flavor kanisani😱😱😱 Ni hatari sana
Amina baba umeogea vizuri sana pasta ezekili
Asante sana baba yangu.Mungu aendeleye kukutulindiya
Uko vizuri mchungaji,Mungu akutunze
Sawa Kabisa Mtumishi wa Mungu, huo ndiyo Ukweli Kabisa, Kabisa.!
Mungu akubariki sana pastor umeeleza sahihi kabisa uje na tanzania
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu nakuombea mema kama ww uniombeavyo mema Ichi za ugaibuni Aki ww Mungu alikutuma Kwa makusidi yake Be blessed dady
God bless you man of God
Huyo godevi mpuuzi tu , hajitambuwi siku zote Giza na Nuru havifungaman, hyo ,ama abudi miungu sio mungu, mungu ampe mocho yarohon,
God bless u .. Big Postor
Asante Prophet Ezekiel
Ubarikiwe sana Ezekiel
You speak the truth
Ev. Ezekiel ubarikiwe sana!
Geo dave aombewe rehema. Kamuacha Mungu zamani
Nabii WA uongo aliwahi Kua WA ukweli. Geordavie ashakengeuka
Amen barikiwa Sana Pastor huko sahihi kabisa YESU Azidi kukutunza
Mungu anipe piya nafasi nimtumikie kwa roho na kwa kweli kama wewe BABA YANGU EZEKIEL
Amen Pastor Ezekiel
Neno zuri mchungaji, hello from Dar es Salaam
Pasta Ezekiel, asante kwa mwongozo mzuri ktk jambo hili. Swali; ikiwa yuko msichana katika kanisa na anatumia uchawi ili aweze kuzini na mvulana wa kanisani nini kifanyike
Mungu akutunze
God bless pastor 🙏
God bless you pastor
Mungu wangu tuhurumie
Mungu akubariki Ezekiel
Neno sana
Barikiwa Pastor
Amina pastor Ezekiel Amen 🙏🙏🙏
Mungu akumbariki sana pastor
Mungu azidi kukuongezea hekima mtumishi
Ubarikiwe
amen pastor
Hakika mtumishi wa Bwana Yesu sisi ndo wa kuigwa na kufatwa na sio sisi wana wa Mungu kuwafuata wao
Wenye macho wanajua kuwa hii ni agenda ya shetani,tatizo sisi binadamu hatujui majira na nyakati, haya lazima yatokee ili kuyatimiza mandiko maana kila kitu lazima kitokee ili YESU KRISTO arudi ila ole wao.
Kabisa
Amen 🙏
Kweli kabisa pastor wangu
Ila jmn tuwe wakweli mtumishi unaweza weka mambo umiss madhabahuni?
❤❤barikiwa sana mtumwa wayesu🎉🎉
Educative talk.
Uko sahihi baba yangu Mungu akuweke
Kweli kabisa pastor 🙏🙏🙏
Dunia ni dunia na ufalme ni ufalme wa Mungu kwanini tufanane na wadunia ndani ya kanisa Mungu akubariki mtumishi wa Mungu sana
Asante pastor Ezekiel sema baba
Daaaah shida sana...Kanisa limevamiwa .
Barikiwa saaana
Hii kitu sio sawa jmn,wenye dhambi waingie kanisani abadilishwe sio kuishi na dhambi zake ndani ya kanisa
Mafunzo unayofunza yako sawa mtumishi wa Mungu Ezekiel.
Mungu akutie nguvu zaidi.
Mungu akutunze nakuelewa sana
Mmmmh ni wakati wa kumutafuta MUNGU kuliko chochote shetani anadanganya watu na manabii wa uongo ni wengi mno
Uko saa ii man of God🙏🙏
Uko sahihi mtumsh wa mungu
Jamani mathabahuni mamisi ni wa nini jamani. tutawatambua kwa matendo
Great projection....
Amina
Nakupenda sana pastor
Mtumishi upo sawa kabisa tulitoka wapi na tuenda wapi
True
Truee baba
Huo ndo ukweli kabisa hujakosea mtumish Asante
I support you pas
Asante baba yang wa kiroho
Daaah roman catholic hatunaga huu usenge 🙌🙌🙌🙌
Very true
Hii kanisaaa😢😢😢😢
Be blessed our true man of God❤
Well spoken
Duh sasa hii ni kanisa ni wapi ? Mtu kavaa nusu uchi halafu anasimama madhabahuni duuuuh!eeee Mungu kweli siyo kila asemaye bwana bwana atarithi ufalme wa MUNGU
Hatariiii.