Fala sana. Huyo Geodavie 2008 ana motorcade kama ya rais we unasema alikuwa hana pesa?!! Hili chizi benz mnalipa sana airtime linajifanya kama lina akili. Halina lolote. Linasaidia alafu bado lina jeuri. Makabila ya pwani yana shida sana.
Haujaelewa, yule mchungaji mtoto wake aliyekufa ndiye aliyekuwa hivyo, yani hakuwa na kitu kipindi hicho Chidibenzi anatamba, na hata wao ndiyo waliomkaribisha kwenye ulimwengu wa mziki alipofika Dar. Chidi aliyaeleza hayo mbele ya baba yake pale kanisani.
Nyie waandaji habari au watangazaji jipangeni pindi mnapo fanya mahojiano na ujue mtu unaoe hojiana nae na muulize maswali ya msing sio kwa kufuata upepo wa story za mitandao icho kichwa kakosea ajawatukana 😢
True kabisa hizi media siku hizi huwa hawana content wanapofanya mahojiano na watu maarufu zaidi ya kuongelea pesa na mahusiano ya watu. Yaani pesa imemeza kabisa uwezo wa kufikiri wa vijana hawana vitu vingine vya msingi vya kuhoji!
Nabii analindwa na Mabaunsa kama Shetani Diamond na hata uombe kupeana mkono nae hakuna ruhusa mpaka atake mwenyewe, hii ni ishara kuwa hawa watu ni wahuni tu kama wahuni wengine wa mjini hakuna cha Unabii wala Utumishi wa Mungu ni wasaka tonge tu, Mtumishi wa Mungu ni viongozi wa dini ya haki katika uislamu hawana mabounsa kama hao na wala hawadhuriwi na yeyote coz hawaja mdhulumu mtu yeyote na wanaishi maisha ya
Huyu siyo Fara mnavyo zani, Yuko sawa Sana na Nina muombea Kwa Kristo amurehem, ndioma kila siku uwa nasema Hawa watangazaji wetu uwa awajui kumuoji mtu......watangazaji jifunzeni mna aibusha ntasinia
Mnaoona mtangazaji kakosea kumuhoji mngepewa nyie nafasi ya kumhoji chid mngemhoji nini? Acheni kumpamba chid mavi mavi. Watangazaji hawajakosea popote sema tatizo ni hawa wasanii watumia madawa kama chidi wanapenda kujiona sana. Ndio maana hana ata kitu japo anajua kuimba chizi tu huyo
we chidi acha ufala we kenge umeenda kuomba hela halafu unamyea alokupa hela..acha zako wewe kabla hujawa supasta huyo nabii alokupa hela alikuwa supastaa na hela kabla yako, acha bangi we kenge kuwa na shukrani, mimi sio shabiki wa huyo nabii ila uwe na shukrani hayo madawa yatakufanya mbaya mda sio mrefu, umefata hela ndio acha kubwajabwaja ba umepewa ndio maana ukaichimbia haraka mfukoni bila aibu😂
Makanisani wanatumwa sana majambazi kuwadhuru watumishi km hujui fatilia. Na wanaotuma ni upande wapili kosa ni kupokea waumini wao, kama Bulldozer kaondoka na kijiji jamaa wana mind na ukiacha bodyguards msafara wake una polisi, yule sio mjinga kufanya hivyo keshaingia vita ya kiimani na uchumi, wengine wanaponda mafuta ya buku wao wanauza 4000 hiki nini sasa? Kwanini msiwe na amani km kipindi cha Yesu alokua akisali Synagogue ambayo ndio misikiti siku hizi. What went wrong? 😂😂Anyways peace!!
Chid benzii wewe sio mbwaa wewe Ni umbwaaa! Ng'ata wote wasio jua namna ya ku interview
Kule sio kanisani chid ni kiosk kile ama kilinge cha giodev
Tatizo waandishi wa habali mnaferi Sana unaniuliza mswali gani hyo yauchonganishi shenzi wewe😊
Khhaaa chidi anamnyea mzee wa wangu
Fala sana. Huyo Geodavie 2008 ana motorcade kama ya rais we unasema alikuwa hana pesa?!! Hili chizi benz mnalipa sana airtime linajifanya kama lina akili. Halina lolote. Linasaidia alafu bado lina jeuri. Makabila ya pwani yana shida sana.
Haujaelewa, yule mchungaji mtoto wake aliyekufa ndiye aliyekuwa hivyo, yani hakuwa na kitu kipindi hicho Chidibenzi anatamba, na hata wao ndiyo waliomkaribisha kwenye ulimwengu wa mziki alipofika Dar. Chidi aliyaeleza hayo mbele ya baba yake pale kanisani.
@@rayisadesigns2646akili zake kisoda ni mlokole uyo
Huyu anatakiwa kujihoji mwenyewe
Nyie waandaji habari au watangazaji jipangeni pindi mnapo fanya mahojiano na ujue mtu unaoe hojiana nae na muulize maswali ya msing sio kwa kufuata upepo wa story za mitandao icho kichwa kakosea ajawatukana 😢
1:03 📌📌📌📌📌📌📌📌
Vijana hatuna ubunifu
True kabisa hizi media siku hizi huwa hawana content wanapofanya mahojiano na watu maarufu zaidi ya kuongelea pesa na mahusiano ya watu. Yaani pesa imemeza kabisa uwezo wa kufikiri wa vijana hawana vitu vingine vya msingi vya kuhoji!
Point kubwa
Nabii analindwa na Mabaunsa kama Shetani Diamond na hata uombe kupeana mkono nae hakuna ruhusa mpaka atake mwenyewe, hii ni ishara kuwa hawa watu ni wahuni tu kama wahuni wengine wa mjini hakuna cha Unabii wala Utumishi wa Mungu ni wasaka tonge tu, Mtumishi wa Mungu ni viongozi wa dini ya haki katika uislamu hawana mabounsa kama hao na wala hawadhuriwi na yeyote coz hawaja mdhulumu mtu yeyote na wanaishi maisha ya
Khe!!😮
Huyu siyo Fara mnavyo zani, Yuko sawa Sana na Nina muombea Kwa Kristo amurehem, ndioma kila siku uwa nasema Hawa watangazaji wetu uwa awajui kumuoji mtu......watangazaji jifunzeni mna aibusha ntasinia
Watangazaji wengi shule hakuna
@@kwisa4899 kuna shule na kuna uwezo wa kufikiria...naona kama vyote hakuna vile, ngoja nipite kushoto
🎉
Wataka kila mtu aongea local pesa pesa ,mahusiano !..ukiongea more intelligent wanakuona kama unatumia kama madawa😅
Chidi ni chiz kwann mnamlazimisha kuongelea masuala ya simba na Yanga??
Juzi mmemtetea akifanya Ile behind the scene hapo kanisani na nabii wenu kuhusu ngoma yao Leo tena mwamtukana, tuwaelewe vipi, enyi wafuga kunguru.
Watangazaji wa hovyo kbs kwann amjamuhoji kuhusu marehemu Nisha alimjuavp, nyie wootee pesa pesa hivotuu jmn hovyo kbs!
Shida ya vyombo vya habari siku hizi vipo kwaajili ya skendo tu na sio kingine
Mnaoona mtangazaji kakosea kumuhoji mngepewa nyie nafasi ya kumhoji chid mngemhoji nini? Acheni kumpamba chid mavi mavi. Watangazaji hawajakosea popote sema tatizo ni hawa wasanii watumia madawa kama chidi wanapenda kujiona sana. Ndio maana hana ata kitu japo anajua kuimba chizi tu huyo
Daah kapewa kibunda alf ajarizika labda kaona ni ndogo kuliko alivo tegemea
ni kweli mzee..jamaa alitegemea kupewa hata ndinga kama wengine🤣
Hahaaahaaa
kipofu au
Mbona interview zenu vipande vipande aisee
Ndo washapigwa za uso na chidbenz sasa wawezaje kuitoa full interview itabid wa stop tu
Pesa mguu pesa mguu .... 😅 Ask vitu vya msingi
😅
we chidi acha ufala we kenge umeenda kuomba hela halafu unamyea alokupa hela..acha zako wewe kabla hujawa supasta huyo nabii alokupa hela alikuwa supastaa na hela kabla yako, acha bangi we kenge kuwa na shukrani, mimi sio shabiki wa huyo nabii ila uwe na shukrani hayo madawa yatakufanya mbaya mda sio mrefu, umefata hela ndio acha kubwajabwaja ba umepewa ndio maana ukaichimbia haraka mfukoni bila aibu😂
Wewe Acha ujinga unamtetea muabudu shetani mkubwa jodev NI wakala wa kuzimu
Ndomana anamabodigad
ukisoma kwa makini utanielewa mimi nimesema sio shabiki wa huyo nabii freemason ila ninachosema Chidi anazingua awe na shukrani
Chid ni legend sematu wa tz wengi Wana dharau wamefocus kwenye mapungufu yaketu ubora wake hamuuoni Tena wanafiki
Duniani kuna nabii miaka hii?
Huyu kijana fala hata wanao muhoji nao wote nisawatu
bra kam unaakil chid kwel anamapungif lkn kaongea point security wann kanisan wakat nisehem ya ibada yup M. MUNGU
Sasa wew deo mamlaka yaoi yanakuruhusu kutukana? Au ndo shetan amekutawala sana
Hiyo 2008 Geordevie alikuwa anakusanya Arusha nzima kisongo
We unaongealea ukanisa
Mskitini hakuna bodyguard
Uwatoe wapi
Jmn alienda kutoa pole ya msibatuu babaake na marehemu akampa hela ya chakula shida nn hapo jmn!?
Makanisani wanatumwa sana majambazi kuwadhuru watumishi km hujui fatilia. Na wanaotuma ni upande wapili kosa ni kupokea waumini wao, kama Bulldozer kaondoka na kijiji jamaa wana mind na ukiacha bodyguards msafara wake una polisi, yule sio mjinga kufanya hivyo keshaingia vita ya kiimani na uchumi, wengine wanaponda mafuta ya buku wao wanauza 4000 hiki nini sasa? Kwanini msiwe na amani km kipindi cha Yesu alokua akisali Synagogue ambayo ndio misikiti siku hizi. What went wrong? 😂😂Anyways peace!!
Acha ufala wewe mwehu njaa kali nabii anayo hela kitambo sana
Hujui lolote
th-cam.com/video/ouYAcZJtItk/w-d-xo.htmlsi=wHHRICKdPl4swbdN
Umeona hii duuuh