Aliyedaiwa KUCHEPUKA na NABII GEORDAVIE Afunguka/Nampenda sana/SITOMUACHA/Alinipa HELA"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 26 พ.ย. 2022
- Mwanamke ambaye amedaiwa kuvunja ndoa yake kisa Penzi la Nabii Mkuu Geordavie afunguka ukweli wote juu ya mahusiano yake na Nabii huyo. Mwanamama huyo alichora tattoo ya Geordavie mgongoni amesema kuwa hajawahi kuolewa na hana mahusiano ya kimapenzi na Nabii huyo ila ni Njama za watu za kutaka kumchafua Nabii Geordavie
...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram rickmediatz...
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------
#GeorDavie #NabiiMkuu - บันเทิง
Pole Sana dada yangu Mungu akusaidie,usimwabudu mwanadamu Bali Mungu pekee kitendo hicho ni sawa na Ibada ya sanamu,
Amini MUNGU MWENYEZI pekee ,usiweke imani Kwa binadam, binadam nimipita tuu, GOD is forever
Walawi 19: 28 “Msichanje chale yo yote katika nyama ya miili yenu kwa ajili ya wafu, wala MSIANDIKE ALAMA MIILINI MWENU; mimi ndimi Bwana”.
Kwani huyo ni mlawi? Hilo andiko lina wahusu Walawi makuhani
@@pastor_mashimo kwa hiyo kumbe hata "waraka wa mtume Paulo wa warumi nk" Haziwahusu ??
Bibli yote itakuwa hatuhusu kama ni ivyo kama maandiko ni ya walawi,wayunani,warumi waefeso etc
Utajua mwenyewe.
@@pastor_mashimo
Kwaiyo Yesu ni wa waisrael pekee?!
Nyakati za mwisho . Maajent wa kuzim wako kazini.
Nabii ukimsifia tu anakupa pesa, naona mama kaangalia fursa
Mgodi unatema
Ulinzi wako ni mungu sio nabii utakuja kufa vibaya wewe unamuacha mungu unafuata nabii amelaaniwa amtegemeaye mwanadamu na moyoni make amemuacha mungu
Mwandishi uko vizuri, umembana mpaka kaingia kingi akawa anashimdwa hata kuongea, huyu mama mcharuko, wee angalia kwanza alikuwa anachepuka na mme wa mtu, yaani anawatia watoto wake aibu sana, just imagine lamda watoto wake wako vyuoni au shule watajisikiaje wakiwa na wenzao wanaposhuhudia uchafu huu ? mama anaonekana beautifully kumbe chenga tupu kichwani.
Tubu mama mapepo yameisha kuvaa
Hawa ni waovu kikundi cha makafiri
Huyu mama hajielewi
Mungu atusaidie afumbue macho ya watu Kama Hawa wanawatukuza watu wanamuacha aliyewaumba watu hawa
Unapataje ulinzi kwa jina la mchungaji wako?? Jina linalotupa ulinzi ni jina kuu lipitalo majina yote nalo ni jina la Yesu Kristo! Ni jina pekee lipitalo majina yote
Mungu hakutaka tufanye Mapenzi yetu Bali katika Sala alisema tufanye Mapenzi ya Mungu sio ya nafsi zetu, hapo hapana.
Mama kwakweli Mungu akusaidie akupe kuijua kweli kifupi tu. nikiongea sana ntakufuru Mungu.
Huyu mwandishi ni kichwa sana anajua taaluma ya utangazaji na anajua kipi haulize swali
innalilah wainna ilayh rajuuni.pesa hizi tusipo kuwa makini nazo.zinaweza kukuzalilisha na zikakutengenisha na mungu.
😀😀😀😀😀😀😀
Makafiri
1. Tutakuaminije km hujawahi toka na Mchungaji huku umekiri aliyekuacha ni mume wa mtu yaani ulikuwa nyumba ndogo
2. Mama hata km watoto umewazaa wewe siyo sawa unawatia aibu especially wamesha vuka 18,20🤔huoni utafanya watoto iwaathiri psychology ktk maisha yao? Stop being selfish kwakuwa umewazaa.
3. Mama umri huo ujui taoo ni dhambi dini zotee sorry mama umechachukaa saana nawaonea huruma wanao🤔
Wamama weng tu ni selfish 😭😭😭😭sijui kwann yan
Pole mama..maongezi na umri wako na vitendo haviendani...duu makanisa haya yanatupeleka Kasi...
Amesha miminiwa sumu na nabii wake, huyu bimkubwa yuko mapenzini na nabii wake...hizi zama za manabii wa uongo zilitabiriwa.
Mathayo 7:15
Nyumba yako inalindwa na jodeli au yesu au mungu mkuu.kweli utoto huu
Kiatu cha mke wa nabii siwezi kukivaa hata kwa mangumi siwezi ona huu ujingq ninyqmaze ningeamkia magereza🙋♂️😫
Yaani Binaadam mwenzko amekuw nd mlinzi kwako kuliko Mungu aliekuumba dah!! Mtihani kw kweli
Mama Hongera!
Nabii Joe Davie Hongera
Kila siku nasema mungu nisaidie mm ad siku utakayopenda kunichukua kumuabud bnadamu mwezamu cwez mungu endelea kuishika imani yangu kwako siku ukinipenda zaidi, katika hukumu yangu uniukumu kwa madhambi yangu mm mwenyewe lkn sio ya bnadamu mwenzangu hakika nakupenda mungu wngu wew ndio wakuabudiwa kurko mtu yoyte naomba niendelee kuishi ikupendezavyo wewe.
We dada tatuu Mungu amekataza.kabisa.tubutubu.kwa kuwa hukujua
Kwa kweli kwa umri wako kifupi tunasema umeharibika tabia, kwanza umekuwa ukizini na mme wa mtu kwa miaka mingi, na sasa umeamua kumpenda Geodevi ilihali na yeye ni Mme wa mtu, umeweka Tatuu kinyume na maandiko ili kumfurahisha, Wewe ni mtu wa ajabu sana wala hujitambui.
Geordev ni mwanadam kama Wewe tu hana chochote isipokuwa ujanja wa kujitafutia maisha kwa njia za Jongo na kuhalifu Neno la Mungu.
Pole sana.
Kwakweli hawa watu wako wengi waki hamua kuji tokeza kama huyo uta choka neno lina sema ishini nao kwa akili 😅😢
Biblia imeandikwa, amelaniwa yeye awekae Imani kwa mwanadam
Huna haya wewe mtu mzima ovyo
Kweri kazi yani leo kiongozi wa dini anafulahia mke wamtu kuchora tatoo ya jina lake halafu anampa na hera juu
Mungu nifundishe kunyamaza
Huwezi kuokoka alafu uchore madudu kwenye mwili wako Yesu anasema jikane jitwishe msalaba umufwate
Mama umepotea njia,unaacha mume wako kwa ajili ya mambo yasiyo ya msingi?pole sana mama
Ujatulia wewe mama ni shida
Yaani kwakweli tunahitaji neema ya Mungu,baada ya kumsikiliza huyu Mama sijui nisemeje,maana kumbe na aliye naye si Mme wake amasema ni rafiki,hajazaa naye, watoto wana Baba mwingine, Mungu tuponye hata huyu Yesu ulikufa kwaajili yake mponye na roho hizo zinazo muandam🙏
Huyo ni Malaya wa zamani hamna kitu!!!
Mimi naona huu ni umaskini unamsumbua iili apewe hela na Joe davi
Ni kweli uyasemayo isipokuwa kuhusu kuwa eti Yeso kajifiya Kwa ajili yetu? Yesu hajamfiya mtu. Kila mmoja atabeba mzigo wake mwenyewe. Vipi ukimwi apate mtu mwengine Kisha Yesu ndio apigwe shindano?
Kuna unri ukifika umalaya lazima uache, huyu mama ni Malaya mzee, yeye na huyo shetani mwenzie wanajuana vizuri sana...
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 malay mzee
Ati nabii, ati kuokoka !
Siku ikifika mkijua hampo kwenye njia sahihi, lazima mlie na kusaga meno, Pale Yesu awaambie sijui mtokako.
Kweli mkuu
Waovu hawa
Hatari sana
Huyu mama anachokisema nikweli tupu, Kwa Imani yangu mamangu siku ukifatilia comment hizi elewa kijana wako' mie katka nafsi yangu nauwelewa wangu naimani yangu' nimeelewa huyu mama hamung'unyi maneno yupo sahihi mama nipekupenda Bure unajisimamia na unaeleza kweli kweli tupu, ubarkiwe mama na Imani yangu ukimpokea yesu kama unavyosema, utakuja kuwa bonge la Meinjilisti
Ww ni malaya sana🙌
Olopiga hii interview safi kwa sababu umekuja kwa reference ya bibilia mbona Mather anajichanganya mara kkkt mara sijaokoka du
Mwandishi safi Sana unaijua kazi, umembana Hadi tumelijua dili 🤣
Wewe unayejielewa umefanya nini, acha watu waonyeshe mapenzi yao kwa watu wanaowapenda
Wanamsngizia yesu kwa mambo ya ajabu hata yesu atashaangaaaa
😆😆huyu mama anahitaji maombi na ni mzinifu anakaa na mme wa mtu miaka minne alafu amwita rafiki yake,tena nyumba moja khee Dunia shuka,niteremke 😆😆
Makafiri mnapata taabu saana kumtafuta nani Mungu wa kweli,wengine mnasema Mungu ni Yesu,wengine mnasema Mungu ni watatu,wengine wanasema Mungu ni Bikira maria na vijisanamu na wengine mmetengeneza ng'ombe ndio mungu wenu,Lakini nawahakikishia mtakuja kujua ukweli juu huu Uhuni wenu wa kutomtambua Mungu aliewaumba na kuwapa kila mnachokitumia,Wachungaji wanawapoteza kondoo wao.
Una mapepo Mamy 😭😰😰
Kiukweli huyu mama analake jambo moyoni mwake juu ya nabii. Anajipendekeza sana
Kiukweli Mungu atufunue ufahamu wetu maana pamoja na Yesu kuwa na nguvu za Mungu Bado alikuwa anamuomba baba yake akiwa sirini.
Hapa kwa manabii Hawa sioni maombi ndani yao zaidi ya unabii wa machoni na miujiza isiyokoma.
Mungu ni Roho sio mwanadamu tujue hilo na usijifanyie sanamu wakati yeye yupo.
Tuombe Toba kwa haya yanayoendelea ili Mungu aturehemu watu wa Mungu.
Siku za mwisho tutasikia maajabu hili ni dogo sana makubwa yanakuja.huyu mama ni pepo kamili mtu yoyote mwenye hofu ya mungu hawezi kuchora tatoo kingine hana busara ni mama wa mjini anatafuta kiki kpengine ana biashara fulani anataka ajulikane.
Mama Kwa yesu mpaka mapepo ya uzinzi yanasalimu amri mkimbilie yesu upone
Soma ufunuo wa Yohana 19:16
Ha
Oky mama anatafuta Kiki kwann huyo nabii aside na msimamo maana yy twaweza sema Ana imani kushinda huyu mama yaan nabii anaruka kwa furaha kisa kuchorwa tatuu
@@sharmilaoman6389 Kwenye Iman mtu anaweza kufanya chochote.., Mimi simshangai kabisa huyo mama, kiki anatafutiwa na WATU wanaompost na kumdhihaki.. Wakristu tunaamini Yesu (Mungu mwana) hakuja duniani kukutana na Wakamilifu.. huyu mama kimasihara tuu keshafunguliwa mlango wa mbingu.. Ila binadam watakuwa wanapoteza mda wao kumdhihaki.
Haya Sasa manabii wa uongo waanza kudhihirika waziwazi,anampogeza mama kujichoramwili wakati ni dhambi,lkn hata yeye mwenyewe geordavie kajichubua alikuwa mweusi,dhambi hizo
Kavutiwa na pesa zake. Wanawake upenda wanaume wenye pesa na wanaojua kuvaa
Yn kiongoz wa dini ndo anakulinda badala ya mungu yn wabongo tubadilishwe akiri na hyo mama huenda kapewa pesa nyingi San na hyo nabii wa uwongo
Oooh Ama kwel hizi ni nyakati za mwisho.
Yaaani haya ni majini kutoka kuzimu Yesu tusaidie
Heri wew uliyejua! Wanavaa tu milli ili kuwafanya wanadamu waone dhamb yakawaida na Mungu ni kama anko wao mizaha makanisan ktu cha kawaida.
@@samludo5435kabisa
@@neemaloy889 malaika ni watakatifu sana lakini kwa Mungu hawana ujasili wanatetemeka wanamuheshm na kumuhofu afu mwanadam kweny nyumba ya Mungu afanye mizaha mala awaite wachekeshaji wafanye mizaha umoumo mala a play mizk ya kidunia kanisan kwke hamna kitu apo ni ubabaishaj tu.
@@samludo5435 safari hii shetani amepigwa na kitu kizito @samludo ukweli ni kwamba wanafufuo roho za kuzimu ziwavae watu waone kila dhambi ni kawaida tu, na ukishaona ni kawaida ujue upo mbali na Mungu, ukiwa mbali na Mungu umekwisha, tuwe macho sana
Mimi ni mtu nawaishemu manawake, Nawe pia. Kama una itaji mumu atakae kukuheshimu, niko apa. Im come from Mozambique.
Nimekupenda Bule naomba niwe rafiki yako 🙏
Kuchorana Tena alafu anashangilia wanajuana hao siku za mwisho
Kuchora, kuchora kitu gani, unaweza kuchora lakini usione ndani.. way back mchizi mox
J,Dav kweli habari hii???? Hana Mke????????????Sii angeoa tuu????????!!!!!!!! Watakuwa chama kimoja.
Duh ndo kujiaibisha kwenye media hivi kweli! Nahisi hajui Kama anajiaibisha
Mama mwamin mungu acha uhuni unamwamin nabii mpaka una chora yesu analudi
Geor davie ni shida aache ukikaa vibaya anagonga .
Kweli mapenzi kizungumkuti, kawakana watoto, kamkana Mme wake, kanikana Kanisa lake, kanikana Imani yake. Hamwamini tena Yesu Kristu bali Imani yake ni kwa Nabii Mkuu, penzi limekolea anajiapisha kutomwacha nabii Mkuu Pepo la ngono likimwingia mtu hakuna wa kulipunga.
Umeshindwa kuchota tattoo wakat upo mdogo unaenda kuchora tattoo uzeeni Kwa kutafuta kiki mpuuz mmoja wee
Sasa kama unamwamini huyo mungu wako Geordavie yanini kujisumbua geuka mama umepotea sana wewe
Huyu mama ni maisha tu ingekua sio njaa angeandika Yesu au Mungu. Huyu ni lafiki wa wafanyakazi wa joodev wamegawana zile million tano pole zake huyo mama
Mama MUNGU akufungue AKILI YAKO UPATE kuelewa UCHAWI WA GEOR DAVY , ,HUO NI FRIMASON LIVE KABISAA, , , MUNGU WASAMEHE WATUMISHI WAKO HAWA
Mama muhuni huyu, hata huyo mzee mwenzake kumbe siyo mume wa ndoa, na watoto si wa mwanaume huyo, lakini amekataa kumtaja mwenye watoto inaonekana anazaa na waume za watu.
Wewe si unaona kabisa kichwa chake sio kizuri
MAMA ANAONEKANA WA HESHIMA ILA NI MJINGA SANA....YAANI AMEJAA UJINGA NA MATOPE KICHWANI
Keshaliwaaaa
Aah we mama mjinga Sana huenda mnapanga folen Kwa huyo mchungaj wenu kuchepuka
Nabii naye mkamhoji ili tumsikie kwa mdomo wake. Utukufu wa Mungu upo karibu kuja....
Huy7 mama amejitoa ufahamu kiwango cha sgr..umri huo unachoraje tatoo
Hahahahahaha chuma cha Japan hichoooo😂😂😂. Jua lenda na ukali wake hilooo duuuuh ama kweli kubanana hapahapa kazi ni sasa😂😂😂mama shikamoooo
Mwandishi kichwa
Badala ya kumpenda Yesu unampenda mwanadamu.
Baadhi ya watu wa Kaskazini,inapofika issue ya pasa,huwa wana muweka Mungu pembeni
Huyo 100% kafuata pesa.
Mbona. Kichwa cha habari tofauti n.a. story muandishi uchwara
nyinyinimashetani munguawashulikiye
Mungu akukumbuke
Ulikuwa mpika kiti moto majengo Peters club?
Kwa ufupi hujielewi wewe naachilia damu ya Yesu kichwani kwako pepo liko limekujaa kichwani litoke kwa jina la Yesu umekosa mume watoto hawatakupenda tena sahau
Mtu mzima ovyo
Hapo umemuona mwanadamu sio Mungu
Hiyo mimama ndo mi sugarmummy.
Ndo yanabaka vijana na kuwaambukiza ukimwi
Kkkkkkkkkk dah watu tunachoshwa sana duniani humu
Kiruka njia huyu ,nimjanja anatafuta maisha ya rahisi.nabii siyokweli kaumia ,kafurahi sana kiasi chakusema angetupia imojj ya mtu akikimbia .nakukupa pesa hii imekaaje
Wewe hupendi maisha ya rahisi?
Mwamini mungu ww kimama. ww kimalaya tu
Mungu wangu akukumbuke
Huyu ni adui wa Mungu na mwana wa kuzimu, asubiri ijara yake,
ALISEMA BISHOP SUMBE MANABII WA UONGO WATAJULIKANA
Ukisikiliza vizuri stori ya mama tu ni mtihani mtupu, anaishi na rafiki tu kwa miaka 4, kuhusu baba watoto ni private mmhh..ila muabudu nabii mkuu na muabudu yesu wote kundi moja.....yesu anasema "Na uzima wa milele ndio huo, wakujuwe wewe Mungu wa KWELI NA PEKEE"..
MAJIMAMAMA ya mjin hayo,huwa hayaolewagi wenyewe ni kula Bata tu, wanapoint sehemu zenye pesa tu,hawaangalii ni mume wamtu wala nabii ukijichanganya tu wamekunasa
Huyu hana haja na neno la mungu Bali ana haja na huyo nabii tu anampenda nabii jamani ameamua kuvunja ndoa yake ili aishi na nabii Huyo mvunja ndoa za watu ni hatali sana Huyo mwanamke umejichafua mwemn
Harafu unakuta watu wamejaa kanisani kwake wakisema bwana asifiwe nakudhangilia huku wakiimba nyimbo za kumtukuza baba MUNGU wa mbinguni hakika hili linauma sana wana wa MUNGU
Naamini Kama huyo Mama angekuwa amechora picha ya mwanamziki Fulani maarufu au kiongozi mkubwa wa kisiasa msinge sema , Ila kwa Kuwa kamchora mtumishi wa Mungu Nabii Mkuu Goe Davie basi nongwa.
Nasema Tena mwacheni huyo Mama ni mtumishi wa Mungu
Nyie Nani kawapa mamlaka ya kumuhukumu!
Ipo pia cku yakujutia huo ujinga,dada zangu cjui wanadanganywa na nini utu uzima unaingia naona wengi wanapotelea utuuzima
Mama ni mhuni sn,aibu
Huyu mwandishi anaijua kazi yake,media kubwa zaidi ya hapa alipo Sasa inatakiwa kumpa nafasi. Ameweza kubalance maswali na ameeleweka!
Nakubali sana amejitahd mno
Pole Mungu anasema msimtumainie mwanadamu Wala msimwamini mwanadamu niaminiimimi msichotere walawi 19:28 wewe ni mtu mzimaa umepofukawapi macho funguka acha zabr 127:1_5 Bwana asipo ulinda mji wakeshaa wakeshaa bure huyu simungu mlinzi ni Mungu mama Mungu akusamehe toa mahaba kwa na bii pole kwa maamuz yako kumbe nimcheouko ndy maana mahabaa ya meelekea ka nabii pole .watu wangu wanaangamia kukosa maarifa wemama ombatobaa kwa kuchukua mume wa mtuu.Mmmmhh kumbe nikujipatia ulaji.Haya yote yatapita.
Yani unawazalilisha waruthel wewe pepo pia kina mama wote unaonekana wewe ni danga htr
Umemu weka Geordavi kuwa mlinzi wako yeye ni MUNGU?sio kweli wewe mama lpo shida haipo sawa pole yako yesu anarudi Hadi aibu jamaaaaani kweli Dunia imekwisha anatafuta kula
Wanajuana na nabii
Makahaba yote
Wewe hujielewi hapo unamwabudu mtu na umemdharirisha sana mumeo ni njaaa zako tu ungetafuta namna nyingine na unampenda kimapenzi wewe irudie ndoa yako
Malaya na nabii feki mungu atawaabisha mtaona mengi juu yao
KUMBEE MAMA UNA MAKANDO YAKO MENGI SANAA, , HII DUNIAAA
Siku maisha yakinipiga nitafungua kanisa langu( maana siku hizi mtu anakuwa na kanisa lake ,anabandika picha yake na mkewe kwenye kanisa) ili nipige pesa ,nikihubiri kanisani kwangu nyuma lazima kuwe na bodyguard (upuuzi mwingine) ,bank ,account ya kanisa itakuwa kwa jina langu na mke wangu .
Hii inaitwa kutapeli kwa jina la Yesu.
Tatizo ukiruka stage utafanya Mambo ya hivyohivyo...
Fanya tafiti kisha silim
🤣🤣🤣🤣
Ni kweli kabisa ndg yangu hiki kitu kinanikera sana sana, A/C ya kanisa badala ya kusoma jina la kanisa eti inasoma majina yao Mmh! Hatari.... Eeh Mungu tusaidie!
Yaani Kuna watu wanaaibisha sana aisee.
Uyo mama ana jambo rake,Kuna kitu kina muwasha washa,
Umekwisha wewe ulizi wako tauu mungu akuijilie akufunguwe
Huyu ni kafiri ni idhihari yao
Nabii mpenda totoz dah! Uyo jama anakula waumini wake sana🤣
Kbsa
@@GMD820 UWA mnakuwepo chumbani nae
Mchungaji anakula kondoo wke😂
Tatizo ibada nyingi Ni za. kipepo wengi Hawa Oni..hyo KWA jinA la yethu Ina wadanganya Maaana huyu YESU KRISTO WA NAZARETI ALIYE HAI. Hatumiki..Bali Ni Wana KEMEA kwa jinA la huyo yethu. Wao mkuu wa Giza. 😭😭