Acheni kejeli watu wa Mungu. Mbona mwakasege alipofiwa na mwanae wa kiume wa pekee hamkusema kafara. Kifo kipo kwa Kila mtu na Mungu atabaki kuwa Mungu
Kuna kipindi fulani Paulo mtume alikuwa amekamatwa,na kutiwa gerezani. Akiwa gerezani,watu wapatao arobaini hivi,wakainuka kinyume naye. Watu hawa walikuwa ni Wayahudi waliopatana kumwua Paulo. Walipatana kiasi cha kufunga wasile wala kunywa mpaka wamwue Paulo mtume. - Matendo 23:12-16 Inashangaza sana kwa kuwaona watu waliofunga kwa ajili ya kutenda jambo baya,kwa maana tumezoea kuona watu
Someni bibilia kuna Ayubu alipoteza watoto wake 7 wote siku moja hiyo ingekuwa leo mngesema ndio shetani kabisa kaani kwa akili basi waTanzania acheni ujinga una comment ujinga na ww siku unakufa unakutana na Mungu huko alfu ndio utajua
Bro umeongea kwa akili sana watu au media zisikuchoche uonge ujinga kaa kwenye ukweli bro Nabii Mkuu anasaidia watu Mungu ndio anachukua watu wake kwa upendo wake hakuna freemason waTanzania acheni mdomo ndio maana hamfanikiwi
ATA Mimi kweli ni iman upande WA pili lkn kwa KUJITOLEA UYU mtumishi NAMKUBALI sana sana.. kama Kuna heri ya mungu kweli imuangukie TU palipotoka. Alipotoa
Sasa kwani asipake mafuta sife huyoo mzee anakufuru mungu sana ndio.mungu kamuonyesha kama allah mkumbwa sana kwakila kitu duniani hakuna zaidi yake sasa mbona hakumuombe sasa ndio hapo.ndungu muwamke mujee kwenue dini ya haki islamu
Maandalio ya moyo niya mwanadamu Bali jawabu la ulimi linatoka Kwa Mungu,mithali16:1 nikuombe kitu tulia ujifunze nini maana ya Nabii na unabii ni nn huenda baba yetu Geordavie Mungu alimuonyesha hili lakini kama Mungu akisema ndy hakuna atakayepinga na Kila mtu atakufa mpendwa wangu na hakuna watu Wana majaribu mazito kama watumishi wa Mungu kweli hivyo msiseme eti mbona hajamponya sijui na kitu gani Kuna wakati Mungu huruhusu mambo sababu yakuleta utukufu wake,mm namuombea Mungu kupitia hili analolipitia Sasa ukuu wa KiMungu uongezeke zaidi ndani yake na aendelee kutuhudumia watu wengine tunaohitaji kusikia neno la Mungu
Acheni kejeli watu wa Mungu. Mbona mwakasege alipofiwa na mwanae wa kiume wa pekee hamkusema kafara. Kifo kipo kwa Kila mtu na Mungu atabaki kuwa Mungu
Huo ndo ukweli kabsa mkuu, DINGANO ♥️🙌🙌
Meneja dingano umesema vizuri niwakati nasisi kumuunga mukono nabii baba yetu pôle sana.
Tyt
Kifo Ni Fumbo Kweli , Akuna Ajuwaye Kesho Kikubw Mungu Ampe Nguvu Nabii Kweny Kipind Hiki Kigumu 😭😭😭😭😭😭
Well said dingano
Mungu ampe uvumilivu ktk kipindi hiki kigumu. Marehemu mungu ampe pumziko la milele ee bwana mwangazie 🙏 aminaaaaa 🙏
Kuna kipindi fulani Paulo mtume alikuwa amekamatwa,na kutiwa gerezani. Akiwa gerezani,watu wapatao arobaini hivi,wakainuka kinyume naye. Watu hawa walikuwa ni Wayahudi waliopatana kumwua Paulo. Walipatana kiasi cha kufunga wasile wala kunywa mpaka wamwue Paulo mtume. - Matendo 23:12-16 Inashangaza sana kwa kuwaona watu waliofunga kwa ajili ya kutenda jambo baya,kwa maana tumezoea kuona watu
Yani kiukweli ptv mna ukosha moyo wang mkiwa mna muhoji uyu jamaa
Someni bibilia kuna Ayubu alipoteza watoto wake 7 wote siku moja hiyo ingekuwa leo mngesema ndio shetani kabisa kaani kwa akili basi waTanzania acheni ujinga una comment ujinga na ww siku unakufa unakutana na Mungu huko alfu ndio utajua
Bro umeongea kwa akili sana watu au media zisikuchoche uonge ujinga kaa kwenye ukweli bro Nabii Mkuu anasaidia watu Mungu ndio anachukua watu wake kwa upendo wake hakuna freemason waTanzania acheni mdomo ndio maana hamfanikiwi
ATA Mimi kweli ni iman upande WA pili lkn kwa KUJITOLEA UYU mtumishi NAMKUBALI sana sana.. kama Kuna heri ya mungu kweli imuangukie TU palipotoka. Alipotoa
Mnatakiwa mjifunze kunyamaza kweli unamziaki mtu aliyefiwa?Muogopeni Mungu kuwa mtumishi ndio hauwexi kufiwa
Nabii mkuu mna maana gani kwamba ni zaidi ya Yesu au manabii kama Isaya hii heading ni kufuru
Pole nabi geodavie
Aisee umesema kweliii
Jamaa kaongea ukweli usiombe msiba ukukute
Hao wanasema kafa uyo baba anashidagani yakutoa mwanao kafa au ndokipimo chaimani ili aanguke mpate chakuongea
na bii wa ibilisi au
alafu huyu nabii anasaidia uwe mkristo uwe mwislamu, uwe mpagani yeye wote huwasaidia habagui kabisa
🎀
Ding'ano Tamka shahada kabla hujafikwa na Umauti
Mwisho wa mwaka huu kafara lazima ,uyo nabii mkuu sasa kawiva vilivyo kakomaa,
Kwani watoto au familia ya Nabii sio binadamu hata wasife ndo mseme kafara 😅
Kuna uwezekano mkubwa, salum akawa Yuko sawa pesa za shetani hazitoki bule.
mzee katoa kafara la chama chao cha freemason ni kafara tuu huitajika mtoto wa kwanza ukibisha haukijui chama cha mafanikio ya haraka ni freemason
Huyo KAMTOA kafara huuo anita nabii huyo ni frimeson
Kweri bana
Acheni kusema saana, vipofu vya macho, amujuwi Kama nimwisho wamwaka, niwakati ya kutowa kafara, ametowa kafara ku freemason
Wewe nawe umeisha kuwa freemasoni hana majonzi huyo kayatakaa mwenyewe. Kwenda zako msemaji nabii feki nawewe umesha KUA mtumwa wake
Kafara iyo😢
Muogope Mungu hao ni Binadamu pia wanaweza kufa kama wanadamu wengine 😅
Ajakemea roho mauti
Kwn baba yake anasemaje
Kalipa kafara kwawale
Itakukuta tu siku sio nying
Kwani kwenye familia yako watu hawafi? Kwahyo umetoa kafara?
Sasa kwani asipake mafuta sife huyoo mzee anakufuru mungu sana ndio.mungu kamuonyesha kama allah mkumbwa sana kwakila kitu duniani hakuna zaidi yake sasa mbona hakumuombe sasa ndio hapo.ndungu muwamke mujee kwenue dini ya haki islamu
Maandalio ya moyo niya mwanadamu Bali jawabu la ulimi linatoka Kwa Mungu,mithali16:1 nikuombe kitu tulia ujifunze nini maana ya Nabii na unabii ni nn huenda baba yetu Geordavie Mungu alimuonyesha hili lakini kama Mungu akisema ndy hakuna atakayepinga na Kila mtu atakufa mpendwa wangu na hakuna watu Wana majaribu mazito kama watumishi wa Mungu kweli hivyo msiseme eti mbona hajamponya sijui na kitu gani Kuna wakati Mungu huruhusu mambo sababu yakuleta utukufu wake,mm namuombea Mungu kupitia hili analolipitia Sasa ukuu wa KiMungu uongezeke zaidi ndani yake na aendelee kutuhudumia watu wengine tunaohitaji kusikia neno la Mungu
Si anafufua huyu basi afanye kwa mwanae
Nyoko wew😅😅
Alimfufua nani acha unafiki wwe
Mungu amfariji Kwa kipindi hichi kigumu
Mungu akawe faraja Kwa kipindi hiki kigumu.