Kuhusu Zumaridi...ana mental illness, anahitaji msaada. Serikali yetu iiige Rwanda na kuwaokoa Watanzania..Ukristo kwa kiasi kikubwa umekua ni biashara ya vitambaa, mafuta, maji, kutoa sadaka hadi senti ya mwisho na kuongezeka umaskini na injili haipo tena; wakati hao scammers wana private jets au magari na nyumba za kifahari...inasikitisha sana kwa kweli. Ni serikali tu ndiyo inaweza kusimamia wananchi wake. 🙏🏽
Dag, kazi ipo! Leo Sasa nimepata muda. Ti taaa mwamba huyu hapa. Nishaandaa mbavu zangu Mimi hapa saa mjue. Hakuna mtu kunipigia simu mpaka somo liishe hapa.😅😅😅
Thanks so that is good to bother to ask for help to you are important that is the best you could send a new job in a bit to you about this a bit more to come in at the office today so useme a few
Wewe mzee ni #bilionea wa mari Na hakili nyingi nakufuatilia sanaaa Mzee #ananja nakukubal kinomaa Mzee wangu upo na roho safi sana MIMI NI MUISLAM HILA NAKUSIKILIZA SANAAAA
Kuhusu Zumaridi na wengine; Serikali yetu iiige Rwanda na kuwaokoa Watanzania..Ukristo kwa kiasi kikubwa umekua ni biashara ya vitambaa, mafuta, maji, kutoa sadaka hadi senti ya mwisho na kuongezeka umaskini na injili haipo tena; wakati hao scammers wana private jets au magari na nyumba za kifahari...inasikitisha sana kwa kweli. Ni serikali tu ndiyo inaweza kusimamia wananchi wake. 🙏🏽
Kuhusu Zumaridi, ana serious mental illness, anahitaji msaada. Serikali yetu iiige Rwanda na kuwaokoa Watanzania..Ukristo kwa kiasi kikubwa umekua ni biashara ya vitambaa, mafuta, maji, kutoa sadaka hadi senti ya mwisho na kuongezeka umaskini na injili haipo tena; wakati hao scammers wana private jets au magari na nyumba za kifahari...inasikitisha sana kwa kweli. Ni serikali tu ndiyo inaweza kusimamia wananchi wake. 🙏🏽
Serikali yetu iiige Rwanda na kuwaokoa Watanzania..Ukristo kwa kiasi kikubwa umekua ni biashara ya vitambaa, mafuta, maji, kutoa sadaka hadi senti ya mwisho na kuongezeka umaskini na injili haipo tena; wakati hao scammers wana private jets au magari na nyumba za kifahari...inasikitisha sana kwa kweli. Ni serikali tu ndiyo inaweza kusimamia wananchi wake. 🙏🏽
@@joycekisamo4896 umeongea point mpendwa ila kwa tanzania yetu nahis bado inajitafuta kwa sababu hata viongozi tunaowapat nao hawana passion ya uongoz wanapota nafasi ya uongozi nao wanafurahia kupata Ajira inapelekea ugumu wakutimiza majukumu ya uongoz wanajikita kutengeneza maisha yao binafsi na sio taifa....
kwa ufupi sana sauti ya Mungu kwa mtu huwa haihadithiki kirahisi kila utake mwambia asipo kudhihaki basi atakaa kimya ili wakuseme kisiriri swali je? ni kweli Mungu anazungumza na watu na nikwa njia gani? bnafsi siwezi kutoa ushuhuda yakuwa nimewahi kuota Niko na Yesu maana walio wengi wanaamini Yesu yupo lakini swala la anaongea na watu ni kama la Hananja haamini haya isipokuwa kurudi kwa mwana wa Adam katika utukufu wake ningekuwa karibu na hananja ningemuuliza unapumua ukimsubiri Kristo au kristo anakufanya upumue ukisubiri arudi, majibu yote yanaweza kuwa sawa lakini kama yupo kati yetu inashindikana naje akizungumza na sisi kwa njia zisizo za kawaida?
Tumbo la mama nyumba, Mgongo na mama Gari, Maziwa ya mama Chakula
Nuru Raymond umenichekesha ulivyomkariri Mch Hananja pamoja na anavyoongea haraka du!
😁😁😀😀
Hard to understand this Pastor but always he's talking deeply messages 👏
Huyu sio pastor ni msemaji wa watu but anajifanya pastor
Nakubali s2kizzy
P
Namwelewa balaa
Kuhusu Zumaridi...ana mental illness, anahitaji msaada.
Serikali yetu iiige Rwanda na kuwaokoa Watanzania..Ukristo kwa kiasi kikubwa umekua ni biashara ya vitambaa, mafuta, maji, kutoa sadaka hadi senti ya mwisho na kuongezeka umaskini na injili haipo tena; wakati hao scammers wana private jets au magari na nyumba za kifahari...inasikitisha sana kwa kweli.
Ni serikali tu ndiyo inaweza kusimamia wananchi wake. 🙏🏽
MUNGU akubariki sana pastor kwa neno lako ulilotupatia
maisha marefu hannanja
Dag, kazi ipo! Leo Sasa nimepata muda. Ti taaa mwamba huyu hapa. Nishaandaa mbavu zangu Mimi hapa saa mjue. Hakuna mtu kunipigia simu mpaka somo liishe hapa.😅😅😅
Huyu mzee namuelewa sana na sikosi kumsikiliza
Thanks so that is good to bother to ask for help to you are important that is the best you could send a new job in a bit to you about this a bit more to come in at the office today so useme a few
Wewe mzee ni #bilionea wa mari
Na hakili nyingi nakufuatilia sanaaa
Mzee #ananja nakukubal kinomaa
Mzee wangu upo na roho safi sana
MIMI NI MUISLAM HILA NAKUSIKILIZA SANAAAA
Huyu mzee mm namuelewa sana naongea ukweli wake 😘
Nakupenda sana mchungaji wangu, sijawahi kuchoka kukusikiliza😂😂
Daudi michael
Sichoki kumsikiliza Hananja ❤
Pastor Hananja wewe ni sauti ya waliotengwa 😂😂 nakupenda sana.
hananjaaaa pastor safiii sana 😍❤
Jamaa huwa ampingi mtu hata kama chizi yeye anaamin maandiko tu
Na ndio tunapaswa kuishi kweli ya Maandiko 🤣
Barikiwa sana Mchungaji Hananja, nahangaika kukariri fungu moja wewe unatiririka na mafungu kibao! Una baraka, hekima na upendeleo wa Mungu🙏🏾
Hii interview ina zaidi ya dakika 25 lakini nimeona kama ni dakika 5 tu, mchungaji hau boi.
Umeonaeee
Mungu akupe maisha marefu baba yangu Hananja nimejifunza mambo mengi kupitia wewe
Kuhusu Zumaridi na wengine; Serikali yetu iiige Rwanda na kuwaokoa Watanzania..Ukristo kwa kiasi kikubwa umekua ni biashara ya vitambaa, mafuta, maji, kutoa sadaka hadi senti ya mwisho na kuongezeka umaskini na injili haipo tena; wakati hao scammers wana private jets au magari na nyumba za kifahari...inasikitisha sana kwa kweli.
Ni serikali tu ndiyo inaweza kusimamia wananchi wake. 🙏🏽
🤣🤣🤣 Nimecheka eti wa2 wanashida nying Unaweza kuwauzia Dona la upako
Uyu mchungaji akili kubwa sana hasa alivyoelezea kwa nn adili na mateja
Kazi nzuri
Mungu anaviumbevyake!
Yaani mchungaji hananja bible yooote iko kichwani!!!
Kuna mungu wa masela
Na mchungaji wawashikaji
Umeeeleweka mkali😃😃😃👊👊
Mashaallah
😂😂😂 huyu ndo pastor sasa
Thanks pastor
😂😂😂Umefika mbingun kwenye kila kitu urud tena Dunian utake book 2 yangu😂😂
Millard should have done this one also, good interview though
Namkubali Sana huyu mwamba yuko social sana
Hananja thanks for everything you do
Sawa Pastor
Huyu mchungaji yuko vizuri sana yaan anaenda nje ya box anaokoa wwngi sana nikiwemo mimi
Asante sana,
Nakuelewa sana.
Mtumish mungu akubariki historia yko tu ni injili tosha tuombee angalau watu ht wachache wapate hicho kipaji namshukuru mungu Kwa ajili yko
Mchungaji Mimi napenda sana unavyosema mmmmmh af nd ivo ujue
Jamni anasauti nzur sana kama nasikiliza sijui kitu gani😋😋😍😍😍🤗🤗🤗
Mahaba hayo.. Mzee huyo. Tutafute sisi vijana tukusemeshe kwa sauti uipendayo
@@malopemaliyamungu5243 😂😂😂😂
SICHOKI MIMI KUKUANGALIYA NA KUANGALIYA INTERVIEW ZAKO.. MANENO YAKO YAPO SAHIHI KABISAA UPO SAWA KIONGOZ.
Ukiwa na baba kama huyu yaani akili yako itakuwa imenyooka ❤❤
😅😅😅😅😂😂😂ila huyu baba
Mchungaji Hananja is Real….. Huyu jamaa ni wa kipekee…
Huyu pastor yuko vizuri sanaa
Amina
Love you mchungaji
Mazungumzo mazuri sana
Mchungaji bora sana 🙌
Cool 🌹
Mawe ndo sisi😅🙋
Nimekua wakwanza butuen Like zangu
Kusema umekua wa kwanza upewe wa like ni moja ya ushamba..
@@victorjames3730 😁😁
We penda kula bata uta batuliwa
@@victorjames3730 hahahahahha😂😂😂😂
Like zann toa coment
Genius
Daaah huyu mwamba si wa mchezo mchezo.. namkubar sana tena sana... Makavu live🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣😂 ama kwel afy ya akili🤭🤭. Ohoo! Balaa lingine hilo!😂😂😂
Kuhusu Zumaridi, ana serious mental illness, anahitaji msaada.
Serikali yetu iiige Rwanda na kuwaokoa Watanzania..Ukristo kwa kiasi kikubwa umekua ni biashara ya vitambaa, mafuta, maji, kutoa sadaka hadi senti ya mwisho na kuongezeka umaskini na injili haipo tena; wakati hao scammers wana private jets au magari na nyumba za kifahari...inasikitisha sana kwa kweli.
Ni serikali tu ndiyo inaweza kusimamia wananchi wake. 🙏🏽
Aminaaaaaa baba
Pastor Kama pastor 🤔😄😄duuh tuliombee Kanisa na watumishi wa MUNGU 📌❤️🙌
Daah,1989 nilikua sijazaliwa, we ulikua unapambana, leo nina miaka 32 ......Mungu akuweke mchungaji 🙏.🎉🎉
👏👏👏👏👏👏
Sima namkubali sana huyu mjuba
Uyo mzee uyo daaa namuelewa sana tuuu mm ni shekhe ila namuelewa sana tuu na yeye anaukubali uislam
Uyu jamaa kaha hakurupuki kama wahojiwa wengine
😂😂😂😂😂😂ukiwa mgeni na biblia Zumaridi utamuona mkweli 🏃🏃🏃
Serikali yetu iiige Rwanda na kuwaokoa Watanzania..Ukristo kwa kiasi kikubwa umekua ni biashara ya vitambaa, mafuta, maji, kutoa sadaka hadi senti ya mwisho na kuongezeka umaskini na injili haipo tena; wakati hao scammers wana private jets au magari na nyumba za kifahari...inasikitisha sana kwa kweli.
Ni serikali tu ndiyo inaweza kusimamia wananchi wake. 🙏🏽
@@joycekisamo4896 umeongea point mpendwa ila kwa tanzania yetu nahis bado inajitafuta kwa sababu hata viongozi tunaowapat nao hawana passion ya uongoz wanapota nafasi ya uongozi nao wanafurahia kupata Ajira inapelekea ugumu wakutimiza majukumu ya uongoz wanajikita kutengeneza maisha yao binafsi na sio taifa....
@@itsyourboy1407 Sad 😔
Sema tu mzee sijajua kanisa laki ningekja walau siku Moja nishiriki ibada
Ashastaafu, yupo cct udsm
Asanteee baba eeet mtu anaenda marekani anagoma kurudi Tanzania ndio yeye atoke mbinguni arudi Tnzania jehanamu
Mzee kanyooka sana ✋
Una msimamo good sana mchungaji.
Kama ni MB Mch. Hananja wee zimalize tu ivi kanisa liko wapi niende tu maana wew ni mchungaji wa kwel
Atapofuka huyo zumalidi akimuona Mungu anafikili Mungu ni mizuka yake tena utulie usije ukaadhibiwa km Brazil Santa
🤣🤣🤣afya ya akili!!!
Namkubali sana maana amepitia mengi hata anachoongea ameki experience.
Dah 😂😂😂 hili balaa lingine,,,, sema ushauri mnzuri wakaangaliwe akili
Jamani milady ayo mbona nzuri sana ikaisha mapema??
Nakukubali sana mwamba
Ahaaaa mwananyauu
Hyu mwamba ukimwuliza swali moja anakujibu na nyongeza 😂😂😂😂
Huyu Mzee nampenda Bure 🤣🤣🤣🤣
ZUMA RIDI NI DADA WA KIFREEMASON
Na siyo kitu kingine
MashAllah anaongea huyo😅
Nakupenda sana❤
Hananja
Etii Ili uwe nyauu south kuliko mtu tz
Nimesikia sauti nnzuri iliyotangulia bila shaka ni ya Dulla 🥰 alooh
Inaitaji akili kubwa sana kumuelewa Ananja
🤲🤲🤲🤲
Dah mzee namuwelewag san rich bilionea
kwa ufupi sana sauti ya Mungu kwa mtu huwa haihadithiki kirahisi kila utake mwambia asipo kudhihaki basi atakaa kimya ili wakuseme kisiriri swali je? ni kweli Mungu anazungumza na watu na nikwa njia gani?
bnafsi siwezi kutoa ushuhuda yakuwa nimewahi kuota Niko na Yesu maana walio wengi wanaamini Yesu yupo lakini swala la anaongea na watu ni kama la Hananja haamini haya isipokuwa kurudi kwa mwana wa Adam katika utukufu wake ningekuwa karibu na hananja ningemuuliza unapumua ukimsubiri Kristo au kristo anakufanya upumue ukisubiri arudi, majibu yote yanaweza kuwa sawa lakini kama yupo kati yetu inashindikana naje akizungumza na sisi kwa njia zisizo za kawaida?
Huyu pastor mkweli kabisa
Mbinguni au bafun😂😂
Uyu Faza Inaonekana Bible Iko kichwani
Sina cha kusema kwakweli zaidi yakucheka2 HAHAAA
Safii
Mtamgaxaji hajui kuendanda na mazingira, mzee mcheshi yeye yupo serious..
😂😂😂😂 hananja ni legend
😢😢😢😢
Kweli hiyo afya ya akili eti kuolewa na Petro,kumuona Mungu hahaaaa hiyo mbingu ingine sio ilitosemwa kwa Biblia takatifu
😂😂😂😂😂😂
😂
MY NIGGA
Nimependa uliposema kwamba umeoa una miaka 40, vijana wa leo wanaooa na miaka 20, 25, tujifunze kitu hapa.
Huyu mzee wamaana sana
Ananja😂😂
Sasa Zuma alienda mbigu gani 😂😂😂
😁😁😁🔥🔥🔥👊🏿👊🏿mm naona ni afya ya akili
Kwa usafiri upi jamani
Mchungaji Hananja, tunajifunza mengi kwako
Hunasinzia kama kuku wa kizungu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mwambie hananja yesu kashludi ypo kenya
🤣🤣🤣🤣🤣🤣