HANANJA HAKUBALIANI NA ZUMARIDI, ASIMULIA ALIVYOWEKWA JELA RWANDA KUCHEZA BOXING NA KUISHI NA MATEJA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 16 มี.ค. 2023

ความคิดเห็น • 262

  • @nururaymond5
    @nururaymond5 ปีที่แล้ว +46

    Tumbo la mama nyumba, Mgongo na mama Gari, Maziwa ya mama Chakula

    • @mariakibwana3700
      @mariakibwana3700 ปีที่แล้ว +1

      Nuru Raymond umenichekesha ulivyomkariri Mch Hananja pamoja na anavyoongea haraka du!

    • @laurentraphael5470
      @laurentraphael5470 ปีที่แล้ว

      😁😁😀😀

  • @prime_215beatz
    @prime_215beatz ปีที่แล้ว +64

    Hard to understand this Pastor but always he's talking deeply messages 👏

    • @Reginajohnson19884
      @Reginajohnson19884 ปีที่แล้ว

      Huyu sio pastor ni msemaji wa watu but anajifanya pastor

    • @medeljoram5325
      @medeljoram5325 ปีที่แล้ว

      Nakubali s2kizzy

    • @bawirieto4391
      @bawirieto4391 ปีที่แล้ว +1

      P

    • @masalakulwa7601
      @masalakulwa7601 ปีที่แล้ว

      Namwelewa balaa

    • @joycekisamo4896
      @joycekisamo4896 ปีที่แล้ว

      Kuhusu Zumaridi...ana mental illness, anahitaji msaada.
      Serikali yetu iiige Rwanda na kuwaokoa Watanzania..Ukristo kwa kiasi kikubwa umekua ni biashara ya vitambaa, mafuta, maji, kutoa sadaka hadi senti ya mwisho na kuongezeka umaskini na injili haipo tena; wakati hao scammers wana private jets au magari na nyumba za kifahari...inasikitisha sana kwa kweli.
      Ni serikali tu ndiyo inaweza kusimamia wananchi wake. 🙏🏽

  • @MILTONKALYEMBE
    @MILTONKALYEMBE ปีที่แล้ว +6

    MUNGU akubariki sana pastor kwa neno lako ulilotupatia

  • @dankhany3385
    @dankhany3385 ปีที่แล้ว +18

    maisha marefu hannanja

  • @jayjay4313
    @jayjay4313 ปีที่แล้ว +20

    Dag, kazi ipo! Leo Sasa nimepata muda. Ti taaa mwamba huyu hapa. Nishaandaa mbavu zangu Mimi hapa saa mjue. Hakuna mtu kunipigia simu mpaka somo liishe hapa.😅😅😅

  • @erickgulayi2089
    @erickgulayi2089 ปีที่แล้ว +41

    Huyu mzee namuelewa sana na sikosi kumsikiliza

    • @juliusmshana7187
      @juliusmshana7187 ปีที่แล้ว

      Thanks so that is good to bother to ask for help to you are important that is the best you could send a new job in a bit to you about this a bit more to come in at the office today so useme a few

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY ปีที่แล้ว +14

    Wewe mzee ni #bilionea wa mari
    Na hakili nyingi nakufuatilia sanaaa
    Mzee #ananja nakukubal kinomaa
    Mzee wangu upo na roho safi sana
    MIMI NI MUISLAM HILA NAKUSIKILIZA SANAAAA

  • @dottohami
    @dottohami ปีที่แล้ว +6

    Huyu mzee mm namuelewa sana naongea ukweli wake 😘

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 ปีที่แล้ว +25

    Nakupenda sana mchungaji wangu, sijawahi kuchoka kukusikiliza😂😂

  • @azizamohamed7692
    @azizamohamed7692 ปีที่แล้ว +14

    Sichoki kumsikiliza Hananja ❤

  • @paulnzilo7252
    @paulnzilo7252 ปีที่แล้ว +25

    Pastor Hananja wewe ni sauti ya waliotengwa 😂😂 nakupenda sana.

  • @emmymshomi8893
    @emmymshomi8893 ปีที่แล้ว +11

    hananjaaaa pastor safiii sana 😍❤

  • @frankmalesa9226
    @frankmalesa9226 ปีที่แล้ว +17

    Jamaa huwa ampingi mtu hata kama chizi yeye anaamin maandiko tu

    • @nurukwilabya2790
      @nurukwilabya2790 ปีที่แล้ว +1

      Na ndio tunapaswa kuishi kweli ya Maandiko 🤣

  • @vickytorry100
    @vickytorry100 ปีที่แล้ว +1

    Barikiwa sana Mchungaji Hananja, nahangaika kukariri fungu moja wewe unatiririka na mafungu kibao! Una baraka, hekima na upendeleo wa Mungu🙏🏾

  • @ezevisionmediastudioezevis7855
    @ezevisionmediastudioezevis7855 ปีที่แล้ว +9

    Hii interview ina zaidi ya dakika 25 lakini nimeona kama ni dakika 5 tu, mchungaji hau boi.

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle ปีที่แล้ว +12

    Mungu akupe maisha marefu baba yangu Hananja nimejifunza mambo mengi kupitia wewe

    • @joycekisamo4896
      @joycekisamo4896 ปีที่แล้ว

      Kuhusu Zumaridi na wengine; Serikali yetu iiige Rwanda na kuwaokoa Watanzania..Ukristo kwa kiasi kikubwa umekua ni biashara ya vitambaa, mafuta, maji, kutoa sadaka hadi senti ya mwisho na kuongezeka umaskini na injili haipo tena; wakati hao scammers wana private jets au magari na nyumba za kifahari...inasikitisha sana kwa kweli.
      Ni serikali tu ndiyo inaweza kusimamia wananchi wake. 🙏🏽

  • @omaryrashidiboga4651
    @omaryrashidiboga4651 ปีที่แล้ว +8

    🤣🤣🤣 Nimecheka eti wa2 wanashida nying Unaweza kuwauzia Dona la upako

  • @musason1680
    @musason1680 ปีที่แล้ว +9

    Uyu mchungaji akili kubwa sana hasa alivyoelezea kwa nn adili na mateja

  • @sabitintaganda9115
    @sabitintaganda9115 ปีที่แล้ว +2

    Kazi nzuri

  • @philemongomwa3728
    @philemongomwa3728 ปีที่แล้ว +1

    Mungu anaviumbevyake!
    Yaani mchungaji hananja bible yooote iko kichwani!!!

  • @erastompongo8400
    @erastompongo8400 ปีที่แล้ว +7

    Kuna mungu wa masela
    Na mchungaji wawashikaji

  • @aisha-zu8vr
    @aisha-zu8vr ปีที่แล้ว +8

    Mashaallah

  • @Babu.Suwa.Yoshua01
    @Babu.Suwa.Yoshua01 ปีที่แล้ว +6

    😂😂😂 huyu ndo pastor sasa

  • @lodrickkisanga8681
    @lodrickkisanga8681 ปีที่แล้ว

    Thanks pastor

  • @hancymachibbula4355
    @hancymachibbula4355 ปีที่แล้ว +5

    😂😂😂Umefika mbingun kwenye kila kitu urud tena Dunian utake book 2 yangu😂😂

  • @calvindonalds5373
    @calvindonalds5373 ปีที่แล้ว +3

    Millard should have done this one also, good interview though

  • @ismailchibonda5005
    @ismailchibonda5005 ปีที่แล้ว +4

    Namkubali Sana huyu mwamba yuko social sana

  • @KainLangson-lh5gk
    @KainLangson-lh5gk 6 หลายเดือนก่อน

    Hananja thanks for everything you do

  • @pettyzumamhina6583
    @pettyzumamhina6583 ปีที่แล้ว +2

    Sawa Pastor

  • @mekumeku2484
    @mekumeku2484 ปีที่แล้ว +1

    Huyu mchungaji yuko vizuri sana yaan anaenda nje ya box anaokoa wwngi sana nikiwemo mimi

  • @juliusmadebe9624
    @juliusmadebe9624 ปีที่แล้ว

    Asante sana,
    Nakuelewa sana.

  • @johnmahu5060
    @johnmahu5060 ปีที่แล้ว

    Mtumish mungu akubariki historia yko tu ni injili tosha tuombee angalau watu ht wachache wapate hicho kipaji namshukuru mungu Kwa ajili yko

  • @irinikoipai3936
    @irinikoipai3936 ปีที่แล้ว +8

    Mchungaji Mimi napenda sana unavyosema mmmmmh af nd ivo ujue

  • @asumaathuman6094
    @asumaathuman6094 ปีที่แล้ว +6

    Jamni anasauti nzur sana kama nasikiliza sijui kitu gani😋😋😍😍😍🤗🤗🤗

    • @malopemaliyamungu5243
      @malopemaliyamungu5243 ปีที่แล้ว +1

      Mahaba hayo.. Mzee huyo. Tutafute sisi vijana tukusemeshe kwa sauti uipendayo

    • @batulii1248
      @batulii1248 ปีที่แล้ว +1

      ​@@malopemaliyamungu5243 😂😂😂😂

  • @khadijaalimohd1320
    @khadijaalimohd1320 ปีที่แล้ว +8

    SICHOKI MIMI KUKUANGALIYA NA KUANGALIYA INTERVIEW ZAKO.. MANENO YAKO YAPO SAHIHI KABISAA UPO SAWA KIONGOZ.

  • @nassobrownog
    @nassobrownog ปีที่แล้ว +6

    Ukiwa na baba kama huyu yaani akili yako itakuwa imenyooka ❤❤

  • @husnajuma6452
    @husnajuma6452 ปีที่แล้ว +9

    😅😅😅😅😂😂😂ila huyu baba

  • @hubbihubbi869
    @hubbihubbi869 ปีที่แล้ว +2

    Mchungaji Hananja is Real….. Huyu jamaa ni wa kipekee…

  • @SienaMkolwe-px1nq
    @SienaMkolwe-px1nq ปีที่แล้ว +1

    Huyu pastor yuko vizuri sanaa

  • @user-fx5re5hu8i
    @user-fx5re5hu8i 10 หลายเดือนก่อน

    Amina

  • @kambiyusufu2776
    @kambiyusufu2776 ปีที่แล้ว +1

    Love you mchungaji

  • @rauhiaomar977
    @rauhiaomar977 ปีที่แล้ว +1

    Mazungumzo mazuri sana

  • @clynemorgan9741
    @clynemorgan9741 ปีที่แล้ว +1

    Mchungaji bora sana 🙌

  • @alphabintu1306
    @alphabintu1306 8 หลายเดือนก่อน

    Cool 🌹

  • @clintonarnold6291
    @clintonarnold6291 ปีที่แล้ว +4

    Mawe ndo sisi😅🙋

  • @joanesasalavaleriano9980
    @joanesasalavaleriano9980 ปีที่แล้ว +38

    Nimekua wakwanza butuen Like zangu

    • @victorjames3730
      @victorjames3730 ปีที่แล้ว +3

      Kusema umekua wa kwanza upewe wa like ni moja ya ushamba..

    • @fatmahussein6085
      @fatmahussein6085 ปีที่แล้ว

      @@victorjames3730 😁😁

    • @HansBwoi
      @HansBwoi ปีที่แล้ว

      We penda kula bata uta batuliwa

    • @kassimrajabu7805
      @kassimrajabu7805 ปีที่แล้ว

      @@victorjames3730 hahahahahha😂😂😂😂

    • @sakayonsakihunga3496
      @sakayonsakihunga3496 ปีที่แล้ว

      Like zann toa coment

  • @mastermaster1627
    @mastermaster1627 ปีที่แล้ว +2

    Genius

  • @rahimmarions5712
    @rahimmarions5712 ปีที่แล้ว +2

    Daaah huyu mwamba si wa mchezo mchezo.. namkubar sana tena sana... Makavu live🤣🤣🤣🤣

  • @naomchristopher
    @naomchristopher ปีที่แล้ว +8

    🤣🤣🤣🤣😂 ama kwel afy ya akili🤭🤭. Ohoo! Balaa lingine hilo!😂😂😂

    • @joycekisamo4896
      @joycekisamo4896 ปีที่แล้ว

      Kuhusu Zumaridi, ana serious mental illness, anahitaji msaada.
      Serikali yetu iiige Rwanda na kuwaokoa Watanzania..Ukristo kwa kiasi kikubwa umekua ni biashara ya vitambaa, mafuta, maji, kutoa sadaka hadi senti ya mwisho na kuongezeka umaskini na injili haipo tena; wakati hao scammers wana private jets au magari na nyumba za kifahari...inasikitisha sana kwa kweli.
      Ni serikali tu ndiyo inaweza kusimamia wananchi wake. 🙏🏽

  • @DonathaMwoleka-fc4oo
    @DonathaMwoleka-fc4oo 7 หลายเดือนก่อน

    Aminaaaaaa baba

  • @happyfaniabatromeo8010
    @happyfaniabatromeo8010 ปีที่แล้ว +1

    Pastor Kama pastor 🤔😄😄duuh tuliombee Kanisa na watumishi wa MUNGU 📌❤️🙌

  • @Boaz22
    @Boaz22 ปีที่แล้ว

    Daah,1989 nilikua sijazaliwa, we ulikua unapambana, leo nina miaka 32 ......Mungu akuweke mchungaji 🙏.🎉🎉

  • @ismailchibonda5005
    @ismailchibonda5005 ปีที่แล้ว +3

    👏👏👏👏👏👏

  • @allyking9814
    @allyking9814 ปีที่แล้ว +3

    Sima namkubali sana huyu mjuba

  • @ahmedkharis9471
    @ahmedkharis9471 ปีที่แล้ว +1

    Uyo mzee uyo daaa namuelewa sana tuuu mm ni shekhe ila namuelewa sana tuu na yeye anaukubali uislam

  • @jacksonkimaro3751
    @jacksonkimaro3751 ปีที่แล้ว +4

    Uyu jamaa kaha hakurupuki kama wahojiwa wengine

  • @itsyourboy1407
    @itsyourboy1407 ปีที่แล้ว +27

    😂😂😂😂😂😂ukiwa mgeni na biblia Zumaridi utamuona mkweli 🏃🏃🏃

    • @joycekisamo4896
      @joycekisamo4896 ปีที่แล้ว +1

      Serikali yetu iiige Rwanda na kuwaokoa Watanzania..Ukristo kwa kiasi kikubwa umekua ni biashara ya vitambaa, mafuta, maji, kutoa sadaka hadi senti ya mwisho na kuongezeka umaskini na injili haipo tena; wakati hao scammers wana private jets au magari na nyumba za kifahari...inasikitisha sana kwa kweli.
      Ni serikali tu ndiyo inaweza kusimamia wananchi wake. 🙏🏽

    • @itsyourboy1407
      @itsyourboy1407 ปีที่แล้ว +1

      @@joycekisamo4896 umeongea point mpendwa ila kwa tanzania yetu nahis bado inajitafuta kwa sababu hata viongozi tunaowapat nao hawana passion ya uongoz wanapota nafasi ya uongozi nao wanafurahia kupata Ajira inapelekea ugumu wakutimiza majukumu ya uongoz wanajikita kutengeneza maisha yao binafsi na sio taifa....

    • @joycekisamo4896
      @joycekisamo4896 ปีที่แล้ว +1

      @@itsyourboy1407 Sad 😔

  • @musason1680
    @musason1680 ปีที่แล้ว +4

    Sema tu mzee sijajua kanisa laki ningekja walau siku Moja nishiriki ibada

    • @fumotv7914
      @fumotv7914 ปีที่แล้ว +2

      Ashastaafu, yupo cct udsm

  • @rehemabakari4150
    @rehemabakari4150 ปีที่แล้ว

    Asanteee baba eeet mtu anaenda marekani anagoma kurudi Tanzania ndio yeye atoke mbinguni arudi Tnzania jehanamu

  • @maturanking752
    @maturanking752 ปีที่แล้ว +1

    Mzee kanyooka sana ✋

  • @norbatykapinga8756
    @norbatykapinga8756 ปีที่แล้ว

    Una msimamo good sana mchungaji.

  • @justfad_026
    @justfad_026 ปีที่แล้ว +2

    Kama ni MB Mch. Hananja wee zimalize tu ivi kanisa liko wapi niende tu maana wew ni mchungaji wa kwel

  • @venitarugemalila9290
    @venitarugemalila9290 ปีที่แล้ว +3

    Atapofuka huyo zumalidi akimuona Mungu anafikili Mungu ni mizuka yake tena utulie usije ukaadhibiwa km Brazil Santa

  • @pettyzumamhina6583
    @pettyzumamhina6583 ปีที่แล้ว +8

    🤣🤣🤣afya ya akili!!!

  • @salomemhalule5213
    @salomemhalule5213 ปีที่แล้ว +1

    Namkubali sana maana amepitia mengi hata anachoongea ameki experience.

  • @godfreymagoso5334
    @godfreymagoso5334 ปีที่แล้ว +1

    Dah 😂😂😂 hili balaa lingine,,,, sema ushauri mnzuri wakaangaliwe akili

  • @joshuamollel6993
    @joshuamollel6993 ปีที่แล้ว +2

    Jamani milady ayo mbona nzuri sana ikaisha mapema??

  • @emmanicko1535
    @emmanicko1535 ปีที่แล้ว

    Nakukubali sana mwamba

  • @dealsonmatata9620
    @dealsonmatata9620 ปีที่แล้ว

    Ahaaaa mwananyauu

  • @personpeter2221
    @personpeter2221 ปีที่แล้ว +2

    Hyu mwamba ukimwuliza swali moja anakujibu na nyongeza 😂😂😂😂

  • @jehudavid6370
    @jehudavid6370 ปีที่แล้ว +1

    Huyu Mzee nampenda Bure 🤣🤣🤣🤣

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY ปีที่แล้ว +3

    ZUMA RIDI NI DADA WA KIFREEMASON
    Na siyo kitu kingine

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr ปีที่แล้ว +1

    MashAllah anaongea huyo😅

  • @belzylucas7275
    @belzylucas7275 ปีที่แล้ว +2

    Nakupenda sana❤

  • @shedrackdamian2870
    @shedrackdamian2870 ปีที่แล้ว

    Hananja

  • @winfridakaaya2758
    @winfridakaaya2758 ปีที่แล้ว +1

    Etii Ili uwe nyauu south kuliko mtu tz

  • @glorymafuru6342
    @glorymafuru6342 ปีที่แล้ว

    Nimesikia sauti nnzuri iliyotangulia bila shaka ni ya Dulla 🥰 alooh

  • @ndossi90
    @ndossi90 ปีที่แล้ว +8

    Inaitaji akili kubwa sana kumuelewa Ananja

  • @aisha-zu8vr
    @aisha-zu8vr ปีที่แล้ว +1

    🤲🤲🤲🤲

  • @ashrafchande869
    @ashrafchande869 ปีที่แล้ว

    Dah mzee namuwelewag san rich bilionea

  • @standardtv3494
    @standardtv3494 ปีที่แล้ว +1

    kwa ufupi sana sauti ya Mungu kwa mtu huwa haihadithiki kirahisi kila utake mwambia asipo kudhihaki basi atakaa kimya ili wakuseme kisiriri swali je? ni kweli Mungu anazungumza na watu na nikwa njia gani?
    bnafsi siwezi kutoa ushuhuda yakuwa nimewahi kuota Niko na Yesu maana walio wengi wanaamini Yesu yupo lakini swala la anaongea na watu ni kama la Hananja haamini haya isipokuwa kurudi kwa mwana wa Adam katika utukufu wake ningekuwa karibu na hananja ningemuuliza unapumua ukimsubiri Kristo au kristo anakufanya upumue ukisubiri arudi, majibu yote yanaweza kuwa sawa lakini kama yupo kati yetu inashindikana naje akizungumza na sisi kwa njia zisizo za kawaida?

  • @gracious6317
    @gracious6317 ปีที่แล้ว +1

    Huyu pastor mkweli kabisa

  • @mwandudickson8156
    @mwandudickson8156 ปีที่แล้ว +5

    Mbinguni au bafun😂😂

  • @alexkalonga5323
    @alexkalonga5323 ปีที่แล้ว +5

    Uyu Faza Inaonekana Bible Iko kichwani

  • @mozasalum8742
    @mozasalum8742 ปีที่แล้ว +1

    Sina cha kusema kwakweli zaidi yakucheka2 HAHAAA

  • @samwesupa6906
    @samwesupa6906 ปีที่แล้ว

    Safii

  • @khayratmhina3735
    @khayratmhina3735 ปีที่แล้ว +1

    Mtamgaxaji hajui kuendanda na mazingira, mzee mcheshi yeye yupo serious..

  • @bumbuli4170
    @bumbuli4170 ปีที่แล้ว

    😂😂😂😂 hananja ni legend

  • @darrojumanne-cb8lg
    @darrojumanne-cb8lg ปีที่แล้ว

    😢😢😢😢

  • @venitarugemalila9290
    @venitarugemalila9290 ปีที่แล้ว +3

    Kweli hiyo afya ya akili eti kuolewa na Petro,kumuona Mungu hahaaaa hiyo mbingu ingine sio ilitosemwa kwa Biblia takatifu

    • @mayambeyu9061
      @mayambeyu9061 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂😂😂
      😂

  • @unjuinkuganda1991
    @unjuinkuganda1991 ปีที่แล้ว +6

    MY NIGGA

  • @HelbethMlelwa
    @HelbethMlelwa ปีที่แล้ว

    Nimependa uliposema kwamba umeoa una miaka 40, vijana wa leo wanaooa na miaka 20, 25, tujifunze kitu hapa.

  • @moganfred6473
    @moganfred6473 ปีที่แล้ว +1

    Huyu mzee wamaana sana

  • @jiiwolf2900
    @jiiwolf2900 ปีที่แล้ว +1

    Ananja😂😂

  • @timothykaiza327
    @timothykaiza327 ปีที่แล้ว +3

    Sasa Zuma alienda mbigu gani 😂😂😂

  • @binbaya923
    @binbaya923 ปีที่แล้ว

    😁😁😁🔥🔥🔥👊🏿👊🏿mm naona ni afya ya akili

  • @ashtray1512
    @ashtray1512 ปีที่แล้ว

    Kwa usafiri upi jamani

  • @noelngowitechnicalsolution
    @noelngowitechnicalsolution หลายเดือนก่อน

    Mchungaji Hananja, tunajifunza mengi kwako

  • @p.kasongot979
    @p.kasongot979 ปีที่แล้ว +3

    Hunasinzia kama kuku wa kizungu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @mkenyaog3170
    @mkenyaog3170 ปีที่แล้ว +1

    Mwambie hananja yesu kashludi ypo kenya