Hananja hajui mambo mengi sana. Yaani hata mimi sio mchungaji nampita kwa mbali! Haendani na viwango vya Serikali Tukufu ya Ufalme wa Mungu. Itabidi tumuombee macho na Roho vifunguliwe. He is in total darkness.. haoni kabisa. Hata maandiko hanyewe hawezi kuconsolidate akapata mafunuo sahihi
Kupitia Roho Mtakatifu aka Roho wa Mungu anaye ishi ndani yetu ambaye anatuwezesha kudadavua hayo masndiko. Mchungaji wako mpaka hapo ni muongo tayari. Kwa umri wake amedanganya wangapi? Atubu na aache huu usanii utampleka jehanamu ya ziwa liwakalo moto milele.. Yohana 14:16-18.
Mchungaji kweli, hachoshi hakinaishi kusikilizwa mafundisho na vionjo vyake, na tunapata kitu kwake faida yetu ya kiroho na kimwili. Sio hao wanaojiita,mh,dr,nabii, mtukufu sijui ujinga na sifa. Mungu pekee apewe sifa na si mtu
Mungu akubariki man of GOD, the bible says give as you purporsed in the book of 2cor chapter 9:7. sio hizo za kutisha watu, Congo tuna tishiwa holy ghost
Alimuona Mungu anafananaje? Wakati kitabu cha mwanzo kwenyekitabu chauumbaji wa dunia maandishi yanasema Rohoya Mungu ilituliajuuyakirindi chamaji. Kwa maana hanaumbile walahakunabinadamu aliyewahi kumuonaMungu. hizoteojia wanasomawapi haowachungaji wakujitegegemea.
Ukiendelea kuongea utoporo we eti hananja unanjaa ya kubeba na punda mpumbavu wewe huwezi kumfikia Nabii Mkuu angalia kwanza tunavyomtaja kwa helufi kubwa inamanisha yeye ni MKUU kuliko ww ndo hujui chochote unaongea tu utoporo kama unakunya mbwa ww
@@KhadijaMwenda 2YOHANA :20"Nasi twajua ya kuwa Mwana wa Mungu amekwisha kuja,naye ametupa akili kwamba tumjue yeye aliye wa kweli, nasi tumo ndani yake yeye aliye wa kweli, yaani ndani ya Mwana wake YESU KRISTO.HUYU (YESU) ndiye MUNGU wa kweli , na UZIMA WA MILELE." Ninajijua mimi ni NANI ndani ya YESU KRISTO WA NAZARETI MUNGU WA KWELI ,wewe Je?
Ni kweli wachungaji wengi wanaanzisha makanisa ili wapate pesa. Wanafanys makanisa kuwa ndiyo biashara zao. Watu wanato sadaka kwa wachungaji wao bila kujua kuwa wanawaaminisha uongo tu. Soma biblia upate masrifa.
Unachekelea kama mazuri vile? Mkaanga chips aliye mpokea Bwana Yesu kwa taratibu zilizo elekezwa na Neno. Si tu kuwa anaongea kupitia ndoto/maono na Mungu lakini Roho wa Mungu anaishi ndani yake. Mawakala wa shetani katika ubora wao kupotosha wwtu wa Mungu ili wawaunganishe waende nao moto. Joel 2:28.
@@wamisangi2801Mungu anaweza kusema na mtu yeyote kwa lengo la kutimiza kusudi lake, ila Mungu anayesema na mtu mmoja tu wengine hataki na tuchunguze hilo alilolisema linalenga nini?
@@yuzotv458 Jiongeze wewe, hujui hawa manabii wa uongo wanavyo lindana na kusaidiani. Kwa akili zako unafikiri huyu mchungaji anampinga Geodavi. Juzi tu katoka kusifia nabii wa uongo TB Joshua ndio leo ampinge Geodavi.??? Hii ni scheme ambayo imepangwa ikapangika ya shetani na mawakala wake. Iko hivi,Wiseman Daniel mmoja wa wasaidizi wa karibu na kuaminika sana wa nabiibwa uongo TB Joshua, alitoa ushuhuda kuwa nabii wa uongo TB Joshua alikuwa anafanya Ubatizo wa uchi wa mnyama kwenye mlima wa maombezi hapo scoan. Huyu mchungaji alimtetea leo ndio apinge huyo wa Arusha. Kutoka 20:26 na Yohana 21:7. Hawa manabii wa uongo wanafanya hivi. Wanatoa tuhuma dhaifu kwa mwenzao wakiwa wameandaa hoja zenye nguvu kutetewa na wengine hapo baadaye kuendea kudanganya watu wa Mungu. Tuhuma zote anazopewa TB Joshua ni dhaifu na zinazo hoja zenye nguvu zitaendelea kutolewa kadiri muda unavyo enda kuzipinga hii ni kwa madhumuni ya kuendeleza umaarufu. Unajua kwa nini. Nabii wa uongo TB Joshua alishadanganya kuwa yeye ni masihi baada ya Bwana Yesu Kristo kwani Mungu huleta mwokozi duniani kila baada ya miaka 2000 yeye ndiye wa kizazi hiki. Huu ni mpango aliacha hata baadhi ya mikakati ya huu uongo akiwa karekodi matukio ya kupigia propoganda.
Tatizo lenu mnafanywa sana ngombe hilo ndio tatizo sasa mtu anakwambia ameongea na mungu na wamekaaa pale wanacheka 😊😅😅 sasa waislam ushawahi kuskiaa shekh kasema upuuzi kama huo
Hassan usisahau waislam mnapenda kufanya kinyume Cha maumbile Halafu makundi mengi ya kigaidi ni yenu Halafu mna chuki za hali ya juu sana na ubinafsi umejaa sana kwenu Ila ni nyinyi sio msaafu wenu Hata sisi bible haijasema Geodav huyu nabii wa uongo eti ndio ukristo Kua kiimani sio unakua kwa chuki ya kidini@@hassanachunis1166
Kwahiyo mzee Hananja mtu kama hasomi Biblia hawezi kuongea na Mungu?, kina Adam, Nuhu, Ibrahim, Joseph, Paulo wao waliongea na Mungu kupitia Biblia gani mchungaji?. Mchungaji inamaana hata hujui maana ya Rhema na logos? mchungaji unasema Mungu anaongea kupitia biblia pekee na kazi ya roho mtakatifu kwako ni nini?.Inamaana Kama kuna ajali mbaya inakukabili kesho Mungu hatakuonesha mpaka ukasome biblia?. Biblia inaposema Mungu husema na watu kupitia ndoto wewe hilo andiko hujawahi kuliona tangu uanze kutumia Biblia?. Ila inasikitisha sana maana maandiko yanasema katika maneno mengi hapakosi........
acha kupotosha wewe mzee maana hata Bwana Yesu aiishuhudia watu wakitoa sadaka na pia alimsifu mwanamke mjane ambae alitoa senti mbiili na wala Bwana Yesu akumuurumia kwamba asitoe sadaka kwaiyo naomba asipotoshe watu wasio na ufahamu wa maandiko
WAJUA KUANDIKA ILA KUFUNDISHA HUJUI.Sema MUNGU anaandikwa kwa Herufi kubwa Hususani Herufi ya Kuanzia.Ukiandika jina Mungu kwa kuanza na herufi ndogo kwa mfano kwa kimombo ukiandika gods itamaanisha miungu.
Elijah alikuwa Mkulima, Musa alitokewa na Sauti ya Mungu pale alipokuwa akichunga ngombe wa baba mkwe wake, Kwa hiyo kutokewa au kuambiwa jambo na MUNGU ni Mpango wake Yeye Pekee ndiye mwenye Uwezo wa Kuomgea na Yeyote amtakaye, Haijalishi ni Muuza Chips au Mkulima.
Mchungaji Hananja hapa umechemka kubalikosa.Lakini pia mimi siwezi kumlaumu sana.Kutoka na mapokeo ya dhehebu lake.Mungu anaongea kwa njia ya Neno, Kwa Roho mtakatifu.na Yesu mwenyewe. Kuna njia nyingi
Mchungaji hupo vizuri na ni mkufunzi mzuri tu iLa kuna nafasi anakosea anasema eti hakuna binadamu anaweza kuongea na Mungu kwanini mbona zamani akina musa Elia nabii isaya na wengine tu kibao waliongea na Mungu iweje Leo apinge kwamba hakuna binadamu anae ongea na Mungu?? Sema kwa wakati tulio nao wameibuka manabii wengi wa uongo kama yasemavyomaandiko siku za mwisho kutatokekea manabii wa uongo duniani ndivyo yesu alisema
Huyu mch ni mkweli kwa yeye Mungu hajawahi kuzungumza nae ila Mungu huzungumza na watu .Ni kwa njia gani kila mmoja kulingana na mahusiano yake aliyoyajenga mwenyewe.Mungu sio bubu .
Mungu yupo anaongea na watu wachache, sio manabii tu, kuna watu walikuwa washirikina , wameonana na Mungu na waliacha, wapo waliokuwa icu wamezungumA na Mungu live wamepona
Mchungaji wewe umeajiriwa na KKKT mziki wa Geo Davi achana nao kwepa kwepa hivyo subiri mshahara wako mwisho wa mwezi. Usilazimishe kila swali ulijibu mengine tulia. Kukaa kimya nalo nijibu.
Wachungaji au wahubiri wanao mahubiri Mungu kutoka miyoyoni mwao ni wachache sana. Tatizo ya wao kupata wafuasi hao wachungaji kanjanja wengi ni wajanja na wanajua kupangilia maneno
Unasifiwa na wengi sawa, lkn unategwa kwa maneo yako uikane imani, kumbuka Mungu ni yeye yule habadiriki, unamaanisha Mungu ameacha kusema?, Wakati unamkosoa mwenzio sawa hata akiwa hayuko sawa ,wewe ndo unakosea zaidi😂😂😂😂😂😂
wajanja ndio wali wao. bora uwaelimishe wew huenda wakakusikiliza. unampa sadaka mtu kavaa suti za bei kali, ana na gari kali alafu wew umepanga na huna hata baiskeli. si bora umpatie sadaka jirani yako ambae unamuona ana hali ngumu, au maskini au yatima. watu wanakua wagumu sana kumsaidia mtu binafsi anaeonekana kabisa ana shida kila aina ila huyhuyo yupo tayari kwenda kumpelekea nabii tapeli. ili aonekane na wengine tu dah jamaa anatoa sadaka kweli.
Jamani ukristo unaelekea wapi? Ee Yesu mwana wa Mariam plz rudi, angalau utunyakue wachache tuliobaki kukuamini ktk kweli ya neno lako, usikawie maana hata walio wateule wanaanguka, ushoga kanisani, Kamari kanisani, Vikoba kanisani, Ulawiti kanisani, Ufiraji kanisani, Utapeli kanisani, U-miss kanisani, Biashara kanisani, Ulevi kanisani na kila aina ya uchafu, waliobaki na msimamo wa dini ni watoto wa mama mdogo tu! Kumbuka ee Yesu ulisema, wema wetu usipozidi wema wa mafarisayo na masadukayo, hatufai kitu, siku hizi watt wa Ishmael wanalea watoto yatima, wanasaidia wagonjwa mahospitalini, wahi maana wateule nao wataisha, kazi yako pia itakuwa bure? Kufa kwako msalabani kutafaa nini? Njoo masiya njoo tunakungoja njoo uje uweke wazi mafumbo haya.
Ananja na magufuli baba 1 mama 1 maana wate wanasimamia kwenye haki
Kheeee
Weeee nawe umelewa hawafanani hata kidogo
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂 Ukizungumza na mkuu wa wilaya tu hatulali... je Mungu tutakuwepo kweli😅
Nakuombea kwa Mungu akujaalie uijue haki ili uifuate Inshallah 🙏🏻🙏🏻 kwa ndugu zangu ktk iman tuitikie amin
uzuri wa mchungaji hananja anaongea facts,Mimi ni Muislamu lakini napenda sana kumskiza Hananja,
Even me broo
Juzi Namuona Geo Davy anahubiri kavaa Suruali inafanana na sketi😆😆😆 na waumini wapo wapo tu kama wamerogwa vile😆😆😆😆😆
Illuminati Geordavie
Fillmasson yule shweitwani anaabudu nawengi wataingizwa bilayakujijua alafu watajuta
😂😂😂😂😂
Hahaaa😁😁😁
Shetan yule
Musa alikuwa anakusanya dhahabu chombo chake na pesa chombo chake sasa unaongea nini? Musa alikuwa anawaambia Mungu kasema toeni dhahabu na pesa
Hananja hajui mambo mengi sana. Yaani hata mimi sio mchungaji nampita kwa mbali! Haendani na viwango vya Serikali Tukufu ya Ufalme wa Mungu. Itabidi tumuombee macho na Roho vifunguliwe. He is in total darkness.. haoni kabisa. Hata maandiko hanyewe hawezi kuconsolidate akapata mafunuo sahihi
Huyu mchungaji angekua uraya naamini angekua mbali sana maana kwanza unafiki hataki na uongo hataki amesimama katika bibilia
Sio uraya ni ulaya😂
Ulaya kazi ya ulaghai inalipa?
Joel 2:28.
Kweli kabisa huyu ni tunu ya Tz ila hatuthamini watu kama yeye. Ni Mungu atamlipa
Kwanini sasa unaamini mpaka awe ulaya??
@@vickytorry100
Acha kujitoa ufahamu wewe, Mungu yupi amtumikiaye anaye mruhusu kukejeli kwa rejareja hivi. Hii ni tabia ya Goliati.
Hananja Mungu amuweke upo wazi Sana . Naomba Mwenyezi Mungu akuongoe
Mimi nimwislm ila huyu jamaa namkubali cn
Mungu akubaliki sana 🙏🙏🙏
Hongera mchungaji Mungu akubariki sana kwakweli hilo la michango watu wamefirisika
Safi sana, a good pastor who understands the scriptures, tunazungumza na Mungu kupitia maandiko yake matakatifu
Kupitia Roho Mtakatifu aka Roho wa Mungu anaye ishi ndani yetu ambaye anatuwezesha kudadavua hayo masndiko.
Mchungaji wako mpaka hapo ni muongo tayari. Kwa umri wake amedanganya wangapi? Atubu na aache huu usanii utampleka jehanamu ya ziwa liwakalo moto milele..
Yohana 14:16-18.
@@wamisangi2801yohana 17:3
Kristo aendelee kukutunza baba,, nakupenda..God bless you
Mchungaji Mungu akutie nguvu
Mchungaji kweli, hachoshi hakinaishi kusikilizwa mafundisho na vionjo vyake, na tunapata kitu kwake faida yetu ya kiroho na kimwili. Sio hao wanaojiita,mh,dr,nabii, mtukufu sijui ujinga na sifa. Mungu pekee apewe sifa na si mtu
Ndio Kuna watu waiwojaliwa neema hapa Dunia wanasikiya sauti ya Mungu kimono ao kupitiya mjumbe (Malaika)
Hayo ndo matatizo ya afya ya akili, 😂😂, yani usikie sauti ya mungu kupitia malaika.
😂😂
Hahaaa
Huna akili chizi wewe
Uyu jamaa ni mwalimu, mzuri muhubiri mkweli na mwana falsafa katika elimu ya dini kenya tunamkubaliii
Mungu akubariki man of GOD, the bible says give as you purporsed in the book of 2cor chapter 9:7. sio hizo za kutisha watu, Congo tuna tishiwa holy ghost
huyu.hananja yupo.kiimani sana.masha Allah namsikilizaga.sana.huyu.mbaba.sio.tapeli.kama.hao.wengine.wezi.tu.
Alimuona Mungu anafananaje? Wakati kitabu cha mwanzo kwenyekitabu chauumbaji wa dunia maandishi yanasema Rohoya Mungu ilituliajuuyakirindi chamaji.
Kwa maana hanaumbile walahakunabinadamu aliyewahi kumuonaMungu. hizoteojia wanasomawapi haowachungaji wakujitegegemea.
Kwakweli hananja na baadhi ya wenzako nawakubali, mungu awabariki mnooo mnasema ukweli tu
Ukiendelea kuongea utoporo we eti hananja unanjaa ya kubeba na punda mpumbavu wewe huwezi kumfikia Nabii Mkuu angalia kwanza tunavyomtaja kwa helufi kubwa inamanisha yeye ni MKUU kuliko ww ndo hujui chochote unaongea tu utoporo kama unakunya mbwa ww
Majambazi yameingia makanisani,watu hawana hofu wanajiita manabii wa mchongo,stukeni watanzania! Musa mwenyewe hakumuona Mungu,hakuna mwanadamu anayeweza kumuona Mungu akaishi!
Kweli Kweli
Fact! 😂 Huyo Davie sijawahigi muelewa kabisa😂
KWASABABU HAUPO KIROHO BALI UPO KIMWILI .
@@YOSHUAMWAMPETAmwabudu shetan mwenzio ushafungwa akili hujielewi
@@KhadijaMwenda 2YOHANA :20"Nasi twajua ya kuwa Mwana wa Mungu amekwisha kuja,naye ametupa akili kwamba tumjue yeye aliye wa kweli, nasi tumo ndani yake yeye aliye wa kweli, yaani ndani ya Mwana wake YESU KRISTO.HUYU (YESU) ndiye MUNGU wa kweli , na UZIMA WA MILELE." Ninajijua mimi ni NANI ndani ya YESU KRISTO WA NAZARETI MUNGU WA KWELI ,wewe Je?
Ni kweli wachungaji wengi wanaanzisha makanisa ili wapate pesa. Wanafanys makanisa kuwa ndiyo biashara zao. Watu wanato sadaka kwa wachungaji wao bila kujua kuwa wanawaaminisha uongo tu. Soma biblia upate masrifa.
Maranyingi ananifurahisha na ananiimarisha sana kiimani
Mchungaji Hananja umesema ukweli Dini nyingi zote zilizofinguliwa hivi karibuni ni za kuwala wajinga ndiyo waliwa
Pastor upo sahihi sana
Mafundisho yako ni pamojana kucheka tunafurahi ila wengine wanafundisha kama wanatufokea
Eti we mkaanga chipsi utaongea na mungu wwww😂😂😂😂
Unachekelea kama mazuri vile? Mkaanga chips aliye mpokea Bwana Yesu kwa taratibu zilizo elekezwa na Neno. Si tu kuwa anaongea kupitia ndoto/maono na Mungu lakini Roho wa Mungu anaishi ndani yake. Mawakala wa shetani katika ubora wao kupotosha wwtu wa Mungu ili wawaunganishe waende nao moto.
Joel 2:28.
@@wamisangi2801Mungu anaweza kusema na mtu yeyote kwa lengo la kutimiza kusudi lake, ila Mungu anayesema na mtu mmoja tu wengine hataki na tuchunguze hilo alilolisema linalenga nini?
@wamisangi2801
mzee unaamini geordevi kaongea na Mungu live sio???!,
@@yuzotv458
Jiongeze wewe, hujui hawa manabii wa uongo wanavyo lindana na kusaidiani. Kwa akili zako unafikiri huyu mchungaji anampinga Geodavi. Juzi tu katoka kusifia nabii wa uongo TB Joshua ndio leo ampinge Geodavi.??? Hii ni scheme ambayo imepangwa ikapangika ya shetani na mawakala wake.
Iko hivi,Wiseman Daniel mmoja wa wasaidizi wa karibu na kuaminika sana wa nabiibwa uongo TB Joshua, alitoa ushuhuda kuwa nabii wa uongo TB Joshua alikuwa anafanya Ubatizo wa uchi wa mnyama kwenye mlima wa maombezi hapo scoan. Huyu mchungaji alimtetea leo ndio apinge huyo wa Arusha. Kutoka 20:26 na Yohana 21:7.
Hawa manabii wa uongo wanafanya hivi. Wanatoa tuhuma dhaifu kwa mwenzao wakiwa wameandaa hoja zenye nguvu kutetewa na wengine hapo baadaye kuendea kudanganya watu wa Mungu.
Tuhuma zote anazopewa TB Joshua ni dhaifu na zinazo hoja zenye nguvu zitaendelea kutolewa kadiri muda unavyo enda kuzipinga hii ni kwa madhumuni ya kuendeleza umaarufu.
Unajua kwa nini. Nabii wa uongo TB Joshua alishadanganya kuwa yeye ni masihi baada ya Bwana Yesu Kristo kwani Mungu huleta mwokozi duniani kila baada ya miaka 2000 yeye ndiye wa kizazi hiki. Huu ni mpango aliacha hata baadhi ya mikakati ya huu uongo akiwa karekodi matukio ya kupigia propoganda.
@@yuzotv458
Geodavi na mchungaji wote manabii wa uongo.
Waisilam acheni kukosoa msiyo yajua wote tumekaliliswa tu hizi dini kwa madiko ukweli anao yule aliye kuwepo kwenye tukio
Tatizo lenu mnafanywa sana ngombe hilo ndio tatizo sasa mtu anakwambia ameongea na mungu na wamekaaa pale wanacheka 😊😅😅 sasa waislam ushawahi kuskiaa shekh kasema upuuzi kama huo
Hassan usisahau waislam mnapenda kufanya kinyume Cha maumbile
Halafu makundi mengi ya kigaidi ni yenu
Halafu mna chuki za hali ya juu sana na ubinafsi umejaa sana kwenu
Ila ni nyinyi sio msaafu wenu
Hata sisi bible haijasema Geodav huyu nabii wa uongo eti ndio ukristo
Kua kiimani sio unakua kwa chuki ya kidini@@hassanachunis1166
Hata we dini umerithi unaijua vizuri ,,,,,Dini zote Ni biashara tuu,,,@hassanachunis116
Waislamu wanajutambua,huwez kuona upumbav huo msikitin
Ukizungumza na mkuu wawilaya hatulali.. Uzungumze na Mungu tutakuwepo kweli hahaha.!!!
Wambie ww mkristo mwenziwao maana tukisemz ss waislam wanasema tunawachokoza
Kwahiyo mzee Hananja mtu kama hasomi Biblia hawezi kuongea na Mungu?, kina Adam, Nuhu, Ibrahim, Joseph, Paulo wao waliongea na Mungu kupitia Biblia gani mchungaji?. Mchungaji inamaana hata hujui maana ya Rhema na logos? mchungaji unasema Mungu anaongea kupitia biblia pekee na kazi ya roho mtakatifu kwako ni nini?.Inamaana Kama kuna ajali mbaya inakukabili kesho Mungu hatakuonesha mpaka ukasome biblia?. Biblia inaposema Mungu husema na watu kupitia ndoto wewe hilo andiko hujawahi kuliona tangu uanze kutumia Biblia?. Ila inasikitisha sana maana maandiko yanasema katika maneno mengi hapakosi........
Wewe hujaelewa maana Ake KUPITIA maandiko ambayo umeyashika na Mungu akaka kwako Mungu uzungumza nawe KUPITIA maandiko hayo
We hujamwelewa pastor,tulia ujifunze taratibu,haifai kwenda mbio
Ucpende kukurupuka mkundu ww
Sadaka ni hiari ndoman waslamu hatulazimishwi kutoa kiwango fulani
acha kupotosha wewe mzee maana hata Bwana Yesu aiishuhudia watu wakitoa sadaka na pia alimsifu mwanamke mjane ambae alitoa senti mbiili na wala Bwana Yesu akumuurumia kwamba asitoe sadaka kwaiyo naomba asipotoshe watu wasio na ufahamu wa maandiko
Upo sawa
Yaani wewe mchungaji mstaafu ungetulia tu ungeonekana na hekima kila mahali unaongea ongea
Kuna watu WA rohoni na WA mwilini ndicho kinchoonekana hap
😂😂😂😂😂 Mkaanga chips ww huongee na mungu
Mungu akurehemu ujui unalo tamka ww
Duu haponimekukubali. Mzee wachungajiwengi waongo. Etiwanajitia wameongeana Mungu. Kaniambia hivi.hivi watuwanakubali. .mtihani. Allhamdulillah kwakua mwiislam
Hivi kumwona mchungaji ni pesa hivi kulikon
Asiy mkubali huy mchungaji akalie🖕
Mwandishi hata Kuandika hujui,mungu ni mzimu na MUNGU ndiye wa kweli
Acha ushamba bn tfsri ni ile ile
Barikiwa Sana ❤hii ni kweli
WAJUA KUANDIKA ILA KUFUNDISHA HUJUI.Sema MUNGU anaandikwa kwa Herufi kubwa Hususani Herufi ya Kuanzia.Ukiandika jina Mungu kwa kuanza na herufi ndogo kwa mfano kwa kimombo ukiandika gods itamaanisha miungu.
Aliyemchagua Mungu amemchagua. Mungu turehemu.
NIHATARI SANA.
Eti mkaanga chips aonane na mungu😂😂😂
😂😂😂😂 jamani nimecheka hadi machozi
Elijah alikuwa Mkulima, Musa alitokewa na Sauti ya Mungu pale alipokuwa akichunga ngombe wa baba mkwe wake, Kwa hiyo kutokewa au kuambiwa jambo na MUNGU ni Mpango wake Yeye Pekee ndiye mwenye Uwezo wa Kuomgea na Yeyote amtakaye, Haijalishi ni Muuza Chips au Mkulima.
😂😂😂anatembea tembea utafikili nzengeli max😂😂😂
Mchungaji Hananja hapa umechemka kubalikosa.Lakini pia mimi siwezi kumlaumu sana.Kutoka na mapokeo ya dhehebu lake.Mungu anaongea kwa njia ya Neno, Kwa Roho mtakatifu.na Yesu mwenyewe. Kuna njia nyingi
Lakini mtu hawezi kuongea namungu kwasasa kama mussa
Baba wapewape maukwel wanajua ila wanaigiza wape wape
sanam lako utalkuta posta wki ijayo mzee
ww ndo uko viziri kwa KISASI chako
MUNGU YUPO JANA LEO NA HATA MILELE UKIMUITA ATAITIKA WE UMESHAZEEKA NA HUYOMTANGAZAJI MWENYE NDIO KABISAA KUTWA KWENYE INTERVIEW KUMTAFUTA MUNGU AAAAH
nawewe utazeeka hakuna umri wa mtu unaorudi nyuma
Ila huyu mzee ni mwanafasihi mzuri sana😂😂😂
Mungu amemuumba wa pekee sana
Michango ni mingi sana bhana kweli 😅😅
Mchungaji hupo vizuri na ni mkufunzi mzuri tu iLa kuna nafasi anakosea anasema eti hakuna binadamu anaweza kuongea na Mungu kwanini mbona zamani akina musa Elia nabii isaya na wengine tu kibao waliongea na Mungu iweje Leo apinge kwamba hakuna binadamu anae ongea na Mungu?? Sema kwa wakati tulio nao wameibuka manabii wengi wa uongo kama yasemavyomaandiko siku za mwisho kutatokekea manabii wa uongo duniani ndivyo yesu alisema
Ndio hivyo kwazama hizi hakuna anaeeza kuongea namungu
😂😂😂😂😂nimecheka sanaaa
Ananja ni mfano wa kila kiongozi wa dini
Kabisaaa🤣🤣 tanzania sihami mimi.uko sawa mchungaji
Mchungaji wewe unajielewa sanaaaa mungu akubariki.hakuna mwanaadamu wakuongea na mungu wanakanisa laa Arusha pale kwa devi wahajielewi
Ukweli mtupu Dina za mchongo hizo, Mungu akuzidishie HEKIMA Mchungaji Hananja 🙏🏾
Manabii wa uongo watawapata wanaweke wajinga.
We nawe mjinga mwingine@@wamisangi2801
Iiichi watu wake wengi ni ziro brn
My mcungaji
😂😂😂😂Leo nmejikuta nacheka peke yangu.
Dah hananja unaongea Sawa kabisa
Huyu mch ni mkweli kwa yeye Mungu hajawahi kuzungumza nae ila Mungu huzungumza na watu .Ni kwa njia gani kila mmoja kulingana na mahusiano yake aliyoyajenga mwenyewe.Mungu sio bubu .
Mchunguji mkweli huyu
The big brain
Namkubali sana Huyu mchungaji
Mungu yupo anaongea na watu wachache, sio manabii tu, kuna watu walikuwa washirikina , wameonana na Mungu na waliacha, wapo waliokuwa icu wamezungumA na Mungu live wamepona
Sio kweli acha utapeli
😂😂😂😂 dah nimecheka kweli
Mchungaji wewe umeajiriwa na KKKT mziki wa Geo Davi achana nao kwepa kwepa hivyo subiri mshahara wako mwisho wa mwezi. Usilazimishe kila swali ulijibu mengine tulia. Kukaa kimya nalo nijibu.
Kwan amekwambia anashndana au mkundu wako unawasha.. anaweka watuu kwny mstari
Huyu mchungaji angekua muislam bas ndo angekua shehe mkubwa tz mchungaji nakuombea Dua islimu kabla hujafa maana unaongea ukweli
Man of god really man
Jembe moja hatari
😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣 hilo kweli kabisa ,
St Francis mbeya
Wengi wanaomsifia hananja awajui biblia ......ingawa simtetei geo dav
Pole
😂😂😂
Tulia matapeli mpo wengi
Ww na mkundu wako unajua nn na matako yako... Ww mbn umemckiliza inamaana naww hujui biblia watyu wengine akili mnaziweka mkunduni ama
Mungu utusamehe
Huyu Mchungaji Ana Akili za kiislamu kabsa Wallah Tena ipo siku mtasikia kasilimu huyo Maana Akili zake ni zakiislam Mwanzo Mwisho
Kabisa yaan IPO siku inshalah tumuombee
@@ShamimMsofedini ya hovyo Islamic
Manabii jamii ya akina Geordavie wa mungu wao aitwaye mungu wa dunia ni kweli huwa wanaongea naye hata kukaa naye.
Wachungaji au wahubiri wanao mahubiri Mungu kutoka miyoyoni mwao ni wachache sana. Tatizo ya wao kupata wafuasi hao wachungaji kanjanja wengi ni wajanja na wanajua kupangilia maneno
Hananja nimmoja tuu hatotokea tena
Michango mingi harafu mazngaombwe kbao
😂😂
Unasifiwa na wengi sawa, lkn unategwa kwa maneo yako uikane imani, kumbuka Mungu ni yeye yule habadiriki, unamaanisha Mungu ameacha kusema?,
Wakati unamkosoa mwenzio sawa hata akiwa hayuko sawa ,wewe ndo unakosea zaidi😂😂😂😂😂😂
Mchungaji fanya tahadhari usije uka kufuru mahandiko .
Wokovu ni Wa Mtu Binafsi na MUNGU, kupangiwa sadaka ni ubakaji wa kiroho.
Toa kwa kadri ulivyo barikiwa.
wajanja ndio wali wao. bora uwaelimishe wew huenda wakakusikiliza. unampa sadaka mtu kavaa suti za bei kali, ana na gari kali alafu wew umepanga na huna hata baiskeli. si bora umpatie sadaka jirani yako ambae unamuona ana hali ngumu, au maskini au yatima. watu wanakua wagumu sana kumsaidia mtu binafsi anaeonekana kabisa ana shida kila aina ila huyhuyo yupo tayari kwenda kumpelekea nabii tapeli. ili aonekane na wengine tu dah jamaa anatoa sadaka kweli.
👆👆👆HAKIKA HUJUI UNACHOONGEA.Mungu akusaidie. NEEMA YA UTUMISHI INATOFAUTIANA KATI YA MTUMISHI MMOJA NA MWINGINE.
acheni kuwadanganya watu na kuwachukulia hela zao kwa nguv zenu za giza.
@@YOSHUAMWAMPETAacha ushenzi! Unamtisha Ili iweje?
@@billmkushi849 USHENZI NI UPI? Jifunze lugha kabla ya KUITUMIA ILI UWE SALAMA KIMAWASILIANO.
et mkaanga chips 😂😂😂
True
Jamani ukristo unaelekea wapi? Ee Yesu mwana wa Mariam plz rudi, angalau utunyakue wachache tuliobaki kukuamini ktk kweli ya neno lako, usikawie maana hata walio wateule wanaanguka, ushoga kanisani,
Kamari kanisani,
Vikoba kanisani,
Ulawiti kanisani,
Ufiraji kanisani,
Utapeli kanisani,
U-miss kanisani,
Biashara kanisani,
Ulevi kanisani
na kila aina ya uchafu, waliobaki na msimamo wa dini ni watoto wa mama mdogo tu! Kumbuka ee Yesu ulisema, wema wetu usipozidi wema wa mafarisayo na masadukayo, hatufai kitu, siku hizi watt wa Ishmael wanalea watoto yatima, wanasaidia wagonjwa mahospitalini, wahi maana wateule nao wataisha, kazi yako pia itakuwa bure? Kufa kwako msalabani kutafaa nini? Njoo masiya njoo tunakungoja njoo uje uweke wazi mafumbo haya.
Ukifungua kanisa,nje andika kibao malizia na "Miracle Center" ukikosa pesa njoo unilaumu,utajenga,utanunua SUV'S utafurahi
Mtu ambae si muislam hata afanye mema kiasgani hayatamnufaisha kwamungu salama yake kwanza atamke shahada halaf afate maamrisho ya Allah
Umekalilishwa hongera
Quran 40;60 wote mnaomuabudu allah mtaingia jehanam mzalilike 😅😅
@@ernestcharles4288 uongo wa hali ya juu sana umesema Quran 40.60 suragani Sasa acha uongo soma ujue ni ipi dini yahaki
Wote ndio nyie mnaojifanya mnazijua siri za Mungu pumbavu
hapo kwnye Sadaka na michango michango mingine, inabdi uende kwa viongozi dheheb flan ivi ukatoe somo kule maana.
Et mkaanga chips😅
Wape dose yao Mzee nakubali...watu wamezidisha utapeli..
Huyu anamjua Mungu na Imani pia. Huu ndio werevu Kila mmoja afikie hapa walau kwanza
Peço ajuda família, nataka kujiunga mwezenu na uyu mchungaji
Huyu ndo muchungaji wa kweli aliyebaki duniani wengine wote wapigaji
Mungu akuzidishie maarifa hananja
hahahahhaahaha.....😂😂😂