Pole sana afande naona waongea kwa hisia sana hili tukio sio la kawaida katika jamii yetu ya watanzania huyo muuji apate adhabu kali sana ikiwezekana nayeye auwawe
Duuuuh Ama Dunia haina huruma na binadamu wanajipenda wenyewe sjuh kesho kwa Mungu tutasema nn wanadamu kwa matendo mabaya. Apumzike kwa Amani. Afande Uyu Yuko makini kuelezea alfu jambo ili limemuumiza mno anaongea kwa shda na anakazia Anauchunguu
Mtuumiwa ni Jambazi alieshindikana Mpk alipata nguvu ya kudeki aseee,ila sasa Damu ya Mtu uwa inalia mbele za Mungu ndo maana hajafika mbaliii.Uyu afande🤝🤝🤝anasistiza Watu tusishadie Mambo tusiyoyajua yakatupa shda😔😔inauma jaman kaka wa watu
Duu Damu ya mtu ninzito' we² unaroho Nguni km unachinja kuku' na yeye asinyongwe'ushaidi umekamilika'ila auwawe' kwa kukatwa kakiungo kamojakamoja hadi afe
Ivi wewe raisi unashidwa kutwoa tamko Kali pamoja na kuchukua hatua Kali kabsa zidi ya mauaji haya ? Afu tunakuona uko ufaransa unafanya nini ? Wakati nyumbani kwako unamakero kibao kwamba hauoni sio mbona wakti ule wa magufuli hapakua na mambo Kama haya? Mimi sjui wewe ikulu unafanya nini wakati raia Wana uwawa Kama wadudu tu hatukuelewi kabsa
TZ inatisha sasa hivi kila Siku mauaji ? mpaka makanisani jamani Kuna Nini TZ imesurubia na Nini ? kila Siku nasema isomewe tz wafuasi wa wanganga na maframason hawana akili wana fikiri wakiua mtu watakua tajiri ?au watapoteza maesha yao jela kwa maesha yao inamana hawapati faida yote Ila majuto tu kwa kuweka magerezani dahari
Nimempenda bwana AFANDE anazungumza Kama mwandishi wahabari❤❤
Poleni jeshi la polic kwa kazi ngumu, pia pole kwa Familia, na watanzania sote tuwe pole maana hivi vifo vinatuliza kila itwayo Leo.
Shikamooo kamanda kwa kazi nzr. Ila wewe ni zaidi ya police 🤣🤣🤣 .Ila unafaa kuigiza pia
Punguza fujo
Hivi si wamsagesage huyo aliyemuua mwenzake jamani auawe na yeye hivohivo
S2S2@jestinabenedict4620@@jestinabenedict4620
Duuh inatisha Sana hongera kama kwa kuifanya hii kazi kwa wered wa Hali ya juu Sana mpaka mtuhumiwa amepatikana
Et Chuma !!akamuongezea chuma kingne mh hii Nchi yetu jmn kila sehem Mauaji ya kutisha eeh Mungu tuokoea Watanzania tuwe na Hofu ya Mungu..
Mungu naomba niepushie hiyo roho chafu🙏Mungu akiamua kukuabisha hufiki mbali
Kabsa
Asante sana police kwa kazi nzur mlizozifanya
Pole sana afande naona waongea kwa hisia sana hili tukio sio la kawaida katika jamii yetu ya watanzania huyo muuji apate adhabu kali sana ikiwezekana nayeye auwawe
Kwa nini yy ameua hlf yy isiwezekane kuuawa. Yàani anyongwe hadi kufa.
Serikeli iweke sheria uki uwa basi na ww upigwe risasi adharani uone kama mauwaji haya taisha ila mtu anauwa anajuwa anakwenda jela kula nakulala bure
Kwel kabisa
Jaman hii nchi imekuwa ngumu sana 😭😭😭😭
Dah jamn kamuuw mwenziwe namn hii huyu s bnadamu alomuuwa mwenziwe anyongwe kabisaa asiwekwe ndan dahh😭😭😭
We ni comedy au kamanda🤭🤭😱😱
😂😂
Uwiii Mungu tunusuru na haya majanga uyo muuaji sio wa kubaki jamani serikali iingilie kati😥😭😭
Surely a church leader si mwatuharibia hata kuja kanisani. This is soo sad indeed 😭😭😭
DAR JA NA SIMBA DU
mambo
Jamani tunaelekea Wapi sisi wanadamu mungu tujalie mwisho mwema
Afande unaongeaga vizur tunahuzuni Lakini unatusabayi ongea Yako napendaga hatar
Huwezi kumwaga damu ya mtu halafu ukasalimika soma kisa cha kaini alipo muua habiri mwanzo 4:1-n.k
Hakika wanadamu tumepoteza hofu ya Mungu mioyoni mwetu Mungu tunakuomba utusikie vilio vyetu,uwiiiiiiiiiiiii lnatisha saaaaaanaaaa
Eeeeeeee mwenyezi mungu tusaidie nautuepishe nahizi roho 😭😭😭😭😭😭
Huyu aliyeuwa ni mtumishi kwel anamjua mungu kwel
Subhana llah
Mungu naomba utusaidie ya dunia mengi
Jamani kunawatu ni wanyama,, alijipanga kabisa 😭😭😭😭😭😭na mifuko kabisa Mungu iokoe nchi yako kilasiku matukio
A uuzhu bi LLAHI MINA SSHAI TWAANI RRAJIIM
Poleni sana nduguzetu
Mungu ingilia Kati hii roho ya mauti iliyoivaa inchi yetu mungu tusaidieeee😭😭😭
Mungu tusaidie
Tamaah kasyan
Jaman jamna jaman 😭😭😭😭😭
Yes u angu
Duuuuh Ama Dunia haina huruma na binadamu wanajipenda wenyewe sjuh kesho kwa Mungu tutasema nn wanadamu kwa matendo mabaya.
Apumzike kwa Amani.
Afande Uyu Yuko makini kuelezea alfu jambo ili limemuumiza mno anaongea kwa shda na anakazia Anauchunguu
Mungu atunusuru dunia ipp mwisho
Tunamuomba kwa Mungu afungwe miaka zaidi ya miamoja
Asante kamanda
Hatari sana, mbaya watu hawa wabaya wapo kanisani!
Watu wanaroh ngmu kiasi hicho kaah polen jaman wanafamilia😭😭😭😭😭
Vpmambo
Ee🎉
Izo ela watazipeleka wapi😢😢😢
Binadam jamn 😭😭😭 Tanzania jamn imekuwaje
da Mungu saidia wanao
Polen sana
Subuhanallah mtihani huuuu
poleni sana
Asante nimmpbdq
Ni movie gn hii au ni kweli
Mungu aailaze mahari pema peponi rouo yake
Ni afande lakini ni kama ni mtangazaji pia Duuuuuuu saf sana
Heeee nimejikuta nisisimka mwili ivi kweli hiyo roho jamani shetani anaharibu watu
Hiki kiswahili mashaka kumkatakata marehemu
Dunia imeisha jaman
Pole kwanafamilia huo mtu anyomgwe
Mh pole familia
Mungu tuhurumie binadamu wamekuwa wanyama jaman
😭😭😭😭innaa lillaahi wainnaa ilayhi raajiun
atali sana
Angekuwa Hasani suluhu angetuhumiwa kama Gaidi lakini Kwa huyo jamaa anaitwa muuwaji tu!hii Dunia bhana!!!ngumu!!
this is so sad God have mercy to the family
Amempiga MAREHEMU AMBAYE KWASASA AMEFIRIKI 😁😁😁😁😂😂😂😂😂😂😂
Huyo shetan kwel
Dah!
jamani binadamu
Kivo Cha gweya
Mtihani
Jinwa
Uyu anafaa kuwa mwanahabari😅😅
Mmmh jamn😢😢😢😢
Mungu tusaidie tuwe na hofu yako, duh unyama gani huu?
Dah
Tunakwenda wapi?
Yan afande anavotangaza huzun imenitoweka gafla,, ila Dunia imeisha jaman
Ushauri wangu kwa POLISI. Haya matukio msiwe mnayaripoti maana jamii imeona ni KITU Cha kawaida kwani hatuoni wauwaji wakipewa adhabu
Rest in peace
Siku zamwisho 😭😭😭😭😭
Adi nje ya kanisa.hatuogopi sai kabsaaaa n huzun kwakwel
Hii Dunia inaenda wp jaman, mauaji ya kikatili kiasi hiki😭😭😭
Jamani afande pole sana unaonyesha umeumizwa zaidi hadi kuongea shida pole baba angu afande na familia yake
Daah afande kaongea kwa uchungu sana
Huyu Afande noma sana kwa haya maelezo hadi ni mesahau kama ni tukio la mauaji
Kwa kweli nimejikuta nacheka kama mazuri ety pigo la pili ndolilomuua dah
Jmn 😂 ila watu mpk umenifanya nicheke utafikr mazur
Afande unafaa sana umechukuwa nafasi ya mstaafu kamanda muroto yani umeiziba kabisa 😄😄
Nimempend police watu wote mnaowakata waalifu mngekua mnatup habali hivi ingependez natamn afand nikup jpo soda nimepend kaz yko
Dahhh😢😢🥺sidhani kama ni mara ya kwanza kuua huyo jamaa. Na nahisi anafurahia kuua😢😢
Pepo
Afande unafaa kuwa mtangazaji
SUBHANALLAH😭😭😭
Ndashangaa Polis wakisema uchunguzi unaendelea Mtuhumiwa ahukumiwe chapu
Sema kamanda unatupunguzia maumivu
TULISHAONA KWA MADIWAN WACHADEMA LEO KWA WATU BAKI INAUMA SANA
Alie ua auwawe
Mtuumiwa ni Jambazi alieshindikana Mpk alipata nguvu ya kudeki aseee,ila sasa Damu ya Mtu uwa inalia mbele za Mungu ndo maana hajafika mbaliii.Uyu afande🤝🤝🤝anasistiza Watu tusishadie Mambo tusiyoyajua yakatupa shda😔😔inauma jaman kaka wa watu
Tuwe na hofu ya mungu jamani
Jamani,jamani,tunaenda wapi mungu tuepushe na hii roho ya mauti💔🙆😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭🤔
Duu Damu ya mtu ninzito' we² unaroho Nguni km unachinja kuku' na yeye asinyongwe'ushaidi umekamilika'ila auwawe' kwa kukatwa kakiungo kamojakamoja hadi afe
Hakika wanadamu tumepoteza hofu ya Mungu mioyoni mwetu Mungu tunakuomba utusikie vilio vyetu,uwiiiiiiiiiiiii lnatisha saaaaaanaaaa😂
Ivi wewe raisi unashidwa kutwoa tamko Kali pamoja na kuchukua hatua Kali kabsa zidi ya mauaji haya ? Afu tunakuona uko ufaransa unafanya nini ? Wakati nyumbani kwako unamakero kibao kwamba hauoni sio mbona wakti ule wa magufuli hapakua na mambo Kama haya? Mimi sjui wewe ikulu unafanya nini wakati raia Wana uwawa Kama wadudu tu hatukuelewi kabsa
Hakika wanadamu tumepoteza hofu ya Mungu mioyoni mwetu Mungu tunakuomba utusikie vilio vyetu,uwiiiiiiiiiiiii lnatisha saaaaaanaaaa
Hakika wanadamu tumepoteza hofu ya Mungu mioyoni mwetu Mungu tunakuomba utusikie vilio vyetu,uwiiiiiiiiiiiii lnatisha saaaaaanaaaa
Hakika wanadamu tumepoteza hofu ya Mungu mioyoni mwetu Mungu tunakuomba utusikie vilio vyetu,uwiiiiiiiiiiiii lnatisha saaaaaanaaaa
Hakika wanadamu tumepoteza hofu ya Mungu mioyoni mwetu Mungu tunakuomba utusikie vilio vyetu,uwiiiiiiiiiiiii lnatisha saaaaaanaaaa
Ila jeshi la polisi wapongezwe kwa huo moyo kuona huo mwili sio kazi mchezo jamani waendelee tu kutuwekea nchi salama
Mungu okowa Nchi yetu kila Leo Mauaji. Tumemkosea Mungu Tunaitaji toba ili tupone🙏
Hakika Tunahitaji Kutubu Toba Ya Kweli😭😭😭
Huyo bwana anyongwe kabisa
naomba jesh lapolis lifanye kazi kuepuka namajambazi walio naenda kanisani wegi wanajifanya wa2mixhi wa mungu
Inawezekanaje ikawa mara ya kwanza kumuua mwanadamu...kwa ujasiri huu wa kikatili namna hii?
TZ inatisha sasa hivi kila Siku mauaji ? mpaka makanisani jamani Kuna Nini TZ imesurubia na Nini ? kila Siku nasema isomewe tz wafuasi wa wanganga na maframason hawana akili wana fikiri wakiua mtu watakua tajiri ?au watapoteza maesha yao jela kwa maesha yao inamana hawapati faida yote Ila majuto tu kwa kuweka magerezani dahari
Mungu huwa wakat mwingine anaachia Mambo magum ili tujitambuwe yeye ninani naanataka Nini
Nimempenda bwana AFANDE anazungumza Kama mwandishi wahabari