NGUMU KUMEZA za KAMANDA MULIRO HADI MWABUKUSI AKAPIGA MAKOFI - ''SISI SIYO POLISI wa NAMNA HIYO''...

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 1 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 314

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  3 หลายเดือนก่อน +24

    💪💯JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP UWE MWANAFAMILIA WA GLOBAL TV NA UTUTUMIE HABARI ZA MTAANI KWAKO 🔥🔥 chat.whatsapp.com/FeLe2DcIFAg...

  • @RamadhaniSuru
    @RamadhaniSuru 3 หลายเดือนก่อน +18

    Dah!!!sikutegemea kama kamanda uko vizuri hiv umetiririka namstari vizuri safi sana bwana mliro lazima tujiamini nalazima tuaminiane nakupa maua yako🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @saidmlali8559
    @saidmlali8559 3 หลายเดือนก่อน +3

    I do appreciate you commander Muliro, you explained it very well

  • @barryrioba3934
    @barryrioba3934 3 หลายเดือนก่อน +20

    This Guy Is Well Educated, And Of Course He Seems To Have Acquired A Wide Range Of Knowledge Based On His Field Of Work As A Police Commanding Officer.
    Hongera Sana Ndugu Muliro. Mwenyezi Mungu Akuongezee Elimu Na Maarifa Zaidi Kwenye Kazi Yako Ya POLISI USALAMA WA RAIA.

    • @PASCALKANGIRIA
      @PASCALKANGIRIA 3 หลายเดือนก่อน

      Ni mtu na nusu! Anajua na anajua sana......!Nimezidi kumfurahia.

    • @Leminelimited
      @Leminelimited 3 หลายเดือนก่อน

      But he is not well informed on some issues,How can you say that Msofe was kidnapped yet....he was in the court of law!

    • @jaycee9067
      @jaycee9067 3 หลายเดือนก่อน

      Anajitahidi

    • @Thisisgrace979
      @Thisisgrace979 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@PASCALKANGIRIAmfurahie mpaka yatakapo kukuta.

  • @arjunymputen4077
    @arjunymputen4077 3 หลายเดือนก่อน +5

    Ahsante Afande Murilo yaani umeweka wazi kila kitu Hongera Kamanda naamini sasa jeshi letu watu wamelielewa na si kulipaka matope kwa vitu ambavyo vya uvumi

  • @rashidiselemaniabdallah9569
    @rashidiselemaniabdallah9569 3 หลายเดือนก่อน

    Respect fou you,Good job

  • @ShukurkollAngel
    @ShukurkollAngel 3 หลายเดือนก่อน +31

    Big up Commander Muliro. Umefafanua kitaalam kabisa na kwa hakika unastahili pongezi kubwa.

    • @musa-v3f
      @musa-v3f 3 หลายเดือนก่อน +2

      Anastahili pongezi zipi ?? watu wanatekwa na kuuwawa yeye akiulizwa hajui anajificha kwy kivuli cha upelelezi unaendelea?? unampa pongezi kwa Lipi??? wkt raia hawako salama

    • @selemanifaikii1276
      @selemanifaikii1276 3 หลายเดือนก่อน

      Pongozi zipo hizo kenge wewe

    • @controlTheoryChamps
      @controlTheoryChamps 3 หลายเดือนก่อน

      @@musa-v3f Kuna watu sijui kama wanajua kinachoendelea kwa kweli

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si 3 หลายเดือนก่อน +12

    Kamanda wangu Muliro uko vizuri sana ❤❤❤Mungu akubariki

  • @saidishebuge4796
    @saidishebuge4796 3 หลายเดือนก่อน +1

    Very bright sir

  • @JaffariBuyogera
    @JaffariBuyogera 3 หลายเดือนก่อน +3

    Very good with due respect.

  • @GEOFREYDEUS-h4c
    @GEOFREYDEUS-h4c 3 หลายเดือนก่อน +2

    Well educated

  • @ndeke_tz
    @ndeke_tz 3 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera sana kaka @muliro mungu akubariki nakutabiria kuwa IGP Mtarajiwa mungu atende jambo kwako🙏🙏🙏🙏

  • @jafarikideghesho6509
    @jafarikideghesho6509 3 หลายเดือนก่อน +8

    Hongera sana sana Afande Muliro. Uko vizuri mno mno. Very composed, indeed🎉🎉

  • @mpmakunja
    @mpmakunja 3 หลายเดือนก่อน +1

    Speech nzuri Sana kama hawajaelewa wanahitaji msaada wa maonbi , hongera kamanda mliro

  • @susananyasani6526
    @susananyasani6526 3 หลายเดือนก่อน +10

    Statement nzuri ya kueleweka kutoka kwa Polisi kuhusu kupotea kwa Wananchi

  • @sadotkyabuguta3700
    @sadotkyabuguta3700 3 หลายเดือนก่อน +1

    Afande vizuri, huku kwenye site mambo ni tofauti.

  • @jaycee9067
    @jaycee9067 3 หลายเดือนก่อน +2

    Sikujua kama huyu kamanda ni mwanazuoni kiasi hiki. I wish kazi zao zingekuwa hazifanywi kisiasa.

  • @dianaleo6067
    @dianaleo6067 3 หลายเดือนก่อน +3

    Upo vizuri kamanda sana leo nimekuelewa.sio wengine hawatupi moyo badala yake ni vitisho tuu utadhani wao wapo salama na hawafi. Ila ccm msiwaingilie hawa polisi kazi zao na kuonekana wabaya . Mnatuaribia nchi yetu

  • @juliusakilimali9424
    @juliusakilimali9424 3 หลายเดือนก่อน +11

    Kwa statement yako Kananda umetuelewesha vizuri sana!! Shida hapa ni teamwork kwenye baadhi vyombo vyetu au taasisi nyeti.

    • @ChoroTesla
      @ChoroTesla 3 หลายเดือนก่อน

      U said it all na yote inatokana na tamaa ya rushwa

    • @johanesjofrey2105
      @johanesjofrey2105 3 หลายเดือนก่อน

      Huo ndio ukweli

  • @RUSTERNYAIKOBA
    @RUSTERNYAIKOBA 3 หลายเดือนก่อน +2

    Shida kubwa Polisi mmekuwa mkionesha Upendeleo wa wazi kwa ccm.

  • @mussamalekela2107
    @mussamalekela2107 3 หลายเดือนก่อน +6

    Safi sana umeeleweka vizuri kamanda

  • @bonifacegasper9508
    @bonifacegasper9508 3 หลายเดือนก่อน

    Ila mulilo namkubali sana,❤yuko vyema sema tuu baadhi yapolice hawapo njia moja,nahawawezi kuwa sawa wote,ila chapakazi kamanda,mulilo.

  • @anacletusherbert1717
    @anacletusherbert1717 3 หลายเดือนก่อน +27

    Hawa TLS Wa awamu hii nawaona wakija kivingine kabisa yani kisasa na wenye tija kwa Taifa.

    • @harunimvamba4886
      @harunimvamba4886 3 หลายเดือนก่อน

      Miaka yote TLS walikuwa wanashikiriwa chin ya vyombo vya kiserikali lkn sahz wamejitenga

    • @philemonmagesa5548
      @philemonmagesa5548 3 หลายเดือนก่อน +1

      Yani kiukweli wako vzr nimewakubali uongozi wao huko vzr

    • @yuzotv458
      @yuzotv458 3 หลายเดือนก่อน

      @@harunimvamba4886sasaivi wana uhuru wakugonga vyuma juu ya vyuma congole kwao.

    • @theonassichula5544
      @theonassichula5544 3 หลายเดือนก่อน

      🎉

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno7914 3 หลายเดือนก่อน +7

    I love muriro ❤

  • @adelardnhundesaduka5825
    @adelardnhundesaduka5825 3 หลายเดือนก่อน +4

    Wasilisho liko vizuri Sana 👍

  • @CopperBelt
    @CopperBelt 3 หลายเดือนก่อน +7

    Afadhali umetuelewesha mana wengi watanzania wakiona mtu kavaa suti tai na nimwana sheria baaas tunaamini lakin leo Mzee Muliro umeelewesha

  • @MosesKaaya
    @MosesKaaya 3 หลายเดือนก่อน +2

    Big up sana Kamanda Muliro.

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 3 หลายเดือนก่อน

    Muliro umeeleweka vizuri mno hongera sana..Nadhani hata wavunja sheria wameelewa..Japo ki ukweli ishu za utekaji zimezidi, kuna jambo lazima lifanyike kwa kina

  • @johanesjofrey2105
    @johanesjofrey2105 3 หลายเดือนก่อน

    Very good speech mr muliro.

  • @Shekhahamed-v2f
    @Shekhahamed-v2f 3 หลายเดือนก่อน +1

    Upo vzr mkuu. Nimekuelewa

  • @severinmmassy7627
    @severinmmassy7627 3 หลายเดือนก่อน

    Hapa nistory2 kwenye utendaje nitofout sanaa

  • @alfoncekasanyi6584
    @alfoncekasanyi6584 3 หลายเดือนก่อน +7

    Kongamano Ni muhimu Sana Bila Kongamano tisingepata ufafanuzi wa Kamanda huyu mwenye weledi wa Hali ya juu

  • @JackJack-oi2io
    @JackJack-oi2io 3 หลายเดือนก่อน +6

    Upo vzur....

  • @issadassa6668
    @issadassa6668 3 หลายเดือนก่อน

    Shukuruni mungu wabongo wengi hawajui Sheria laa sivyo sijui ingekuaje

  • @TibihikaGerad
    @TibihikaGerad 3 หลายเดือนก่อน

    Saf kamanda hotuba yako nzur kabisa👍👍👏

  • @VenansiaIsack
    @VenansiaIsack 3 หลายเดือนก่อน

    Thanks kamanda murilo

  • @Masallah_kulangwa44
    @Masallah_kulangwa44 3 หลายเดือนก่อน +1

    mzee uko vzr sana

  • @AhaziSimwakwenda
    @AhaziSimwakwenda 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mulilo 🎉🎉 Unastahili sio hao wanashelia

  • @jonasjoseph6883
    @jonasjoseph6883 3 หลายเดือนก่อน

    Big up kamanda muriro. umeeleweka vzr

  • @juanmbise3200
    @juanmbise3200 3 หลายเดือนก่อน

    Salute commander

  • @titusmwele6885
    @titusmwele6885 3 หลายเดือนก่อน

    Kamanda uko vzr brother

  • @isaya8202
    @isaya8202 3 หลายเดือนก่อน +1

    Safi Sana Murilo. Hongera

  • @emmanuelmchome3071
    @emmanuelmchome3071 3 หลายเดือนก่อน

    Huyu kamanda ni kiongozi kweli. Nimekukubali Afande endelea kulitumikia TAIFA LETU KWA UAMINIFU NA WELEDI. BARIKIWA SANA.

  • @yuzotv458
    @yuzotv458 3 หลายเดือนก่อน

    chuma leo kimecheka duh🫡. one love mwambukusi mm ni shabiki wako👊.

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 3 หลายเดือนก่อน +6

    Hakika kamanda muriro umeongeya kwa kujiamini mana unaelewa sheriya hakika wewe kamanda 🎉🎉🎉🎉

  • @AbdulmalikFredrick
    @AbdulmalikFredrick 3 หลายเดือนก่อน +2

    Upo safi kamanda wangu

  • @joscamwoshezi2986
    @joscamwoshezi2986 3 หลายเดือนก่อน

    Hongera kamanda wetu.somo limeeleweka

  • @SuphianMohamed-y4l
    @SuphianMohamed-y4l 3 หลายเดือนก่อน

    Camanda upo fiti mungu akubariki akupe umri mrefu

  • @JaphetMwijalubi
    @JaphetMwijalubi 3 หลายเดือนก่อน

    Komanda kweli huko sawa,Nakupa. Marks 99 kwenye kutoa maoni sahihi .ongera sana

  • @leitonyngayama6882
    @leitonyngayama6882 3 หลายเดือนก่อน

    Policcm... Mnafanya kazi Kwa maelekezo ya CCM... Kwanini wapotee watu wanaoikosoa CCM tu

  • @blandinamatagi6723
    @blandinamatagi6723 3 หลายเดือนก่อน

    🙏

  • @shikuhata
    @shikuhata 3 หลายเดือนก่อน

    Polisi wa sasa ni tofauti sana na wazamani hili nakubaliana nalo 100% hongera sana SACP MULIRO kwa point nzito sana ni haki yako kuwa na cheo hicho ila bado wapo ambao bado wana changamoto

  • @georgemassebu2083
    @georgemassebu2083 3 หลายเดือนก่อน

    Police wote mpaka wa barabarani wangekua hivi tungekua vizuri sana,iwapo wakifanya kazi namna hii kwa weledi kujua nani ni raia asiyefaa na nani ni raia mwenye shida..watu wanaosema ni wanasiasa na wana harakati ndiyo hugeuza maneno mitandaoni na kumbe wanaweza kua sehemu ya waharifu, kuna mtu hua anasemwa yeye ni nabii na akisema mambo yanatokea,imagine mtu kama huyo anapaswa kuchunguzwa kwa sababu anaweza kua ni sehemu ya kikundi cha uharifu.

  • @mussahancy6591
    @mussahancy6591 3 หลายเดือนก่อน

    Niliwahi kuwaambia Muliro ni genius huyu mtu huwa hakurupuki,mwamba kabisa huyu IGP ajaye

  • @josephkigembe-ec4pq
    @josephkigembe-ec4pq 3 หลายเดือนก่อน +2

    Professionalism haiwezi kukaa meza moja na Rushwa. Kwa hilo sio sawa lakini pia kimsingi Police haiko kwenye group la Professions bali kwenye group la job kwasababu kuna baadhi ya vipengere haivikidhi.
    Je, huko magereza hakuna waliosingiziwa. Kama bado wapo ni wazi kuwa anaongea uongo.

    • @HemediKassimu-o3h
      @HemediKassimu-o3h 3 หลายเดือนก่อน

      Master your language then njoo ulete hizo criticism. Jipange kwa kesho, wewe ni akili ndogo.

  • @hamiskakandilo1176
    @hamiskakandilo1176 3 หลายเดือนก่อน

    To be honesty huyu Murilo ni kamanda msomi na anayejielewa mno and very smart officer kupata kutokea to my experience of more than 3 decades.

    • @Leminelimited
      @Leminelimited 3 หลายเดือนก่อน

      Kwani Msofe alikufa kweli?

  • @AzizaALSHIBLI
    @AzizaALSHIBLI 3 หลายเดือนก่อน

    Hongera kamanda

  • @emanuelurio-ok8yl
    @emanuelurio-ok8yl 3 หลายเดือนก่อน +3

    Tunajuwa unajuwa kujieleza vizuri tu hata la Saanane, Lissu. Ukiulizwa utajibu limefika pazuri

  • @ce-08
    @ce-08 3 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu ndiyo alitakiwa awe IGP sasa maana IGP yeye hata Huwa haongei

    • @rizikiwaadee8790
      @rizikiwaadee8790 3 หลายเดือนก่อน

      Huyo ambae haongei akiongea tu ujue imebidi sana

  • @enockmadale7144
    @enockmadale7144 3 หลายเดือนก่อน

    Namuona KAMANDA WANGU MULIRO J.MULIRO YUPO TIMAMU SANA

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 3 หลายเดือนก่อน +4

    Huyu kamanda muriro nakukubali sana ufafnuzi mzuri sana mwenye akili amekuelewa alokuja kisiasa hatakuelewa

  • @Wami-Sababisho
    @Wami-Sababisho 3 หลายเดือนก่อน

    Kamanda langu hilo🫡🫡🫡🫡🫡. Sio kuwa ni Askari tu Mpaka sheria zimekaa ila kuna makamanda wenzake ndio wanamuangusha. 🎉🎉🎉

  • @JohnBosco-d3g
    @JohnBosco-d3g 3 หลายเดือนก่อน +12

    Kumbe Kuna askari Wana akili hivi.... Duh safi sana!!!

    • @giningionlineTv
      @giningionlineTv 3 หลายเดือนก่อน +1

      Huo ni uelewa wa Askari Kiongozi sio Wote, kwahivyo unapaswa useme "Kumbe Muliro una akili hivi" sio Askari wote

    • @jafetykaberege4948
      @jafetykaberege4948 3 หลายเดือนก่อน +1

      Huyo ni mwanasheria kitaaluma

    • @husseinmramba
      @husseinmramba 3 หลายเดือนก่อน +2

      @@giningionlineTvmbona unalazimisha kuonekana askari wengine hawana akili? Hilo litakusaidia nin kwan....au ni faraja kuona polisi amekosea ndio upate cha kesema?

    • @georgedaniel4962
      @georgedaniel4962 3 หลายเดือนก่อน

      Mpumbavu huyo kwani yeye anaakili.

    • @JohnBosco-d3g
      @JohnBosco-d3g 3 หลายเดือนก่อน

      @@giningionlineTv good argument,,, but not true! Zingatia Neno "KUNA" So, wote is exclusive katika mazingira hayo 😂

  • @kachabisnea8815
    @kachabisnea8815 3 หลายเดือนก่อน +2

    Sema huyu kamanda namkubali sana

  • @abdillahiabdallah438
    @abdillahiabdallah438 3 หลายเดือนก่อน +3

    KAMANDA UMEFUNIKA VIBAYA SANA NAKUPA SALUTE KAMANDA

  • @makaramayatibamrmichaelkih3683
    @makaramayatibamrmichaelkih3683 3 หลายเดือนก่อน +2

    Hongereni sana polisi Sisi MUJATA tunakupongeza

  • @richardgeorge5377
    @richardgeorge5377 3 หลายเดือนก่อน

    Leo umefafanuwa

  • @edwardkongo410
    @edwardkongo410 3 หลายเดือนก่อน

    Hivi ndio kumwambia mpumbavu ,pumbavu wewe20:03 bila kutumia neno mpumbavu , Hongera sana Kamanda Murilo

  • @meshackthomas1341
    @meshackthomas1341 3 หลายเดือนก่อน +1

    But kinacho kera na kuumiza hasa raia wema nikuona muhalifu. tena mwenye uzibitisho. Au ushahid anatetewa mahakamani tena kunawengine wanashinda kesi Kwa sababu tu mashahid hawapendi kuwa. Sehemu ya chuki. nakuhatarisha family zao. Kwa vitsho hatakama wanajua ukwel. Watukio. labuda Sheria. za ushahidi ziboreshwe zaid. 💪💪👉🫶🇹🇿

  • @eliscoelisco1484
    @eliscoelisco1484 3 หลายเดือนก่อน

    Kwa mara ya Kwanza namuona mlilo Akicheka😅

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 3 หลายเดือนก่อน +12

    Nipo saudiya mtanzaniya nakukubali kamanda big up

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 3 หลายเดือนก่อน

      Roudha, Saudia upo sehemu gani?

  • @robisonikadogo7371
    @robisonikadogo7371 3 หลายเดือนก่อน

    Mama mama ningerikuomba katika Uhai wangu Uyu camanda muliro ikikupendeza mama mpe U AGP, ,ana weledi flani ambao police wakubwa wengi Awana

  • @Lusambosports
    @Lusambosports 3 หลายเดือนก่อน +2

    Kamanda Muliro, unastahili pongezi sanna, ulichonifurahisha unaongea kwa kujiamini na umeongea fact. Tumekuelewa kamanda wetu.

    • @malilosaid6495
      @malilosaid6495 3 หลายเดือนก่อน

      Tuwe na sela ya serekali TU ndiyo hayo yonte yataisha maana wataacha kupewa oda ya chama
      Maneno mengi ya uchochezi Yana Toka kwenye mapindunzi

  • @leitonyngayama6882
    @leitonyngayama6882 3 หลายเดือนก่อน

    SASA mbona wanakufa na mnahusika Kwa kiasi Fulani? MTU anakamatwa na miongoni mwa watu wako, na anakutwa amekufa, WAPO WAPI WAUWAJI?

  • @peterjosephat6685
    @peterjosephat6685 3 หลายเดือนก่อน +1

    Pamoja na maelezo ya kamanda wanaofikiri kwa kina wanaweza kusema ni siasa maana kuna kesi za muda mrefu kama kupigwa risasi kwa lissu watuhumiwa hawajapatikana

  • @hassanluhwago3978
    @hassanluhwago3978 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kamanda safi sana ....

  • @sarahkinyashi6213
    @sarahkinyashi6213 3 หลายเดือนก่อน

    🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @Ambagaye
    @Ambagaye 3 หลายเดือนก่อน +2

    Kamanda anathibitisha kuwa zamani walikuwa wanabambikiza kesi na kupika ushahidi ! Sasa ivi wameacha.

  • @misanamsese8385
    @misanamsese8385 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hao wanao pigapiga makofi ni watu wa ainagani

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 3 หลายเดือนก่อน +2

    Kamanda somo limeeleweka saana tena saaana, natumai walimu wako wanafurahia matunda, tuhuma ziko nyingi kwa Jeshi la Police ila mkijitokeza na kutoa ufafanuzi jamaa inapumua na kujenga iman na Jeshi, ila Poleni saana mana likifanywa hata na taasisi nyingine lawama huwa ni kwenu

  • @JaphetMwijalubi
    @JaphetMwijalubi 3 หลายเดือนก่อน

    Commander kusundi kazi hiwe zuri hinabidi huwe na wasadizi Bora na wenye huwelewa,hapo jeshi lako litakuwa la hukweli, haya malamiko Kwa wananchi takwisha.maana Sasa Rai hakiona janga haongopa kutalifu police maana hatasumbuliwa,kwavile Rai wanagopa, je hii utafanyaje kusundi raia wakusadiye ,waliona tukio.

  • @t.jsaidia2047
    @t.jsaidia2047 3 หลายเดือนก่อน +2

    Kamanda umeongea vizuri sana Tunauwaminifu na wewe

  • @dannykajumba2000
    @dannykajumba2000 3 หลายเดือนก่อน +1

    Moja ya hotuba ya maana sana

  • @gayanimwansasu
    @gayanimwansasu 3 หลายเดือนก่อน

    Mulilo umefanya vizuri

  • @KhadijaTwalbu
    @KhadijaTwalbu 3 หลายเดือนก่อน

    Pturi

  • @MagingaMnyamongo
    @MagingaMnyamongo 3 หลายเดือนก่อน

    Umetupiga nondo Leo mzee

  • @JacksonNicholas-i1g
    @JacksonNicholas-i1g 3 หลายเดือนก่อน

    Wow

  • @saltechnologiesco.ltd.2377
    @saltechnologiesco.ltd.2377 3 หลายเดือนก่อน +3

    Kamanda Muliro amefafanua na kuwasilisha vizuri mada yake. Ni kweli jeshi la polisi ni letu kwani waliomo ni ndugu na watoto wetu ila inahitajika kusafisha jeshi la polisi ili baadhi ya ambao hawastahili waondoshwe ili kuondoa mashaka kwani kuna watu hawakuwa na tabia njema mtaani unakuta tayari ni askari polisi je mwisho wa siku tutarajie nini? Jeshi la Polisi linapaswa kujenga imani ya kuaminiwa na raia kiutendaji ili kuondoa mashaka na wasiwasi kwani badala ya raia kuona mahala salama ni polisi inakuwa kinyume chake hadi kuna misemo mtaani "kuingia polisi bure, kutoka hela" aidha umepeleka kesi au umeshtakiwa. Sina mashaka na askari upelelezi wa jeshi letu katika utendaji wao maana ziko kesi ngumu walishapata ushahidi bali mashaka yanakuja pale baadhi ya mambo kuonekana kama hayashughulikiwi... Ni muhimu sana jeshi letu kujitathmini na kurejea kujenga imani kwa raia.
    Pamoja na kwamba tuna matatizo ya mengi ya taarifa za mitandaoni kuwa aidha potofu, kutokamilika ama kutokuwa sahihi hili linatokana matumizi yasiyo mazuri katika mitandao yanayotokana na wengi kutokuwa na elimu na ufahamu wa faida wanazoweza kupata kupitia mitandao na ndio maana udaku na burudani ndio vitu pendwa hapa kwetu.

  • @rayisadesigns2646
    @rayisadesigns2646 3 หลายเดือนก่อน +2

    DAH!! KONGOLE KAMANDA, UMEPIGA KWENYE MISHONO!! HII KWELI INAITWA NGUMU KUMEZA!!

  • @saliminismail2271
    @saliminismail2271 3 หลายเดือนก่อน

    IGP ajaye

  • @irenekalinga323
    @irenekalinga323 3 หลายเดือนก่อน +2

    Kamanda unafaa kuwa IGP viwango vyako vya uwelewa wakazi Yako upo juu sana kamanda hapo tumekuwelewa watanzania

  • @MahmoudBinsued
    @MahmoudBinsued 3 หลายเดือนก่อน

    Kamanda nimekuelewa San somo limewafikia 💯

  • @hoseaswallo3087
    @hoseaswallo3087 3 หลายเดือนก่อน

    Umeomgea vizuri lakini maswala ya kuwaua watu linaharibu image yenu na nchi Kwa ujumla mjitathimini Kwa sababu imekuwa too much

  • @amarually5457
    @amarually5457 2 หลายเดือนก่อน

    Ikimpendeza mungu wewe murilo uwe igp

  • @jumannekamota4870
    @jumannekamota4870 3 หลายเดือนก่อน

    huyu jamaa ndo alitakiwa awe IGP Watanzania kwakweli anapoint za ki IGP kabisaaa🙏🙏🙏🙏

  • @hassanmitayo1875
    @hassanmitayo1875 3 หลายเดือนก่อน +1

    Safi sana m soldier wangu, yote umesema ni kweli.

  • @abassjuma6248
    @abassjuma6248 3 หลายเดือนก่อน

    Wafundishe kiongozi.Hao wengi wao wanamihemuko ya kisiasa

  • @francissimwinga-gb2vd
    @francissimwinga-gb2vd 3 หลายเดือนก่อน

    Ngoja na sisi comment kidogo mpaka watu wamefikia kusema labda vyombo vingine kutoka nnje vije vichunguze ni kwamba huu ugonjwa wa kutekana haujaanza Leo Toka awamu tano ndio uliko anzia na Sasa unaendelea ndio maana watu wakakata tamaa sawa na mtu umeumwa mda mrefu huponi kama una hera SI unaweza hata kwenda nnje ya nchi kutibiwa ndio tulipo fikia kama taifa Kwa hiyo watu wako trues

  • @RaphaelElikana
    @RaphaelElikana 3 หลายเดือนก่อน

    Maelezo ni mazuri sana ila kinachotuhofisha ni ile tabia ya uchawa kwa wafuasi

  • @Leminelimited
    @Leminelimited 3 หลายเดือนก่อน

    This is so sad Msofe is Alive. Am sorry for his family and his children.