Binadam bwanaa daaah, huyo bibi angekuwa na hela ndugu wote wangekuwa wanamgombania huyu shangazi yule mama mdogo yule bibi bibi huku wengine wanajitokeza.ila haya maisha haya
Wamesahau walipotoka. Angelikuwa mbaya wasingelizaliwa. Na labda huyo mtesaji halisi chimbuko la kuzaliwa hizo familia ni Huyo bimkubwa. NA PIA JUMUHIYA HAIPO SAHIHI Kama watu wa DINI kuchagua msaada ili hali tatizo linashughlikiwa na muangalizi wanayembeza. DINI MASLAHI. 'I AIN'T LIKE MEN!!.
Ni saw lakn nikusaidie kitu kimoj kuzaa tu bila misingi na mikakat ya unachokizaa baadae Ni saw na kuchimba shimo la choo sebren alaf ukalifunika kwa migomba ya ndiz Kisha ukahtaj lidumu na baadae lije lisaidie wengne kwaiy msiraum tu watot angalien kwanz mifumo yao walio andaliw Yan unanunua mbegu ya mti wa embe dume Kisha unasubir mavuno pumbavu
Mamangu katuzaa 10 nakwambia sijali anayemlea nimemuwekea wafanyakazi wawili Ana miaka 83 baba Ana miaka 85 ni kivuruge huna moyo unamsusa but I will never ever let them live bad
Jamani wachaga achani ukatili sura nzuri Mungu aliwaumba sura nzuri Roho zenu mbaya Kama Mashetani na mnasli Sana kwa inafiki ole wenu Yesu alitoa hiyo ole
Kumlea mzazi wako inataka passion hao watu wake waongo familia inataka iwe na imani kubwa. Hiyo mama hataki kufanya hivyo ila ni uzee na maradhi ya akili sio makusudi afanyavyo. Hao ndugu zake hawana imani ya roho na wasubiri uzeeni kwao huu ugonjwa ni wakurithi nao watajakuwa kuliko hivyo. Hakpenda mama awe hivyo. Wanamsahau Mungu.
Wengi Mna mlaumu huyu Dada but huyo Bibi inaonekana ana shida ya akili.... Na Dada huwa katoa taarifa kila ngazi but inaonekan no response.....but baada ya kila MTU kuaona camera sasa ndo wanataka kujionesha mm ni jushaa ktk Hili tukio Kwa kutoa taarifa.....soo far apelekwe ktk kituo cha kulelea wazee akapate msaada
Ila wapendwa TUSIHUKUMU UKIWA HUJAWAHI KUISHI NA WAZEE WA AINA HII,HUWEZI KUJUWA,YANI INAFIKA MUDA UNACHOKA KABISA,KILA UNALOJITAIDI KUFANYA NI KAMA HUFANYI KITU
Hatukatai ila ndio umfungie ndani ??? Ifike wakati tuwe na utu na upendo , ebu chukulia mfano tu umezaliwa mama ako tangu mdogo kakutunza adi ukubwan y ww ushindwe kumtunza akiwa mzee?? Aya uyo ni shangaz yake bt y afanyiwe ivy jamani 😭😭 wazee wanachosha ila sio kwa io hatua
Mtihani mzito .. binaadam wa sasa hatuuna Imani wala huruma Wala hatuna mapenzi kwa wengine . Na ndio mana kuua kwa maisha ya leo watu wanaona ni kt rahisi Sana. MUNGU YUPO TUNUSURU NA TUEPUSHE NA ROHO MBAYA. NA TUPE IMANI NA MAPENZI KWA BINAADAM WENZETU.
Msiukumu kwanza .sikilizeni mpaka mwisho...Ni bora kapata Msahada inatosha...Mengine Tumuachie Mungu....niwashukuru Wote mlioshiriki katika jambo Hili mpaka Bibi yetu Amepata Msahada...In sha Allah..Allah Atawalipa In sha Allah.
Nimemsikiliza sana mwenyekiti, jirani na huyo dada, kiukwel huyu dada na familia yake wanamakosa kwa kiasi fulani, lkn huyo binti kwa kiasi fulani yupo sawa kwa maelezo mazuri ya mwenyekiti, mbn inaelewak sana???... tuachw kuhukumu
mimi mwenyekiti wa kijiji ameniliza kwa ukweli wake wa kuitetea hii family 😭😭😭😭😭😭 walimwengu walitaka kuwaangamizia jera nyie majirani mungu anawaona kabisa
Mimi namuelewa uyu dada😢 bibi yangu kagoma kabisa kuja kwetu mjin anang’ang’ania kubaki kijijin afie uko wakat ndugu wote wapo mjin, anatumiwa ela na vitu vya kujikim kila kitu anapewa lakin bado anawasumbua ata hao wanaomlea nao wamechoka lakin yeye hatak anang’ang’ania uko uko kiukwel inachosha ila hamuez elewa sometimes hawa wagonjwa wenyewe ni wasumbufu yaitaji moyo wa uvumilivu sana kudeal nao uyo dada bado mdogo sana.
Cha msingi, na kupelekwa nyumba ya kulelea wazee maana huyo binti inaonekana naye anatafuta apambane na maisha yake na watoto wake, hivyo hawezi kukaa nyumbani kumhudumia huyo mgonjwa. Na kama nimemuelewa vizuri, hata uwezo wake sio mkubwa bado hata yeye anajitafuta hajajipata bado.
HAPO NIUNAFIKI TUU WABINADAMU ILA HUYU DADA YUPO SAHIHII HAMJAUGUZA NYINYI HASA PALE UNAPOUGUZA MGONJWA KWA MDAA MREFU HALAF KIPATO CHA CHINI ACHENI UNAFIKI
Kwa ambao wamewahi kulea mtu mzee tu..,,au kilema ambae hajiwezi wanaweza kumwelewa huyu Dada., Nimefikiria tu, binti ana watoto wawili, na ili ale, ni lazima atoke akatafute kwa ajili yake, watoto wake na huyo Bibi.,. Nikijaribu kuvaa viatu vyake havinitoshi kabisa.,, Limemkuta huyu Dada leo, lakini tusisahau..,,Mwanadamu ni mtarajiwa wa lolote wakati wowote. MUNGU amsamehe sana huyu Dada ikiwa kuna namna ametenda dhambi sababu yeye ndie alieona.,,,,
Watanzania kuweni na huruma na mnapojadili kitu angalieni pande zote, huyu dada bado ni mdogo, inaonekana mambo yamemuelemea, na bado analea watoto. Something may happen lakini akipewa saport anaweza kusaidia, Ila peke yake tusimuhukumu. Watu wanamsema huyu binti Ila Kuna vitu vingi mno vya kutazama, jamii imesaidiaje Kama si vyombo vya habari? By the way Bibi apatiwe msaada na serikali na familia iwe responsible na Kama ilikosea mahali ijirekebishe, don't judge too much
@@gladnessjackson584 kumbuka huyu ni mgonjwa wa akili unaweza kufanya Kila kitu vile umemaliza akajisaidia..and who prove haogeshwi, Hali, nani ameprove? Una uhakika gani? And maneno yanasaidia Nini badala ya kuangalia namna ya kumsaidia...by the way mnatafuta mgonjwa wa pili hapo, huyo binti atapata msongo wa mawazo na yeye atapata uchizi ..punguzenj mdomo haswa kwa vitu ambavyo hamjavishuhudia
Kama umewahi kuuguza mtu wa hivyo unaelewa, ila kama haujawahi unahukumu as if we ndo assistant wa Mungu. Na mgonjwa akifikia hiyo hatua unaona kila mtu anamkimbia!! Ila Mungu amsaidie Huyo dada kujitoa kukaa naye tu yataka moyo hasa akiwa siyo mzazi wako kabisa.
Nyie hamjui wabibi wanakuwa watoto na vichaa kwa uzee wao kama huna roho wa Mungu unafanywa mbaya Bure, mi na bibi mpenzi wangu ukimsikia utadhani wote wabaya.
Huyo Eliza bet huyo mwenyekiti haongei ukweli anaonekana wazi km akapimwe na muende ktk hiyo sehemu ya tukio alipo vunja dirisha mbona maelezo ya wenziwe ht huyo jirani nitofauti na huyo mwenye shangazi yk maelezo tofauti
Mama yangu alikuwa hivyo lakiji nilifunga mkanda nikaacha yote nikamlea hadi kufa kwake na wala sikumsusa na mavi yake mie niliona kwa imani ya Mungu sikumtupa lakini familia hizi zinamtihani.
Huyu Dada jaman kazidiwa hao wanaosema vibaya huyu dada wao majirani wanamsaidiaje huyu dada mbona kama mnamuangushia huyu dada mzigo pekee yake na ana watoto wawili jamani, msiwe waumgwana kumlaumu wakati hamtoi msaada jamani
Kama Una sema ukweli uwogopi mbona waongelea kwenye fensi ya uwa nyie majirani nao wambea wanafki Sana huyu binti umli mdogo hata ivyo anajitaidi Sana kulea Mzee kama huyu
Ila majiran mna moto wenu mbinguni.. hamuoni huyo mama ana shid ya akil jamaan na huyo dada Bado mdg naona nae kashachoka kikubwa mngemsaidia kumlea kumsema huko VP.. bas msaidien nyie
Huyu Dada anastahili sifaa lazima kuna mema kamtendea Ila kosa moja huwa linahalibu mema mia moja anachokaa bado mdogo watu wenye mapungufu huwa wasumbufu sana,
Mm namwelewa huyo dada,na huyo anayesema Miezi 6 hajaoga ni uwongo,mm nimelea Mzee km huyo ila nilijitahidi sanaa ila aliye nje anaona hufanyi sawa,kilichonisaidia ni vile alikuwa analala na wanangu chumba kimoja, Tena wadogo,hivyo nikapambana na usafi chakula nk.Mungu amsaidie mama apone
Uyo mama ata asinge nishinda jaman tulee wazazi wetu jomon ata kama tupo kwenye umaskini tuweni na utu Mungu nipe roho ya imani nizidi kuwatunza wazazi wetu
Makanisa/Misikiti wasaidieni wasiojiweza kwa sadaka zetu na mjenge nyumba za kuwalea wazee na vilema. Serikali jamani kodi zetu basi zilee hawa watu wasiojiweza muwachukuege pia
Mbwa ww na family Yako yote ni Magaidi Wa Hali ya juu Sana imagine Ungekua ndio ww watu wanakufanya hivyo ungejisikiaje!? Acheni Ukatili wa Hali ya juu hivyo Dah!😭😭😭😭😭
Binadam bwanaa daaah, huyo bibi angekuwa na hela ndugu wote wangekuwa wanamgombania huyu shangazi yule mama mdogo yule bibi bibi huku wengine wanajitokeza.ila haya maisha haya
Wamesahau walipotoka. Angelikuwa mbaya wasingelizaliwa. Na labda huyo mtesaji halisi chimbuko la kuzaliwa hizo familia ni Huyo bimkubwa. NA PIA JUMUHIYA HAIPO SAHIHI Kama watu wa DINI kuchagua msaada ili hali tatizo linashughlikiwa na muangalizi wanayembeza. DINI MASLAHI. 'I AIN'T LIKE MEN!!.
Mama mmoja analea watt kumi lkn watt kumi hawawezi kumlea mama mmoja. This is life 😢
Ni saw lakn nikusaidie kitu kimoj kuzaa tu bila misingi na mikakat ya unachokizaa baadae Ni saw na kuchimba shimo la choo sebren alaf ukalifunika kwa migomba ya ndiz Kisha ukahtaj lidumu na baadae lije lisaidie wengne kwaiy msiraum tu watot angalien kwanz mifumo yao walio andaliw Yan unanunua mbegu ya mti wa embe dume Kisha unasubir mavuno pumbavu
Acha kabisa mungu atufinyie wepesi
Hii ni kweli kabisa baba na ama wanawatunza watoto nane wanawasomesha mahitaji mengiii subiri wapate kazi wanashindwa kuwatunza watu wawili
Mmhh! Umeona eeehh
Mamangu katuzaa 10 nakwambia sijali anayemlea nimemuwekea wafanyakazi wawili Ana miaka 83 baba Ana miaka 85 ni kivuruge huna moyo unamsusa but I will never ever let them live bad
Hata mimi namuelewa huyo dada amefanya sehemu yake Kwanza ni mdogo kajitolea Sana tu
SEREKALI IKO WAPI
Mwenuekiti anaongea point tupu 100/mia sana mama
Jamani wachaga achani ukatili sura nzuri Mungu aliwaumba sura nzuri Roho zenu mbaya Kama Mashetani na mnasli Sana kwa inafiki ole wenu Yesu alitoa hiyo ole
Kumlea mzazi wako inataka passion hao watu wake waongo familia inataka iwe na imani kubwa. Hiyo mama hataki kufanya hivyo ila ni uzee na maradhi ya akili sio makusudi afanyavyo. Hao ndugu zake hawana imani ya roho na wasubiri uzeeni kwao huu ugonjwa ni wakurithi nao watajakuwa kuliko hivyo. Hakpenda mama awe hivyo. Wanamsahau Mungu.
Huyo ni mgonjwa wa akili, by the way pongezi kwa huyo dada kwa kujitahidi. Anayedhani hawafanyi sawa, wamchukue wao.
Na uyo jirani analalamika tu angemchukua akaishi nae
Kbs
@@pendo8082mwenzao akifanya midomo mirefu si ajabu kwenye familia zao kuna changamoto kuliko hizo wanashindwa kuzikabili
Huyo Dada yupo sahihi sana pia majibu yake yanaridhisha sana kwanza ni binti mdogo hebu muacheni afanye maisha yake.
Wengi Mna mlaumu huyu Dada but huyo Bibi inaonekana ana shida ya akili.... Na Dada huwa katoa taarifa kila ngazi but inaonekan no response.....but baada ya kila MTU kuaona camera sasa ndo wanataka kujionesha mm ni jushaa ktk Hili tukio Kwa kutoa taarifa.....soo far apelekwe ktk kituo cha kulelea wazee akapate msaada
Hta kma hana akil bc haifai kumtesa kwan bdo atabk ni minaadm tu na wla hao watto wao hawana huruma wallaah
Ila wapendwa TUSIHUKUMU UKIWA HUJAWAHI KUISHI NA WAZEE WA AINA HII,HUWEZI KUJUWA,YANI INAFIKA MUDA UNACHOKA KABISA,KILA UNALOJITAIDI KUFANYA NI KAMA HUFANYI KITU
Upo sahihi
Hatukatai ila ndio umfungie ndani ??? Ifike wakati tuwe na utu na upendo , ebu chukulia mfano tu umezaliwa mama ako tangu mdogo kakutunza adi ukubwan y ww ushindwe kumtunza akiwa mzee?? Aya uyo ni shangaz yake bt y afanyiwe ivy jamani 😭😭 wazee wanachosha ila sio kwa io hatua
Upo sahiiiii kabs uwez jua bint hanapitia changamot gan
Wanamtusi tu huyu bint ila wanao kaa nao ndo wanajua changamoto zake
Je Kama ni mamaako mzazi utamchoka ?jamani tuwe wavumilivu atujui mwisho wetu
dah dunia hiii jamani sote tunapita na hatujui tutapita kwa sitaili Gani mungu atupe mwisho mwema semeni Amina
Angekuwa na pesa agekuwa anaoshwa hadi na kubebwa ila Mungu atawalipa hawa waliofanya huu unyama.
Yaani asikwambie mtu kuishi na mtu mwenye matatizo ya akili inahitaji moyo kweli mimi mwenyewe yalinishinda khaa
Asante sana ndugu Diwani,Mkuu wa kituo cha kulelea wazee na Wananchi wote wenye mapenzi mema Mwenyezi Mungu atawalipa kwa kadri ya ukalimu wenu
Jamani jamani Mungu amfanyie tahafif
Mtihani mzito .. binaadam wa sasa hatuuna Imani wala huruma Wala hatuna mapenzi kwa wengine . Na ndio mana kuua kwa maisha ya leo watu wanaona ni kt rahisi Sana. MUNGU YUPO TUNUSURU NA TUEPUSHE NA ROHO MBAYA. NA TUPE IMANI NA MAPENZI KWA BINAADAM WENZETU.
Msiukumu kwanza .sikilizeni mpaka mwisho...Ni bora kapata Msahada inatosha...Mengine Tumuachie Mungu....niwashukuru Wote mlioshiriki katika jambo Hili mpaka Bibi yetu Amepata Msahada...In sha Allah..Allah Atawalipa In sha Allah.
Pole sana dada,nilitaka kukulaumu... Nimeelewa,Mungu akutie nguvu!
Hongera sana dada umefanya sehem yake
Baraka za Mungu utaziona ikiwa utamlea vizuri na malipo ya kumnyanyasa ntayapata hapa hapa nanyi yatawakuta tu.
Yani roho inaniuma, masikini Allah ampe shifa
Nimemsikiliza sana mwenyekiti, jirani na huyo dada, kiukwel huyu dada na familia yake wanamakosa kwa kiasi fulani, lkn huyo binti kwa kiasi fulani yupo sawa kwa maelezo mazuri ya mwenyekiti, mbn inaelewak sana???... tuachw kuhukumu
SERIKALI IKO WAPI
SERIKALI ITUNZE WAZEE
Familia ndio wanajukumu lakini serikali itoe hela kwa ajili ya Wazee
Nimejikuta nalia kwa uchungu 😭😭
😭😭
mimi mwenyekiti wa kijiji ameniliza kwa ukweli wake wa kuitetea hii family 😭😭😭😭😭😭 walimwengu walitaka kuwaangamizia jera nyie majirani mungu anawaona kabisa
Daaah, pole
Mimi namuelewa uyu dada😢 bibi yangu kagoma kabisa kuja kwetu mjin anang’ang’ania kubaki kijijin afie uko wakat ndugu wote wapo mjin, anatumiwa ela na vitu vya kujikim kila kitu anapewa lakin bado anawasumbua ata hao wanaomlea nao wamechoka lakin yeye hatak anang’ang’ania uko uko kiukwel inachosha ila hamuez elewa sometimes hawa wagonjwa wenyewe ni wasumbufu yaitaji moyo wa uvumilivu sana kudeal nao uyo dada bado mdogo sana.
Hata mimi nipo pamoja na yeye
ni kweli kabisa tatizo watu wakiona hivi wanajawa mihemuko, ila siku yakiwakuta wataelewa.
Kweli huyo binti anahitaji msaada mkubwa hawezi peke yake
Unatakiwa ni UVUMILIVU Kwa ndugu na kujitolea Kwa hari na mali
Cha msingi, na kupelekwa nyumba ya kulelea wazee maana huyo binti inaonekana naye anatafuta apambane na maisha yake na watoto wake, hivyo hawezi kukaa nyumbani kumhudumia huyo mgonjwa. Na kama nimemuelewa vizuri, hata uwezo wake sio mkubwa bado hata yeye anajitafuta hajajipata bado.
Mungu atusamehe sisi wanadamu Kwa sababu tunajua tuko sahihi kwa yale tunayoyatenda.
HAPO NIUNAFIKI TUU WABINADAMU ILA HUYU DADA YUPO SAHIHII HAMJAUGUZA NYINYI HASA PALE UNAPOUGUZA MGONJWA KWA MDAA MREFU HALAF KIPATO CHA CHINI ACHENI UNAFIKI
Kwa ambao wamewahi kulea mtu mzee tu..,,au kilema ambae hajiwezi wanaweza kumwelewa huyu Dada.,
Nimefikiria tu, binti ana watoto wawili, na ili ale, ni lazima atoke akatafute kwa ajili yake, watoto wake na huyo Bibi.,.
Nikijaribu kuvaa viatu vyake havinitoshi kabisa.,, Limemkuta huyu Dada leo, lakini tusisahau..,,Mwanadamu ni mtarajiwa wa lolote wakati wowote.
MUNGU amsamehe sana huyu Dada ikiwa kuna namna ametenda dhambi sababu yeye ndie alieona.,,,,
Nakuelewa ilinipa adi shida ya mgogo mm
Kabisa kwanza uy bit nimdogo sana jamani
Kabisa sio kaz rahis
Hiyo hali alionayo huyo mama ni kwasababu ya mateso anayopitia
Dada nakuhelewe sana pongezi kwako🙏🙏🙏 wazee😂wengi huwaga awapedi kutoka kijijini 🤷♀️ afu mwisho wasiku hanaye lahumiwa niyule anaye hishina mzee huyo 🤷♀️🤷♀️ hila huyo dada nimemuhelewa vizuri sana kosa nila bibi hapo
😭😭😭😭😭 Mungu tusamehe
Pole shangazi mtu kwa majukumu makubwa
Wanashindwa kumdhukru tu huyu bint kajitaidi sana mie tu nisingeweza kulisongesha gurudumu hilo
Mwenyekiti nimekuelewa. Mungu anisamehe kwa kuhukumu.
Duh!😭😭 Inasktisha sana roho inaniuma. Why?? Kwanini mumfanye Mama hivyo. Ameniliza sana. Pole Mama. Allah Akujaalie Shifaa Uzima na Afya. InshaAllah🤲
pole san dada hat hivy umepamban
😭😭😭😭😭Eee Mungu Mtolee hyu mama Mtu mwema amlee.
Dunian kuna watu wanyama kweri dunia hiiiiiiiioooo machozi mungu tusaidia watu wabaya sana
Huyu diwani namkumbuka kwenye lile tukio la yule dada aliefumaniwa mwaka juzi akapigwa na kungolewa nywele 😂
Sikilizeni Hadi Mwisho
Simhukumu huyu binti...
Polee dada mung atakulipa ulichofanya ya binadamu acha wahukumu wao
Watanzania kuweni na huruma na mnapojadili kitu angalieni pande zote, huyu dada bado ni mdogo, inaonekana mambo yamemuelemea, na bado analea watoto. Something may happen lakini akipewa saport anaweza kusaidia, Ila peke yake tusimuhukumu. Watu wanamsema huyu binti Ila Kuna vitu vingi mno vya kutazama, jamii imesaidiaje Kama si vyombo vya habari? By the way Bibi apatiwe msaada na serikali na familia iwe responsible na Kama ilikosea mahali ijirekebishe, don't judge too much
🙄🙄Ana miaka chin ya 21 ? Maana ss hv miaka 18 sio tena ni miaka 21 mwisho wa udogo
Sasa ndo asimuogeshe kumapa ata maji chakula nguo achome ivii unaongea nini wew
@@gladnessjackson584 kumbuka huyu ni mgonjwa wa akili unaweza kufanya Kila kitu vile umemaliza akajisaidia..and who prove haogeshwi, Hali, nani ameprove? Una uhakika gani? And maneno yanasaidia Nini badala ya kuangalia namna ya kumsaidia...by the way mnatafuta mgonjwa wa pili hapo, huyo binti atapata msongo wa mawazo na yeye atapata uchizi ..punguzenj mdomo haswa kwa vitu ambavyo hamjavishuhudia
@@gladnessjackson584 anaongea pumba tupu huyu hiv hajui kuwa na yy yatamkuta malipo ni hphp duniani et mdogo anaudogo gn huyu km sio roho mby ni nn?
BIBI WAWATU KASEMA MALA YA WISHOKAOGA JANA NYI WANDISHI MNASEMA HAOGAGI MBONA MNATAKA KUGOMBANISHA WAYU
Kuishi na mgonjwa wa akili sio kazi rahisi jamani. Tuache kumuhukumu huyu dada
Tuwe naroho za amani❤mungu atusaindie sana amina
Nyie wagonjwa wa hivi wanavisirani vyao...huyu dada naumuelewa mbona
Kama umewahi kuuguza mtu wa hivyo unaelewa, ila kama haujawahi unahukumu as if we ndo assistant wa Mungu. Na mgonjwa akifikia hiyo hatua unaona kila mtu anamkimbia!! Ila Mungu amsaidie Huyo dada kujitoa kukaa naye tu yataka moyo hasa akiwa siyo mzazi wako kabisa.
Nyie hamjui wabibi wanakuwa watoto na vichaa kwa uzee wao kama huna roho wa Mungu unafanywa mbaya Bure, mi na bibi mpenzi wangu ukimsikia utadhani wote wabaya.
Huyo Eliza bet huyo mwenyekiti haongei ukweli anaonekana wazi km akapimwe na muende ktk hiyo sehemu ya tukio alipo vunja dirisha mbona maelezo ya wenziwe ht huyo jirani nitofauti na huyo mwenye shangazi yk maelezo tofauti
Jamani kilimanjaro Aiko arusha mkoa wa arusha nakilimanjaro no tofauti
😢😢😢😥😭😭😭😭jamani mom mzr kwanini ss mnamfanyia hivyo
Mbona_Mwenye_kiti_kajieleza_Vizuri_huyo_dada_hana_kosa_na_amefanana_sana_na_shangazi_yake
Majilani wanafiki sana kama hujapata majilani kama hao mshukru MUNGU
Mama yangu alikuwa hivyo lakiji nilifunga mkanda nikaacha yote nikamlea hadi kufa kwake na wala sikumsusa na mavi yake mie niliona kwa imani ya Mungu sikumtupa lakini familia hizi zinamtihani.
Umesema mama yako huyo siyo mamayake
Pole sana mama ako kafa na roho saf na ww na ww watt wako watakutendea mema km ww ulivyo mtendea mema mama yako inshallah 🤲😥
Hongera mwanaisha Abuubakar mungu akuzidishie moyo wa huruma kwa wazazi nimependa
Msingemfungia mngemuacha chooni angeenda watu wasingemnyima chakula hayo unayofanya binty utakuja fanyiwa hayo😭😭😭😭😭😭
ww unaongea tuu hivyo kwasababu hujui
Huyo mama jiran ni mnafiki
Kuna taarifa msitu wa Monduli unawaka moto leo cku ya nne tuaomba taarifa zaidi 🙏
Subuhanallah. Jamani watuwanarohombaya. Kwanini. Muumfungiendani yarabi mngekuanyie mmefungiwa mgejisikiaje😭
Unataka wamuachie na anaupungufu wa akili
Mdimlaumu acheni mdomo kuuguza sio mchezo, mnaoongea mngepeleka chochote sio kumlaumu
Kuna watu wanaroho mbaya 😭😭ndio maana watu wengine wanalaaniwa
kwel 😭😭😭😭😭😭😭😭
Akuna cha roombaya mzee mwenyewe hataki kutoka 🤷♀️🤷♀️🤷♀️
Huyu Dada jaman kazidiwa hao wanaosema vibaya huyu dada wao majirani wanamsaidiaje huyu dada mbona kama mnamuangushia huyu dada mzigo pekee yake na ana watoto wawili jamani, msiwe waumgwana kumlaumu wakati hamtoi msaada jamani
Uyo dada anaongea kwa uchung ukute ni single mama bado awataftie watoto chakula dah km huna ubinadam unaweza kumlaum uyu dada
Huo ni unyama zaid ya unyama yani mungu atamlipia zaid Allah ndo hakim subhanallah jamani roho inauma sana mola amsimamie ammyn🤲🤲
Hey
@@bebygal7801 habar
@@abbashussein-hz4dr mzuri
@@abbashussein-hz4dr Am mary from 🇰🇪
Kama Una sema ukweli uwogopi mbona waongelea kwenye fensi ya uwa nyie majirani nao wambea wanafki Sana huyu binti umli mdogo hata ivyo anajitaidi Sana kulea Mzee kama huyu
Ila majiran mna moto wenu mbinguni.. hamuoni huyo mama ana shid ya akil jamaan na huyo dada Bado mdg naona nae kashachoka kikubwa mngemsaidia kumlea kumsema huko VP.. bas msaidien nyie
Mwogopeni mungu, laana itawahusu
Daah jmn tusiogope kufa tuogope uzee naumia moyo wangu kumuona bibi anapitia mugumu
Pole but wamusadie tumunguhatawabariki sana🙏🙏🙏
Subhanallah 😭😭😭 Uwiiiiii 😡😡alomfungia humo na yeye afungiwe pia 👏😭😭
😢😢 ila hiìiii dunia tunapita wangemcaidia tuu huyo bibi. Apo hakuna namna
Kukaa mutu akili hakuna ni kazi kubwa kuwa na subra
Uyo dada mwacheni bhna mwenyew bado anajichanga maisha yake yenyewe magumu
Huyu Dada anastahili sifaa lazima kuna mema kamtendea Ila kosa moja huwa linahalibu mema mia moja anachokaa bado mdogo watu wenye mapungufu huwa wasumbufu sana,
kweli mama ni mungu wa pili lakini unamfungia ndani hakika
Mwenyekit nimekuelewa zaid ya sana' pole sana dada;
Hana watoto jamani . Lakini kama familia imebaki hivo lazima kunatatizo la kufanyiwa uchunguzi wa familia yenyewe
Angekuwa mama yake mzazi angesema amechoka kumuuguza daah
Kwani unazani hawachoki nikwasababu niwetu
hatua ya uzee wote ni lazima,unapomtendea mwenzio nawe utatendwa.hujui uzee wako utakuwaje
Mm namwelewa huyo dada,na huyo anayesema Miezi 6 hajaoga ni uwongo,mm nimelea Mzee km huyo ila nilijitahidi sanaa ila aliye nje anaona hufanyi sawa,kilichonisaidia ni vile alikuwa analala na wanangu chumba kimoja, Tena wadogo,hivyo nikapambana na usafi chakula nk.Mungu amsaidie mama apone
Hongera sana mwenyekiti wa mtaaa unaongea ponti. Kweli wewe unastahili kuwa diwani.
Tz. bado tunashida sana kipato kidogo kwamba mtu anawaza nitapataje pesa ili watoto wale utakuta mdawa kuwaangaria ma bibi. Ni shida
Wakwanza too sad 😭😭😭
From kenya,,machozi yanitoka sana, inasikitisha
Hiyo kufungiwa pia nihatari.akitiwa moto mlango umefungwa atasaidikaje
Subhannahllah pole sana mama angu Allah akuondoshee madhila yano kusibu
Mungu awahurumie sana watu wenye roho mbaya
Huyu jamaa anabwabwaja kwa jina la meya mgonjwa kasema kaoga jana miezi anatoa wapi yeye kama anataka kura kwann asingekuwa walau anampambania
Wah laana shikamoo
Majirani ni wanafki na nyie mchukueni mkakae naye
Mbwa hawa
Wewe polis umesema'bibi Hutu apelekwe kwa wazee tu.
Uyo mama ata asinge nishinda jaman tulee wazazi wetu jomon ata kama tupo kwenye umaskini tuweni na utu Mungu nipe roho ya imani nizidi kuwatunza wazazi wetu
Makanisa/Misikiti wasaidieni wasiojiweza kwa sadaka zetu na mjenge nyumba za kuwalea wazee na vilema. Serikali jamani kodi zetu basi zilee hawa watu wasiojiweza muwachukuege pia
Kodi zetu wanapewa yanga na simba wakifunga magoli
Subhana Allah
Astaghafirullah😭😭😭
Huyo dada nimemuelewa anavyo ongea mabibi wengi tunatakiwa tuishi nao hivyo hivyo msimuhukum huyo dada jamani maisha yenyewe nimagum sana
Huyo dada nimemuelewa anavyo ongea mabibi wengi tunatakiwa tuishi nao hivyo hivyo msimuhukum huyo dada jamani maisha yenyewe nimagum sana
Mbwa ww na family Yako yote ni Magaidi Wa Hali ya juu Sana imagine Ungekua ndio ww watu wanakufanya hivyo ungejisikiaje!? Acheni Ukatili wa Hali ya juu hivyo Dah!😭😭😭😭😭
Huyu kaka yuko vizuri ni kiongozi na nusu
Allah atunusuru Bona wafanye hivi binadamu Kama wawo
Huyu msichana nimemuelewa sana ingawa amekosea kumfungia bila hudu ya Choo
Kiukweli inabidi tudumishe sehemu za wazee.... wapo wèngu hawa. Mwenyezi Mungu atupe nguvu kws hili
Huyo dad ipo siku ita mfika.malipo ni haha hap dunian
Uhai unatetewa hadi sekunde ya mwisho! Usipotetee uhai ya mwenzio pale unapoweza na uhai wako utakuwa mfupi.
Ashukuriwe Mungu kumnusuru huyu mama,
Kila mtu atakuwa mzee iwapo Mungu atatujaalia miaka mingi.
Simumchukue nambea wenu
Wamenkera huyo dada anajtahdi halfu wambea wanajshaua
Sasa sibora uyo wamemsaidia haya kunawazee wangapi wapo mtaani2 mmmmmmh huyo kaonekan ila kunaambao wapo mtaan wanapolala Allah ndiyo anaejuw
Hata maji hawampi dah! Wachawi yani hawafai kabisa na mungu atawapa jibu la waliyomfanyia huyu bibi wallahi mungu anawaona nauchawi wao
Kama ni mtoto wako ingekuwa je? Kweli kabisa hapa duniani tunapita tu.heri kumwogopa MUNGU kuliko kumtendea hivi.wanadamu kweli muogope MUNGU.