UNYAMA, MATESO, UKATILI BIBI AFUNGIWA NDANI, HAPEWI CHAKULA, HAOGI, HAJA KUBWA NA NDOGO HUMOHUMO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 26 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 640

  • @alimwakasidi7680
    @alimwakasidi7680 ปีที่แล้ว +51

    Binadam bwanaa daaah, huyo bibi angekuwa na hela ndugu wote wangekuwa wanamgombania huyu shangazi yule mama mdogo yule bibi bibi huku wengine wanajitokeza.ila haya maisha haya

    • @ngwegwenurdin4318
      @ngwegwenurdin4318 ปีที่แล้ว +1

      Wamesahau walipotoka. Angelikuwa mbaya wasingelizaliwa. Na labda huyo mtesaji halisi chimbuko la kuzaliwa hizo familia ni Huyo bimkubwa. NA PIA JUMUHIYA HAIPO SAHIHI Kama watu wa DINI kuchagua msaada ili hali tatizo linashughlikiwa na muangalizi wanayembeza. DINI MASLAHI. 'I AIN'T LIKE MEN!!.

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim7930 ปีที่แล้ว +70

    Mama mmoja analea watt kumi lkn watt kumi hawawezi kumlea mama mmoja. This is life 😢

    • @teophilletus8969
      @teophilletus8969 ปีที่แล้ว +7

      Ni saw lakn nikusaidie kitu kimoj kuzaa tu bila misingi na mikakat ya unachokizaa baadae Ni saw na kuchimba shimo la choo sebren alaf ukalifunika kwa migomba ya ndiz Kisha ukahtaj lidumu na baadae lije lisaidie wengne kwaiy msiraum tu watot angalien kwanz mifumo yao walio andaliw Yan unanunua mbegu ya mti wa embe dume Kisha unasubir mavuno pumbavu

    • @zeyadazeyada8050
      @zeyadazeyada8050 ปีที่แล้ว

      Acha kabisa mungu atufinyie wepesi

    • @aminakhalid300
      @aminakhalid300 ปีที่แล้ว

      Hii ni kweli kabisa baba na ama wanawatunza watoto nane wanawasomesha mahitaji mengiii subiri wapate kazi wanashindwa kuwatunza watu wawili

    • @esterkiyabo1329
      @esterkiyabo1329 ปีที่แล้ว

      Mmhh! Umeona eeehh

    • @nkamangi4707
      @nkamangi4707 ปีที่แล้ว +2

      Mamangu katuzaa 10 nakwambia sijali anayemlea nimemuwekea wafanyakazi wawili Ana miaka 83 baba Ana miaka 85 ni kivuruge huna moyo unamsusa but I will never ever let them live bad

  • @irenejoseph5925
    @irenejoseph5925 ปีที่แล้ว +26

    Hata mimi namuelewa huyo dada amefanya sehemu yake Kwanza ni mdogo kajitolea Sana tu

    • @kawiche4911
      @kawiche4911 4 หลายเดือนก่อน

      SEREKALI IKO WAPI

  • @abelhardware6445
    @abelhardware6445 ปีที่แล้ว +18

    Mwenuekiti anaongea point tupu 100/mia sana mama

  • @gemmamwajombe3169
    @gemmamwajombe3169 6 หลายเดือนก่อน +1

    Jamani wachaga achani ukatili sura nzuri Mungu aliwaumba sura nzuri Roho zenu mbaya Kama Mashetani na mnasli Sana kwa inafiki ole wenu Yesu alitoa hiyo ole

  • @mwanaishaabubakar5013
    @mwanaishaabubakar5013 ปีที่แล้ว +12

    Kumlea mzazi wako inataka passion hao watu wake waongo familia inataka iwe na imani kubwa. Hiyo mama hataki kufanya hivyo ila ni uzee na maradhi ya akili sio makusudi afanyavyo. Hao ndugu zake hawana imani ya roho na wasubiri uzeeni kwao huu ugonjwa ni wakurithi nao watajakuwa kuliko hivyo. Hakpenda mama awe hivyo. Wanamsahau Mungu.

  • @worldherotv
    @worldherotv ปีที่แล้ว +33

    Huyo ni mgonjwa wa akili, by the way pongezi kwa huyo dada kwa kujitahidi. Anayedhani hawafanyi sawa, wamchukue wao.

    • @pendo8082
      @pendo8082 ปีที่แล้ว +6

      Na uyo jirani analalamika tu angemchukua akaishi nae

    • @nasraabdallah850
      @nasraabdallah850 ปีที่แล้ว

      Kbs

    • @fatmaabdallah7709
      @fatmaabdallah7709 6 หลายเดือนก่อน

      ​@@pendo8082mwenzao akifanya midomo mirefu si ajabu kwenye familia zao kuna changamoto kuliko hizo wanashindwa kuzikabili

  • @hafidhisaidi6550
    @hafidhisaidi6550 ปีที่แล้ว +2

    Huyo Dada yupo sahihi sana pia majibu yake yanaridhisha sana kwanza ni binti mdogo hebu muacheni afanye maisha yake.

  • @raheemsuleyman6757
    @raheemsuleyman6757 ปีที่แล้ว +37

    Wengi Mna mlaumu huyu Dada but huyo Bibi inaonekana ana shida ya akili.... Na Dada huwa katoa taarifa kila ngazi but inaonekan no response.....but baada ya kila MTU kuaona camera sasa ndo wanataka kujionesha mm ni jushaa ktk Hili tukio Kwa kutoa taarifa.....soo far apelekwe ktk kituo cha kulelea wazee akapate msaada

    • @AlShabh-u8i
      @AlShabh-u8i 5 หลายเดือนก่อน

      Hta kma hana akil bc haifai kumtesa kwan bdo atabk ni minaadm tu na wla hao watto wao hawana huruma wallaah

  • @israelkisaila8401
    @israelkisaila8401 ปีที่แล้ว +19

    Ila wapendwa TUSIHUKUMU UKIWA HUJAWAHI KUISHI NA WAZEE WA AINA HII,HUWEZI KUJUWA,YANI INAFIKA MUDA UNACHOKA KABISA,KILA UNALOJITAIDI KUFANYA NI KAMA HUFANYI KITU

    • @jacklinmacha2964
      @jacklinmacha2964 ปีที่แล้ว

      Upo sahihi

    • @maryjohn515
      @maryjohn515 ปีที่แล้ว +2

      Hatukatai ila ndio umfungie ndani ??? Ifike wakati tuwe na utu na upendo , ebu chukulia mfano tu umezaliwa mama ako tangu mdogo kakutunza adi ukubwan y ww ushindwe kumtunza akiwa mzee?? Aya uyo ni shangaz yake bt y afanyiwe ivy jamani 😭😭 wazee wanachosha ila sio kwa io hatua

    • @sophsoph4740
      @sophsoph4740 ปีที่แล้ว

      Upo sahiiiii kabs uwez jua bint hanapitia changamot gan

    • @ndogolofadhila6203
      @ndogolofadhila6203 ปีที่แล้ว

      Wanamtusi tu huyu bint ila wanao kaa nao ndo wanajua changamoto zake

    • @hellenmsongole
      @hellenmsongole ปีที่แล้ว +1

      Je Kama ni mamaako mzazi utamchoka ?jamani tuwe wavumilivu atujui mwisho wetu

  • @jumannerajabu8259
    @jumannerajabu8259 ปีที่แล้ว +8

    dah dunia hiii jamani sote tunapita na hatujui tutapita kwa sitaili Gani mungu atupe mwisho mwema semeni Amina

  • @selemanimasatu2421
    @selemanimasatu2421 ปีที่แล้ว +12

    Angekuwa na pesa agekuwa anaoshwa hadi na kubebwa ila Mungu atawalipa hawa waliofanya huu unyama.

  • @drbenonline9338
    @drbenonline9338 ปีที่แล้ว +12

    Yaani asikwambie mtu kuishi na mtu mwenye matatizo ya akili inahitaji moyo kweli mimi mwenyewe yalinishinda khaa

  • @esterkiyabo1329
    @esterkiyabo1329 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana ndugu Diwani,Mkuu wa kituo cha kulelea wazee na Wananchi wote wenye mapenzi mema Mwenyezi Mungu atawalipa kwa kadri ya ukalimu wenu

  • @hadijahassan-gs8vr
    @hadijahassan-gs8vr ปีที่แล้ว +13

    Jamani jamani Mungu amfanyie tahafif

  • @fatmabhai2812
    @fatmabhai2812 ปีที่แล้ว +4

    Mtihani mzito .. binaadam wa sasa hatuuna Imani wala huruma Wala hatuna mapenzi kwa wengine . Na ndio mana kuua kwa maisha ya leo watu wanaona ni kt rahisi Sana. MUNGU YUPO TUNUSURU NA TUEPUSHE NA ROHO MBAYA. NA TUPE IMANI NA MAPENZI KWA BINAADAM WENZETU.

  • @husseinshabani9522
    @husseinshabani9522 ปีที่แล้ว +6

    Msiukumu kwanza .sikilizeni mpaka mwisho...Ni bora kapata Msahada inatosha...Mengine Tumuachie Mungu....niwashukuru Wote mlioshiriki katika jambo Hili mpaka Bibi yetu Amepata Msahada...In sha Allah..Allah Atawalipa In sha Allah.

  • @piussimtala5111
    @piussimtala5111 ปีที่แล้ว +2

    Pole sana dada,nilitaka kukulaumu... Nimeelewa,Mungu akutie nguvu!

  • @Leahmjohn
    @Leahmjohn ปีที่แล้ว +3

    Hongera sana dada umefanya sehem yake

  • @mwanaishaabubakar5013
    @mwanaishaabubakar5013 ปีที่แล้ว +1

    Baraka za Mungu utaziona ikiwa utamlea vizuri na malipo ya kumnyanyasa ntayapata hapa hapa nanyi yatawakuta tu.

  • @channyanjen9047
    @channyanjen9047 ปีที่แล้ว +5

    Yani roho inaniuma, masikini Allah ampe shifa

  • @martinejoseph6098
    @martinejoseph6098 ปีที่แล้ว +17

    Nimemsikiliza sana mwenyekiti, jirani na huyo dada, kiukwel huyu dada na familia yake wanamakosa kwa kiasi fulani, lkn huyo binti kwa kiasi fulani yupo sawa kwa maelezo mazuri ya mwenyekiti, mbn inaelewak sana???... tuachw kuhukumu

  • @kawiche4911
    @kawiche4911 4 หลายเดือนก่อน

    SERIKALI IKO WAPI
    SERIKALI ITUNZE WAZEE
    Familia ndio wanajukumu lakini serikali itoe hela kwa ajili ya Wazee

  • @naomimanyenye8726
    @naomimanyenye8726 ปีที่แล้ว +18

    Nimejikuta nalia kwa uchungu 😭😭

    • @marianmartin7483
      @marianmartin7483 ปีที่แล้ว

      😭😭

    • @hamiduhamisi2371
      @hamiduhamisi2371 ปีที่แล้ว

      mimi mwenyekiti wa kijiji ameniliza kwa ukweli wake wa kuitetea hii family 😭😭😭😭😭😭 walimwengu walitaka kuwaangamizia jera nyie majirani mungu anawaona kabisa

  • @Abery-xo8qp
    @Abery-xo8qp หลายเดือนก่อน

    Daaah, pole

  • @jamilajuma3811
    @jamilajuma3811 ปีที่แล้ว +54

    Mimi namuelewa uyu dada😢 bibi yangu kagoma kabisa kuja kwetu mjin anang’ang’ania kubaki kijijin afie uko wakat ndugu wote wapo mjin, anatumiwa ela na vitu vya kujikim kila kitu anapewa lakin bado anawasumbua ata hao wanaomlea nao wamechoka lakin yeye hatak anang’ang’ania uko uko kiukwel inachosha ila hamuez elewa sometimes hawa wagonjwa wenyewe ni wasumbufu yaitaji moyo wa uvumilivu sana kudeal nao uyo dada bado mdogo sana.

    • @ndogolofadhila6203
      @ndogolofadhila6203 ปีที่แล้ว +3

      Hata mimi nipo pamoja na yeye

    • @simonballu1124
      @simonballu1124 ปีที่แล้ว +6

      ni kweli kabisa tatizo watu wakiona hivi wanajawa mihemuko, ila siku yakiwakuta wataelewa.

    • @blandinamwarabu5025
      @blandinamwarabu5025 ปีที่แล้ว +9

      Kweli huyo binti anahitaji msaada mkubwa hawezi peke yake

    • @ziadasalimu1730
      @ziadasalimu1730 ปีที่แล้ว +6

      Unatakiwa ni UVUMILIVU Kwa ndugu na kujitolea Kwa hari na mali

    • @ngambikomsu64
      @ngambikomsu64 ปีที่แล้ว +6

      Cha msingi, na kupelekwa nyumba ya kulelea wazee maana huyo binti inaonekana naye anatafuta apambane na maisha yake na watoto wake, hivyo hawezi kukaa nyumbani kumhudumia huyo mgonjwa. Na kama nimemuelewa vizuri, hata uwezo wake sio mkubwa bado hata yeye anajitafuta hajajipata bado.

  • @Alan-g2t
    @Alan-g2t 6 หลายเดือนก่อน

    Mungu atusamehe sisi wanadamu Kwa sababu tunajua tuko sahihi kwa yale tunayoyatenda.

  • @abeidmayanga809
    @abeidmayanga809 ปีที่แล้ว +2

    HAPO NIUNAFIKI TUU WABINADAMU ILA HUYU DADA YUPO SAHIHII HAMJAUGUZA NYINYI HASA PALE UNAPOUGUZA MGONJWA KWA MDAA MREFU HALAF KIPATO CHA CHINI ACHENI UNAFIKI

  • @christsontarimo5803
    @christsontarimo5803 ปีที่แล้ว +12

    Kwa ambao wamewahi kulea mtu mzee tu..,,au kilema ambae hajiwezi wanaweza kumwelewa huyu Dada.,
    Nimefikiria tu, binti ana watoto wawili, na ili ale, ni lazima atoke akatafute kwa ajili yake, watoto wake na huyo Bibi.,.
    Nikijaribu kuvaa viatu vyake havinitoshi kabisa.,, Limemkuta huyu Dada leo, lakini tusisahau..,,Mwanadamu ni mtarajiwa wa lolote wakati wowote.
    MUNGU amsamehe sana huyu Dada ikiwa kuna namna ametenda dhambi sababu yeye ndie alieona.,,,,

    • @agathaabogast4598
      @agathaabogast4598 ปีที่แล้ว

      Nakuelewa ilinipa adi shida ya mgogo mm

    • @ninaseleman5738
      @ninaseleman5738 ปีที่แล้ว

      Kabisa kwanza uy bit nimdogo sana jamani

    • @pendo8082
      @pendo8082 ปีที่แล้ว

      Kabisa sio kaz rahis

  • @jamesmwita2995
    @jamesmwita2995 ปีที่แล้ว +9

    Hiyo hali alionayo huyo mama ni kwasababu ya mateso anayopitia

  • @ashatybella8641
    @ashatybella8641 ปีที่แล้ว +3

    Dada nakuhelewe sana pongezi kwako🙏🙏🙏 wazee😂wengi huwaga awapedi kutoka kijijini 🤷‍♀️ afu mwisho wasiku hanaye lahumiwa niyule anaye hishina mzee huyo 🤷‍♀️🤷‍♀️ hila huyo dada nimemuhelewa vizuri sana kosa nila bibi hapo

  • @ezekielloylepayon5042
    @ezekielloylepayon5042 ปีที่แล้ว +6

    😭😭😭😭😭 Mungu tusamehe

  • @annajohn8597
    @annajohn8597 ปีที่แล้ว +3

    Pole shangazi mtu kwa majukumu makubwa

    • @ndogolofadhila6203
      @ndogolofadhila6203 ปีที่แล้ว

      Wanashindwa kumdhukru tu huyu bint kajitaidi sana mie tu nisingeweza kulisongesha gurudumu hilo

  • @dianamdaku9802
    @dianamdaku9802 ปีที่แล้ว +1

    Mwenyekiti nimekuelewa. Mungu anisamehe kwa kuhukumu.

  • @aaa64sa13
    @aaa64sa13 ปีที่แล้ว +12

    Duh!😭😭 Inasktisha sana roho inaniuma. Why?? Kwanini mumfanye Mama hivyo. Ameniliza sana. Pole Mama. Allah Akujaalie Shifaa Uzima na Afya. InshaAllah🤲

  • @MaryLukumai-n9g
    @MaryLukumai-n9g 3 หลายเดือนก่อน

    pole san dada hat hivy umepamban

  • @femidayahaya4882
    @femidayahaya4882 ปีที่แล้ว +13

    😭😭😭😭😭Eee Mungu Mtolee hyu mama Mtu mwema amlee.

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 9 หลายเดือนก่อน

    Dunian kuna watu wanyama kweri dunia hiiiiiiiioooo machozi mungu tusaidia watu wabaya sana

  • @marthagabriel3417
    @marthagabriel3417 ปีที่แล้ว +2

    Huyu diwani namkumbuka kwenye lile tukio la yule dada aliefumaniwa mwaka juzi akapigwa na kungolewa nywele 😂

  • @Michael_Msanzya
    @Michael_Msanzya ปีที่แล้ว +5

    Sikilizeni Hadi Mwisho
    Simhukumu huyu binti...

  • @RyycRaji
    @RyycRaji 6 หลายเดือนก่อน +1

    Polee dada mung atakulipa ulichofanya ya binadamu acha wahukumu wao

  • @jacqueli18
    @jacqueli18 ปีที่แล้ว +66

    Watanzania kuweni na huruma na mnapojadili kitu angalieni pande zote, huyu dada bado ni mdogo, inaonekana mambo yamemuelemea, na bado analea watoto. Something may happen lakini akipewa saport anaweza kusaidia, Ila peke yake tusimuhukumu. Watu wanamsema huyu binti Ila Kuna vitu vingi mno vya kutazama, jamii imesaidiaje Kama si vyombo vya habari? By the way Bibi apatiwe msaada na serikali na familia iwe responsible na Kama ilikosea mahali ijirekebishe, don't judge too much

    • @ruqaiamohammed345
      @ruqaiamohammed345 ปีที่แล้ว +1

      🙄🙄Ana miaka chin ya 21 ? Maana ss hv miaka 18 sio tena ni miaka 21 mwisho wa udogo

    • @gladnessjackson584
      @gladnessjackson584 ปีที่แล้ว

      Sasa ndo asimuogeshe kumapa ata maji chakula nguo achome ivii unaongea nini wew

    • @jacqueli18
      @jacqueli18 ปีที่แล้ว

      @@gladnessjackson584 kumbuka huyu ni mgonjwa wa akili unaweza kufanya Kila kitu vile umemaliza akajisaidia..and who prove haogeshwi, Hali, nani ameprove? Una uhakika gani? And maneno yanasaidia Nini badala ya kuangalia namna ya kumsaidia...by the way mnatafuta mgonjwa wa pili hapo, huyo binti atapata msongo wa mawazo na yeye atapata uchizi ..punguzenj mdomo haswa kwa vitu ambavyo hamjavishuhudia

    • @ruqaiamohammed345
      @ruqaiamohammed345 ปีที่แล้ว +1

      @@gladnessjackson584 anaongea pumba tupu huyu hiv hajui kuwa na yy yatamkuta malipo ni hphp duniani et mdogo anaudogo gn huyu km sio roho mby ni nn?

    • @halunimnenwa5224
      @halunimnenwa5224 ปีที่แล้ว +3

      BIBI WAWATU KASEMA MALA YA WISHOKAOGA JANA NYI WANDISHI MNASEMA HAOGAGI MBONA MNATAKA KUGOMBANISHA WAYU

  • @suziemichael4338
    @suziemichael4338 ปีที่แล้ว +8

    Kuishi na mgonjwa wa akili sio kazi rahisi jamani. Tuache kumuhukumu huyu dada

    • @JaneMurugi-bd6ej
      @JaneMurugi-bd6ej 5 หลายเดือนก่อน

      Tuwe naroho za amani❤mungu atusaindie sana amina

  • @Kornie406
    @Kornie406 ปีที่แล้ว +7

    Nyie wagonjwa wa hivi wanavisirani vyao...huyu dada naumuelewa mbona

    • @charitymbukwa2987
      @charitymbukwa2987 ปีที่แล้ว

      Kama umewahi kuuguza mtu wa hivyo unaelewa, ila kama haujawahi unahukumu as if we ndo assistant wa Mungu. Na mgonjwa akifikia hiyo hatua unaona kila mtu anamkimbia!! Ila Mungu amsaidie Huyo dada kujitoa kukaa naye tu yataka moyo hasa akiwa siyo mzazi wako kabisa.

  • @josephatkibo2728
    @josephatkibo2728 ปีที่แล้ว +1

    Nyie hamjui wabibi wanakuwa watoto na vichaa kwa uzee wao kama huna roho wa Mungu unafanywa mbaya Bure, mi na bibi mpenzi wangu ukimsikia utadhani wote wabaya.

  • @shadyaloaf8694
    @shadyaloaf8694 ปีที่แล้ว +1

    Huyo Eliza bet huyo mwenyekiti haongei ukweli anaonekana wazi km akapimwe na muende ktk hiyo sehemu ya tukio alipo vunja dirisha mbona maelezo ya wenziwe ht huyo jirani nitofauti na huyo mwenye shangazi yk maelezo tofauti

  • @Nasmaabdala-oz2su
    @Nasmaabdala-oz2su 14 วันที่ผ่านมา

    Jamani kilimanjaro Aiko arusha mkoa wa arusha nakilimanjaro no tofauti

  • @janetdundul3858
    @janetdundul3858 ปีที่แล้ว +10

    😢😢😢😥😭😭😭😭jamani mom mzr kwanini ss mnamfanyia hivyo

  • @habibakhalfan1065
    @habibakhalfan1065 ปีที่แล้ว +9

    Mbona_Mwenye_kiti_kajieleza_Vizuri_huyo_dada_hana_kosa_na_amefanana_sana_na_shangazi_yake

    • @ndogolofadhila6203
      @ndogolofadhila6203 ปีที่แล้ว

      Majilani wanafiki sana kama hujapata majilani kama hao mshukru MUNGU

  • @mwanaishaabubakar5013
    @mwanaishaabubakar5013 ปีที่แล้ว +14

    Mama yangu alikuwa hivyo lakiji nilifunga mkanda nikaacha yote nikamlea hadi kufa kwake na wala sikumsusa na mavi yake mie niliona kwa imani ya Mungu sikumtupa lakini familia hizi zinamtihani.

    • @ndogolofadhila6203
      @ndogolofadhila6203 ปีที่แล้ว +3

      Umesema mama yako huyo siyo mamayake

    • @ruqaiamohammed345
      @ruqaiamohammed345 ปีที่แล้ว +2

      Pole sana mama ako kafa na roho saf na ww na ww watt wako watakutendea mema km ww ulivyo mtendea mema mama yako inshallah 🤲😥

    • @omarabdalla928
      @omarabdalla928 ปีที่แล้ว

      Hongera mwanaisha Abuubakar mungu akuzidishie moyo wa huruma kwa wazazi nimependa

  • @ashuramhandoashuramhando6798
    @ashuramhandoashuramhando6798 ปีที่แล้ว +1

    Msingemfungia mngemuacha chooni angeenda watu wasingemnyima chakula hayo unayofanya binty utakuja fanyiwa hayo😭😭😭😭😭😭

    • @faridaislam236
      @faridaislam236 ปีที่แล้ว

      ww unaongea tuu hivyo kwasababu hujui

  • @estherjackson6038
    @estherjackson6038 5 หลายเดือนก่อน +1

    Huyo mama jiran ni mnafiki

  • @mankamacha4383
    @mankamacha4383 ปีที่แล้ว +3

    Kuna taarifa msitu wa Monduli unawaka moto leo cku ya nne tuaomba taarifa zaidi 🙏

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 ปีที่แล้ว +8

    Subuhanallah. Jamani watuwanarohombaya. Kwanini. Muumfungiendani yarabi mngekuanyie mmefungiwa mgejisikiaje😭

    • @Leahmjohn
      @Leahmjohn ปีที่แล้ว

      Unataka wamuachie na anaupungufu wa akili

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael7965 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mdimlaumu acheni mdomo kuuguza sio mchezo, mnaoongea mngepeleka chochote sio kumlaumu

  • @lilianmnunguli4457
    @lilianmnunguli4457 ปีที่แล้ว +14

    Kuna watu wanaroho mbaya 😭😭ndio maana watu wengine wanalaaniwa

    • @ayshamahariq6665
      @ayshamahariq6665 ปีที่แล้ว

      kwel 😭😭😭😭😭😭😭😭

    • @ashatybella8641
      @ashatybella8641 ปีที่แล้ว

      Akuna cha roombaya mzee mwenyewe hataki kutoka 🤷‍♀️🤷‍♀️🤷‍♀️

  • @farajashaban1073
    @farajashaban1073 ปีที่แล้ว +3

    Huyu Dada jaman kazidiwa hao wanaosema vibaya huyu dada wao majirani wanamsaidiaje huyu dada mbona kama mnamuangushia huyu dada mzigo pekee yake na ana watoto wawili jamani, msiwe waumgwana kumlaumu wakati hamtoi msaada jamani

  • @iddamomo561
    @iddamomo561 ปีที่แล้ว +2

    Uyo dada anaongea kwa uchung ukute ni single mama bado awataftie watoto chakula dah km huna ubinadam unaweza kumlaum uyu dada

  • @abbashussein-hz4dr
    @abbashussein-hz4dr ปีที่แล้ว +2

    Huo ni unyama zaid ya unyama yani mungu atamlipia zaid Allah ndo hakim subhanallah jamani roho inauma sana mola amsimamie ammyn🤲🤲

  • @eashaeasha9776
    @eashaeasha9776 ปีที่แล้ว

    Kama Una sema ukweli uwogopi mbona waongelea kwenye fensi ya uwa nyie majirani nao wambea wanafki Sana huyu binti umli mdogo hata ivyo anajitaidi Sana kulea Mzee kama huyu

  • @aminamassawe1768
    @aminamassawe1768 ปีที่แล้ว +1

    Ila majiran mna moto wenu mbinguni.. hamuoni huyo mama ana shid ya akil jamaan na huyo dada Bado mdg naona nae kashachoka kikubwa mngemsaidia kumlea kumsema huko VP.. bas msaidien nyie

  • @stella.broo.we.noma.sanamu5103
    @stella.broo.we.noma.sanamu5103 ปีที่แล้ว

    Mwogopeni mungu, laana itawahusu

  • @MwanahawaSeif-d6k
    @MwanahawaSeif-d6k 4 หลายเดือนก่อน

    Daah jmn tusiogope kufa tuogope uzee naumia moyo wangu kumuona bibi anapitia mugumu

  • @HarrietArengana
    @HarrietArengana 4 หลายเดือนก่อน

    Pole but wamusadie tumunguhatawabariki sana🙏🙏🙏

  • @khadidjasuleiman8006
    @khadidjasuleiman8006 ปีที่แล้ว +7

    Subhanallah 😭😭😭 Uwiiiiii 😡😡alomfungia humo na yeye afungiwe pia 👏😭😭

  • @Zabibu-tr1lj
    @Zabibu-tr1lj 5 หลายเดือนก่อน

    😢😢 ila hiìiii dunia tunapita wangemcaidia tuu huyo bibi. Apo hakuna namna

    • @LeilaNora-u6g
      @LeilaNora-u6g 4 หลายเดือนก่อน

      Kukaa mutu akili hakuna ni kazi kubwa kuwa na subra

  • @jimmykaaya387
    @jimmykaaya387 ปีที่แล้ว +1

    Uyo dada mwacheni bhna mwenyew bado anajichanga maisha yake yenyewe magumu

  • @annamadavid4152
    @annamadavid4152 ปีที่แล้ว +1

    Huyu Dada anastahili sifaa lazima kuna mema kamtendea Ila kosa moja huwa linahalibu mema mia moja anachokaa bado mdogo watu wenye mapungufu huwa wasumbufu sana,

  • @NdakiDoyi
    @NdakiDoyi 4 หลายเดือนก่อน

    kweli mama ni mungu wa pili lakini unamfungia ndani hakika

  • @mwanahamisiramadhani1179
    @mwanahamisiramadhani1179 ปีที่แล้ว

    Mwenyekit nimekuelewa zaid ya sana' pole sana dada;

  • @atuganilemwakasangam2018
    @atuganilemwakasangam2018 6 หลายเดือนก่อน

    Hana watoto jamani . Lakini kama familia imebaki hivo lazima kunatatizo la kufanyiwa uchunguzi wa familia yenyewe

  • @elizabethfungo-uo3ve
    @elizabethfungo-uo3ve ปีที่แล้ว +4

    Angekuwa mama yake mzazi angesema amechoka kumuuguza daah

  • @anoldamkumba3208
    @anoldamkumba3208 ปีที่แล้ว +15

    hatua ya uzee wote ni lazima,unapomtendea mwenzio nawe utatendwa.hujui uzee wako utakuwaje

  • @christinamsoka
    @christinamsoka 5 หลายเดือนก่อน

    Mm namwelewa huyo dada,na huyo anayesema Miezi 6 hajaoga ni uwongo,mm nimelea Mzee km huyo ila nilijitahidi sanaa ila aliye nje anaona hufanyi sawa,kilichonisaidia ni vile alikuwa analala na wanangu chumba kimoja, Tena wadogo,hivyo nikapambana na usafi chakula nk.Mungu amsaidie mama apone

  • @halimamndeme6908
    @halimamndeme6908 ปีที่แล้ว

    Hongera sana mwenyekiti wa mtaaa unaongea ponti. Kweli wewe unastahili kuwa diwani.

  • @morjanoman5181
    @morjanoman5181 6 หลายเดือนก่อน

    Tz. bado tunashida sana kipato kidogo kwamba mtu anawaza nitapataje pesa ili watoto wale utakuta mdawa kuwaangaria ma bibi. Ni shida

  • @beatricetairo2879
    @beatricetairo2879 ปีที่แล้ว +7

    Wakwanza too sad 😭😭😭

  • @ishyjuma2246
    @ishyjuma2246 ปีที่แล้ว +2

    From kenya,,machozi yanitoka sana, inasikitisha

  • @MariamNasoro-xy3ep
    @MariamNasoro-xy3ep 5 หลายเดือนก่อน

    Hiyo kufungiwa pia nihatari.akitiwa moto mlango umefungwa atasaidikaje

  • @arafakiloli749
    @arafakiloli749 ปีที่แล้ว

    Subhannahllah pole sana mama angu Allah akuondoshee madhila yano kusibu

  • @christinamjengi8238
    @christinamjengi8238 ปีที่แล้ว

    Mungu awahurumie sana watu wenye roho mbaya

  • @bennagemeestate820
    @bennagemeestate820 ปีที่แล้ว

    Huyu jamaa anabwabwaja kwa jina la meya mgonjwa kasema kaoga jana miezi anatoa wapi yeye kama anataka kura kwann asingekuwa walau anampambania

  • @GULF444
    @GULF444 ปีที่แล้ว +2

    Wah laana shikamoo

  • @elizaminja4249
    @elizaminja4249 ปีที่แล้ว +2

    Majirani ni wanafki na nyie mchukueni mkakae naye

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 ปีที่แล้ว

    Wewe polis umesema'bibi Hutu apelekwe kwa wazee tu.

  • @Teddy-fq5oc
    @Teddy-fq5oc ปีที่แล้ว

    Uyo mama ata asinge nishinda jaman tulee wazazi wetu jomon ata kama tupo kwenye umaskini tuweni na utu Mungu nipe roho ya imani nizidi kuwatunza wazazi wetu

  • @christophersubiraga3525
    @christophersubiraga3525 ปีที่แล้ว +4

    Makanisa/Misikiti wasaidieni wasiojiweza kwa sadaka zetu na mjenge nyumba za kuwalea wazee na vilema. Serikali jamani kodi zetu basi zilee hawa watu wasiojiweza muwachukuege pia

    • @jazeerajuma5014
      @jazeerajuma5014 ปีที่แล้ว

      Kodi zetu wanapewa yanga na simba wakifunga magoli

  • @sein.208
    @sein.208 ปีที่แล้ว +6

    Subhana Allah
    Astaghafirullah😭😭😭

    • @khamisamri6323
      @khamisamri6323 ปีที่แล้ว

      Huyo dada nimemuelewa anavyo ongea mabibi wengi tunatakiwa tuishi nao hivyo hivyo msimuhukum huyo dada jamani maisha yenyewe nimagum sana

    • @khamisamri6323
      @khamisamri6323 ปีที่แล้ว

      Huyo dada nimemuelewa anavyo ongea mabibi wengi tunatakiwa tuishi nao hivyo hivyo msimuhukum huyo dada jamani maisha yenyewe nimagum sana

  • @HamisSaidi-h3u
    @HamisSaidi-h3u 6 หลายเดือนก่อน

    Mbwa ww na family Yako yote ni Magaidi Wa Hali ya juu Sana imagine Ungekua ndio ww watu wanakufanya hivyo ungejisikiaje!? Acheni Ukatili wa Hali ya juu hivyo Dah!😭😭😭😭😭

  • @paulinakiria7918
    @paulinakiria7918 6 หลายเดือนก่อน

    Huyu kaka yuko vizuri ni kiongozi na nusu

  • @hanifamasudi9732
    @hanifamasudi9732 ปีที่แล้ว

    Allah atunusuru Bona wafanye hivi binadamu Kama wawo

  • @madawamchuwa8253
    @madawamchuwa8253 ปีที่แล้ว +3

    Huyu msichana nimemuelewa sana ingawa amekosea kumfungia bila hudu ya Choo

  • @Mamkubwa
    @Mamkubwa ปีที่แล้ว

    Kiukweli inabidi tudumishe sehemu za wazee.... wapo wèngu hawa. Mwenyezi Mungu atupe nguvu kws hili

  • @RidhaaHamisi
    @RidhaaHamisi 6 หลายเดือนก่อน

    Huyo dad ipo siku ita mfika.malipo ni haha hap dunian

  • @edithamushi430
    @edithamushi430 ปีที่แล้ว

    Uhai unatetewa hadi sekunde ya mwisho! Usipotetee uhai ya mwenzio pale unapoweza na uhai wako utakuwa mfupi.
    Ashukuriwe Mungu kumnusuru huyu mama,

  • @rubefabi8366
    @rubefabi8366 ปีที่แล้ว +9

    Kila mtu atakuwa mzee iwapo Mungu atatujaalia miaka mingi.

  • @AminaRajabu-mm1jf
    @AminaRajabu-mm1jf 6 หลายเดือนก่อน +1

    Simumchukue nambea wenu

    • @MariumKavishe
      @MariumKavishe 6 หลายเดือนก่อน

      Wamenkera huyo dada anajtahdi halfu wambea wanajshaua

  • @asha-z3n
    @asha-z3n 6 หลายเดือนก่อน

    Sasa sibora uyo wamemsaidia haya kunawazee wangapi wapo mtaani2 mmmmmmh huyo kaonekan ila kunaambao wapo mtaan wanapolala Allah ndiyo anaejuw

  • @sharifajosia879
    @sharifajosia879 ปีที่แล้ว

    Hata maji hawampi dah! Wachawi yani hawafai kabisa na mungu atawapa jibu la waliyomfanyia huyu bibi wallahi mungu anawaona nauchawi wao

  • @maryaugustor6983
    @maryaugustor6983 6 หลายเดือนก่อน

    Kama ni mtoto wako ingekuwa je? Kweli kabisa hapa duniani tunapita tu.heri kumwogopa MUNGU kuliko kumtendea hivi.wanadamu kweli muogope MUNGU.