Dah yani Dada yangu wewe ni mtoto mwema na Baraka kwa wazazi wako na hakika wamekupa malezi mema na hii ni kukufundisha dini MashaAllah! Ee Allah tujalie tuwe miongoni mwa waja wako wema na utujalie tuwe wazazi wema kwa watoto wetu, kesho waweze kutengeneza vizazi vyema. Alhamdulillah 🙏🏾
Da huyu dada, aliemuoa emepata mke, dada ni jasiri,dada ni mcha MUNGU,dada Amesoma dini,dada amelelewa kimaadili ya dini,niwanamke wa heshima,angalia alivyo pokea taalifa na jinsi alivyo ileta kwa ndugu zake na baba yake,MUNGU akufanyie wepesi dada umalize maisha ya dunia salama,
Innalillah wainnailaih rajiun 😭😭😭Kwakwel huyo Mama Kifo chake hakihuzunishi jaman 😭😭😭ikiwa mtoto wake yuko hiv je Mama Mzazi alikuwa je 😭😭Allah amlaze mahal pema pepon na sisi atupe mwisho mwema 🤲😭😭😭Sisi sote ni wa ALLAH na kwake tunarejea😭😭😭kifo chake kishajuilikana lkn chetu sisi hatujakijua kifo chake kinafurahisha Alhamdulillah Mashallah Yarab na sisi tujaalie mauti yetu yawe mepesi 🤲😭tufe katika mji mtukufu wa Makka tuzikwe na Mtume wetu Muhammad S. A. W. Na tuswaliwe ni watu katika watu wema 😭😭😭😭😭😭😭😭😭🤲🤲🤲
Nikivyoiona tu hii video hapa TH-cam, sikupanga kusikiliza yote, Ila nilivyoanza tu kuisikiliza nimeishiwa kuisikiliza yote. What an end to her life. Beautiful end. Zawadi ya kifo chema ilikua ni dhahiri kwake. May God heal the hearts of her beloved and everyone else who was touched by this story.
@@rausaid9430 Kumbe wewe kama mimi 😆 natamani nipatane na watu wazuri kama hawa maana maisha yangu yote ni changamoto na watu. Labda nihamie Tanzania lakini pia naogopa mara wanijie wabaya 💔😠
Imeelezwa Ktk Qur'an Kuwa Mtu Mwema Huonekana Nuru Ktk Sura Yake Masha'Allah Ukhut Nafikili Nawewe Nikati YaHao Watu Tulioelezwa Yaa-Rabii Matamanio Ya Moyo Wangu Nikuwa Kama Huyu Mja Wako Alietangulia Mbele zako na Kuwa Nakizazi Km Chake اللهم تكبر دعاء 🙏
inalillah wainalillah rajiun yaani we dada Allah akuongoze uwe kama mama yako nimekisikiliza kwa makini sana umenifanya nilie umeniongeze kitu katika imani Allah atujalie sote mwisho wema na watoto wema amiin
Subhanallah 😢 hakika Mwenyezi Mungu humpandisha cheo amtakaye! Bi Akiba ame pata bahati ya pekee. Msiba wake ni huzuni na furaha! Allah amghufirie madhambi yake na amjaalie pepo ya daraja ya juu kabisa 🤲🏾
Wewe dada mume wako amepata dhahabu Ktk ndoa yake maashaAllah Allah Akujaalie kilalakheri dadayangu na ajaalie ndoa yako iwe ni yenye kheri na Barka tele na kizazi chako Allahumma Amiin 🙏
Amiin amiin ya Rabii Allah akupe hitaji la moyo wako,namshukuru Allah nimeiwahi mwaka huu sijamaliza siku arobain,nakuomba Allah mtimizie hitaji lake huyu mja wako,amiin amiin ya Rabii
Yaan huyu aliemuoa huyu dada amepata mke maashallah I wish ningalikuwa mie. Yan ametulia anajieleza anaijua Dini anaunyenyekevu maashallah. Allah akujaalie maisha marefu na mwisho mwema katika imaan.
Me nimelia sana baada ya kusikia hii habari Ila watoto wa marehem n watu wenye hofu ya Allah 😭 Allah awape subra na mama etu jannat firdaus yawe makazi yake yarraby🙏
Ya rabi mpokee mjaa wako mpe alicho kitaka nasi tujalie mwisho mwema na utupe pepo tuondolee hadhabu ya kaburi na hadhabu ya moto utupe pepo ALLAH TAKABALANA DUA ETINA AMIN
*It shows how the deceased raised her children well who prays for her always. May Allah have mercy on her. From Allah we belong and to him is our return* 💕
Innah wa Innah lillah Rajun Daaah Kwa kweli Dada Nimekupenda Bure Wallah Mwenyezi Mungu Akuzidishiye Katika Misingi Mema Daima Milele Mwenzenu Kutoka Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
May Allah Guide us all to the siratul - mustaqeem , ease your pain and emptiness, and grant all our mothers Jannatul firdaus. Ameen Ya Rabi🙏Poleni sana ndugu zangu.
Mashallah mwanangu khanifa Allah atakupeni subra dada angu Allah kampenda na kamzawadia zawadi sote tunaililia nafasi hii Yarab mjaalie firdaus ya darja ya juu poleni mama
Ukhty Allah Akulipe umrii thawiil wenye twaa na waislam wote na Awarehemu jaamia mouti muslim wa muslimat yarabby...unaujasiri sana dadangu... Allah Amridhie mamaetu na jaamia mouti muslim wa muslimat yarabby 🤲 nimejifunza mengi kwa huu msiba wa mamaetu ...Allah atukutanishe na Mtume wetu MUHAMMAD SALALWAHU ALEIHIWA SALAAMU kwa sidri mutakha Amiin yarabil Ala Amiin 🤲
Kwa BWANA YESU KRISTO ndio sehemu sahihi kuliko zote Duniani na Wala hakuna Mungu mwingine zaidi ya yeye Utukufu na heshima ni Kwa BWANA YESU KRISTO milele na milele amini ukombolewe
Maashallah aliemuoa huyu dada amepata mke hakika. Napenda sana mwanamke anaeijua Dini anautulivu ana subra. Allah amsamehe mama huyu na amuondolee adhabu ya kabri
Mashallah huyu dada ni mfasaha sana Allah amzidishie maana ameeleza mazungumzo yote kwa taratibu na sarufi hakika inayofahamika. Mama amelea hakika Allah amridhie
Jazakallahu khaila uyu bint amenifanya mpaka nikatoa machoz.namuomba Allah Akupe hekima na busara kama mama yako.pia namuomba Allah ampe mama yetu daraja ya juu kama alivyokuwa akiiomba kwa Allah haza wajjallah 🙏
Eeeh ALLAH jmn mola Wang...nijaalie mwanamke Bora km huyu dada, anaeijua dini, mchamungu, mweny kuniongoza kwenye njia Bora ... Allah nijaalie jmn mke Bora km huyu yaraab... WANAWAKE km Hawa kuwapata daaah wachache na nikimpata daaah Dunia ni pepo kwang
SubhanaAllah. Inna lillah wainna ileyhi rajiuon. Allahuma ghfirlaha warhamha waskinha fil jannah. Allahuma thabithna bil kauli thabit. Allahuma jaalna qabra raudha min riyadhil jannah. Kwa kweli kisa kizito na chakuskitisha Alhamdulilah Allah awazidishie imani ndani ya moiyo yenu nimemkumbuka marham mamangu kwa kweli ukipata taarifa ya kifo kitu cha kwanza kukifanya ni umsujudie mola wako na huwa wapata utulivu wa nafsi kupambana na jambo zito hilo.shukran kwa elimu nzuri mama yetu bi akida kwa kweli tumepata funzo zuri
Masha Allah wallah najikuta na liya kwafuraha familiya nzuri sana tungekua sote waislam itakiwavyo hata wenzetu wa kristo wange silim bila shaka ukijua wislam ki sawa sawa na kuufwata ki sawa sawa nineem isiyo namfano pia ndo furah ya hapa duniyan na kesho akhera ananiongezea iman Allah awafariji nasiye atuongoze sote natupe mwisho urokua mwema🤲
Alhamdulillah mwenyezi mungu nikarim jinsi utakavyo jiandaa binaadam kwa mema ndivyo mungu atakupokeya huyo mma alijiandaa wallah hadi nimetowa machozi ya furaha naninamuomba azzawajaalla anifanyiye wepesi niwe kama huyo mama yutu amiin
MASHAALLAH MI MTU AKIFA KAMA HVYO HATA SIUMII NABAKI NAJIOMBEA MWISHO MWEMA TU MANA MAMA KAFA AMESHATUBU MASHAALLAH ALLAH AMPOKEE KWASALAMA NASI ATUPE MWISHO MWEMA ALLAHUMMA AAMIIN YAARABB.
Innallillaihi wainna illaihi rajiun Allah Ampe kauli Thabit Ndugu yetu Amsameh madhambi yake Amuondoshee Adhabu za kaburi Na Amlaze mahali Pema Peponi Awal Daraja Jannat Firdaus Yaa Rabbi 🤲❤ Poleni sana wafiwa wote Allah Awape Subra Yaa Rabbi 🤲❤ Shukran sana Mdogo wetu Wasia Mzuri sana Allah Atuongoze kwa Sote,Tuwe miongoni Mwa waja wema na Tuwe watu wa Peponi Yaa Rabbi 🤲❤
Mashaallah, mashaallah , dada yangu umeongea vzr , pia umetupa darasa tumejifunza wengine kupitia wewe , pia niseme malezi mazuri ulolelewanaamin mama huko aliko anafurahia na anaimani wewe kaacha mtu ,Allah akijalie wewe Na kizazi chako chote
Ya rabb tujaalie mwisho mwemaa 🤲🤲... Tujaalie tudumu katk Yale mema yanayokufurahisha tueke mbali na Yale mabaya yanayokukacrisha yaaarabb tujaalie pepo ya daraja ya juu kbs 🤲🤲
Naam niliwah kwenda umra kila baada ya swala huswaliwa swalat jeneza,, Mashaa Allah mam amezikwa vizr naamehifadhiwa sehem nzuri mchanga wamadina mzuri jaman Allahu Akbar Allah amjaalie Jannat firidaus 🤲🤲🤲🤲🤲
@sheshi beshi HAPA ni spesho, AU kwaajil, AU kwaniaba ya, MAMA, mmoja, alie jaaliwa imani yake thabiti, kipenzi cha muumba mbingu na ardhi, yani muumba mawingu na mchanga, na kila unacho kiona mbele yako, NDUGU nakuomba tuache kwanza, sio kwa ubaya, NA pia chunguza NA seemu.
Inalillah Wainailaih Rajuun. Mwenyezi Mungu atujaalie nasisi mwisho mwema. Kweli Mwenyezi Mungu ametuambia "Niombeni nitakupeni" "Rejeeni kwangu nami nitawasamehe" Alhamdulillah kifo cha huyu mama kimeniongezea Ilmu zaidi. Alhamdulillah
Hakika bila kujali wewe ni mwanamke wa nani ila najivunia wewe sana. Ni mwanamke unaejitambua kama mwanamke. Wewe unanifanya niamini wanawake walio bora kwa hakika wapo. Mungu na akupe umri mrefu ili watu wanufaike na neema zako isha'ALLAH.
allah n muokovu wawaja wake wote wema allah atupe mwishoo mwema nasi kwenye kutafuta wanawake wa ndoa tutafutee weny kujua din dada ameongea saf san bil kupepesa machoo wenzetu wazanzibar din ndo kila kit so unguja ty ndo din ipo apana dunian kote din ipoo ila zanzibar wapo vizuli allah anipe mkee mwema inshllah allah ampe kauli thabit nas. atupe mwisho mwema amin
Machozi yananitoka mimi mja dhaifu , mwenye chungu nzima ya madhaifu na madhambi Yaa ALLAH nisamehe kwa Rehema zako na uniingize peponi bila ya hesabu . Kama ulivyonipa neema ya uislamu ukubwani Alhamdulillah Amyn 🤲
Allah Amrehemu mama yetu, Yaaani kwa jinsi dada yetu alivyojieleza. Vyote nimependa lkn kikubwa sn nimependa family yote ina dini, guys tuswalini wallah hatujui dk,saaa,wala cku....wallah Mom ameondoka akiwa mwema wallah Allah ampokee
Poleni sana dada jamani siwezi kukaa kimya japo mkristo dada ume lelewa vizuri sana mama alikuwa ana Waleya kwenye misingi mizuri Mungu awape wepesi
🤝 nawe pia mwenyezimungu Akujaalie kilalakheri
Dah yani Dada yangu wewe ni mtoto mwema na Baraka kwa wazazi wako na hakika wamekupa malezi mema na hii ni kukufundisha dini MashaAllah! Ee Allah tujalie tuwe miongoni mwa waja wako wema na utujalie tuwe wazazi wema kwa watoto wetu, kesho waweze kutengeneza vizazi vyema. Alhamdulillah 🙏🏾
Da huyu dada, aliemuoa emepata mke, dada ni jasiri,dada ni mcha MUNGU,dada Amesoma dini,dada amelelewa kimaadili ya dini,niwanamke wa heshima,angalia alivyo pokea taalifa na jinsi alivyo ileta kwa ndugu zake na baba yake,MUNGU akufanyie wepesi dada umalize maisha ya dunia salama,
Amiiiin yaarabih
Sema mashallah
Asnt mkuu
@@zaytunhijja6771 mashallah
Ameen yarabbi
Nimemsikiliza vizuri huyu dada,amenifanya nitafakari mahusiano yangu na Mwenyezi Mungu...
Amin amin
Kweli kbs
Sana yani jamani Allah atuhifadhi
Kweli kabisa
@@ramlamussa613 amiin amiin ya Rabiialamin,Ila nasi tujikurubishe kwake na atujaalie tuwe wenye kunyenyekea kwake,amiin amiin amiin
Waislam walioshika dini huwa wanamaanisha kweli kweli. Wanakuwa na hofu na Mungu na pia wanakuwa na imani na Mungu.
Sanaa, mashaallah.
M.mungu atupe mwisho mwema,tuliobakia
Hiyo ipo kote ndugu
maashaAllah Jazaakumullahu khaira 🙏 dada uko vizuri
Innalillah wainnailaih rajiun 😭😭😭Kwakwel huyo Mama Kifo chake hakihuzunishi jaman 😭😭😭ikiwa mtoto wake yuko hiv je Mama Mzazi alikuwa je 😭😭Allah amlaze mahal pema pepon na sisi atupe mwisho mwema 🤲😭😭😭Sisi sote ni wa ALLAH na kwake tunarejea😭😭😭kifo chake kishajuilikana lkn chetu sisi hatujakijua kifo chake kinafurahisha Alhamdulillah Mashallah Yarab na sisi tujaalie mauti yetu yawe mepesi 🤲😭tufe katika mji mtukufu wa Makka tuzikwe na Mtume wetu Muhammad S. A. W. Na tuswaliwe ni watu katika watu wema 😭😭😭😭😭😭😭😭😭🤲🤲🤲
Mtume kazikwa Madina.Aaamin
Allahummah Amyyn yaraaby
Amiiiin Amiiin Amiiiiin ya rabbi
Allahumma aamin yaarabi
Allahuma amiin
Nikivyoiona tu hii video hapa TH-cam, sikupanga kusikiliza yote, Ila nilivyoanza tu kuisikiliza nimeishiwa kuisikiliza yote. What an end to her life. Beautiful end. Zawadi ya kifo chema ilikua ni dhahiri kwake. May God heal the hearts of her beloved and everyone else who was touched by this story.
Aamiiiin. Hata mimi nlikuwa kama wewe lakini nimeisikiliza mpaka mwisho.
Ata mm natamn hii familia niijuwe
pia mimi
@@rausaid9430 Kumbe wewe kama mimi 😆 natamani nipatane na watu wazuri kama hawa maana maisha yangu yote ni changamoto na watu. Labda nihamie Tanzania lakini pia naogopa mara wanijie wabaya 💔😠
Karibu mm nitskupokea
watu kama haw ndio wanaweza kushawishi mtu kuwa muislam sio walee wa kukashfu kila kitu mdada anautulivu wa kutoka ndani
Good
Utakuwa inshallah
Kabisaa
We baki uko uko huku tumejaa
Hatuna haja ya kuwa waislam ila kuwa waadilifu katika dini zetu inatosha.
Mama amekujenga Masha'allah ..Familia yenu ina'athari kubwa ya Dini Namuomba Allah msipungukiwe katika hili!!
Masha Allah
Amiin
Ameen
Maashallah
Ukisema Athari inamaanisha nn🤔🤔
Allahumma Amiin 🙏
Imeelezwa Ktk Qur'an Kuwa Mtu Mwema Huonekana Nuru Ktk Sura Yake Masha'Allah Ukhut Nafikili Nawewe Nikati YaHao Watu Tulioelezwa Yaa-Rabii Matamanio Ya Moyo Wangu Nikuwa Kama Huyu Mja Wako Alietangulia Mbele zako na Kuwa Nakizazi Km Chake اللهم تكبر دعاء 🙏
Amiin
Amiin
Ameen 🤲🏾🤲🏾
Innalilah wainalillah rajun
Inna lillahi wainna ilayhi rajiuna Allah Amrehem hajat Huu Akiba Wallah Alizaaaa😭😭naamewacha Watoto Wemaaaa Huu Nimfano Mwema Wamalezii Tuigee Maleziii Sinikutoka Burundi Mola Akubali Ibada Zakee Amsameh Ampe Yale Mazuri Aliyomuomba Amin
Amiin
Amiiiin yaarabih
Ameen
Amina ya rabbil'ala miin
inalillah wainalillah rajiun yaani we dada Allah akuongoze uwe kama mama yako nimekisikiliza kwa makini sana umenifanya nilie umeniongeze kitu katika imani Allah atujalie sote mwisho wema na watoto wema amiin
Innalillahi waina ileihi rajiun . Ila we Dada masha Allah umejaaliwa iman kama mama yako ,wallahi umenitoa machozi na kunirudisha katika njia ya hakii
Namuomba Allah amridhie Hajjat Akiba na sisi tumuombe Allah atupe mwisho mwema
Subhanallah 😢 hakika Mwenyezi Mungu humpandisha cheo amtakaye! Bi Akiba ame pata bahati ya pekee. Msiba wake ni huzuni na furaha! Allah amghufirie madhambi yake na amjaalie pepo ya daraja ya juu kabisa 🤲🏾
Allahuma ameen 🤲
Hhhuyhggguyyytttgf4rrfy
Wewe dada mume wako amepata dhahabu Ktk ndoa yake maashaAllah Allah Akujaalie kilalakheri dadayangu na ajaalie ndoa yako iwe ni yenye kheri na Barka tele na kizazi chako Allahumma Amiin 🙏
Kati ya wanawake wenye (AKILI NA HEKIMA),mwenyezimungu akujaalie mwisho mwema pamoja nasi,inshaallah
Aamin
Amiin
Amin Inshaallah
Allah atujaalie na sisi mwisho mwema yarabbi
Ameen
Tunamshukuru Mungu kwa ajili ya Bi Akida,Mwenyezi Mungu atuongoze katika njia yake na atujalie mwisho mwema,Amina.
Amina
Amiin
اللهم آمين
Aamiin Yaarabb
Watu wanabahati kweli ukisikia mke mwema ndio huyu sasa
Na mm mungu anijaalie niende kuhiji Makkah,na nife huko huko nizikwe huko huko.
Mashallah Allah akujalie hatma njema dad angu nilitamani nipate mke kama ww
Amiin amiin ya Rabii Allah akupe hitaji la moyo wako,namshukuru Allah nimeiwahi mwaka huu sijamaliza siku arobain,nakuomba Allah mtimizie hitaji lake huyu mja wako,amiin amiin ya Rabii
Ameen ameen
@@hadijamandanje6189 Amiina inshallah 🤲
@@hadijamandanje6189 mungu akujaalie uwe ni miongoni mwa walisosamehewa madhambi inshallah,
Huyu bint pia dini kasoma huyu,speech yake yaonyesha,namuomba ALLAH nawe akupe mwisho mwema.
Amiin
Real kabisa
آمين يا الله 🤲🤲
Amiin
hawa ndo wake unaoowa ukapata utulivu wa ndoa
ALLAH AKBAR ALLAH atujaliye mwisho mwema sisi na vizazi vetu AMEEN 🤲
Allah umma amini
Amiin yaraab
Amiin
Mungu mwenyezi tunaomba Upokee mama yetu mfia dini na Mwenye Imani thabiti.
Amen
Amen
Mashaallah namuomba Allah akujaalie ufate nyayo za mamaako,,,,,shemeji yangu kapata mwanamke mashaallah
Nimeshindwa kujizuia ma shaa Allah she is a super woman ma shaa Allah ma shaa Allah
Allahumma Ameen thumma Ameen
Yaan huyu aliemuoa huyu dada amepata mke maashallah I wish ningalikuwa mie. Yan ametulia anajieleza anaijua Dini anaunyenyekevu maashallah. Allah akujaalie maisha marefu na mwisho mwema katika imaan.
Kwa niaba ya wa kristo wote ndani ya ayo tv tuna sema inalilah wa inalilah rajun kwa ndugu yetu alie mpoteza mama yake , Mungu awape nguvu hii familia
na mm nakushuru Kama mwisilam huyu ndio umoja Mtume wetu tunaemkubali sote ISSA(yesu)katufundisha Amani na upendo ,Yani nimefurahishwa na Comment yako
@@assiahassan2671 ubarikiwe tena na tena
Aamin
Allahumma ameen
Mwenyezi Mungu akubariki
Jinsi huyu dada anavyoijua Dini nimempenda saaana,ni wachache sana kupata mabinti kama hawa,
Mungu ampe baraka tele
mashaalah dada yangu, Mimi si muislam lakini nimekupenda yote uliyoongea.🙏
kabisaaaa nimempendaaaa sanaaaaaa
Innalilahi wainnailayhi rajiun Allah amlaze mahali pema.
Natamani namimi siku nitakapo kwenda kuhiji mwisho wangu uwe huko huko.
Itakuwa
Amiin insha Allah
Me nimelia sana baada ya kusikia hii habari Ila watoto wa marehem n watu wenye hofu ya Allah 😭 Allah awape subra na mama etu jannat firdaus yawe makazi yake yarraby🙏
Amein Yarab
Allah humma Aamiin yarrab
Ya rabi mpokee mjaa wako mpe alicho kitaka nasi tujalie mwisho mwema na utupe pepo tuondolee hadhabu ya kaburi na hadhabu ya moto utupe pepo ALLAH TAKABALANA DUA ETINA AMIN
Pia Pongezi kwa presenter. Umekua mtulivu katika interview. Na umeumilza maswali ambayo yanafaida kwa wengine
Namkumbuka Huyu Dada Tulisoma Pamoja Alfallah Muslim School Kama sikosei alikuwa ni Amirat Mpole sana
Mashaallah, hata mimi namkumbuka nimesoma nae Mkunazini
Allah Akbar
Kaka A.alkm warahmatullah ulisoma Alfalah mwaka gani mm nilimaliza 2008
Alhamdulillah huyu dada masha Allah
@@alijuma7674 mm mwaka huo Niko Kidato cha Pili Darasa La Kina Mahfoudh na akina Aden..... Nyinyi mlikuwa wa Kina Saleh kama sikosei Dinyo
Ata ivo dada jasiri umejikaza sana unaongea ww,machozi yananitoka mm.Allah awape subra
Sana tokea mwanzo wa msiba😭😭
Poleni sana dada nimejifunza kitu kutoka kwako mashaalah
Amwn Imanii I Imeshiba Hapoo
Yaan nikweli kabsa
*It shows how the deceased raised her children well who prays for her always. May Allah have mercy on her. From Allah we belong and to him is our return* 💕
For sure... W Aamin
Yaan najiskia wivu sana tuwe mfano wetu huyu mama hakika tayar ametakasika sehemu alio zikwa hazikwi mchafu yaa Allah tupe khusnul khtma nasisi
Hakika.
Amiin
Amiin
Amiin
Amiin Ya Rabby
Innalillah wainna ilayhi raajiun 😭😭
Tumuombe ALLAH nasi Atupe mwisho mwema 🤲🤲
Allah, anifanyie wepesi na mm niwe na mwisho Mwema 🙏
Kasoma sana dini huyu binti, poleni sana mwenyezi mungu awape wepesi
Natamani watt wangu wawe kama watt wa huyu mama Inshallah yarabi niongolee wanangu wawe wema Inshallah
Amin insha allah
Mtoto umleavo ndivyo akuavyo kwaio tujitahid tu na malezi mema
Amiin
Anaongea kwa upole na hekma kama mama yangu. Allaah Awape khery wazaz wetu. Daaah😭😭
Amiin
Mashaaaalllah
Innah wa Innah lillah Rajun Daaah Kwa kweli Dada Nimekupenda Bure Wallah Mwenyezi Mungu Akuzidishiye Katika Misingi Mema Daima Milele Mwenzenu Kutoka Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Nimempenda huyu dada maashaallah mwenyezi mungu atujaalie na sisi subra ya hali ya juu kama yako dada
Mashaallah
qu'Allah soit adore a jamais
Subhanallah!!! Allah ampe makazi mema pepon
Nimejifunza kitu Allah atujalie mwisho mwema kwetu sote 🤲🤲🥺
Mashaallah nyumba yenye dini allihamdullah m mungu atupe mwisho mwema sichoki kumuangalia huyu dada wallah
May Allah Guide us all to the siratul - mustaqeem , ease your pain and emptiness, and grant all our mothers Jannatul firdaus. Ameen Ya Rabi🙏Poleni sana ndugu zangu.
Naam Allahumma Aameen
@@nahimanamayassa8305 May Allah reward you جزاك اللهُ خيرً
Ameen
O
Masha Allah
Mashallah mwanangu khanifa Allah atakupeni subra dada angu Allah kampenda na kamzawadia zawadi sote tunaililia nafasi hii Yarab mjaalie firdaus ya darja ya juu poleni mama
اللهم امين
Ukhty Allah Akulipe umrii thawiil wenye twaa na waislam wote na Awarehemu jaamia mouti muslim wa muslimat yarabby...unaujasiri sana dadangu...
Allah Amridhie mamaetu na jaamia mouti muslim wa muslimat yarabby 🤲 nimejifunza mengi kwa huu msiba wa mamaetu ...Allah atukutanishe na Mtume wetu MUHAMMAD SALALWAHU ALEIHIWA SALAAMU kwa sidri mutakha
Amiin yarabil Ala Amiin 🤲
❤❤❤❤ Allah akbar umenifanya nijililie kuliko maman .maman allah amzidishie nuru kila siku Allah tujalie vifoo Bora
This is why i trust in islam
Ishu sio uislam,muhimu utafakari mahusiano yako na Mungu,dini haikupeleki mbinguni,
Kwa BWANA YESU KRISTO ndio sehemu sahihi kuliko zote Duniani na Wala hakuna Mungu mwingine zaidi ya yeye Utukufu na heshima ni Kwa BWANA YESU KRISTO milele na milele amini ukombolewe
Maashallah aliemuoa huyu dada amepata mke hakika. Napenda sana mwanamke anaeijua Dini anautulivu ana subra. Allah amsamehe mama huyu na amuondolee adhabu ya kabri
Poleni sana nimejifunza kitu kwa uyu dada natamani nimuone live inalilah waina lillah rajiun kwa mama yetu kipenzi
Mashallah huyu dada ni mfasaha sana Allah amzidishie maana ameeleza mazungumzo yote kwa taratibu na sarufi hakika inayofahamika. Mama amelea hakika Allah amridhie
Jazakallahu khaila uyu bint amenifanya mpaka nikatoa machoz.namuomba Allah Akupe hekima na busara kama mama yako.pia namuomba Allah ampe mama yetu daraja ya juu kama alivyokuwa akiiomba kwa Allah haza wajjallah 🙏
Allah akulipe kheri Dada yetu khanifa🤲Na mama yetu Bi Akiba akutanane na Mtume Muhammad sw,pepo ya firdaus iwe maakazi yake
Ameen Ameen 🙏
Ameen
Dada nae anaiishi akhera ndio maana ana ujasiri. Dunia kaipa nafasi ndogo tu.
Yah Allah mpe mama yetu bi akiba pepo ya juu pamoja na mtume wetu muhammad amiin
Innalillah wainaillayh rajiun 😭 dah dada nmekupenda dini unayo n una subira sana 🙏
Mashaallah Kwako binti na pole poa 🙏🏻Inna Lillah waina irahi Rajiun
Mashaallah Allah awape mwisho mwema wazazi wetu na waislaam wote kwa ujumla
Allah amrahamu mama yetu amjalie janatul firdosa Amiin
Eeeh ALLAH jmn mola Wang...nijaalie mwanamke Bora km huyu dada, anaeijua dini, mchamungu, mweny kuniongoza kwenye njia Bora ... Allah nijaalie jmn mke Bora km huyu yaraab... WANAWAKE km Hawa kuwapata daaah wachache na nikimpata daaah Dunia ni pepo kwang
Na ww uwe mwema ndo utapata mke mwema
@@sulaimsameer2668 hahaaaaaaa
hiiifamilia naomba niitembelee nimejifunza mengii saana alhamdulillah mungu awatienguvu
sawa naitembeleajesasa
Alah amlaze mahala pema pepon mkwe wangu amin
SubhanaAllah. Inna lillah wainna ileyhi rajiuon. Allahuma ghfirlaha warhamha waskinha fil jannah. Allahuma thabithna bil kauli thabit. Allahuma jaalna qabra raudha min riyadhil jannah. Kwa kweli kisa kizito na chakuskitisha Alhamdulilah Allah awazidishie imani ndani ya moiyo yenu nimemkumbuka marham mamangu kwa kweli ukipata taarifa ya kifo kitu cha kwanza kukifanya ni umsujudie mola wako na huwa wapata utulivu wa nafsi kupambana na jambo zito hilo.shukran kwa elimu nzuri mama yetu bi akida kwa kweli tumepata funzo zuri
MASHALLAH
Wow! Huyu Dada alitakiwa aolewe na mimi, ingawa mi ni Mkristo. Pole Sana dada yetu mpendwa. Ubarikiwe 🙏🙏
Daaa mwenzetu kapewa Mwisho mwema na Allah, Aminaa
Masha Allah wallah najikuta na liya kwafuraha familiya nzuri sana tungekua sote waislam itakiwavyo hata wenzetu wa kristo wange silim bila shaka ukijua wislam ki sawa sawa na kuufwata ki sawa sawa nineem isiyo namfano pia ndo furah ya hapa duniyan na kesho akhera ananiongezea iman Allah awafariji nasiye atuongoze sote natupe mwisho urokua mwema🤲
Maa shaa allah amirat uyu mungu amuongoze katika heri
Innallilah wainallilah rajioun poleni sana kwa msiba Allah awape subra ndugu zetu kwa kumpoteza mama
Wallah...nimesikiza roho ya imani imeniingia namuomb Allah niwe miongoni mwa waumini na watuwema...na MwenyeziMungu ailaze Roho mahali pema Peponi...
Alhamdulillah mwenyezi mungu nikarim jinsi utakavyo jiandaa binaadam kwa mema ndivyo mungu atakupokeya huyo mma alijiandaa wallah hadi nimetowa machozi ya furaha naninamuomba azzawajaalla anifanyiye wepesi niwe kama huyo mama yutu amiin
MASHAALLAH MI MTU AKIFA KAMA HVYO HATA SIUMII NABAKI NAJIOMBEA MWISHO MWEMA TU MANA MAMA KAFA AMESHATUBU MASHAALLAH ALLAH AMPOKEE KWASALAMA NASI ATUPE MWISHO MWEMA ALLAHUMMA AAMIIN YAARABB.
Hakikaa
@@aishayeahhasan7379 Yaani huyo kafa kama malaika hana dhambi hata moja unaumia nn? Jman tuombe mwisho mwema yarabb
Mashallah dadangu nimekupenda imani yako ya dini hiii ndoraha yakufundisha dini watoto Mashallah Allah amlaze mamaetu pema kwa wenye wema.
Innallillaihi wainna illaihi rajiun
Allah Ampe kauli Thabit
Ndugu yetu
Amsameh madhambi yake
Amuondoshee Adhabu za kaburi
Na Amlaze mahali Pema Peponi
Awal Daraja Jannat Firdaus
Yaa Rabbi 🤲❤
Poleni sana wafiwa wote
Allah Awape Subra
Yaa Rabbi 🤲❤
Shukran sana
Mdogo wetu
Wasia Mzuri sana
Allah Atuongoze kwa
Sote,Tuwe miongoni
Mwa waja wema
na Tuwe watu wa Peponi
Yaa Rabbi 🤲❤
Mmm mama huyu aliishi maisha matakatifu kweli hata na muonea wivu
Mashaallah, mashaallah , dada yangu umeongea vzr , pia umetupa darasa tumejifunza wengine kupitia wewe , pia niseme malezi mazuri ulolelewanaamin mama huko aliko anafurahia na anaimani wewe kaacha mtu ,Allah akijalie wewe Na kizazi chako chote
Dah,, dada umetupa elimu kubwa sana ,pia poleni sana kwa kuondokewa na mzazi dada poleni.
Inna lillah wainna ilaihir raajiuun
Innalilahiwanlarajinn mungu ampe kauli sabiti amuondoshe azabu za kabri amin
Ya rabb tujaalie mwisho mwemaa 🤲🤲... Tujaalie tudumu katk Yale mema yanayokufurahisha tueke mbali na Yale mabaya yanayokukacrisha yaaarabb tujaalie pepo ya daraja ya juu kbs 🤲🤲
Subhannallah, Mwenyezi Mungu atujaalie mwisho mwema!! Binti mwenyewe anaijua dini vilivyo !!
Ma sha Allah.Allah amjaalie awe miongoni mwa watu wema wa peponi..na sisi ..Allah atujaalie khusni lhatima..amiin.
Naam niliwah kwenda umra kila baada ya swala huswaliwa swalat jeneza,, Mashaa Allah mam amezikwa vizr naamehifadhiwa sehem nzuri mchanga wamadina mzuri jaman Allahu Akbar Allah amjaalie Jannat firidaus 🤲🤲🤲🤲🤲
Amin na sisi sote
Allahumma Amiin 🤲
ALLAH ANIJAALIE MKE MWEMA KAMA HUYU DADA HAKIKA ITAKUWA MOJA YA BARAKA KUBWA MAISHANI MWANGU
Subhana allah
Allah amjalie janat firdous iwe makazi yake Allahuma Amin yarab
@sheshi beshi HAPA ni spesho, AU kwaajil, AU kwaniaba ya, MAMA, mmoja, alie jaaliwa imani yake thabiti, kipenzi cha muumba mbingu na ardhi, yani muumba mawingu na mchanga, na kila unacho kiona mbele yako, NDUGU nakuomba tuache kwanza, sio kwa ubaya, NA pia chunguza NA seemu.
Inalillah Wainailaih Rajuun. Mwenyezi Mungu atujaalie nasisi mwisho mwema. Kweli Mwenyezi Mungu ametuambia "Niombeni nitakupeni" "Rejeeni kwangu nami nitawasamehe" Alhamdulillah kifo cha huyu mama kimeniongezea Ilmu zaidi. Alhamdulillah
Hakika bila kujali wewe ni mwanamke wa nani ila najivunia wewe sana. Ni mwanamke unaejitambua kama mwanamke. Wewe unanifanya niamini wanawake walio bora kwa hakika wapo. Mungu na akupe umri mrefu ili watu wanufaike na neema zako isha'ALLAH.
Hakika ya imani ni ujasir Allah nijalie kheri katika imani ya dini yangu.innalillah wa innaillah rajiun
Daah dada anaonekana ana uchamungu na kapata malezi bora yan mumewe kapata mke kwa kweli
Ya Allah in shaa Allah tujaalie na sisi mwenendo kama huu. Ya Rabb wape familia subra na faraja
Hajath asante sana nimekupenda sana kwa ajiri ya allah na innalillah wainna lillaih rajuunii kwa mama atuu kipenzaa❤❤❤👏👏❤❤❤
Innaalillahi wainnaaileyhi raajiun
Ma sha Allah
Mwenyezimungu atujaalie Mwisho mwema...
Huyu Dada Ma sha Allah nimempenda sana
Pole saana, na hongera kwa subira na kumkabizi yote Allah
Maa Shaa Allaahaa Shaa Allaah... Allaah amzidishie Noor ktk Qabri yake na azidi kuwapa subra na faraja wafiwa
إِنَّا لِلّهِ وَإِنَّـا إِلَيْهِ رَاجِعونَ،اللهم اغفرلها وارحمها واسکنها الفردوسی الأعلی🙏
allah n muokovu wawaja wake wote wema allah atupe mwishoo mwema nasi kwenye kutafuta wanawake wa ndoa tutafutee weny kujua din dada ameongea saf san bil kupepesa machoo wenzetu wazanzibar din ndo kila kit so unguja ty ndo din ipo apana dunian kote din ipoo ila zanzibar wapo vizuli allah anipe mkee mwema inshllah allah ampe kauli thabit nas. atupe mwisho mwema amin
Mashallah Mashallah mungu wangu huyu dadangu nimemuonea wivu na imani yake Mashallah Mashallah
Mwenyewe nimetamani niwe km yeye, kwel amejaaliwa
Sema Masha'Allah
Dada, mwenyezi Mungu akubaariki wewe na uzao wako, hakika mmelelewa vema imedhihilika hapo.
@sheshi beshi hili
Masha Allah
Amiin
ALHAMDULILLAH dada una subra ya hali ya juu taarifa hii ya mama yetu imenijenga sana kiimani
Machozi yananitoka mimi mja dhaifu , mwenye chungu nzima ya madhaifu na madhambi
Yaa ALLAH nisamehe kwa Rehema zako na uniingize peponi bila ya hesabu .
Kama ulivyonipa neema ya uislamu ukubwani Alhamdulillah
Amyn 🤲
INNALILLAH WAINNAILAYHI RAJIUUN ALLAHUMMA GHUFIRAHA Warhamaha waskanaha fil jannah wajamiil muslimina wal muslimat🤲
Amin
Innalillah wahinna illah rajiuun.
اللهم آمين
Amiin
Mashaallah
Mashaa Allah, qur'an ndiyo muongozo wa maisha yetu
Allah Amrehemu mama yetu, Yaaani kwa jinsi dada yetu alivyojieleza. Vyote nimependa lkn kikubwa sn nimependa family yote ina dini, guys tuswalini wallah hatujui dk,saaa,wala cku....wallah Mom ameondoka akiwa mwema wallah Allah ampokee
Ibada haikutengi wallah, Dada mungu akulipe kheli na subra zaidi