Dah yani Dada yangu wewe ni mtoto mwema na Baraka kwa wazazi wako na hakika wamekupa malezi mema na hii ni kukufundisha dini MashaAllah! Ee Allah tujalie tuwe miongoni mwa waja wako wema na utujalie tuwe wazazi wema kwa watoto wetu, kesho waweze kutengeneza vizazi vyema. Alhamdulillah 🙏🏾
Machozi yananitoka mimi mja dhaifu , mwenye chungu nzima ya madhaifu na madhambi Yaa ALLAH nisamehe kwa Rehema zako na uniingize peponi bila ya hesabu . Kama ulivyonipa neema ya uislamu ukubwani Alhamdulillah Amyn 🤲
Huyu mama siwez kumuelezea mama mnzur sana hana mabaya niliweza kuishi nao kama mfanyakazi wao wandan nlitokea bara dar salaam walinfnya kama mtoto wao walinpenda san hawakunibagu mungu mlaze mahari pema pepon amiin😭😭😭polen sana familia nzima bi akiba
Yaa Allah mpe mama yetu Akiba pepo yajuu Kama alivokuwa akiiomba . Allah akuridhie katika Kila amali zako .nasi watoto zako tufate nyayo zako inshallah ❤❤
inalillah wainalillah rajiun yaani we dada Allah akuongoze uwe kama mama yako nimekisikiliza kwa makini sana umenifanya nilie umeniongeze kitu katika imani Allah atujalie sote mwisho wema na watoto wema amiin
Subhanallah 😢 hakika Mwenyezi Mungu humpandisha cheo amtakaye! Bi Akiba ame pata bahati ya pekee. Msiba wake ni huzuni na furaha! Allah amghufirie madhambi yake na amjaalie pepo ya daraja ya juu kabisa 🤲🏾
Imeelezwa Ktk Qur'an Kuwa Mtu Mwema Huonekana Nuru Ktk Sura Yake Masha'Allah Ukhut Nafikili Nawewe Nikati YaHao Watu Tulioelezwa Yaa-Rabii Matamanio Ya Moyo Wangu Nikuwa Kama Huyu Mja Wako Alietangulia Mbele zako na Kuwa Nakizazi Km Chake اللهم تكبر دعاء 🙏
Wewe dada mume wako amepata dhahabu Ktk ndoa yake maashaAllah Allah Akujaalie kilalakheri dadayangu na ajaalie ndoa yako iwe ni yenye kheri na Barka tele na kizazi chako Allahumma Amiin 🙏
Naam niliwah kwenda umra kila baada ya swala huswaliwa swalat jeneza,, Mashaa Allah mam amezikwa vizr naamehifadhiwa sehem nzuri mchanga wamadina mzuri jaman Allahu Akbar Allah amjaalie Jannat firidaus 🤲🤲🤲🤲🤲
Ya rabb tujaalie mwisho mwemaa 🤲🤲... Tujaalie tudumu katk Yale mema yanayokufurahisha tueke mbali na Yale mabaya yanayokukacrisha yaaarabb tujaalie pepo ya daraja ya juu kbs 🤲🤲
Mashallah huyu dada ni mfasaha sana Allah amzidishie maana ameeleza mazungumzo yote kwa taratibu na sarufi hakika inayofahamika. Mama amelea hakika Allah amridhie
Yaan huyu aliemuoa huyu dada amepata mke maashallah I wish ningalikuwa mie. Yan ametulia anajieleza anaijua Dini anaunyenyekevu maashallah. Allah akujaalie maisha marefu na mwisho mwema katika imaan.
Allah awafnyie wipes wafiwa wote,amuangazie Nuru ktk kabur yake naomba Allah nami anijaalie mwisho uliokuw mwema kama huyu mama🙏🙏🙏🙏 Yarabbie nakuomba mwisho uliokuwa mwema na naomba niwe miongoni mwa wale uliowaridhia Amiin🙏🙏🙏
Ya rabi mpokee mjaa wako mpe alicho kitaka nasi tujalie mwisho mwema na utupe pepo tuondolee hadhabu ya kaburi na hadhabu ya moto utupe pepo ALLAH TAKABALANA DUA ETINA AMIN
Me nimelia sana baada ya kusikia hii habari Ila watoto wa marehem n watu wenye hofu ya Allah 😭 Allah awape subra na mama etu jannat firdaus yawe makazi yake yarraby🙏
Ukhty Allah Akulipe umrii thawiil wenye twaa na waislam wote na Awarehemu jaamia mouti muslim wa muslimat yarabby...unaujasiri sana dadangu... Allah Amridhie mamaetu na jaamia mouti muslim wa muslimat yarabby 🤲 nimejifunza mengi kwa huu msiba wa mamaetu ...Allah atukutanishe na Mtume wetu MUHAMMAD SALALWAHU ALEIHIWA SALAAMU kwa sidri mutakha Amiin yarabil Ala Amiin 🤲
Masha Allah wallah najikuta na liya kwafuraha familiya nzuri sana tungekua sote waislam itakiwavyo hata wenzetu wa kristo wange silim bila shaka ukijua wislam ki sawa sawa na kuufwata ki sawa sawa nineem isiyo namfano pia ndo furah ya hapa duniyan na kesho akhera ananiongezea iman Allah awafariji nasiye atuongoze sote natupe mwisho urokua mwema🤲
Mashallah mwanangu khanifa Allah atakupeni subra dada angu Allah kampenda na kamzawadia zawadi sote tunaililia nafasi hii Yarab mjaalie firdaus ya darja ya juu poleni mama
Innalillah wainnailaih rajiun 😭😭😭Kwakwel huyo Mama Kifo chake hakihuzunishi jaman 😭😭😭ikiwa mtoto wake yuko hiv je Mama Mzazi alikuwa je 😭😭Allah amlaze mahal pema pepon na sisi atupe mwisho mwema 🤲😭😭😭Sisi sote ni wa ALLAH na kwake tunarejea😭😭😭kifo chake kishajuilikana lkn chetu sisi hatujakijua kifo chake kinafurahisha Alhamdulillah Mashallah Yarab na sisi tujaalie mauti yetu yawe mepesi 🤲😭tufe katika mji mtukufu wa Makka tuzikwe na Mtume wetu Muhammad S. A. W. Na tuswaliwe ni watu katika watu wema 😭😭😭😭😭😭😭😭😭🤲🤲🤲
MASHAALLAH MI MTU AKIFA KAMA HVYO HATA SIUMII NABAKI NAJIOMBEA MWISHO MWEMA TU MANA MAMA KAFA AMESHATUBU MASHAALLAH ALLAH AMPOKEE KWASALAMA NASI ATUPE MWISHO MWEMA ALLAHUMMA AAMIIN YAARABB.
Jazakallahu khaila uyu bint amenifanya mpaka nikatoa machoz.namuomba Allah Akupe hekima na busara kama mama yako.pia namuomba Allah ampe mama yetu daraja ya juu kama alivyokuwa akiiomba kwa Allah haza wajjallah 🙏
Innallillaihi wainna illaihi rajiun Allah Ampe kauli Thabit Ndugu yetu Amsameh madhambi yake Amuondoshee Adhabu za kaburi Na Amlaze mahali Pema Peponi Awal Daraja Jannat Firdaus Yaa Rabbi 🤲❤ Poleni sana wafiwa wote Allah Awape Subra Yaa Rabbi 🤲❤ Shukran sana Mdogo wetu Wasia Mzuri sana Allah Atuongoze kwa Sote,Tuwe miongoni Mwa waja wema na Tuwe watu wa Peponi Yaa Rabbi 🤲❤
allah n muokovu wawaja wake wote wema allah atupe mwishoo mwema nasi kwenye kutafuta wanawake wa ndoa tutafutee weny kujua din dada ameongea saf san bil kupepesa machoo wenzetu wazanzibar din ndo kila kit so unguja ty ndo din ipo apana dunian kote din ipoo ila zanzibar wapo vizuli allah anipe mkee mwema inshllah allah ampe kauli thabit nas. atupe mwisho mwema amin
SubhanaAllah. Inna lillah wainna ileyhi rajiuon. Allahuma ghfirlaha warhamha waskinha fil jannah. Allahuma thabithna bil kauli thabit. Allahuma jaalna qabra raudha min riyadhil jannah. Kwa kweli kisa kizito na chakuskitisha Alhamdulilah Allah awazidishie imani ndani ya moiyo yenu nimemkumbuka marham mamangu kwa kweli ukipata taarifa ya kifo kitu cha kwanza kukifanya ni umsujudie mola wako na huwa wapata utulivu wa nafsi kupambana na jambo zito hilo.shukran kwa elimu nzuri mama yetu bi akida kwa kweli tumepata funzo zuri
Mashaallah tabarakah llah hakika nimekuelewa juu ya ujumbe wako dada allah akubariki na atuja'alie sote tuwe wenye kumuelekea allah subhana wata'ala tukawe waja wenye kuzifuata amri zake na sunna za rasul llah s.a w na atupatie mwisho uliokua mwema🤲
Subbunn llah 😭😭😭 yan iri tukio ni ramuda sana lakini bado rina nipa nguvu san kuomba msamaa kwa mwenyezi Mungu kwakweli 😢 mwenyezimung ampe kire aricho kiomba yaraaaab 😭😭
Maashallah aliemuoa huyu dada amepata mke hakika. Napenda sana mwanamke anaeijua Dini anautulivu ana subra. Allah amsamehe mama huyu na amuondolee adhabu ya kabri
Innah wa Innah lillah Rajun Daaah Kwa kweli Dada Nimekupenda Bure Wallah Mwenyezi Mungu Akuzidishiye Katika Misingi Mema Daima Milele Mwenzenu Kutoka Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Allahu Akbar mdada huyu nmempenda MaashaAllah. kwakweli DINI Ndio faraja kwetu. huyu dada na marehemu mamaake ni WACHAMUNGU. dada naomba Namba yako uwe unanipa Elimu ya Dini tena ukinifundisha wewe najua ntaelimika InshaAllah. NAOMBA NAMBA YAKO TAFADHALI INSHAALLAH
mashallah Allah ampe kila la khairat nasi atuzindue tufanye mambo mema na asizichukue roho zetu mpaka aturidhie poleni sana Allah awazidishie subra wafiwa wote
*It shows how the deceased raised her children well who prays for her always. May Allah have mercy on her. From Allah we belong and to him is our return* 💕
MashaaAllah mashaaAllah mungu amempa mazuri na watu wameyaona na ss pia mungu atatupa mazuri kuanzia hapa duniani na kesho akhera zaidi.Yy minal faizin mashaaAllah Alhamdulilah hana neno.mungu ampe jannatul firdaus amin
Da huyu dada, aliemuoa emepata mke, dada ni jasiri,dada ni mcha MUNGU,dada Amesoma dini,dada amelelewa kimaadili ya dini,niwanamke wa heshima,angalia alivyo pokea taalifa na jinsi alivyo ileta kwa ndugu zake na baba yake,MUNGU akufanyie wepesi dada umalize maisha ya dunia salama,
MASHALLAH,ALLAH AMJALIE PEPO BORA YA FIRDAUSI,NA HUYU DADA YAANI MTOTO WA MAREHEMU MASHALLAH NAE KABEBA ELIMU KUBWA,ALLAH IJAALIE KHERI FAMILIA HII NA WOTE AWAJAALIE MWISHO MWEMA,BIIDHINLAH AMIN.
@sheshi beshi HAPA ni spesho, AU kwaajil, AU kwaniaba ya, MAMA, mmoja, alie jaaliwa imani yake thabiti, kipenzi cha muumba mbingu na ardhi, yani muumba mawingu na mchanga, na kila unacho kiona mbele yako, NDUGU nakuomba tuache kwanza, sio kwa ubaya, NA pia chunguza NA seemu.
Mashallah Amefariki Shaahid.. moja kwa moja peponi mauti yakikukuta huko tena kwenye Ibada. Subhanallah.. Allah atupe mwisho mwema yaarab.. yani kufia huko PEPONI TU MOJA KWA MOJA. MASHALLAH MASHALLAH
Mashallh ...mungu akuhifaz na wat wabay mungu akujaalie ujasir uouo...love you dada...❤..mungu amlaze sehem pema ...hakika kutoweka kwake bado tunais yupo pmj nasi....ALL THE ALL UMOJA NI USHINDI UTENGANO NI UDHAIFU.......
Nikivyoiona tu hii video hapa TH-cam, sikupanga kusikiliza yote, Ila nilivyoanza tu kuisikiliza nimeishiwa kuisikiliza yote. What an end to her life. Beautiful end. Zawadi ya kifo chema ilikua ni dhahiri kwake. May God heal the hearts of her beloved and everyone else who was touched by this story.
@@rausaid9430 Kumbe wewe kama mimi 😆 natamani nipatane na watu wazuri kama hawa maana maisha yangu yote ni changamoto na watu. Labda nihamie Tanzania lakini pia naogopa mara wanijie wabaya 💔😠
Nimetokwa na machozi kwa kisa cha Mama huyu.natamani niwe na mm miongoni mwa familia ama niowe mtoto/mjukuu wa Mamacyetu huyu.Allah ampe Jannatul Firdaus na cc atupe khatima njema In sha Allah
May Allah Guide us all to the siratul - mustaqeem , ease your pain and emptiness, and grant all our mothers Jannatul firdaus. Ameen Ya Rabi🙏Poleni sana ndugu zangu.
Mashaallah, mashaallah , dada yangu umeongea vzr , pia umetupa darasa tumejifunza wengine kupitia wewe , pia niseme malezi mazuri ulolelewanaamin mama huko aliko anafurahia na anaimani wewe kaacha mtu ,Allah akijalie wewe Na kizazi chako chote
In Sha Allah dua zke na hijja yke iwe makqul na afufuliwe na maswahabakama alivyotaraji na nyinyi fmlia yke muwe na mwish mwema pamoj na waislm ste kwa ujumla 🤲🙏🤝
Dah yani Dada yangu wewe ni mtoto mwema na Baraka kwa wazazi wako na hakika wamekupa malezi mema na hii ni kukufundisha dini MashaAllah! Ee Allah tujalie tuwe miongoni mwa waja wako wema na utujalie tuwe wazazi wema kwa watoto wetu, kesho waweze kutengeneza vizazi vyema. Alhamdulillah 🙏🏾
Nimempend❤❤❤
Amiin 🤲
Machozi yananitoka mimi mja dhaifu , mwenye chungu nzima ya madhaifu na madhambi
Yaa ALLAH nisamehe kwa Rehema zako na uniingize peponi bila ya hesabu .
Kama ulivyonipa neema ya uislamu ukubwani Alhamdulillah
Amyn 🤲
Mm pia nna shaki
Huyu mama siwez kumuelezea mama mnzur sana hana mabaya niliweza kuishi nao kama mfanyakazi wao wandan nlitokea bara dar salaam walinfnya kama mtoto wao walinpenda san hawakunibagu mungu mlaze mahari pema pepon amiin😭😭😭polen sana familia nzima bi akiba
NGANGA ANAYETIBU UKIMWI KWA KUTUMIA VITABU NA MAJI
Aameen Aameen Aameen 🤲🏻 Polee Pia ni Msiba wako
Pimbi kweli wewe😅😅😅😅
MAASHALLAH! MOLA ATUZIDISHIE IMANI YA KUMCHA YEYE NA ATUJAALIE KIZAZI CHEMA KAMA HUYU BINTI INSHAALLAH!!
Yaa Allah mpe mama yetu Akiba pepo yajuu Kama alivokuwa akiiomba . Allah akuridhie katika Kila amali zako .nasi watoto zako tufate nyayo zako inshallah ❤❤
NGANGA ANAYETIBU UKIMWI KWA KUTUMIA VITABU NA MAJI
Mama amekujenga Masha'allah ..Familia yenu ina'athari kubwa ya Dini Namuomba Allah msipungukiwe katika hili!!
Masha Allah
Amiin
Ameen
Maashallah
Ukisema Athari inamaanisha nn🤔🤔
Allahumma Amiin 🙏
inalillah wainalillah rajiun yaani we dada Allah akuongoze uwe kama mama yako nimekisikiliza kwa makini sana umenifanya nilie umeniongeze kitu katika imani Allah atujalie sote mwisho wema na watoto wema amiin
Subhanallah 😢 hakika Mwenyezi Mungu humpandisha cheo amtakaye! Bi Akiba ame pata bahati ya pekee. Msiba wake ni huzuni na furaha! Allah amghufirie madhambi yake na amjaalie pepo ya daraja ya juu kabisa 🤲🏾
Allahuma ameen 🤲
Hhhuyhggguyyytttgf4rrfy
NGANGA ANAYETIBU UKIMWI KWA KUTUMIA VITABU NA MAJI
Ameen
Imeelezwa Ktk Qur'an Kuwa Mtu Mwema Huonekana Nuru Ktk Sura Yake Masha'Allah Ukhut Nafikili Nawewe Nikati YaHao Watu Tulioelezwa Yaa-Rabii Matamanio Ya Moyo Wangu Nikuwa Kama Huyu Mja Wako Alietangulia Mbele zako na Kuwa Nakizazi Km Chake اللهم تكبر دعاء 🙏
Amiin
Amiin
Ameen 🤲🏾🤲🏾
Innalilah wainalillah rajun
Allahuma amiina inshallah rabby tujaalie nasi na wazazi wetu na waislamu wote kwaujumla tuwe miongonii mwawaja wema
Poleni sana dada jamani siwezi kukaa kimya japo mkristo dada ume lelewa vizuri sana mama alikuwa ana Waleya kwenye misingi mizuri Mungu awape wepesi
🤝 nawe pia mwenyezimungu Akujaalie kilalakheri
Mashallah ukti ALLAH akifanyiwa wepesi kwa kila jambo
NGANGA ANAYETIBU UKIMWI KWA KUTUMIA VITABU NA MAJI
Inna lillahi wainna ilayhi rajiuna Allah Amrehem hajat Huu Akiba Wallah Alizaaaa😭😭naamewacha Watoto Wemaaaa Huu Nimfano Mwema Wamalezii Tuigee Maleziii Sinikutoka Burundi Mola Akubali Ibada Zakee Amsameh Ampe Yale Mazuri Aliyomuomba Amin
Amiin
Amiiiin yaarabih
Ameen
Amina ya rabbil'ala miin
Wallah...nimesikiza roho ya imani imeniingia namuomb Allah niwe miongoni mwa waumini na watuwema...na MwenyeziMungu ailaze Roho mahali pema Peponi...
Innalillahi waina ileihi rajiun . Ila we Dada masha Allah umejaaliwa iman kama mama yako ,wallahi umenitoa machozi na kunirudisha katika njia ya hakii
Wewe dada mume wako amepata dhahabu Ktk ndoa yake maashaAllah Allah Akujaalie kilalakheri dadayangu na ajaalie ndoa yako iwe ni yenye kheri na Barka tele na kizazi chako Allahumma Amiin 🙏
😊😊
Amin
Aaaamin
NGANGA ANAYETIBU UKIMWI KWA KUTUMIA VITABU NA MAJI
❤❤❤❤
Tunamshukuru Mungu kwa ajili ya Bi Akida,Mwenyezi Mungu atuongoze katika njia yake na atujalie mwisho mwema,Amina.
Amina
Amiin
اللهم آمين
Aamiin Yaarabb
Watu wanabahati kweli ukisikia mke mwema ndio huyu sasa
Naam niliwah kwenda umra kila baada ya swala huswaliwa swalat jeneza,, Mashaa Allah mam amezikwa vizr naamehifadhiwa sehem nzuri mchanga wamadina mzuri jaman Allahu Akbar Allah amjaalie Jannat firidaus 🤲🤲🤲🤲🤲
Amin na sisi sote
Allahumma Amiin 🤲
Allah amrahamu. Amin. @@abuubilal2646
Allahuma amiin na sisi sote
mashaaAllah 😢😢 mwenyez MUNGU amjalie pepo na sis tuliobak Allah atujalie subra Amiin
NGANGA ANAYETIBU UKIMWI KWA KUTUMIA VITABU NA MAJI
Namuomba Allah amridhie Hajjat Akiba na sisi tumuombe Allah atupe mwisho mwema
Ya rabb tujaalie mwisho mwemaa 🤲🤲... Tujaalie tudumu katk Yale mema yanayokufurahisha tueke mbali na Yale mabaya yanayokukacrisha yaaarabb tujaalie pepo ya daraja ya juu kbs 🤲🤲
Mashallah huyu dada ni mfasaha sana Allah amzidishie maana ameeleza mazungumzo yote kwa taratibu na sarufi hakika inayofahamika. Mama amelea hakika Allah amridhie
Mashaallah namuomba Allah akujaalie ufate nyayo za mamaako,,,,,shemeji yangu kapata mwanamke mashaallah
Nimeshindwa kujizuia ma shaa Allah she is a super woman ma shaa Allah ma shaa Allah
Allahumma Ameen thumma Ameen
Yaan huyu aliemuoa huyu dada amepata mke maashallah I wish ningalikuwa mie. Yan ametulia anajieleza anaijua Dini anaunyenyekevu maashallah. Allah akujaalie maisha marefu na mwisho mwema katika imaan.
Kama unamjua naomba number yake mumewe
Nimemsikiliza vizuri huyu dada,amenifanya nitafakari mahusiano yangu na Mwenyezi Mungu...
Amin amin
Kweli kbs
Sana yani jamani Allah atuhifadhi
Kweli kabisa
@@ramlamussa613 amiin amiin ya Rabiialamin,Ila nasi tujikurubishe kwake na atujaalie tuwe wenye kunyenyekea kwake,amiin amiin amiin
Allah awafnyie wipes wafiwa wote,amuangazie Nuru ktk kabur yake naomba Allah nami anijaalie mwisho uliokuw mwema kama huyu mama🙏🙏🙏🙏 Yarabbie nakuomba mwisho uliokuwa mwema na naomba niwe miongoni mwa wale uliowaridhia Amiin🙏🙏🙏
NGANGA ANAYETIBU UKIMWI KWA KUTUMIA VITABU NA MAJI
ALLAH ANIJAALIE MKE MWEMA KAMA HUYU DADA HAKIKA ITAKUWA MOJA YA BARAKA KUBWA MAISHANI MWANGU
Innalilahi wainnailayhi rajiun Allah amlaze mahali pema.
Natamani namimi siku nitakapo kwenda kuhiji mwisho wangu uwe huko huko.
Itakuwa
Amiin insha Allah
Ya rabi mpokee mjaa wako mpe alicho kitaka nasi tujalie mwisho mwema na utupe pepo tuondolee hadhabu ya kaburi na hadhabu ya moto utupe pepo ALLAH TAKABALANA DUA ETINA AMIN
Me nimelia sana baada ya kusikia hii habari Ila watoto wa marehem n watu wenye hofu ya Allah 😭 Allah awape subra na mama etu jannat firdaus yawe makazi yake yarraby🙏
Amein Yarab
Allah humma Aamiin yarrab
Ukhty Allah Akulipe umrii thawiil wenye twaa na waislam wote na Awarehemu jaamia mouti muslim wa muslimat yarabby...unaujasiri sana dadangu...
Allah Amridhie mamaetu na jaamia mouti muslim wa muslimat yarabby 🤲 nimejifunza mengi kwa huu msiba wa mamaetu ...Allah atukutanishe na Mtume wetu MUHAMMAD SALALWAHU ALEIHIWA SALAAMU kwa sidri mutakha
Amiin yarabil Ala Amiin 🤲
Masha Allah wallah najikuta na liya kwafuraha familiya nzuri sana tungekua sote waislam itakiwavyo hata wenzetu wa kristo wange silim bila shaka ukijua wislam ki sawa sawa na kuufwata ki sawa sawa nineem isiyo namfano pia ndo furah ya hapa duniyan na kesho akhera ananiongezea iman Allah awafariji nasiye atuongoze sote natupe mwisho urokua mwema🤲
Maa shaa allah amirat uyu mungu amuongoze katika heri
Mashaallah Allah awape mwisho mwema wazazi wetu na waislaam wote kwa ujumla
Waislam walioshika dini huwa wanamaanisha kweli kweli. Wanakuwa na hofu na Mungu na pia wanakuwa na imani na Mungu.
Sanaa, mashaallah.
M.mungu atupe mwisho mwema,tuliobakia
Hiyo ipo kote ndugu
maashaAllah Jazaakumullahu khaira 🙏 dada uko vizuri
Nimempenda huyu dada maashaallah mwenyezi mungu atujaalie na sisi subra ya hali ya juu kama yako dada
Mashaallah
qu'Allah soit adore a jamais
Mashaallah nyumba yenye dini allihamdullah m mungu atupe mwisho mwema sichoki kumuangalia huyu dada wallah
Maashallah kisa kinasisimua Allah ampe daraja ya juu yeye pamoja na sisi tujaaliwe mwisho mwema inshallah
Subhanallah!!! Allah ampe makazi mema pepon
Nimejifunza kitu Allah atujalie mwisho mwema kwetu sote 🤲🤲🥺
Mungu mwenyezi tunaomba Upokee mama yetu mfia dini na Mwenye Imani thabiti.
Amen
Amen
Mashallah mwanangu khanifa Allah atakupeni subra dada angu Allah kampenda na kamzawadia zawadi sote tunaililia nafasi hii Yarab mjaalie firdaus ya darja ya juu poleni mama
اللهم امين
Innalillah wainnailaih rajiun 😭😭😭Kwakwel huyo Mama Kifo chake hakihuzunishi jaman 😭😭😭ikiwa mtoto wake yuko hiv je Mama Mzazi alikuwa je 😭😭Allah amlaze mahal pema pepon na sisi atupe mwisho mwema 🤲😭😭😭Sisi sote ni wa ALLAH na kwake tunarejea😭😭😭kifo chake kishajuilikana lkn chetu sisi hatujakijua kifo chake kinafurahisha Alhamdulillah Mashallah Yarab na sisi tujaalie mauti yetu yawe mepesi 🤲😭tufe katika mji mtukufu wa Makka tuzikwe na Mtume wetu Muhammad S. A. W. Na tuswaliwe ni watu katika watu wema 😭😭😭😭😭😭😭😭😭🤲🤲🤲
Mtume kazikwa Madina.Aaamin
Allahummah Amyyn yaraaby
Amiiiin Amiiin Amiiiiin ya rabbi
Allahumma aamin yaarabi
Allahuma amiin
MASHAALLAH MI MTU AKIFA KAMA HVYO HATA SIUMII NABAKI NAJIOMBEA MWISHO MWEMA TU MANA MAMA KAFA AMESHATUBU MASHAALLAH ALLAH AMPOKEE KWASALAMA NASI ATUPE MWISHO MWEMA ALLAHUMMA AAMIIN YAARABB.
Hakikaa
@@aishayeahhasan7379 Yaani huyo kafa kama malaika hana dhambi hata moja unaumia nn? Jman tuombe mwisho mwema yarabb
🙏🙏🙏🙏🙏🙏mwenyezi Mungu mpumzishe kwa amani
ALLAH AKBAR ALLAH atujaliye mwisho mwema sisi na vizazi vetu AMEEN 🤲
Allah umma amini
Amiin yaraab
Amiin
Jazakallahu khaila uyu bint amenifanya mpaka nikatoa machoz.namuomba Allah Akupe hekima na busara kama mama yako.pia namuomba Allah ampe mama yetu daraja ya juu kama alivyokuwa akiiomba kwa Allah haza wajjallah 🙏
Kwa niaba ya wa kristo wote ndani ya ayo tv tuna sema inalilah wa inalilah rajun kwa ndugu yetu alie mpoteza mama yake , Mungu awape nguvu hii familia
na mm nakushuru Kama mwisilam huyu ndio umoja Mtume wetu tunaemkubali sote ISSA(yesu)katufundisha Amani na upendo ,Yani nimefurahishwa na Comment yako
@@assiahassan2671 ubarikiwe tena na tena
Aamin
Allahumma ameen
Mwenyezi Mungu akubariki
MashaAllah ALLAH atujaalie mwisho mwema, atujaalie tuwe pamoja na mtume MUHAMMAD( S.A.W) peponi na atuweke pmja na maswahaba
Innalillah wainna ilayhi raajiun 😭😭
Tumuombe ALLAH nasi Atupe mwisho mwema 🤲🤲
Allah atujaalie mwisho mwema INSHALLAH 🤲
Innallillaihi wainna illaihi rajiun
Allah Ampe kauli Thabit
Ndugu yetu
Amsameh madhambi yake
Amuondoshee Adhabu za kaburi
Na Amlaze mahali Pema Peponi
Awal Daraja Jannat Firdaus
Yaa Rabbi 🤲❤
Poleni sana wafiwa wote
Allah Awape Subra
Yaa Rabbi 🤲❤
Shukran sana
Mdogo wetu
Wasia Mzuri sana
Allah Atuongoze kwa
Sote,Tuwe miongoni
Mwa waja wema
na Tuwe watu wa Peponi
Yaa Rabbi 🤲❤
mashaalah dada yangu, Mimi si muislam lakini nimekupenda yote uliyoongea.🙏
kabisaaaa nimempendaaaa sanaaaaaa
❤❤❤❤ Allah akbar umenifanya nijililie kuliko maman .maman allah amzidishie nuru kila siku Allah tujalie vifoo Bora
allah n muokovu wawaja wake wote wema allah atupe mwishoo mwema nasi kwenye kutafuta wanawake wa ndoa tutafutee weny kujua din dada ameongea saf san bil kupepesa machoo wenzetu wazanzibar din ndo kila kit so unguja ty ndo din ipo apana dunian kote din ipoo ila zanzibar wapo vizuli allah anipe mkee mwema inshllah allah ampe kauli thabit nas. atupe mwisho mwema amin
SubhanaAllah. Inna lillah wainna ileyhi rajiuon. Allahuma ghfirlaha warhamha waskinha fil jannah. Allahuma thabithna bil kauli thabit. Allahuma jaalna qabra raudha min riyadhil jannah. Kwa kweli kisa kizito na chakuskitisha Alhamdulilah Allah awazidishie imani ndani ya moiyo yenu nimemkumbuka marham mamangu kwa kweli ukipata taarifa ya kifo kitu cha kwanza kukifanya ni umsujudie mola wako na huwa wapata utulivu wa nafsi kupambana na jambo zito hilo.shukran kwa elimu nzuri mama yetu bi akida kwa kweli tumepata funzo zuri
MASHALLAH
Mashaallah tabarakah llah hakika nimekuelewa juu ya ujumbe wako dada allah akubariki na atuja'alie sote tuwe wenye kumuelekea allah subhana wata'ala tukawe waja wenye kuzifuata amri zake na sunna za rasul llah s.a w na atupatie mwisho uliokua mwema🤲
Hakika ya imani ni ujasir Allah nijalie kheri katika imani ya dini yangu.innalillah wa innaillah rajiun
Mim ni mkristo Ila wew dada haki umebarikiwa una kauli nzur una confidence unamjua Mungu haswaaa kiufup unavutia kusikilizwa🙏🥰
Allah, anifanyie wepesi na mm niwe na mwisho Mwema 🙏
Ya Allah in shaa Allah tujaalie na sisi mwenendo kama huu. Ya Rabb wape familia subra na faraja
Ma sha Allah.Allah amjaalie awe miongoni mwa watu wema wa peponi..na sisi ..Allah atujaalie khusni lhatima..amiin.
Subbunn llah 😭😭😭 yan iri tukio ni ramuda sana lakini bado rina nipa nguvu san kuomba msamaa kwa mwenyezi Mungu kwakweli 😢 mwenyezimung ampe kire aricho kiomba yaraaaab 😭😭
Maashallah aliemuoa huyu dada amepata mke hakika. Napenda sana mwanamke anaeijua Dini anautulivu ana subra. Allah amsamehe mama huyu na amuondolee adhabu ya kabri
Mashaallah Allah amjaalie pepo Ya firdausi Na Atujaalie na sisi mwisho mwema. AMEEEN
Innah wa Innah lillah Rajun Daaah Kwa kweli Dada Nimekupenda Bure Wallah Mwenyezi Mungu Akuzidishiye Katika Misingi Mema Daima Milele Mwenzenu Kutoka Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Hajath asante sana nimekupenda sana kwa ajiri ya allah na innalillah wainna lillaih rajuunii kwa mama atuu kipenzaa❤❤❤👏👏❤❤❤
Allah akulipe kheri Dada yetu khanifa🤲Na mama yetu Bi Akiba akutanane na Mtume Muhammad sw,pepo ya firdaus iwe maakazi yake
Ameen Ameen 🙏
Ameen
Maa Sha Allah Allah awape subra zaidi na zaidi muweze kupendana zaidi na kusaidiana kwa mshikamano wa hal ya juu
Yaani dada Mungu akuinue sana.wanawake wamuige huyu dada kwa imani aliyonayo.
Allahu Akbar mdada huyu nmempenda MaashaAllah. kwakweli DINI Ndio faraja kwetu. huyu dada na marehemu mamaake ni WACHAMUNGU. dada naomba Namba yako uwe unanipa Elimu ya Dini tena ukinifundisha wewe najua ntaelimika InshaAllah. NAOMBA NAMBA YAKO TAFADHALI INSHAALLAH
Alhamdulillah Mungu anipe subra kama huyu dada, amenifanya nijawe na amani
Kufiwa na mama au baba na kupokea taarifa ukawa na uvumilivu ni neema kubwa
Pole sana dada Allah amhifadhi mama katika pepo ya juu hasa in shaa allah
Natamani watt wangu wawe kama watt wa huyu mama Inshallah yarabi niongolee wanangu wawe wema Inshallah
Amin insha allah
Mtoto umleavo ndivyo akuavyo kwaio tujitahid tu na malezi mema
Amiin
npgie nikuelekeze chakufany ndug
@@yohana1242kwel mwanang mchamung san mpk watu wanashangaa
mashallah Allah ampe kila la khairat nasi atuzindue tufanye mambo mema na asizichukue roho zetu mpaka aturidhie poleni sana Allah awazidishie subra wafiwa wote
Mashallah dadangu nimekupenda imani yako ya dini hiii ndoraha yakufundisha dini watoto Mashallah Allah amlaze mamaetu pema kwa wenye wema.
❤❤❤ mungu awabaliki muweze kushikamana zaidi na kusaidiana zaidi amen❤❤❤
Maa Shaa Allaahaa Shaa Allaah... Allaah amzidishie Noor ktk Qabri yake na azidi kuwapa subra na faraja wafiwa
Tumuombe Allah atujaalie mwisho mwema inshaallah 🙏 atujaalie na kizazi chema mfano wa kuigwa inshaallah
*It shows how the deceased raised her children well who prays for her always. May Allah have mercy on her. From Allah we belong and to him is our return* 💕
For sure... W Aamin
MashaaAllah mashaaAllah mungu amempa mazuri na watu wameyaona na ss pia mungu atatupa mazuri kuanzia hapa duniani na kesho akhera zaidi.Yy minal faizin mashaaAllah Alhamdulilah hana neno.mungu ampe jannatul firdaus amin
Da huyu dada, aliemuoa emepata mke, dada ni jasiri,dada ni mcha MUNGU,dada Amesoma dini,dada amelelewa kimaadili ya dini,niwanamke wa heshima,angalia alivyo pokea taalifa na jinsi alivyo ileta kwa ndugu zake na baba yake,MUNGU akufanyie wepesi dada umalize maisha ya dunia salama,
Amiiiin yaarabih
Sema mashallah
Asnt mkuu
@@zaytunhijja6771 mashallah
Ameen yarabbi
MASHALLAH,ALLAH AMJALIE PEPO BORA YA FIRDAUSI,NA HUYU DADA YAANI MTOTO WA MAREHEMU MASHALLAH NAE KABEBA ELIMU KUBWA,ALLAH IJAALIE KHERI FAMILIA HII NA WOTE AWAJAALIE MWISHO MWEMA,BIIDHINLAH AMIN.
Subhana allah
Allah amjalie janat firdous iwe makazi yake Allahuma Amin yarab
@sheshi beshi HAPA ni spesho, AU kwaajil, AU kwaniaba ya, MAMA, mmoja, alie jaaliwa imani yake thabiti, kipenzi cha muumba mbingu na ardhi, yani muumba mawingu na mchanga, na kila unacho kiona mbele yako, NDUGU nakuomba tuache kwanza, sio kwa ubaya, NA pia chunguza NA seemu.
Maa Shaa Allah Allah amjaalie mema na aghufirie amjaalie Jannatul Firdausi Nasi atujaalie mwisho mwema
Mashaa Allah, qur'an ndiyo muongozo wa maisha yetu
Subhaanallah,,
Walhamdulillah ,
Wa Laa Ilaha illa llah,,
Àllahu Aqbar ,,
Wa laa haula wa laa kuu'wata illa billah
Hasbi'Allahu Wane'emal Wakeel ❤️
Jinsi huyu dada anavyoijua Dini nimempenda saaana,ni wachache sana kupata mabinti kama hawa,
Mungu ampe baraka tele
❤❤❤ Masha Allah Masha Allah Tabarak Rahman... shukuran ahsant ukhty
Daaa mwenzetu kapewa Mwisho mwema na Allah, Aminaa
Mashallah Amefariki Shaahid.. moja kwa moja peponi mauti yakikukuta huko tena kwenye Ibada. Subhanallah.. Allah atupe mwisho mwema yaarab.. yani kufia huko PEPONI TU MOJA KWA MOJA. MASHALLAH MASHALLAH
Innallilah wainallilah rajioun poleni sana kwa msiba Allah awape subra ndugu zetu kwa kumpoteza mama
Mashallh ...mungu akuhifaz na wat wabay mungu akujaalie ujasir uouo...love you dada...❤..mungu amlaze sehem pema ...hakika kutoweka kwake bado tunais yupo pmj nasi....ALL THE ALL UMOJA NI USHINDI UTENGANO NI UDHAIFU.......
Nikivyoiona tu hii video hapa TH-cam, sikupanga kusikiliza yote, Ila nilivyoanza tu kuisikiliza nimeishiwa kuisikiliza yote. What an end to her life. Beautiful end. Zawadi ya kifo chema ilikua ni dhahiri kwake. May God heal the hearts of her beloved and everyone else who was touched by this story.
Aamiiiin. Hata mimi nlikuwa kama wewe lakini nimeisikiliza mpaka mwisho.
Ata mm natamn hii familia niijuwe
pia mimi
@@rausaid9430 Kumbe wewe kama mimi 😆 natamani nipatane na watu wazuri kama hawa maana maisha yangu yote ni changamoto na watu. Labda nihamie Tanzania lakini pia naogopa mara wanijie wabaya 💔😠
Karibu mm nitskupokea
Maashaa Allah
Mw/Mungu atujaalie watoto wema wenye kumjua Allah kama huyu dada
Nimetokwa na machozi kwa kisa cha Mama huyu.natamani niwe na mm miongoni mwa familia ama niowe mtoto/mjukuu wa Mamacyetu huyu.Allah ampe Jannatul Firdaus na cc atupe khatima njema In sha Allah
NGANGA ANAYETIBU UKIMWI KWA KUTUMIA VITABU NA MAJI
Inallillah wainnailayih rajiun dada mwenyezi Mungu akupe umri mrefu na akupe mwisho mwema
May Allah Guide us all to the siratul - mustaqeem , ease your pain and emptiness, and grant all our mothers Jannatul firdaus. Ameen Ya Rabi🙏Poleni sana ndugu zangu.
Naam Allahumma Aameen
@@nahimanamayassa8305 May Allah reward you جزاك اللهُ خيرً
Ameen
O
Masha Allah
Dada mzuri nimekupenda bule Mwenyewe Mungu akubariki wewe na uzao wako, usibadilike dada angu, umenifungua umenitoa kifungoni ahsante,Mungu ajarie ndoa yako pia.
Mashaallah, mashaallah , dada yangu umeongea vzr , pia umetupa darasa tumejifunza wengine kupitia wewe , pia niseme malezi mazuri ulolelewanaamin mama huko aliko anafurahia na anaimani wewe kaacha mtu ,Allah akijalie wewe Na kizazi chako chote
Inna liLLAH wainna ilayh rajiuun.. ALLAH nasi atupe mwisho mwema yaa rabb, pia atujaalie tuende hijjah ya rabb
Poleni sana nimejifunza kitu kwa uyu dada natamani nimuone live inalilah waina lillah rajiun kwa mama yetu kipenzi
Aamina yaa rabbil alamin Allah atujaalie mwisho mwema
Subhannallah, Mwenyezi Mungu atujaalie mwisho mwema!! Binti mwenyewe anaijua dini vilivyo !!
In Sha Allah dua zke na hijja yke iwe makqul na afufuliwe na maswahabakama alivyotaraji na nyinyi fmlia yke muwe na mwish mwema pamoj na waislm ste kwa ujumla 🤲🙏🤝