Jmn milard Ayo katika wafanyakazi wako ambao wanastahili kupokea mshahara mkubwa basi hyu Godfrey tomas anastahili pesa nyingi arusha kuna matukio mengi Sana na hyu ana kabiliana Sana na changamoto za watu jmn kama mnamkubali Godfrey nipeni like zangu na comment❤❤❤
Mimi kwaupande wangu naona huyo baba alizikwa kweri lakn sio kwamba alikufa kifo cha MWENYEZI MUNGU na mwishowake MUNGU aliamua kutowa sehem walikomfisha ili UKUU WA MUNGU uonekane kwamba uchawi sio kitu mbere ya MUNGU
Umeona eh huwa anaripoti matukio magumu na kushangaza utadhani Arusha siyo tanzania ni nchi nyingine maana wadudu wanamatukio hatari inahitaji muda mrefu kubalika pengine mazingira na malezi yamewaathiri
Mama hawezi kumsahau mwanae kama wamemuogesha na kumvalisha ndugu yao kweli washindwe kumtambua? Mama amekiri haikuwa imeharibika hapo itakuwa kuwa kuna mkono wa mtu.
Huyu mzee anayegoma shamba lisiuzwe,anaonekana ana ROHO MBAYA MNO! Hata ongea yake,inaonesha ni mtu mwenye roho mbaya sana na chuki. Jicho lenyewe utadhan aligongwa na katapila. Mashamba yao wameuza wakala pesa. Ila shamba la Robert ndio wanataka asiuze ajenge! Shenzi kabsa. Robert,uza shamba lako! 😡
Nilitamani kujua zaidi kuhusu yeye mfano aliondokaje na ni nn kilimfanya aondoke nyumbani vipi kuhusu familia yake mara ya kwanza kutoka nyumbani alienda kulala kwa nani na mpaka anarudi nyumbani alitoka kwa nani??? Na huko alikua haiwazi familia yake???? Na vingine vingi Kijana andaa maswali na ujipange kisawa sawa unapoenda kuhoji mtu bana na wewe BINAFSI NIMEKOSA VINGI NILIVYOTAMANI KUVIJUA NA MTIRIRIKO WA MASWALI..
huyo baba mdogo ashikiliwe kafanya mpango kwa kufeki Maiti ili ionekane kafa auze shamba na lengo lilikua wamsake huyo kaka aliesingiziwa kufa ili wamuulie hukohuko pasipo ndugu kujua coz walishajua wamemzika ba mdogo mpuuzi
Yule waliomwona mwochwari alikuwa Hana kovu na chanzo Cha kivo ni ajali so Robati hakufa alikuwa zake mjini familia walinda mwochwari kuchukua marehemu mwingine na kumzika
Afu mimi ninavyoona jamani nipo DRC lakini ili picha lilitengenezwa n'a wale ambao wanataka kumuzulumu robert shamba maana mukifata kwa umakini alieleta habari ya kifo kwa Mara ya kwanza ni BOSCO n'a huku nyuma mama anasema kwamba...n'a yule mtoto wake bosco kwa maana kwamba bosco ni mtoto wa uyo mzee anaesema shamba aliuzwi ambae mama anasema sasa ivi Hana makao nipo DRC🇨🇩
Hapa kuna mchezo rahisi sana umefanyika ngoja niwasanue 1: baba mdogo na mke wake ndo wamemuogesha marehemu. Baba mdogo ndo anataka shamba so kama alitengeneza jambo hvii 2:robart amekataa yeye hajawahi hata kugongwa na toyo SO JIBU HILI HAPA baba mdg alitengeneza uvumi wa kifo wakazika mtu mwingine kisha watammalizia robart huko huko alipo ila kabla hawajafanikiwa mwamba akarudiiiii😂😂😂😂😂😂
Jaman eleweni arusha kuna vita sna ya mashamba mana wanauza mashamba sana ndomana wanalogana na kimazingira uyu jamaa n ndugu wamemchezea ila uyu jamaa yuko na nguvu ya mungu
Kumbe baba mdogo kauza mashamba yote sahiv anamnyima robart kuuza shamba yake kumbe kauza yake kala na mtoto wake bosco manina robart tuko na wewe lazima shamba liuzwe bt mimi sitalinunuwa hata kama unauza buku
Sura mama jamani sura za walevi waliopindukia kama kaka robert hapo uwaga wanafanana samahani kusema hivi lakini mara nyingi uwa wanafananaga kama huyo.marehemu mliyezika na yy alikuwa chapombe lazima wafanane😂😂 tena hasa wachqga wanafanana😂😂 mmezika.mtu siye buana fudueni kaburi kwa kibalk cha serikali basi mtapata jibu DNA itajibu
Huyu anaonekana ni mtu wa kilaji kile cha nanii...so kutokuwa sawa kwa mtu wa namna hiyo ni sawa. Swala la kufa au kuchukuliwa msukule sio... huyu alikuwa na misele yake huko..hawa wamezika mtu mwingine..hapo serikali ifukue wakazike kiserikali manispaa.
Huyo mzee anamdhulumu mnyonge shamba mpaka anamfanyia mazingaumbwe ya kifo ndugu yake! Dunia imeisha dhambi dhambi. Jamii iwashughulikie huyo mchawi waache dhuluma Kwa ndugu yake
Wafukue kaburi , tuone kilichozikwa tujifunze kitu Kwa sababu tunaskiaga tu Imani hzo zipogo, mara saa mnazika marehem anakua kafichwa mahali pale kina kua kimvuli tu
Kila linapotokea hili najitahidi ku-comment kuipuuza kauli ya biblia kunafungua milango ya mapepo; kitabu hiki muhimu sana kwa sasa "mtarudia udongo..." mwakani(2025) duniani kote masheni yatachukua maumbile ya wapendwa wetu waliofariki hata maraisi wetu tuliowapenda wataigizwa na pepo na kutuhutubia tutawashangilia. Ujumbe wao utakuwa kuiheshimu JUMAPILI
Mtangazaji,uko sawa lkn sisi kama waganga wa Tiba Asili,hapo tu tunaona huyo Robert unamhoji lakin bado ni mtu nusu Ushauri maalum; wazazi watafute mganga anayejuwa dawa,robert arudishwe rasmi awekewe na kinga lasivyo hata akaishi hatakuwa na akili timamu maana wachawi wanaogopa akirudi kumbukumbu atasema yote
Jmn milard Ayo katika wafanyakazi wako ambao wanastahili kupokea mshahara mkubwa basi hyu Godfrey tomas anastahili pesa nyingi arusha kuna matukio mengi Sana na hyu ana kabiliana Sana na changamoto za watu jmn kama mnamkubali Godfrey nipeni like zangu na comment❤❤❤
sio arusha tyu yan matyukio meng yupo on time apewe mauwa yake kwa kweliii
Huyu mtangazaji Yuko vizuri na anaipenda kazi yake
Vido vidox pia
Mimi kwaupande wangu naona huyo baba alizikwa kweri lakn sio kwamba alikufa kifo cha MWENYEZI MUNGU na mwishowake MUNGU aliamua kutowa sehem walikomfisha ili UKUU WA MUNGU uonekane kwamba uchawi sio kitu mbere ya MUNGU
Miradi ayo naomba uyo robati awapele uko aliko kuwepo kipindi chote Cha msiba wake tujue alikua akiishi na nani uko
Wachaw walikosea ubin haki yao kupata adhabhu
Duuu kaburi kutetema coz wachawi walishindwa kumkamata
Na walichelewa kumkata ulimi na kumpumbaza..ndo maana akatorok
Kweli kabisa,, binafsi naamini unachosema
Kati ya mwandishi anae kutana na majanga ya kihandishi ni uyu bro mwandishi wa ARUSHA
Umeona eh huwa anaripoti matukio magumu na kushangaza utadhani Arusha siyo tanzania ni nchi nyingine maana wadudu wanamatukio hatari inahitaji muda mrefu kubalika pengine mazingira na malezi yamewaathiri
Kabisa
Mungu ameamua kujithibitisha kupitia Robert, kwakweli uchawi upo na Mungu yupo
😂Sana kweli Mungu hajaamua
Haswaaaa
Huenda walisababisha ili wamdhulumu
Serikali iwape vitambulisho vya NIDA wananchi wote ili tusiwe na sintofahamu
Yani mama anaonekana kama vile ndo mtoto wake marehem ila marehem anaonekana kama ndo baba yake na huyo mama kweli pombe inazeesha😂😂😂
😂😂😂😂😂 kwa kweli 🙌
😂😂😂😂.Pombe cyo maji jamani
Yaan nimeangalia Zaid ya mara 10 sielew km huyu mama n mwanae 😂😂😂😂
Mama hawezi kumsahau mwanae kama wamemuogesha na kumvalisha ndugu yao kweli washindwe kumtambua? Mama amekiri haikuwa imeharibika hapo itakuwa kuwa kuna mkono wa mtu.
Uongo, kuna uhuni umefanyika, hilo shamba yaani hata auze kwa laki moja sinunui 😮😮😮
😂😂😂😂😂kweli dah laki moja
Yaani ata mtu anunui labda asiye jua😂
HahahH marehem anatugombeza😂😂 ( natania tu) ila hii duniaa😢
😂😂
Nmependa hiyo ongea ya mama apo. Et eeeeh eeeh eeeeeh eeeeh 😂😂😂
😂😂😂😂heee heeee
Iyo ni kiarusha eeee eee ee kuitikia yan anajijibu ivyo yan
Keja doii mpaka kaongea lugha ya nyumbani 😂😂😂😂😂😂eehh eehh eehh shikilia hapo hapo
Ila mtoto kazeeka kuliko Mama
@@Zainab-qg6xvsasa mtu alishakufa kaja kufufuka c lazima amzidi mama uzee😂😂😂
Kazeeka kuliko umri alionao…….anyway itakuwa walimtengezea kifo wamzurumu hakiyake
Huyu mzee anayegoma shamba lisiuzwe,anaonekana ana ROHO MBAYA MNO! Hata ongea yake,inaonesha ni mtu mwenye roho mbaya sana na chuki. Jicho lenyewe utadhan aligongwa na katapila. Mashamba yao wameuza wakala pesa. Ila shamba la Robert ndio wanataka asiuze ajenge! Shenzi kabsa. Robert,uza shamba lako! 😡
Kilimanjaro hawana tabia ya kuuza Mashamba ya nyumbani hata ufanyaje hiyo Ni desturi yao
Kwa hiyo sio kila aliepotea inakuwa ni kweli mfano walie mzika ni marehemu Wa wapi sasa maana robart huyu hapa je aliezikwa ni Wa Kwa nani?
😂😂Jaman raha Sana duniani raha Sana, sasa huyo robat alikuwa wapi wakat wa msiba wa robat mwenzie😂😂
Kufa na kufufuka sio jambo dogo ni yesu tu ndio alie weza hawa wengine ni maigizo tu wana tufanyia
Let the higher authority deal with the situation.
Wafukue ilo kaburi mi naona wmemzika mtu tofauti n.a. si yeye
Sasa kama mwenye kaburi kakubali kaburi lake lifunguliwe kwanini hawafungui???😅
😂😂😂
Labda nipacha bila kujua masikini 😢😢
Aliefufuka Ni yesu pekee mwana wa MUNGU Alie hai. Huu mwingine Ni uongo tu.
Ulichoandika kimechanganyika ukweli na uongo
Jifunze vizuri juu ya kufufuka hata kwenye biblia sio Yesu peke ake
Zakayo pia alifufuka
Huyu akili itakua washazichezea au kashaziacha huko 😂😂
😂😂😂😂
Eeeeeee
Robert sijafariki kabisa😅 jomn marehemu wa moto😂😂
Mungu amemsimamia na mizimu ya kwao
MUNGU achangamani na mizimu
😢so sad
Nilitamani kujua zaidi kuhusu yeye mfano aliondokaje na ni nn kilimfanya aondoke nyumbani vipi kuhusu familia yake mara ya kwanza kutoka nyumbani alienda kulala kwa nani na mpaka anarudi nyumbani alitoka kwa nani??? Na huko alikua haiwazi familia yake???? Na vingine vingi
Kijana andaa maswali na ujipange kisawa sawa unapoenda kuhoji mtu bana na wewe BINAFSI NIMEKOSA VINGI NILIVYOTAMANI KUVIJUA NA MTIRIRIKO WA MASWALI..
Chimbeni kaburi kama kuna mtu, tujue ndo muvi iendelee
🤣🤣
Nikajua washachimba tupate update
Marehem kazeeka kuliko mama yake dah.Hii noma sana
huyo baba mdogo ashikiliwe kafanya mpango kwa kufeki Maiti ili ionekane kafa auze shamba na lengo lilikua wamsake huyo kaka aliesingiziwa kufa ili wamuulie hukohuko pasipo ndugu kujua coz walishajua wamemzika ba mdogo mpuuzi
Yule waliomwona mwochwari alikuwa Hana kovu na chanzo Cha kivo ni ajali so Robati hakufa alikuwa zake mjini familia walinda mwochwari kuchukua marehemu mwingine na kumzika
Niseme nini mungu wangu......
Huyo mungu anampenda ashike ibada sana
Big up bro Godfrey
Afu mimi ninavyoona jamani nipo DRC lakini ili picha lilitengenezwa n'a wale ambao wanataka kumuzulumu robert shamba maana mukifata kwa umakini alieleta habari ya kifo kwa Mara ya kwanza ni BOSCO n'a huku nyuma mama anasema kwamba...n'a yule mtoto wake bosco kwa maana kwamba bosco ni mtoto wa uyo mzee anaesema shamba aliuzwi ambae mama anasema sasa ivi Hana makao nipo DRC🇨🇩
Robert sijasikia km unamke😅naomba nije uniowe tusaidiae kupambania shamba
@@naomisamwel18 Ila nimesikia kasema yupo na watoto wawili upo tyar kuwa mamdo 😂😂
Bosii na babaake hawakumlipa mganga walimzulumu 😅pesa yaka 😂akaamua kurudisha mwenyeshamba ambae Ni Robert Safi Sana
Sio suala la kawaida hili. Em fikiria mama ake amethibitisha kbs kua aliona maiti kbs sura ni ya mwanae.
Hapa kuna mchezo rahisi sana umefanyika ngoja niwasanue
1: baba mdogo na mke wake ndo wamemuogesha marehemu. Baba mdogo ndo anataka shamba so kama alitengeneza jambo hvii
2:robart amekataa yeye hajawahi hata kugongwa na toyo
SO JIBU HILI HAPA baba mdg alitengeneza uvumi wa kifo wakazika mtu mwingine kisha watammalizia robart huko huko alipo ila kabla hawajafanikiwa mwamba akarudiiiii😂😂😂😂😂😂
Mawazo yako😅....
Halafu jeneza lilikua linatingishika maana yake wamezika mtu ambae sie wa hiyo boma
Mbona Robert ni mzee kuliko mama yake, hakufufuka aisee walizika mwili ambao sio yeye
Jamaa amezeeka kuliko Mama yake
Inatokea tu hata mimi kuna kaka yangu amesema kuliko mama
nami nimeona aiseeee
Huyu ni cha pombe anaonekana
Hlf huyu jamaa kama dishi limeyumba au ni mimi
Hayupo sawa huyu...
Nimeona pia mimi,naona haxipo xote.
Hapana Yuko timamu.
Yupo sawa, sema anaonekana ni mywaji sugu wa pombe kali.
Mtu kajibu maswali sawaa unaona hayupo timamu Broo duh!! Binadamu🙌
Dah
Hatari
😂😂😂 mbavu zangu Arusha shkamooni wote!!
Marahabaaaa
Eeeeeee
Jaman eleweni arusha kuna vita sna ya mashamba mana wanauza mashamba sana ndomana wanalogana na kimazingira uyu jamaa n ndugu wamemchezea ila uyu jamaa yuko na nguvu ya mungu
Mama is beautiful
Black cute
Mama ana ngozi nzuri sn
Kumbe baba mdogo kauza mashamba yote sahiv anamnyima robart kuuza shamba yake kumbe kauza yake kala na mtoto wake bosco manina robart tuko na wewe lazima shamba liuzwe bt mimi sitalinunuwa hata kama unauza buku
Hata kama jamaa alifariki na akafufuka kweli,anaweza kufa tena kwa stress kutokana na changamoto alizonazo.
😂😂
Yaani😂😂😂😂,sababu ni Kama wanataka afe kweli
😂😂😂asije akajinyonga tu
😂😂daah
@@Rose-ue2honimecheka kama mazur
Sura mama jamani sura za walevi waliopindukia kama kaka robert hapo uwaga wanafanana samahani kusema hivi lakini mara nyingi uwa wanafananaga kama huyo.marehemu mliyezika na yy alikuwa chapombe lazima wafanane😂😂 tena hasa wachqga wanafanana😂😂 mmezika.mtu siye buana fudueni kaburi kwa kibalk cha serikali basi mtapata jibu DNA itajibu
Umechukuliaje taarifa za kifo kajibu nimependa 7bu Mungu hafi. Any way naona kuna uwezekano hicho kijiji watu wengi chanel hazisomi
Allah aqbaru
Jamani mungu anisamehe inasikitisha kidogo lakini iyo heee ya maman jamani inaniweka hoi heee!!! Heee!!😂😂😂
Kiarusha kichuga Iyo
Anaongea kama wamasai
Jamaa anatoa majibu marahisi sana kwenye maswali magumu
umeonaeee 😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂
Mi naona bora ata kabla ya kufukua kabuli awapeleke uko kwa aliko kua anaishi huo mwezi mzima jaman😢😢
Daaa sikutegemea kam ungempata uyu mwe asant sana ayo tv
Yaan ni maajabu sana aliezikwa anasema yeye hajawahi kufariki😢😢
Huyu anaonekana ni mtu wa kilaji kile cha nanii...so kutokuwa sawa kwa mtu wa namna hiyo ni sawa. Swala la kufa au kuchukuliwa msukule sio... huyu alikuwa na misele yake huko..hawa wamezika mtu mwingine..hapo serikali ifukue wakazike kiserikali manispaa.
Swali la kujiuliza wamuulize kipindi msiba unatokea yeye alikua wapi maana na yeye si mwanafamilia? Au huo msiba hakuusikia
@@ShukraniChomolla 😂😂😂😂😂😂
Hiyo eeh,eeeh,eeeh,eeh, sas 😂😂😂😂😂
Duuh sipat picha ngwajima angekua na mkutano arusha ingrkuajee angechukua maujiko balaaa
Huyo mzee anamdhulumu mnyonge shamba mpaka anamfanyia mazingaumbwe ya kifo ndugu yake! Dunia imeisha dhambi dhambi. Jamii iwashughulikie huyo mchawi waache dhuluma Kwa ndugu yake
Wamezika kivuli mungu wangu duh kweli ... uchawi upo..ila mungu mkubwa..🙆🙆
Marehemu anataka uza shambaaa😂😂
Robert anaonekana cha pombe😅
KUMKISIA MTU ZAMBI RAKINI YULE MZEE ANAYOSEMA ATAKAMA KALUDI SHAMBA AUZI YULE MZEE BABA MDOGO WA MCHAWI NA ALIMUUA KIMAZINGALA KWA TAMAA 😂😂😂
Baba yake mdogo huyo mweusi ashauza shambalake
Msipende pesq raisi, mmeuza mashamba yenu mmemaliza pesa,sasa mnataka mashamba ya wenzenu sio vyema
Au wamebumba Kirk chair Ili wamdhurumu shamba?
Nenden hospital kaulize kama walipokea mait uwe mchunguzi
Kijana kazeeka kuliko mzazi. Ila haya mambo yanafikirisha sana.
😅😅😅😅
Au basi
Mapombe yamemzeesha😂😂😂
Mapombe yamemzeesha
Wafukue kaburi , tuone kilichozikwa tujifunze kitu Kwa sababu tunaskiaga tu Imani hzo zipogo, mara saa mnazika marehem anakua kafichwa mahali pale kina kua kimvuli tu
Arth inafanya watu watoane roho jmn
🤔🤔
Baba mdogo nae aache mbamba! Mbona mashamba take kauza
Mbona mama anaonekana kijana kuliko mtoto wake?? Au mnaonaje jamani
Amejitunza
Baba mdogo nae aache mbamba! Mbona mashamba yake kauza
Shamba ni chanzo au vipi?
Arusha Kuna matukio ,hata kiyama kitatokea kwanza Arusha,ndio Mungu ataruzu ulimwengu mzima ,haya maisha tumuishie Mungu tu,
Kila linapotokea hili najitahidi ku-comment kuipuuza kauli ya biblia kunafungua milango ya mapepo; kitabu hiki muhimu sana kwa sasa "mtarudia udongo..." mwakani(2025) duniani kote masheni yatachukua maumbile ya wapendwa wetu waliofariki hata maraisi wetu tuliowapenda wataigizwa na pepo na kutuhutubia tutawashangilia. Ujumbe wao utakuwa kuiheshimu JUMAPILI
Amefufuka katika wafu😂😂😂
Maitu ufa na chake mpen AUZE BHANA
Mara walimtengenezea kifo cha uongo ili wamdhurumu shamba tu
Any way kabla hamjafukua ilo kaburi awapereke aliko kuwa anaishii.
Mtangazaji,uko sawa lkn sisi kama waganga wa Tiba Asili,hapo tu tunaona huyo Robert unamhoji lakin bado ni mtu nusu
Ushauri maalum; wazazi watafute mganga anayejuwa dawa,robert arudishwe rasmi awekewe na kinga lasivyo hata akaishi hatakuwa na akili timamu maana wachawi wanaogopa akirudi kumbukumbu atasema yote
Na hapo baba mdogo amehusika kabisa
Huyu baba mdogo ni mchawi
Marehem kugombeza wenzie tuu ....kuongea kistarabu aaaah😂
😅
Eti marehemu kugombeza wenzie tuu sasa marehemu Yuko hai cjajua ataitwaje
😂😂hovyoo
Mama mzazi wa Robert eeeh eeeh 😂😂 unaniuwa mbavu zanu eeeh😂😂 eeeh eeeh eeeh eeeh😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
😂😂😂 jaman mama kuitikia huko kunachekesha yaan
Mama kijana,mtoto ndo mzee.
Mwandishi nae hamuogopi marehemu
Mungu nimkubwa
Mtoto anazeeka kuliko mama
Gongo aisee siyo maji ya kunywa😂
Halafu Ayo Tv badilisheni iyo maiki imepauka sana haileti image nzuri kwa Media kubwa kama hii🙏
Hii ndo nchi ya Arusha barani Tz😂 hii ni maajabu😢
👮♀️
😂😂😂😂Nauza nauza eeh eeh this life no balance
Mchongo huo...watu wa huko tunaelewa
Heeheeee hehee
Lilitingishika maana mmezika mtu ambae sio Robert fukueni kaburi muone kilichopo
Vipi michango yetu irudishwe😅
Ndugu waliamua kumtungia kifo na kuzika wanacho kijua wenyewe ili wachukue shamba lake! Ndugu sio, hakuna mtu wakufufuka asee
Nimependa sana ongea ya mama lakin hapo tunaona kabisa marehem katengenezwa hili kutokuuza shamba
Mi nahisi Arusha ni Kenya sio Tanzania. 😅
😅nimecheka