Mfano ukithibitisha mkeo anamegwa na jamaa na wkt huohuo wawili hao wanajiidai mitaani utafanyaje? Siri ya mtungi aijuaye kata. Lkn sijasema alimfumania, ni mfano tu nimetolea
@@manilabonalumanula9210 usitoe mifano ambazo hazipo kama unajua kwamba hajafumaniwa kwaiyo haikua na point kuongelea mfano huo kwa mtu ambaye hajauliza sababu ya ugomvi wao,,
Wizara Husika zitakusikia na utapata haki zako na hakika uyo mshenzi mwisho wake aibu. Ata kama anakutishia ushirikina nk.. Mungu atakulinda. Pole sana.. Tanzanians 🇺🇸..
Pole mdogo wangu mungu atakufanyia wepesi jitahidi usiku unapo hitaji kulala soma duwa ya kumuomba mungu akusaidie inauma sana ndowa ikifikia mwisho muachane kwa wema 😭😭😭😭
Jamani Wana sheria tunaomba mumsaidie uyu dada apate haki yake,,, ndoa ni hiyari sio lazima jamani 😓😓, naww mwaka Acha ujinga ww haumtesi uyu dada ila unawatesa watoto wako
@@neemasamweli5221 ndio lkn huko ndani wanajuana wao Hapa nje ukipima wote wawili tunachokiona tu huyu dada ana busara kuliko mwanaume Huko ndani hatujui
wallah viongoz wadini hususan kadhi anamdhalilisha hy dada kwanini wanamnyima haki yake na dini imeruhuau mwanamke akiwa hakutaki anahaki ya kuachishwa kadri munavyo muudhi anavyo mwanga machozi binti ya watu na nyinyi viongozi InshaaAllah Mungu atawapa maudhi
Pole sana...Kila jambo Lina sababu zake na lina Mwisho wake. Wala usilie Mwenyeezi Mungi ana Kazi yake...Hii ni dunia Leo kwako.kesho kwake. Usitoe machozi kwa Mwanaume.ambaye siyo Hajakuzaa. Piga magoti Tumwombe Mungu. Usilie Tena...yeye siyo Mungu.. Malipo ni hapa duniani.. Hujui kesho itakuwaje. Omba Mungu wako. Inshaallah ...itakuwa Mwisho mzuri....
Dada umeniliza serikali tunaomba mumsaidie Huyu mama kabla hajapata matatizo makubwa zaidi watoto wake bado wadogo mapenzi hayalazimishwi mwaka atoe talaka
SubhannaAllah. Pole sana dada ni mtihani mkumbwa unapitia itakuja kuwa hadisi. Nakuomba shikamana na mungu wako usichoke kumuomba. Washike watoto wako uwe Mama imara. Haki yako itapatikana tu. Huyo anaekutishia kumbuka kwa mungu ni nyepesi akamzima. Shikilia dini yako ndio ya haki. Nakutakia kila la khery na nakuombea dua Allah akufanyie wepesi ya rabbi.
Pole dadaangu usilie we n mzuri sana achana naye mwaka Watanzania wapo watakusaidia na utapata mme bora kuliko yeye wangapi wameachwa akuache utulie na watoto wako
Kila kwenye uzito na wepes upo, Allah ndie mjuz, mtatuz, msaada na nguzo pekee Kwa idhin ya Allah insha Allah utapata aman ya nafsi, yatapita na utayasahau
Nimejisikia vibaya sana ,kama na mm mwanamke mwanangu nikupe pole ,Leo kwako kesho Kwa mwingine,jamani tuoneane huruma wapendwa duniani tunapita ,inafika hatua Hadi mtu ndoa inakuwa jela unaogopa ,Leo hii uliyemwamini Kwa Kila kitu anakuwa ni mnyama kiasi hicho ,hapana jamani ,unaweza comment unachojisikia Kwa tu kipo Kwa uyu dada ,lakini uwezi jua kesho Yako na ww maana tupo Duniani,tumuombee mwenzetu sana Tena sana siyo kucomment vitu vya ajabu
,Hili liwe funzo kwa wapenda sifa kuwa, mitandao ni mizuri kutangaza biashara tu, sio mambo ya mahusiano na ndoa, hata kama ni mazuri kiasi gani, hayo ni mambo ya ndani yabaki hivyo, Sasa hivi ishu inakuwa na maumivu zaidi kwa sababu aliwapa jamiii nafasi ya kujua maisha yeo kupitia mitandao ya kijamii, kila siku unanadi wake zako mitandaoni kuwa wazuri, mnaishi vizuri hawagombani au hamgombani, leo mambo yamegeuka yanakuwa maumivu mara mbili hasa kwa mke, lkn mwanzo zilikuwa sifa na umaarufu, hiyo mbaya, nina hakika kama wasingekuwa maarufu ishu isingekuwa mitandaoni na maumivu yangekuwa kawaida,sasa hivi zaidi ni aibu, watoto nao bila shaka wanajulikana sasa kwa sakata la wazazi nao wanapita kipindi kigumu kwa watoto wenzao,
Jirekebishe elewana na mumeo upate amani , hata mama samia yuko kwenye ukewenza na wanawake wenziwe na hajawahi kuleta ujinga katika media kama unazoleta weye mwanamke . Unajifanya kuweka injili kisha eti unataka uendelee kubakia muislamu , huo unanyesha kuwa hujielewi na hivyo ni vituko …. Wanawake wenzio wanajua kuwa unafanya vituko na kuja katika media …
Duh ni mtihani huu Hadi mtu anajimalizi stress kwenye mambo yakizamani Mwaka ataona hiyi ni Dunia mwanamke hataki yeye anamnkankaniza dada kama humtaki mpe mahari zake uwe huru khallass💔
Pole mama.. Ila wanawake siwaamni kwa Kweli!! Ukiskia amesema muachane ujue kuna ushawishi wa mtu mwingine. Then anataka Muachane alafu wewe huna hata Mpango wala hujawah kufikiria. Then anataka Muachane na vtu ulivyompa anavitaka.
Sijawahi ingia kwenye ndoa kwakweli pole sana ... Mungu wetu ashindwi na jambo lolote lile mkono wa Mungu si mfupi hata ashindwe kukuokoa dada unauwezo wa kuanzia upyaaa.!!!
I don't understand what is going on in this issue! Why is it too hard to complete the divorce process? It's not funny at all to see a woman, a daughter, and a mother crying like that? Subhanallah 😥Ya Allah, mfanyie wepesi humama kwa magumu yote anayo pitia!
Islam is there to simplify issues, the problem is, we have left it behind !! ,,,,Matokeo yake tunautia aibu uislam mbele ya wasiokuwa waislam tukithibitisha madai Yao kuwa ni dini ya unyanyasaji Kwa wanawake, wakati sio kweli!
@@jumakapilima7295 naam, uislam dini ya haki sio siri. Ila baadhi ya waislams na baadhi ya viongozi wa dini ya kiislam wana dhalilisha uislam na kunyanyasa wanawakake....kama wanavyo mfanyia huyu alie kuwa mke wa Mwaka. So sad 😞 😔 😟 🙁
wake km hawa tunafunga na kuomba ucku mchana tujaaliwe wake km hawa hatuwapati wengine wanachezea neema hii Allah amnusuru dada yetu ampe hitaji la moyo wake Thuma Ammyn🤲🤲😭😭😭😭😭😭😭😭
Sasa we nawe una amini na kujiridhisha kwa maelezo ya upande mmoja tu.!! Jitahidi kwanza upate na maelezo ya upande wa pili nayo Kisha ndio utoe hukumu
No surrender mamy vita bado mbichi songa mbele mamy no return FOCUST YOUR TRUST hivi Dr mwaka Kwan ukimuacha amekupunguzia nini .ukimpa nyumba ni wanao wanaishi
Pole Sana dada yangu. Sijui shida nn juu ya hili. Lakini hapo hakuna ndoa. Ndoa hujengwa na upendo ukiisha hakuna Tena. Mwache aende. Kama hili hàlitofikiwa muafaka wanawake tuingilie kati kumkwamua mwanamke mwenzetu, na ninaamini tunaweza kumuokoa kwenye hili.pole sana
Dada mungu atasimama na wew na utashinda hili yeye anajitia mwamba kwa ajili ya kipato Ila mungu anaweza kumporomosha muda wowote na wakati wowote..ogopa Sana chozi la Mwanamke.. kingine uko na damu ya watoto wako kweli nahii niseme Tu kwamba haitamuacha salama...Dr Mwaka.
Masha Allah, uko na hekma saana Allah yuko na wewe Dada tutakuombea dua na utashinda, Mali ya dunia ni uchafu, lakini Dr. Akumbuke mume huma wote, na Allah sio dhalim, Allah akupe ushindi Dada, I feel you
Dada anajibu vizuri na anaongea vizuri.mungu akusaidie mwisho mwema kati yako na Dr.mwaka.
Daah Queen umeniliza sana machozi yetu hayaanguki bure ln shaa Allah Mungu yupo mapoja nawe mdogo wangu 🌹
Aki pole sana dada kwa mtihani huu Allah akufanyie wepesi inshaallah 😭😭😭😭😭
Dr mwaka unafeli wapi? mtoto mzuri hivi dah kweli unachosema Cha Nini wenzako tunajiuliza tutakipata lini😭
Mfano ukithibitisha mkeo anamegwa na jamaa na wkt huohuo wawili hao wanajiidai mitaani utafanyaje? Siri ya mtungi aijuaye kata. Lkn sijasema alimfumania, ni mfano tu nimetolea
@@manilabonalumanula9210 usitoe mifano ambazo hazipo kama unajua kwamba hajafumaniwa kwaiyo haikua na point kuongelea mfano huo kwa mtu ambaye hajauliza sababu ya ugomvi wao,,
@@manilabonalumanula9210 🤗🤗
@@wardahalgerery5955 👍
Hakuna lisilowenzakana kwa mungu dadangu Allah atahukumu na malipo ni hapa hapa duniani 😭😭
Pumzika kwaamani Gadner Mungu akurehemu makosa yako Amen
Wizara Husika zitakusikia na utapata haki zako na hakika uyo mshenzi mwisho wake aibu. Ata kama anakutishia ushirikina nk..
Mungu atakulinda. Pole sana..
Tanzanians 🇺🇸..
Usihukumu kwa kusikiliza maelezo ya upande mmoja tu ungesikiliza kwanza na ya upande wa pili Kisha ndio ukahukumu.!!
Pole sana dadangu inshallah wepesi utapatikana aameen yarabbi
Hilo mwaka,Mungu atashughlika nalo
Usihukumu kwa kusikiliza maelezo ya upande mmoja tu.!!
Tumeona mwez nn mwaka mm nachukia wanamchekea serikali
Pole mdogo wangu mungu atakufanyia wepesi jitahidi usiku unapo hitaji kulala soma duwa ya kumuomba mungu akusaidie inauma sana ndowa ikifikia mwisho muachane kwa wema 😭😭😭😭
Mpaka nimeumia yani 😥😥, mama anahekima na busara sana Mungu akupe Amani wewe na Familia yako
Pole sana mungu yupo yanauma jamani
Uwez juwa ndugu yangu
Jamani Wana sheria tunaomba mumsaidie uyu dada apate haki yake,,, ndoa ni hiyari sio lazima jamani 😓😓, naww mwaka Acha ujinga ww haumtesi uyu dada ila unawatesa watoto wako
Sasa na wewe nawe unahukumu kwa kusikiliza maelezo ya upande mmoja tu.!!
Jesus loves you. Call upon him. Stay blessed.
Huyo mwaka arudi congo... hatumtaki Tanzania
Jesus to a muslim?kaka
Huyu mwanamke ana busara sana kwa jinsi anavyoongea ila mwenzie anataka kumnyosha ili arudi kumpigia magoti
busara ni ndani ndug angu sio kwenye media
@@neemasamweli5221 ndio lkn huko ndani wanajuana wao
Hapa nje ukipima wote wawili tunachokiona tu huyu dada ana busara kuliko mwanaume
Huko ndani hatujui
busara no ndani ya nyumba sio kwenye media
@@saidiissa8729 ukiona yametoka nje jua huko ndani yameshindikana
@@wilbatnyato4679 mmmh jamani Ndoa ni shida sana sisee
Jamani msaidieni huyu mama mteteni anateseka wallahi nimelia kweli😭😭😭😭
Vilio vya wamama wamjini wew huyu acha akalie moto
Ni mtihani wa mwanzo wa mka huu
Mie mchozi umenitoka haki
mimi nimecheka tu. huyu mama hana lolote. analilia nyumba tu. aliwasha moto na atauzima yeye
wallah viongoz wadini hususan kadhi anamdhalilisha hy dada kwanini wanamnyima haki yake na dini imeruhuau mwanamke akiwa hakutaki anahaki ya kuachishwa kadri munavyo muudhi anavyo mwanga machozi binti ya watu na nyinyi viongozi InshaaAllah Mungu atawapa maudhi
Watakuwa washahongwa hela hao na Mwaka
@@mathiaszakaria5354 mungu anasubiri wawe na maswali y kujibu
Pole mpenzi mungu yupo machozi yako hatamuacha salamaa
Acha kulia we Ni mzuri,mzur mzur Tena💋🙏
Pole sana sister Allah akujaalie moyo wa subra katika kipindi hichi kigumu Allah akujaalie ushindi yarabi
Kunataratibu zaku kudai talaka nunua talaka
Pole sana...Kila jambo
Lina sababu zake na lina
Mwisho wake. Wala usilie
Mwenyeezi Mungi ana
Kazi yake...Hii ni dunia
Leo kwako.kesho kwake.
Usitoe machozi kwa
Mwanaume.ambaye siyo
Hajakuzaa. Piga magoti
Tumwombe Mungu. Usilie
Tena...yeye siyo Mungu..
Malipo ni hapa duniani..
Hujui kesho itakuwaje.
Omba Mungu wako.
Inshaallah ...itakuwa
Mwisho mzuri....
Hii nchi mwenye pesa ndie anosaminika na anasikilizwa
Pole sana 😢 dada ang Mungu atakulinda na mabaya yote na huwezi kupatwa na jambo baya kwa uwezo wa Allah
Dada mrembo jamani
Kenge wewe
Mwaka haya machozi hayakuachi salama
Mungu akusmamie na usibadilishe dini Allah atakupa kheri na utapata furaha hii ni mitihani mungu anakupima Imani usivunjike moyo qeen
Mungu akufanyie wepesi hili lipite vizuri maana umeshika msahafu mpaka umeniliza wallah Mungu atakusimamia
Inshallah mwenyezi mungu atakusimamia kila palipo uzito inshallah na wepesi pia utakuwa dadangu inshallah😭😭😭
Dada umeniliza serikali tunaomba mumsaidie Huyu mama kabla hajapata matatizo makubwa zaidi watoto wake bado wadogo mapenzi hayalazimishwi mwaka atoe talaka
Acha uboya wewe watu wanataka fame tu umeona wapi talaka ikadaiwa kwenye vyombo vya habari
Ila hili li queen ni lizuri sana.😍
Nimelia sanaaa naumia sanaaa eeeeh Munguuu mtetee huyu binti nakupenda Qeeen na ntakuombea pia
Allah atakuongoza kweny njia sahihi
Wanawake tujitume tutafte vyakwetu jamani tusikubali kudhalilishwa hivi mwenyezi mungu akufanyie wepesi dadangu
Bikira Maria mfariji wa wanaonyanyaswa umsaidie mwanao Queen😭😭😭🙏
Huyo sio wa bikira maria Tena,ni hivi kwa Sasa ni muislamu halisi Wala hataki kirudi huko. Nyie endeleeni kuabudu waliokwisha kufa
INGEKUWA KIPINDI JPM JAMBO HILI LINGEISHA HARAKA SANA!!
Daah nimelia mpaka basi dada mungu co mwanadamu amani analeta mungu😭😭😭😭😭
Inayomuweka kwe uislamu ni watoto subhaanallah
Pole san dada 😭😭😭😭👏👏👏🙏🙏🇰🇪🇰🇪
SubhannaAllah. Pole sana dada ni mtihani mkumbwa unapitia itakuja kuwa hadisi. Nakuomba shikamana na mungu wako usichoke kumuomba. Washike watoto wako uwe Mama imara. Haki yako itapatikana tu. Huyo anaekutishia kumbuka kwa mungu ni nyepesi akamzima. Shikilia dini yako ndio ya haki. Nakutakia kila la khery na nakuombea dua Allah akufanyie wepesi ya rabbi.
mungu atakusimamia tunakuombea sana utashinda nduguyangu tukopamoja nawewe mungu atakujalia achakulia jamani mungu akulinde jamani pole sana
Pole dadaangu usilie we n mzuri sana achana naye mwaka Watanzania wapo watakusaidia na utapata mme bora kuliko yeye wangapi wameachwa akuache utulie na watoto wako
Anajibu vizuri anaongea vizuri mungu akusaidie kwenye maisha yako.
Kwa kweli nimelia huyu Dr mungu anamuona na Dada machozi yako hayataenda bbure
Jitahidi kwanza usikilize na maelezo ya upande mwengine usihukumu kwa kusikiliza maelezo ya upande mmoja tu.!!
@@swalehemrombo9301 huyo mwaka si anabwabwaja tuu sijawahi msikia akinyoosha maneno, analea watoto wa wenzie wakwake anawatesa Koko kabisa
Mwaka mwaka haya machoziii utakuja kulipaaaaa mungu yukooooo
Dakhaaa pole sana dada nasikitika sana kuona unampigia magoti huyu mbwa mganga wa kienyeji mwaka
Pole sana. Mungu atakupa Faraja ya Moyo wako.
so emotional😭
Mungu akutie nguvu dd
Anambadilisha DINI alafu anamdhalilisha kiasi hiki kweli niuungwana😭😭😭😭😭😭😭
Wanawake ao
Wala sio uungwana kwa kweli
Wallah wanawake kunavituvyakujifuza😢😢
pole sana kipenzi mungu akufanyie wepesi
Huyooo kipara si atoe tarakaaa😭😭shenziii sanaa
Kila kwenye uzito na wepes upo, Allah ndie mjuz, mtatuz, msaada na nguzo pekee
Kwa idhin ya Allah insha Allah utapata aman ya nafsi, yatapita na utayasahau
2024 machozi la queen yamekuwa baraka kwake sasa hivi ni balozi na mengineo 🎉🎉🎉🎉 congratulations for letting go 🎉❤
duh!
Mtegemee Mungu dada kukuvusha salama hapo
Nimejisikia vibaya sana ,kama na mm mwanamke mwanangu nikupe pole ,Leo kwako kesho Kwa mwingine,jamani tuoneane huruma wapendwa duniani tunapita ,inafika hatua Hadi mtu ndoa inakuwa jela unaogopa ,Leo hii uliyemwamini Kwa Kila kitu anakuwa ni mnyama kiasi hicho ,hapana jamani ,unaweza comment unachojisikia Kwa tu kipo Kwa uyu dada ,lakini uwezi jua kesho Yako na ww maana tupo Duniani,tumuombee mwenzetu sana Tena sana siyo kucomment vitu vya ajabu
Kweli umeongea point dadang
,Hili liwe funzo kwa wapenda sifa kuwa, mitandao ni mizuri kutangaza biashara tu, sio mambo ya mahusiano na ndoa, hata kama ni mazuri kiasi gani, hayo ni mambo ya ndani yabaki hivyo, Sasa hivi ishu inakuwa na maumivu zaidi kwa sababu aliwapa jamiii nafasi ya kujua maisha yeo kupitia mitandao ya kijamii, kila siku unanadi wake zako mitandaoni kuwa wazuri, mnaishi vizuri hawagombani au hamgombani, leo mambo yamegeuka yanakuwa maumivu mara mbili hasa kwa mke, lkn mwanzo zilikuwa sifa na umaarufu, hiyo mbaya, nina hakika kama wasingekuwa maarufu ishu isingekuwa mitandaoni na maumivu yangekuwa kawaida,sasa hivi zaidi ni aibu, watoto nao bila shaka wanajulikana sasa kwa sakata la wazazi nao wanapita kipindi kigumu kwa watoto wenzao,
Unatumika vibayaaaa wewe mama
Pole sana our sister..get healed in jesus name......I think dr mwaka should solve this issue as once and for all. maturity is needed
Jirekebishe elewana na mumeo upate amani , hata mama samia yuko kwenye ukewenza na wanawake wenziwe na hajawahi kuleta ujinga katika media kama unazoleta weye mwanamke .
Unajifanya kuweka injili kisha eti unataka uendelee kubakia muislamu , huo unanyesha kuwa hujielewi na hivyo ni vituko …. Wanawake wenzio wanajua kuwa unafanya vituko na kuja katika media …
Duh ni mtihani huu Hadi mtu anajimalizi stress kwenye mambo yakizamani Mwaka ataona hiyi ni Dunia mwanamke hataki yeye anamnkankaniza dada kama humtaki mpe mahari zake uwe huru khallass💔
Subhanallah hasbunallah waneemal wakil inaskitisha kumbadili dini mtu alafu unarud unamnyanyasa mwaka muogope mungu
@@husna34562 Yani mwaka asipo tubia atapata mtihani 🤔😔
@@khadidjasuleiman8006 😪😪
Pole mama.. Ila wanawake siwaamni kwa Kweli!! Ukiskia amesema muachane ujue kuna ushawishi wa mtu mwingine. Then anataka Muachane alafu wewe huna hata Mpango wala hujawah kufikiria. Then anataka Muachane na vtu ulivyompa anavitaka.
Jmn kwan lzma hiyo ndoa?si mumsaidie huyu mama
Dah aiseee
Watoto wana feel aje ktk hali kama hii!!?😭😭😭😭
Subhannallah, mtihani kwakweli
Sijawahi ingia kwenye ndoa kwakweli pole sana ... Mungu wetu ashindwi na jambo lolote lile mkono wa Mungu si mfupi hata ashindwe kukuokoa dada unauwezo wa kuanzia upyaaa.!!!
Through this unaweza ukashindwa kumlaumu aliyekuwa sheikh wa mkoa at any angle of the saga
Pole sana qeen.Hilo litapita muombe sana mungu.akupe akili njema.utayashinda yote mungu hatokutupa mkono.
Nimeumia sana kuona mwanamke mwenzangu kutoa choz namna hii.....
Mwenyeez mungu atakunusu na wanao Amina
Wanaume sijui mnataka nin dada mzuri jaman so sad 😢kanitoa machozi
very sad. pls dr mwaka be fair. let her be happy. mwaache awe na amani.
Dahh inauma....Allah akufnyie wepes inshaalalah
Yesu Wangu
I don't understand what is going on in this issue! Why is it too hard to complete the divorce process? It's not funny at all to see a woman, a daughter, and a mother crying like that? Subhanallah 😥Ya Allah, mfanyie wepesi humama kwa magumu yote anayo pitia!
Islam is there to simplify issues, the problem is, we have left it behind !! ,,,,Matokeo yake tunautia aibu uislam mbele ya wasiokuwa waislam tukithibitisha madai Yao kuwa ni dini ya unyanyasaji Kwa wanawake, wakati sio kweli!
@@jumakapilima7295 naam, uislam dini ya haki sio siri. Ila baadhi ya waislams na baadhi ya viongozi wa dini ya kiislam wana dhalilisha uislam na kunyanyasa wanawakake....kama wanavyo mfanyia huyu alie kuwa mke wa Mwaka. So sad 😞 😔 😟 🙁
Unaelewa tatizo kuu ktk jambo hili?
wake km hawa tunafunga na kuomba ucku mchana tujaaliwe wake km hawa hatuwapati wengine wanachezea neema hii Allah amnusuru dada yetu ampe hitaji la moyo wake Thuma Ammyn🤲🤲😭😭😭😭😭😭😭😭
Sasa we nawe una amini na kujiridhisha kwa maelezo ya upande mmoja tu.!! Jitahidi kwanza upate na maelezo ya upande wa pili nayo Kisha ndio utoe hukumu
@@swalehemrombo9301 Nawe acha upumbavu,upande wa pili wa Nini hapo,pigabchini mtu mwengine aolewe
@@mwajumamohd7930 Sasa ndugu ushaaona wapi hata mahakama ikatoa hukumu kwa kusikiliza upande mmoja tuu.!? Lini ushaaona hivyooo.!?
Pole sana
Tamaa mbaya✍
"Nampenda ila siko tayari kuishi nae"... Hii kauli inatosha kufanya ndoa imevunjika
Akisema hivyo ujue anampenda kufa na huyu dada akaze kamba
Subhannallah
Ivi nyie wandishi mnaudin sana , mnalazimisha huyo mama asirudi kweny Ukiristo, Dada rudi kwa Kristo huku
Doctor Mwaka, give her the freedom she wanted,
Pole sana dada mungu ata kupigania
No surrender mamy vita bado mbichi songa mbele mamy no return FOCUST YOUR TRUST hivi Dr mwaka Kwan ukimuacha amekupunguzia nini .ukimpa nyumba ni wanao wanaishi
Pole sana Queen mummy, usiogope Mungu atakutetea, anauona moyo wako kuwa huna hila yeyote.
Pole Sana dada yangu. Sijui shida nn juu ya hili. Lakini hapo hakuna ndoa. Ndoa hujengwa na upendo ukiisha hakuna Tena. Mwache aende. Kama hili hàlitofikiwa muafaka wanawake tuingilie kati kumkwamua mwanamke mwenzetu, na ninaamini tunaweza kumuokoa kwenye hili.pole sana
Pole sana dadangu Allah ataleta amani inshaa Allah
Pole xna dear
INSHAA ALLAH yatapita tu pia
Mwaka badilika ALLAH husamehe iwe cye acha zako broooooo
Pole kwake
Don't worry mamy Allah is with you thanks 🙏 to Allah every thing will go write
Mungu akutete my dear
mwaka tulia uachwe umeshindwa kumuenzi huyu mama anahaki, mungu wako muogope Sana na ogopa sana machozi ya mwanadamu.
Dada quin omba sana mungu atakulipa hapa duniani
Oooh ita Yesu Mara kw Mara utamuona Mungu ni jaribu lako utashinda tu
Ooooh 😭😭😭Yesu akiteteteee jmn
Dada mungu atasimama na wew na utashinda hili yeye anajitia mwamba kwa ajili ya kipato Ila mungu anaweza kumporomosha muda wowote na wakati wowote..ogopa Sana chozi la Mwanamke.. kingine uko na damu ya watoto wako kweli nahii niseme Tu kwamba haitamuacha salama...Dr Mwaka.
Pole kwake san
Pole sana jipe moyo wa kusubiri
Jmn mpk nimelia yesu wangu
Masha Allah, uko na hekma saana
Allah yuko na wewe Dada tutakuombea dua na utashinda, Mali ya dunia ni uchafu, lakini Dr. Akumbuke mume huma wote, na Allah sio dhalim, Allah akupe ushindi Dada, I feel you
Mumechuma
Mungu ataripa Dr mwaka malaya mtupu.Wewe mzuri tulia utapata bwana watabia njema.
Poleee jamaniii queeen😓😓
Pole_Queen_mtegeemee_Mungu_tu_hakuna_wa_kukusaidia_Dunia_hii_futa_Machozi_kilio_sio_peke_yako_webzio_tumelia_sasa_tumenyamza
Oya Dr. Unafeli sana mtoto mzuri kama huyu anamwaga machozi hadharani unafeli mwamba