#EXCLUSIVE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ก.ย. 2023
  • #EXCLUSIVE: MAMBO ni MOTO! QUEEN MASANJA AFICHUA KUPATA MWANAUME ARUSHA, POSTI ILIYOZUA GUMZO INSTA...
    CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
    ========================
    Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

ความคิดเห็น • 191

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  10 หลายเดือนก่อน +4

    JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU! Ingia kwenye simu yako📲, NAMBA YA KAMPUNI 553111, KUMBU NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1,000! Utapaja ujumbe wa USHINDI!

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 10 หลายเดือนก่อน +34

    Tuseme. Tu ukweli huyu Dada amebarikiwa mzuri Sana

  • @rudiaeliakim2172
    @rudiaeliakim2172 10 หลายเดือนก่อน +19

    kwa wale mnaomtukana huyu dada mdangaji wote mnamuonea wivu dada mzuri kweli mungu kambariki kweli mtakoma wanyooshe hao wanaokutukana queen

  • @MwigaKatumpula-mi3zt
    @MwigaKatumpula-mi3zt 10 หลายเดือนก่อน +29

    Hiyo ndio maana halisi ya Neno au msemo wa tuna feli kwa sababu ya tulikutana na watu kwenye maisha yetu na watu sio sahihi kwa muda usio sahihi 👏👏👏👏😀😀🙌

  • @bintalmasi2393
    @bintalmasi2393 10 หลายเดือนก่อน +18

    Ana upeo mkubwa sana, nafasi yake ilifunikwa kwa marital status.

  • @user-qo8eu1br6f
    @user-qo8eu1br6f 10 หลายเดือนก่อน +9

    Mungu akufikishe kwenye ndoto zako Nakupenda sn Oueen huna baya hata mavazi yk yako vzr kabisaa 😍💕💞🔥🔥🔥

  • @vincej9275
    @vincej9275 10 หลายเดือนก่อน +8

    Nimefurahi sana kusikia unafanya endelea vizuri Queen. You are very smart and hard working, you will be blessed with a good man to love and respect you.

  • @ashuramhandoashuramhando6798
    @ashuramhandoashuramhando6798 10 หลายเดือนก่อน +8

    Nazidi kuamini yule Mke aliyebaki na Mwaka ni kwa nguvu za Giza ipo siku Mume atazinduka atakua keshachelewa hivi Queen Mzuri hivi anabakiaje kwa Mfano ❤❤🙏🙏

    • @ernestsereli8559
      @ernestsereli8559 10 หลายเดือนก่อน +5

      Mke Bora sio sura"ila tabia njema

  • @priscajonas7805
    @priscajonas7805 9 หลายเดือนก่อน +4

    Mimi napenda Sana Huyu Dada ❤

  • @gracegrace6510
    @gracegrace6510 10 หลายเดือนก่อน +6

    Kulia Tena tupa kule wabaki wanateseka wao dada angu enjoy u are life umelia Sana Dada Sasa imetosha Mungu mwema

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 10 หลายเดือนก่อน +6

    We 💕 u SANA. Mungu akusimamieeee sanaaaaa Masanja

  • @MwanaishaHemed-xi6rj
    @MwanaishaHemed-xi6rj 10 หลายเดือนก่อน +4

    Dada Queen hongera umependa sana Dr Mwaka alikua anakufuja tu 😁

  • @user-nc6ts5im7h
    @user-nc6ts5im7h 9 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu dada anastahili kuw na mahusiano ayapendayo kwahyo walimwengu mlitaka kila siku alie kwa sababu ya mapenzi.achen ushamba life is too short also we live at once.❤

  • @user-tt6jt8pz5m
    @user-tt6jt8pz5m 10 หลายเดือนก่อน +10

    QUEEN NAMUONA MBALI SANA. MWAKA UTAKUFA KWA KIHORO.. BADO WA KWANGU MIMI. YAN WANAUME MSITUCHUKULIE POA KENGE NYIE. MNAPATAJE UJASIRI WA KUFUJA WANAWAKE WAREMBO KA QUEEN NA MIE😂

    • @olicej7837
      @olicej7837 9 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂😂😂😂afu unamuacha miaka 3 mwanamke mzuri kama huyo unategemea Nini 😂😂😂

  • @hellenmachibya2681
    @hellenmachibya2681 10 หลายเดือนก่อน +3

    Ni kweli madam Qwen,,usiweke mahusiano Yako hadharani,,sio sawa kabisa
    Mahusiano na kaz nivitu viwili tofauti
    Fanya kaz my,,mahusiano Yako yabaki Yako tuu!!

  • @gradnessshitindi3694
    @gradnessshitindi3694 10 หลายเดือนก่อน +15

    Huyu dada nampenda had nampenda tena!

    • @ummykitira5371
      @ummykitira5371 10 หลายเดือนก่อน

      Mfyuuu punguza zarau

    • @asmahassan5661
      @asmahassan5661 10 หลายเดือนก่อน

      ​@@ummykitira5371😮😢zarau gn wakat kasema anampenda ama hujasoma vzr umekurupuka

    • @ernestsereli8559
      @ernestsereli8559 10 หลายเดือนก่อน

      Nyie ndio wale wanafki

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 10 หลายเดือนก่อน +2

    MashaAllah 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @rukiyatajir8064
    @rukiyatajir8064 10 หลายเดือนก่อน +6

    Queen keep it I adore you from being humiliated by a man to where you are now, you really struggled and you never give up. You indirectly show your opponent that he is never going to out you down.❤❤❤❤

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 10 หลายเดือนก่อน +3

    FANYA KAZIII MPENDWAAA. UKO SAWAAA❤

  • @lucianaisrael3841
    @lucianaisrael3841 8 หลายเดือนก่อน

    Mungu azidi kukubariki Queen umependeza mno na Mungu kakujaalia uzuri wa sura na umbo,wanaokuchukia achana nao ishi vile utakavyo mamy❤❤

  • @omanmct135
    @omanmct135 10 หลายเดือนก่อน +4

    Kweli kabisa mungu ndokilakitu❤❤❤safi

  • @rukiyatajir8064
    @rukiyatajir8064 10 หลายเดือนก่อน +3

    You are right your private life is yours not for PUBLICITY Good show dear❤❤❤

  • @lovierlion-vs9rn
    @lovierlion-vs9rn 9 หลายเดือนก่อน +3

    Neno langu moja kwako Queen,,you have to be expensive,,,usitangaze kila kitu,unatangaza nguo za watu wengi mno ,sasa hivi magari nayo unaaanza kukubali kufanya na makampuni mengi,,,,yaani utawahi mno kuwa normal,,,ebu punguza baadhi ya matangazo ili ugombaniwe na ubaki kuwa wa ghali

  • @neemamasimba2981
    @neemamasimba2981 10 หลายเดือนก่อน +3

    Hongera sana Queen

  • @nickjuma6020
    @nickjuma6020 10 หลายเดือนก่อน +11

    Watangazaji uchwara ni aibu tupu! eti anamuuliza unalipwa kiasi gani! ni upumbavu wa kiwango cha Lami!! Maswali ya kipumbavu!!

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 10 หลายเดือนก่อน +2

    Safiii sana nguo ZOTE ni nzuri mnoooo

  • @matswelomphela972
    @matswelomphela972 10 หลายเดือนก่อน

    Asante dada nimekupenda since then

  • @slicehamfrey3504
    @slicehamfrey3504 10 หลายเดือนก่อน +1

    Safi sana kipenzi Mungu akufikishe mbali

  • @hadijahadija4699
    @hadijahadija4699 10 หลายเดือนก่อน +1

    Nimekupenda.sana.

  • @aishajuma7813
    @aishajuma7813 10 หลายเดือนก่อน +4

    Mungu atatenda

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky1088 10 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sn Queen

  • @eddamsalilwa4876
    @eddamsalilwa4876 10 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sana Quene unapambana sana

  • @zainabwage4658
    @zainabwage4658 10 หลายเดือนก่อน +1

    Nampenda sana queen

  • @vickyshayo7880
    @vickyshayo7880 9 หลายเดือนก่อน +1

    Nakupenda sana Queen

  • @user-mw5xs2wx8n
    @user-mw5xs2wx8n 4 หลายเดือนก่อน

    Alokuipa jila la queen hajarogwa mashallah.

  • @ElizaLaurent-gc3hx
    @ElizaLaurent-gc3hx 10 หลายเดือนก่อน +2

    Jaman kaz nzur dada mungu akubariki

  • @veronicawilsonmbwambo1054
    @veronicawilsonmbwambo1054 10 หลายเดือนก่อน +6

    Hongera sana endelea kufanya Kaz na kupenda San njisi ulivyo

  • @user-tf7sx9xg7d
    @user-tf7sx9xg7d 10 หลายเดือนก่อน +3

    Mama samia suluh akupe kazi wewe mwanamke washoka

  • @Adje244
    @Adje244 10 หลายเดือนก่อน +2

    ❤ nakupenda tu

  • @jescawilson39
    @jescawilson39 10 หลายเดือนก่อน

    Nampenda sana Queen❤

  • @haifamiraji6483
    @haifamiraji6483 10 หลายเดือนก่อน +1

    Zali kama Zali my binamu upo vizuri kwenye kuhoji.

  • @nestor384
    @nestor384 10 หลายเดือนก่อน +2

    Madam miradi ya serikali ya kutangaza tena?! Utaanza kutukanwa bure maana miradi hiyo mingine iko midomo tangibly haipo?!

  • @samiatsungura
    @samiatsungura 10 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sana dada

  • @zaidasalumualute6437
    @zaidasalumualute6437 10 หลายเดือนก่อน

    Congratulations

  • @user-tf7sx9xg7d
    @user-tf7sx9xg7d 10 หลายเดือนก่อน +1

    Unafaaa sana unamuono mzuri

  • @AgathaSanga-ec5hl
    @AgathaSanga-ec5hl 9 หลายเดือนก่อน

    Nakupenda tu❤

  • @user-tk5yy6vj3b
    @user-tk5yy6vj3b 5 หลายเดือนก่อน

    Mashaalaah hubby yan me nampendaga sana uyu dada jamani

  • @justinendizeye714
    @justinendizeye714 10 หลายเดือนก่อน +1

    Come on mtangazaji kamuambiya nani uyo mwanaume kuangaliya uumbo la mwanamke???

  • @aminathaabubakarmasoud565
    @aminathaabubakarmasoud565 10 หลายเดือนก่อน +7

    MashaAllah, am happy for you darling 😘❤

    • @sultansallah8772
      @sultansallah8772 10 หลายเดือนก่อน

      Mashallah kwenye zinaa ten

  • @verombwambo3703
    @verombwambo3703 10 หลายเดือนก่อน +1

    Kuna mijiwanaume ikikuoa inakufanya kuwa nuksi ona ulivyo sasa kwanza umekuwa mrembo pili umeshatoka kimaisha

  • @yousramutwale2463
    @yousramutwale2463 9 หลายเดือนก่อน +1

    Queen mzuri bwana acheni wivu

  • @begukulemosobe9685
    @begukulemosobe9685 10 หลายเดือนก่อน

    Unajua kujipigia promo dada big up

  • @rosehillary8742
    @rosehillary8742 10 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ mzuriiiii sana

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi9809 9 หลายเดือนก่อน +1

    Unachezewa tuuu hakuna cha miradi wala nn utaburuzwa mwanzo mwisho na uzee umekufika wakati wa kutulia na familia yako unafanya vitu vya kitoto

  • @aleyidukury8333
    @aleyidukury8333 10 หลายเดือนก่อน +4

    Saiv mwanamke akiwa mdangaji ndio mnamsifia ww nidanga Kama madanga wengine tu

    • @Trappqueen970
      @Trappqueen970 10 หลายเดือนก่อน +1

      watu wengne nyie ni wachawi sana wa maisha ya watu km wew aleyidukury ntmn nije ulipo nkutemee mate ya uso

    • @user-db2hi8jn3e
      @user-db2hi8jn3e 10 หลายเดือนก่อน +2

      Roho mbaya haijengi

  • @veraisaria
    @veraisaria 10 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu dada ana akili ana focus kubwa sana😅

  • @ashudahiza7871
    @ashudahiza7871 9 หลายเดือนก่อน +1

    ❤❤❤❤❤❤

  • @zayanazayana5518
    @zayanazayana5518 9 หลายเดือนก่อน

    Nyumba nzuri haikosi mpangaji
    Vipi Queen akose mpangaji

  • @paskaziasholla7471
    @paskaziasholla7471 9 หลายเดือนก่อน +1

    Queen umekuja na upepo wa kisulisuli hata waliotangulia hawajaufikia

  • @joank7929
    @joank7929 9 หลายเดือนก่อน

    Queen kama Queeeeeen.

  • @julianapatrick7911
    @julianapatrick7911 9 หลายเดือนก่อน

    Wow

  • @user-qb3nr6gl1z
    @user-qb3nr6gl1z 10 หลายเดือนก่อน

    Namba plx namba zako nashida San na wew

  • @bennamush4616
    @bennamush4616 10 หลายเดือนก่อน +4

    Nyie mnaosema huyu dada ni mdangaji mnataka asiwe na mahusiano amekuwa bundi Kwan haha zake mnataka azipeleke wapi

    • @spreadlove5300
      @spreadlove5300 10 หลายเดือนก่อน

      Shangaa wewe walitaka afie kwa mganga mwaka 😮

  • @omarymnuru8746
    @omarymnuru8746 10 หลายเดือนก่อน +1

    Nafasi za Serikali hupatikana kupitia Ajira portal utumishi... kwa vigezo..
    Kwa nafasi unayotala serikali bado hawajaitengeneza nafasi hiyo.... Gervas Msigwa anaweza pia kuifanya hiyo hata katibu uenezi

    • @Josephineexsuper
      @Josephineexsuper 9 หลายเดือนก่อน

      Acha hizo wewe, hizo kazi Hadi kina shishi wa darasa la Saba wanapewaga... Ndo wanaitwaga mabalozi. Kuna siku nimemwona shishi mkavuu eti anahojiwa katika kwenye mkutano wa kuwafundisha wabunge miradi ya malaria Tanzania

    • @Josephineexsuper
      @Josephineexsuper 9 หลายเดือนก่อน

      Kina msechu na moto ndo kazi hizo wanafanya. Msechu Hadi ule mradi wa puto wa hospital ya serikali

    • @Josephineexsuper
      @Josephineexsuper 9 หลายเดือนก่อน

      Mrisho mpoto Hadi anatembea peku peku😅

    • @omarymnuru8746
      @omarymnuru8746 8 หลายเดือนก่อน

      @@Josephineexsuper Hao ni wasanii wa kuimba...hutumia Sanaa zao Katika kufikisha ujumbe wa kazi walizopewa...

  • @sumaidgasto4721
    @sumaidgasto4721 10 หลายเดือนก่อน

    Ezekiel 44:22

  • @rachelmikey5493
    @rachelmikey5493 10 หลายเดือนก่อน +4

    Ana fanana na zari the bowse

  • @SophiaKilimo-gx7xh
    @SophiaKilimo-gx7xh 9 หลายเดือนก่อน

    Pambana dadaangu mungu atakusaidia

  • @kiazikitamu3985
    @kiazikitamu3985 9 หลายเดือนก่อน

    Kaingia Tena kwenye Siasa loh 😢

  • @kiazikitamu3985
    @kiazikitamu3985 9 หลายเดือนก่อน

    Wanamkomesha Dr Mwaka hao 😅😅

  • @michaeljames403
    @michaeljames403 10 หลายเดือนก่อน

    Kwani huyu ndo aliyenaniliwu na mchungaji!?

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 8 หลายเดือนก่อน

    Huyu mama Mungu ame mjaalia alaf tangu ame achana na mumewe ame toboa kimaisha 😂kweli dr mwaka alikua ni JINI MNYONYAJI

  • @HadijaZabroni-pu1lt
    @HadijaZabroni-pu1lt 10 หลายเดือนก่อน +3

    Safi sana dada yule upara roho imuume😂😂😂😂🎉🎉🎉

    • @fabiansemba4918
      @fabiansemba4918 10 หลายเดือนก่อน

      Acha basi😂😂😂

    • @joyce55727
      @joyce55727 10 หลายเดือนก่อน

      😁😁😁

    • @mwajumamwajuma55
      @mwajumamwajuma55 10 หลายเดือนก่อน

      😂😂

    • @zainabwage4658
      @zainabwage4658 10 หลายเดือนก่อน

      Atakufunga wewe 😂😂😂😂

    • @HadijaZabroni-pu1lt
      @HadijaZabroni-pu1lt 10 หลายเดือนก่อน

      @@zainabwage4658 aniwezi hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha 🤣😂😂😂😂😂

  • @jescawilson39
    @jescawilson39 10 หลายเดือนก่อน

    Et ukiwa kama binti 😮 watangazaji bana sasa huyo binti mpe heshima yake ni mama huyo

  • @maimunaulotu2075
    @maimunaulotu2075 9 หลายเดือนก่อน

    Huyo ni binti au mama 😂😂😂 ww bn sema mama ...au uzur umekuchangany

  • @mbanga6759
    @mbanga6759 10 หลายเดือนก่อน

    Kwani ndo alokua mke wa dokta mwaka

  • @farhannahomary5505
    @farhannahomary5505 9 หลายเดือนก่อน

    Mie qiunee namwona ni wakawaida saana Yani ni mwanamke aliyejutoshelaza Ila sijaona kuwa ni mzuuuuri mno Ila ni wakawaida sifa zoote anazo za kuwa mwanamke Kama wengine tu na dizaini hii wapo wengi mno kwa rangi yake na black pia wapo Ila ni wakawaida ni mwanamke aliyeubwa kike.hivi huyo na sinya tuseme ukweli Nani kachangamka kwini kapooza mno

  • @ivodaman6236
    @ivodaman6236 10 หลายเดือนก่อน +3

    kuna leo na kesho,,,ngoma ikivuma sana jua inakalibia kupasuka, wanawake mungu awasaidie sana hakuna jipya chin ya jua

    • @joyccembalakele9286
      @joyccembalakele9286 10 หลายเดือนก่อน

      Jaman 🙄🙄🙄🙄

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 10 หลายเดือนก่อน

      We nae

    • @zakiakusaja8603
      @zakiakusaja8603 10 หลายเดือนก่อน

      Sasa unatakaje watu wasifanye kazi kwenda huko

    • @spreadlove5300
      @spreadlove5300 10 หลายเดือนก่อน

      Nini mbaya 😮😮 mpaka ukasema hivyo???

    • @user-sq7pz9ex5g
      @user-sq7pz9ex5g 10 หลายเดือนก่อน

      ​@@spreadlove5300😅😅😅ukute katumwa na DK mwaka huyoo

  • @paskaziasholla7471
    @paskaziasholla7471 9 หลายเดือนก่อน

    We mtangazaji usimwambie eti awashawishi watu acha mtu aheshimu ndoa zao unazani wote wakiachika watakuwa kama Queen?

  • @alexvenas2699
    @alexvenas2699 10 หลายเดือนก่อน +2

    Hakika kama maana halisi ya ndoa ni hiyo ambayo vitabu vya dini nimeeleza basi 🤔

  • @elizabethtindwa7739
    @elizabethtindwa7739 10 หลายเดือนก่อน +1

    Hiyo speed unayoenda nayo itakusumbua maana ngoma ikivuma saaana hupasuka, so be care full...

    • @marthagabriel3417
      @marthagabriel3417 10 หลายเดือนก่อน +3

      Atakuwa kashatengeneza hela

    • @glorykweka1631
      @glorykweka1631 10 หลายเดือนก่อน

      @@marthagabriel3417 Amen

    • @zulekhasaud483
      @zulekhasaud483 10 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂

    • @zulekhasaud483
      @zulekhasaud483 10 หลายเดือนก่อน

      ​@@marthagabriel3417😂😂😂😂asante jbu zuri

    • @Josephineexsuper
      @Josephineexsuper 9 หลายเดือนก่อน

      Sahizi atakuwa ashamake hela ya kununua ngoma ingine😂

  • @angelsblackboard8008
    @angelsblackboard8008 10 หลายเดือนก่อน +1

    hivi ilikuwaje mrembo kama huyu akaangukia kwa pwagu kama mwaka? inasikitisha.

    • @shamsahaji6202
      @shamsahaji6202 10 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂bahati mbaya inatokea

  • @jestinabenedict4620
    @jestinabenedict4620 10 หลายเดือนก่อน +1

    ZARI MSHIKE MKONO MDOGO WAKO AENDEREE KUTUFURAISHA WATAZAMAJI

    • @mariajemutai2968
      @mariajemutai2968 10 หลายเดือนก่อน

      Kwani ni dadake zari wa diamond?

  • @AllyRamadhani-wl3um
    @AllyRamadhani-wl3um 2 หลายเดือนก่อน

    Mh yani nimeamini mwanamke mzuri ni mama yako tuuuuu mimi namshauri dk mwaka achukue watoto wake alee mwenyewe huyo x wake atamuharibia watoto.tuangalieni wanawAke wa kuoa jamani

    • @mammyspecial2
      @mammyspecial2 8 วันที่ผ่านมา

      Kawaiyo dr ndiyo mama wa watoto au😂😂

  • @AwaziBange-yo1wq
    @AwaziBange-yo1wq 10 หลายเดือนก่อน

    Huyo ni mume wake wa 3 sasa apo me sijui nimuamini mwaka au bidada masanja

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 10 หลายเดือนก่อน +2

    Kwisha mama kwisha

  • @marympochela7903
    @marympochela7903 10 หลายเดือนก่อน

    Una donge, u ovyo wake ni nini?

  • @happywilkins4391
    @happywilkins4391 10 หลายเดือนก่อน

    Nilidhn ni mim mwenyew nimeon

  • @mashamsangi4679
    @mashamsangi4679 8 หลายเดือนก่อน

    Unatoka kwenye mwanga unaenda gizani. Hivi ni akili yako? Tafakari maisha ya dunia ni mafupi sana

  • @johnmichaellukindo21
    @johnmichaellukindo21 10 หลายเดือนก่อน

    Jimbo limekwishachukuliwa

  • @rabsonchisumo6640
    @rabsonchisumo6640 9 หลายเดือนก่อน

    Umalaya tu hakuwa sahihi kwa Mwaka

    • @SafiyaJ-yw2vt
      @SafiyaJ-yw2vt 9 หลายเดือนก่อน

      Kweli kabisa na hajistiri kabisa mtu mzima ovyoo

  • @patrinussanga519
    @patrinussanga519 8 หลายเดือนก่อน

    Wewe kwenye ndoa yako hukutulia kabisa huyu bwana ulishaanza naye muda mrefu acha kutudanganya

  • @simbajumanne9718
    @simbajumanne9718 10 หลายเดือนก่อน +1

    Dangaaaa umri umeenda ndio hichoo kilikutoa kwa mumeoo

    • @aishaa2930
      @aishaa2930 10 หลายเดือนก่อน

      Una hakika

    • @shamsahaji6202
      @shamsahaji6202 10 หลายเดือนก่อน

      ​@@aishaa2930achana nae uyo anaroho ya lichawiii 😂

    • @gracekenan4665
      @gracekenan4665 10 หลายเดือนก่อน

      Mbona unamhukumu yeye...ulitaka akae kwenye ndoa ambayo mume anaoa na anafanya uhuni kisa awafurahishe nyie .

  • @barutiabuu9492
    @barutiabuu9492 10 หลายเดือนก่อน +1

    We nimalaya tu

    • @yosephakomba1201
      @yosephakomba1201 10 หลายเดือนก่อน

      Mh kazi mnay

    • @shamsahaji6202
      @shamsahaji6202 10 หลายเดือนก่อน

      Iloooo roho inakuuma mjombaake doc mwaka

  • @laurencemassawe9100
    @laurencemassawe9100 10 หลายเดือนก่อน +1

    Uyu malaya tu amna jipya

    • @spreadlove5300
      @spreadlove5300 10 หลายเดือนก่อน

      Why alishakuuzia?

    • @shamsahaji6202
      @shamsahaji6202 10 หลายเดือนก่อน

      Roho ya kichawi io loh😂😂 uumie tu mwenzio anafanikiwa we lia lia tu hapa

    • @angelashitindi5427
      @angelashitindi5427 9 หลายเดือนก่อน

      Uchawi huo

  • @sumaidgasto4721
    @sumaidgasto4721 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mambo yamebadlika siku hizi. Tunaoa wanawake waliozaa eti ndio wanakili ya maisha. Noma sana.. akili tu ya kujilinda asizae hadu ndoa kwa mujibu wa mila na desturi hana za maisha anapata wapi

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 10 หลายเดือนก่อน

      Umeongea utopolo asee,kwan we hujui kuwa aliolewa huyu...

    • @mariamshabani769
      @mariamshabani769 10 หลายเดือนก่อน

      Mpuuzi kweli wewe!..na kwanza hizo mbina wanapeana wanawake kwa wanawake!?
      Akili kama unayo unayo tu haijalishi umezaa ama lah!
      Na huyu kazaa akiwa kaolewa!!
      Makasiriko tu😏

    • @sumaidgasto4721
      @sumaidgasto4721 10 หลายเดือนก่อน

      @@mariamshabani769 unatukana haisaidii soma EZEKIEL 44:22 kama ni mkristo

    • @sumaidgasto4721
      @sumaidgasto4721 10 หลายเดือนก่อน

      @@nancyg8664 pole ila umeshawahi ona katika maandiko mtu kaoa mwanamke asiye na bikra

  • @barutiabuu9492
    @barutiabuu9492 10 หลายเดือนก่อน +1

    Wewe ulichoka kuwa mke wamtu kwasababu umesha zoea umalya sasa ukaona kam unabanwa sana so we enderea tu nakudanga kwakua utadumu milele kumbuka utaded hautokaa milele kavumilie kwenye ndoa yako wewe umalaya hautokusaidia popote

    • @spreadlove5300
      @spreadlove5300 10 หลายเดือนก่อน +1

      Kwa nini unaongea kwa uchungu hivo??? Unajua kilimkuta nini mpaka unasema ni malaya?

    • @yosephakomba1201
      @yosephakomba1201 10 หลายเดือนก่อน

      Wemkundu kweliyani mama ako adangi?

    • @yeslord2276
      @yeslord2276 10 หลายเดือนก่อน

      Umetumwa na yule mwamba mganga eti 😅😅😅 pole sana

    • @provianapaul6634
      @provianapaul6634 10 หลายเดือนก่อน

      Hii coment ni ya mwanaume malaya ,,, alafu mnyanyasi anaedhani kila mtu anaweza kuvumilia ujinga acheni bwana hamjui kitu na hajawah sema lolote kuhusu year wenu muacheni mnaumia

    • @user-xg8mt1mh7v
      @user-xg8mt1mh7v 9 หลายเดือนก่อน

      Duh una maneno makali, kila mtu ana maisha yake na akili yake pia

  • @mbwawafillingstation
    @mbwawafillingstation 9 หลายเดือนก่อน

    Pambana Qeen usisikilize wenye wivu
    Huwezi kupendwa na kila mtu

  • @mashamsangi4679
    @mashamsangi4679 8 หลายเดือนก่อน

    Umelaaniwa wewe

  • @shamimageta6651
    @shamimageta6651 10 หลายเดือนก่อน

    Ovyo jinga chizi

    • @mrs2918
      @mrs2918 10 หลายเดือนก่อน +2

      kula chumaaa kikikukaba utajua kupambana na hali yako

    • @estermahenge-ks3dr
      @estermahenge-ks3dr 10 หลายเดือนก่อน +1

      kwako mtuma koment unateseka ukiwa wapi😅😅

  • @faidhamyovela179
    @faidhamyovela179 10 หลายเดือนก่อน +6

    huyu nae mdangaji tu mtu mzim hovyo

    • @aminathaabubakarmasoud565
      @aminathaabubakarmasoud565 10 หลายเดือนก่อน +9

      Wivu tuu huna lolote, mdangaji amekudangia babaako,pita hivi😏😏😏

    • @dianajohnson7268
      @dianajohnson7268 10 หลายเดือนก่อน +4

      acha roho mbaya utakufa mapema,

    • @mmn7480
      @mmn7480 10 หลายเดือนก่อน

      Nawe danga

    • @khadidjasuleiman8006
      @khadidjasuleiman8006 10 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂waja bhana mnatisha😅😅

    • @frankngoloka5416
      @frankngoloka5416 10 หลายเดือนก่อน

      Mbona na wewe unadanga sana