#EXCLUSIVE
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 4 ก.ย. 2023
- #EXCLUSIVE: MAMBO ni MOTO! QUEEN MASANJA AFICHUA KUPATA MWANAUME ARUSHA, POSTI ILIYOZUA GUMZO INSTA...
CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
========================
Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU! Ingia kwenye simu yako📲, NAMBA YA KAMPUNI 553111, KUMBU NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1,000! Utapaja ujumbe wa USHINDI!
Tuseme. Tu ukweli huyu Dada amebarikiwa mzuri Sana
Sana
kwa wale mnaomtukana huyu dada mdangaji wote mnamuonea wivu dada mzuri kweli mungu kambariki kweli mtakoma wanyooshe hao wanaokutukana queen
Hiyo ndio maana halisi ya Neno au msemo wa tuna feli kwa sababu ya tulikutana na watu kwenye maisha yetu na watu sio sahihi kwa muda usio sahihi 👏👏👏👏😀😀🙌
Asante kweli kabisaaaaaaa
Swadaktaaaa
Swadakta 👌💯
Ana upeo mkubwa sana, nafasi yake ilifunikwa kwa marital status.
Mungu akufikishe kwenye ndoto zako Nakupenda sn Oueen huna baya hata mavazi yk yako vzr kabisaa 😍💕💞🔥🔥🔥
Nimefurahi sana kusikia unafanya endelea vizuri Queen. You are very smart and hard working, you will be blessed with a good man to love and respect you.
Nazidi kuamini yule Mke aliyebaki na Mwaka ni kwa nguvu za Giza ipo siku Mume atazinduka atakua keshachelewa hivi Queen Mzuri hivi anabakiaje kwa Mfano ❤❤🙏🙏
Mke Bora sio sura"ila tabia njema
Mimi napenda Sana Huyu Dada ❤
Kulia Tena tupa kule wabaki wanateseka wao dada angu enjoy u are life umelia Sana Dada Sasa imetosha Mungu mwema
We 💕 u SANA. Mungu akusimamieeee sanaaaaa Masanja
Dada Queen hongera umependa sana Dr Mwaka alikua anakufuja tu 😁
Huyu dada anastahili kuw na mahusiano ayapendayo kwahyo walimwengu mlitaka kila siku alie kwa sababu ya mapenzi.achen ushamba life is too short also we live at once.❤
QUEEN NAMUONA MBALI SANA. MWAKA UTAKUFA KWA KIHORO.. BADO WA KWANGU MIMI. YAN WANAUME MSITUCHUKULIE POA KENGE NYIE. MNAPATAJE UJASIRI WA KUFUJA WANAWAKE WAREMBO KA QUEEN NA MIE😂
😂😂😂😂😂😂afu unamuacha miaka 3 mwanamke mzuri kama huyo unategemea Nini 😂😂😂
Ni kweli madam Qwen,,usiweke mahusiano Yako hadharani,,sio sawa kabisa
Mahusiano na kaz nivitu viwili tofauti
Fanya kaz my,,mahusiano Yako yabaki Yako tuu!!
Huyu dada nampenda had nampenda tena!
Mfyuuu punguza zarau
@@ummykitira5371😮😢zarau gn wakat kasema anampenda ama hujasoma vzr umekurupuka
Nyie ndio wale wanafki
MashaAllah 🎉🎉🎉🎉🎉
Queen keep it I adore you from being humiliated by a man to where you are now, you really struggled and you never give up. You indirectly show your opponent that he is never going to out you down.❤❤❤❤
FANYA KAZIII MPENDWAAA. UKO SAWAAA❤
Mungu azidi kukubariki Queen umependeza mno na Mungu kakujaalia uzuri wa sura na umbo,wanaokuchukia achana nao ishi vile utakavyo mamy❤❤
Kweli kabisa mungu ndokilakitu❤❤❤safi
You are right your private life is yours not for PUBLICITY Good show dear❤❤❤
Neno langu moja kwako Queen,,you have to be expensive,,,usitangaze kila kitu,unatangaza nguo za watu wengi mno ,sasa hivi magari nayo unaaanza kukubali kufanya na makampuni mengi,,,,yaani utawahi mno kuwa normal,,,ebu punguza baadhi ya matangazo ili ugombaniwe na ubaki kuwa wa ghali
Kama zarii
Hongera sana Queen
Watangazaji uchwara ni aibu tupu! eti anamuuliza unalipwa kiasi gani! ni upumbavu wa kiwango cha Lami!! Maswali ya kipumbavu!!
Apo sasa 😂
Safiii sana nguo ZOTE ni nzuri mnoooo
Asante dada nimekupenda since then
Safi sana kipenzi Mungu akufikishe mbali
Nimekupenda.sana.
Mungu atatenda
Hongera sn Queen
❤
Hongera sana Quene unapambana sana
Nampenda sana queen
Nakupenda sana Queen
Alokuipa jila la queen hajarogwa mashallah.
Jaman kaz nzur dada mungu akubariki
Hongera sana endelea kufanya Kaz na kupenda San njisi ulivyo
Mama samia suluh akupe kazi wewe mwanamke washoka
❤ nakupenda tu
Nampenda sana Queen❤
Zali kama Zali my binamu upo vizuri kwenye kuhoji.
Madam miradi ya serikali ya kutangaza tena?! Utaanza kutukanwa bure maana miradi hiyo mingine iko midomo tangibly haipo?!
Hongera sana dada
Congratulations
Unafaaa sana unamuono mzuri
Nakupenda tu❤
Mashaalaah hubby yan me nampendaga sana uyu dada jamani
Come on mtangazaji kamuambiya nani uyo mwanaume kuangaliya uumbo la mwanamke???
MashaAllah, am happy for you darling 😘❤
Mashallah kwenye zinaa ten
Kuna mijiwanaume ikikuoa inakufanya kuwa nuksi ona ulivyo sasa kwanza umekuwa mrembo pili umeshatoka kimaisha
Queen mzuri bwana acheni wivu
Unajua kujipigia promo dada big up
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ mzuriiiii sana
Unachezewa tuuu hakuna cha miradi wala nn utaburuzwa mwanzo mwisho na uzee umekufika wakati wa kutulia na familia yako unafanya vitu vya kitoto
Saiv mwanamke akiwa mdangaji ndio mnamsifia ww nidanga Kama madanga wengine tu
watu wengne nyie ni wachawi sana wa maisha ya watu km wew aleyidukury ntmn nije ulipo nkutemee mate ya uso
Roho mbaya haijengi
Huyu dada ana akili ana focus kubwa sana😅
❤❤❤❤❤❤
Nyumba nzuri haikosi mpangaji
Vipi Queen akose mpangaji
Queen umekuja na upepo wa kisulisuli hata waliotangulia hawajaufikia
Queen kama Queeeeeen.
Wow
Namba plx namba zako nashida San na wew
Nyie mnaosema huyu dada ni mdangaji mnataka asiwe na mahusiano amekuwa bundi Kwan haha zake mnataka azipeleke wapi
Shangaa wewe walitaka afie kwa mganga mwaka 😮
Nafasi za Serikali hupatikana kupitia Ajira portal utumishi... kwa vigezo..
Kwa nafasi unayotala serikali bado hawajaitengeneza nafasi hiyo.... Gervas Msigwa anaweza pia kuifanya hiyo hata katibu uenezi
Acha hizo wewe, hizo kazi Hadi kina shishi wa darasa la Saba wanapewaga... Ndo wanaitwaga mabalozi. Kuna siku nimemwona shishi mkavuu eti anahojiwa katika kwenye mkutano wa kuwafundisha wabunge miradi ya malaria Tanzania
Kina msechu na moto ndo kazi hizo wanafanya. Msechu Hadi ule mradi wa puto wa hospital ya serikali
Mrisho mpoto Hadi anatembea peku peku😅
@@Josephineexsuper Hao ni wasanii wa kuimba...hutumia Sanaa zao Katika kufikisha ujumbe wa kazi walizopewa...
Ezekiel 44:22
Ana fanana na zari the bowse
Pambana dadaangu mungu atakusaidia
Kaingia Tena kwenye Siasa loh 😢
Wanamkomesha Dr Mwaka hao 😅😅
Kwani huyu ndo aliyenaniliwu na mchungaji!?
Huyu mama Mungu ame mjaalia alaf tangu ame achana na mumewe ame toboa kimaisha 😂kweli dr mwaka alikua ni JINI MNYONYAJI
Safi sana dada yule upara roho imuume😂😂😂😂🎉🎉🎉
Acha basi😂😂😂
😁😁😁
😂😂
Atakufunga wewe 😂😂😂😂
@@zainabwage4658 aniwezi hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha 🤣😂😂😂😂😂
Et ukiwa kama binti 😮 watangazaji bana sasa huyo binti mpe heshima yake ni mama huyo
Huyo ni binti au mama 😂😂😂 ww bn sema mama ...au uzur umekuchangany
Kwani ndo alokua mke wa dokta mwaka
Mie qiunee namwona ni wakawaida saana Yani ni mwanamke aliyejutoshelaza Ila sijaona kuwa ni mzuuuuri mno Ila ni wakawaida sifa zoote anazo za kuwa mwanamke Kama wengine tu na dizaini hii wapo wengi mno kwa rangi yake na black pia wapo Ila ni wakawaida ni mwanamke aliyeubwa kike.hivi huyo na sinya tuseme ukweli Nani kachangamka kwini kapooza mno
kuna leo na kesho,,,ngoma ikivuma sana jua inakalibia kupasuka, wanawake mungu awasaidie sana hakuna jipya chin ya jua
Jaman 🙄🙄🙄🙄
We nae
Sasa unatakaje watu wasifanye kazi kwenda huko
Nini mbaya 😮😮 mpaka ukasema hivyo???
@@spreadlove5300😅😅😅ukute katumwa na DK mwaka huyoo
We mtangazaji usimwambie eti awashawishi watu acha mtu aheshimu ndoa zao unazani wote wakiachika watakuwa kama Queen?
Hakika kama maana halisi ya ndoa ni hiyo ambayo vitabu vya dini nimeeleza basi 🤔
Hiyo speed unayoenda nayo itakusumbua maana ngoma ikivuma saaana hupasuka, so be care full...
Atakuwa kashatengeneza hela
@@marthagabriel3417 Amen
😂😂😂😂
@@marthagabriel3417😂😂😂😂asante jbu zuri
Sahizi atakuwa ashamake hela ya kununua ngoma ingine😂
hivi ilikuwaje mrembo kama huyu akaangukia kwa pwagu kama mwaka? inasikitisha.
😂😂😂bahati mbaya inatokea
ZARI MSHIKE MKONO MDOGO WAKO AENDEREE KUTUFURAISHA WATAZAMAJI
Kwani ni dadake zari wa diamond?
Mh yani nimeamini mwanamke mzuri ni mama yako tuuuuu mimi namshauri dk mwaka achukue watoto wake alee mwenyewe huyo x wake atamuharibia watoto.tuangalieni wanawAke wa kuoa jamani
Kawaiyo dr ndiyo mama wa watoto au😂😂
Huyo ni mume wake wa 3 sasa apo me sijui nimuamini mwaka au bidada masanja
Kwisha mama kwisha
Una donge, u ovyo wake ni nini?
Nilidhn ni mim mwenyew nimeon
Unatoka kwenye mwanga unaenda gizani. Hivi ni akili yako? Tafakari maisha ya dunia ni mafupi sana
Jimbo limekwishachukuliwa
Umalaya tu hakuwa sahihi kwa Mwaka
Kweli kabisa na hajistiri kabisa mtu mzima ovyoo
Wewe kwenye ndoa yako hukutulia kabisa huyu bwana ulishaanza naye muda mrefu acha kutudanganya
Dangaaaa umri umeenda ndio hichoo kilikutoa kwa mumeoo
Una hakika
@@aishaa2930achana nae uyo anaroho ya lichawiii 😂
Mbona unamhukumu yeye...ulitaka akae kwenye ndoa ambayo mume anaoa na anafanya uhuni kisa awafurahishe nyie .
We nimalaya tu
Mh kazi mnay
Iloooo roho inakuuma mjombaake doc mwaka
Uyu malaya tu amna jipya
Why alishakuuzia?
Roho ya kichawi io loh😂😂 uumie tu mwenzio anafanikiwa we lia lia tu hapa
Uchawi huo
Mambo yamebadlika siku hizi. Tunaoa wanawake waliozaa eti ndio wanakili ya maisha. Noma sana.. akili tu ya kujilinda asizae hadu ndoa kwa mujibu wa mila na desturi hana za maisha anapata wapi
Umeongea utopolo asee,kwan we hujui kuwa aliolewa huyu...
Mpuuzi kweli wewe!..na kwanza hizo mbina wanapeana wanawake kwa wanawake!?
Akili kama unayo unayo tu haijalishi umezaa ama lah!
Na huyu kazaa akiwa kaolewa!!
Makasiriko tu😏
@@mariamshabani769 unatukana haisaidii soma EZEKIEL 44:22 kama ni mkristo
@@nancyg8664 pole ila umeshawahi ona katika maandiko mtu kaoa mwanamke asiye na bikra
Wewe ulichoka kuwa mke wamtu kwasababu umesha zoea umalya sasa ukaona kam unabanwa sana so we enderea tu nakudanga kwakua utadumu milele kumbuka utaded hautokaa milele kavumilie kwenye ndoa yako wewe umalaya hautokusaidia popote
Kwa nini unaongea kwa uchungu hivo??? Unajua kilimkuta nini mpaka unasema ni malaya?
Wemkundu kweliyani mama ako adangi?
Umetumwa na yule mwamba mganga eti 😅😅😅 pole sana
Hii coment ni ya mwanaume malaya ,,, alafu mnyanyasi anaedhani kila mtu anaweza kuvumilia ujinga acheni bwana hamjui kitu na hajawah sema lolote kuhusu year wenu muacheni mnaumia
Duh una maneno makali, kila mtu ana maisha yake na akili yake pia
Pambana Qeen usisikilize wenye wivu
Huwezi kupendwa na kila mtu
Umelaaniwa wewe
Ovyo jinga chizi
kula chumaaa kikikukaba utajua kupambana na hali yako
kwako mtuma koment unateseka ukiwa wapi😅😅
huyu nae mdangaji tu mtu mzim hovyo
Wivu tuu huna lolote, mdangaji amekudangia babaako,pita hivi😏😏😏
acha roho mbaya utakufa mapema,
Nawe danga
😂😂😂waja bhana mnatisha😅😅
Mbona na wewe unadanga sana