Anajielew nn? hakuna checho te hapo, huyo kunamtu nyuma yake ukitaka kujua hilo sikiliza majib anayo yatoa kuhusu ndoa akitoka kwa mwaka kwa sababu tayar alijua anapo elekea
Nampendaga huyu Dada Ni Queen kweli kam jina lake yuko very classy feminine yan huwa nawmanglia sana anatufundisha waweza kuvaa classy na ukapendeza mzuri bila kuonesha sana
milango ipi mzeee?? unadhani ni yeye hapo au unadanganya watu waachane na sehem sahihi walizopo waige kutoka kwemye ndoa waje warande mitaan... huyo ni mtu mzima saiv kutangaza mapensi mapaja nje haina maana na huo sio uhuru.. msikilize vizur yeye mwenyew anachoongea usipoteshe watu.. NDOA ni kitu cha heshima sana subiri uoe au uwe na mtoto aolewe then itokee aachike ndo utajua vzr pia kama huna cha kusema kaa kimy ni bora zaid kwako anasema hafikirii tena ndoa ila ana mahusiano ya kawaida, je wewe ungependa mwanao awe kweny ndoa au mahusiano ya kawaida?? SHIRIKISHA AKILI KABLA HUJANYANYUA ULIMI WAKO UKAJIFANYA UNA INSPIRE SANA
Ni Wanaume Wajinga Wanasababisha hayo Mwanamke Anakubali Kusilimu Anakufata kwnye Dini yko Anakuzalia Watoto Jicho lke linakuangalia ww vp Aishi Matokeo yke Mwanamme wnyw Bilisi hana hata kimoja anachokift kwny Dini yke wl hana Mapenzi Wengi Wanard kwny Dini zao na Watoto wao kw sbb ya Ufisadi Wanaukuta
Jamani mdada mzuri Mashallah alikuwa akivaa hijabu mwenyewe alipokuwa na Dr sasa kavua Mungu ajaalie wasuluhishe waendelee kuwa pamoja rudianeni jamani
Hata alipokua na dr mwaka alikua havai hijabu muda wote alikua anavaa akienda kwenye interviews ila muda mwingi alikua anavaa kichwa waz n jeans michaniko
Namuonea huruma sna maskini Sasa amekua anajinadi mwili wake mpka no ya simu anatoa hakika amepotea mungu amuongoze alikua amestirika kwa mwkaa umri wake umeenda anajinadi huyo Hana lolote hata kama mzuri sio sawa anachokifanya ni uchafu mtupu!!!!anatafuta wanaume wenye pesa Hana lolote huyo....
Some how Queen anafanana na Zari the boss lady!
Sanaaaaaaa
Wanafanan kabisaa ila hutu dada kamzidi zari kwa uzuri asee
Halafu yeye ni mnatural kila mahali
Uyu dada anajielew sana Allah akujaliy kweny kaz zko na akutunze 🥰🥰
Anajielew nn? hakuna checho te hapo, huyo kunamtu nyuma yake ukitaka kujua hilo sikiliza majib anayo yatoa kuhusu ndoa akitoka kwa mwaka kwa sababu tayar alijua anapo elekea
Inshallah mungu amsaidie huyo dada mie Huwa nampenda sana mungu amuongoze apate mume mwema nikiwa kama mzazi mungu akubariki kipenzi
Nampendaga huyu Dada Ni Queen kweli kam jina lake yuko very classy feminine yan huwa nawmanglia sana anatufundisha waweza kuvaa classy na ukapendeza mzuri bila kuonesha sana
Wewe mzuri sana mwaka alikua mnyanyasaji uyo
Kwakweli nakukubali sana na najifunza kupitia wew sana natamani nipate mawasiliano yako Mungu akulinde daima
Mama safi 🎉
Queen NAKUPENDA SANA. ULIPITIA MAGUMU❤❤SASA UNA LIFE YKO MUNGU AKUONGOZE. UR SO BEAUTIFUL
Kunabaadhi ya watu ukiachana nao katika maisha milango lazima ifunguke
❤❤❤❤❤natamani nikupe zawadi umenigusa mno
milango ipi mzeee?? unadhani ni yeye hapo au unadanganya watu waachane na sehem sahihi walizopo waige kutoka kwemye ndoa waje warande mitaan... huyo ni mtu mzima saiv kutangaza mapensi mapaja nje haina maana na huo sio uhuru..
msikilize vizur yeye mwenyew anachoongea usipoteshe watu.. NDOA ni kitu cha heshima sana subiri uoe au uwe na mtoto aolewe then itokee aachike ndo utajua vzr pia kama huna cha kusema kaa kimy ni bora zaid kwako
anasema hafikirii tena ndoa ila ana mahusiano ya kawaida, je wewe ungependa mwanao awe kweny ndoa au mahusiano ya kawaida?? SHIRIKISHA AKILI KABLA HUJANYANYUA ULIMI WAKO UKAJIFANYA UNA INSPIRE SANA
Kabisa mm nilikuwa na mpenz toka niachane nae 😊😊❤❤❤walah na enjoh
@@iddymohammed1890mmmh ayo simaoni yake
@@iddymohammed1890umeongea maneno mazito sna ila madada wa uko wnawaza uhuru wa kujitofikiria kuna kesho yke ndio hao
Nakupenda dear sister queen ❤❤
Uyooo NIII original ❤🎉🎉
Allah akulinde na kila unachopamba
Mimi nampendaaa yaaaan sisemiii NI mkweri. SANA.❤❤❤❤
what a germ huyu ni mwanamke ukisikia anavyojibu na alivyo muonekano kitabia anastahili heshima nimempenda sana
Very beautiful mama
Mungu akulinde malkia wang uish sana
Love😂 U so much my dear unatia moyo sana ww dada ujui tu
Mzuri SANAAAA Jamani khaaaa
Nakupenda sana dada
Ongera dada!
Huyo mtangazaji hana adabu,mbona anamusogelea huyo dada kishenzi hivyo?Na hayo maswali yake mengi ovyo ovyo tuu.
Wow mom🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💪
❤🔥
Hivi kwelii hata kama amekuzidi umri una ubavu wa kumkata?
Ni hatarii sana huyo
Nyie WAACHENI USHAMBAAA. WASWAHILII WAKUBWA. UYO BINTI SIO MZEEE LOOOO NA NGUO AU MAVAZI AYANA UZEEEEE. SIO MKUBWA NA SIO MZEEEE DUUUU WABONGOOOOO
WAOH WAOH.
Una damu ya nguo,in short unapendeza Sana.
Mungu akutunze wewe na wanao
Napenda majibu yako
Mzuri sana
Sana wanaume wanatuchakaza ingawa sio wote
You look like mama tiffah
❤❤❤🎉🎉🎉😊
Dada naomba mawasiliano nataka kununua nguo unazitangaza nipo huku Iringa
Umri ukienda isia zina pungua yupo Sawa
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Piga kazi dada uachane na ndoa kwa sasa
🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹
Dr mwaka alimpuuzia mwanamke mwenye hekma na akili
Roja anajarb kutupa ndoano
Kama dokta mwaka anammezea mate hapo
Unaumbile la kapendeza bala
Afu ni lika la zar uyu ila zar kujikana sasa
Unatafuta kiki lakini huna jipya kama umeachana na mwaka kwanini bado unamoongelea mitandaoni huna akiri ila punguza maneno kwenye mitandao
Ila dada mgumu kukubali uyu mm pia mmoja wapo narusha msg sana 😅😅😅
😂😂😂😂
hakuna zaidi ya ushabiki wa kidini
Abaya zipo hadi za 30000 kwani.lazima za pesa ndefu mbona sie tunavaa na hatujachujika😅😅
Mnunulie
Wapi na Mimi nikanunuwe mpendwa
@@rithadonatus8110 zanzibar
@@munirahassan5969 kwani mwanzo.alipokua akivaa nilimnunulia mm?
Endeleeni kuvaa shida iko wapi kwani ye akivaa akitakacho we na familia yako pia vaeni hizo abaya
Wasukuma wazuri jamani
😂😂😂😂hujawaona wengne ww,mdomo koma😝
@@user-uo6bo3ph6g huwajui wasukuma
Tuko wazur mno
Na picha ya hamo na zuchu imekukaje, harafu watangazaji wa mutanzania Ni mpenzi tu kuriko aanze na Swari la maana anaanza na mpenzi😂😂😂😂😂
Mm nlipoona picha ya hamo ndio nmekuja kumbe hkuna kinachoendlea
Dunia imechukua chake hapo
Ulikua unataka kuvua stara tu sio?? Uko huru sasa uhuru wa kishetwan
Huyu mwanamke ame change sana masikini roho yake alikuwa mtu mwenye kujistiri asaivi amekuwa upande wa shetani
Mkiritu uyu dada.
Ni Wanaume Wajinga Wanasababisha hayo Mwanamke Anakubali Kusilimu Anakufata kwnye Dini yko Anakuzalia Watoto Jicho lke linakuangalia ww vp Aishi Matokeo yke Mwanamme wnyw Bilisi hana hata kimoja anachokift kwny Dini yke wl hana Mapenzi Wengi Wanard kwny Dini zao na Watoto wao kw sbb ya Ufisadi Wanaukuta
Utashangaa wewe unaingia motoni yeye peponi
Mungu mtu
Mbona sioni ziwa hapo wala mguu wala uchi mbona kavaa kieshima sana mwenzio anafanya kazi watoto wapate kula
Dr mwaka kaachia chombo kizuri alikua mshauri wa ndoa yule
Umalaya tu ndio uzeeni
Ni mzuri ni mrembo. Tena huyu sio muislamu tena
Jamani mdada mzuri Mashallah alikuwa akivaa hijabu mwenyewe alipokuwa na Dr sasa kavua Mungu ajaalie wasuluhishe waendelee kuwa pamoja rudianeni jamani
Hata alipokua na dr mwaka alikua havai hijabu muda wote alikua anavaa akienda kwenye interviews ila muda mwingi alikua anavaa kichwa waz n jeans michaniko
Ulikuwa humfatilii wewe wakati anaishi SA... Alikuwa anavaa vinjunga kinyamwez nouma
Warudiane ili iweje
Mwache aishi maisha yake ya furaha.
Anatafuta mabwanaaa huyo Hana lolote kaishiwa na umri huo Hana aibu!!!!
Ila dada usirudi kuva vile vinguo vifupi miguu yako hairuhusu😢
Mbona anapendeza sana
Anapendeza mnoo acha makasiriko t
Miguu yake haipendezi😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 weeeeeeeeee
@@khadijajuma6271 acheni kumdanganya
Miguu kapewa na Mungu. Unataka aombe ingine wapi. Ukona miguu ya kumpa
Hana lolote....
Wewe unalo?
Kama wew tu
Nyoooooo
Namuonea huruma sna maskini Sasa amekua anajinadi mwili wake mpka no ya simu anatoa hakika amepotea mungu amuongoze alikua amestirika kwa mwkaa umri wake umeenda anajinadi huyo Hana lolote hata kama mzuri sio sawa anachokifanya ni uchafu mtupu!!!!anatafuta wanaume wenye pesa Hana lolote huyo....
Wewe nawe makasiriko tuuu, amesitirika wakati alikuwa ananyanyasika wewe kama umezoea mateso sio wote wanataka ,
Unamuonea huruma wewe kama nani, unadhani anatangaza biashara za sh mbili, za mamilioni acha ujinga maisha ni mtandao funguka
Vipi huwa mnadanga nae mbona unamzungumzia as if unamjua sana😅
Acha makasiliko ww ndouna lolote
Nenda wew basi uko kwa mwaka mbona mnapenda kuingilia maisha ya watu
Mwaka alikuzeesha nahisi umeondoka na nyota yako maana siku hizi hasikiki
Ata post Sion skuhizi😂
Ni kweli kabisa
Hataki tu malumbano baba wa watu kaamua kukaa kimya huo ndo uungwana...hongera Dr. Mwaka kwa kukaa kimya...
Queen bado kijana hana utuuzima jamani bado sana nyie mnajua mtu mzima nyie