QUEENMASANJA AFUNGUKA KUICHUKIA NDOA NA DR MWAKA/SINA MAHUSIANO/NATONGOZWA/KUIMBA NA ZUCHU/HARMONIZE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ก.ย. 2023
  • Tumepiga Story na Queen Masanja
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 124

  • @Yness-vh4yy
    @Yness-vh4yy 10 หลายเดือนก่อน +35

    Some how Queen anafanana na Zari the boss lady!

    • @gabbyhenrgy1157
      @gabbyhenrgy1157 10 หลายเดือนก่อน

      Sanaaaaaaa

    • @user-zt3et5kl5m
      @user-zt3et5kl5m 10 หลายเดือนก่อน +2

      Wanafanan kabisaa ila hutu dada kamzidi zari kwa uzuri asee

    • @Kakwasi
      @Kakwasi 9 หลายเดือนก่อน

      Halafu yeye ni mnatural kila mahali

  • @rahmaoman470
    @rahmaoman470 10 หลายเดือนก่อน +16

    Uyu dada anajielew sana Allah akujaliy kweny kaz zko na akutunze 🥰🥰

    • @kamanapomo7029
      @kamanapomo7029 9 หลายเดือนก่อน

      Anajielew nn? hakuna checho te hapo, huyo kunamtu nyuma yake ukitaka kujua hilo sikiliza majib anayo yatoa kuhusu ndoa akitoka kwa mwaka kwa sababu tayar alijua anapo elekea

  • @anisanassoro5246
    @anisanassoro5246 10 หลายเดือนก่อน +6

    Inshallah mungu amsaidie huyo dada mie Huwa nampenda sana mungu amuongoze apate mume mwema nikiwa kama mzazi mungu akubariki kipenzi

  • @allthingdranabeauty
    @allthingdranabeauty 10 หลายเดือนก่อน +3

    Nampendaga huyu Dada Ni Queen kweli kam jina lake yuko very classy feminine yan huwa nawmanglia sana anatufundisha waweza kuvaa classy na ukapendeza mzuri bila kuonesha sana

  • @yousramutwale2463
    @yousramutwale2463 10 หลายเดือนก่อน +4

    Wewe mzuri sana mwaka alikua mnyanyasaji uyo

  • @MatildsChami
    @MatildsChami 10 หลายเดือนก่อน +1

    Kwakweli nakukubali sana na najifunza kupitia wew sana natamani nipate mawasiliano yako Mungu akulinde daima

  • @nahyialetomia9284
    @nahyialetomia9284 10 หลายเดือนก่อน +4

    Mama safi 🎉

  • @user-tt6jt8pz5m
    @user-tt6jt8pz5m 10 หลายเดือนก่อน +4

    Queen NAKUPENDA SANA. ULIPITIA MAGUMU❤❤SASA UNA LIFE YKO MUNGU AKUONGOZE. UR SO BEAUTIFUL

  • @CalisternongiHaule-vk6ch
    @CalisternongiHaule-vk6ch 10 หลายเดือนก่อน +27

    Kunabaadhi ya watu ukiachana nao katika maisha milango lazima ifunguke

    • @user-nd8gg4ig7m
      @user-nd8gg4ig7m 10 หลายเดือนก่อน +2

      ❤❤❤❤❤natamani nikupe zawadi umenigusa mno

    • @iddymohammed1890
      @iddymohammed1890 10 หลายเดือนก่อน +4

      milango ipi mzeee?? unadhani ni yeye hapo au unadanganya watu waachane na sehem sahihi walizopo waige kutoka kwemye ndoa waje warande mitaan... huyo ni mtu mzima saiv kutangaza mapensi mapaja nje haina maana na huo sio uhuru..
      msikilize vizur yeye mwenyew anachoongea usipoteshe watu.. NDOA ni kitu cha heshima sana subiri uoe au uwe na mtoto aolewe then itokee aachike ndo utajua vzr pia kama huna cha kusema kaa kimy ni bora zaid kwako
      anasema hafikirii tena ndoa ila ana mahusiano ya kawaida, je wewe ungependa mwanao awe kweny ndoa au mahusiano ya kawaida?? SHIRIKISHA AKILI KABLA HUJANYANYUA ULIMI WAKO UKAJIFANYA UNA INSPIRE SANA

    • @matridamwandambo9656
      @matridamwandambo9656 10 หลายเดือนก่อน

      Kabisa mm nilikuwa na mpenz toka niachane nae 😊😊❤❤❤walah na enjoh

    • @monicaissah5662
      @monicaissah5662 10 หลายเดือนก่อน

      ​@@iddymohammed1890mmmh ayo simaoni yake

    • @malak-lz6kx
      @malak-lz6kx 10 หลายเดือนก่อน

      ​@@iddymohammed1890umeongea maneno mazito sna ila madada wa uko wnawaza uhuru wa kujitofikiria kuna kesho yke ndio hao

  • @marryeliasmarryelias9289
    @marryeliasmarryelias9289 8 หลายเดือนก่อน +1

    Nakupenda dear sister queen ❤❤

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 9 หลายเดือนก่อน

    Uyooo NIII original ❤🎉🎉

  • @ashamonamachicha8653
    @ashamonamachicha8653 10 หลายเดือนก่อน +1

    Allah akulinde na kila unachopamba

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 9 หลายเดือนก่อน

    Mimi nampendaaa yaaaan sisemiii NI mkweri. SANA.❤❤❤❤

  • @salimnassor3212
    @salimnassor3212 10 หลายเดือนก่อน +1

    what a germ huyu ni mwanamke ukisikia anavyojibu na alivyo muonekano kitabia anastahili heshima nimempenda sana

  • @Kakwasi
    @Kakwasi 9 หลายเดือนก่อน

    Very beautiful mama

  • @elishaworkout6116
    @elishaworkout6116 28 วันที่ผ่านมา

    Mungu akulinde malkia wang uish sana

  • @user-ex6kk5jb4y
    @user-ex6kk5jb4y 8 หลายเดือนก่อน

    Love😂 U so much my dear unatia moyo sana ww dada ujui tu

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 9 หลายเดือนก่อน

    Mzuri SANAAAA Jamani khaaaa

  • @omanqqwe4061
    @omanqqwe4061 25 วันที่ผ่านมา

    Nakupenda sana dada

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 9 หลายเดือนก่อน

    Ongera dada!

  • @osodowilberforce2321
    @osodowilberforce2321 10 หลายเดือนก่อน +3

    Huyo mtangazaji hana adabu,mbona anamusogelea huyo dada kishenzi hivyo?Na hayo maswali yake mengi ovyo ovyo tuu.

  • @salamsabdullah-st9pt
    @salamsabdullah-st9pt 10 หลายเดือนก่อน

    Wow mom🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💪

  • @glorianikiza3940
    @glorianikiza3940 10 หลายเดือนก่อน

    ❤🔥

  • @BabaBalingasi-hp6gd
    @BabaBalingasi-hp6gd 10 หลายเดือนก่อน +1

    Hivi kwelii hata kama amekuzidi umri una ubavu wa kumkata?
    Ni hatarii sana huyo

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 9 หลายเดือนก่อน +1

    Nyie WAACHENI USHAMBAAA. WASWAHILII WAKUBWA. UYO BINTI SIO MZEEE LOOOO NA NGUO AU MAVAZI AYANA UZEEEEE. SIO MKUBWA NA SIO MZEEEE DUUUU WABONGOOOOO

  • @Kakwasi
    @Kakwasi 9 หลายเดือนก่อน

    WAOH WAOH.

  • @kombakomba7922
    @kombakomba7922 10 หลายเดือนก่อน +3

    Una damu ya nguo,in short unapendeza Sana.

  • @marryeliasmarryelias9289
    @marryeliasmarryelias9289 8 หลายเดือนก่อน

    Mungu akutunze wewe na wanao

  • @jacklineanthony5191
    @jacklineanthony5191 9 หลายเดือนก่อน

    Napenda majibu yako

  • @JeniferMassawe-lu3de
    @JeniferMassawe-lu3de 10 หลายเดือนก่อน +6

    Mzuri sana

    • @Judy-dy4zt
      @Judy-dy4zt 10 หลายเดือนก่อน +1

      Sana wanaume wanatuchakaza ingawa sio wote

  • @lindahjoseph8360
    @lindahjoseph8360 10 หลายเดือนก่อน

    You look like mama tiffah

  • @jojotz1210
    @jojotz1210 10 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤🎉🎉🎉😊

  • @user-zn3un8gs3d
    @user-zn3un8gs3d 10 หลายเดือนก่อน +1

    Dada naomba mawasiliano nataka kununua nguo unazitangaza nipo huku Iringa

  • @issazalala4907
    @issazalala4907 10 หลายเดือนก่อน +1

    Umri ukienda isia zina pungua yupo Sawa

  • @fedhandunga5935
    @fedhandunga5935 10 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @glorianikiza3940
    @glorianikiza3940 10 หลายเดือนก่อน +5

    Piga kazi dada uachane na ndoa kwa sasa

  • @rudiaeliakim2172
    @rudiaeliakim2172 10 หลายเดือนก่อน +1

    🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹

  • @dorcaskarago2876
    @dorcaskarago2876 10 หลายเดือนก่อน +2

    Dr mwaka alimpuuzia mwanamke mwenye hekma na akili

  • @welcometoeat165
    @welcometoeat165 10 หลายเดือนก่อน +2

    Roja anajarb kutupa ndoano

  • @happypetro2948
    @happypetro2948 10 หลายเดือนก่อน +1

    Kama dokta mwaka anammezea mate hapo

  • @MwandigaRuhobe-fm3it
    @MwandigaRuhobe-fm3it 10 หลายเดือนก่อน +1

    Unaumbile la kapendeza bala

  • @SekelaJakson-ls7dd
    @SekelaJakson-ls7dd 10 หลายเดือนก่อน

    Afu ni lika la zar uyu ila zar kujikana sasa

  • @MohonoMwita
    @MohonoMwita 8 หลายเดือนก่อน

    Unatafuta kiki lakini huna jipya kama umeachana na mwaka kwanini bado unamoongelea mitandaoni huna akiri ila punguza maneno kwenye mitandao

  • @nassirsalim6679
    @nassirsalim6679 10 หลายเดือนก่อน +2

    Ila dada mgumu kukubali uyu mm pia mmoja wapo narusha msg sana 😅😅😅

  • @user-ix9rn5yh4l
    @user-ix9rn5yh4l 2 หลายเดือนก่อน

    hakuna zaidi ya ushabiki wa kidini

  • @KhadijaAbdallah-kn3ii
    @KhadijaAbdallah-kn3ii 10 หลายเดือนก่อน +4

    Abaya zipo hadi za 30000 kwani.lazima za pesa ndefu mbona sie tunavaa na hatujachujika😅😅

    • @munirahassan5969
      @munirahassan5969 10 หลายเดือนก่อน +1

      Mnunulie

    • @rithadonatus8110
      @rithadonatus8110 10 หลายเดือนก่อน

      Wapi na Mimi nikanunuwe mpendwa

    • @KhadijaAbdallah-kn3ii
      @KhadijaAbdallah-kn3ii 10 หลายเดือนก่อน

      @@rithadonatus8110 zanzibar

    • @KhadijaAbdallah-kn3ii
      @KhadijaAbdallah-kn3ii 10 หลายเดือนก่อน +2

      @@munirahassan5969 kwani mwanzo.alipokua akivaa nilimnunulia mm?

    • @mimikimanga3126
      @mimikimanga3126 10 หลายเดือนก่อน

      Endeleeni kuvaa shida iko wapi kwani ye akivaa akitakacho we na familia yako pia vaeni hizo abaya

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 10 หลายเดือนก่อน +3

    Wasukuma wazuri jamani

    • @user-uo6bo3ph6g
      @user-uo6bo3ph6g 10 หลายเดือนก่อน +3

      😂😂😂😂hujawaona wengne ww,mdomo koma😝

    • @florencemeza6540
      @florencemeza6540 10 หลายเดือนก่อน

      @@user-uo6bo3ph6g huwajui wasukuma

    • @suzanlucas9493
      @suzanlucas9493 9 หลายเดือนก่อน +1

      Tuko wazur mno

  • @khadjamhozya
    @khadjamhozya 10 หลายเดือนก่อน +1

    Na picha ya hamo na zuchu imekukaje, harafu watangazaji wa mutanzania Ni mpenzi tu kuriko aanze na Swari la maana anaanza na mpenzi😂😂😂😂😂

    • @farida4595
      @farida4595 10 หลายเดือนก่อน +1

      Mm nlipoona picha ya hamo ndio nmekuja kumbe hkuna kinachoendlea

  • @JafariAbdallah-ot9gp
    @JafariAbdallah-ot9gp 9 หลายเดือนก่อน

    Dunia imechukua chake hapo

  • @zuheorsalim7759
    @zuheorsalim7759 8 หลายเดือนก่อน

    Ulikua unataka kuvua stara tu sio?? Uko huru sasa uhuru wa kishetwan

  • @KhadijaAbdallah-kn3ii
    @KhadijaAbdallah-kn3ii 10 หลายเดือนก่อน +6

    Huyu mwanamke ame change sana masikini roho yake alikuwa mtu mwenye kujistiri asaivi amekuwa upande wa shetani

    • @munirahassan5969
      @munirahassan5969 10 หลายเดือนก่อน

      Mkiritu uyu dada.

    • @zayanazayana5353
      @zayanazayana5353 10 หลายเดือนก่อน +1

      Ni Wanaume Wajinga Wanasababisha hayo Mwanamke Anakubali Kusilimu Anakufata kwnye Dini yko Anakuzalia Watoto Jicho lke linakuangalia ww vp Aishi Matokeo yke Mwanamme wnyw Bilisi hana hata kimoja anachokift kwny Dini yke wl hana Mapenzi Wengi Wanard kwny Dini zao na Watoto wao kw sbb ya Ufisadi Wanaukuta

    • @happymarwa4517
      @happymarwa4517 10 หลายเดือนก่อน +1

      Utashangaa wewe unaingia motoni yeye peponi

    • @wardamohamood
      @wardamohamood 10 หลายเดือนก่อน

      Mungu mtu

    • @allthingdranabeauty
      @allthingdranabeauty 10 หลายเดือนก่อน

      Mbona sioni ziwa hapo wala mguu wala uchi mbona kavaa kieshima sana mwenzio anafanya kazi watoto wapate kula

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 10 หลายเดือนก่อน +1

    Dr mwaka kaachia chombo kizuri alikua mshauri wa ndoa yule

  • @ahmedbashash3672
    @ahmedbashash3672 9 หลายเดือนก่อน

    Umalaya tu ndio uzeeni

    • @Kakwasi
      @Kakwasi 9 หลายเดือนก่อน +1

      Ni mzuri ni mrembo. Tena huyu sio muislamu tena

  • @user-us8gy5pz6w
    @user-us8gy5pz6w 10 หลายเดือนก่อน +3

    Jamani mdada mzuri Mashallah alikuwa akivaa hijabu mwenyewe alipokuwa na Dr sasa kavua Mungu ajaalie wasuluhishe waendelee kuwa pamoja rudianeni jamani

    • @kazkaz1943
      @kazkaz1943 10 หลายเดือนก่อน +6

      Hata alipokua na dr mwaka alikua havai hijabu muda wote alikua anavaa akienda kwenye interviews ila muda mwingi alikua anavaa kichwa waz n jeans michaniko

    • @scholamodestus9386
      @scholamodestus9386 10 หลายเดือนก่อน +3

      Ulikuwa humfatilii wewe wakati anaishi SA... Alikuwa anavaa vinjunga kinyamwez nouma

    • @masalakulwa7601
      @masalakulwa7601 10 หลายเดือนก่อน +2

      Warudiane ili iweje

    • @happinesshezron6633
      @happinesshezron6633 10 หลายเดือนก่อน +1

      Mwache aishi maisha yake ya furaha.

    • @anisanassoro5246
      @anisanassoro5246 10 หลายเดือนก่อน

      Anatafuta mabwanaaa huyo Hana lolote kaishiwa na umri huo Hana aibu!!!!

  • @shaaden-
    @shaaden- 10 หลายเดือนก่อน +1

    Ila dada usirudi kuva vile vinguo vifupi miguu yako hairuhusu😢

    • @masalakulwa7601
      @masalakulwa7601 10 หลายเดือนก่อน +1

      Mbona anapendeza sana

    • @khadijajuma6271
      @khadijajuma6271 10 หลายเดือนก่อน +1

      Anapendeza mnoo acha makasiriko t

    • @winnerlucas5924
      @winnerlucas5924 10 หลายเดือนก่อน

      Miguu yake haipendezi😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 weeeeeeeeee

    • @shaaden-
      @shaaden- 10 หลายเดือนก่อน

      @@khadijajuma6271 acheni kumdanganya

    • @Kakwasi
      @Kakwasi 9 หลายเดือนก่อน

      Miguu kapewa na Mungu. Unataka aombe ingine wapi. Ukona miguu ya kumpa

  • @anisanassoro5246
    @anisanassoro5246 10 หลายเดือนก่อน +1

    Hana lolote....

  • @anisanassoro5246
    @anisanassoro5246 10 หลายเดือนก่อน +2

    Namuonea huruma sna maskini Sasa amekua anajinadi mwili wake mpka no ya simu anatoa hakika amepotea mungu amuongoze alikua amestirika kwa mwkaa umri wake umeenda anajinadi huyo Hana lolote hata kama mzuri sio sawa anachokifanya ni uchafu mtupu!!!!anatafuta wanaume wenye pesa Hana lolote huyo....

    • @queenmollel6739
      @queenmollel6739 10 หลายเดือนก่อน +3

      Wewe nawe makasiriko tuuu, amesitirika wakati alikuwa ananyanyasika wewe kama umezoea mateso sio wote wanataka ,

    • @queenmollel6739
      @queenmollel6739 10 หลายเดือนก่อน +4

      Unamuonea huruma wewe kama nani, unadhani anatangaza biashara za sh mbili, za mamilioni acha ujinga maisha ni mtandao funguka

    • @glory.patrickkitigwa4564
      @glory.patrickkitigwa4564 10 หลายเดือนก่อน +1

      Vipi huwa mnadanga nae mbona unamzungumzia as if unamjua sana😅

    • @glotysadiki3425
      @glotysadiki3425 10 หลายเดือนก่อน +1

      Acha makasiliko ww ndouna lolote

    • @wardamohamood
      @wardamohamood 10 หลายเดือนก่อน +2

      Nenda wew basi uko kwa mwaka mbona mnapenda kuingilia maisha ya watu

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 10 หลายเดือนก่อน +8

    Mwaka alikuzeesha nahisi umeondoka na nyota yako maana siku hizi hasikiki

    • @antybabybintrashid2333
      @antybabybintrashid2333 10 หลายเดือนก่อน +1

      Ata post Sion skuhizi😂

    • @florangido202
      @florangido202 10 หลายเดือนก่อน

      Ni kweli kabisa

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 10 หลายเดือนก่อน

      Hataki tu malumbano baba wa watu kaamua kukaa kimya huo ndo uungwana...hongera Dr. Mwaka kwa kukaa kimya...

    • @HappyMakoga
      @HappyMakoga 10 หลายเดือนก่อน

      Queen bado kijana hana utuuzima jamani bado sana nyie mnajua mtu mzima nyie