Ee Mwenyezi MUNGU, mwingi wa rehema,msaidie huyu baba,ameitumikia Tanzania lakini hakuna anayejali,mmmmh!!!😢😢😢😢haki yake MUNGU anaijua,kama hawakuhusika,mwezi huu wa 7 wataachiwa huru kwa jina la YESU.Zaburi 71:1 MUNGU ameamuru,tutakakokwenda siku zote,tuokolewe.Hii familia iokolewe kwa jina la YESU. Amen
Amen, hilo ni shambulio la kiroho. Msogelee Yesu, atakushindia magumu. Utapata faraja na amani moyoni mwako. Shida zitatatuliwa kimbingu, yaani kwa namna ya ajabu.
Huyo ndo binadamu sasa😭😭😭😭😭 Ee Mola haya machozi yanayobubujika, yakafanyike fimbo ya kuwaliza wale wote wanaohusika na udharimu huu. Mungu atajibu kwa Vitendo
Naomba mweheshimiwa Rais mama yetu mwenye upendo na huruma , Familia ya baba huyu mweheshimiwa Rais msaidie huyu baba wewe ni mama mwenye huruma na upendo sisi ni wapitaji katika Dunia hii mama tunakuomba fanya jambo kuwa huyu baba mungu wangu akubariki mama tazama watu wako wanavyoteswa na watu wenye nia mbaya mama msaidie huyu baba ndy maombi yangu kwako taaluma yake inahitajika kwa nchi yetu mama
Allah ni mjuzi na mwingi wa huruma atafanya wepesi katika hili president msaidie huyu mzee wetu wenye busara na hekima akutane na familia yake hakuna atakae ishi milele! Inasikitisha sana!
Kiza hakiondoi Kiza Bali kiza huondolewa na Mwanga..Allah S.W.T ni Nuru amabayo haijawahi kushindwa na Kiza it's a matter of time. Allah S.W.T akufanyie wepesi Dr.Bilal
Ata ongea ya huyu mzee wangu. Anaonekana anabusara na hekima sana na anaonekana dini. Imekaaa anahuruma na anaujua utu. Mungu atakujibu mda so mrefu shekhe wangu amen
Alitakiwa ataje simu yake hapo ili apate msaada. Sasa hata tukiomba namba yake, hatuwezi kuiamini. Inasikitisha sana kwa Gynecologist kuishi maisha hayo. Tunaomba haki itendeke 😢😢
Hakika maana hata watu anaowasema ni watu wazito mfano Asha rose na wengn ila siku zote haki ya mtu haipotei haijalishi ni miaka mingp duniani na hata akhera haki itasimama kikumbwa tunakuombea Mungu baba uwe na Moyo waujasir na uvumilivu siku zote na kauli yako ya kuwa hakuna anaishi duniani milele ndio iwe nguvu ya kukufanya usimamie haki ya familia yako haijalishi utafia vitani au laa kikumbwa utakuwa shahidi wa familia yako duniani na akhera
Dah. Hii Nchi ngumu Sana. Kuna watu wana Roho MBAYA SANA. Sikujua mtu anaweza kuwa Mtumishi wa Umma na Akafanya hivyo, Jaji anaye hudumiwa Kila kitu anashindwa kutenda haki. Pole Sana Mzee. Mungu atusaidie
Ivi hii ni tanzania yetu ya amani ndiyo baba analia hivi na anakosa msaada, Mungu ampe njia ya kuweza kutatua hili suara, na kikubwa zaidi huyu ni doctor amewasaidia watu wengi, Leo anatendewa hivi, haya maumivu anayo pitia yatakuja kulipwa, mungu anawaona, mzee usikate tamaa zaidi kumuomba mungu mpaka haki ipatikane, pole sana baba🙏🙏🙏😢😥😢
Kwenye giza Mungu huonyesha mwanga ,sualà hili najua ufumbuzi utapatikana ,viongozi ,heshimuni kanuni ya kuitwa viongozi, Neno KIONGOZI ,kila neno lina maana yake, sasa watendaji wetu kama huyu baba yetu fuatilieni tujue ukweli uko wapi jamani
Paschal Mwakyoma, wewe ni bonge la mwandishi aisee. Habari unazotulea zina funzo kubwa sana kwetu kama wasomaji. Keep it up. There's a bright future ahead of you.
Very sad, That's why I promised myself to live far from Tanzania. And I thank God for where I am today. Tz drama nyingi Sana zinazo kwaza mioyo ya watu.
Mungu najua unajua mapito ya huyu baba uliyemuumba pamoja na familia yake , Nakuomba Mungu wa mbinguni utende muujiza kama ulivotenda kwa Paul nasila milango ya gereza ikafunguka tenda leo Mungu wangu, ulisema walipo 2 , 3,wakiomba utasikia na kujibu maombi yao, naomba nasi utusikie Mungu wangu ninakuamin mwaka huu hauishi familia itaachiwa huru na watu watajua uko Mungu usiyepokea rushwa.
Pole sana baba na Daktari bilal milomo ....naomba Mungu akukumbuke lakini mtazame Mungu tu najua unaumia sana ila rudisha imani yako kwa Mungu kila kitu kitakua sawa soma NAHUMU 1:12 kwenye biblia ...linasema kua ijapokua wana nguvu zilizo timilifu ,ijapokua ni wengi ,hata hivyo watakatwa naye atapita atakwenda zake ijapokua nikutesa sitakutesa tena....lakini pia soma kitabu cha AYUBU .....sisi ni wamoja dini hazitutofautishi na huu ni msaada wangu wa ushauri nakuombea kila la kheri Muheshimiwa Dr Bilal milomo
Mungu mwenye kujua ya sirini yote yaliyo nyuma ya jambo hili, Ee Mungu usinyamaze kwaajili ya hili, Munguuwe msemaji wa mwisho maan wewe ndio mwenye haki. Dunia hapa tunapita tu hata ungekuwa nani , Mungu atusaidie tuishi tukijua Mungu ni mkuu kuliko vyote ...Pole sana 😢😢😢 baba katika yote Mungu ajitwalie utukufu kwaajili ya hili....Eee Mungu nyosha mkono wako 😢😢😢😢 Baba ,baba , Mungu najua wewe pekeyako unainua vilivyo vinyonge kuahibisha vilivyo na nguvu, naomba Mungu jitwalie utukufu kwaajili ya baba huyu, Mungu wewe unatuwazia mema na unatupenda bila kujali madhaifu yetu hauwahi wala hauchelewi 😢😢😢😢😢Ee Mungu 😢😢😢😢moyo wangu umeuma pole baba. Mungu anaona mapito yako....atakushangaza mbele ya adui na watesi wako......Mungu ni mkuu ...Mungu kama ulivyotupenda hata ukamtoa kristo kwaajili yetu ili tuwe huru Kwa damu Ya Yesu mwanao mpendwa natangaza uhuru usio na mipaka kwa ibrahimu salma na mama yao... Na abdurazack akawe kama yusufu aameeen
This country inawatu wabaya sana..kuna watu wanaroho mbaya shetani akasome, imagine kuna mtu ndio aliohumu kwenye kesi hiyo na anaishi poa kabisa bila hata wasiwasi, wala hana hofu ya kujiuliza ubaya wake umeleta athari gani.. Police, Wanasheria na mahakimu mungu amewapa nafasi hizo ili msaidie watu na siio kuwanyanyasa kiukweli sio sawa kabisa, mnakosea mno na ama hakika mungu atawanyoosha hapa hapa duniani..shubamitiii
Hiyo ndio Tanzania na utawala bora na utawala washeria .Tujiulize je ni watanzania wangapi wamesingiziwa wapo ndani wanateseka kila kitu ni maelezo. Tukisema Polisi wauwaji ni hivi sasa kweli kuna laana kubwa sana. 😭
Duuuh kuna wenye vyeo na madaraka Hua wanaona wataishi milele ndio maana wanamaamuzi ya hovyo kabisa Ila wafaham kua hiidunia nimapito tuu MUNGU Akusmamie Kwa haya mapito unayo yapitia 😢😢😢
Hauwezi kusaidika maana wenye kusaidia ndio wamemufanyia huo ujinga, wanataka afe, hapo kuna mikono ya hao wanajiita wakubwa, wanasiasa wanaitesa Sana hii nchi.
Ukiona mwanaume analia ujue shida zimemzidia. Namuombea kwa Allah amuondoshee haya matatizo na mkewe na mwanawe warudi. Hakika subra ni ngumu ila ina malipo mazuri
Aibu gani hii jamani,haya mambo yanafanyika Tz,unamfanyia dadaako na watoto wake unyama huu. Yaani kwasababu ya kipande cha ardhi itakayokumeza? Yaani dini/kabila iwe sababu. Alafu mzungu akiwabagua mtasema mbaguzi. Hii aibu wakibosho ptuuu...........
Hawa wana habari don’t verify these people stories! This guy has same story 2 years ago with Global Tv! If you listen to both stories! Uta jiuliza why this news media don’t go and find the truth! Je huyu aka Billal Muromo ni mkweli? Is he really Dr? Global TV ana ongea uongo huu huu! Shame on this media posting fake stories! If you see Global Tv story, you can tell he is extremely good liar character! He needs mental treatment help rather than media waste time with this kind of people! Is basic simple questions before we put your story out, let verify who you are! Piga simu all places he works before you put his story! So, story like this make this media untrustworthy! 😢😮😅
UYU BABA AMENIUMAAAAA!AMENIUMAAAAAAA😢EEH YESU NYOOSHA MKONO WAKO BABA.KILA ANAEFANYA KINYUME NA WEWE UKANYOOSHE UPANGA WAKO.BINADAM WAMEKUA KAMA WANYAMA😢
yaani hakuna kitu sipendi kama kuitwa kafiri sasa mi huwa sielewi uisalamu gani sasa huu ukiwakuta wanajikuta watu wema , wema upi huo kutuambia sisis dini yetu ya mashetwani daah!
Kusoma Oxford sio mchezo hata hapa UK watu wanashindwa huyu mzee ni hodari....niliwahi kusikia story yake kwa channel ingine nililia nikaomba mungu ifike Ayo Tv.
MIMI NASHAURI BABA AENDE KWA MWAMPONSA JAMANI MWAMPOSA MUNGU KATULETEA KWA WANYONGE HAICHAGUI WAISLAM AU WAIKRISTO .BABA ANAENDA KUWA CHIZI JAMANI 😢😢😢😢MTU KASOMQ MTU WAMANA TUNAMUITAJI TZ KWETU ANAISHIA KUTESSWA NA SHETANI.DONE AENDE KWA MWAMPONSA END YA SURUHISHO
Mungu aliyeziumba mbingu na nchi na akatuumba sisi sote ametupa na pumzi yake pia hajalala Wala hajakusahau anaona chozi lako na anaiona familia yako inachopitia pia ukweli ni kwamba Mungu wetu ni Mungu wa haki na ikiwa hawanakosa wameonewa Mungu atajiinua na kuonyesha ukuu wake ndani ya mtihani huu,Mungu huwaonekani wadhaifu anaonyesh ukuu wao hivyo baba naamini kabisa Mungu wetu si dhalim hata aseme uonge Amesema sintakupungukia wal sintakuacha kama nilivyo kuwa pamoja n Musa ndivyo nitakavyokuwa pamoja na wewe kasisitiza tena kasema uwe na moyo mkuu zaidi kimtegemea Mungu na Mungu hatanyamaza.
Pole sana Baba. Mungu akupe amani na utulivu shida zitapita. Inasikitisha sana na kuumiza moyo kusikia story kama hii. Kweli nchi hii hamna haki...kumuona Baba mtumzima analia kwa uchungu kwa ajili ya familia yake inasikitisha. Shame to leaders in Tanzania and corrupt system, this is a lawless country, tunaitaji system nzima na serikali nzima ibadilishwe...Baba afadhali uhamie nchi nyingine and claim assalym...
Nimerudi tena ku coment unaona Aya aliyo fanyiwa uyu baba uyo mtu alie fanya na yeye ataripwa zaidi ya Aya nae watu wata muhulumia kumbe amewaumiza watu
MUNGU wa mbinguni asikie kilio chako Mzee , amini tu , MUNGU ni Hakim wa kweri atatoa suruhisho ya Kila kinachoendelea , na Kila mtu atapokea kile alichopanda .
Jamani hiyo mikoa ya Arusha Moshi Kilimanjaro watu wake kaeni nao makini sana hao hawana dini wala hawana Imani kazi walinao nayo ni mambo ya mali tu siyo watu hao ni wanyama watu
Dunia imejaa dhulma. Ndio maana kuna siku ya hukumu ya.kiama na kila mmoja atapewa haki yake. Mungu amfanyie wepesi mzee huyu muhimu kwa kazi na huduma yake anayoipa jamii ya tiba
Upande wa Pili wa nani...ebu kaaq chini List watu wote unaotaka Story zao za upande huo halafu jiulize...Hili Taifa lina watu wanaroho mbaya sana ni vile Nyerere alitunyima Elimu BORA na wachache waliopata Elimu bora wanaonekana mwiba kwa Serikali na Watumishi wapuuuuzi
hii duni ngumu sana🙏🏼 ufike tu ule mwisho wa kizazi cha tatu nacha nne😭😭 binadamu wamekuwa wakatili sanaa😭😭😭😭😭😭🌏 baba kapata aradhi makubwa kwa sababu ya wanadamuwenye tamaa ya kumwaga damu za watu😭😭😭😭😭😭 na adui sikuzote hatiki mbali,
Unajengaje Ukweni ?🤣🤣🤣🤣 Umenogewa sana kweli wajinga wanazeeka pia🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Haujachelewa anza upya ndugu yangu. Nimeshindwa kumaliza hii video na umri wako unaenda kujenga ukweni ? Kubali makosa anza upya pambana unaweza ukarudi upya na kuwa na nguvu kuliko mwanzo.
Kwa hiyo na wenyewe walimuuwa mtu , msisahau jicho kwa jicho na jino kwa jino, kuna familia zingine mungu akiwajalia kidogo utaona wanaanza madharau na kunyanyasa majirani na watu wenye kipato cha chini na majirani zao
Ee Mwenyezi MUNGU, mwingi wa rehema,msaidie huyu baba,ameitumikia Tanzania lakini hakuna anayejali,mmmmh!!!😢😢😢😢haki yake MUNGU anaijua,kama hawakuhusika,mwezi huu wa 7 wataachiwa huru kwa jina la YESU.Zaburi 71:1 MUNGU ameamuru,tutakakokwenda siku zote,tuokolewe.Hii familia iokolewe kwa jina la YESU. Amen
Amen 🙏
Amen
Ishaalah watatoka wahame huko kibosho,wa peleke moro
🙏
Amina ,mungu atatenda
Bado kitambo kidogo mzee wangu utafika mwisho wa shida hii Mungu atakupa ushindi usioutegemea……Amina 🙏🏿
Amiin
Amen, hilo ni shambulio la kiroho. Msogelee Yesu, atakushindia magumu. Utapata faraja na amani moyoni mwako. Shida zitatatuliwa kimbingu, yaani kwa namna ya ajabu.
Amiin
Huyu baba Mungu amtetee. Mwanaume wa kipekee sana. Wengine wangeoa tu bila kujali.
Huyu baba amenyoka sana na kinachomsaidi Ana elimu na kufahamika sna ila angekuwa mtu wakawaida ashaisha mungu akusimamie mzee wangu daah😢😢
Huyo ndo binadamu sasa😭😭😭😭😭 Ee Mola haya machozi yanayobubujika, yakafanyike fimbo ya kuwaliza wale wote wanaohusika na udharimu huu. Mungu atajibu kwa Vitendo
Amina kwa damu ya Yesu
In Jesus name Amen 🙏
Kwa kweli kisasi sio chetu yaaani MWENYEZI MUNGU atawaadhibu
Haya machozi hayatadondoka bure hakika, Mungu na akujibu haja ya moyo wako mzee
Amina , Mungu futa machozi ya huyu baba! Wewe peke yako ndo mtoa haki.
Naam ni kweli 😭😭😭💔💔💔
Hakika machozi yake hayataenda bure
Naomba mweheshimiwa Rais mama yetu mwenye upendo na huruma , Familia ya baba huyu mweheshimiwa Rais msaidie huyu baba wewe ni mama mwenye huruma na upendo sisi ni wapitaji katika Dunia hii mama tunakuomba fanya jambo kuwa huyu baba mungu wangu akubariki mama tazama watu wako wanavyoteswa na watu wenye nia mbaya mama msaidie huyu baba ndy maombi yangu kwako taaluma yake inahitajika kwa nchi yetu mama
Jamani khaaa,huu uonevu hauvumiliki mbona😊
wampe familia yake kama kosa hakuna...
Watoto maskini wanahusika je? Mbona sifahamu.
Hakuna lehemahi hii nchi
Mungu mwenyewe anajua maana sisi hatuelewi Nini kimejificha ndani ya hii hukumu
Allah ni mjuzi na mwingi wa huruma atafanya wepesi katika hili president msaidie huyu mzee wetu wenye busara na hekima akutane na familia yake hakuna atakae ishi milele! Inasikitisha sana!
Kiza hakiondoi Kiza Bali kiza huondolewa na Mwanga..Allah S.W.T ni Nuru amabayo haijawahi kushindwa na Kiza it's a matter of time. Allah S.W.T akufanyie wepesi Dr.Bilal
Mwacheni alie uchungu uishe yani uyo ni vile tuu anahof ya mungu vinginevyo angejidhuru pia ,,,mungu amtie nguvu huyu baba
Imeniumiza sanaaa, Makonda mbona anasaidia wengi huyu hapa jamani asaidiwe naye
Atasaidiwa tu
Ata ongea ya huyu mzee wangu. Anaonekana anabusara na hekima sana na anaonekana dini. Imekaaa anahuruma na anaujua utu. Mungu atakujibu mda so mrefu shekhe wangu amen
Alitakiwa ataje simu yake hapo ili apate msaada. Sasa hata tukiomba namba yake, hatuwezi kuiamini.
Inasikitisha sana kwa Gynecologist kuishi maisha hayo. Tunaomba haki itendeke 😢😢
Kweli ❤
Duh so painful
Yaan kuna watu tunapewa uongoz kuumiza wengine lakn hawajui kama watastaafu na kukaa vijijin hao!!!!?
Inauma sana dr Mungu akutie nguvu maana hakuna maref yasiyo na ncha.
Daktari Bingwa magonjwa ya wakina Mama. Du! Mtu na nusu.
Aii hii ni uchungu aisee Mungu yupo na atakuponya wewe na familia yako itatoka salama Amin
jamani huyu baba bado ajapata msaada mpka leo daa hiii nchi jamani mungu amsaidie
Hata mm uwanashangaa mbaka Leo surely
Nchi yenye amani dah! Wakati wengine wanateswa namna hii m/mungu mfanyie wepesi mzee wetu
mm nimelia mpa bas mungu fanya jambo jipya ufute machungu yake
Sio bure nyuma yake kunawatu wazito maana km ingekuwa ni watu wadogo tu uyu baba zamani angepata utetezi fikiria hii kesi ya muda mlefu sana
Kweli nyuma yake kulikuwa na watu wazito sana kwa alivyo zunguka kote imeshindikana sio bure,mungh mpe nguvu huyu baba
Hakika maana hata watu anaowasema ni watu wazito mfano Asha rose na wengn ila siku zote haki ya mtu haipotei haijalishi ni miaka mingp duniani na hata akhera haki itasimama kikumbwa tunakuombea Mungu baba uwe na Moyo waujasir na uvumilivu siku zote na kauli yako ya kuwa hakuna anaishi duniani milele ndio iwe nguvu ya kukufanya usimamie haki ya familia yako haijalishi utafia vitani au laa kikumbwa utakuwa shahidi wa familia yako duniani na akhera
Dr. Please wapambanie familia yako, ikiwezekana ondoka nao Tanzania omba ukimbizi wa kisiasa nchi za mbali
Subhanallah usikufu alhamdulillah Allah atakusaidia zidi kumwomba yeye ndio mweza wayote 😭😭😭🤲🤲🤲
Dah. Hii Nchi ngumu Sana. Kuna watu wana Roho MBAYA SANA. Sikujua mtu anaweza kuwa Mtumishi wa Umma na Akafanya hivyo, Jaji anaye hudumiwa Kila kitu anashindwa kutenda haki. Pole Sana Mzee. Mungu atusaidie
Ivi hii ni tanzania yetu ya amani ndiyo baba analia hivi na anakosa msaada,
Mungu ampe njia ya kuweza kutatua hili suara, na kikubwa zaidi huyu ni doctor amewasaidia watu wengi, Leo anatendewa hivi, haya maumivu anayo pitia yatakuja kulipwa, mungu anawaona, mzee usikate tamaa zaidi kumuomba mungu mpaka haki ipatikane, pole sana baba🙏🙏🙏😢😥😢
Amen
Kwenye giza Mungu huonyesha mwanga ,sualà hili najua ufumbuzi utapatikana ,viongozi ,heshimuni kanuni ya kuitwa viongozi, Neno KIONGOZI ,kila neno lina maana yake, sasa watendaji wetu kama huyu baba yetu fuatilieni tujue ukweli uko wapi jamani
Paschal Mwakyoma, wewe ni bonge la mwandishi aisee. Habari unazotulea zina funzo kubwa sana kwetu kama wasomaji. Keep it up. There's a bright future ahead of you.
Unaweza kudhani unapitia magumu lakini ukisikia wengine unajiona kabisa machungu yako ni madogo. Huyu baba anajikaza tu lakini Mungu anajua
Kweli kabisa
😂jaman had huruma kweli
Yaani Mimi nimejifunza kabisa hapa kushukuru hivi nilivyo jamani kuna watu wanapitia Magumu
@@tajimwambole3115 kabisaa
Sure
Mmmmh! Aisee kuna watu wanapitia mapito makubwa kwenye hii Dunia. Ya Allah wafanyie wepesi waja wako hawa.
Kila mwenye imani hupata mtihani Allah akuwezeshe uishinde mitihani yako mzee wetu na akulipe daraja ya juu😢
Allahumma aamin 🤲
AMIN ALLAHHUMMA AMIN
watu u muhimuu Sanaa haoooo siyoo kuwachezeyaa kijingaa amesomaa kupitiyaa kodi za wana nnjii Leo kuwasaidiyaa mwamuwaribiyaa maishaa
Mungu gusa kilio cha huyu mzee inshaalaah
Very sad, That's why I promised myself to live far from Tanzania. And I thank God for where I am today. Tz drama nyingi Sana zinazo kwaza mioyo ya watu.
Kuna wakati watu wote watakukataa, dunia yote itakukataa ila MUNGU HATAKUACHA. Mungu atapigana nao wanaopigana nawe na mwisho UTASHINDA. ZABURI 35:1-9
Mungu najua unajua mapito ya huyu baba uliyemuumba pamoja na familia yake , Nakuomba Mungu wa mbinguni utende muujiza kama ulivotenda kwa Paul nasila milango ya gereza ikafunguka tenda leo Mungu wangu, ulisema walipo 2 , 3,wakiomba utasikia na kujibu maombi yao, naomba nasi utusikie Mungu wangu ninakuamin mwaka huu hauishi familia itaachiwa huru na watu watajua uko Mungu usiyepokea rushwa.
Mimi nauwakika mama mpenda haki ameshasikia kiliyo Cha uyu mzee akika awatanyongwa iyo familia aitanyongwa Tena labda wawe wameshawauwa,
Pole sana mdogo wangu. M. Mungu haghafiliki, utapata haqi zao
Maashallah. Doctor Bilal Allah akuhifadhi ktk dini ya haki
Dini ya haki ndio ipoje😅
Comment ya kipuuzi kweli, dini ya haki kathibitisha Mungu au? Acha ushamba
Utopolo huo uliocomment
Innamaal uusri yusra Allah anajuwa zaidi yetu haki itatendeka insha Allah zidisha subira insha Allah
Pole sana baba na Daktari bilal milomo ....naomba Mungu akukumbuke lakini mtazame Mungu tu najua unaumia sana ila rudisha imani yako kwa Mungu kila kitu kitakua sawa soma NAHUMU 1:12 kwenye biblia ...linasema kua ijapokua wana nguvu zilizo timilifu ,ijapokua ni wengi ,hata hivyo watakatwa naye atapita atakwenda zake ijapokua nikutesa sitakutesa tena....lakini pia soma kitabu cha AYUBU .....sisi ni wamoja dini hazitutofautishi na huu ni msaada wangu wa ushauri nakuombea kila la kheri Muheshimiwa Dr Bilal milomo
😢😢😢Allah ni mwingi wa rehma na hakika atasimama na wewe katika hili inshaallah
Haki itatendeka bi idhni llah
Mungu mwenye kujua ya sirini yote yaliyo nyuma ya jambo hili, Ee Mungu usinyamaze kwaajili ya hili, Munguuwe msemaji wa mwisho maan wewe ndio mwenye haki. Dunia hapa tunapita tu hata ungekuwa nani , Mungu atusaidie tuishi tukijua Mungu ni mkuu kuliko vyote ...Pole sana 😢😢😢 baba katika yote Mungu ajitwalie utukufu kwaajili ya hili....Eee Mungu nyosha mkono wako 😢😢😢😢 Baba ,baba , Mungu najua wewe pekeyako unainua vilivyo vinyonge kuahibisha vilivyo na nguvu, naomba Mungu jitwalie utukufu kwaajili ya baba huyu, Mungu wewe unatuwazia mema na unatupenda bila kujali madhaifu yetu hauwahi wala hauchelewi 😢😢😢😢😢Ee Mungu 😢😢😢😢moyo wangu umeuma pole baba. Mungu anaona mapito yako....atakushangaza mbele ya adui na watesi wako......Mungu ni mkuu ...Mungu kama ulivyotupenda hata ukamtoa kristo kwaajili yetu ili tuwe huru Kwa damu Ya Yesu mwanao mpendwa natangaza uhuru usio na mipaka kwa ibrahimu salma na mama yao... Na abdurazack akawe kama yusufu aameeen
Duh Mwenyezi Mungu amtie nguvu,it's not easy.
Napata wapi mawasiliano ya huyu baba,Millard ayo naomba namna ya kumpata huyu baba tafadhali🙏
Nenda Instagram page ya Millard ayo chukua number yao
My madam softena ulipo nipo
@@softena100 Tafadhali naomba mawasiliano ya Peter kibatala tafadhali
Inasikitisha sana nimelia sana nimeumia kama ni baba mzazi Allah mfanyie wepesi huyu baba🙏
Umempata?
Hv ni kweli hii nchi viongozi wameshindwa kumsaidia huyu baba kweli ila ipo siku Mungu atamsimamia yey na wataumbuka sana
Mara nyingi watu wa maana wana wapuuza wako tayari kupoteza wenye akili zao hii ndio nchi yetu
wasomi wanateseka hivi je wajinga hali yao ipo vip
Yaan mzee wetu anatia Huruma hii nchi hakuna Amani tunadanganyana tu Amani ipo kwa watawala tu lakn Mungu wetu SI mwepesi wa hasira Atatenda ktk hili
This country inawatu wabaya sana..kuna watu wanaroho mbaya shetani akasome, imagine kuna mtu ndio aliohumu kwenye kesi hiyo na anaishi poa kabisa bila hata wasiwasi, wala hana hofu ya kujiuliza ubaya wake umeleta athari gani..
Police, Wanasheria na mahakimu mungu amewapa nafasi hizo ili msaidie watu na siio kuwanyanyasa kiukweli sio sawa kabisa, mnakosea mno na ama hakika mungu atawanyoosha hapa hapa duniani..shubamitiii
Hiyo ndio Tanzania na utawala bora na utawala washeria .Tujiulize je ni watanzania wangapi wamesingiziwa wapo ndani wanateseka kila kitu ni maelezo. Tukisema Polisi wauwaji ni hivi sasa kweli kuna laana kubwa sana. 😭
Ombeni jambo lolote kwa Jina langu nami nitafanya Eeee Mwenyezi Mungu wasaidie familia hii mwaka huu usiishe waachiliwe huru
Uyu baba ana uchungu mwingi sana Mungu akufanyiye wepesi.
Duuuh kuna wenye vyeo na madaraka Hua wanaona wataishi milele ndio maana wanamaamuzi ya hovyo kabisa Ila wafaham kua hiidunia nimapito tuu MUNGU Akusmamie Kwa haya mapito unayo yapitia 😢😢😢
Hauwezi kusaidika maana wenye kusaidia ndio wamemufanyia huo ujinga, wanataka afe, hapo kuna mikono ya hao wanajiita wakubwa, wanasiasa wanaitesa Sana hii nchi.
Peter Kibatala hii kesi size yake,ataipangua jamhuri mpaka RPC atajuta,namwombeni wakili msomi Peter Kibatala hapa maramoja🙏
Au Tundu Lisu apewe hii kesi
Upo sahihi
Huyo peter kibatala anapatkana wapi Jamani tunaomba namba zake.@softena100
@@softena100 tafadhali namba namba ya huyo Peter Kibatala ndugu yangu nakuomba sana
Ukiona mwanaume analia ujue shida zimemzidia. Namuombea kwa Allah amuondoshee haya matatizo na mkewe na mwanawe warudi. Hakika subra ni ngumu ila ina malipo mazuri
Aibu gani hii jamani,haya mambo yanafanyika Tz,unamfanyia dadaako na watoto wake unyama huu. Yaani kwasababu ya kipande cha ardhi itakayokumeza? Yaani dini/kabila iwe sababu. Alafu mzungu akiwabagua mtasema mbaguzi. Hii aibu wakibosho ptuuu...........
Wewe Neema una Akili nyingi Sana!. UMEGUSA KIINI CHA TATIZO. Wengine wanajifanya VIPOFU. WANAKWEPA KUUNYOOSHEA KIDOLE HUU UOVU●
Chozi la mnyonge hali endi bure. Baba mungu yupo halali wala hasinzi ipo siku mungu ata kujibu maombi yako.
Hawa wana habari don’t verify these people stories! This guy has same story 2 years ago with Global Tv! If you listen to both stories! Uta jiuliza why this news media don’t go and find the truth! Je huyu aka Billal Muromo ni mkweli? Is he really Dr? Global TV ana ongea uongo huu huu! Shame on this media posting fake stories! If you see Global Tv story, you can tell he is extremely good liar character! He needs mental treatment help rather than media waste time with this kind of people! Is basic simple questions before we put your story out, let verify who you are! Piga simu all places he works before you put his story! So, story like this make this media untrustworthy! 😢😮😅
U said it all, as a psychologist maelezo yake nayaona yana uongo mwingi mnoo..kuna kitu behind haelezi vizuri
“Dunia tunapita kila kitu kitabakia”. Hakuna chenye mwanzo kisicho na mwisho.
MUNGU akutie nguvu na kukukumbukia mema Baba.
UYU BABA AMENIUMAAAAA!AMENIUMAAAAAAA😢EEH YESU NYOOSHA MKONO WAKO BABA.KILA ANAEFANYA KINYUME NA WEWE UKANYOOSHE UPANGA WAKO.BINADAM WAMEKUA KAMA WANYAMA😢
Kuna nn hapa nyuma
"Uislam ni Upendo" Allahu Akbar
UPENDO wapi mngetuita waklisto makafili😅😅😅
yaani hakuna kitu sipendi kama kuitwa kafiri sasa mi huwa sielewi uisalamu gani sasa huu ukiwakuta wanajikuta watu wema , wema upi huo kutuambia sisis dini yetu ya mashetwani daah!
@@pabloescober6709 wanaoita wakristu makafiri ni makapuku
@@OliverEdivery nyie mbona mnasema waislam dini ya majini 😂😂 mnambizana makanisabni je mpo sawa.kafiri ni mtu asiekuwa muislam
@@pabloescober6709nyie mnaita uislam dini ya majini
InshaAllah litapita tu mzee wetu na utakuwa na family yko kwa uwezo wa Allah
Pole sana Baba hakimu wa kweli ni MWENYEZI MUNGU atakupigania 😢
Hyu nimeziona interview zake mara nyingi msaada Hakuna
Kusoma Oxford sio mchezo hata hapa UK watu wanashindwa huyu mzee ni hodari....niliwahi kusikia story yake kwa channel ingine nililia nikaomba mungu ifike Ayo Tv.
Kabisa Oxford sio mchezo
Huyu mzee ana uchungu na ana maumivu makali sana! Allah Amtoe huyu mzee kwenye hili tatizo_ Amiin.
MIMI NASHAURI BABA AENDE KWA MWAMPONSA JAMANI MWAMPOSA MUNGU KATULETEA KWA WANYONGE HAICHAGUI WAISLAM AU WAIKRISTO .BABA ANAENDA KUWA CHIZI JAMANI 😢😢😢😢MTU KASOMQ MTU WAMANA TUNAMUITAJI TZ KWETU ANAISHIA KUTESSWA NA SHETANI.DONE AENDE KWA MWAMPONSA END YA SURUHISHO
Ushauri wako ni wakijinga saana , samahani Kwa hiri , mshauli aende Kwa BWANA YESU KRISTO , au amuone laisi Samia suluhu hasani ,
Mwamposa ndo nan mungu au usitutajie hy tapeli ss mwongo ty wajing nd waliwao n hy mwamposa wenu
Mungu aliyeziumba mbingu na nchi na akatuumba sisi sote ametupa na pumzi yake pia hajalala Wala hajakusahau anaona chozi lako na anaiona familia yako inachopitia pia ukweli ni kwamba Mungu wetu ni Mungu wa haki na ikiwa hawanakosa wameonewa Mungu atajiinua na kuonyesha ukuu wake ndani ya mtihani huu,Mungu huwaonekani wadhaifu anaonyesh ukuu wao hivyo baba naamini kabisa Mungu wetu si dhalim hata aseme uonge Amesema sintakupungukia wal sintakuacha kama nilivyo kuwa pamoja n Musa ndivyo nitakavyokuwa pamoja na wewe kasisitiza tena kasema uwe na moyo mkuu zaidi kimtegemea Mungu na Mungu hatanyamaza.
Yaaaani,baba huyu amekonda jamani😢😢😢anawazia familia yake tu.Mwenyezi MUNGU amtunze huyu baba mpaka auone wema wa MUNGU wake.Amen
Mungu akusaidie baba wangu 😢😢😢
Pole sana Baba. Mungu akupe amani na utulivu shida zitapita. Inasikitisha sana na kuumiza moyo kusikia story kama hii. Kweli nchi hii hamna haki...kumuona Baba mtumzima analia kwa uchungu kwa ajili ya familia yake inasikitisha. Shame to leaders in Tanzania and corrupt system, this is a lawless country, tunaitaji system nzima na serikali nzima ibadilishwe...Baba afadhali uhamie nchi nyingine and claim assalym...
Mungu wa Ibrahimu, Mungu wa Isaka na Mungu wa Yakobo yuko pamoja nawe siku zote usikate tamaa Mungu atakusaidia🙏
Hii nchi ni shidaaaa😢
Mzee wangu nime kusikiza kwa umakini sana mpaka moyo umeuma kwa uchungu pole sana malipo yako kwa Allah
Mkimbilie Bwana YESU KRISTO , atakuwezesha Kwa matatizo yote
Hawatanyongwa kwa Jina YESU Amina.
Mbona mzee kanyooka jmn maelezo yake..Ee Mungu wa Mbinguni simama na Mzee huyu. We ni Mungu wa wote
wallah naomba Rais amwone huyu mzee,,,,,haki inauma sanaaaa asee😢😢
Tz yetu jamani duu lakini mtu kachoma picha tu miaka miwili jela ya jamani makonda ingilia kat baba
Savi ni wilaya ya Malinyi. Mpogoro haswa. Pole sana
Nimerudi tena ku coment unaona Aya aliyo fanyiwa uyu baba uyo mtu alie fanya na yeye ataripwa zaidi ya Aya nae watu wata muhulumia kumbe amewaumiza watu
Mungu yupo anaona na anasikia
All will be well mzee
Haki itafanyika tu
Millard tunaomba hii post kila sehemu dunia iyone dhulma hii haki ipatikane tumeumia sana😢😢😢
Yaani wachaga na mashamba! Mungu awarehemu, kweli kumfanyia hivi MWANADAM,fani ya mke, future ya WATOTO imeishia,WATENDAJI WA SERIKALI HOVYO KWELI
mama samia mama yangu ingilia kati msaidie uyu baba
uwiiiii dunia hii tabuu😭😭😭😭😭
MUNGU wa mbinguni asikie kilio chako Mzee , amini tu , MUNGU ni Hakim wa kweri atatoa suruhisho ya Kila kinachoendelea , na Kila mtu atapokea kile alichopanda .
Mama yetu.. Wewe ni mama tunakuomba Rais wetu msikie huyu baba. Msikilize mhurumie. Tunakuomba mama 🙏Mama Samia tusikie wanao
Kwa style inabidi nijifunze uchawi,Sina elimu,sina kipato hivyo sintowaweza hivyo nijitahidi kujifunza hiki kitu🤔🤔🤔
Subhana Allah huyu baba bado hajapata msaada mpaka leo kweli?😢kwann mnafanya dhulma hivyo Allah akupe subra baba
Kwa style inabidi nijifunze uchawi,Sina elimu,sina kipato hivyo sintowaweza hivyo nijitahidi kujifunza hiki kitu🤔🤔🤔
Dunia duara
Jamani hiyo mikoa ya Arusha Moshi Kilimanjaro watu wake kaeni nao makini sana hao hawana dini wala hawana Imani kazi walinao nayo ni mambo ya mali tu siyo watu hao ni wanyama watu
Dunia imejaa dhulma. Ndio maana kuna siku ya hukumu ya.kiama na kila mmoja atapewa haki yake.
Mungu amfanyie wepesi mzee huyu muhimu kwa kazi na huduma yake anayoipa jamii ya tiba
inauma sana ,Mambo haya yanafavyika ktk Nchi yenye Utawala wa Sheria na Viongozi wapo na Wanalipwa kodi za watanzania
Pole sana Mzee. Ila mwandishi ningependa kama unge balance hii story tusikie na Upande wa pili wa familia inayotuhumiwa
Upande wa Pili wa nani...ebu kaaq chini List watu wote unaotaka Story zao za upande huo halafu jiulize...Hili Taifa lina watu wanaroho mbaya sana ni vile Nyerere alitunyima Elimu BORA na wachache waliopata Elimu bora wanaonekana mwiba kwa Serikali na Watumishi wapuuuuzi
Acha mambo yako
Upande wa pili watuhumiwa Majaji?
Tuachen roho za Chuki na wivu. Kabla ujamfanyia MTU tukio kumbuka athari itayopata kifamilia umeachia pigo zito.
Allah akupe subra hakika mtihani mzito na akupe familia yko ikiwa salama inshallah
Watu wakishakuwa na madalaka wanakuwa miungu watu, tupendane dunia ni mapito😢😢😢😢
Mungu mpiganie huyu mzee
Ardhi Ardhi Ardhi, Mwenyenzi Mungu utusamehe😢😢😢😢😢
Mungu atasimama na ww mzee
Na haikua Dunia ila ni mapito tu, hizi mali za duniani tutaziacha tu
🙌 hiii dunia ni ngum Sana, pole baba, Mungu aitetee familia yako
Mungu mwenye haki aitetee familia yako babaangu..Nimejikuta tu nalia 😭😭😭😭😭
Wallahi it's really pain. May Allah( swt) bless you a heart of patience inshaallah. Ameen 😢😢
hii duni ngumu sana🙏🏼 ufike tu ule mwisho wa kizazi cha tatu nacha nne😭😭 binadamu wamekuwa wakatili sanaa😭😭😭😭😭😭🌏 baba kapata aradhi makubwa kwa sababu ya wanadamuwenye tamaa ya kumwaga damu za watu😭😭😭😭😭😭 na adui sikuzote hatiki mbali,
Ohh Mungu usichoke kututete na uwakumbuke wote walio onewaa.
Baba anatakiwa awe na upole kiasi na kumuweka Mungu mbele.
Pole sana 😢
Unajengaje Ukweni ?🤣🤣🤣🤣 Umenogewa sana kweli wajinga wanazeeka pia🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Haujachelewa anza upya ndugu yangu. Nimeshindwa kumaliza hii video na umri wako unaenda kujenga ukweni ? Kubali makosa anza upya pambana unaweza ukarudi upya na kuwa na nguvu kuliko mwanzo.
Kwa hiyo na wenyewe walimuuwa mtu , msisahau jicho kwa jicho na jino kwa jino, kuna familia zingine mungu akiwajalia kidogo utaona wanaanza madharau na kunyanyasa majirani na watu wenye kipato cha chini na majirani zao
hilo nalo neno❤
Ukilewa usicomment.
Unajidhalilisha.
Umemskiliza vizuri huyu mzee? anasema hawakuua ila wamesakiziwa tuu
Huna akili unaadithiwa stori au unasikiliza
HAKI HAKI HAKI 😢
Aibu kwa mwanamke kufanya dhulma kwa familiar hii kiasi hiki.
Allah atalipa hapa duniani na akhera itakwenda hisabu