PART 2 : "Kuna Siku huwa nalala na wake zangu kitanda kimoja" Dr. Mwaka

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 1.1K

  • @moseskisingi7696
    @moseskisingi7696 ปีที่แล้ว +35

    Mimi nimekuja huku leo baada ya kumwona Queen Bakwata akidai Taraka... Mapenzi buanaaaa!

  • @evasanga2585
    @evasanga2585 3 ปีที่แล้ว +39

    Shikamoo pesa wanaoamini pesa ndo sabuni ya roho gonga like tujuane

  • @magrethdastanhaule3449
    @magrethdastanhaule3449 ปีที่แล้ว +11

    Nimeirudia hii interview Leo, tuliokuja huku Leo gonga likes😄

  • @sulexzaha5538
    @sulexzaha5538 4 ปีที่แล้ว +69

    haki itabakia kuwa haki tu siku zote.. na batili itabaki kuwa batili.. Allah akulipe dokta kwa uadilifu wako

    • @munaadan8824
      @munaadan8824 2 ปีที่แล้ว

      Mash allha ❤🥰🥰🥰

  • @hawa-luumiwrty3144
    @hawa-luumiwrty3144 4 ปีที่แล้ว +37

    Mashaallah Mashaallah Mwenyezi Mungu Azidi Kuwalinda, Nimependa Hiyo👏👏👏👏👏🙏🙏

    • @japhetv6157
      @japhetv6157 4 ปีที่แล้ว +1

      Uongo huo

    • @cookwithme6660
      @cookwithme6660 3 ปีที่แล้ว

      This is wrong and haram ...same bed is very wrong ..tiresome

  • @josephariwo24
    @josephariwo24 4 ปีที่แล้ว +6

    This is areal man with principals in life I love that

  • @princemaster8779
    @princemaster8779 4 ปีที่แล้ว +28

    ALLAH AKBAR. kwa kawaida sio rahisi kwa hili jambo. ila ALLAH ndio muweza yote hayo. HONGERA SANA DR. NA WAKE ZAKO

  • @abdulbogoyo1243
    @abdulbogoyo1243 3 ปีที่แล้ว +3

    NIMEPENDA SANA HAYA MAZUNGUMZO, PIA NIMEJIFINZA MENGI, SHUKRANI ZENU NYOTE: MUNGU AWAFANYIE WEPESI. 👏

  • @khalifamwasha6648
    @khalifamwasha6648 4 ปีที่แล้ว +3

    Nimeipenda hii interview vibaya mno. Nikiangalia wanavyojibu maswali au wanavyojieleza wote kwangu ni ukomavu wa hali ya juu na wanatumia busara sana. How a nice couple is this? . Allah awabariki duniani na akhera. Nimejifunza mengi sana. Big up doctor JJ Mwaka

  • @kijonalusay
    @kijonalusay 4 ปีที่แล้ว +16

    Ma Shaa Allah Hakika Allah hivi ndivo vile anataka ndo ya uke wenza iwe Allah awadumishe katika ndoa hii Amiin

  • @salmaathuman9156
    @salmaathuman9156 4 ปีที่แล้ว +12

    Mashaa allah hongera Dr mwaki kwa kisimamia ndoa kwa haki halafu wamebadili dini wamependeza Sana wallah mungu azidi kuwabariki aaminy

  • @korogwetanga810
    @korogwetanga810 4 ปีที่แล้ว +37

    MashaAllah Taabaraka Rahman Allah awadumishe katika ndoa yenu

    • @fathma1239
      @fathma1239 2 ปีที่แล้ว

      mashallah tabaraka allah

  • @cadabra7402
    @cadabra7402 4 ปีที่แล้ว +9

    Maasha Allah docta mwaka kwa kuwaconvert wawili , Allah akulipe na akuongoeze katika misingi ya kiisalm.

  • @user-fc8xe2sc3w
    @user-fc8xe2sc3w 4 ปีที่แล้ว +16

    Nimeipenda hiyo Ndoa 👏 👏 Inshaallah, Allah ani Jaliye na Mmi

  • @halimashigela7544
    @halimashigela7544 4 ปีที่แล้ว +7

    Dr mwaka anajitambua wanaume wengine hawajitambui alafu wanatumia mabavu oooh naoa haunitishi ukiona vip undoka inakuwa nivurugu

  • @dorcaskarago2876
    @dorcaskarago2876 ปีที่แล้ว +1

    Ndoa ni mme mmoja na mke moja period

  • @barakamfugale1049
    @barakamfugale1049 4 ปีที่แล้ว +34

    Mmm hii maada inawahus islamic people
    Ila shabik wa Dr.MWAKA

    • @rajabumussapetekwa467
      @rajabumussapetekwa467 4 ปีที่แล้ว

      Dah mashallah Dr mwaka nimejifunza mengi ktk h czone hongera sn

  • @salumkomba7682
    @salumkomba7682 4 ปีที่แล้ว +27

    Kulala chumba kimoja na wake zake sio sawa kidini ...Allah awaongoze Inshaallah. Nimependa hii ndoa

    • @khariifagabwa7911
      @khariifagabwa7911 4 ปีที่แล้ว

      Hahah daa wewe hujaelewa nafikili

    • @salumkomba7682
      @salumkomba7682 4 ปีที่แล้ว

      @@khariifagabwa7911 nifahamishe sheikh wangu

    • @agathathobias8690
      @agathathobias8690 4 ปีที่แล้ว +2

      @@salumkomba7682 hawashirik tendo la ndoa kitanda kimoja wana lala tu

    • @saymarsaymar4654
      @saymarsaymar4654 4 ปีที่แล้ว

      Salum Komba uharamu umetokea wapi?

    • @salumkomba7682
      @salumkomba7682 4 ปีที่แล้ว

      @@saymarsaymar4654 kama wanalala tuu hamna shida lakini kama wanashiriki tendo la ndoa hairuhusiwi kidini

  • @nadiarajabu8780
    @nadiarajabu8780 4 ปีที่แล้ว +13

    Msitake kutudanganya...sura zenu tyu zinaonyesha hamna mapenzi ya kweli

  • @folonatuszongo475
    @folonatuszongo475 4 ปีที่แล้ว +36

    Hongera Dk Mwaka kwa kumiliki Vizuri hiyo "Mizigo" ,"Mizigo" imejisitiri Vizuri ni funzo kwetu ,tumejifunza Kitu kizuri.

  • @kenslogistics4377
    @kenslogistics4377 4 ปีที่แล้ว +15

    Money is everything. Bila pesa kungekua na fujo kama zote...

    • @zaituniabdallah6045
      @zaituniabdallah6045 4 ปีที่แล้ว

      Mwanaume nihela kwani wataka kuoa na hauna hela.

    • @tinahpinah
      @tinahpinah 3 ปีที่แล้ว

      Even with money, I can't share a man.aende akiendanga.nonsence tupu hapa.

    • @kenslogistics4377
      @kenslogistics4377 3 ปีที่แล้ว +1

      @@tinahpinah how sure are you that you are not sharing the man that you have now. You might be sharing na hujui. Men will always be men!!!

  • @khadijaamur6032
    @khadijaamur6032 4 ปีที่แล้ว +13

    Dr ni Mcha Mungu...Allah ajaalie wanaume wote wa Kiislam wanaotaka kuongeza wake wapate barka kama za Dr...Aameen. Masha Allah

  • @anwarsalim8925
    @anwarsalim8925 4 ปีที่แล้ว +32

    MashaAllah, Allah ibarik, na iwe khery katika familia yenu. Natamani interview iendelee.

    • @CyimSky
      @CyimSky 4 ปีที่แล้ว +1

      Wakenya wamtaka Rais Magufuli aende kwao akawanyooshe kidogo.
      th-cam.com/video/CvC54oRI9nw/w-d-xo.html

    • @raydeus8192
      @raydeus8192 4 ปีที่แล้ว +1

      duuuh! uyu ndo Dr mwaka bn

    • @raydeus8192
      @raydeus8192 4 ปีที่แล้ว +1

      @@CyimSky mmh!

  • @ladymashaallahilikeuaadvis997
    @ladymashaallahilikeuaadvis997 4 ปีที่แล้ว +3

    Mabrook wa Masha ALLAH doctor mwaka

  • @tunumakila2220
    @tunumakila2220 4 ปีที่แล้ว +8

    Kama umeikubali kofia ya geah gonga like

  • @zaiiomary8970
    @zaiiomary8970 4 ปีที่แล้ว +40

    Huyu dada Queeni kafanan na zari akicheka mashaallah

  • @brenthylland2507
    @brenthylland2507 4 ปีที่แล้ว

    We dr mwaka nakupa respect sana wewe nikivutio cha dunia kuishi na mitala wake wakaelewana??? Wakati mmoja tuu ishu kubwa duuu I respect.

  • @prosperjuma905
    @prosperjuma905 ปีที่แล้ว +2

    Leo unalia. Tamaa ya maisha hii. Hatari sana.

  • @babujinga5819
    @babujinga5819 4 ปีที่แล้ว +15

    Hongera sana dkt mwaka... Hiyo haitopatikana popote pale ni kwako
    Niseme mungu amekupa zawadi

  • @hamadamabali2895
    @hamadamabali2895 4 ปีที่แล้ว +4

    Namuomba Mola na mimi pia anijaalie wawili tuu mwenye upendo kama hawa in sha Allah Amin

  • @saidbuya3528
    @saidbuya3528 4 ปีที่แล้ว

    MashaAllah,Mabrouq alf mara Mabrouq Doctor

  • @jasminyiddysulaiman9807
    @jasminyiddysulaiman9807 4 ปีที่แล้ว +1

    Maashaallah tabaraqallah..allah awajaalie aman

  • @kathuremagdalene2603
    @kathuremagdalene2603 4 ปีที่แล้ว +9

    Hao sio wake ni maslayqueen, Dr rundi kwa first wife, unachezwa na unachezwa rough sana.

  • @saidjuma9782
    @saidjuma9782 4 ปีที่แล้ว +13

    I wish you happy marriage 💕💕💕

  • @erickmichael3349
    @erickmichael3349 4 ปีที่แล้ว +1

    Dr.respect sana
    We kiboko Kwa maisha ya sasa lakin naomba utupe siri ni nn

  • @tatuyussuf7574
    @tatuyussuf7574 4 ปีที่แล้ว +15

    Mashaallah tabarakallah wajazaka llahu khayra..allah wape upendo huohuo

    • @halimambena6110
      @halimambena6110 4 ปีที่แล้ว

      Tatu yussuf nakuona mke mwnzangu nasi tuzidi pendana

    • @tatuyussuf7574
      @tatuyussuf7574 4 ปีที่แล้ว

      Halima Mbena kweli kabisa tuwe mfano kwa wenzetu..😆😆😆

    • @rechoclement6032
      @rechoclement6032 2 ปีที่แล้ว

      Abu

  • @fatumaally3444
    @fatumaally3444 4 ปีที่แล้ว +8

    Allah awajaze kheri inshallah nmewapenda wanawake wenzangu mnapendana sana

  • @aminamohamed7063
    @aminamohamed7063 4 ปีที่แล้ว +15

    Mashaallah jmn Allah awazidishie wengne cjui kma tutaweza hyo hali😢😢

    • @kaundamalale9845
      @kaundamalale9845 3 ปีที่แล้ว +1

      Hahhaha wew naona mwenzangu mim😆🤣🤣🤣me yaan kwanz huyo mwanaume ajiandea au anitoe kweny list tuu🙆🏿🙆🏿

  • @aminakondo7824
    @aminakondo7824 ปีที่แล้ว

    YEAH..! Dr .mwaka.you're the greatest..Bravo.....!!!!!

  • @mwanamisaomar346
    @mwanamisaomar346 4 ปีที่แล้ว

    Mashaallah na zidikuwaelewa..hongera doctor mwaka na wake zake rahaa kwl

  • @modestmkali3436
    @modestmkali3436 4 ปีที่แล้ว +89

    Siri Ni Hela tu, Nothing Else, Ukiwq Na hela Kila kitu Huwa Laini

  • @sureladykiba5608
    @sureladykiba5608 4 ปีที่แล้ว +3

    MashaaAllah 😍😍😍

  • @patriciacarlo7236
    @patriciacarlo7236 4 ปีที่แล้ว +2

    Mimi ni mkristo lkn nimempenda Dr mwaka ni gentleman.anaonekana anatoa haki sawa kwa wake zake

  • @shamalhabsi3563
    @shamalhabsi3563 4 ปีที่แล้ว +2

    Manshallah mwenyez mungu awazidishie mapemazi fidunia walakhera mzidi kupendana

  • @khadijahhussan182
    @khadijahhussan182 4 ปีที่แล้ว +37

    Mashallah jmn wazuri Queen kafanana na Zari

  • @hassanisadiki824
    @hassanisadiki824 4 ปีที่แล้ว +15

    Allah alisha sema uwoni wanawake hata wa 4 kama una uwezo wa kuwahudumia kwanzia mavazi mpk tendo la ndoa, na Allah amesema hivyo kwa sababu anawajua wanadamu vizuri kuliko sisi tunavyo jijua na amesema tuoe wanawake wengi ikiwa una uwezo kwa sababu Allah anajua kwamb wanaume hawawezi kutosheka na moja na pia kuna wajane Allah alisema wastirini

  • @zukhuraothman9838
    @zukhuraothman9838 3 ปีที่แล้ว +1

    Hongera Ila kulaala na wake wawili chumba kimoja .turudini katka dini ya Allah haifai na si vizur .huo nu ukafir

  • @anahbelamina7214
    @anahbelamina7214 3 ปีที่แล้ว +1

    Nguvu ya kuwa bibi wa pili ninayo lakini nguvu yakumkubali mume wangu aoe mke wa pili ndo sina jamani,nimesoma lesson lakini mashaallah mungu awazidishie

  • @nassraal-riyyami8387
    @nassraal-riyyami8387 4 ปีที่แล้ว +35

    Roho ya Qeen ni safi kabisa

  • @hamissadick5843
    @hamissadick5843 4 ปีที่แล้ว +8

    Mashaallah

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa7215 4 ปีที่แล้ว

    Masha Allah hongera sana Dr. Mwaka your role model

  • @halimamasai2234
    @halimamasai2234 4 ปีที่แล้ว +2

    Maashaallah mungu awape afya na maisha marefu wote mkiwa pamoja inshalaah na hongereni sana

  • @paulmafuru7283
    @paulmafuru7283 4 ปีที่แล้ว +214

    Yote tisa lkn kumi lzma uwe n hela bila hela utayasikia tu kwa doctor mwaka

  • @mozasaid3869
    @mozasaid3869 4 ปีที่แล้ว +10

    Mashaallah Mwenyezi mungu awazidishie upendo wenu na mume wenu, Yaani hadi raha,

    • @CyimSky
      @CyimSky 4 ปีที่แล้ว

      Wakenya wamtaka Rais Magufuli aende kwao akawanyooshe kidogo.
      th-cam.com/video/CvC54oRI9nw/w-d-xo.html

  • @qal6469
    @qal6469 2 ปีที่แล้ว

    Masha Allah barakallahu fiik wajazakallahu khair

  • @mbarakahmed3892
    @mbarakahmed3892 ปีที่แล้ว +1

    Uko sahihi doctor kabisa 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @nelvinjapheth617
    @nelvinjapheth617 3 ปีที่แล้ว +4

    NELVIN MWANZA HAPA MPANGO MZIMA ELA KAMA MWANA UME UNA ELA UTAWALISHA WANA WAKE 2 PUMBA ELA KILA KITU

  • @fatmaomar8497
    @fatmaomar8497 4 ปีที่แล้ว +7

    Mashaa Allah....sio mtanga kila kitu anakitaka yeye mpk mke mwenziwe anamgombanisha ... pamoja na watoto... duuuuh huyu mtanganiliyekuwa nae mkemweza hatari...angekuwa kama hao tungesikilizana.. anawataka watoto wng wende kwake wawe vibaraka wake

    • @marryoscar745
      @marryoscar745 4 ปีที่แล้ว +1

      😀😀😀😀eti wawe vibaraka

  • @mariamiddi3024
    @mariamiddi3024 4 ปีที่แล้ว +1

    Razima muwe marafiki sababu hamjui shida aliopitia bi mkubwa mpaka kuipata Mali hiyo wezi wakubwa nyie bi mkubwa popote ulipo nakupenda bureee kabisa wewe ndio mke wa doctor mwaka mwenye mapenzi ya kweli toka moyoni mungu akulindie Mrs mwaka og 😘😘😘😘😘😘😘😘😘hawa wengine wamefata Mali tu😏😏😏

  • @nasraiddy9678
    @nasraiddy9678 4 ปีที่แล้ว

    Dr anahekima sana na hivyo ndivyo Allah amewahusia wanaume ...kawajua kuwa hawawezi kuishi bila matamanio lakini jee unaudilifuu ...??na ikiwa huna uadilifu basi ishi nae huyo mmoja ...mashallah wamependeza sana namavazi yao na walivyo Allah awajalie kheri na furaha

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky 4 ปีที่แล้ว +10

    Wazuri Mashaalah

  • @fatumaabubakar2063
    @fatumaabubakar2063 4 ปีที่แล้ว +1

    Alf mabrook doctor Allah awazidishie mapenzi

  • @saumukaisi7003
    @saumukaisi7003 4 ปีที่แล้ว

    Mashaallh hongera Doctor mwaka

  • @sharifaabdullah6825
    @sharifaabdullah6825 4 ปีที่แล้ว +12

    Masha allah mungu awajalie kheri kwenye maisha yenu

  • @kizungasalum2230
    @kizungasalum2230 4 ปีที่แล้ว +2

    Nothing else money is taking...but i like it

  • @saumukaisi7003
    @saumukaisi7003 4 ปีที่แล้ว +1

    Hongera sanaaaa wanawake mnapendana sn mnamoyo mwaya me siwezi ninawivu sn

  • @kautharsalum6743
    @kautharsalum6743 4 ปีที่แล้ว +2

    MashaAllah🥰

  • @mashakalonka9407
    @mashakalonka9407 4 ปีที่แล้ว +5

    Mke wa pili(Queen) ni Big mind.Ila tunachojifunza katika ndoa hizi za Dk.Mwaka ni kwamba PESA ina nguvu kusimamia ndoa zetu.Tutafute pesa !...

  • @AhmedSalah-ri3es
    @AhmedSalah-ri3es 4 ปีที่แล้ว

    Heshima Dr.mwaka umenifurahisha sana umetoa funzo kubwa sana kwa jamii

  • @athumankibudo4478
    @athumankibudo4478 4 ปีที่แล้ว +2

    Mashallah jamn

  • @sophiarubambimpala5342
    @sophiarubambimpala5342 4 ปีที่แล้ว +14

    Nilikuwa namuona mstarabu sana kumbe na yy yumo siwez olewa mke wa pili na kama nikiolewa sijampenda mwanaume nimependa pesa zake, asidanganye kila mtu ana wivu hao wanawake wamefata maisha mazuri anaepata maumivu ni mke wa kwanza anaemjua vizuri tangu wakipambana na maisha wakat mwingine ni vizuri kuwa na hela ila ukiwa na mwanaume mwenye pesa ishi ukijua ni cha ote sio wako labda akiwa hana pesa huyo ndo wako. Wala mm hujanifurahisha tabia ni kama ngoz haibadilk na mda si mref utaoa wa nne na bado michepuko itakuwepo mmmh jaman 🙉

    • @sharifaramadhani8079
      @sharifaramadhani8079 4 ปีที่แล้ว

      Kwa kweli na kwa kua ana tamaa wakishafika wa4 atakachofanya ni kuacha mmoja kisha aongeze mwengine ni mwendo huo huo puu puu pesa hz

    • @khadijasaidy4765
      @khadijasaidy4765 4 ปีที่แล้ว +1

      Ndyo fikra zako zako zilipoishia hapo...wapo wake wenza mume anapesa na hawaelewani hata...mkiwa mnamjua Allah kwa dhati wala katka dunia hii hupati shida na chochote..ukiishi kidunia dunia kweli shida ipo

    • @mutwalesylvie7443
      @mutwalesylvie7443 3 ปีที่แล้ว

      Umeongea point

    • @drstevedeomozartphd3573
      @drstevedeomozartphd3573 3 ปีที่แล้ว

      th-cam.com/video/bAWxGhusG-8/w-d-xo.html

  • @samanthaali873
    @samanthaali873 4 ปีที่แล้ว +7

    Ya Rabby awazidishie upendo uzidi in sha Allah

  • @fifo262
    @fifo262 4 ปีที่แล้ว

    Ndoa ya mke zaidi ya mmoja mume km hatojiamini akawa smart ndipo mizozo haitoisha .honger kaka kwa kuwamudu wake zako allah akusimamie

  • @maryamm7765
    @maryamm7765 4 ปีที่แล้ว +16

    Wazuri Maasha Allah

  • @arqamibnarqam.7185
    @arqamibnarqam.7185 4 ปีที่แล้ว +5

    Ukewenza Raha sana ALLAH atuwafikishe,nimeazimia kuongeza 2........4

    • @CyimSky
      @CyimSky 4 ปีที่แล้ว

      Wakenya wamtaka Rais Magufuli aende kwao akawanyooshe kidogo.
      th-cam.com/video/CvC54oRI9nw/w-d-xo.html

  • @azizayahya9984
    @azizayahya9984 4 ปีที่แล้ว +2

    Innallah maswahabirina Hakika Nimejifunza kiktu hapa kwa kweli

  • @greysonflams2237
    @greysonflams2237 4 ปีที่แล้ว

    Mashallah mungu awafanyie wepesi na awape maisha marefu ya ndoa yao

  • @missmannydxb
    @missmannydxb 4 ปีที่แล้ว +5

    MashaAllah they're so beautiful 😍😍😍😍

  • @bijumakassim3697
    @bijumakassim3697 4 ปีที่แล้ว +1

    Mashaallah Allah awafanyie wepesi inshaallah nme wapenda bure kwa mnavyo pendana Allah awazidishie Inshaallah

  • @arnoldmaurice3980
    @arnoldmaurice3980 4 ปีที่แล้ว +17

    SIRI NI KUWA NA PESA TU... Mxyuuuuu 🤣🤣🤣

  • @salmadalaquimane2364
    @salmadalaquimane2364 4 ปีที่แล้ว +10

    Mashaallah Allah awafanyie wepes inshaallah

  • @ndeletwaswai3530
    @ndeletwaswai3530 4 ปีที่แล้ว

    Dr mwaka kachagua mashine haswaa wanafanana wazuri na wanaakili wako vzr mashalaah

  • @azizakwileka1686
    @azizakwileka1686 4 ปีที่แล้ว +2

    Kwa kweli nasisimkwa na maneno ya Queen nimependa sanaa anaposema anampenda sanaa mke mwenzake😍😍 kwa kweli mnanihamasisha jaman... Nawapenda sanaaa jamani sanaaaaaa😍😍 Waturuki wanasema seni çok seviyorum çok çok seviyorum😍😍

    • @muskhaj1230
      @muskhaj1230 ปีที่แล้ว

      Aziza nimependa ulipomalizia kwa kiturukiiii

  • @raindrops1942
    @raindrops1942 3 ปีที่แล้ว +11

    Nonsense! This is what happens when you have no respect for yourself.

  • @hajikishua1410
    @hajikishua1410 4 ปีที่แล้ว +10

    Da hii capo imekaa powa San gonga like Kama umeiyelewa

  • @neemaloy889
    @neemaloy889 ปีที่แล้ว

    Mungu Asante sana kwa kuaibisha wazinzi waluiojificha ndani ya ndoa

  • @amirybeka9602
    @amirybeka9602 ปีที่แล้ว

    Mashaallah... Dahh wallah miasha km hv rahaa ya dunia... Jmn

  • @totosheretone7356
    @totosheretone7356 4 ปีที่แล้ว +3

    Queen Mrembo mashaallah

  • @constantinochalle856
    @constantinochalle856 4 ปีที่แล้ว +5

    Nimeipenda sana hii story !!!inafundisha mengi

  • @mwanahamisially5234
    @mwanahamisially5234 4 ปีที่แล้ว

    Honger xna Docter kwakuwastir wanawake Kama ni Pesa Kuna watu wanapesa mbona hawajathubutu kuoa bhana big-up Allah awajaalie uchamungu dealing xna maan shetan naeeee hyko mbali👃👃👃

  • @burhanaweiss8789
    @burhanaweiss8789 3 ปีที่แล้ว +1

    Masha Allah

  • @rehemaabdy9160
    @rehemaabdy9160 4 ปีที่แล้ว +4

    Mashaallah pendanen ila kwangu duuh

  • @rhinakiza
    @rhinakiza 4 ปีที่แล้ว +3

    Jamani mimi Christian, but I love those queens 👑 God bless you guys😘😘👏👏

  • @athumanimafugalo9917
    @athumanimafugalo9917 4 ปีที่แล้ว +1

    Nimemuelewa sana mtangazaji wa mwisho "kikubwa kwanza tutafute hela "

  • @jamilasalimvilog6752
    @jamilasalimvilog6752 4 ปีที่แล้ว

    Mashallah nafurahi kuolewa mke wapili bimkubwa nampenda sana

  • @dvjkelly8449
    @dvjkelly8449 4 ปีที่แล้ว +3

    dah, kuna watu wana bahati sana, yaan ingekuwa mimi ndo doctor mwaka, hiyo pumbu ningekuwa natembeza hapo ndani syo ya nchi hii, yaan kwanza ningejitengenezea dawa iniongeze nguvu niweze kunyoroshana mtaa kwa mtaa

  • @jacobmakono389
    @jacobmakono389 4 ปีที่แล้ว +4

    ..mnacheka na kusimulia utafikiri mnafanya mapenzi ya Mungu!ole wenu!!

    • @magdalena7223
      @magdalena7223 3 ปีที่แล้ว

      Du hatare sana hii mungu hapendi

  • @a.856
    @a.856 4 ปีที่แล้ว +1

    Mashaalallah

  • @imanmohamed7632
    @imanmohamed7632 2 ปีที่แล้ว

    MashaAllah TabarakkahAllah

  • @focusdaily2742
    @focusdaily2742 4 ปีที่แล้ว +6

    Ndoa ni mke moja kwa mwanamme moja, iyo ndio sawa