Nimeipenda hii interview vibaya mno. Nikiangalia wanavyojibu maswali au wanavyojieleza wote kwangu ni ukomavu wa hali ya juu na wanatumia busara sana. How a nice couple is this? . Allah awabariki duniani na akhera. Nimejifunza mengi sana. Big up doctor JJ Mwaka
Allah alisha sema uwoni wanawake hata wa 4 kama una uwezo wa kuwahudumia kwanzia mavazi mpk tendo la ndoa, na Allah amesema hivyo kwa sababu anawajua wanadamu vizuri kuliko sisi tunavyo jijua na amesema tuoe wanawake wengi ikiwa una uwezo kwa sababu Allah anajua kwamb wanaume hawawezi kutosheka na moja na pia kuna wajane Allah alisema wastirini
Nguvu ya kuwa bibi wa pili ninayo lakini nguvu yakumkubali mume wangu aoe mke wa pili ndo sina jamani,nimesoma lesson lakini mashaallah mungu awazidishie
Mashaa Allah....sio mtanga kila kitu anakitaka yeye mpk mke mwenziwe anamgombanisha ... pamoja na watoto... duuuuh huyu mtanganiliyekuwa nae mkemweza hatari...angekuwa kama hao tungesikilizana.. anawataka watoto wng wende kwake wawe vibaraka wake
Razima muwe marafiki sababu hamjui shida aliopitia bi mkubwa mpaka kuipata Mali hiyo wezi wakubwa nyie bi mkubwa popote ulipo nakupenda bureee kabisa wewe ndio mke wa doctor mwaka mwenye mapenzi ya kweli toka moyoni mungu akulindie Mrs mwaka og 😘😘😘😘😘😘😘😘😘hawa wengine wamefata Mali tu😏😏😏
Dr anahekima sana na hivyo ndivyo Allah amewahusia wanaume ...kawajua kuwa hawawezi kuishi bila matamanio lakini jee unaudilifuu ...??na ikiwa huna uadilifu basi ishi nae huyo mmoja ...mashallah wamependeza sana namavazi yao na walivyo Allah awajalie kheri na furaha
Nilikuwa namuona mstarabu sana kumbe na yy yumo siwez olewa mke wa pili na kama nikiolewa sijampenda mwanaume nimependa pesa zake, asidanganye kila mtu ana wivu hao wanawake wamefata maisha mazuri anaepata maumivu ni mke wa kwanza anaemjua vizuri tangu wakipambana na maisha wakat mwingine ni vizuri kuwa na hela ila ukiwa na mwanaume mwenye pesa ishi ukijua ni cha ote sio wako labda akiwa hana pesa huyo ndo wako. Wala mm hujanifurahisha tabia ni kama ngoz haibadilk na mda si mref utaoa wa nne na bado michepuko itakuwepo mmmh jaman 🙉
Ndyo fikra zako zako zilipoishia hapo...wapo wake wenza mume anapesa na hawaelewani hata...mkiwa mnamjua Allah kwa dhati wala katka dunia hii hupati shida na chochote..ukiishi kidunia dunia kweli shida ipo
Kwa kweli nasisimkwa na maneno ya Queen nimependa sanaa anaposema anampenda sanaa mke mwenzake😍😍 kwa kweli mnanihamasisha jaman... Nawapenda sanaaa jamani sanaaaaaa😍😍 Waturuki wanasema seni çok seviyorum çok çok seviyorum😍😍
Honger xna Docter kwakuwastir wanawake Kama ni Pesa Kuna watu wanapesa mbona hawajathubutu kuoa bhana big-up Allah awajaalie uchamungu dealing xna maan shetan naeeee hyko mbali👃👃👃
dah, kuna watu wana bahati sana, yaan ingekuwa mimi ndo doctor mwaka, hiyo pumbu ningekuwa natembeza hapo ndani syo ya nchi hii, yaan kwanza ningejitengenezea dawa iniongeze nguvu niweze kunyoroshana mtaa kwa mtaa
Mimi nimekuja huku leo baada ya kumwona Queen Bakwata akidai Taraka... Mapenzi buanaaaa!
KWA kweli tulokuja huku gonga likes... 👍
😅😅😅
Yaani
Hakika na mimi nipo na wewe Hakuna marefu yasiyo na ncha
Hata mie
Shikamoo pesa wanaoamini pesa ndo sabuni ya roho gonga like tujuane
Nimeirudia hii interview Leo, tuliokuja huku Leo gonga likes😄
haki itabakia kuwa haki tu siku zote.. na batili itabaki kuwa batili.. Allah akulipe dokta kwa uadilifu wako
Mash allha ❤🥰🥰🥰
Mashaallah Mashaallah Mwenyezi Mungu Azidi Kuwalinda, Nimependa Hiyo👏👏👏👏👏🙏🙏
Uongo huo
This is wrong and haram ...same bed is very wrong ..tiresome
This is areal man with principals in life I love that
ALLAH AKBAR. kwa kawaida sio rahisi kwa hili jambo. ila ALLAH ndio muweza yote hayo. HONGERA SANA DR. NA WAKE ZAKO
Jamani uke wenza haujasilimu
🤣🤣🤣🤣
NIMEPENDA SANA HAYA MAZUNGUMZO, PIA NIMEJIFINZA MENGI, SHUKRANI ZENU NYOTE: MUNGU AWAFANYIE WEPESI. 👏
Nimeipenda hii interview vibaya mno. Nikiangalia wanavyojibu maswali au wanavyojieleza wote kwangu ni ukomavu wa hali ya juu na wanatumia busara sana. How a nice couple is this? . Allah awabariki duniani na akhera. Nimejifunza mengi sana. Big up doctor JJ Mwaka
Ma Shaa Allah Hakika Allah hivi ndivo vile anataka ndo ya uke wenza iwe Allah awadumishe katika ndoa hii Amiin
Mashaa allah hongera Dr mwaki kwa kisimamia ndoa kwa haki halafu wamebadili dini wamependeza Sana wallah mungu azidi kuwabariki aaminy
MashaAllah Taabaraka Rahman Allah awadumishe katika ndoa yenu
mashallah tabaraka allah
Maasha Allah docta mwaka kwa kuwaconvert wawili , Allah akulipe na akuongoeze katika misingi ya kiisalm.
Nimeipenda hiyo Ndoa 👏 👏 Inshaallah, Allah ani Jaliye na Mmi
Dr mwaka anajitambua wanaume wengine hawajitambui alafu wanatumia mabavu oooh naoa haunitishi ukiona vip undoka inakuwa nivurugu
Ndoa ni mme mmoja na mke moja period
Mmm hii maada inawahus islamic people
Ila shabik wa Dr.MWAKA
Dah mashallah Dr mwaka nimejifunza mengi ktk h czone hongera sn
Kulala chumba kimoja na wake zake sio sawa kidini ...Allah awaongoze Inshaallah. Nimependa hii ndoa
Hahah daa wewe hujaelewa nafikili
@@khariifagabwa7911 nifahamishe sheikh wangu
@@salumkomba7682 hawashirik tendo la ndoa kitanda kimoja wana lala tu
Salum Komba uharamu umetokea wapi?
@@saymarsaymar4654 kama wanalala tuu hamna shida lakini kama wanashiriki tendo la ndoa hairuhusiwi kidini
Msitake kutudanganya...sura zenu tyu zinaonyesha hamna mapenzi ya kweli
Kweli
Hongera Dk Mwaka kwa kumiliki Vizuri hiyo "Mizigo" ,"Mizigo" imejisitiri Vizuri ni funzo kwetu ,tumejifunza Kitu kizuri.
Naam
FOLONATUS ZONGO mizigo tena
th-cam.com/video/bAWxGhusG-8/w-d-xo.html
Ety mizigo😂😂😂😂
Money is everything. Bila pesa kungekua na fujo kama zote...
Mwanaume nihela kwani wataka kuoa na hauna hela.
Even with money, I can't share a man.aende akiendanga.nonsence tupu hapa.
@@tinahpinah how sure are you that you are not sharing the man that you have now. You might be sharing na hujui. Men will always be men!!!
Dr ni Mcha Mungu...Allah ajaalie wanaume wote wa Kiislam wanaotaka kuongeza wake wapate barka kama za Dr...Aameen. Masha Allah
Bado unaamini hivi?
MashaAllah, Allah ibarik, na iwe khery katika familia yenu. Natamani interview iendelee.
Wakenya wamtaka Rais Magufuli aende kwao akawanyooshe kidogo.
th-cam.com/video/CvC54oRI9nw/w-d-xo.html
duuuh! uyu ndo Dr mwaka bn
@@CyimSky mmh!
Mabrook wa Masha ALLAH doctor mwaka
Kama umeikubali kofia ya geah gonga like
Huyu dada Queeni kafanan na zari akicheka mashaallah
True
Ukweli
Kinoma
Kabisa wamefanana
Nlifkiri macho yangu yananidaganya
We dr mwaka nakupa respect sana wewe nikivutio cha dunia kuishi na mitala wake wakaelewana??? Wakati mmoja tuu ishu kubwa duuu I respect.
Leo unalia. Tamaa ya maisha hii. Hatari sana.
Hongera sana dkt mwaka... Hiyo haitopatikana popote pale ni kwako
Niseme mungu amekupa zawadi
Namuomba Mola na mimi pia anijaalie wawili tuu mwenye upendo kama hawa in sha Allah Amin
Unaela?
MashaAllah,Mabrouq alf mara Mabrouq Doctor
Maashaallah tabaraqallah..allah awajaalie aman
Hao sio wake ni maslayqueen, Dr rundi kwa first wife, unachezwa na unachezwa rough sana.
I wish you happy marriage 💕💕💕
Dr.respect sana
We kiboko Kwa maisha ya sasa lakin naomba utupe siri ni nn
Mashaallah tabarakallah wajazaka llahu khayra..allah wape upendo huohuo
Tatu yussuf nakuona mke mwnzangu nasi tuzidi pendana
Halima Mbena kweli kabisa tuwe mfano kwa wenzetu..😆😆😆
Abu
Allah awajaze kheri inshallah nmewapenda wanawake wenzangu mnapendana sana
Mashaallah jmn Allah awazidishie wengne cjui kma tutaweza hyo hali😢😢
Hahhaha wew naona mwenzangu mim😆🤣🤣🤣me yaan kwanz huyo mwanaume ajiandea au anitoe kweny list tuu🙆🏿🙆🏿
YEAH..! Dr .mwaka.you're the greatest..Bravo.....!!!!!
Mashaallah na zidikuwaelewa..hongera doctor mwaka na wake zake rahaa kwl
Siri Ni Hela tu, Nothing Else, Ukiwq Na hela Kila kitu Huwa Laini
Kabisa
Modest Mkali ni kweli aisee
Hahaha kweli kabxa
Sure
Kabisa
MashaaAllah 😍😍😍
Mimi ni mkristo lkn nimempenda Dr mwaka ni gentleman.anaonekana anatoa haki sawa kwa wake zake
Manshallah mwenyez mungu awazidishie mapemazi fidunia walakhera mzidi kupendana
Mashallah jmn wazuri Queen kafanana na Zari
Sanaaaa
Mwanzo nlijua zari
Kabisaa yuko bomba baalaaa
Allah alisha sema uwoni wanawake hata wa 4 kama una uwezo wa kuwahudumia kwanzia mavazi mpk tendo la ndoa, na Allah amesema hivyo kwa sababu anawajua wanadamu vizuri kuliko sisi tunavyo jijua na amesema tuoe wanawake wengi ikiwa una uwezo kwa sababu Allah anajua kwamb wanaume hawawezi kutosheka na moja na pia kuna wajane Allah alisema wastirini
Alfalukau
th-cam.com/video/bAWxGhusG-8/w-d-xo.html
Hongera Ila kulaala na wake wawili chumba kimoja .turudini katka dini ya Allah haifai na si vizur .huo nu ukafir
Nguvu ya kuwa bibi wa pili ninayo lakini nguvu yakumkubali mume wangu aoe mke wa pili ndo sina jamani,nimesoma lesson lakini mashaallah mungu awazidishie
Roho ya Qeen ni safi kabisa
Kabisa
Mashaallah
Masha Allah hongera sana Dr. Mwaka your role model
Maashaallah mungu awape afya na maisha marefu wote mkiwa pamoja inshalaah na hongereni sana
Yote tisa lkn kumi lzma uwe n hela bila hela utayasikia tu kwa doctor mwaka
kweli kabisa
Kabisaaaa ukwel ndio huo
Hahahaaaaa
Paul mafuru umeonaeee
Huo ndio ukweli
Mashaallah Mwenyezi mungu awazidishie upendo wenu na mume wenu, Yaani hadi raha,
Wakenya wamtaka Rais Magufuli aende kwao akawanyooshe kidogo.
th-cam.com/video/CvC54oRI9nw/w-d-xo.html
Masha Allah barakallahu fiik wajazakallahu khair
Uko sahihi doctor kabisa 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
NELVIN MWANZA HAPA MPANGO MZIMA ELA KAMA MWANA UME UNA ELA UTAWALISHA WANA WAKE 2 PUMBA ELA KILA KITU
Mashaa Allah....sio mtanga kila kitu anakitaka yeye mpk mke mwenziwe anamgombanisha ... pamoja na watoto... duuuuh huyu mtanganiliyekuwa nae mkemweza hatari...angekuwa kama hao tungesikilizana.. anawataka watoto wng wende kwake wawe vibaraka wake
😀😀😀😀eti wawe vibaraka
Razima muwe marafiki sababu hamjui shida aliopitia bi mkubwa mpaka kuipata Mali hiyo wezi wakubwa nyie bi mkubwa popote ulipo nakupenda bureee kabisa wewe ndio mke wa doctor mwaka mwenye mapenzi ya kweli toka moyoni mungu akulindie Mrs mwaka og 😘😘😘😘😘😘😘😘😘hawa wengine wamefata Mali tu😏😏😏
Dr anahekima sana na hivyo ndivyo Allah amewahusia wanaume ...kawajua kuwa hawawezi kuishi bila matamanio lakini jee unaudilifuu ...??na ikiwa huna uadilifu basi ishi nae huyo mmoja ...mashallah wamependeza sana namavazi yao na walivyo Allah awajalie kheri na furaha
Wazuri Mashaalah
Wazuriiii
Alf mabrook doctor Allah awazidishie mapenzi
Mashaallh hongera Doctor mwaka
Masha allah mungu awajalie kheri kwenye maisha yenu
Nothing else money is taking...but i like it
Hongera sanaaaa wanawake mnapendana sn mnamoyo mwaya me siwezi ninawivu sn
MashaAllah🥰
Mke wa pili(Queen) ni Big mind.Ila tunachojifunza katika ndoa hizi za Dk.Mwaka ni kwamba PESA ina nguvu kusimamia ndoa zetu.Tutafute pesa !...
Kweli kabisa
Heshima Dr.mwaka umenifurahisha sana umetoa funzo kubwa sana kwa jamii
Mashallah jamn
Nilikuwa namuona mstarabu sana kumbe na yy yumo siwez olewa mke wa pili na kama nikiolewa sijampenda mwanaume nimependa pesa zake, asidanganye kila mtu ana wivu hao wanawake wamefata maisha mazuri anaepata maumivu ni mke wa kwanza anaemjua vizuri tangu wakipambana na maisha wakat mwingine ni vizuri kuwa na hela ila ukiwa na mwanaume mwenye pesa ishi ukijua ni cha ote sio wako labda akiwa hana pesa huyo ndo wako. Wala mm hujanifurahisha tabia ni kama ngoz haibadilk na mda si mref utaoa wa nne na bado michepuko itakuwepo mmmh jaman 🙉
Kwa kweli na kwa kua ana tamaa wakishafika wa4 atakachofanya ni kuacha mmoja kisha aongeze mwengine ni mwendo huo huo puu puu pesa hz
Ndyo fikra zako zako zilipoishia hapo...wapo wake wenza mume anapesa na hawaelewani hata...mkiwa mnamjua Allah kwa dhati wala katka dunia hii hupati shida na chochote..ukiishi kidunia dunia kweli shida ipo
Umeongea point
th-cam.com/video/bAWxGhusG-8/w-d-xo.html
Ya Rabby awazidishie upendo uzidi in sha Allah
Ndoa ya mke zaidi ya mmoja mume km hatojiamini akawa smart ndipo mizozo haitoisha .honger kaka kwa kuwamudu wake zako allah akusimamie
Wazuri Maasha Allah
Ukewenza Raha sana ALLAH atuwafikishe,nimeazimia kuongeza 2........4
Wakenya wamtaka Rais Magufuli aende kwao akawanyooshe kidogo.
th-cam.com/video/CvC54oRI9nw/w-d-xo.html
Innallah maswahabirina Hakika Nimejifunza kiktu hapa kwa kweli
Mashallah mungu awafanyie wepesi na awape maisha marefu ya ndoa yao
MashaAllah they're so beautiful 😍😍😍😍
Mashaallah Allah awafanyie wepesi inshaallah nme wapenda bure kwa mnavyo pendana Allah awazidishie Inshaallah
SIRI NI KUWA NA PESA TU... Mxyuuuuu 🤣🤣🤣
Mashaallah Allah awafanyie wepes inshaallah
Dr mwaka kachagua mashine haswaa wanafanana wazuri na wanaakili wako vzr mashalaah
Kwa kweli nasisimkwa na maneno ya Queen nimependa sanaa anaposema anampenda sanaa mke mwenzake😍😍 kwa kweli mnanihamasisha jaman... Nawapenda sanaaa jamani sanaaaaaa😍😍 Waturuki wanasema seni çok seviyorum çok çok seviyorum😍😍
Aziza nimependa ulipomalizia kwa kiturukiiii
Nonsense! This is what happens when you have no respect for yourself.
Da hii capo imekaa powa San gonga like Kama umeiyelewa
Mungu Asante sana kwa kuaibisha wazinzi waluiojificha ndani ya ndoa
Mashaallah... Dahh wallah miasha km hv rahaa ya dunia... Jmn
Queen Mrembo mashaallah
Nimeipenda sana hii story !!!inafundisha mengi
Asiyejuwa atapongeza lakini haifai
Honger xna Docter kwakuwastir wanawake Kama ni Pesa Kuna watu wanapesa mbona hawajathubutu kuoa bhana big-up Allah awajaalie uchamungu dealing xna maan shetan naeeee hyko mbali👃👃👃
Masha Allah
Mashaallah pendanen ila kwangu duuh
Jamani mimi Christian, but I love those queens 👑 God bless you guys😘😘👏👏
Nimemuelewa sana mtangazaji wa mwisho "kikubwa kwanza tutafute hela "
Mashallah nafurahi kuolewa mke wapili bimkubwa nampenda sana
dah, kuna watu wana bahati sana, yaan ingekuwa mimi ndo doctor mwaka, hiyo pumbu ningekuwa natembeza hapo ndani syo ya nchi hii, yaan kwanza ningejitengenezea dawa iniongeze nguvu niweze kunyoroshana mtaa kwa mtaa
..mnacheka na kusimulia utafikiri mnafanya mapenzi ya Mungu!ole wenu!!
Du hatare sana hii mungu hapendi
Mashaalallah
MashaAllah TabarakkahAllah
Ndoa ni mke moja kwa mwanamme moja, iyo ndio sawa