WAZIRI MKUU AKUTA MADUDU BWALO LA MILIONI 774, AMSIMAMISHA KAZI MHANDISI "MKURUGENZI MSTAAFU AITWE"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ส.ค. 2024
  • Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ambana Mhandisi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo kushindwa kusimamia matumizi ya Fedha ujenzi wa Bwalo shule ya Sekondari ya Wasichana Lugalo ambayo ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa shule hiyo
    Ashangazwa kutumika kwa fedha yote ya ujenzi wa Bwalo lakini mpaka sasa halijakamilika.
    Bwalo hilo lilipangiwa sh. milioni 774 na wamekwishatumia sh. milioni 341 hadi kufikia hatua ya linta ambayo ni sawa na asilimia 40 ya ujenzi wake.
    Aagiza asimamishwe kazi kupisha uchunguzi, yumo pia Mkurugenzi Mstaafu wa Halmashauri aliyestaafu mwezi Aprili mwaka huu, ambapo Mheshimiwa Majaliwa aagiza aitwe na ahojiwe.
    Mheshimiwa Majaliwa yupo mkoani Iringa kwa ziara ya kikazi.

ความคิดเห็น • 130

  • @PH-hg2vn
    @PH-hg2vn หลายเดือนก่อน +3

    Napenda sana Waziri Mkuu anavyofanya kazi, hivi ndo mawaziri wote wanatakiwa kufanya, hii nchi inatakiwa upelekwe hivyo, nipeni miezi 6 tu nisimamie engineers

  • @mohamedjakaya5355
    @mohamedjakaya5355 หลายเดือนก่อน +15

    Jukumu la ujenzi wangepewa JKT hao jamaa wanakula sana pesa za serikali wanaturudisha nyuma

  • @majaliwamsigwa6206
    @majaliwamsigwa6206 หลายเดือนก่อน +9

    Asante Mh,Waziri,kodi zenyewe tunalipa kimaumivu sana,mpaka vimitaji vimepukutika,halafu wao michenji kibao wanaficha mifukoni mwao.

    • @nsajigwamwakalonge5702
      @nsajigwamwakalonge5702 หลายเดือนก่อน

      Asante yako haisaidii tatizo watanzania wenyewe hawamjui adui yao

    • @MnubiMm
      @MnubiMm หลายเดือนก่อน

      ​@@nsajigwamwakalonge5702wewe unemjua usiingilie Uhuru wa Maoni ya watu huo ni Mtazamo wako Wala sio uhalisia uliopo haya mambo sio Kama wewe unavyofikili labda ungekuwa uliwahi hata kusimamia mradi hata wakwako tu ndio ungejua haya mambo lakini huku kupingapinga tu mladi haki unayo na Uhuru wa Maoni

    • @deniccgabriel6153
      @deniccgabriel6153 หลายเดือนก่อน

      We ujielewi unashukulu kwa kip tangu Waziri anasema kunamabadiliko?na kwanini yanajiludia kilasiku

  • @user-dk6lw9co5n
    @user-dk6lw9co5n หลายเดือนก่อน +7

    Majaliwa Nakuamini sana, sina shaka na uzalendo wako ulio tukuka

  • @shadrackdeogratius6760
    @shadrackdeogratius6760 หลายเดือนก่อน +3

    Kazi za serikali ni za ajabu sana,kwanza watumishi wake HAWAJUI kufanya kazi ndani ya Muda na KUOKOA Muda hawajui

  • @saidichikota9780
    @saidichikota9780 หลายเดือนก่อน +1

    Kazi nzuri PM

  • @JumaSospeter
    @JumaSospeter หลายเดือนก่อน

    Pole sana Engineer Sogachuma, kwa ninavyokufahamu hapo umetwishwa mzigo ambao sio wako, ila alikuwa anasema hakuna store ni kama has a worst plan to spoil your character and position

  • @cmellengotila1803
    @cmellengotila1803 หลายเดือนก่อน

    Pole sana eng Emmanuel sigachuma, ila mungu yupo tutakuombea. Nimesikitika sana ila mungu yupo.

  • @NasriSuleiman-pj4tw
    @NasriSuleiman-pj4tw หลายเดือนก่อน

    😮safi sana wanyooshe hao

  • @aflahrajabu9919
    @aflahrajabu9919 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu akupe umri mkubwa pm na hongera sana

    • @user-ng9bn3jj3x
      @user-ng9bn3jj3x หลายเดือนก่อน +2

      Wote hao ni wezi tu wangekuwa wanatenda haki wangewaambia pesa zote waziludishe,.ukishawasimamisha hizo pesa ndo zinludi?

    • @nsajigwamwakalonge5702
      @nsajigwamwakalonge5702 หลายเดือนก่อน +1

      Watanzania wenyewe hawamjui adui yao kazi kusifia tu unadhani yeye siyo mwizi!

  • @MaugadoMaugado
    @MaugadoMaugado หลายเดือนก่อน +1

    Muheshimw ttz hil litakuw endlevu,kwa sababu kweny hz sekta kuweka w2 ambao awana uchungu n hil taifa ila wanacho jali n m2mbo yao,bila kuwafunga Hawa au kuwataifisha itakuw saw n bule

  • @MasudiNammanje
    @MasudiNammanje หลายเดือนก่อน

    Huyu jamaa noma sana 6:11

  • @user-pi1st6pj3w
    @user-pi1st6pj3w หลายเดือนก่อน +4

    MUNGU Akubariki Sana Mheshimiwa Waziri Mkuu DAMU ya YESU Ikufunike. Simamia Haki

    • @nsajigwamwakalonge5702
      @nsajigwamwakalonge5702 หลายเดือนก่อน

      Yesu yupi nchi imejaa uwizi

    • @Ali-nl2du
      @Ali-nl2du หลายเดือนก่อน

      Damu ya marehemu Nabii Yesu bado haijakauka.ndugu yangu?

    • @MilloWamilonga-ft8ir
      @MilloWamilonga-ft8ir หลายเดือนก่อน

      Majaliwa sio mkristo hiyo damu ya yesu haimuhusu kijana.

    • @musapfute6608
      @musapfute6608 หลายเดือนก่อน

      ​@@Ali-nl2du uyu sio Muhammad ambae anakaburi,, yesu Hana kabur,, nyie komaeni na nguvu ya subiani, SS tuna nguvu ya damu ya yesu, na inatenda kazi

    • @musapfute6608
      @musapfute6608 หลายเดือนก่อน

      Kamwombea km waziri mkuu wake,, ajamuombea km kassim majariwa,

  • @LeonardmpembaMsemakweli-q8s
    @LeonardmpembaMsemakweli-q8s หลายเดือนก่อน +5

    MAJALIWA MUNGU AKUJAILIE NAKUOMBEA 2030 . Ugombee uraisi

  • @LovelyOmbreSky-pu4jt
    @LovelyOmbreSky-pu4jt หลายเดือนก่อน

    Hii ndiyotunataka wananchi siyoo watu wale tu pesa za walipakodi safii sana mama waache hawa wawatie adabu hawa watu bila ya hivi nchi aiyendi

  • @mochemba
    @mochemba หลายเดือนก่อน

    Hivi kwa nn tunafanya hivi jmn watumishi daaa yaani kila kona ya nchi hii hakuna sehemu salama, watu wanalipa kodi jmn kwa kujinyima TRA wanawafungia biashara zao Lkni watumishi wa serikali wanachezea pesa hovyo jmn hebu Watanzania tuache jmn haya mambo. Hawa viongozi watakuwa wanafika kila sehemu jmn? Pongezi waziri Mkuu Mi nakuaminia wewe na Mh Makonda mnafanya kazi, halafu hapo hapo unakuta mtu anasema oh watumishi wanadhalilishwa, je wananchi hawadhalilishwi kwa kuliwa pesa zao?

  • @MasudiNammanje
    @MasudiNammanje หลายเดือนก่อน

    Huyu jamaa noma sana

  • @heronimomsefya3190
    @heronimomsefya3190 หลายเดือนก่อน +1

    Safi sana

  • @user-qt7jd5on4z
    @user-qt7jd5on4z หลายเดือนก่อน

    Apo sawa mazee

  • @denisyohana8104
    @denisyohana8104 หลายเดือนก่อน

    ila nchi yetu ina vituko sana ,yaani hawa viongozi wa kuteuliwa wanaturudisha nyuma sana ,ni bora mchakato mwingine uwepo wa kupata viongozi wazuri ,ikiwezekana nao wafanyiwe mchujo yaani usaili,awe injinia ,mkurungezi afisa elimu wote waombe kazi na wawajiwe usaili na bodi husika nahisi tunaweza pata viongozi waadilifu...kila mtu ni mpigaji..tu

  • @patrinraura1397
    @patrinraura1397 หลายเดือนก่อน

    ASANTE Waziri Mkuu na Pole kwa KAZI ngumu ya kuthibiti ufujaji holela wa hela ya Serikali ambayo ni Kodi ya Watanzania Baadhi ya Watendaji waliopewa dhamana ambao ni wezi wa mali za Umma ni mzigo kwa Taifa.

  • @user-ww4so9ks9c
    @user-ww4so9ks9c หลายเดือนก่อน +5

    Mnasimamia haki dakika za mwishooo tunaijua hiyo saiv wajifanya mko active😊

  • @bilid4128
    @bilid4128 หลายเดือนก่อน +1

    Mmmh Bilioni 3 .....zimekwenda daaah ! Mwisho wa siku ni kwenda kukamua wamachinga walipe kodi .....daaah 😢😢 ! Mbona Hizo wanazoiba hawarudishi wanaishia tu kusimamishwa kazi ? Pesa nyingi zinaliwa ! Kwenye Masoko ,Minada kote kuna makusanyo ila hela inaliwa haifiki serikali kuu ! Mfano kwenye mnada wa ng'ombe na mbuzi kwenye vijiji kwa siku moja kinachokusanywa inaweza kufika hadi 10M kwa siku moja tu ! Ila utakuta Shule ya msingi choo hakuna ,Zahanati haina Dawa,Maji hakuna ..... ! Hii ndio Tanzania 😊

    • @nsajigwamwakalonge5702
      @nsajigwamwakalonge5702 หลายเดือนก่อน

      Na kukopa mikopo kumbe hela zinaisshia kwenye mifuko ya watu

  • @viatoryadam1556
    @viatoryadam1556 หลายเดือนก่อน

    Hiki mm ndo kinachoniuma rais anakopa ela Ila wanashindwa kuzisimamia wanakuja kusituka watu wameishamaliza ela alaf unakuta limtu et anaupiga mwingi ovyoo angekua anko magu hao maji Leo wangeita ma mungu ailaze roho ya magufuli mahali pema pepon Amina

  • @LiquidMatejoe
    @LiquidMatejoe หลายเดือนก่อน

    Ndomaaan watanzania awapewi kaz nje ya nchi kwa upuuzi kama huuu

  • @mohddelo
    @mohddelo หลายเดือนก่อน

    Safi sana mkuu

  • @PaschalGerad-xq4lw
    @PaschalGerad-xq4lw หลายเดือนก่อน

    Kasm majaliwa majalia rais wa jamuhuli yamuungano wa tz kila mtanzania atafrai sana tena sana atapita bila kupingwa namtu yeyote tunaamin munguyuo ipo skumoja atakuwa

  • @joojombi2341
    @joojombi2341 หลายเดือนก่อน

    Tzd wapigaji wengi yaani hao wote wapigaji na wesha zipiga hizo pesa. Takukuru wafanye kazi zao.

  • @razackndeze-pv5bm
    @razackndeze-pv5bm หลายเดือนก่อน

    Nchini China pamoja na Vietnam watumishi wa umma kama hawa hukumu yao ni kunyongwa.

  • @festohaule9716
    @festohaule9716 หลายเดือนก่อน +2

    Wizi,wizi,kira Ofisi ni Wizi mtupu..Kwanini Hatuwezi kujenga Nchi yetu pasipo dosari.....

  • @user-qm3hb4sz7y
    @user-qm3hb4sz7y หลายเดือนก่อน

    Watanzania wanyonge mungu anaona IPO siku atatukomboa tuu.

  • @kondoatown8765
    @kondoatown8765 หลายเดือนก่อน

    Hii namna ya ununuzi wa Tanzania mnatakiwa mkae muumize kichwa mno mbadili namna la sivyo hii nchi itabaki chini miaka yote sijajuaga mpk nimeingia ktk mfumo huu yaani watu wanajiongezea humo balaa , watu wanapiga mno kwny hii miradi wakirugenzi ndo mamamaaa aisee !! Tafuteni namna aisee laa !! Sivyo tutaumia na nchi itabaki chini miaka yote .

  • @Ali-nl2du
    @Ali-nl2du หลายเดือนก่อน +1

    Maguliwa hoyee

  • @francisgituti2494
    @francisgituti2494 หลายเดือนก่อน

    Huyo Majibu ya muhandishi ni tata haukuna kitu hapo ,ondoka nae

  • @UnitedAfrica-uw9ct
    @UnitedAfrica-uw9ct หลายเดือนก่อน

    Engineer anatwishwa mzigo usio mhusu........Manunuzi na Mkurugenzi

  • @julianprubavu4069
    @julianprubavu4069 หลายเดือนก่อน

    Hivi mtu hats amekwapua tu bilioni 3, kusimamishwa kazi inamuathiri nini. Mi nilitarajia akamatwe na kushitakiwa.

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 หลายเดือนก่อน

    Hawa watu wangekuwa wanarudisha fedha na wananyongwa

  • @jonasjonas8111
    @jonasjonas8111 หลายเดือนก่อน

    Hawa watu wasiojali wananchi kwann wasifungwe maisha/wasinyongwe ili wengine wajifunze? Always hayahaya mambo mwisho wake hatuuoni ni kufukuzwa kazi tuu then wat? Kesho Lazima arudie mtu mwingine coz watu hawaogopi kufukuzwa ikiwa walichoiba kinaweza wasaidia kuendesha maisha. Huu ni ushenzi

  • @vincentauxerbius7554
    @vincentauxerbius7554 21 วันที่ผ่านมา

    Wameshayatimba hukoo😂😂😂😂

  • @jumashedafa
    @jumashedafa หลายเดือนก่อน

    Safi san na ndio maana nasema serikali ianze kwa kudhibi upotevu wa fedha si kila cku kutuanzishia kodi mpya watu wanaumia mno...Ripoti ya CAG ifanyiwe kazi kila mtu alipe

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo หลายเดือนก่อน

    Bahati nzuri hakuna tumbua tumbua😂😂😂

  • @CotridaKigwile-d6p
    @CotridaKigwile-d6p หลายเดือนก่อน

    Hii nchi inachezewa sana

  • @caesar7745
    @caesar7745 หลายเดือนก่อน

    Waziri mkuu shida yenu hamja wahi waonyesha watu mfano. Unaiba mnachukua pension yake kama haitoshi mali zake na jela juu. Lakini kila siku eti takukuru. Halafu what. Tumewachoka sasa

  • @user-qm3hb4sz7y
    @user-qm3hb4sz7y หลายเดือนก่อน

    Kuleni TU hii nchi IPO siku mungu atatupa raisi kama magufuri.na wazili wake majaliwa.

    • @MilloWamilonga-ft8ir
      @MilloWamilonga-ft8ir หลายเดือนก่อน

      @@user-qm3hb4sz7y wewe ndio mpumbavu halafu kichwa chako kimejaa mavi ya kuku.
      Yaani muuwaji, utawala wa mkono wa chuma, na udikteta irejee?? Fala sana bwamdogo wewe.

  • @user-yb6ut9in5c
    @user-yb6ut9in5c หลายเดือนก่อน

    Saf wazri yani viongozi mgesimamiana kwa namnahiyo Tanzania tungekua mbari sana yani nchi imekua ni yawtu wachache tu na familiazao huku balabala maji vituo vya polisi sekta mbalimbali kumejaa matatizo na wazr mkuu ndy msimamiz mkuu tunaomba tusaidie na huku mlimba nako balabala baado hatuoni chochote kinachofanyika no janjajanja tu

  • @swaiagnes6696
    @swaiagnes6696 หลายเดือนก่อน

    Rais Samia anajitahd kutafuta fedha lakini wateule wake wanamwangusha😢

  • @FrancisMtema-s9t
    @FrancisMtema-s9t หลายเดือนก่อน

    Kilolo we acha tu Kuna miradi ya maji pasua kichwa sana.mradi wa bilioni 1.5,hakuna mabirika ya kunyweshea mifugo.mabomba feki.

  • @alidamgeni7051
    @alidamgeni7051 หลายเดือนก่อน

    Ni wapi hapa

  • @ponsianomnyaru9140
    @ponsianomnyaru9140 หลายเดือนก่อน

    Tatzo lipo na rais wetu anasema kulen kidogo msile sn

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 หลายเดือนก่อน

    Hizi ndio sababu tuna chukiaa kulipaa kodi ona ujinga wanao fanya milion 774 ni pesa inge weza fanya mambo makubwa sana ila wanaa tafuna

  • @sautiyawanyonge2511
    @sautiyawanyonge2511 หลายเดือนก่อน

    Hapo hamna kitu

  • @CostantineAmos
    @CostantineAmos หลายเดือนก่อน

    Tunaomba.ukumu yake if anyike haraka Kam ilivokuwa kwa yule jamaa aliechoma picha ya mama..Ili haki itendeke

  • @rehemashabaniameen
    @rehemashabaniameen หลายเดือนก่อน

    Jamani watu mtakuja kuleta misiba isiyo ya lazima, hembu tazama sasa unaambiwa huna kazi ukiwa unatafakali hapohapo unaambiwa unakwenda mahakamani mtu hajafa tu hapo 😂😂😂😂

  • @zubeiramlanzi2480
    @zubeiramlanzi2480 หลายเดือนก่อน

    Dah pesa nyingi imetoka lakini wapi...

  • @emmanueldavid9506
    @emmanueldavid9506 หลายเดือนก่อน

    Tunaombeni kazi jamani mbona mnatoa fedha nyingi hivyo?ndio maana wanajipigia tu. Nilishawaambia tupeni kazi sisi wakandarasi/mafundi local mbona hamuelewi?

  • @shabanipanya1033
    @shabanipanya1033 หลายเดือนก่อน

    Sisi watu weusi tuna matatizo gani kwa nini hatuwaonei watu huruma tunao waongoza

  • @msafirimiracle6613
    @msafirimiracle6613 หลายเดือนก่อน

    Kukopa fedha sio shida,shida ni usimamizi wa fedha

  • @user-qd8wu1kt5o
    @user-qd8wu1kt5o หลายเดือนก่อน

    Ifike mahali wanaopewa dhamana ya miradi ya maendeleo kwa watanzania,ukomeshwe udhalimu na ubadhirifu wa fedha umma.

  • @jameshensdouglass7632
    @jameshensdouglass7632 หลายเดือนก่อน +1

    majizi

  • @festohaule9716
    @festohaule9716 หลายเดือนก่อน +2

    Kazi ya uchawa tu..Mama Samia Mama Samia kazi ahaaaa!!!!!

    • @MilloWamilonga-ft8ir
      @MilloWamilonga-ft8ir หลายเดือนก่อน

      @@festohaule9716 wewe ndio mchawi sasa, sijui ni wale chagadema naona.

    • @festohaule9716
      @festohaule9716 หลายเดือนก่อน

      @@MilloWamilonga-ft8ir Kazi yenu ni uchawa tu..ety Madawati mpaka aje Waziri Mkuu shenzi ..Mkoa unalundo la Viongozi!!!! Kama wewe unapendezwa na tabia za kifasadi wewe ni Zezeta shenzi!!!!!

    • @MilloWamilonga-ft8ir
      @MilloWamilonga-ft8ir หลายเดือนก่อน

      @@festohaule9716 tuamsifia makengeza mbowe mwenye saccos binafsi.
      Lissu na wengine ni vidampa tu.
      Halafu katiba mpya shwaini.
      Miaka 34 m/kiti ndio yeye tu kwa kisingizio cha utithi kutoka kwa baba mkwe Mtei fankulo

    • @festohaule9716
      @festohaule9716 หลายเดือนก่อน

      @@MilloWamilonga-ft8ir Mbowe anakusanya Kodi wapi!!! Mazezeta bhana!!!! Kusifia tu Madawati tu kukagua mpaka Waziri Mkuu wa Nchi ety!!!! Uozo mtupu..ni aibu kwanza .vitu vya kufanya Mtendaji wa kati aje Waziri Mkuu ety!!!!

    • @MilloWamilonga-ft8ir
      @MilloWamilonga-ft8ir หลายเดือนก่อน

      @@festohaule9716 kumbe hujui, kuna ruzuku kibao hutumwa kila chama cha upinzani na saccos ya mbowe inaongoja.
      Anashindwa hata kutoa panadol yeye na mikutano tu kuwazuga wenzake.
      Usisahau makengeza ni mlambaji mzuri wa asali kutoka ikulu.
      Ww chelewa tu.

  • @user-cj1ft4mw2l
    @user-cj1ft4mw2l หลายเดือนก่อน +2

    Wanasimamisha watu hewa, hakuna hata anaesimamishwa hapo

  • @HamisiPawa
    @HamisiPawa หลายเดือนก่อน

    Hv mradi kama huu mpka waziri mkuu ufike ndio uonekane wawakilishi wa rais walikuwa wapi kipindi chote hebu waanze kwa wateuliwa wa rais wa mkoa huo

  • @saimonwantango9569
    @saimonwantango9569 หลายเดือนก่อน

    Ifike mda tuanze kupigana risasi hadharani kwa wale wanaokula pesa za serikali

  • @mustaphamuslim1161
    @mustaphamuslim1161 หลายเดือนก่อน

    Yaaaan hawa watumishi wengine ni kama makondooo

  • @vicentmapunda3146
    @vicentmapunda3146 หลายเดือนก่อน

    Iv hapo cjaelewa jmani/ni bilion mia saba au mialion mia saba

  • @josephngwega7398
    @josephngwega7398 หลายเดือนก่อน

    Du hali ni ngumu sana

  • @LiquidMatejoe
    @LiquidMatejoe หลายเดือนก่อน

    ata shule ya mama samia uku namtumbo niwiz mtupu akunamaendeleo yoyote

  • @user-kg4lx3uf4o
    @user-kg4lx3uf4o หลายเดือนก่อน

    Hapa ni mkoa gani jaman

  • @yohanamuumbe4628
    @yohanamuumbe4628 หลายเดือนก่อน

    Hawa wasimamizi hawana kitabu chamanunuzi na matumizi, wameenda mikono mitupu,kweli hapo lazima hesabu zipoteane

  • @juliuskitaluka1206
    @juliuskitaluka1206 หลายเดือนก่อน

    Changamoto kubwa sana

  • @mweyoms5548
    @mweyoms5548 หลายเดือนก่อน

    Majizi yanafilisi nchi hii kama watakavyo

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi7637 หลายเดือนก่อน

    Serikali msipokuwa wakali...iii

  • @user-qd8wu1kt5o
    @user-qd8wu1kt5o หลายเดือนก่อน

    They are not needed in development project plan

  • @jordanmbata4227
    @jordanmbata4227 หลายเดือนก่อน

    Heee pungua tena

  • @LilianRobert-j1u
    @LilianRobert-j1u หลายเดือนก่อน

  • @NaidaMfaume
    @NaidaMfaume หลายเดือนก่อน

    Ushauliwangu kwa wazili mkuu wewesepanavioziwote wamkoa kwanimkuuwa mkoa anafanya kaziga mkuu wawila anafanyanini wotehao wanateni pasenti timua wakalime lakini hawawatu mnawafuga ndio sababu ya uozo wote huo

  • @mamodelmam
    @mamodelmam หลายเดือนก่อน

    Walipe izo pesa kama kwa kutaifishwa mali ili siku nyingine wajifunze we unakulaje pesa zote izo na uoga huna Mxieeeeeew watu tunatoa makodi kila kukicha af nyie mzile tu bila aibu

  • @gwakisakaswaga5249
    @gwakisakaswaga5249 หลายเดือนก่อน

    there are times nashindwa kujizuia.... kuonesha vile nisivyokuwa muumini wa the so called *utawala bora* yaani hapo unahitaji kuwasikiliza viongozi waliolaza bilioni tatu hapo????

  • @macksonimwandemele42
    @macksonimwandemele42 หลายเดือนก่อน +1

    mkuu tunakuombea san wamesha jisahau hao

  • @gloriamichael7935
    @gloriamichael7935 หลายเดือนก่อน

    Kiteve huwezi sema hapo uwiiiii

  • @MenelusCzar
    @MenelusCzar หลายเดือนก่อน

    YAANI TUTAFIKA MBINGUNI TUKIWA HOI SANA🥹

  • @user-qd8wu1kt5o
    @user-qd8wu1kt5o หลายเดือนก่อน

    Hao bd

  • @samiraabdimahamed4449
    @samiraabdimahamed4449 หลายเดือนก่อน

    😡😡😡😡😡 wote wapigaji hata huyo Waziri mwenyewe , Mungu atawakata hata kama nikutoka kwa familia zenu. Eti amesimamiahwa kazi , yaani wameshazoea Iba utakavyo mwishoni huna adhabu yoyote zaidi ya kusimamishwa kazi uka enjoy pesa uliyoiba, yaani wanatuona wajinga 😢😢😢 endeleeni tu kushibisha matumbo yenu .

  • @godfreymwikola8232
    @godfreymwikola8232 หลายเดือนก่อน

    Wezi hao wanajaza vitambi tuuu

  • @user-ui5xc6sb5m
    @user-ui5xc6sb5m หลายเดือนก่อน

    Baba Maja kamua baba

  • @edmundnkarangu134
    @edmundnkarangu134 หลายเดือนก่อน

    Pamoja ni hiyo hela kupigwa bado pia na serikali ijitafakar yaani unatenga mil 774 zote kwa ajiri ya bwalo kweli??? Kwanini lisijengwe la kawaida halafu pesa zingine zitumike kununua vifaa vinginw vya shule au ata zipelekwe maeneo mengin kabisa penye uhaba

    • @fredrickkashinje894
      @fredrickkashinje894 หลายเดือนก่อน +1

      Hahahaha. 774M ni nyingi kwako tu hamna pesa hapo

    • @danielmwanguku2898
      @danielmwanguku2898 หลายเดือนก่อน

      Brother hatujengi ilimradi tuu Hilo jengo mbaka vitukuu vyako watatumiaa

  • @aikt.
    @aikt. หลายเดือนก่อน

    Leo naomba kuuliza wenzangu, hivi hawa wafanyakazi wakishafukuzwa kazi kuna hatua zinachukuliwa au ndo kashafukuzwa halafu basi??? 🥲

    • @mwanaidimussa
      @mwanaidimussa หลายเดือนก่อน +1

      Wachache sana wanaochukuliwa hatuaa 😢, wengine wanapiga pesa wanasbiri kfukuzwaa tu

    • @aikt.
      @aikt. หลายเดือนก่อน

      @@mwanaidimussa hapo hapajabadilisha chochote

  • @gloriamichael7935
    @gloriamichael7935 หลายเดือนก่อน

    Mpe muda msikilize ili wajieleze vzr

    • @rpynoel566
      @rpynoel566 หลายเดือนก่อน

      Kiongozi kama wazir mkuu anapotembelea mradi anakua na taarifa zote kabla hajafka kwaio anajua hujuma zipi zinaendelea.

  • @jolitabukabengwe3070
    @jolitabukabengwe3070 หลายเดือนก่อน

    Mama SAMIA SULUHU HASSAN uache kukopa.
    Dhibiti Majizi yanayoiba pesa za serkali.
    Majitu haya hayana na huruma na sisi watanzania Masikini mmnaotubana kulipa Kodi hafu yenyewe yanaiba pakubwa.
    Unakopa nyingi yanatumia kidogo hafu yanaiba nyingi..
    Haina haja ya kuendeleza kukopa mama yetu. Kama vipi myanyonge tuu

    • @zully756
      @zully756 หลายเดือนก่อน

      Dawa ni kugoma kulipa kodi

  • @AhmadiMuhibu
    @AhmadiMuhibu หลายเดือนก่อน

    Tumbua

  • @wazarendotv7966
    @wazarendotv7966 หลายเดือนก่อน

    Engineer wanamuonea injinia anasimamia ujenzi na sio fedha hapo shida ni mkurugenz wamekuta tuu baba wa watu hajui kujielezea

    • @hamzanyangali2941
      @hamzanyangali2941 หลายเดือนก่อน +1

      Wakati wa kuidhinisha malipo injinia Kuna Saini yake, hata hivyo ndo maana unafanyika uchunguzi ili kama hakuhusika atarudishwa kazini

    • @JumaSospeter
      @JumaSospeter หลายเดือนก่อน

      Huyu Engineer ni classmate wangu chuoni, siamini kama tuhuma hizo zinamhusu, kama wametumia 44% ya fedha tu tafairi yake hawajapokea fedha zote ila Hela zomekuja chache na team ya ujenzi ikaamua kuanzisha miradi yote Kwa pamoja pasi na kujali hii ni pesa ya bwalo au darasa

  • @karyori69
    @karyori69 หลายเดือนก่อน

    Mlipomtoa Jafo tulijua hili litarudi!

  • @MenelusCzar
    @MenelusCzar หลายเดือนก่อน

    Wafukuzeni kazi wajinga wajinga woteeeeeeeeeeee Jamani wenzenu tumechoka kuona na kusikia wizi kila kukicha🥹🥹🥹🥹🥹

  • @edwardpeter8569
    @edwardpeter8569 หลายเดือนก่อน

    Chapa kazi nchi hii wahuni wengi kwa mambo ya kijinga bila kuona mbele huyu alipaswa kufungwa bila kusikilizwa

  • @subiramwaka9792
    @subiramwaka9792 หลายเดือนก่อน

    Swala sio kumsimamisha tu pia wakipatikana na hatia fedha za umma zirudishwe

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi7637 หลายเดือนก่อน

    Wana lengo la kumhujumu Rais.