WAZIRI MKUU MAJALIWA AMSIMAMISHA KAZI MKURUGENZI na MWEKA HAZINA, WAJICHANGANYA FEDHA za SERIKALI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ส.ค. 2024
  • WAZIRI MKUU MAJALIWA AMSIMAMISHA KAZI MKURUGENZI na MWEKA HAZINA, WAJICHANGANYA FEDHA za SERIKALI
    amemuagiza Kamanda wa TAKUKURU mkoa wa Kigoma, Steven Mafiga afanye haraka kuwachunguza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza, Bi. Zainab Mbunda na Mweka Hazina wa Wilaya hiyo, Bw. Majjid Mabanga ili kubaini ni kwa nini miradi haiendi wakati fedha zilishatolewa kitambo.
    CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
    ========================
    Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

ความคิดเห็น • 119

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  11 หลายเดือนก่อน +1

    JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU! Ingia kwenye simu yako📲, NAMBA YA KAMPUNI 553111, KUMBU NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1,000! Utapaja ujumbe wa USHINDI!

  • @franknjau5578
    @franknjau5578 11 หลายเดือนก่อน +6

    Mungu azidi kukutetea mh. PM. Watanzania tunataka utendaji wa namna hii.

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 11 หลายเดือนก่อน +8

    Kama Kuna mtu ninayempenda ni mwl majaliwa nakupenda bure

  • @kiazikitamu3985
    @kiazikitamu3985 11 หลายเดือนก่อน +6

    Mbona wezi CAG hawakufukuzwa makosa ni yenu huko juu mnawaonea tu hawa wa chini hamna lolote mtoke kwenye ofisi za umma wote hamfai MACCM

    • @Muganyizi
      @Muganyizi 11 หลายเดือนก่อน

      Mbwa wew

    • @kiazikitamu3985
      @kiazikitamu3985 11 หลายเดือนก่อน

      @@Muganyizi bora niwe mbwa kwa kusema ukweli kuliko kuwa binadamu asiejali utu na Watanzania na tabia ya mbwa kama ukivyoniita ni kulinda sasa wacha nilinde na ni kulinde hata wewe watanzania mnadanganyika haraka mno ujinga wetu ndio mtaji wao, mbwa nawapenda na rafiki kwa binadamu kwangu sio tusi ni cheo umenipa

  • @mukhtaribura6159
    @mukhtaribura6159 11 หลายเดือนก่อน +8

    Wewe waziri mkuu acha kutumbua wadogo tumbua na vigogo sio wadogo tumbuwa wote wanaiba mali ya umma..kama vile ,mkamba,mchemba,na wengineo tumbua

    • @samsonkihwele6544
      @samsonkihwele6544 11 หลายเดือนก่อน

      Kazi ya raisi sio waziri mkuu kutumbua

    • @thomastemu3332
      @thomastemu3332 11 หลายเดือนก่อน

      Makamba ndo Papa kabisa hafai

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 11 หลายเดือนก่อน +7

    Tume miss hii kitu yaani waziri mkuu nakupenda saaaana 2025 ndo Rais wetu

    • @geraldmakalala6091
      @geraldmakalala6091 11 หลายเดือนก่อน +2

      Hapa na mkumbuka Hayati Magufuli

    • @laurentraphael5470
      @laurentraphael5470 11 หลายเดือนก่อน

      Sidhani

    • @magrethmbangama1199
      @magrethmbangama1199 11 หลายเดือนก่อน

      Hawawezi kump nchi mafisadi wale,wanajua wakimpa huyu ni zaidi ya magufuli

    • @florencemeza6540
      @florencemeza6540 11 หลายเดือนก่อน

      @@magrethmbangama1199 eti ehe tuingie kwenhe maombi

  • @yonaalmasy8158
    @yonaalmasy8158 11 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu akubaliki waziri mkuuu mm ni chadema lakin unanivutia utendaji wako mkuu

  • @michaelkimweri1074
    @michaelkimweri1074 11 หลายเดือนก่อน +1

    Pole waziri mkuu tunakukubali,sana

  • @mtundipaul5748
    @mtundipaul5748 หลายเดือนก่อน

    Ondoka now hao waziri wetu m mungu akupe afya njema tu

  • @michaelkimweri1074
    @michaelkimweri1074 11 หลายเดือนก่อน

    Mama amekataa mabango,yalikua yanafichua Siri hizi,sasa waziri wetu mkuu anapata shida Bure,pole waziri wetu mkuu.

  • @bakarirajabu3783
    @bakarirajabu3783 11 หลายเดือนก่อน +2

    MH WILAYA YETU YA UVINZA HATUNA VIONGOZI MZEE VIONGOZI HOTE NI WEZI MZEE WANAKUCHOSHA TU HAO SWENKA HOTE NDANI

  • @AbdilahiMriri
    @AbdilahiMriri 4 วันที่ผ่านมา

    Vinginevyo mkitoka hapo tu ni basi hata takukuru anakupoteza mhe PM.

  • @mohammedalghannami3150
    @mohammedalghannami3150 11 หลายเดือนก่อน +2

    Kassim Majaaliwa, Rais Mzalendo ajae wa Tanzania

    • @abuumuhammad7133
      @abuumuhammad7133 11 หลายเดือนก่อน

      Lakini tambueni hiyo ndio kazi ya Waziri Mkuu Mtendaji Mkuu wa Serekali hivyo yeye ndio anatakiwa mara kwa mara afwatilie hayo sio kazi ya Rais

    • @mohammedalghannami3150
      @mohammedalghannami3150 11 หลายเดือนก่อน

      @@abuumuhammad7133 kweli kwahakika wote wanamuakilisha Rais ila Majaliwa anaonekana ni mtii mzuri zaidi Kwa Mama, na ana uchungu na nchi yetu

    • @user-od9cf7lp9v
      @user-od9cf7lp9v 11 หลายเดือนก่อน

      Waziri mkuu hawezi kuibua changamot za Kila wizara na mambo yake lazim wasaidiz walioaminiw wawe watendandaji,,, Kam msingi ukiharibika mweny haki atafanya nn

  • @AbdilahiMriri
    @AbdilahiMriri 4 วันที่ผ่านมา

    Hapo ni kusema kuwa shida ni ufuatiliaji ambapo DC na RC hawana jukumu la kulazimika kufuatilia.

  • @AbdilahiMriri
    @AbdilahiMriri 4 วันที่ผ่านมา

    Kama hela ziko unapiga simu kwa meneja wa Benki tu unapata ukweli kwa dakika moja.

  • @ankoanko-zz7it
    @ankoanko-zz7it 11 หลายเดือนก่อน +1

    Jionee mwenyewe mkuu

    • @user-ii6gs2jg4g
      @user-ii6gs2jg4g 5 หลายเดือนก่อน

      Yaaani😭😭😭😭😭

  • @mustaphersamson6174
    @mustaphersamson6174 11 หลายเดือนก่อน +1

    DUHHHHHHHHHH, MBONA KIZUNGUMKUTI??????,

  • @leylasaid9641
    @leylasaid9641 11 หลายเดือนก่อน

    MPK WAFUATWETUATWE HAWAJITUMI-WATUMBULIWE WAPO WASOMI WENGI HAWANA KAZI.HAWAONI AIBU MPK WAZIRI MKUU AFUATILIE

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 11 หลายเดือนก่อน +3

    Mtu anazembea hapa, na kuiba hapa mnamuhamisha idara, tutafika kweli, ??? Watu wanapewa mihela hawajui hata matumiz,

    • @PLAYPROGAMING568K
      @PLAYPROGAMING568K 11 หลายเดือนก่อน

      Ni kweli ukihamisha hamisha ugonjwa uko palepale ni kuondoa ondoa haswa wa chini ondoa mpaka messenger anajifanya ndiyo anaulizwa ati hii inafanyanini ?na au huyo hapa panahudumiwa na nani ?au mgambo ni anampa maelezo yule aliyeletwa yaani kutoka chini mpaka juu ni muozo tafuta waliyosoma wako wengi University of Dar es salaam wanatafuta kazi ,hawa imelemaa hawafuatili na wala hawasomi karasi yoyote wanayoletewa

  • @mukhtaribura6159
    @mukhtaribura6159 11 หลายเดือนก่อน +2

    Tumbua pia mawaziri wako mpka sasa watanzania awapati umeme na maji

  • @nenolauzima5281
    @nenolauzima5281 11 หลายเดือนก่อน +1

    Haya mambo tumeyamiss sana...

  • @BIGSTONE-lb9po
    @BIGSTONE-lb9po 10 หลายเดือนก่อน

    Kwambali namuhona JPM.NGOMBEYA URAHISI BABA CASSIM MAJALIWA.

  • @KhamisHaji-pw4jo
    @KhamisHaji-pw4jo 11 หลายเดือนก่อน

    Good

  • @user-rs4vz2vt9z
    @user-rs4vz2vt9z 11 หลายเดือนก่อน

    Naomba namba yako muheshimiwa.this is voice of Gog.

  • @KhamisHaji-pw4jo
    @KhamisHaji-pw4jo 11 หลายเดือนก่อน

    Good 👍👍👍👍

  • @user-xx8jx6tb7d
    @user-xx8jx6tb7d 11 หลายเดือนก่อน +1

    Kwanin wakipewa hela wanakaa nazo kwa muda wote huo, wanatakiwa wakipewa hela wapangiwe mda wakuitumia na pia kila kitu kiende kwa hesabu

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 11 หลายเดือนก่อน

    Watu wazima hawa kweli???? Yatumbulie mbali!!! Kisha wanunuliwe ma probox na sio V8. Hata kujieleza hawezi itabidi utembeze bakora this is too much!!

  • @zuberigangisa2075
    @zuberigangisa2075 11 หลายเดือนก่อน

    Kazi zao hao ni kutengeneza migogoro tu kwenye halimashauri zetu

  • @jasiriasili3694
    @jasiriasili3694 11 หลายเดือนก่อน

    Njoo na ilemela mwishimiwwa waziri mkuu huyu mkurigenzi kalia pesa ya maji😊

  • @idyjumanne9796
    @idyjumanne9796 11 หลายเดือนก่อน +1

    Wezi ao wamekula Ela zetu za walipa Kodi na tozo zetu ss Kodi nyngi walaji wachache

  • @karimmunis8302
    @karimmunis8302 11 หลายเดือนก่อน +1

    Tatizo ni huyo bibi hapo juu ndo anaturudisha nyuma mambo hayaendi ,na bi mkuubwq yupi tu kupaka hina

  • @HashimYahaya-hd3zm
    @HashimYahaya-hd3zm หลายเดือนก่อน

    Naomba niurize kwamagufuri wizi mbona ukuwa ivi shida awa watumishi wana mashindano yakupata mari mara majumba mazuri mara magari mara magesti yani nitatizo nyerere wara hakujirimbikizia mari

  • @zainul-hassanhussein
    @zainul-hassanhussein 11 หลายเดือนก่อน

    Wanamuhuju Our President Her Excellency SAMIA SULUHU HASSAN.Accountability

  • @melanialeonard4031
    @melanialeonard4031 11 หลายเดือนก่อน +2

    Timua viongozi wote wanaohusika na umeme

  • @FredMwamgogwa-td6ni
    @FredMwamgogwa-td6ni 11 หลายเดือนก่อน

    Daaaaah inasikitisha sana

  • @mukhtaribura6159
    @mukhtaribura6159 11 หลายเดือนก่อน +2

    Hao wanafundishwa na akina makamba ndio walimu wa kula rushwa..

    • @thomastemu3332
      @thomastemu3332 11 หลายเดือนก่อน

      Ndiyoooo 😢 kabisa

  • @deoprosper556
    @deoprosper556 11 หลายเดือนก่อน

    Hayo mabilioni tajwa mpk kichwa chaniuma

  • @directorabiero340
    @directorabiero340 หลายเดือนก่อน

    Upo kwenye hako

  • @mweyaiddy
    @mweyaiddy 5 หลายเดือนก่อน

    Mzee wangu nakuelewa but kwa xx huna nguvu ya kuongea km ulivyo kua nyuma 3yrs

  • @user-cc4jk1ll5v
    @user-cc4jk1ll5v หลายเดือนก่อน

    Wezi hao chunguza huwezijiamlia fungu lakitukinginenakupeleka kwingine Tanzania ni shidaaaaaaaa

  • @gloriamichael7935
    @gloriamichael7935 11 หลายเดือนก่อน

    Mhuuuuuuuu nanyi mnabeba hata ambao hawayajui mambo ya halmashauri hayo sasa

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 11 หลายเดือนก่อน +1

    Mkurugenzi wa hovyooo saana ni kilaza kabisaa

  • @user-ii4zj1jm6v
    @user-ii4zj1jm6v 10 หลายเดือนก่อน

    Hapa kazi tu fanya kazi baba

  • @thomaskwibonelwa9240
    @thomaskwibonelwa9240 11 หลายเดือนก่อน +1

    Kupeana vyeo kwa misingi ya udini italiangamiza taifa. Mkurugenzi anaonekana kilaza.

    • @abi-onlinetv4181
      @abi-onlinetv4181 11 หลายเดือนก่อน

      We ndo kilaza tena Sana. Hapo kuna dalili gani ya udini au umeropoka tu. Makalio yako.

    • @thomaskwibonelwa9240
      @thomaskwibonelwa9240 11 หลายเดือนก่อน

      @@abi-onlinetv4181 vaa miwani uone kilaza alie teuliwa.

    • @Hussein-qq2uy
      @Hussein-qq2uy 11 หลายเดือนก่อน

      Wewe Thomas ndio mdini tena hufai kabisa Acha chuki zako za kijinga na za ajabu ajabu,,,,kwa taarifa yako huo ushungi aliovaa mkurugenzi ndio ustaarabu na ndio heshima ya mwanamke ,,,,,,,,mdini mkubwa weee

  • @zuberigangisa2075
    @zuberigangisa2075 11 หลายเดือนก่อน

    Hayo matatizo ya halimashauli hata Namtumbo yanasumbua sana kiongozi

  • @ramadhanisalum7476
    @ramadhanisalum7476 11 หลายเดือนก่อน

    manawaonwa bwana nyinyi mbona mnakwiba alafu manonea hao CCM HAITUFAI BWANA HATUATAKI TENA

  • @gloriamichael7935
    @gloriamichael7935 11 หลายเดือนก่อน

    Mhuuuuuuuu pole ded

  • @hamadmakame6040
    @hamadmakame6040 11 หลายเดือนก่อน +1

    HUYU NDIO TUNAE MUHITAJI SAASA

  • @eliannko
    @eliannko 11 หลายเดือนก่อน

    Cheki lile jizi lililo Vaa shati la kijani

  • @fredyfile623
    @fredyfile623 11 หลายเดือนก่อน +1

    Sishangai bcz hayo ndo madhara ya kupita bila kupingwa wangechaguliwa kwa haki wangesimamia hayo vizuri lakini wooote ni ccm hivyo wamefumbwa macho.

  • @RehaniKharidi-st4oe
    @RehaniKharidi-st4oe 11 หลายเดือนก่อน

    Raisi ajae hataari Sana mama anamajembe

  • @barikimohammed
    @barikimohammed 11 หลายเดือนก่อน +1

    Naukiwakuta bar hao hatukai nao maboss wakula pesa zetu

  • @user-ii6gs2jg4g
    @user-ii6gs2jg4g 5 หลายเดือนก่อน

    Duuu na leo kimeumana tena😂😂

  • @user-cc4jk1ll5v
    @user-cc4jk1ll5v หลายเดือนก่อน

    Bb hapo hakuna fedha

  • @user-wc8qm1lk7n
    @user-wc8qm1lk7n 3 หลายเดือนก่อน

    Waziri Mkuu maeneo yote yanengwe

  • @martinbarua9962
    @martinbarua9962 10 หลายเดือนก่อน

    Namkubali sana kassim majaliwa😂😂

  • @michaelkimweri1074
    @michaelkimweri1074 11 หลายเดือนก่อน

    Magu alieanyoosha Hawa,Sasa wamerudi kwa Kasi kwaajili ya kulindana,kilamoja anakula urefu WA kambayake .....

  • @user-cc4jk1ll5v
    @user-cc4jk1ll5v หลายเดือนก่อน

    Waziri mkuu haondio wasomi aliwafukuza lasaba lasabawalikuwanaweledi sana nawaaminifu kuliko hao wasomi sasakikowapi nchihiii nishidaaaaaaa

  • @NsobiLema-wq9vh
    @NsobiLema-wq9vh 11 หลายเดือนก่อน

    Mweshimiwa ungekuja hata mbarali tunateseka umeme unakatwa mpka jumapili

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 11 หลายเดือนก่อน

    Ingekuwa enzk za JPM WOTE MNGEFUKUZWA wananchi wanacheka wanajua kinachoendelea

  • @denisyohana8104
    @denisyohana8104 11 หลายเดือนก่อน

    naombeni basi na mimi nafasi nijaribu ,mbona naweza simamia vizuri sana ..

    • @thomastemu3332
      @thomastemu3332 11 หลายเดือนก่อน

      Hahaaa hela tamu.unaweza kujisahau

  • @cleophacephelician6739
    @cleophacephelician6739 11 หลายเดือนก่อน +1

    HIYO HAIKIBALIKI, RAIS WETU ANATAFUTA PESA SOTE NI MASHAHIDI, ALAFU WATU WACHACHE WALIOPEWA DHAMANA WANASHINDWA KUTEKELEZA MIRADI NA WANANCHI WANAENDELEA KUPATA SHIDA, TUNAOMBA HATA KAMA PESA HAWAJAILA, KWA KOSA TU LA KUCHELEWWSHA MIRADI, WAWAJIBISHWE!?

  • @elihurumanada4874
    @elihurumanada4874 11 หลายเดือนก่อน

    Fukuza mkuu wa mkoa Kigoma na mkuu wa wilaya kwasababu ni aibu kubwa kwa waziri mkuu kuibia uozo

  • @zachariathomas9980
    @zachariathomas9980 11 หลายเดือนก่อน

    Hivi huyo mzee alikuwa amezuiliwa au

  • @user-cc4jk1ll5v
    @user-cc4jk1ll5v หลายเดือนก่อน

    Wamekulaaaaaaaaaaaaaaa

  • @Jandugu
    @Jandugu 11 หลายเดือนก่อน

    CCM naifananisha na nyumba yenye panya waswahili alisema paka akitoka panya hutawala paka wa ccm alikuwa Magufuli kwa hiyo mapanya wanachezea mishahara yao na pesa za miradi ya maendeleo.
    Pia sio kila anae lia eti ana majonzi
    Wala sio kila anaepiga kelele amekasirika wengine ni furaha na mzaha . sijawahi kuona sabuni na uchafu vikakaa pamoja .
    Kapigiwa pasi fupi fupi kashindwa kukaba muweka hazina kasema pesa hakuna uchunguzi wa nini paka akitoka panya hutawala.

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 11 หลายเดือนก่อน +1

    Watumishi huwa wanahamishwa saaana huenda wote hapo wameyakuta hayo mauza uza

  • @WilbertDede-qp6gs
    @WilbertDede-qp6gs 11 หลายเดือนก่อน

    Wasimamizi ngazi ya wilaya na mkoa mbona hawaajibishwi

  • @mbmbwana
    @mbmbwana 11 หลายเดือนก่อน

    PM

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 11 หลายเดือนก่อน

    Nchi hii inapigwa kila kona, sababu ya viongozi wazembe na dhaifu. Mjiuzulu tu wote, wachumia matumbo tupu

  • @saudmohammed3390
    @saudmohammed3390 11 หลายเดือนก่อน +1

    Tatizo wizi mtupu hakuna mawazo ya kujenga watu wanataka kuuza

  • @user-cc4jk1ll5v
    @user-cc4jk1ll5v หลายเดือนก่อน

    Hazipoooooooo hizofeha

  • @kagoyemwambal9061
    @kagoyemwambal9061 11 หลายเดือนก่อน +1

    Wezi hao peleka jela tumechoka

  • @zainabwage4658
    @zainabwage4658 11 หลายเดือนก่อน +1

    Mpk apite wazir mkuu ndipo aone ayo duh

  • @zuberigangisa2075
    @zuberigangisa2075 11 หลายเดือนก่อน

    Wakurugenzi hao vibaka kiongozi

  • @user-de2rg9kk7u
    @user-de2rg9kk7u 11 หลายเดือนก่อน +1

    MKURUGENZI Mpumbavu saana huyu. Tumbua Wote

  • @davidchihimba9489
    @davidchihimba9489 หลายเดือนก่อน

    Mwananchi anawaangalia tu mnavobwabwaja hapo ipo siku yenu

  • @thomastemu3332
    @thomastemu3332 11 หลายเดือนก่อน

    Hawafai watumbuliwe hao

  • @user-ii6gs2jg4g
    @user-ii6gs2jg4g 5 หลายเดือนก่อน

    Subiri. Subiri. Ngoooja. Taraatibu😂😂😂😂

  • @Fundi12345
    @Fundi12345 11 หลายเดือนก่อน

    Waziri hawa watu hawana uwezo wa kusimamia hawajitambui tandika vimbo hera kama zimeperekwa mama huyo anatesa watanzania

  • @stephanokanyika6321
    @stephanokanyika6321 11 หลายเดือนก่อน

    LABDA NDIO MSIMAMO WA SERIKALI KWA NINI WASITUMBULIWE WANASIMAMISHWA TU

  • @shabanipanya1033
    @shabanipanya1033 11 หลายเดือนก่อน

    Sasa hii itasaidia nini wakati nchi haina raisi ni kelele tu za bure

  • @aediayumgo8546
    @aediayumgo8546 11 หลายเดือนก่อน

    Wezi Wezi Wezi Wezi mjomba kassimu watakuloga hao

    • @naturelle1097
      @naturelle1097 11 หลายเดือนก่อน

      Washindwe kwa Jina La Yesu!!!

    • @princeofhulabula
      @princeofhulabula 11 หลายเดือนก่อน

      mMWERA HUYO huko lindi ndiko uchawi ulikozaliwa.

  • @sembuakimbosho3319
    @sembuakimbosho3319 11 หลายเดือนก่อน

    Kimenuka

  • @justerissaya9165
    @justerissaya9165 หลายเดือนก่อน

    Tatizo fixzd account mheshmiwa na tamko

  • @victorsanga2229
    @victorsanga2229 11 หลายเดือนก่อน

    Makosa ni rais mwenywe namna anawapata wateule wake, vijana wa CCM si wawajibikaji wakutupwa. Aache kuchagua kwa vigezo vya uchama

  • @KhamisBoss
    @KhamisBoss 28 วันที่ผ่านมา

    Shida wanaoiba pesa nying mnawacha

  • @zegelibilishanga6047
    @zegelibilishanga6047 11 หลายเดือนก่อน

    Mhulumie inatosha hiyo ngonjera
    Atakufiako bure mama ashaumia

  • @eleutermhumba347
    @eleutermhumba347 11 หลายเดือนก่อน

    Viongozi acheni kulalamika ,chukueni hatua acheni bwebwe.

  • @mtundipaul5748
    @mtundipaul5748 หลายเดือนก่อน

    Hahahaha wanyoshe hao ndo wezi wasumbufu wanakwamisha miradi viongozi wanaonekana hawafai 7bu za wajinga wachache tu

  • @saynabmohammed6263
    @saynabmohammed6263 11 หลายเดือนก่อน

    Wazir unamuuliza lin Kate mbelelea je wewe wazir lin ulienda kufatilia

    • @shadrackmohamedi8765
      @shadrackmohamedi8765 11 หลายเดือนก่อน

      Sasa Wazir atatembelea sehemu zote kweli?

  • @bakarirajabu3783
    @bakarirajabu3783 11 หลายเดือนก่อน

    Wilaya ya wajinga hii mzee kila mtu ni mungu mtu kz tunayo bila maombi na dua hatuponi

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 11 หลายเดือนก่อน +2

    Jamani viongoz ifike sasa mahali muwe mnafukuza aina ya wezi na wazembe , hawa, tumechoka. Fukuzeni , ajirini wengine

  • @fredyfile623
    @fredyfile623 11 หลายเดือนก่อน +1

    Sishangai bcz hayo ndo madhara ya kupita bila kupingwa wangechaguliwa kwa haki wangesimamia hayo vizuri lakini wooote ni ccm hivyo wamefumbwa macho.

  • @eliannko
    @eliannko 11 หลายเดือนก่อน

    Majizi wanazozana mtu ukisha kuwa ccm ni mwizi