VIDEO: SPIKA TULIA ACKSON AKUTANA NA RAIS WA URUSI 'PUTIN', AELEZA WALIYOZUNGUMZA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 11 ก.ค. 2024
- Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Urusi, Mhe. Vladimir Putin Jijini St. Petersburg nchini Urusi leo tarehe 12 Julai, 2024 ambapo katika mazungumzo yao wamejadili kuhusu namna bora ya kuimarisha amani Duniani.
Kuhusiana na mgogoro unaoendelea baina ya Urusi na Ukraine, Dkt. Tulia amesema “Kabla ya kuzungumza naye tayari tulishazungumza na Maspika wa nchi zote hizo mbili na sisi kama Umoja wa Mabunge Duniani tumezungumza naye kama Kiongozi wa nchi katika sura ambayo tunaweza kuziweka pamoja nchi zote mbili na tutarajie kwamba IPU itatengeneza fursa ya Mabunge ya pande zote ili kuweza kuzungumzia amani katika maeneo yao ya utawala”
Wakenya si walisema hatujui English wamuone spika wetu anavyopasua yai sasa.........kama wewe ni Mtanzania like hapa
Wao ndio hawajui
hata wakijua hiko kirengesa lakini mahindi wanafuata tz
Acha hizo ,Unaleta vitu na watu wa hovyo
Dah bro una akili finyu sana hivi waona walioserikalini hawajui kizungu
Sasa Kenya na kiingiresa Chao na kuandamana na masufuria kisa unga wapi na wapi sisi tulime tuwauzie wasije wakafa bure maana hicho kingereza pekee naona hawashibi MUNGU IBARIKI TZ
Oyaa kama unakubali putting alivyomkazia jicho spika wetu like hapa👍
Putin sio putting
😂😂😂 inaonesha hakuna hata 1 alokubaliana nalo katika aloambiwa.
Spika kapigwa jicho hilo
😂😂😂😂
@@rumdeesonsoa1811😂😂😂😂
Kazi nzuri sana rais wa mabunge Duniani uko vizuri kwa hilo,lakini usipika wa Tanganyika/Tanzania sijakuelewa vizuri Inshu ya bandari Inshu ya mpina mbuge mzalendo msema kweli mtetezi Adui wa mafisadi na wahujumu uchumi ukamfukuza bungeni Daaaa Itanichukuwa mda kuelewa
Shida sio yeye,sheria anazozitekeleza.
Mim naipenda urusi san na nataman urusi ije Tanzania kuwekeza kama nawew unaipenda urusi kuliko marekan gonga like yako hapo timu puttin tujuaje
U are not patriotic sometime i can say that u slave country my advice to u take of your slave u wanna to like your country
Napenda marekani na urusi50/50
Hongera Mh Tulia.Big up!
Congratulations on your great presentation Tulia Ackson. Tanzania TUNASABABISHA!
Putin hapepesi macho, kayakaza balaa, naye tulia katuliza akili balaaaa🎉🎉
Tunaomba tu asijichanganye maana uyo kiumbe nihatari asije akavigeuzia vinu kweny nch ytu ongea vzr mama
😂😂hapo akizingua atamkimbiza
Yaan tulia anajieleza weee mwamba bado anatafuta point ni ipi😂
😂😂😂😂@@FerdinandCharles-ko7de
@@nimujocentre2173 😁😁😁 kweli
Namuomba Mwenyezi mungu asimamie mahusiano mema ya TANZANIA na RUSSIA pia urafiki katika nyanja zote haswa kiuchumi, kisiasa, kijamii, kiutamaduni na kiteknolojia na mengine mengi Amina. 💗💕
Big up madam speaker,I'm proud of you❤
Tanzania has gone far not only competitiveness revolution but political revolution 👍👍
Mzee anaona kama anapotezewa muda2
Ningumu Tulia ni Rais wa mabunge Duniani ndiomana lazima amsikilize
🎉🎉🎉
Tulia akitaja IPU mwamba anazidi kukaza jicho 😅
Acha wenge ww
Aya mambo bwana sasa uyu mama anamwambia nn putin
Putin aje Tanzania jaman naomba
shida wamerakani hawapendi
mwambie na ss tunataka awe mshilika wetu tuachane na machoko atujengee vinu vya nyuklia dunian akuna amani ww auwezi kumshauli chochote
Kijana unataka Vinu😅😅
Waliomchagua unadhani hawajui uwezo wake, wewe kapuku ndio una jicho la tatu la kuona hawezi kumshauri chochote, ila umesahau akili za mwadamu huishi kwa kutegemeana, maandazi wewe
Kweli hawezi kumshauri Putin chochote maana hilo jicho alilomkata daah
Haaaaa haaaaa
Mheshimiwa spika mshauli Mzee putin mwambie aandae makombora ya nyukria Mzee wakuyavurumisha nipo nije nimchape mmarekani na washirika wake
Mm kama mm nnaihitaji Urusii kuliko Marekani Kwa sasa maana hapa tulipo tupo kama sehem ya influence ya America na EU so we can change mode of action
Ungenda kwa Biden ungesikia Tulia must go😂😂😂
Tz to the world superb sana @tulia
Big up our speaker Tulia Ackon,Tanzania tunajivunia sana kuwa na Kiongozi mashuhuri kama wewe.May our mighty God bless you.
Hakika huyu turia kaenda kwaishugani jamani kama hatuuzwi mm chizi hawa wanatuuza😢😢😢
Jamaa anasoma saikolojia 😂😂😂😂 this guy, is intelligent
Hatua kubwa sana madam tulia
Jaman dada yngu mungua akutunze
Dada yangu Tulia Ackson nakupenda sana katika Bwana, God has created you with a lot of benefits for others. I real appreciate your efforts towards responsibilities.
❤ madam tulia spika wetu mpendwa tunakuamini sana ila Mr putin hapepesi macho amekusikiliza kiumakini sana mzuri sana madam tunakupenda,kz iendelee
Jamaa jicho alichezi sio poa
Respect putting
Mweshimiwa kazi nzuri naomba zawadi ya kirussi mama
Kirusi cha UTI 😂😂
Asante uwe na Mungu daima,,,,,kiongozi nakuona mbali sana katika nafasi ya siasa.Utakuwa kiongozi furani ivi pale juuuuuuuu
Big up to sipika Tulia Rais ajaee
Tanzania has to make a very strongly tie with russia.Tanzania has to make the right decision to trade and technological share.I urge all africa to tie and trde with russia.
Safi sana Mhe. Speaker 👏💯
Putin ni hatari
Nadhani speaker anazunguka mbuyu saaaana,putin yupo tayar kusitisha vita wakat wowote kwa sharti ukraine iache mpango wake wa kujiunga na NATO,ushauri mwengine wowote hauzingatii ndo akamtolea speaker jicho kali mana anajua hajawa tayar na anachokizungumza.
Na hilo ndilo Spika anatakiwa kuwashawishi ma spika wote wamshauri Zelensky aachane na mpango wa kujiunga na NATO
Tulia NI kama zeelenziky tu
Hastahili kukaa na putin
Hongera tulia mbunge wetu kwa kukutana na putin
Mnyakyusa anaflow balaaa❤
Nataman siku moja Putin aje afanye ziara Tanzania ni mtu wa maana saana, kwanza ilifaa Tanzania tujiunge na umoja BRICS
Hilo ndo hitaji letu
Si mnasema wapinzani wanajipendekeza kwa mabeberu
I appreciate your work our leader Tulia Akson mungu awe nawe na akutie nguvu .
Safi spika wetu TULIA.
noma
Asante sana kwa kazi ya kuleta amani . Heri kwa nchi yetu Pendwa kupata nafasi hii.
Hongera sana mh Tulia
Tanzania 🇹🇿 tunakupenda umetuwakilisha vema.
Congratuation Dr. Tulia Akson for repsenting our nation
Hongera dada usisahau kunoletea zawadi ya cm kutoka urus
Tanzania tuna hazina kubwa ya viongozi wanaojiamini. Tuwaombee.
Wanajiamini kwa lipi kwa kuuza twiga zetu au?
@@ramadhanmahongole9293
Tulia ni spika wa bunge la Tanzania. Ni muhimili pia.
@TOUNDISELASSIE-xj8oy Binafsi sitawaombea nitaombea familia, ndugu na marafiki ila sio hao. Mhimili wa nini? Bunge la chama kimoja na zaidi ya 90% wameingia bila haki ata ukiwaombea ni kupoteza mda wakatubu kwanza kwa uporaji wa 2020.
@@johnv6916
Siasa ni propaganda, unaweza kuwahadaa watu wote kwa mara moja, ila sio kwa wakati wote. Siku moja wakiujua ukweli wa propaganda zako, wanakukimbia ama kukukwepa. Kama alivyofanya mchungaji msigwa. Hivyo nakushauri jenga imani na viongozi waliopo madarakani. Waheshimu, waombee, lakini pia usiache kuwashauri. Tulia ni kiongozi mahili na imara.
@@TOUNDISELASSIE-xj8oy siombei wezi wa kura mimi nitakua napoteza mda, pili uyo msigwa ni mchumia tumbo tu, tatizo lako unadhani mwanasiasa atabadili maisha yako ndio tatizo la waafrica, amna cha upunzani au chama tawala kitakachokuletea mabadiliko, nachokuambia pambania na ombea familia yako, nakuhakikishia ukiombea wezi wa kura hamna ombi lako litakalosikilizwa ni kupoteza mda.
Top imemuangusha bahna imejikunja daaah ila sio mbaya tanzania❤❤❤❤
Kiongoz kam kiongoz mungu akubariki san mweshimiwa spika upo na future san mungu akubariki katika harakat zanko🎉
Asante Mungu kwakutupatia viongozi imara wacio na uoga na wenye hekima
Ongera mauwa yako❤
Mnafikiri urusi kuna msaada?😂
RAISI wa umoja wa mabunge,cyo Tanzania,cyo Africa, dunian, hakika nicheo kikubwa sana hongera MH tulia🎉
HONGERA SANA MADAM MAAJABU YANAWEZA TOKEA TUKIAMINI MUNGU YUPO TANZANIA TUKIMWOMBA ANAWEZA YOTE LUKA 1:37 BY MAKAMU MWENYEKITI TAKURAWA DAR ES SALAAM TAASIS YA MAOMBI INAYOONGOZWA NA DR PETER RASHID DGF
Spika katulia sana
Kama jina lake
Safi spika wetu
Nilijua kaenda kama mwakilishi wa Serekali kumbo kama kiongozi wa Mabunge😂😂😂
Hongera sana Mh spika Tulia Akson
Anavyomwagalia. Jamaa ivi huyu ndo aliyemuonea mpna au nipite nae au nimxbil akirud
Hongera sana mh Tulia
Great Tulia Ackson
Inapendeza sana
Asante
Hongera kwa kutuwakilisha vizuri.
Well presentation for national ❤
Mungu akujaze ujasili kwakazi mzuri❤❤❤
Anakushangaa rangi yakoooo..kuna sehemuu amecheka..
Kwa kichwa😂😂
IPO KAZI
Hongera yako mwanamama. Mshukuru sana Mungu amekuona
Mshukuru nawewe mungu kwa nafasi yako
Always namshukuru sana
Tulia akson🔥🔥🔥🥰
Congratulation Tilia Ackson
Tulia angeongea kiswahili ingekuwa unyama sana
Sana
Long live African Queene!!
President Putin is so smart and well determined to success in every thing he tries
Doctor. Tulia hongera sana kua kufafanua Marengo muhm ya kutaka amani dunian including Russia
Hongera Sana Spika wetu kwa kukutana na Raisi wetu wa Africa, heshima kubwa sana
❤❤
HONGERA SANA SPIKA WA KIMATAIFA. UAMBIE ULIMWENGU KUWA WAAFRIKA NI NANI! HAKIKA SPIKA WETU KWA MARA YA KWANZA WAONYESHE KUWA TANZANIA KUNA DEMOKRASIA ILIYOKOMAA. HONGERA Mh. SPika.
Hamna kitu anaweza kumuelewa hapo anamuona kama kinyago cha maonesho tuu😅
Hakuna democrasia bongo bali uwoga na kutishiwa tuh
Wewe unaongelea Demokrasia ipi Tanzania? Kuiba Kura ktk Uchaguzi ndio Demokrasia?
Pootin jama katulia na tulia wetu
Asante Tulia Ackson
Duh aise noma putin
Wewe unastahili kuwa Mzungu Tena Mzaliwa Wa Golden family maana wewe ni very intelligent dadaangu Tulia.
Mungu atuokoe na hiliwimbi la kinamama itafikia hatuatutaundiwa hakiza kinababa
Kuingia BRICS kuna masharti, hawataki pro marekani.
Dingi alivokaza macho kikamanda,big up gentleman💪
Ur accent is fly for sure🔥
Hongera Tanzania kwakutoa mtu kamili mwenye zamira nzuri na dunia Jamani TANZANIA ndiyo Taifa pekee lililo na fursa mbalimbali na ni Taifa ambalo limeteuliwa na kuandikwa kwenye VITABU vingi vya dini na vya farsafa za utawala asante Tulia Kama jina lako lilivyo tajwa na manabii wazazi wako tuliza kweli magomvi yanayotokea duniani by Engineer Mayala
Kama anatafsiriwa kwa Kirusi kwa nini hakuongea kwa Kiswahili tu badala ya English
Nchi zetu bado changa sana na bado tuko kwenye usingizi ,wenzetu waliashaamaka zamani sana wanachoangalia ni their interest and what you broughout to them ,if it doesnot line with thier interest ,you are dead ,thus why Putin was very careful to listern and talk little ,It is the time for our mind to walk up and worked and tutoke kwenye usingizi na tujielewa tunataka nin ,na kwanin na tunapataje ,hata siaza zetu hatujui jinsi ya kuzicheza ,kiukweli with respect sijaona Mheshimiwa Spika alikuwa anazungumza nini na kwa Lengo gani hasa and sijaona Putin kama alikuwa anatake serious ,and nilichogundua Bado tunasafari ndefu sanaa Mungu atusaidie tutoke katika Huu usingizi bado tumelala,Since we dont know what do we want and Bora tungeongea hata biashara direct since eti zinazoitaji utekelezaji eti hiyo conversation eti Tulia na Putin wameificha and sasa kama wameificha kuna haja gani ya kutuonyesha this meeting dialogue?i make sense ,Inabidi ifike wakati tujitambue tunayoyafanya sioni kama kuna jipya ,Juzi tuliona mazungumzo ya PM Modi wa India na Putin and it is open conversation and Me i get Kuwa Putin alikuwa anamsikiliza Mheshimiwa speaker kwa Makini Sana ,This Peoples knows what their doing ,and With Respect ,sisi inaonekana like we have a long way to Go
Jamaa lenyewe Kama halitaki vile
Hongela mama umetuwakilisha wa tz.
Aisee huy jamaaa alichoongea huy jamaaa hakijskik that is something
Mh sema uyu mama akigombea uraisi tumpeni tu
🇹🇿🇹🇿🇷🇺🇷🇺🌹👏
I hope tulia will be the second women to be tanzanian president, let's wait time will tell I swear to god
Acha ujinga ww, hatuchagui mwanamke cc, ata huyo aliyopo kapita alternative way
Milardayo umetunyima kusikiliza sababu zinazowafanya kugombana au ni mipango
Big up🎉
Nimependa Brics ❤
Mnatak kulet vit iy nchi kil sk kun vit alaf ten mnatak umoj unatokea wap
Uyo putini apo kipo kivuli chake tu lakini mwazo yake yapo kwenye vitaaaaa tuu😂😂😂😂😂😂
Ikiwa tumejiunga na binadamu halisi yaani watu wanaofata utaratibu wa kweli wa kuishi hapa duniani nasemea Russia mseme kwani tunatamani sana kua sehemu ya BRICS
Yani katika nchi ya watu wapumba tz munajadili amani za nchi nyengine wakati wengine wanalala njaa mukiambiwa ukweli munanuna😂😂😂😂😂😂
Mnyakyusa katulia kwakweel
Msenge anawaz nyuklia zake tu hachek na kima