VIDEO: SPIKA TULIA ACKSON AKUTANA NA RAIS WA URUSI 'PUTIN', AELEZA WALIYOZUNGUMZA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 ก.ค. 2024
  • Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Urusi, Mhe. Vladimir Putin Jijini St. Petersburg nchini Urusi leo tarehe 12 Julai, 2024 ambapo katika mazungumzo yao wamejadili kuhusu namna bora ya kuimarisha amani Duniani.
    Kuhusiana na mgogoro unaoendelea baina ya Urusi na Ukraine, Dkt. Tulia amesema “Kabla ya kuzungumza naye tayari tulishazungumza na Maspika wa nchi zote hizo mbili na sisi kama Umoja wa Mabunge Duniani tumezungumza naye kama Kiongozi wa nchi katika sura ambayo tunaweza kuziweka pamoja nchi zote mbili na tutarajie kwamba IPU itatengeneza fursa ya Mabunge ya pande zote ili kuweza kuzungumzia amani katika maeneo yao ya utawala”

ความคิดเห็น • 478

  • @movingdiamonds5718
    @movingdiamonds5718 19 วันที่ผ่านมา +59

    Wakenya si walisema hatujui English wamuone spika wetu anavyopasua yai sasa.........kama wewe ni Mtanzania like hapa

    • @user-wh7gj9ug9s
      @user-wh7gj9ug9s 18 วันที่ผ่านมา +2

      Wao ndio hawajui

    • @habibnjowele7751
      @habibnjowele7751 17 วันที่ผ่านมา +2

      hata wakijua hiko kirengesa lakini mahindi wanafuata tz

    • @aminata3702
      @aminata3702 15 วันที่ผ่านมา +1

      Acha hizo ,Unaleta vitu na watu wa hovyo

    • @alifbe4395
      @alifbe4395 12 วันที่ผ่านมา

      Dah bro una akili finyu sana hivi waona walioserikalini hawajui kizungu

    • @karibunyumbani3824
      @karibunyumbani3824 10 วันที่ผ่านมา

      Sasa Kenya na kiingiresa Chao na kuandamana na masufuria kisa unga wapi na wapi sisi tulime tuwauzie wasije wakafa bure maana hicho kingereza pekee naona hawashibi MUNGU IBARIKI TZ

  • @Avith-lj2sp
    @Avith-lj2sp 22 วันที่ผ่านมา +216

    Oyaa kama unakubali putting alivyomkazia jicho spika wetu like hapa👍

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 22 วันที่ผ่านมา +7

      Putin sio putting

    • @Allybinamour
      @Allybinamour 22 วันที่ผ่านมา +5

      😂😂😂 inaonesha hakuna hata 1 alokubaliana nalo katika aloambiwa.

    • @jamesmwita2995
      @jamesmwita2995 22 วันที่ผ่านมา +1

      Spika kapigwa jicho hilo

    • @zebedayokatamaduni9676
      @zebedayokatamaduni9676 22 วันที่ผ่านมา +1

      😂😂😂😂

    • @zebedayokatamaduni9676
      @zebedayokatamaduni9676 22 วันที่ผ่านมา

      ​@@rumdeesonsoa1811😂😂😂😂

  • @bashiruamri2167
    @bashiruamri2167 22 วันที่ผ่านมา +32

    Kazi nzuri sana rais wa mabunge Duniani uko vizuri kwa hilo,lakini usipika wa Tanganyika/Tanzania sijakuelewa vizuri Inshu ya bandari Inshu ya mpina mbuge mzalendo msema kweli mtetezi Adui wa mafisadi na wahujumu uchumi ukamfukuza bungeni Daaaa Itanichukuwa mda kuelewa

    • @user-hd8sm4mq6i
      @user-hd8sm4mq6i 20 วันที่ผ่านมา

      Shida sio yeye,sheria anazozitekeleza.

  • @godfreyfrugence4176
    @godfreyfrugence4176 20 วันที่ผ่านมา +21

    Mim naipenda urusi san na nataman urusi ije Tanzania kuwekeza kama nawew unaipenda urusi kuliko marekan gonga like yako hapo timu puttin tujuaje

    • @professorimmah
      @professorimmah 15 วันที่ผ่านมา

      U are not patriotic sometime i can say that u slave country my advice to u take of your slave u wanna to like your country

    • @ELIAMbise-sy5ue
      @ELIAMbise-sy5ue 13 วันที่ผ่านมา

      Napenda marekani na urusi50/50

  • @HarunaMassamaky
    @HarunaMassamaky 22 วันที่ผ่านมา +13

    Hongera Mh Tulia.Big up!

  • @ludovicsaronganangawe2720
    @ludovicsaronganangawe2720 20 วันที่ผ่านมา +10

    Congratulations on your great presentation Tulia Ackson. Tanzania TUNASABABISHA!

  • @ifmknowledgepower7333
    @ifmknowledgepower7333 22 วันที่ผ่านมา +47

    Putin hapepesi macho, kayakaza balaa, naye tulia katuliza akili balaaaa🎉🎉

    • @FerdinandCharles-ko7de
      @FerdinandCharles-ko7de 22 วันที่ผ่านมา

      Tunaomba tu asijichanganye maana uyo kiumbe nihatari asije akavigeuzia vinu kweny nch ytu ongea vzr mama

    • @josephngwega7398
      @josephngwega7398 22 วันที่ผ่านมา +1

      😂😂hapo akizingua atamkimbiza

    • @adamhashim3352
      @adamhashim3352 21 วันที่ผ่านมา +2

      Yaan tulia anajieleza weee mwamba bado anatafuta point ni ipi😂

    • @nimujocentre2173
      @nimujocentre2173 21 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂​@@FerdinandCharles-ko7de

    • @FerdinandCharles-ko7de
      @FerdinandCharles-ko7de 21 วันที่ผ่านมา

      @@nimujocentre2173 😁😁😁 kweli

  • @FredrickKabura-gd7hg
    @FredrickKabura-gd7hg 22 วันที่ผ่านมา +10

    Namuomba Mwenyezi mungu asimamie mahusiano mema ya TANZANIA na RUSSIA pia urafiki katika nyanja zote haswa kiuchumi, kisiasa, kijamii, kiutamaduni na kiteknolojia na mengine mengi Amina. 💗💕

  • @florashauri9228
    @florashauri9228 22 วันที่ผ่านมา +13

    Big up madam speaker,I'm proud of you❤

  • @user-dk6rc9kb3f
    @user-dk6rc9kb3f 18 วันที่ผ่านมา +3

    Tanzania has gone far not only competitiveness revolution but political revolution 👍👍

  • @johngerald4677
    @johngerald4677 22 วันที่ผ่านมา +24

    Mzee anaona kama anapotezewa muda2

    • @issaalfani1030
      @issaalfani1030 21 วันที่ผ่านมา

      Ningumu Tulia ni Rais wa mabunge Duniani ndiomana lazima amsikilize

    • @objstv6976
      @objstv6976 21 วันที่ผ่านมา

      🎉🎉🎉

    • @dadamuebrania1539
      @dadamuebrania1539 20 วันที่ผ่านมา

      Tulia akitaja IPU mwamba anazidi kukaza jicho 😅

    • @sheyosquad5755
      @sheyosquad5755 20 วันที่ผ่านมา

      Acha wenge ww

    • @elvisoscar9912
      @elvisoscar9912 20 วันที่ผ่านมา +1

      Aya mambo bwana sasa uyu mama anamwambia nn putin

  • @juliusdonard933
    @juliusdonard933 22 วันที่ผ่านมา +29

    Putin aje Tanzania jaman naomba

    • @habibnjowele7751
      @habibnjowele7751 17 วันที่ผ่านมา +1

      shida wamerakani hawapendi

  • @msambalamjukuu3866
    @msambalamjukuu3866 22 วันที่ผ่านมา +29

    mwambie na ss tunataka awe mshilika wetu tuachane na machoko atujengee vinu vya nyuklia dunian akuna amani ww auwezi kumshauli chochote

    • @magesagambajr3546
      @magesagambajr3546 22 วันที่ผ่านมา

      Kijana unataka Vinu😅😅

    • @nassercurtis9579
      @nassercurtis9579 22 วันที่ผ่านมา +3

      Waliomchagua unadhani hawajui uwezo wake, wewe kapuku ndio una jicho la tatu la kuona hawezi kumshauri chochote, ila umesahau akili za mwadamu huishi kwa kutegemeana, maandazi wewe

    • @evarimdecoration4256
      @evarimdecoration4256 22 วันที่ผ่านมา

      Kweli hawezi kumshauri Putin chochote maana hilo jicho alilomkata daah

    • @evarimdecoration4256
      @evarimdecoration4256 22 วันที่ผ่านมา

      Haaaaa haaaaa

    • @JamesJastin-bg1rx
      @JamesJastin-bg1rx 22 วันที่ผ่านมา +1

      Mheshimiwa spika mshauli Mzee putin mwambie aandae makombora ya nyukria Mzee wakuyavurumisha nipo nije nimchape mmarekani na washirika wake

  • @erastozawadi8002
    @erastozawadi8002 22 วันที่ผ่านมา +6

    Mm kama mm nnaihitaji Urusii kuliko Marekani Kwa sasa maana hapa tulipo tupo kama sehem ya influence ya America na EU so we can change mode of action

  • @christopherjoseph8330
    @christopherjoseph8330 22 วันที่ผ่านมา +6

    Ungenda kwa Biden ungesikia Tulia must go😂😂😂

  • @jastinekyungai1023
    @jastinekyungai1023 22 วันที่ผ่านมา +6

    Tz to the world superb sana @tulia

  • @nickoemily8267
    @nickoemily8267 21 วันที่ผ่านมา +1

    Big up our speaker Tulia Ackon,Tanzania tunajivunia sana kuwa na Kiongozi mashuhuri kama wewe.May our mighty God bless you.

  • @ElneySheddy-is1dv
    @ElneySheddy-is1dv 11 วันที่ผ่านมา +1

    Hakika huyu turia kaenda kwaishugani jamani kama hatuuzwi mm chizi hawa wanatuuza😢😢😢

  • @joshuawenceslaus2466
    @joshuawenceslaus2466 22 วันที่ผ่านมา +2

    Jamaa anasoma saikolojia 😂😂😂😂 this guy, is intelligent

  • @user-dk6rc9kb3f
    @user-dk6rc9kb3f 18 วันที่ผ่านมา +2

    Hatua kubwa sana madam tulia

  • @user-pt7lc4xu3d
    @user-pt7lc4xu3d 22 วันที่ผ่านมา +2

    Jaman dada yngu mungua akutunze

  • @francomkandawile8572
    @francomkandawile8572 20 วันที่ผ่านมา

    Dada yangu Tulia Ackson nakupenda sana katika Bwana, God has created you with a lot of benefits for others. I real appreciate your efforts towards responsibilities.

  • @user-qo8uj1ym4m
    @user-qo8uj1ym4m 20 วันที่ผ่านมา +2

    ❤ madam tulia spika wetu mpendwa tunakuamini sana ila Mr putin hapepesi macho amekusikiliza kiumakini sana mzuri sana madam tunakupenda,kz iendelee

  • @shaibukhamis863
    @shaibukhamis863 22 วันที่ผ่านมา +5

    Jamaa jicho alichezi sio poa

  • @KELVINHENRY-j1k
    @KELVINHENRY-j1k 9 วันที่ผ่านมา

    Respect putting

  • @user-dk4iq5ct6r
    @user-dk4iq5ct6r 22 วันที่ผ่านมา +5

    Mweshimiwa kazi nzuri naomba zawadi ya kirussi mama

    • @kibedikamba7616
      @kibedikamba7616 21 วันที่ผ่านมา

      Kirusi cha UTI 😂😂

  • @samwelkulagwa861
    @samwelkulagwa861 19 วันที่ผ่านมา

    Asante uwe na Mungu daima,,,,,kiongozi nakuona mbali sana katika nafasi ya siasa.Utakuwa kiongozi furani ivi pale juuuuuuuu

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 22 วันที่ผ่านมา +3

    Big up to sipika Tulia Rais ajaee

  • @greysondavid6445
    @greysondavid6445 22 วันที่ผ่านมา +3

    Tanzania has to make a very strongly tie with russia.Tanzania has to make the right decision to trade and technological share.I urge all africa to tie and trde with russia.

  • @thompsonkiputa6842
    @thompsonkiputa6842 20 วันที่ผ่านมา +1

    Safi sana Mhe. Speaker 👏💯

  • @MusaDadi-pd3jd
    @MusaDadi-pd3jd 22 วันที่ผ่านมา +9

    Putin ni hatari

  • @Allybinamour
    @Allybinamour 22 วันที่ผ่านมา +10

    Nadhani speaker anazunguka mbuyu saaaana,putin yupo tayar kusitisha vita wakat wowote kwa sharti ukraine iache mpango wake wa kujiunga na NATO,ushauri mwengine wowote hauzingatii ndo akamtolea speaker jicho kali mana anajua hajawa tayar na anachokizungumza.

    • @drgeraldcubwa481
      @drgeraldcubwa481 22 วันที่ผ่านมา +1

      Na hilo ndilo Spika anatakiwa kuwashawishi ma spika wote wamshauri Zelensky aachane na mpango wa kujiunga na NATO

    • @user-hq5qx1hu2x
      @user-hq5qx1hu2x 21 วันที่ผ่านมา +1

      Tulia NI kama zeelenziky tu
      Hastahili kukaa na putin

  • @SamsonLalika
    @SamsonLalika 22 วันที่ผ่านมา +3

    Hongera tulia mbunge wetu kwa kukutana na putin

  • @user-yu2mb4bk8i
    @user-yu2mb4bk8i 9 วันที่ผ่านมา

    Mnyakyusa anaflow balaaa❤

  • @allythabiti8150
    @allythabiti8150 22 วันที่ผ่านมา +7

    Nataman siku moja Putin aje afanye ziara Tanzania ni mtu wa maana saana, kwanza ilifaa Tanzania tujiunge na umoja BRICS

    • @user-hq5qx1hu2x
      @user-hq5qx1hu2x 21 วันที่ผ่านมา

      Hilo ndo hitaji letu

    • @idiphoncekiimbi2021
      @idiphoncekiimbi2021 21 วันที่ผ่านมา

      Si mnasema wapinzani wanajipendekeza kwa mabeberu

  • @ErnestMhangwa
    @ErnestMhangwa 21 วันที่ผ่านมา

    I appreciate your work our leader Tulia Akson mungu awe nawe na akutie nguvu .

  • @AdamuIbrahimu-e9m
    @AdamuIbrahimu-e9m 9 วันที่ผ่านมา

    Safi spika wetu TULIA.

  • @brother_majesty
    @brother_majesty 22 วันที่ผ่านมา +6

    noma

  • @christopherkiswaga9270
    @christopherkiswaga9270 22 วันที่ผ่านมา

    Asante sana kwa kazi ya kuleta amani . Heri kwa nchi yetu Pendwa kupata nafasi hii.

  • @barakamwangeni6589
    @barakamwangeni6589 21 วันที่ผ่านมา

    Hongera sana mh Tulia
    Tanzania 🇹🇿 tunakupenda umetuwakilisha vema.

  • @MSAMBWANYAKUSOTA
    @MSAMBWANYAKUSOTA 20 วันที่ผ่านมา

    Congratuation Dr. Tulia Akson for repsenting our nation

  • @MuungwaMtwana
    @MuungwaMtwana 22 วันที่ผ่านมา +2

    Hongera dada usisahau kunoletea zawadi ya cm kutoka urus

  • @TOUNDISELASSIE-xj8oy
    @TOUNDISELASSIE-xj8oy 22 วันที่ผ่านมา +10

    Tanzania tuna hazina kubwa ya viongozi wanaojiamini. Tuwaombee.

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 22 วันที่ผ่านมา +3

      Wanajiamini kwa lipi kwa kuuza twiga zetu au?

    • @TOUNDISELASSIE-xj8oy
      @TOUNDISELASSIE-xj8oy 22 วันที่ผ่านมา

      @@ramadhanmahongole9293
      Tulia ni spika wa bunge la Tanzania. Ni muhimili pia.

    • @johnv6916
      @johnv6916 22 วันที่ผ่านมา +2

      ​@TOUNDISELASSIE-xj8oy Binafsi sitawaombea nitaombea familia, ndugu na marafiki ila sio hao. Mhimili wa nini? Bunge la chama kimoja na zaidi ya 90% wameingia bila haki ata ukiwaombea ni kupoteza mda wakatubu kwanza kwa uporaji wa 2020.

    • @TOUNDISELASSIE-xj8oy
      @TOUNDISELASSIE-xj8oy 22 วันที่ผ่านมา

      @@johnv6916
      Siasa ni propaganda, unaweza kuwahadaa watu wote kwa mara moja, ila sio kwa wakati wote. Siku moja wakiujua ukweli wa propaganda zako, wanakukimbia ama kukukwepa. Kama alivyofanya mchungaji msigwa. Hivyo nakushauri jenga imani na viongozi waliopo madarakani. Waheshimu, waombee, lakini pia usiache kuwashauri. Tulia ni kiongozi mahili na imara.

    • @johnv6916
      @johnv6916 22 วันที่ผ่านมา +1

      @@TOUNDISELASSIE-xj8oy siombei wezi wa kura mimi nitakua napoteza mda, pili uyo msigwa ni mchumia tumbo tu, tatizo lako unadhani mwanasiasa atabadili maisha yako ndio tatizo la waafrica, amna cha upunzani au chama tawala kitakachokuletea mabadiliko, nachokuambia pambania na ombea familia yako, nakuhakikishia ukiombea wezi wa kura hamna ombi lako litakalosikilizwa ni kupoteza mda.

  • @rashidkingazi3430
    @rashidkingazi3430 20 วันที่ผ่านมา

    Top imemuangusha bahna imejikunja daaah ila sio mbaya tanzania❤❤❤❤

  • @user-zr1ry5lm7d
    @user-zr1ry5lm7d 21 วันที่ผ่านมา

    Kiongoz kam kiongoz mungu akubariki san mweshimiwa spika upo na future san mungu akubariki katika harakat zanko🎉

  • @linusluka5358
    @linusluka5358 12 วันที่ผ่านมา

    Asante Mungu kwakutupatia viongozi imara wacio na uoga na wenye hekima

  • @issakawaya8315
    @issakawaya8315 22 วันที่ผ่านมา +1

    Ongera mauwa yako❤

  • @zefamange7281
    @zefamange7281 22 วันที่ผ่านมา +3

    Mnafikiri urusi kuna msaada?😂

  • @josephminja7953
    @josephminja7953 21 วันที่ผ่านมา

    RAISI wa umoja wa mabunge,cyo Tanzania,cyo Africa, dunian, hakika nicheo kikubwa sana hongera MH tulia🎉

  • @rev.thobias2756
    @rev.thobias2756 วันที่ผ่านมา

    HONGERA SANA MADAM MAAJABU YANAWEZA TOKEA TUKIAMINI MUNGU YUPO TANZANIA TUKIMWOMBA ANAWEZA YOTE LUKA 1:37 BY MAKAMU MWENYEKITI TAKURAWA DAR ES SALAAM TAASIS YA MAOMBI INAYOONGOZWA NA DR PETER RASHID DGF

  • @ericktesha1668
    @ericktesha1668 22 วันที่ผ่านมา +12

    Spika katulia sana

  • @eliudbeyanga8575
    @eliudbeyanga8575 11 วันที่ผ่านมา

    Safi spika wetu

  • @maniamba.tz_
    @maniamba.tz_ 22 วันที่ผ่านมา +2

    Nilijua kaenda kama mwakilishi wa Serekali kumbo kama kiongozi wa Mabunge😂😂😂

  • @edgarlinus2720
    @edgarlinus2720 22 วันที่ผ่านมา

    Hongera sana Mh spika Tulia Akson

  • @NkwabiMasanja
    @NkwabiMasanja 22 วันที่ผ่านมา +2

    Anavyomwagalia. Jamaa ivi huyu ndo aliyemuonea mpna au nipite nae au nimxbil akirud

  • @GeradLeonard
    @GeradLeonard 20 วันที่ผ่านมา

    Hongera sana mh Tulia

  • @godmbise-gj9ug
    @godmbise-gj9ug 14 วันที่ผ่านมา

    Great Tulia Ackson

  • @SilasKanunga
    @SilasKanunga 22 วันที่ผ่านมา +1

    Inapendeza sana

  • @khalifaaliomar7989
    @khalifaaliomar7989 22 วันที่ผ่านมา +1

    Asante

  • @davidmpiluka5224
    @davidmpiluka5224 22 วันที่ผ่านมา

    Hongera kwa kutuwakilisha vizuri.

  • @levispaultitus8623
    @levispaultitus8623 19 วันที่ผ่านมา

    Well presentation for national ❤

  • @selemanisabihi5994
    @selemanisabihi5994 21 วันที่ผ่านมา

    Mungu akujaze ujasili kwakazi mzuri❤❤❤

  • @mwamvitamwebeyo5547
    @mwamvitamwebeyo5547 20 วันที่ผ่านมา +1

    Anakushangaa rangi yakoooo..kuna sehemuu amecheka..
    Kwa kichwa😂😂

  • @Thobiaslucaskipara
    @Thobiaslucaskipara 22 วันที่ผ่านมา +4

    IPO KAZI

  • @swahilitheafricantongue7041
    @swahilitheafricantongue7041 22 วันที่ผ่านมา +1

    Hongera yako mwanamama. Mshukuru sana Mungu amekuona

  • @user-uh5rs7me2m
    @user-uh5rs7me2m 21 วันที่ผ่านมา

    Tulia akson🔥🔥🔥🥰

  • @neemakyando2579
    @neemakyando2579 19 วันที่ผ่านมา

    Congratulation Tilia Ackson

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa7215 21 วันที่ผ่านมา +1

    Tulia angeongea kiswahili ingekuwa unyama sana

  • @AthanasFrancis
    @AthanasFrancis 10 วันที่ผ่านมา

    Long live African Queene!!

  • @georgeherman5613
    @georgeherman5613 7 วันที่ผ่านมา

    President Putin is so smart and well determined to success in every thing he tries

  • @rodamkunda9081
    @rodamkunda9081 19 วันที่ผ่านมา

    Doctor. Tulia hongera sana kua kufafanua Marengo muhm ya kutaka amani dunian including Russia

  • @NdovuDentalClinic_
    @NdovuDentalClinic_ 22 วันที่ผ่านมา +3

    Hongera Sana Spika wetu kwa kukutana na Raisi wetu wa Africa, heshima kubwa sana

  • @victorburetta2972
    @victorburetta2972 22 วันที่ผ่านมา +1

    ❤❤

  • @KelvinMtavangu-ow8yo
    @KelvinMtavangu-ow8yo 22 วันที่ผ่านมา +2

    HONGERA SANA SPIKA WA KIMATAIFA. UAMBIE ULIMWENGU KUWA WAAFRIKA NI NANI! HAKIKA SPIKA WETU KWA MARA YA KWANZA WAONYESHE KUWA TANZANIA KUNA DEMOKRASIA ILIYOKOMAA. HONGERA Mh. SPika.

    • @IbniAbbas-yz3kt
      @IbniAbbas-yz3kt 22 วันที่ผ่านมา

      Hamna kitu anaweza kumuelewa hapo anamuona kama kinyago cha maonesho tuu😅

    • @KelvinMauky
      @KelvinMauky 21 วันที่ผ่านมา

      Hakuna democrasia bongo bali uwoga na kutishiwa tuh

    • @Sh_Taqee
      @Sh_Taqee 21 วันที่ผ่านมา

      Wewe unaongelea Demokrasia ipi Tanzania? Kuiba Kura ktk Uchaguzi ndio Demokrasia?

  • @kibwetere1418
    @kibwetere1418 22 วันที่ผ่านมา +2

    Pootin jama katulia na tulia wetu

  • @EmanueliSimbwe-ru5fu
    @EmanueliSimbwe-ru5fu 18 วันที่ผ่านมา

    Asante Tulia Ackson

  • @HABARIKATV-q3w
    @HABARIKATV-q3w 22 วันที่ผ่านมา +2

    Duh aise noma putin

  • @user-vy9en5ly1z
    @user-vy9en5ly1z 15 วันที่ผ่านมา

    Wewe unastahili kuwa Mzungu Tena Mzaliwa Wa Golden family maana wewe ni very intelligent dadaangu Tulia.

  • @emanwelmsuya7320
    @emanwelmsuya7320 22 วันที่ผ่านมา

    Mungu atuokoe na hiliwimbi la kinamama itafikia hatuatutaundiwa hakiza kinababa

  • @zully756
    @zully756 22 วันที่ผ่านมา +2

    Kuingia BRICS kuna masharti, hawataki pro marekani.

  • @joshuakitunzi9500
    @joshuakitunzi9500 21 วันที่ผ่านมา

    Dingi alivokaza macho kikamanda,big up gentleman💪

  • @maidimples8236
    @maidimples8236 21 วันที่ผ่านมา

    Ur accent is fly for sure🔥

  • @TimothyAlex-it2lm
    @TimothyAlex-it2lm 16 วันที่ผ่านมา

    Hongera Tanzania kwakutoa mtu kamili mwenye zamira nzuri na dunia Jamani TANZANIA ndiyo Taifa pekee lililo na fursa mbalimbali na ni Taifa ambalo limeteuliwa na kuandikwa kwenye VITABU vingi vya dini na vya farsafa za utawala asante Tulia Kama jina lako lilivyo tajwa na manabii wazazi wako tuliza kweli magomvi yanayotokea duniani by Engineer Mayala

  • @angelokamugisha8682
    @angelokamugisha8682 21 วันที่ผ่านมา +1

    Kama anatafsiriwa kwa Kirusi kwa nini hakuongea kwa Kiswahili tu badala ya English

  • @holyspiritpropheticministr3687
    @holyspiritpropheticministr3687 22 วันที่ผ่านมา +1

    Nchi zetu bado changa sana na bado tuko kwenye usingizi ,wenzetu waliashaamaka zamani sana wanachoangalia ni their interest and what you broughout to them ,if it doesnot line with thier interest ,you are dead ,thus why Putin was very careful to listern and talk little ,It is the time for our mind to walk up and worked and tutoke kwenye usingizi na tujielewa tunataka nin ,na kwanin na tunapataje ,hata siaza zetu hatujui jinsi ya kuzicheza ,kiukweli with respect sijaona Mheshimiwa Spika alikuwa anazungumza nini na kwa Lengo gani hasa and sijaona Putin kama alikuwa anatake serious ,and nilichogundua Bado tunasafari ndefu sanaa Mungu atusaidie tutoke katika Huu usingizi bado tumelala,Since we dont know what do we want and Bora tungeongea hata biashara direct since eti zinazoitaji utekelezaji eti hiyo conversation eti Tulia na Putin wameificha and sasa kama wameificha kuna haja gani ya kutuonyesha this meeting dialogue?i make sense ,Inabidi ifike wakati tujitambue tunayoyafanya sioni kama kuna jipya ,Juzi tuliona mazungumzo ya PM Modi wa India na Putin and it is open conversation and Me i get Kuwa Putin alikuwa anamsikiliza Mheshimiwa speaker kwa Makini Sana ,This Peoples knows what their doing ,and With Respect ,sisi inaonekana like we have a long way to Go

  • @jastinmkandala5620
    @jastinmkandala5620 11 วันที่ผ่านมา

    Jamaa lenyewe Kama halitaki vile

  • @AtupokleLusago
    @AtupokleLusago 16 วันที่ผ่านมา

    Hongela mama umetuwakilisha wa tz.

  • @KheryKapongo
    @KheryKapongo 20 วันที่ผ่านมา

    Aisee huy jamaaa alichoongea huy jamaaa hakijskik that is something

  • @cleopamushi2478
    @cleopamushi2478 13 วันที่ผ่านมา

    Mh sema uyu mama akigombea uraisi tumpeni tu

  • @HajiKlein-so1rk
    @HajiKlein-so1rk 21 วันที่ผ่านมา +1

    🇹🇿🇹🇿🇷🇺🇷🇺🌹👏

  • @nyaturuboy1068
    @nyaturuboy1068 21 วันที่ผ่านมา +1

    I hope tulia will be the second women to be tanzanian president, let's wait time will tell I swear to god

    • @nth3512
      @nth3512 21 วันที่ผ่านมา

      Acha ujinga ww, hatuchagui mwanamke cc, ata huyo aliyopo kapita alternative way

  • @Officialabshry
    @Officialabshry 8 วันที่ผ่านมา

    Milardayo umetunyima kusikiliza sababu zinazowafanya kugombana au ni mipango

  • @mwarabukabandama3797
    @mwarabukabandama3797 16 วันที่ผ่านมา

    Big up🎉

  • @zuberkasim7150
    @zuberkasim7150 21 วันที่ผ่านมา

    Nimependa Brics ❤

  • @leejems142
    @leejems142 22 วันที่ผ่านมา +3

    Mnatak kulet vit iy nchi kil sk kun vit alaf ten mnatak umoj unatokea wap

  • @HawaSimai
    @HawaSimai 9 วันที่ผ่านมา

    Uyo putini apo kipo kivuli chake tu lakini mwazo yake yapo kwenye vitaaaaa tuu😂😂😂😂😂😂

  • @ZionEmanuel-ne8ob
    @ZionEmanuel-ne8ob 12 วันที่ผ่านมา

    Ikiwa tumejiunga na binadamu halisi yaani watu wanaofata utaratibu wa kweli wa kuishi hapa duniani nasemea Russia mseme kwani tunatamani sana kua sehemu ya BRICS

  • @SaidSaid-nr2xe
    @SaidSaid-nr2xe 17 วันที่ผ่านมา

    Yani katika nchi ya watu wapumba tz munajadili amani za nchi nyengine wakati wengine wanalala njaa mukiambiwa ukweli munanuna😂😂😂😂😂😂

  • @jacksonmtonyore9871
    @jacksonmtonyore9871 19 วันที่ผ่านมา

    Mnyakyusa katulia kwakweel

  • @allycomm1553
    @allycomm1553 22 วันที่ผ่านมา +1

    Msenge anawaz nyuklia zake tu hachek na kima