WAZIRI SILAA AAGIZA BAKARI SHINGO AKAMATWE kwa KUSABABISHA MGOGORO kwa MADEREVA BAJAJI - "TAPELI"...
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ย. 2024
- WAZIRI SILAA AAGIZA BAKARI SHINGO AKAMATWE kwa KUSABABISHA MGOGORO kwa MADEREVA BAJAJI - "TAPELI"...
Waziri wa Ardhi nyumba na maendeleo ya Mkakazi Jerry Silaa amemuagiza mkuu wa polisi Gongo la Mbotokumkamata bwana mmoja aliyefahamika kwa majina Bakari Shingo na wenzie akiwemo msimamizi wa eneo hilo kutokana na kudaiwa kusababisha mgogoro wa eneo la maegesho ya bajaji katika mtaa wa Gongo la Mboto ilala jijini Dar Es Salaam.
Aidha Silaa amemtaka mkuu wa mipango miji halmashauri ya jiji la Dar Es Salaam kumilikisha eneo hilo la maegesho ya bajaji kwa mkurugenzi wa jiji na kumtaka aweke utaratibu mzuri wa malipo kwa madereva wa waliokuwa wakipaki eneo hilo ikiwemo kuwapunguzia ushuru kutoka shilingi elfu 2500 waliyokuwa wkilipa awali hadi kufikia shilingi elfu moja 1000.
Waziri Silaa ametoa maagizo hayo alipofanya ziara ya kushtukiza kwenye eneo hilo baada ya kuwepo mgogoro huo ambao umezua taharuki hasa kwa madersva bajiji waliokuwa wakifanya kazi eneo hilo kutolewa na anayedai kuwa ndiye mmiliki.
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
Mtie na ndani mjinga uyo pole waziri kwa changamoto unazokutana nazo Allah akuhifadhi
Safi wazir hongera sana sana nchi hii wangepatikana mawazir 10,kama ww yaani nchi ingependeza mno❤❤❤❤
Kbsaaa!!
Mimi ki ukweli kungekuwa na neno jingine jipya la kumpongeza mh waziri ningeweza kumpongeza kwa kazi nzuri anayoifanya. Mungu akulinde kwa kila BAYA
Huyu ndie Waziri.. mtulivu, ana busara na anasimamia haki. . Good job
Waziri Mh Jerry Slaa, Mungu akulinde kwa kusimamia haki kwa wanyonge.
Hivi mawaziri wengine jifunzeni huku jamani full of wisdom full of information etc Hongera sana Brother Jerry. Mungu akuinue zaidi Kwa ajili ya wananchi wa Tanzania
Mh. Waziri, nakupongeza kwa hekma na uvumilivu uliouonesha kwa Bwana Bakari Shingo.
Pia umechukua hatua sahihi.
Hongera sn
Waziri Jerry hoyeee big up Bwana Yesu akutunze Damu ya Yesu ikufunike
Wazili uko vizuli sana mungu akupe afya njema.mama samia .tunakupenda sana.kwa kazi yako nzuri sana.kidumu chama cha mapinduzi.
Waziri sio Wazili,vizuri sio vizuli
Sasa kama waziri anajibiwa hivyo hivi mwananchi wa kawaida hajui hili wala lile atajibiwa vipi, hatari sana, waziri your too humble very good, kama kwenye jimbo lako hawakutaki njoo kwetu ugombee CCM ni moja.
Pata picha angekuwa Makonda ajibiwe hivyo, hahaha hapangetosha, jamaa angelala ndani 😂😂😂😂
@@MsAggie5KWANI HUYO KABEBWA UNAFIKIRI KAPELEKWA KEMPISKI?? 😂😂😂😂😂😂
@@MsAggie5HUYO AHUKUMIWE KIFUNGO TENA KIWEKWE LAAAAAAIVU MITANDAONI ILI WENGINE WAJINGA KAMA YEYE WAONE HANA ADABU KABISA.
HONGERA SANA MY UK BIG UP MUNGU AZIDI KUKULINDA KATIKA UTENDAJI WAKO
Waziri slaa endelea hivyo utaheshimika sana na utafika mbali Mungu akusaidie
Mh Waziri uko vizuri Sana Tusaidie maana wababe ni wengi.
Sillah The thing I like you, Your so come, You take time, Your not rush...Mwenyezi Mungu akulinde na akutangulie kwe kazi zako za kila siku....🙏
Hekima na busara mh Waziri uko vizuri
Safi sana mkuu ilo jama likanyee ndooo sasa maana kibuli mpaka kwa waziri
Sasa huyo mzee anamjibu waziri kwa kiburi hivyo yaani inaonyesha Nidhamu yake sio nzuri. Nakupongeza sana Mh Waziri Jerry maana naona ulimvumilia muda mwingi bado anakujibu anavyotaka. Tukumbuke ndugu watanzania Waziri ni mteule wa rais tena anaingia Cabinet. Yaani waziri huyu kweli anatumia vizuri taaluma yake ya sheria kitendo cha kuendelea kumsikiliza mtu anaebisha hivyo kwa kweli ni ustahimilivu mkubwa mno. Yeye angesema nimekosa Mh waziri asingefikia huko huenda angemshauri nini cha kufanya. Big up Waziri.
😮😮mmmmh
Mama samia hongera sanaaaa yaaan hapa wazziir umetupatia mvumilivuu aliekomaaaa kiakili na busaaraaa .... Allah awasimamie ingekua mtu mwingine huyu bakari shingo angekula koffii la mdomo kwanza...
Mpuuzi sana bakari
Bakari Shingo ghafla kageuka kuwa Bakari Shipa 😅
Asante waziri sasa tunaomba mawaziri wengine wafanye kazi kama waziri wa aridhi
Mh. Piga kazi ukimtanguliza Mungu mbele.. Wananchi tunakuewa sana
Hivi ndivyo Waziri anatakiwa kufanya kazi kwa kufuatilia,big-up Jerry. Unakuta baadhi ya Mawaziri wamepewa dhamana wanashindwa kufanya kazi wizara zao zinayumba lakini bado hawashtuki ?!
Wanafanyia maofisini tu
WATAKUWA WEZI TU
Yani Jeri safi Sana..nakusoma sheria ni safi Sana kwamana unakuwa unajielewa Sana..Jeri silaha mungu akujalie Sana..Yan kusoma nimali sana
Mweshimiwa waziri wema huu hautasaulika maishani huduma hii tunaihitaji hapa Manga veta mbeya Kuna team hapa inaongozwa na Bwana japhet inazulumu viwanja vya wanachi na kwa sasa inauza eneo lililotengwa kwa ajili ya ujenzi wa nursery school
Mzee mwenzangu umefeli kwa majibu ya hovyo
😂😂😂
Anadharau sanaa hawezi kumdharau waziri kiasi hicho
Kabisa ndugu
Huyu mwenyekiti afukuzwe kazii hafai ni mjinga sana
Kauri ya mheshimiwa nimeipenda hapo mwisho nina uungwana mwingi lakini sina ujinga big up mh
Kauli sio kauri
ndiyo unaona umeongea point😅@@selector728
Alafu anajibu jeuli kama kweli anazo document za ukweli
Young boy Mungu atuwekeee insha'Allah.
Hongera sana waziri Mungu akulinde
Maeneo ya hivyo yako mengi sana mjini!! Nyoosha Mambo Jerry, na usisahau barabara ya banana- kitunda-mwanagati-kivule. Watu wanateseka sana mzee.
Huku hawezi kugusia anakujua vizuri 😂😂😂😂
Mengi ya wazi yalichukuliwa au yamechukuliwa na CCM.
Safi Waziri umesahau kitu kimoja huyo jamaa Bakari Shingo TRA inatakiwa imshukie kwa hayo mapato ya dhuluma aliyokuwa anayapata wamkamue wamfilisi hizo hela zinazomtia kiburi alainike awe na adabu kwa viongozi wetu wa nchi
Hongera Mheshimiwa na Timu yako MUNGU Akubariki
Kweli MUNGU ana watu wenye kuifahamu HAKI nini na inathamani gani. Barikiwa Waziri .
Waziri hekma imetawala sana, umemvumilia sana, kweli huyu bwana hajaonyesha picha nzuri
Ni kweli kabisa huyo jamaa Hana discipline
Usikute hilo jamaa ni lishogaa maana si kwa zalau hizo
😢😢😢🎉huyu jamaa hovyooo kweliii......yaan anamjibu wazirii kama anajibu mbovuu duh
Mtetezi wa wanyonge❤❤❤
Safi sana mh waziri huyu ni muislamu wa namna Gani yaani anatuaibisha sana waislamu mh Jerry endelea na mipangovyako. Safi kabisa
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Wooooooh
Mtoto mdogo lkn maashaallah Allah akulinde mh silaa
Mh. Kwenye ofisi hizo siri zinauzwa sababu wanajuaje kama eneo halina umiliki? Nadhani uchunguzi uanze kwenye ofisi husika 🙏🏼🙏🏼🙏🏼 Mungu akusimamie kwa kazi ya kutetea haki za sisi wanyonge 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Huyu shingo sio mara ya kwanza kuchukuliwa na police,enzi za mkuu wa mkoa makonda alishawekwa ndani
Kweli
@@ZainaAlly hafai
Mchapishaji Wa maristi wakati Wa Makoda
Si ndo yule wa risiti feki😂😂😂
silaa❤❤❤❤
Mh Waziri fanya kazi usitishike na ndevu halafu jeuri adabu Hana pesa inampa kibri
Ana pesa Gani huyu.Kiburi Cha kuzimu
Bwana Yesu azidi kukuinua
Meenyeezi Mungu mpe afya njema waziri wetu Jerry mama yetu mh.Samia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tunashukuru kwa kutuletea jembe
Safiiiii mungu akulinde wanyonge tunaonewa
Uyuwaziri mkuu inaonekana katiba ya Taifa letu ipo kichwani.
Unaona anavyo wapa Uhuru wa kujieleza jamani.
Kiongozi Bora Sana.
Mungu akutangulie
Mungu akubariki uzidi kusimamia Haki
Hongera sana Waziri tembea inchi mzima hasa na huko musoma ni balaa tu
Dah huyo jamaa jeuri sana anapata wapi ushujaa wa kumjibu waziri namna hiyo?
Kwani waziri ni nani ?
@@zuchu9750kingozi mwenye dhamana
MUJAHIDEEN HUYO😮😮😮😮😮
Huyo mwehu sana jamaa Mh.Jery Slaa wewe ni Mwamba hatari...mnoo Big up sana
Huyu bakari anajibu kihuni sana.Wazir unabusara sana. Mheshimiwa waziri maeneo kama hayo ni mengi sana. Watu wanawatoza Kodi kuubwa wajasiliamali wadogo wakati eneo wamevamia la wazi
Yaaani huyu waziri ana hekima.... Mungu aendelee kumbariki
Huyu bakari yuko sahihii kabisa anajua haki zake unajua kuwa waziri haina maana wewe ni mahakama kama unataka maelezo mpe mtu barua ajibu kwa barua si unawaleta waandishi kwenye biashara ya mtu ili kujitengenezea nafas kisiasa watanzania wengi hawazijui haki zao na wanaburuzwa na wanasiasa ambaye anaweza kuwa leo kwa hiyo nafas na kesho hayupo afate utaratibu si kuleta makamera
@@user-cw3vu8mu3ktatizo Lako ni uelewa mtuhumiwa anaandikiwaje barua?
tatizo nawewe hujielew mtuhumiwa ikimwandikia barua utampataje je wewe unaona anachokifanya huyo jamaa kipo kikatiba au kisheria
@@user-cw3vu8mu3kwewe unajuwa mamlaka aliyonayo waziri kikatiba? Kama sio kupwayuka tu.. waziri hakuandikii barua! Waziri anaweza kukutia ndani bila maelezo yoyote! Hapa sio marekani eti haki yakikatiba😂😂😂
Ukiwa mtenda haki huwezi kupendwa nawatu ila cc wanyonge tupo na ww kijana wetu Mungu akulinde baba, pacha wako Makondo yuwapi jaman Mama Samia waangalie hawa vijana kwa macjo mawili wanafukunyua mengi yaliyo jificha
Barabara za kitunda machimbo, kivule na f/kumi Hali mbaya wajawazito wanajifungulia njiani njoo ujionee ktktk ya mji Dar es salaam so sad
Si ndo nyie huwa mnapewa kofia na t sheti za ccmu mnasaau matatizo kula chuma icho bado hamjasema
Ukiwa na shule raha sn kwa kweli hongera jerry slaaa shule ipo hekima busara ipo
😮bgp kiongozi wangu jerry silaa pamoja
"Ujue mimi nina uungwana mwingi .. lakini sina ujinga" .. nimeipenda hio Mh.Waziri.
Hongera waziri
Allah akulinde wazili
Nakubaliii wazir Jerry slaa
Waziri anahekima sana nigekuwa mimi namamraka alio nayo agejua hajui
Njooooo iringaaa wazidiii michezo hiyooo imezidi huuku
Ofc c mambo ya vyimbo vya habari,safi sana mzee
Huyo mwenyekiti hana nidhamu, hapo anaongea na waziri sipati picha akizungumza na mwananchi wakawaida pindi wametofautiana
Jamaa anajibu kwa jeuri sana sema mh waziri huyu ni mstaarabu sana
jamaa anajibu kwa usahihi huwezi waziri kumuuliza mtu nikikuandika barua nikataka ulete nyaraka utaleta? jamaa kajibu kisomi sana kuwa wewe andika utajibiwa sio kuulizana katika media serikali inaenda kinyaraka
@@user-ez9qc2jo1xamejibu kisomi sawa ila sasa jeuli hyo inatakiwa utambe ukiwa na nyaraka halali ndo patamu sasa mweupe tu halafu unajibu jeuri si ujinga huo. Ujue waziri mpaka anafika eneo hilo taarifa maalum anazo sasa kwann asiseme ukweli tu kuliko jeuri asiyokuwa na maana.
@@user-ez9qc2jo1xdah😂😂😂
Keep it up
Unaongea na waziri kama unaongea na mtu wa kawaida tia ndani huyo
Kwan wazr sio mtu wa kawaida??
haya ndiyo machawa yakiongea na waziri yanajiona kama yanaongea na Mungu wakati hata rais unaongea nae kama mtu wa kawaida@@eladiuspeter586
❤❤❤❤❤ waziri
Well done waziri ardhi ni tatizo sugu
Slaa asihamishwe ardhi Sasa hivi kama ni promotion aongezewe marupurupu tu 😁.. Akihamishwa ardhi tabu itarudi palepale
Nakukubali mh waziri kiongozi makini wewe
Safi sana haijalish dini wala.nn ww piga kazi tuu
Safi waziri
BG up kiongoz...
Hatari kweli hswa wazuri na wengine roho mamlaka
Sheria ifuate
Safi sana waziri, Mungu akutie nguvu na kukulinda
Waziri Silaha inaonekana mchapakazi , safi sana , anatatua wajanja
Tatizo kubwa watu wanamdharau waziri kwakuwa wanamuona ni bwana mdogo.
Safi sana mbuge Jeri mitano tena
Iwish angekuwa makonda hapo na hayo majibu
Safii babaa mweshimiwa Jerry
Duh mfunge uyo zezeta anamjibu kiongoz kama yupo bar mjinga uyo
Eneo halina mwenyewe!!
Mzee yupo sawa, mambo ya ofisi ni barua, sio kuvamiana tu
Nawewe chizii kama bakari shingo...yaonekana Hana walezii waliomlea vizuur...
Mueshimiwa hiyo mpo mpaka mkoani kwetu wameuza maeneo ya uma
Suala la hilo eneo nalifahamu vizuri, ni utata sana anayemiliki hapo nasikia yupo ulaya Shingo ni msimamiz.
Sasa si arudi
Dah Silaa mvumilivu sn
Wapo wengi sana hao Muheshimiwa
Mpuuzi sana huyo jamaah, Tia ndani
Wapo wangi kira kituo wanaripisha
Viiiva slaa vivaa❤❤❤
Hao wanafikiri hii nchi ni ya mama yao mbwa kabisa
Najisikia kuangalia hii kila wakati, busara yako mh Mungu akuongoze...
Mheshimiwa kira kira kituo wapo wanaripishwa
Huyu ndo Jerry sasa🙌🏽
Waziri wa aridhi Silla unatufurahisha sana hata kama Niko njombe
Hatar
Uendelee na speed hiyo hiyo mh silaa,dnt stop
Jery slaa
Hao ndiyo wanaitwa ALWATWAN!!