WAZIRI SILAA AAGIZA BAKARI SHINGO AKAMATWE kwa KUSABABISHA MGOGORO kwa MADEREVA BAJAJI - "TAPELI"...

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ย. 2024
  • WAZIRI SILAA AAGIZA BAKARI SHINGO AKAMATWE kwa KUSABABISHA MGOGORO kwa MADEREVA BAJAJI - "TAPELI"...
    Waziri wa Ardhi nyumba na maendeleo ya Mkakazi Jerry Silaa amemuagiza mkuu wa polisi Gongo la Mbotokumkamata bwana mmoja aliyefahamika kwa majina Bakari Shingo na wenzie akiwemo msimamizi wa eneo hilo kutokana na kudaiwa kusababisha mgogoro wa eneo la maegesho ya bajaji katika mtaa wa Gongo la Mboto ilala jijini Dar Es Salaam.
    Aidha Silaa amemtaka mkuu wa mipango miji halmashauri ya jiji la Dar Es Salaam kumilikisha eneo hilo la maegesho ya bajaji kwa mkurugenzi wa jiji na kumtaka aweke utaratibu mzuri wa malipo kwa madereva wa waliokuwa wakipaki eneo hilo ikiwemo kuwapunguzia ushuru kutoka shilingi elfu 2500 waliyokuwa wkilipa awali hadi kufikia shilingi elfu moja 1000.
    Waziri Silaa ametoa maagizo hayo alipofanya ziara ya kushtukiza kwenye eneo hilo baada ya kuwepo mgogoro huo ambao umezua taharuki hasa kwa madersva bajiji waliokuwa wakifanya kazi eneo hilo kutolewa na anayedai kuwa ndiye mmiliki.
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

ความคิดเห็น • 347

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  5 หลายเดือนก่อน +6

    JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...

    • @mankamanka6616
      @mankamanka6616 3 หลายเดือนก่อน +1

      😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊

  • @user-ks8oy9lt7z
    @user-ks8oy9lt7z 6 หลายเดือนก่อน +22

    Mtie na ndani mjinga uyo pole waziri kwa changamoto unazokutana nazo Allah akuhifadhi

  • @hadijauledi6995
    @hadijauledi6995 6 หลายเดือนก่อน +14

    Safi wazir hongera sana sana nchi hii wangepatikana mawazir 10,kama ww yaani nchi ingependeza mno❤❤❤❤

  • @raframs.stationery
    @raframs.stationery 5 หลายเดือนก่อน +8

    Mimi ki ukweli kungekuwa na neno jingine jipya la kumpongeza mh waziri ningeweza kumpongeza kwa kazi nzuri anayoifanya. Mungu akulinde kwa kila BAYA

  • @crismtete8837
    @crismtete8837 8 หลายเดือนก่อน +15

    Huyu ndie Waziri.. mtulivu, ana busara na anasimamia haki. . Good job

  • @jumannemwakalinga2586
    @jumannemwakalinga2586 8 หลายเดือนก่อน +6

    Waziri Mh Jerry Slaa, Mungu akulinde kwa kusimamia haki kwa wanyonge.

  • @neemabright3635
    @neemabright3635 5 หลายเดือนก่อน +3

    Hivi mawaziri wengine jifunzeni huku jamani full of wisdom full of information etc Hongera sana Brother Jerry. Mungu akuinue zaidi Kwa ajili ya wananchi wa Tanzania

  • @nassorosadick9232
    @nassorosadick9232 8 หลายเดือนก่อน +7

    Mh. Waziri, nakupongeza kwa hekma na uvumilivu uliouonesha kwa Bwana Bakari Shingo.
    Pia umechukua hatua sahihi.
    Hongera sn

  • @user-ks7zc6kd7u
    @user-ks7zc6kd7u 8 หลายเดือนก่อน +15

    Waziri Jerry hoyeee big up Bwana Yesu akutunze Damu ya Yesu ikufunike

  • @waltersesuru43
    @waltersesuru43 8 หลายเดือนก่อน +11

    Wazili uko vizuli sana mungu akupe afya njema.mama samia .tunakupenda sana.kwa kazi yako nzuri sana.kidumu chama cha mapinduzi.

    • @selector728
      @selector728 2 หลายเดือนก่อน

      Waziri sio Wazili,vizuri sio vizuli

  • @mathiasmwingira6951
    @mathiasmwingira6951 8 หลายเดือนก่อน +15

    Sasa kama waziri anajibiwa hivyo hivi mwananchi wa kawaida hajui hili wala lile atajibiwa vipi, hatari sana, waziri your too humble very good, kama kwenye jimbo lako hawakutaki njoo kwetu ugombee CCM ni moja.

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 5 หลายเดือนก่อน +2

      Pata picha angekuwa Makonda ajibiwe hivyo, hahaha hapangetosha, jamaa angelala ndani 😂😂😂😂

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 4 หลายเดือนก่อน +2

      ​@@MsAggie5KWANI HUYO KABEBWA UNAFIKIRI KAPELEKWA KEMPISKI?? 😂😂😂😂😂😂

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 4 หลายเดือนก่อน +2

      ​​@@MsAggie5HUYO AHUKUMIWE KIFUNGO TENA KIWEKWE LAAAAAAIVU MITANDAONI ILI WENGINE WAJINGA KAMA YEYE WAONE HANA ADABU KABISA.

  • @alphoncenerlimbweni6233
    @alphoncenerlimbweni6233 8 หลายเดือนก่อน +8

    HONGERA SANA MY UK BIG UP MUNGU AZIDI KUKULINDA KATIKA UTENDAJI WAKO

  • @eliaskangabo779
    @eliaskangabo779 8 หลายเดือนก่อน +10

    Waziri slaa endelea hivyo utaheshimika sana na utafika mbali Mungu akusaidie

  • @martinakessy5413
    @martinakessy5413 5 หลายเดือนก่อน +4

    Mh Waziri uko vizuri Sana Tusaidie maana wababe ni wengi.

  • @chemstry409
    @chemstry409 5 หลายเดือนก่อน +3

    Sillah The thing I like you, Your so come, You take time, Your not rush...Mwenyezi Mungu akulinde na akutangulie kwe kazi zako za kila siku....🙏

  • @hawahbohero2425
    @hawahbohero2425 8 หลายเดือนก่อน +10

    Hekima na busara mh Waziri uko vizuri

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 8 หลายเดือนก่อน +6

    Safi sana mkuu ilo jama likanyee ndooo sasa maana kibuli mpaka kwa waziri

  • @ancytarimo1103
    @ancytarimo1103 8 หลายเดือนก่อน +24

    Sasa huyo mzee anamjibu waziri kwa kiburi hivyo yaani inaonyesha Nidhamu yake sio nzuri. Nakupongeza sana Mh Waziri Jerry maana naona ulimvumilia muda mwingi bado anakujibu anavyotaka. Tukumbuke ndugu watanzania Waziri ni mteule wa rais tena anaingia Cabinet. Yaani waziri huyu kweli anatumia vizuri taaluma yake ya sheria kitendo cha kuendelea kumsikiliza mtu anaebisha hivyo kwa kweli ni ustahimilivu mkubwa mno. Yeye angesema nimekosa Mh waziri asingefikia huko huenda angemshauri nini cha kufanya. Big up Waziri.

    • @ramadhanisalimu-bt3ql
      @ramadhanisalimu-bt3ql 8 หลายเดือนก่อน

      😮😮mmmmh

    • @abuushakiraddausiy8666
      @abuushakiraddausiy8666 7 หลายเดือนก่อน

      Mama samia hongera sanaaaa yaaan hapa wazziir umetupatia mvumilivuu aliekomaaaa kiakili na busaaraaa .... Allah awasimamie ingekua mtu mwingine huyu bakari shingo angekula koffii la mdomo kwanza...

    • @hemedmselem4889
      @hemedmselem4889 5 หลายเดือนก่อน

      Mpuuzi sana bakari

    • @mc-omoro2366
      @mc-omoro2366 4 หลายเดือนก่อน

      Bakari Shingo ghafla kageuka kuwa Bakari Shipa 😅

  • @user-nb8ot8be9f
    @user-nb8ot8be9f 5 หลายเดือนก่อน +2

    Asante waziri sasa tunaomba mawaziri wengine wafanye kazi kama waziri wa aridhi

  • @erickzephania1030
    @erickzephania1030 8 หลายเดือนก่อน +5

    Mh. Piga kazi ukimtanguliza Mungu mbele.. Wananchi tunakuewa sana

  • @alexmatt9504
    @alexmatt9504 8 หลายเดือนก่อน +6

    Hivi ndivyo Waziri anatakiwa kufanya kazi kwa kufuatilia,big-up Jerry. Unakuta baadhi ya Mawaziri wamepewa dhamana wanashindwa kufanya kazi wizara zao zinayumba lakini bado hawashtuki ?!

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 5 หลายเดือนก่อน +1

    Yani Jeri safi Sana..nakusoma sheria ni safi Sana kwamana unakuwa unajielewa Sana..Jeri silaha mungu akujalie Sana..Yan kusoma nimali sana

  • @mbeya
    @mbeya 8 หลายเดือนก่อน +2

    Mweshimiwa waziri wema huu hautasaulika maishani huduma hii tunaihitaji hapa Manga veta mbeya Kuna team hapa inaongozwa na Bwana japhet inazulumu viwanja vya wanachi na kwa sasa inauza eneo lililotengwa kwa ajili ya ujenzi wa nursery school

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x 8 หลายเดือนก่อน +8

    Mzee mwenzangu umefeli kwa majibu ya hovyo

  • @user-lp4fi7bx9q
    @user-lp4fi7bx9q 8 หลายเดือนก่อน +3

    Anadharau sanaa hawezi kumdharau waziri kiasi hicho

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 8 หลายเดือนก่อน +9

    Huyu mwenyekiti afukuzwe kazii hafai ni mjinga sana

  • @tiopherysanga2934
    @tiopherysanga2934 8 หลายเดือนก่อน +3

    Kauri ya mheshimiwa nimeipenda hapo mwisho nina uungwana mwingi lakini sina ujinga big up mh

    • @selector728
      @selector728 2 หลายเดือนก่อน

      Kauli sio kauri

    • @albertchuma4313
      @albertchuma4313 2 หลายเดือนก่อน

      ndiyo unaona umeongea point😅​@@selector728

  • @sudymgeni701
    @sudymgeni701 8 หลายเดือนก่อน +9

    Alafu anajibu jeuli kama kweli anazo document za ukweli

  • @ALIMOHD-bk9lr
    @ALIMOHD-bk9lr 5 หลายเดือนก่อน

    Young boy Mungu atuwekeee insha'Allah.

  • @user-mp4yt7ps5q
    @user-mp4yt7ps5q 4 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana waziri Mungu akulinde

  • @kikalarashid9003
    @kikalarashid9003 8 หลายเดือนก่อน +18

    Maeneo ya hivyo yako mengi sana mjini!! Nyoosha Mambo Jerry, na usisahau barabara ya banana- kitunda-mwanagati-kivule. Watu wanateseka sana mzee.

    • @isaackkamanga3567
      @isaackkamanga3567 8 หลายเดือนก่อน

      Huku hawezi kugusia anakujua vizuri 😂😂😂😂

    • @bamdogokiki1486
      @bamdogokiki1486 6 หลายเดือนก่อน

      Mengi ya wazi yalichukuliwa au yamechukuliwa na CCM.

  • @Kidia-yt3bm
    @Kidia-yt3bm 6 หลายเดือนก่อน +1

    Safi Waziri umesahau kitu kimoja huyo jamaa Bakari Shingo TRA inatakiwa imshukie kwa hayo mapato ya dhuluma aliyokuwa anayapata wamkamue wamfilisi hizo hela zinazomtia kiburi alainike awe na adabu kwa viongozi wetu wa nchi

  • @user-pi1st6pj3w
    @user-pi1st6pj3w 5 หลายเดือนก่อน

    Hongera Mheshimiwa na Timu yako MUNGU Akubariki

  • @maswamills3161
    @maswamills3161 2 หลายเดือนก่อน

    Kweli MUNGU ana watu wenye kuifahamu HAKI nini na inathamani gani. Barikiwa Waziri .

  • @kanoa645
    @kanoa645 8 หลายเดือนก่อน +13

    Waziri hekma imetawala sana, umemvumilia sana, kweli huyu bwana hajaonyesha picha nzuri

    • @Barakaclassic
      @Barakaclassic 8 หลายเดือนก่อน +2

      Ni kweli kabisa huyo jamaa Hana discipline

    • @salumjumaruhaga2513
      @salumjumaruhaga2513 8 หลายเดือนก่อน

      Usikute hilo jamaa ni lishogaa maana si kwa zalau hizo

    • @abuushakiraddausiy8666
      @abuushakiraddausiy8666 8 หลายเดือนก่อน

      😢😢😢🎉huyu jamaa hovyooo kweliii......yaan anamjibu wazirii kama anajibu mbovuu duh

  • @NeemaMlay-jb6zj
    @NeemaMlay-jb6zj 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mtetezi wa wanyonge❤❤❤

  • @RBMBAKARI-bv6wn
    @RBMBAKARI-bv6wn 6 หลายเดือนก่อน +1

    Safi sana mh waziri huyu ni muislamu wa namna Gani yaani anatuaibisha sana waislamu mh Jerry endelea na mipangovyako. Safi kabisa

    • @shaamemchauru1365
      @shaamemchauru1365 5 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @StellaMwasha
    @StellaMwasha 3 หลายเดือนก่อน

    Wooooooh

  • @SalamaJuma-mg3ru
    @SalamaJuma-mg3ru 3 หลายเดือนก่อน

    Mtoto mdogo lkn maashaallah Allah akulinde mh silaa

  • @Mbeyaconscious
    @Mbeyaconscious 8 หลายเดือนก่อน +2

    Mh. Kwenye ofisi hizo siri zinauzwa sababu wanajuaje kama eneo halina umiliki? Nadhani uchunguzi uanze kwenye ofisi husika 🙏🏼🙏🏼🙏🏼 Mungu akusimamie kwa kazi ya kutetea haki za sisi wanyonge 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼

  • @user-qz7xl1xj7v
    @user-qz7xl1xj7v 6 หลายเดือนก่อน +6

    Huyu shingo sio mara ya kwanza kuchukuliwa na police,enzi za mkuu wa mkoa makonda alishawekwa ndani

    • @ZainaAlly
      @ZainaAlly 6 หลายเดือนก่อน

      Kweli

    • @user-qz7xl1xj7v
      @user-qz7xl1xj7v 6 หลายเดือนก่อน

      @@ZainaAlly hafai

    • @francavantini9098
      @francavantini9098 5 หลายเดือนก่อน +1

      Mchapishaji Wa maristi wakati Wa Makoda

    • @jamesmzaki6041
      @jamesmzaki6041 4 หลายเดือนก่อน

      Si ndo yule wa risiti feki😂😂😂

  • @monicachacha455
    @monicachacha455 2 หลายเดือนก่อน

    silaa❤❤❤❤

  • @2003hintay
    @2003hintay 8 หลายเดือนก่อน +4

    Mh Waziri fanya kazi usitishike na ndevu halafu jeuri adabu Hana pesa inampa kibri

    • @beatricehenry6776
      @beatricehenry6776 6 หลายเดือนก่อน

      Ana pesa Gani huyu.Kiburi Cha kuzimu

  • @peacemwesiga
    @peacemwesiga 6 หลายเดือนก่อน

    Bwana Yesu azidi kukuinua

  • @shamimukanju8402
    @shamimukanju8402 6 หลายเดือนก่อน

    Meenyeezi Mungu mpe afya njema waziri wetu Jerry mama yetu mh.Samia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tunashukuru kwa kutuletea jembe

  • @MarthaBura-or8fe
    @MarthaBura-or8fe 5 หลายเดือนก่อน

    Safiiiii mungu akulinde wanyonge tunaonewa

  • @cosmaslunyembeleka251
    @cosmaslunyembeleka251 8 หลายเดือนก่อน +1

    Uyuwaziri mkuu inaonekana katiba ya Taifa letu ipo kichwani.
    Unaona anavyo wapa Uhuru wa kujieleza jamani.
    Kiongozi Bora Sana.

  • @laylayl5166
    @laylayl5166 6 หลายเดือนก่อน

    Mungu akutangulie

  • @barakamassawe2454
    @barakamassawe2454 6 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki uzidi kusimamia Haki

  • @johnsimba
    @johnsimba 5 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana Waziri tembea inchi mzima hasa na huko musoma ni balaa tu

  • @johnndembwike7790
    @johnndembwike7790 8 หลายเดือนก่อน +5

    Dah huyo jamaa jeuri sana anapata wapi ushujaa wa kumjibu waziri namna hiyo?

    • @zuchu9750
      @zuchu9750 8 หลายเดือนก่อน

      Kwani waziri ni nani ?

    • @jasonwatz7457
      @jasonwatz7457 6 หลายเดือนก่อน

      ​@@zuchu9750kingozi mwenye dhamana

    • @shaamemchauru1365
      @shaamemchauru1365 5 หลายเดือนก่อน

      MUJAHIDEEN HUYO😮😮😮😮😮

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 7 หลายเดือนก่อน

    Huyo mwehu sana jamaa Mh.Jery Slaa wewe ni Mwamba hatari...mnoo Big up sana

  • @raynittu4599
    @raynittu4599 8 หลายเดือนก่อน +6

    Huyu bakari anajibu kihuni sana.Wazir unabusara sana. Mheshimiwa waziri maeneo kama hayo ni mengi sana. Watu wanawatoza Kodi kuubwa wajasiliamali wadogo wakati eneo wamevamia la wazi

    • @doreenfrank3508
      @doreenfrank3508 8 หลายเดือนก่อน

      Yaaani huyu waziri ana hekima.... Mungu aendelee kumbariki

    • @user-cw3vu8mu3k
      @user-cw3vu8mu3k 8 หลายเดือนก่อน +1

      Huyu bakari yuko sahihii kabisa anajua haki zake unajua kuwa waziri haina maana wewe ni mahakama kama unataka maelezo mpe mtu barua ajibu kwa barua si unawaleta waandishi kwenye biashara ya mtu ili kujitengenezea nafas kisiasa watanzania wengi hawazijui haki zao na wanaburuzwa na wanasiasa ambaye anaweza kuwa leo kwa hiyo nafas na kesho hayupo afate utaratibu si kuleta makamera

    • @didasseveline9013
      @didasseveline9013 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@user-cw3vu8mu3ktatizo Lako ni uelewa mtuhumiwa anaandikiwaje barua?

    • @zanzibamjimpya17
      @zanzibamjimpya17 6 หลายเดือนก่อน

      tatizo nawewe hujielew mtuhumiwa ikimwandikia barua utampataje je wewe unaona anachokifanya huyo jamaa kipo kikatiba au kisheria

    • @albertchuma4313
      @albertchuma4313 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@user-cw3vu8mu3kwewe unajuwa mamlaka aliyonayo waziri kikatiba? Kama sio kupwayuka tu.. waziri hakuandikii barua! Waziri anaweza kukutia ndani bila maelezo yoyote! Hapa sio marekani eti haki yakikatiba😂😂😂

  • @ndolepeter2770
    @ndolepeter2770 6 หลายเดือนก่อน

    Ukiwa mtenda haki huwezi kupendwa nawatu ila cc wanyonge tupo na ww kijana wetu Mungu akulinde baba, pacha wako Makondo yuwapi jaman Mama Samia waangalie hawa vijana kwa macjo mawili wanafukunyua mengi yaliyo jificha

  • @mgangamjita8657
    @mgangamjita8657 8 หลายเดือนก่อน +2

    Barabara za kitunda machimbo, kivule na f/kumi Hali mbaya wajawazito wanajifungulia njiani njoo ujionee ktktk ya mji Dar es salaam so sad

    • @valerianmtowe7822
      @valerianmtowe7822 8 หลายเดือนก่อน

      Si ndo nyie huwa mnapewa kofia na t sheti za ccmu mnasaau matatizo kula chuma icho bado hamjasema

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi9809 2 หลายเดือนก่อน

    Ukiwa na shule raha sn kwa kweli hongera jerry slaaa shule ipo hekima busara ipo

  • @user-ws8bc1jn7z
    @user-ws8bc1jn7z 8 หลายเดือนก่อน

    😮bgp kiongozi wangu jerry silaa pamoja

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 5 หลายเดือนก่อน

    "Ujue mimi nina uungwana mwingi .. lakini sina ujinga" .. nimeipenda hio Mh.Waziri.

  • @elisantenyange8751
    @elisantenyange8751 4 หลายเดือนก่อน

    Hongera waziri

  • @SadiHassan-ob6nv
    @SadiHassan-ob6nv 5 หลายเดือนก่อน

    Allah akulinde wazili

  • @user-kg3cr9gg1h
    @user-kg3cr9gg1h 5 หลายเดือนก่อน

    Nakubaliii wazir Jerry slaa

  • @MagesaMachota
    @MagesaMachota 5 หลายเดือนก่อน +1

    Waziri anahekima sana nigekuwa mimi namamraka alio nayo agejua hajui

  • @ADAMSANGA-lv7fv
    @ADAMSANGA-lv7fv 8 หลายเดือนก่อน +1

    Njooooo iringaaa wazidiii michezo hiyooo imezidi huuku

  • @tumainiellyimo4657
    @tumainiellyimo4657 6 หลายเดือนก่อน

    Ofc c mambo ya vyimbo vya habari,safi sana mzee

  • @godlistenJohn
    @godlistenJohn 8 หลายเดือนก่อน +5

    Huyo mwenyekiti hana nidhamu, hapo anaongea na waziri sipati picha akizungumza na mwananchi wakawaida pindi wametofautiana

  • @user-zx4zr3hc7y
    @user-zx4zr3hc7y 8 หลายเดือนก่อน +4

    Jamaa anajibu kwa jeuri sana sema mh waziri huyu ni mstaarabu sana

    • @user-ez9qc2jo1x
      @user-ez9qc2jo1x 8 หลายเดือนก่อน +2

      jamaa anajibu kwa usahihi huwezi waziri kumuuliza mtu nikikuandika barua nikataka ulete nyaraka utaleta? jamaa kajibu kisomi sana kuwa wewe andika utajibiwa sio kuulizana katika media serikali inaenda kinyaraka

    • @MtuSafi
      @MtuSafi 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@user-ez9qc2jo1xamejibu kisomi sawa ila sasa jeuli hyo inatakiwa utambe ukiwa na nyaraka halali ndo patamu sasa mweupe tu halafu unajibu jeuri si ujinga huo. Ujue waziri mpaka anafika eneo hilo taarifa maalum anazo sasa kwann asiseme ukweli tu kuliko jeuri asiyokuwa na maana.

    • @albertchuma4313
      @albertchuma4313 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@user-ez9qc2jo1xdah😂😂😂

  • @henrykibodya1207
    @henrykibodya1207 8 หลายเดือนก่อน

    Keep it up

  • @husseinmaula4965
    @husseinmaula4965 8 หลายเดือนก่อน +7

    Unaongea na waziri kama unaongea na mtu wa kawaida tia ndani huyo

    • @eladiuspeter586
      @eladiuspeter586 8 หลายเดือนก่อน +2

      Kwan wazr sio mtu wa kawaida??

    • @user-ez9qc2jo1x
      @user-ez9qc2jo1x 8 หลายเดือนก่อน

      haya ndiyo machawa yakiongea na waziri yanajiona kama yanaongea na Mungu wakati hata rais unaongea nae kama mtu wa kawaida@@eladiuspeter586

  • @peacemwesiga
    @peacemwesiga 6 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤❤ waziri

  • @bajagihaji8923
    @bajagihaji8923 8 หลายเดือนก่อน +1

    Well done waziri ardhi ni tatizo sugu

  • @rexgodwill7353
    @rexgodwill7353 4 หลายเดือนก่อน +1

    Slaa asihamishwe ardhi Sasa hivi kama ni promotion aongezewe marupurupu tu 😁.. Akihamishwa ardhi tabu itarudi palepale

  • @IddyZohan
    @IddyZohan 8 หลายเดือนก่อน +1

    Nakukubali mh waziri kiongozi makini wewe

  • @khamismgunya4519
    @khamismgunya4519 6 หลายเดือนก่อน

    Safi sana haijalish dini wala.nn ww piga kazi tuu

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni9676 8 หลายเดือนก่อน

    Safi waziri

  • @user-rp8vz2yt4j
    @user-rp8vz2yt4j 8 หลายเดือนก่อน

    BG up kiongoz...

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 8 หลายเดือนก่อน +1

    Hatari kweli hswa wazuri na wengine roho mamlaka
    Sheria ifuate

  • @user-iu4du7ws6s
    @user-iu4du7ws6s 8 หลายเดือนก่อน

    Safi sana waziri, Mungu akutie nguvu na kukulinda

  • @RoanCorporation
    @RoanCorporation 5 หลายเดือนก่อน

    Waziri Silaha inaonekana mchapakazi , safi sana , anatatua wajanja

  • @wilbertjosephat1615
    @wilbertjosephat1615 6 หลายเดือนก่อน +1

    Tatizo kubwa watu wanamdharau waziri kwakuwa wanamuona ni bwana mdogo.

  • @MarthaBura-or8fe
    @MarthaBura-or8fe 5 หลายเดือนก่อน

    Safi sana mbuge Jeri mitano tena

  • @stephenmsanzu9850
    @stephenmsanzu9850 2 หลายเดือนก่อน +1

    Iwish angekuwa makonda hapo na hayo majibu

  • @thomastemu3332
    @thomastemu3332 8 หลายเดือนก่อน

    Safii babaa mweshimiwa Jerry

  • @user-rk8cf7cd5x
    @user-rk8cf7cd5x 8 หลายเดือนก่อน +1

    Duh mfunge uyo zezeta anamjibu kiongoz kama yupo bar mjinga uyo

  • @Jackson-pj3mw
    @Jackson-pj3mw 4 หลายเดือนก่อน

    Eneo halina mwenyewe!!

  • @user-zw4tf5os8b
    @user-zw4tf5os8b 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mzee yupo sawa, mambo ya ofisi ni barua, sio kuvamiana tu

    • @abuushakiraddausiy8666
      @abuushakiraddausiy8666 7 หลายเดือนก่อน

      Nawewe chizii kama bakari shingo...yaonekana Hana walezii waliomlea vizuur...

  • @felistaantoni5446
    @felistaantoni5446 3 หลายเดือนก่อน

    Mueshimiwa hiyo mpo mpaka mkoani kwetu wameuza maeneo ya uma

  • @jamesbaisy8068
    @jamesbaisy8068 8 หลายเดือนก่อน +2

    Suala la hilo eneo nalifahamu vizuri, ni utata sana anayemiliki hapo nasikia yupo ulaya Shingo ni msimamiz.

  • @paschalkimboka4605
    @paschalkimboka4605 6 หลายเดือนก่อน

    Dah Silaa mvumilivu sn

  • @Abubakarhemed-cp5wb
    @Abubakarhemed-cp5wb 5 หลายเดือนก่อน

    Wapo wengi sana hao Muheshimiwa

  • @NeemaJuma-zf7vd
    @NeemaJuma-zf7vd 4 หลายเดือนก่อน

    Mpuuzi sana huyo jamaah, Tia ndani

  • @StAr-yu3vz
    @StAr-yu3vz 2 หลายเดือนก่อน

    Wapo wangi kira kituo wanaripisha

  • @MinaMasha-ep3ft
    @MinaMasha-ep3ft 5 หลายเดือนก่อน

    Viiiva slaa vivaa❤❤❤

  • @deogratiusyudatadei5658
    @deogratiusyudatadei5658 8 หลายเดือนก่อน +3

    Hao wanafikiri hii nchi ni ya mama yao mbwa kabisa

  • @petermuganda7322
    @petermuganda7322 8 หลายเดือนก่อน

    Najisikia kuangalia hii kila wakati, busara yako mh Mungu akuongoze...

  • @StAr-yu3vz
    @StAr-yu3vz 2 หลายเดือนก่อน

    Mheshimiwa kira kira kituo wapo wanaripishwa

  • @angonzamujunangoma8775
    @angonzamujunangoma8775 8 หลายเดือนก่อน

    Huyu ndo Jerry sasa🙌🏽

  • @josephlugala3182
    @josephlugala3182 3 หลายเดือนก่อน

    Waziri wa aridhi Silla unatufurahisha sana hata kama Niko njombe

  • @BahatiMaduhu-jp3cb
    @BahatiMaduhu-jp3cb 6 หลายเดือนก่อน

    Hatar

  • @salimomari150
    @salimomari150 4 หลายเดือนก่อน

    Uendelee na speed hiyo hiyo mh silaa,dnt stop

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 8 หลายเดือนก่อน +1

    Jery slaa
    Hao ndiyo wanaitwa ALWATWAN!!