"MTAFUTE FUNDI AJE HAPA SIONDOKI USILETE UJANJA" WAZIRI MKUU AMBANANISHA MHANDISI NA AFISA ELIMU

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 ก.ค. 2024

ความคิดเห็น • 244

  • @vallerinejesse2299
    @vallerinejesse2299 25 วันที่ผ่านมา +25

    Kama wewe ni team magu gonga like hapa kwa majaliwa! Tunaweza kumuona uncle magu ndani yako

    • @hamisimuhunzi7916
      @hamisimuhunzi7916 24 วันที่ผ่านมา

      hakuna kitu hapo ni changa la macho tu..PM atakagua madirisha mangapi nchi nzima!!

    • @salimalaquimane3077
      @salimalaquimane3077 24 วันที่ผ่านมา

      Alikua zaman Amna kitu hapo

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 26 วันที่ผ่านมา +16

    Yaani ukaguzi wa ubora wa majengo na vifaa Hadi waziri Mkuu..... Watz tunajiaibisha kiasi Gani.....hiii ingefaa iwe kazi ya mtendaji wa Kijiji....Mahalia tu kama tungejua tulitendalo

  • @allanuslwena8585
    @allanuslwena8585 26 วันที่ผ่านมา +19

    Hongera sana Mheshimiwa Mungu akuepushe na mabaya yote.

  • @rkcomercialenterprises3209
    @rkcomercialenterprises3209 26 วันที่ผ่านมา +15

    Ni jambo la kusikitisha waziri mkuu kusimamia fundi😢 Kuna haja ya kutafuta kiboko kitakachowafanya watanzania kuwajibika na kuwa waaminifu.

    • @allymoshi2053
      @allymoshi2053 25 วันที่ผ่านมา

      Hiyo bado sio suluhu watu wanaopewa kazi hawana uwezo wa kudeliver kk kazi haziangalii uwezo wa mtu kinachoangaliwa unajuana na nani ndio tatizo sana la nchi yetu

    • @fabianalfredy5557
      @fabianalfredy5557 25 วันที่ผ่านมา

      Kweli waziri mkuu. Ndiyo anafanya kazi hiyo kweli? Delegation siyo nzuri.

    • @upendoeliya9329
      @upendoeliya9329 24 วันที่ผ่านมา

      Ukileta kiboko yao wanamuua

  • @costandunguru7603
    @costandunguru7603 26 วันที่ผ่านมา +14

    Hii Nchi kuna shida Sana, Hadi aje MP, wakati hapo wilayani kuna DC, Takukuru na watu wengi kabisa. Sijui tutatoka lini kny huu ujinga

    • @piusmdoe3200
      @piusmdoe3200 26 วันที่ผ่านมา

      Wote ulipwataja wspigaji

    • @abdallahdataguy
      @abdallahdataguy 26 วันที่ผ่านมา +1

      changamoto sana

    • @ramadhanishamtandulo1510
      @ramadhanishamtandulo1510 25 วันที่ผ่านมา

      Dah..alafu vitu ambavyo vipo obvious haviitaji kuwa professional

    • @benshark3212
      @benshark3212 25 วันที่ผ่านมา

      MP au PM?

    • @mochemba
      @mochemba 25 วันที่ผ่านมา

      Hata mm hiki kitu huwa kinanikera Sana Sasa hawa viongozi watakuwa wanafika kila kona jmn kwa nn mali ni zetu jengo ni la watoto wetu, mradi wowote ule ni wa ndugu zetu kwa nn tunakuwa tunafanya ujanja ujanja kila sehemu, piga hela Lkni fanya kitu kionekane basi hata mtu akija anaona kweli kazi imefanyika. Watanzania tunajichelewesha wenyewe baadae tunalaumu oh Rais Rais kafanya nn, kumbe shida iko kwetu

  • @MbasaSanga
    @MbasaSanga 26 วันที่ผ่านมา +7

    Tumebaki na viongozi wachache sana wa aina hii.hongera sana waziri mkuu

  • @maharagendondo
    @maharagendondo 26 วันที่ผ่านมา +12

    MAJALIWA, UTAFANYA KAZI NGAPI BABA WAKUU WA MIKOA WAKURUGENZI WAPO WAKUU WA WILAYA WAPO LAKINI MPAKA UFIKE WW DU, WATAKUCHOSHA BABA

    • @songombingo108
      @songombingo108 25 วันที่ผ่านมา

      Siasa baba... Siasa😂😂😂

    • @fabianalfredy5557
      @fabianalfredy5557 25 วันที่ผ่านมา

      Kweli!! Wanafanya kazi Gani?

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv 10 วันที่ผ่านมา

      Hao unaowataja duuh

  • @carlosditram2069
    @carlosditram2069 15 วันที่ผ่านมา

    Wzr mkuu wa sasa sio sawa na yule wa kipindi cha RAIS DOCTAR JPM kama unakubaliana na mimi gonga like hapo chini

  • @JosseJone
    @JosseJone 26 วันที่ผ่านมา +9

    Majaliwa Kama yupo bado iringa afike na stendikuu yamabas iringa 😂😂😂😂

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 26 วันที่ผ่านมา +7

    Sasa viongozi wa mikoa wako wapi? Mpaka aje waziri mkuu ndio ayaone hayo!!

    • @philemonmagesa5548
      @philemonmagesa5548 25 วันที่ผ่านมา

      Hapo ndo uone uozo wa nchi yetu hao wakuu wa mikoa sijui huwa wanafanya kazi Gani mpaka aje waZiri kugundua matatzo

  • @kadokemarco9966
    @kadokemarco9966 26 วันที่ผ่านมา +18

    Ila vyeo vingine bhana mkuu wa mkoa anakazi gani sasa! Ikiwa mpaka waziri mkuu ndiyo aje kuhojiana na mafundi/contractor kweli🤔🤔🤔?. Hayo alitakiwa ahoji mkuu wa mkoa ni aibu sana.

    • @mupinimulila1762
      @mupinimulila1762 26 วันที่ผ่านมา

      Nyie vimajitu vichwa ngumu, amutaki kurahisisha mambo.

    • @itiamekimbui722
      @itiamekimbui722 26 วันที่ผ่านมา

      this is the problem we have in Africa

    • @IsayaFidelys
      @IsayaFidelys 26 วันที่ผ่านมา

      Hapo ndo swali.lilipo.??

    • @nsajigwamwakalonge5702
      @nsajigwamwakalonge5702 26 วันที่ผ่านมา

      Watanzania wenyewe mna safari ndefu

    • @stevenmabungi3245
      @stevenmabungi3245 25 วันที่ผ่านมา

      Mkuu wa mkoa ni mbali alitakiwa ahoji mtendaji wa kijiji tunajidharirisha sana watendaji tunaopewa mamlaka na serikali

  • @user-jm9og2wh5o
    @user-jm9og2wh5o 26 วันที่ผ่านมา +5

    Hongera sana waziri awo wakipishwa tu wanaona serekari yao wanyoshe mkuuu

  • @user-yt4si2th5k
    @user-yt4si2th5k 26 วันที่ผ่านมา +16

    Hao ndo watanzania eti wanataka maendeleo wakati ata uzalendo hawana tena kwa watoto wao

  • @suleymanimixkatafighter2669
    @suleymanimixkatafighter2669 22 วันที่ผ่านมา

    Mh majaliwa hongera kwa kazi nzuri hapo mkandarasi na afisa elimu wote wapigani ni wezi tu kazi yao ina mashaka sana

  • @josephfelicianlugakingira832
    @josephfelicianlugakingira832 26 วันที่ผ่านมา +2

    Safi Sana PM

  • @CyprianKasilo-d8h
    @CyprianKasilo-d8h 26 วันที่ผ่านมา +3

    Hongera majaliwa mungu akubariki thawabu ipo mbinguni

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz 26 วันที่ผ่านมา +7

    Mashaaalah waziri mkuu,asilete janjajanja

    • @nsajigwamwakalonge5702
      @nsajigwamwakalonge5702 26 วันที่ผ่านมา +1

      WATANZANIA MNA SAFARI NDEFU KAMA WAZIRI MKUU ANAENDA IRINGA KUKAGUA MILANGO NA FREMU!

    • @fettiemaganza1484
      @fettiemaganza1484 25 วันที่ผ่านมา

      ​@@nsajigwamwakalonge5702ifupishe tu hakuna tatizo

  • @CalvinShuma
    @CalvinShuma 26 วันที่ผ่านมา +2

    Asante sana mweshimiwa waziri mkuu

  • @KasianiTitus-un5rk
    @KasianiTitus-un5rk 25 วันที่ผ่านมา +1

    Kwa Hali hii waafrika kuendelea itakuwa ngumu mtu Hadi usimamiwe na kiongozi

  • @ezekielmadindula2679
    @ezekielmadindula2679 25 วันที่ผ่านมา +1

    Lema anavituko Sana Eti Majaliwa anapaka Pico 😂😂😂😂

  • @daudimashimbi8530
    @daudimashimbi8530 26 วันที่ผ่านมา +2

    Hongera sana mheshimiwa majaaliwa

  • @NgunoSangano
    @NgunoSangano 9 วันที่ผ่านมา

    hakika unastahili mungu akulinde kiongozi wetu

  • @AMBROSIJOSEPH-qc7xo
    @AMBROSIJOSEPH-qc7xo 25 วันที่ผ่านมา

    Big up big up waziri mkuu mungu akulinde wanakuangalia na jicho mbaya wasifanikiwe

  • @KilingohJuma
    @KilingohJuma 25 วันที่ผ่านมา +1

    Wanachezea sana pesa za serkal ,Yaan dawat lmepasuka hata haljatumika , hivi Elmu yetu ni shda au ipoje ? Kwann mtu ni kiongoz hajtambui majukum yake , had waje viongoz wa juu wakosoe mirad namna hii jaman,
    Pole PM Kwa kaz nyng na hongera Kwa kubain uzembe wa viongoz ngaz mikoa na wilaya.

  • @RojamilaSamson
    @RojamilaSamson 26 วันที่ผ่านมา +3

    Mkuu Wa mkoa hawana kazi funuza anpokea pèsa za Bure hakanguwi miladi

  • @DitrickKihava
    @DitrickKihava 13 วันที่ผ่านมา

    Hatari sana viongozi mnadhalilisha serikli

  • @mgoboibrahim
    @mgoboibrahim 26 วันที่ผ่านมา

    Hongera sana sana mheshimiwa Waziri Mkuu mana bila uzalendo wa dhati hatuwezi kuendelea

  • @johanesjofrey2105
    @johanesjofrey2105 10 วันที่ผ่านมา

    Huyu Mzee ndiye anafaa awe Rais wa hii nchi awamu ijayo.Mama tuache tafadhali

  • @KwayayaUinjilistiHimo
    @KwayayaUinjilistiHimo 21 วันที่ผ่านมา

    Hii nchi bhana. Ina maana hakuna wakaguz, hakuna, Mkurugenzi, msimamiz wa mrad, Dc, Rc. Hadi waziri mkuu

  • @FrancisMtema-s9t
    @FrancisMtema-s9t 25 วันที่ผ่านมา

    Mungu akulinde pm.kwa kilolo Kuna mradi wa maji kata ya uhambingeto wa bilioni 2.25.tuma watu wako waukague kimyakimya.matenki ya zamani yanapakwa rangi kuonekana mapya.karibu Sana Baba kwetu.

  • @AmiriAmiri-x2z
    @AmiriAmiri-x2z 25 วันที่ผ่านมา

    jpm namba 2.hongera sana.ndoo ujue wapigaji wapo kila kona kila mahali.tunajua sisi wanainch mkuu wa mkoa ni mmoja Paul makonda.lakin mafisad wanampiga vita kweli.na fikili kwa arusha huna tabu napo.maana yupo kiongoz mzalendo.

  • @lucymtui8680
    @lucymtui8680 26 วันที่ผ่านมา +7

    Engineer wa ovyooo sanaa

    • @YOSHUAMWAMPETA
      @YOSHUAMWAMPETA 26 วันที่ผ่านมา

      KABISAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA

    • @mamodelmam
      @mamodelmam 26 วันที่ผ่านมา +2

      Yani ongea yake tu unajua ni mwizi mtu ata sauti haitoki anakazi ya kumung'unya maneno

  • @YakoboChambo
    @YakoboChambo 21 วันที่ผ่านมา

    Kaka mkuu wanchi nakukubali sana yani ikiwezekana gombea URAIS naamini utapata

  • @lenniefei6710
    @lenniefei6710 22 วันที่ผ่านมา

    WaTZ bado wapo kwenye usingizi wa pono, wakati waaKenya tunawabana wanasiasa wao wanakubali kuchezea vibao kata tu na wanasiasa😂😂😂😂😂😂

  • @user-pi1st6pj3w
    @user-pi1st6pj3w 26 วันที่ผ่านมา +5

    Piga kaziii Mheshimiwa Waziri Mkuu MUNGU BABA wa Mbinguni Akubariki Sana

  • @danieljoseph6702
    @danieljoseph6702 25 วันที่ผ่านมา

    Unaweza fikiri una wawakishi kumbe mizigo.Dawati kama yaliletwa na kichaa.Hatari sana.

  • @RAJABWADIGOGO
    @RAJABWADIGOGO 25 วันที่ผ่านมา

    hongera mheshimiwa kwa ukaguzi makin

  • @leobalige7069
    @leobalige7069 25 วันที่ผ่านมา

    Waziri mkuu. Inafaa utembelee miradi nchi nzima. Miradi ni mibovu sana.

  • @danielelikana2615
    @danielelikana2615 25 วันที่ผ่านมา

    Watendaji wanaiangusha sana hii serikali!..Hizi kazi zinatakiwa zisimamiwe vizuri na wakuu wa idara bila hata kusubiri Waziri Mkuu kuja kuibua madudu!! Inasikitisha sana watu wanalipwa mishahara halafu hawawajibiki kwenye nafasi zao!!

  • @DeogratiusAndrew-zi7zv
    @DeogratiusAndrew-zi7zv 26 วันที่ผ่านมา +2

    Ninachokiona watu hofu ya Mungu hawana hata kidogo Mwenye kumuhofu.wenyezi Mungu hawaezi fanya ubaya huo hatakama pesa sio yake

    • @lukasmgaya652
      @lukasmgaya652 26 วันที่ผ่านมา

      ofu ya Mungu ya nn aisee Acha ujinga kwa sababu hofu ya Mungu hiusiki na chochote Miht.19 2.Tena siyo vizuri roho ya mtu ikose #maarifa

    • @DeogratiusAndrew-zi7zv
      @DeogratiusAndrew-zi7zv 26 วันที่ผ่านมา

      Unajua nimekuona wewe ni mjpumbavu sana , na ujinga unao wewe kwani hata maana ya andiko umeweka hujui , kuwa na adabu ,

  • @Mapenzi2635
    @Mapenzi2635 26 วันที่ผ่านมา

    Pole sana Mh. Waziri Mkuu. Unateswa na falsafa ya umasoko inayoendesha Serikali. Tukobadilisha falsafa utaondokewa na ubadhirifu, wizi, na uadilifu utaongezeka.

  • @user-xx1je7sy4h
    @user-xx1je7sy4h 26 วันที่ผ่านมา +3

    Tatizo ni mfumo wa serikali yetu kuleana kwingi majitu yanaiba sana sababu yanajuwana yote majizi mtoto umuleavyo ndivyo akuavyo hata hayaogopi kuiba

    • @chingaboy1149
      @chingaboy1149 25 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂mmi langu jicho tu hii inchi ukijifanya mjuaji yanakukuta yahasani

  • @jamalnaheka1131
    @jamalnaheka1131 23 วันที่ผ่านมา

    aisee tuna kaz ss waafrik,..njaa tunaendekez sana.

  • @cassimoa9217
    @cassimoa9217 26 วันที่ผ่านมา +1

    Mkuu wa mkoa una kazi gani mpk aje waziri mkuu. Tumbua wote hapo kuanzia mkuu wa mkoa, tawala, mkurugenzi, mkuu wa wilaya wote

  • @MTAVASSYTv
    @MTAVASSYTv 10 วันที่ผ่านมา

    Zamani ukaguzi ilikuwa ni kupita nje ya jengo kiatu ila siku hizi angalau wanauliza na mulimopigwa kwakweli ni mchezo mbaya wa pesa za wananchi

  • @chui99
    @chui99 26 วันที่ผ่านมา +6

    Magu wapili sasa uyu tumpe nchi tu

  • @hellenmollel6679
    @hellenmollel6679 25 วันที่ผ่านมา

    Ni huzuni Kwa kweli, tumeshindwa kuwa wazalendo kiasi hichi? Mungu atusaidie sana, piga kazi Baba umsaidie Mh Rais

    • @chingaboy1149
      @chingaboy1149 25 วันที่ผ่านมา

      Ney wa mitego alisema 😂😂😂 uzalendo uzalendo gani nchi inaendeshwa kimagendo

  • @volcaremigius6881
    @volcaremigius6881 24 วันที่ผ่านมา

    Huyo jamaa anaeulizwa akili hana anakwambia meza zilikua nzima ety😂😂

  • @muksinimbaruku1233
    @muksinimbaruku1233 25 วันที่ผ่านมา

    Majaliwa Rais, Jafari jafo Waziri mkuu alafu Paul makonda tunamuweka waziri wa Miundominu naiona Tz inakuwa Hong kon after 5 years later.

  • @Kinyerezi1
    @Kinyerezi1 20 วันที่ผ่านมา

    Huyu kibonge wa CCM ndiye alikuwa anatrend akibwabwaja ubaguzi wa vyama..

  • @user-zs4qz4wm2n
    @user-zs4qz4wm2n 26 วันที่ผ่านมา +1

    Majariwa anaonekana siku moja atakua rais mi namuelewa sana( amenuna kazini)

  • @emmanueldavid9506
    @emmanueldavid9506 26 วันที่ผ่านมา

    Piga chini hao ni bora mgetuajiri sisi mafundi local tunafanya kazi nzuri kuliko hao mnaowalipa hela nyingi

    • @tztanzania2262
      @tztanzania2262 26 วันที่ผ่านมา

      Shda hatuna mitaji tu maana malipo ya serikali mpaka ukabidh kwanza Sasa kwa mitaji yetu 😢😢

  • @mwanaafrika_tz
    @mwanaafrika_tz 25 วันที่ผ่านมา

    Sa mkurugenzi kazi yake nini😂😂

  • @The1979bornagain
    @The1979bornagain 21 วันที่ผ่านมา

    Hivi unawezaje kumsimamisha kazi Mkurugenzi, Mhandisi na Afisa manunuzi halafu ukawaacha DC na RC kwa wizi na ubadhirifu uliotokea ktk miradi iliyo ktk eneo lao la utawala? Na haya matatizo ya kula fedha za miradi na miradi kuachwa hivyo hivyo bila kukamilika yako kila wilaya na kila mkoa. Na ulaji huu unawahusisha hadi ma-DCs na ma - RCs. Hawa ma-DC na ma- RCs ndiyo wenyeviti wa kamati za ulinzi za wilaya na mikoa respectively. Maana yake ni kuwa vyombo hivi PCCP na POLISI ambavyo ndivyo vinavyoshughulika kuchunguza na kuchukua hatua za wizi na ubadhirifu viko chini ya hawa. Tunategemea watafanya nini kama hawa mabosi wao yaani DCs au RCs ni washiriki wa wizi au ubadhirifu huo? Waziri mkuu naye hata halioni hili. Eti anampa jukumu DC au RC mshiriki wa wizi na ubadhirifu kusimamia uchunguzi. Si ataandaa ripoti feki kwa kujilinda yeye mwenyewe? Tukubali kuwa kuna tatizo ktk mfumo wetu wa utawala. Na hiki ndicho chanzo cha mkwamo wa maendeleo yetu. Kwa hiyo hapa Waziri Mkuu anatwanga maji kwenye kinu tu. Ataondoka na mambo yatabaki vilevile tu. Tutengeneze mfumo mpya wa utawala unaoleta uwajibikaji wenye tija!!

  • @stn4873
    @stn4873 25 วันที่ผ่านมา

    Ujue kuwa watu wanachekesha kweli😂😂😂😂😂

  • @user-og9jt3mg4c
    @user-og9jt3mg4c 25 วันที่ผ่านมา

    Tanzania yetu jamani kilakitu wanachakachua, wizi mtupu!! Mungu aturudishie roho ya utu!

  • @sayeedmsct4255
    @sayeedmsct4255 26 วันที่ผ่านมา

    ❤❤❤❤ waziri

  • @Optionxll_Playz1
    @Optionxll_Playz1 25 วันที่ผ่านมา

    Uwa nasshindwa kuelewa hivi mkuu wa Mkoa na WA watawa WA wilaya uwa wanafanya Kazi gani Ni Kwa nini wasifungwe ? Watoe lipoti ya kila mwezi ndio itajulikana ,na pia sio mpka Waziri mkuu afike kukagua.

  • @festohaule9716
    @festohaule9716 25 วันที่ผ่านมา

    Kama Mkoa tunaviongozi wengi inakuwaje mpaka madawati aje akague Waziri Mkuu... Afrika kitovu changu pole sana!!!!! Kazi ya uchawa tu kufanya kazi njema ahaaaa!!!!!

  • @firo0ozdawah378
    @firo0ozdawah378 26 วันที่ผ่านมา +3

    Watanzania shkamooooo🙌🙌🙌

    • @YOSHUAMWAMPETA
      @YOSHUAMWAMPETA 26 วันที่ผ่านมา

      MARAHABAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA.

    • @upendoeliya9329
      @upendoeliya9329 24 วันที่ผ่านมา

      Marahaba mwanangu hamjambo!!!!😅😅😅 Haya ni matokeo ya ajira za kujuana na kutoa kitu kidogo 😂😂😂😂.

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 25 วันที่ผ่านมา

    Daah viti vipya vimesha pasuka😂

  • @majaliwaharuna4064
    @majaliwaharuna4064 25 วันที่ผ่านมา

    Fanya kazi mh waziri mkuu,huku kwenye halmashauri Kuna madudu mengi sana yanafanywa na wakurugenzi kwa makusudi wakijuwa hakuna wa kuwashughulikia .wewe ndio tumaini letu PM

  • @SalumMsafiri20
    @SalumMsafiri20 24 วันที่ผ่านมา

    Watanzania tunapenda kujiibia wenyewe,afisa elimu anapokea vifaa ambavyo havina ubora. Na anaacha viendelee kuwepo sehemu husika. Me nazani,wanajeshi wapewe hizi kazi za jamii.

  • @francisgituti2494
    @francisgituti2494 25 วันที่ผ่านมา

    Hivi Hawa watu hata kudanganya hawajui duh!kitu kinaonekana bado wanadanganya wape za uso hao

  • @MenelusCzar
    @MenelusCzar 25 วันที่ผ่านมา

    YAANI WATU WANATIA AIBU SANA ET WIRE NI DIFFERENT CONTRACT🙌🏻

  • @stevemsola437
    @stevemsola437 25 วันที่ผ่านมา

    Mpaka waziri mkuu hamna viongozi wengine jmn

  • @johnkalibonamchungaji3082
    @johnkalibonamchungaji3082 25 วันที่ผ่านมา

    Hiv kweri waziri mkuu ndo akakague hali hii wasaidizi wachini wako wapi? baba Mungu akutunze

  • @elisantemrita9490
    @elisantemrita9490 25 วันที่ผ่านมา

    Yani tunaitaji wasimamizi kutoka Dubai waje wawe wakuu wa wilaya na mikoa na mawaziri

  • @user-yv7xg4em4s
    @user-yv7xg4em4s 26 วันที่ผ่านมา +3

    Mtakoma mmezoea kuiba

  • @webrand2305
    @webrand2305 25 วันที่ผ่านมา

    Hii nchi ngumu sana, hivi kweli kwa mambo haya tutuaendelea kweli???

  • @saudmohammed3390
    @saudmohammed3390 25 วันที่ผ่านมา

    Ziara ya kushtukiza ni nzuri saaaana

  • @salamaalladini
    @salamaalladini 25 วันที่ผ่านมา

    Mm ktk moyo Wang nnaiman utakuj kuwa rais wa nchi hii

  • @janethferous
    @janethferous 25 วันที่ผ่านมา

    Naomba ufike na kitowo wananchi wanaushi Kama wakimbizi mtendaj anawapiga viboko wananchi Kama watoto wanawalipisha fedha kwa makosa madog madogo rushwa

  • @YOSHUAMWAMPETA
    @YOSHUAMWAMPETA 26 วันที่ผ่านมา +1

    NINGEKUWA mimi nawatimua KAZI HAWAPATI HATA KIINUA MGONGO INAKUWA AMRI NA SHERIA

  • @danielsostenes1640
    @danielsostenes1640 26 วันที่ผ่านมา

    Wawajibishe mkuu nakukubal sana wazir mkuu wang chapa kazi

  • @elisantemrita9490
    @elisantemrita9490 25 วันที่ผ่านมา

    Majaliwa kwann sikuizi huwatii viboko
    Tembea na kiboko sasaivi mkuu

  • @bir4450
    @bir4450 24 วันที่ผ่านมา

    Hapo kuweka wavu kipengele maana inaonesha jamaa hakuweka hesabu ya wavu.unawaza kama ingekua nyumban kwake angefanya hivo

  • @paterinishayo-ef4sx
    @paterinishayo-ef4sx 25 วันที่ผ่านมา

    Watanzania wengi hatujui tulitendalo jambo dogo hata mjinga analiona lakin mpka aje kiongoz wa juu hivi tunakumnwa na nn ni rushwa au tuwajinga hatudhamin mali zetu tulizojengewa na serikali daah

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 25 วันที่ผ่านมา

    Kweli punda haendi mpaka kwa magongo jamani😢😢😢.ivi inakuwaje watu mnakula tu hela kila kukicha watu hawahanyi wajibu wao lazima washikiwe magongo jamani 😢😢😢😢😢 inauma mno

  • @RAMZANJumma-hr3ff
    @RAMZANJumma-hr3ff 26 วันที่ผ่านมา

    Wamefanya kazi mzuri

  • @YohanaKamota-vl2ir
    @YohanaKamota-vl2ir 20 วันที่ผ่านมา

    Wakati uchakachuzi wa Mali ya selikari unafanyika mkuu wa mkoa yupo mkuu wa wilaya yupo ujuwe Hawa wanachangia maana haiwezekan kila uharibifu hadi waziri ndo Aubain Hilo rais wangu kwakweli liangalie Hawa viongozi watakuangusha kwenye uchanguzi wamekalia nafasi na kutokuzitumikia sawasawa ilbidi Kayla ya kuwafukuza wakandalasi waaziwe wao

  • @kalebphilip3426
    @kalebphilip3426 25 วันที่ผ่านมา

    Uliza dawati moja bei yake utakimbia yaan hii nchi ni mm tu sio mwz

  • @justinkasanga8463
    @justinkasanga8463 25 วันที่ผ่านมา

    Moja Kati ya vitu ambavyo serikali inafeli Ni kutokuunda monitoring and evaluation body ambayo inapaswa kufuatilia kwa ukaribu huu utendaji kazi! Haya ambayo Leo hii yanafanywa na waziri mkuu yamesababishwa na serikali yake mwenyewe! Mifumo ya utekelezaji wa miradi ya serikali Ni mibovu na tunaiacha hivyo hivyo alaf tunategemea tuje mwishoni kuweka mambo sawa! This is not okay! Hapa Ni siasa tuu zinatumika. Tubadilishe mifumo M&E ziwepo katika utekelezaji wa miradi katika Kila sector! Tutafanikiwa kwa kiwango kikubwa

  • @paulokateme7615
    @paulokateme7615 25 วันที่ผ่านมา

    Itapendeza ufanyike ukaguzi wa shule zote na madudu utakayoyagundua yatakushangaza ni watu wasio na utu.

  • @mathewungani9724
    @mathewungani9724 22 วันที่ผ่านมา

    Ni Aibu sana

  • @charlesmwambinga4355
    @charlesmwambinga4355 26 วันที่ผ่านมา

    Ifike Mahara Tumsaidie Mheshimiwa Raisi kwa kua wazalendo..zamani tulikua tunalalamika pesa haifiki saivi zinafika watu Mnachota Chota sio sawaaaa..kabisa

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 25 วันที่ผ่านมา

    Kazi ya RC na DC ni nini had anakuja waziri mkuu 😢

  • @nkwazigatsha
    @nkwazigatsha 25 วันที่ผ่านมา

    Ukiangalia sura zao, yote majizi matupu. Mmegeuza nchi ya majizi. Shame on you! Suluhu si kuleta mpya. Ni kufukuza haya majizi tena mapumbavu, kuyachunguza na kuyapeleka mahakamani. Mnafanyia nchi majaribio kana kwamba mtaishi milele.

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 26 วันที่ผ่านมา

    Kwenye ujenzi wakuu wanapigwa sana pesa zetu

  • @timamulituto
    @timamulituto 26 วันที่ผ่านมา

    😂 watu wanapiga ase😂

  • @mathayomwashambwa1238
    @mathayomwashambwa1238 25 วันที่ผ่านมา

    ASANTE MKUU KWA KUFUATILIA, MOYO UKIWA MWOVU MATENDO YOTE YANAKUWA KAMA MOYO WAKO.. WATANZANIA MMM! UKIFUKUZWA KAZI NDO UTAIONA THAMANI YA KAZI HIYO

  • @japhetygodfrey921
    @japhetygodfrey921 25 วันที่ผ่านมา

    Mheshimiwa wabane kabisa hao wsmezoea kupita njia zamkato mungu akupe wepesi kusimamia majikumu yako

  • @MasaluMartine-xe1kb
    @MasaluMartine-xe1kb 25 วันที่ผ่านมา

    Hiii inaonesha wazi kwamba. Hamna haja ya kuwa na wakuu wa wilaya , na wa mikoa ,kama waziri anatoka huko kote anagundua mapungufu , wao wako wapi, kwakweli kazi ni ngumu sana

  • @nassibuduma7162
    @nassibuduma7162 18 วันที่ผ่านมา

    Bado kuna tabu ya usimamizi wa utekelezaji wa miradi ya selikari

  • @user-io6yj9fs2h
    @user-io6yj9fs2h 25 วันที่ผ่านมา

    Huyu anatakiwa awe rais ndo atainyoosha nchi hii maana majizi tomach

  • @festohaule9716
    @festohaule9716 25 วันที่ผ่านมา

    Kazi ni uchawa tu.. kazi ahaaaa..Pesa zipo kwanini Hatuwezi kujenga Nchi yetu pasipo dosari!!!!

  • @ChristinaOberto
    @ChristinaOberto 26 วันที่ผ่านมา

    Daah! Serikali imeanza kuchezewa sasa

  • @godsonrwegasira4414
    @godsonrwegasira4414 26 วันที่ผ่านมา

    Tatizo hao waalim wanabanaga sana mm mwenyew fundi wa vioo lakin dirisha anakwambia linabdi likamilike kwa sh. laki mbili wakat we umempa gharama ya lak 280, fundi mwenye njaa anapokea kaz afu analeta baadh ya vitu hakuna hapo mh angekagua na size ya kioo unaeza kumbana na mm. 4

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 25 วันที่ผ่านมา

    Wizi kila mahali daah ina sikitisha 😢

  • @MOHAMEDMBAROUK-tc4ch
    @MOHAMEDMBAROUK-tc4ch 25 วันที่ผ่านมา

    Waongo hao wameshapiga hela zao