Yaani ukaguzi wa ubora wa majengo na vifaa Hadi waziri Mkuu..... Watz tunajiaibisha kiasi Gani.....hiii ingefaa iwe kazi ya mtendaji wa Kijiji....Mahalia tu kama tungejua tulitendalo
Hiyo bado sio suluhu watu wanaopewa kazi hawana uwezo wa kudeliver kk kazi haziangalii uwezo wa mtu kinachoangaliwa unajuana na nani ndio tatizo sana la nchi yetu
Hata mm hiki kitu huwa kinanikera Sana Sasa hawa viongozi watakuwa wanafika kila kona jmn kwa nn mali ni zetu jengo ni la watoto wetu, mradi wowote ule ni wa ndugu zetu kwa nn tunakuwa tunafanya ujanja ujanja kila sehemu, piga hela Lkni fanya kitu kionekane basi hata mtu akija anaona kweli kazi imefanyika. Watanzania tunajichelewesha wenyewe baadae tunalaumu oh Rais Rais kafanya nn, kumbe shida iko kwetu
Ila vyeo vingine bhana mkuu wa mkoa anakazi gani sasa! Ikiwa mpaka waziri mkuu ndiyo aje kuhojiana na mafundi/contractor kweli🤔🤔🤔?. Hayo alitakiwa ahoji mkuu wa mkoa ni aibu sana.
Wanachezea sana pesa za serkal ,Yaan dawat lmepasuka hata haljatumika , hivi Elmu yetu ni shda au ipoje ? Kwann mtu ni kiongoz hajtambui majukum yake , had waje viongoz wa juu wakosoe mirad namna hii jaman, Pole PM Kwa kaz nyng na hongera Kwa kubain uzembe wa viongoz ngaz mikoa na wilaya.
Mungu akulinde pm.kwa kilolo Kuna mradi wa maji kata ya uhambingeto wa bilioni 2.25.tuma watu wako waukague kimyakimya.matenki ya zamani yanapakwa rangi kuonekana mapya.karibu Sana Baba kwetu.
jpm namba 2.hongera sana.ndoo ujue wapigaji wapo kila kona kila mahali.tunajua sisi wanainch mkuu wa mkoa ni mmoja Paul makonda.lakin mafisad wanampiga vita kweli.na fikili kwa arusha huna tabu napo.maana yupo kiongoz mzalendo.
Watendaji wanaiangusha sana hii serikali!..Hizi kazi zinatakiwa zisimamiwe vizuri na wakuu wa idara bila hata kusubiri Waziri Mkuu kuja kuibua madudu!! Inasikitisha sana watu wanalipwa mishahara halafu hawawajibiki kwenye nafasi zao!!
Pole sana Mh. Waziri Mkuu. Unateswa na falsafa ya umasoko inayoendesha Serikali. Tukobadilisha falsafa utaondokewa na ubadhirifu, wizi, na uadilifu utaongezeka.
Hivi unawezaje kumsimamisha kazi Mkurugenzi, Mhandisi na Afisa manunuzi halafu ukawaacha DC na RC kwa wizi na ubadhirifu uliotokea ktk miradi iliyo ktk eneo lao la utawala? Na haya matatizo ya kula fedha za miradi na miradi kuachwa hivyo hivyo bila kukamilika yako kila wilaya na kila mkoa. Na ulaji huu unawahusisha hadi ma-DCs na ma - RCs. Hawa ma-DC na ma- RCs ndiyo wenyeviti wa kamati za ulinzi za wilaya na mikoa respectively. Maana yake ni kuwa vyombo hivi PCCP na POLISI ambavyo ndivyo vinavyoshughulika kuchunguza na kuchukua hatua za wizi na ubadhirifu viko chini ya hawa. Tunategemea watafanya nini kama hawa mabosi wao yaani DCs au RCs ni washiriki wa wizi au ubadhirifu huo? Waziri mkuu naye hata halioni hili. Eti anampa jukumu DC au RC mshiriki wa wizi na ubadhirifu kusimamia uchunguzi. Si ataandaa ripoti feki kwa kujilinda yeye mwenyewe? Tukubali kuwa kuna tatizo ktk mfumo wetu wa utawala. Na hiki ndicho chanzo cha mkwamo wa maendeleo yetu. Kwa hiyo hapa Waziri Mkuu anatwanga maji kwenye kinu tu. Ataondoka na mambo yatabaki vilevile tu. Tutengeneze mfumo mpya wa utawala unaoleta uwajibikaji wenye tija!!
Uwa nasshindwa kuelewa hivi mkuu wa Mkoa na WA watawa WA wilaya uwa wanafanya Kazi gani Ni Kwa nini wasifungwe ? Watoe lipoti ya kila mwezi ndio itajulikana ,na pia sio mpka Waziri mkuu afike kukagua.
Kama Mkoa tunaviongozi wengi inakuwaje mpaka madawati aje akague Waziri Mkuu... Afrika kitovu changu pole sana!!!!! Kazi ya uchawa tu kufanya kazi njema ahaaaa!!!!!
Fanya kazi mh waziri mkuu,huku kwenye halmashauri Kuna madudu mengi sana yanafanywa na wakurugenzi kwa makusudi wakijuwa hakuna wa kuwashughulikia .wewe ndio tumaini letu PM
Watanzania tunapenda kujiibia wenyewe,afisa elimu anapokea vifaa ambavyo havina ubora. Na anaacha viendelee kuwepo sehemu husika. Me nazani,wanajeshi wapewe hizi kazi za jamii.
Naomba ufike na kitowo wananchi wanaushi Kama wakimbizi mtendaj anawapiga viboko wananchi Kama watoto wanawalipisha fedha kwa makosa madog madogo rushwa
Watanzania wengi hatujui tulitendalo jambo dogo hata mjinga analiona lakin mpka aje kiongoz wa juu hivi tunakumnwa na nn ni rushwa au tuwajinga hatudhamin mali zetu tulizojengewa na serikali daah
Kweli punda haendi mpaka kwa magongo jamani😢😢😢.ivi inakuwaje watu mnakula tu hela kila kukicha watu hawahanyi wajibu wao lazima washikiwe magongo jamani 😢😢😢😢😢 inauma mno
Wakati uchakachuzi wa Mali ya selikari unafanyika mkuu wa mkoa yupo mkuu wa wilaya yupo ujuwe Hawa wanachangia maana haiwezekan kila uharibifu hadi waziri ndo Aubain Hilo rais wangu kwakweli liangalie Hawa viongozi watakuangusha kwenye uchanguzi wamekalia nafasi na kutokuzitumikia sawasawa ilbidi Kayla ya kuwafukuza wakandalasi waaziwe wao
Moja Kati ya vitu ambavyo serikali inafeli Ni kutokuunda monitoring and evaluation body ambayo inapaswa kufuatilia kwa ukaribu huu utendaji kazi! Haya ambayo Leo hii yanafanywa na waziri mkuu yamesababishwa na serikali yake mwenyewe! Mifumo ya utekelezaji wa miradi ya serikali Ni mibovu na tunaiacha hivyo hivyo alaf tunategemea tuje mwishoni kuweka mambo sawa! This is not okay! Hapa Ni siasa tuu zinatumika. Tubadilishe mifumo M&E ziwepo katika utekelezaji wa miradi katika Kila sector! Tutafanikiwa kwa kiwango kikubwa
Ifike Mahara Tumsaidie Mheshimiwa Raisi kwa kua wazalendo..zamani tulikua tunalalamika pesa haifiki saivi zinafika watu Mnachota Chota sio sawaaaa..kabisa
Ukiangalia sura zao, yote majizi matupu. Mmegeuza nchi ya majizi. Shame on you! Suluhu si kuleta mpya. Ni kufukuza haya majizi tena mapumbavu, kuyachunguza na kuyapeleka mahakamani. Mnafanyia nchi majaribio kana kwamba mtaishi milele.
Hiii inaonesha wazi kwamba. Hamna haja ya kuwa na wakuu wa wilaya , na wa mikoa ,kama waziri anatoka huko kote anagundua mapungufu , wao wako wapi, kwakweli kazi ni ngumu sana
Tatizo hao waalim wanabanaga sana mm mwenyew fundi wa vioo lakin dirisha anakwambia linabdi likamilike kwa sh. laki mbili wakat we umempa gharama ya lak 280, fundi mwenye njaa anapokea kaz afu analeta baadh ya vitu hakuna hapo mh angekagua na size ya kioo unaeza kumbana na mm. 4
Kama wewe ni team magu gonga like hapa kwa majaliwa! Tunaweza kumuona uncle magu ndani yako
hakuna kitu hapo ni changa la macho tu..PM atakagua madirisha mangapi nchi nzima!!
Alikua zaman Amna kitu hapo
Yaani ukaguzi wa ubora wa majengo na vifaa Hadi waziri Mkuu..... Watz tunajiaibisha kiasi Gani.....hiii ingefaa iwe kazi ya mtendaji wa Kijiji....Mahalia tu kama tungejua tulitendalo
Mpaka mtakapobadilisha mfumo
Hongera sana Mheshimiwa Mungu akuepushe na mabaya yote.
Ni jambo la kusikitisha waziri mkuu kusimamia fundi😢 Kuna haja ya kutafuta kiboko kitakachowafanya watanzania kuwajibika na kuwa waaminifu.
Hiyo bado sio suluhu watu wanaopewa kazi hawana uwezo wa kudeliver kk kazi haziangalii uwezo wa mtu kinachoangaliwa unajuana na nani ndio tatizo sana la nchi yetu
Kweli waziri mkuu. Ndiyo anafanya kazi hiyo kweli? Delegation siyo nzuri.
Ukileta kiboko yao wanamuua
Hii Nchi kuna shida Sana, Hadi aje MP, wakati hapo wilayani kuna DC, Takukuru na watu wengi kabisa. Sijui tutatoka lini kny huu ujinga
Wote ulipwataja wspigaji
changamoto sana
Dah..alafu vitu ambavyo vipo obvious haviitaji kuwa professional
MP au PM?
Hata mm hiki kitu huwa kinanikera Sana Sasa hawa viongozi watakuwa wanafika kila kona jmn kwa nn mali ni zetu jengo ni la watoto wetu, mradi wowote ule ni wa ndugu zetu kwa nn tunakuwa tunafanya ujanja ujanja kila sehemu, piga hela Lkni fanya kitu kionekane basi hata mtu akija anaona kweli kazi imefanyika. Watanzania tunajichelewesha wenyewe baadae tunalaumu oh Rais Rais kafanya nn, kumbe shida iko kwetu
Tumebaki na viongozi wachache sana wa aina hii.hongera sana waziri mkuu
MAJALIWA, UTAFANYA KAZI NGAPI BABA WAKUU WA MIKOA WAKURUGENZI WAPO WAKUU WA WILAYA WAPO LAKINI MPAKA UFIKE WW DU, WATAKUCHOSHA BABA
Siasa baba... Siasa😂😂😂
Kweli!! Wanafanya kazi Gani?
Hao unaowataja duuh
Wzr mkuu wa sasa sio sawa na yule wa kipindi cha RAIS DOCTAR JPM kama unakubaliana na mimi gonga like hapo chini
Majaliwa Kama yupo bado iringa afike na stendikuu yamabas iringa 😂😂😂😂
Sasa viongozi wa mikoa wako wapi? Mpaka aje waziri mkuu ndio ayaone hayo!!
Hapo ndo uone uozo wa nchi yetu hao wakuu wa mikoa sijui huwa wanafanya kazi Gani mpaka aje waZiri kugundua matatzo
Ila vyeo vingine bhana mkuu wa mkoa anakazi gani sasa! Ikiwa mpaka waziri mkuu ndiyo aje kuhojiana na mafundi/contractor kweli🤔🤔🤔?. Hayo alitakiwa ahoji mkuu wa mkoa ni aibu sana.
Nyie vimajitu vichwa ngumu, amutaki kurahisisha mambo.
this is the problem we have in Africa
Hapo ndo swali.lilipo.??
Watanzania wenyewe mna safari ndefu
Mkuu wa mkoa ni mbali alitakiwa ahoji mtendaji wa kijiji tunajidharirisha sana watendaji tunaopewa mamlaka na serikali
Hongera sana waziri awo wakipishwa tu wanaona serekari yao wanyoshe mkuuu
Hao ndo watanzania eti wanataka maendeleo wakati ata uzalendo hawana tena kwa watoto wao
Mh majaliwa hongera kwa kazi nzuri hapo mkandarasi na afisa elimu wote wapigani ni wezi tu kazi yao ina mashaka sana
Safi Sana PM
Hongera majaliwa mungu akubariki thawabu ipo mbinguni
Mashaaalah waziri mkuu,asilete janjajanja
WATANZANIA MNA SAFARI NDEFU KAMA WAZIRI MKUU ANAENDA IRINGA KUKAGUA MILANGO NA FREMU!
@@nsajigwamwakalonge5702ifupishe tu hakuna tatizo
Asante sana mweshimiwa waziri mkuu
Kwa Hali hii waafrika kuendelea itakuwa ngumu mtu Hadi usimamiwe na kiongozi
Lema anavituko Sana Eti Majaliwa anapaka Pico 😂😂😂😂
Hongera sana mheshimiwa majaaliwa
hakika unastahili mungu akulinde kiongozi wetu
Big up big up waziri mkuu mungu akulinde wanakuangalia na jicho mbaya wasifanikiwe
Wanachezea sana pesa za serkal ,Yaan dawat lmepasuka hata haljatumika , hivi Elmu yetu ni shda au ipoje ? Kwann mtu ni kiongoz hajtambui majukum yake , had waje viongoz wa juu wakosoe mirad namna hii jaman,
Pole PM Kwa kaz nyng na hongera Kwa kubain uzembe wa viongoz ngaz mikoa na wilaya.
Mkuu Wa mkoa hawana kazi funuza anpokea pèsa za Bure hakanguwi miladi
Hatari sana viongozi mnadhalilisha serikli
Hongera sana sana mheshimiwa Waziri Mkuu mana bila uzalendo wa dhati hatuwezi kuendelea
Huyu Mzee ndiye anafaa awe Rais wa hii nchi awamu ijayo.Mama tuache tafadhali
Hii nchi bhana. Ina maana hakuna wakaguz, hakuna, Mkurugenzi, msimamiz wa mrad, Dc, Rc. Hadi waziri mkuu
Mungu akulinde pm.kwa kilolo Kuna mradi wa maji kata ya uhambingeto wa bilioni 2.25.tuma watu wako waukague kimyakimya.matenki ya zamani yanapakwa rangi kuonekana mapya.karibu Sana Baba kwetu.
jpm namba 2.hongera sana.ndoo ujue wapigaji wapo kila kona kila mahali.tunajua sisi wanainch mkuu wa mkoa ni mmoja Paul makonda.lakin mafisad wanampiga vita kweli.na fikili kwa arusha huna tabu napo.maana yupo kiongoz mzalendo.
Engineer wa ovyooo sanaa
KABISAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA
Yani ongea yake tu unajua ni mwizi mtu ata sauti haitoki anakazi ya kumung'unya maneno
Kaka mkuu wanchi nakukubali sana yani ikiwezekana gombea URAIS naamini utapata
WaTZ bado wapo kwenye usingizi wa pono, wakati waaKenya tunawabana wanasiasa wao wanakubali kuchezea vibao kata tu na wanasiasa😂😂😂😂😂😂
Piga kaziii Mheshimiwa Waziri Mkuu MUNGU BABA wa Mbinguni Akubariki Sana
Unaweza fikiri una wawakishi kumbe mizigo.Dawati kama yaliletwa na kichaa.Hatari sana.
hongera mheshimiwa kwa ukaguzi makin
Waziri mkuu. Inafaa utembelee miradi nchi nzima. Miradi ni mibovu sana.
Watendaji wanaiangusha sana hii serikali!..Hizi kazi zinatakiwa zisimamiwe vizuri na wakuu wa idara bila hata kusubiri Waziri Mkuu kuja kuibua madudu!! Inasikitisha sana watu wanalipwa mishahara halafu hawawajibiki kwenye nafasi zao!!
Ninachokiona watu hofu ya Mungu hawana hata kidogo Mwenye kumuhofu.wenyezi Mungu hawaezi fanya ubaya huo hatakama pesa sio yake
ofu ya Mungu ya nn aisee Acha ujinga kwa sababu hofu ya Mungu hiusiki na chochote Miht.19 2.Tena siyo vizuri roho ya mtu ikose #maarifa
Unajua nimekuona wewe ni mjpumbavu sana , na ujinga unao wewe kwani hata maana ya andiko umeweka hujui , kuwa na adabu ,
Pole sana Mh. Waziri Mkuu. Unateswa na falsafa ya umasoko inayoendesha Serikali. Tukobadilisha falsafa utaondokewa na ubadhirifu, wizi, na uadilifu utaongezeka.
Tatizo ni mfumo wa serikali yetu kuleana kwingi majitu yanaiba sana sababu yanajuwana yote majizi mtoto umuleavyo ndivyo akuavyo hata hayaogopi kuiba
😂😂😂😂😂mmi langu jicho tu hii inchi ukijifanya mjuaji yanakukuta yahasani
aisee tuna kaz ss waafrik,..njaa tunaendekez sana.
Mkuu wa mkoa una kazi gani mpk aje waziri mkuu. Tumbua wote hapo kuanzia mkuu wa mkoa, tawala, mkurugenzi, mkuu wa wilaya wote
Zamani ukaguzi ilikuwa ni kupita nje ya jengo kiatu ila siku hizi angalau wanauliza na mulimopigwa kwakweli ni mchezo mbaya wa pesa za wananchi
Magu wapili sasa uyu tumpe nchi tu
Ni huzuni Kwa kweli, tumeshindwa kuwa wazalendo kiasi hichi? Mungu atusaidie sana, piga kazi Baba umsaidie Mh Rais
Ney wa mitego alisema 😂😂😂 uzalendo uzalendo gani nchi inaendeshwa kimagendo
Huyo jamaa anaeulizwa akili hana anakwambia meza zilikua nzima ety😂😂
Majaliwa Rais, Jafari jafo Waziri mkuu alafu Paul makonda tunamuweka waziri wa Miundominu naiona Tz inakuwa Hong kon after 5 years later.
Huyu kibonge wa CCM ndiye alikuwa anatrend akibwabwaja ubaguzi wa vyama..
Majariwa anaonekana siku moja atakua rais mi namuelewa sana( amenuna kazini)
Piga chini hao ni bora mgetuajiri sisi mafundi local tunafanya kazi nzuri kuliko hao mnaowalipa hela nyingi
Shda hatuna mitaji tu maana malipo ya serikali mpaka ukabidh kwanza Sasa kwa mitaji yetu 😢😢
Sa mkurugenzi kazi yake nini😂😂
Hivi unawezaje kumsimamisha kazi Mkurugenzi, Mhandisi na Afisa manunuzi halafu ukawaacha DC na RC kwa wizi na ubadhirifu uliotokea ktk miradi iliyo ktk eneo lao la utawala? Na haya matatizo ya kula fedha za miradi na miradi kuachwa hivyo hivyo bila kukamilika yako kila wilaya na kila mkoa. Na ulaji huu unawahusisha hadi ma-DCs na ma - RCs. Hawa ma-DC na ma- RCs ndiyo wenyeviti wa kamati za ulinzi za wilaya na mikoa respectively. Maana yake ni kuwa vyombo hivi PCCP na POLISI ambavyo ndivyo vinavyoshughulika kuchunguza na kuchukua hatua za wizi na ubadhirifu viko chini ya hawa. Tunategemea watafanya nini kama hawa mabosi wao yaani DCs au RCs ni washiriki wa wizi au ubadhirifu huo? Waziri mkuu naye hata halioni hili. Eti anampa jukumu DC au RC mshiriki wa wizi na ubadhirifu kusimamia uchunguzi. Si ataandaa ripoti feki kwa kujilinda yeye mwenyewe? Tukubali kuwa kuna tatizo ktk mfumo wetu wa utawala. Na hiki ndicho chanzo cha mkwamo wa maendeleo yetu. Kwa hiyo hapa Waziri Mkuu anatwanga maji kwenye kinu tu. Ataondoka na mambo yatabaki vilevile tu. Tutengeneze mfumo mpya wa utawala unaoleta uwajibikaji wenye tija!!
Ujue kuwa watu wanachekesha kweli😂😂😂😂😂
Tanzania yetu jamani kilakitu wanachakachua, wizi mtupu!! Mungu aturudishie roho ya utu!
❤❤❤❤ waziri
Uwa nasshindwa kuelewa hivi mkuu wa Mkoa na WA watawa WA wilaya uwa wanafanya Kazi gani Ni Kwa nini wasifungwe ? Watoe lipoti ya kila mwezi ndio itajulikana ,na pia sio mpka Waziri mkuu afike kukagua.
Kama Mkoa tunaviongozi wengi inakuwaje mpaka madawati aje akague Waziri Mkuu... Afrika kitovu changu pole sana!!!!! Kazi ya uchawa tu kufanya kazi njema ahaaaa!!!!!
Watanzania shkamooooo🙌🙌🙌
MARAHABAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA.
Marahaba mwanangu hamjambo!!!!😅😅😅 Haya ni matokeo ya ajira za kujuana na kutoa kitu kidogo 😂😂😂😂.
Daah viti vipya vimesha pasuka😂
Fanya kazi mh waziri mkuu,huku kwenye halmashauri Kuna madudu mengi sana yanafanywa na wakurugenzi kwa makusudi wakijuwa hakuna wa kuwashughulikia .wewe ndio tumaini letu PM
Watanzania tunapenda kujiibia wenyewe,afisa elimu anapokea vifaa ambavyo havina ubora. Na anaacha viendelee kuwepo sehemu husika. Me nazani,wanajeshi wapewe hizi kazi za jamii.
Hivi Hawa watu hata kudanganya hawajui duh!kitu kinaonekana bado wanadanganya wape za uso hao
YAANI WATU WANATIA AIBU SANA ET WIRE NI DIFFERENT CONTRACT🙌🏻
Mpaka waziri mkuu hamna viongozi wengine jmn
Hiv kweri waziri mkuu ndo akakague hali hii wasaidizi wachini wako wapi? baba Mungu akutunze
Yani tunaitaji wasimamizi kutoka Dubai waje wawe wakuu wa wilaya na mikoa na mawaziri
Mtakoma mmezoea kuiba
Hii nchi ngumu sana, hivi kweli kwa mambo haya tutuaendelea kweli???
Ziara ya kushtukiza ni nzuri saaaana
Mm ktk moyo Wang nnaiman utakuj kuwa rais wa nchi hii
Naomba ufike na kitowo wananchi wanaushi Kama wakimbizi mtendaj anawapiga viboko wananchi Kama watoto wanawalipisha fedha kwa makosa madog madogo rushwa
NINGEKUWA mimi nawatimua KAZI HAWAPATI HATA KIINUA MGONGO INAKUWA AMRI NA SHERIA
Wawajibishe mkuu nakukubal sana wazir mkuu wang chapa kazi
Majaliwa kwann sikuizi huwatii viboko
Tembea na kiboko sasaivi mkuu
Hapo kuweka wavu kipengele maana inaonesha jamaa hakuweka hesabu ya wavu.unawaza kama ingekua nyumban kwake angefanya hivo
Watanzania wengi hatujui tulitendalo jambo dogo hata mjinga analiona lakin mpka aje kiongoz wa juu hivi tunakumnwa na nn ni rushwa au tuwajinga hatudhamin mali zetu tulizojengewa na serikali daah
Kweli punda haendi mpaka kwa magongo jamani😢😢😢.ivi inakuwaje watu mnakula tu hela kila kukicha watu hawahanyi wajibu wao lazima washikiwe magongo jamani 😢😢😢😢😢 inauma mno
Wamefanya kazi mzuri
Wakati uchakachuzi wa Mali ya selikari unafanyika mkuu wa mkoa yupo mkuu wa wilaya yupo ujuwe Hawa wanachangia maana haiwezekan kila uharibifu hadi waziri ndo Aubain Hilo rais wangu kwakweli liangalie Hawa viongozi watakuangusha kwenye uchanguzi wamekalia nafasi na kutokuzitumikia sawasawa ilbidi Kayla ya kuwafukuza wakandalasi waaziwe wao
Uliza dawati moja bei yake utakimbia yaan hii nchi ni mm tu sio mwz
Moja Kati ya vitu ambavyo serikali inafeli Ni kutokuunda monitoring and evaluation body ambayo inapaswa kufuatilia kwa ukaribu huu utendaji kazi! Haya ambayo Leo hii yanafanywa na waziri mkuu yamesababishwa na serikali yake mwenyewe! Mifumo ya utekelezaji wa miradi ya serikali Ni mibovu na tunaiacha hivyo hivyo alaf tunategemea tuje mwishoni kuweka mambo sawa! This is not okay! Hapa Ni siasa tuu zinatumika. Tubadilishe mifumo M&E ziwepo katika utekelezaji wa miradi katika Kila sector! Tutafanikiwa kwa kiwango kikubwa
Itapendeza ufanyike ukaguzi wa shule zote na madudu utakayoyagundua yatakushangaza ni watu wasio na utu.
Ni Aibu sana
Ifike Mahara Tumsaidie Mheshimiwa Raisi kwa kua wazalendo..zamani tulikua tunalalamika pesa haifiki saivi zinafika watu Mnachota Chota sio sawaaaa..kabisa
Kazi ya RC na DC ni nini had anakuja waziri mkuu 😢
Ukiangalia sura zao, yote majizi matupu. Mmegeuza nchi ya majizi. Shame on you! Suluhu si kuleta mpya. Ni kufukuza haya majizi tena mapumbavu, kuyachunguza na kuyapeleka mahakamani. Mnafanyia nchi majaribio kana kwamba mtaishi milele.
Kwenye ujenzi wakuu wanapigwa sana pesa zetu
😂 watu wanapiga ase😂
ASANTE MKUU KWA KUFUATILIA, MOYO UKIWA MWOVU MATENDO YOTE YANAKUWA KAMA MOYO WAKO.. WATANZANIA MMM! UKIFUKUZWA KAZI NDO UTAIONA THAMANI YA KAZI HIYO
Mheshimiwa wabane kabisa hao wsmezoea kupita njia zamkato mungu akupe wepesi kusimamia majikumu yako
Hiii inaonesha wazi kwamba. Hamna haja ya kuwa na wakuu wa wilaya , na wa mikoa ,kama waziri anatoka huko kote anagundua mapungufu , wao wako wapi, kwakweli kazi ni ngumu sana
Bado kuna tabu ya usimamizi wa utekelezaji wa miradi ya selikari
Huyu anatakiwa awe rais ndo atainyoosha nchi hii maana majizi tomach
Kazi ni uchawa tu.. kazi ahaaaa..Pesa zipo kwanini Hatuwezi kujenga Nchi yetu pasipo dosari!!!!
Daah! Serikali imeanza kuchezewa sasa
Tatizo hao waalim wanabanaga sana mm mwenyew fundi wa vioo lakin dirisha anakwambia linabdi likamilike kwa sh. laki mbili wakat we umempa gharama ya lak 280, fundi mwenye njaa anapokea kaz afu analeta baadh ya vitu hakuna hapo mh angekagua na size ya kioo unaeza kumbana na mm. 4
Wizi kila mahali daah ina sikitisha 😢
Waongo hao wameshapiga hela zao