Waziri Mkuu: Kamanda ondoka naye huyu | Wanachoma moto ofisi za serikali | mtulie tunyooshane vizuri

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 15 ธ.ค. 2022
  • Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
    Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
    Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 225

  • @hidayausanga382
    @hidayausanga382 ปีที่แล้ว +32

    Nakuhurumia sana PM. Hawa watu sijui utawatokomezaje maana wametapakaa nchi nzima. Nchi ilivyokua kubwa hivi.
    Nakuombea Mungu akupe wepesi katika hili.

  • @lucasmlowezi9214
    @lucasmlowezi9214 ปีที่แล้ว +11

    Mama Samia Rais wetu, jembe unalo. Kazi iendelee mheshimiwa Waziri Mkuu, Mungu akupe maisha marefu tunakutegemea boss wetu

  • @shafiiomarali6984
    @shafiiomarali6984 ปีที่แล้ว +15

    Asante sana Waziri mkuu kassimu majaliwa MWENYENZI MUNGU akupe afya NJEMA. ✍🇹🇿

  • @saadyahaya5896
    @saadyahaya5896 ปีที่แล้ว +14

    Safi sana mheshimiwa wazir mkuu kwa kazi kubwa unayofanya kwenye taifa hili,mungu akusimamie popote unapopita inshaallah

  • @stevembaigwa7078
    @stevembaigwa7078 ปีที่แล้ว +6

    Mungu akubariki kwa kazi njema nakuombea kwa Mungu uwe rais wetu

  • @Frolianagabito3000
    @Frolianagabito3000 ปีที่แล้ว +6

    Uyu mwamba namkubali sana mungu akupe maisha marefu waziri

  • @mangulimanguli3974
    @mangulimanguli3974 ปีที่แล้ว +1

    Majaaliwa Baba etu Waziri wetu mungu akulinde, ukiwa Rais ao mafisadi watanyooka

  • @user-hp8oi2or8e
    @user-hp8oi2or8e 8 หลายเดือนก่อน +1

    Unyamaa mwingi waziri

  • @ejidemaswalikinoja5643
    @ejidemaswalikinoja5643 ปีที่แล้ว +2

    Asante sana Mungu kwa kutupa huyu mtu, hakika hii ndiyo maana ya Waziri Mkuu naamini Kuna baraka zote Toka kwa Mungu na kwa Rais

    • @zakiabdi4793
      @zakiabdi4793 ปีที่แล้ว

      thanks for dat

    • @nyarikibweko
      @nyarikibweko ปีที่แล้ว

      Kama mzee magu kabisa mungu angurinde unachapakazi.

  • @kulengwamabula9508
    @kulengwamabula9508 ปีที่แล้ว +9

    majaliwa ndo magufuli watakiona moto

  • @preciouspeter6126
    @preciouspeter6126 ปีที่แล้ว +2

    Hongera kwa utendaji Mhe. Waziri Mkuu.

  • @jonathanmwakabuku4714
    @jonathanmwakabuku4714 ปีที่แล้ว +1

    Waziri mkuu wewe ndio kiongozi. Mungu akubariki ufike mbali

  • @hasani565
    @hasani565 ปีที่แล้ว

    Da haki ya mungu kunawatu sijui vipi hao takukuru ..mapolisi wote wamekula hela...da mungu akuongoze mkuu ..miss pombe magufuli

  • @alfredlucas972
    @alfredlucas972 ปีที่แล้ว +1

    Waziri mkuu Mungu yupo pamoja na wewe fanya kazi kwaajili ya watanzania Mungu atakusimamia hongera kwa kusimalia lasilimali na pesa za nchi

  • @user-ju5ee1gx2w
    @user-ju5ee1gx2w 4 หลายเดือนก่อน

    Mhe waziri mkuu akika ni mchapa kzi sana mungu akurinde mhe waziri mkuu wtuu akika tunaona kzi zako na matunda yako na ni mfano tosha wa kuigwa na viongizi wengine lakin mmebaki wachache sana wazarondo, wtu awna uhruma,

  • @karloladislaus45
    @karloladislaus45 ปีที่แล้ว +5

    Nchi imeoza hii.... Karibu kila halmashauri imeoza kwa ufisadi

  • @esterdoriye8377
    @esterdoriye8377 ปีที่แล้ว +1

    Ee Mungu cjui niseme nini kuhusu huyu PM Mungu ambariki

  • @abelshaursshauris9810
    @abelshaursshauris9810 ปีที่แล้ว +2

    Mungu akulinde mzee wangu

  • @williamjamanda8892
    @williamjamanda8892 ปีที่แล้ว +1

    Mungu ameingiza roho ya Dr. Magufuli kwake

  • @mrsferuzi7443
    @mrsferuzi7443 ปีที่แล้ว

    Mungu akulinde sana mh waziri mkuu

  • @Lizzleboy
    @Lizzleboy ปีที่แล้ว

    Asante Mkuuuuuu

  • @kabwikaibrahim-up3vg
    @kabwikaibrahim-up3vg ปีที่แล้ว

    You are doing very well Hon. Prime Minister. God bless you!!

  • @williamjamanda8892
    @williamjamanda8892 ปีที่แล้ว

    Kazi nzuri sana Mr Kassim Mungu akuzidishie utendaji kazi huo

  • @adirhoregilitu6507
    @adirhoregilitu6507 ปีที่แล้ว

    Hongera waziri mkuu

  • @fredmashauri210
    @fredmashauri210 ปีที่แล้ว +6

    Rais wetu ndio huyuu

    • @yassinshamte4172
      @yassinshamte4172 ปีที่แล้ว

      We unadhani anafanya kwa maelekezo ya nani....

    • @jessegodson8575
      @jessegodson8575 ปีที่แล้ว

      @@yassinshamte4172 wewe pimbi unadhani huyo Samia kazi hio anaweza yaani ni mtu wa kukaa ofisi na kusubiria mshahara mwisho wa mwezi na ndizo Kodi zetu😂😂 ila mwaka 2025 wajipigie wenyewe kura ila wananchi wa Tz hawatopiga kura labda akigombea majaliwa hapo sawa

    • @nsanyarasheeed8693
      @nsanyarasheeed8693 ปีที่แล้ว

      Inamaana hujui kuwa huyu ni Waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania .

    • @fredmashauri210
      @fredmashauri210 ปีที่แล้ว

      Wampe kijiti 20225 anatufaa kabisaa

  • @jumaothman9449
    @jumaothman9449 ปีที่แล้ว

    Ww ni msaidizi sahihi wa raisi nakupenda sana mkuu wangu

  • @ramambaga5561
    @ramambaga5561 ปีที่แล้ว +1

    Hapa tunarudi nyuma tena kaulimbiu yetu hapa kazi tu😋🙏

    • @djmeza411a58
      @djmeza411a58 ปีที่แล้ว

      ✊️🖐👏👏👊

  • @JAIROSMLIMILA-cl1wp
    @JAIROSMLIMILA-cl1wp ปีที่แล้ว

    Vizuri sana mh waziri mkuu.

  • @majaliwaharuna4064
    @majaliwaharuna4064 ปีที่แล้ว +1

    Fanya kazi mh waziri mkuu, tupo nyuma yake

  • @jofreymsigwa85
    @jofreymsigwa85 ปีที่แล้ว

    Safi mkuu wetu

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 ปีที่แล้ว

    Majaliwa my lovely PM nakupenda mnooooo

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 ปีที่แล้ว

    Sikuizi wana zarau wanajuwa makufuli hayopo allah amrehm president wetu kazi kaz I love u Kasim 💖😢😢👏👏👏👏👏

  • @edgarcruzee5223
    @edgarcruzee5223 ปีที่แล้ว

    Mh Majariwa Hongera sana kwa kazi kubwa tunaombwa mchi nzima. Wafutwe kazi na kurudisha pesa. Mkuu wa Mkoa na Mkurungeze wote walipe

  • @mwajumabakari3730
    @mwajumabakari3730 ปีที่แล้ว +1

    Safi sana mkuu tunakipenda mnooo

  • @ahmedhamad2410
    @ahmedhamad2410 ปีที่แล้ว +5

    Nchi haiongozwi na mwanamke ikawa salama

    • @hubimogela9167
      @hubimogela9167 ปีที่แล้ว +1

      Anaongoza sahivi ni nani ,na umeskia wapi kumevamiwa,acha ushamba

    • @uwembatvonline
      @uwembatvonline ปีที่แล้ว

      @@hubimogela9167 Sasa hivi anaongoza baba ako au

    • @aminimushi6945
      @aminimushi6945 ปีที่แล้ว

      Dini zote zinajua hilo,lakini mapadre na masheikh kwa ajili ya njaa zao,wanafumbia macho vitabu vya Mungu,kwa mwenendo huu,nchi haitakuwa salama.

    • @salamasaidi6620
      @salamasaidi6620 ปีที่แล้ว

      @@aminimushi6945 ww mwnyw haupo salama 😆😆😆😆

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 ปีที่แล้ว

    Bravo muheshiwa majaliwa🙏🙏🙏

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 ปีที่แล้ว

    Uyo kamanda Sura nzuri sana

  • @eliashibundabalinze2217
    @eliashibundabalinze2217 ปีที่แล้ว +4

    Jamaa ameingia kwenye mkutano akiwa mheshimiwa...ndani ya dakika chache anarudi akiwa mtuhumiwa,duuuh maisha haya jamani hayana formula

  • @wiltonexon6003
    @wiltonexon6003 ปีที่แล้ว

    Nakubali muheshimiwa 👏🏽

  • @othumantabai
    @othumantabai ปีที่แล้ว

    Weka ndani wote mkuu

  • @idrissaissa5607
    @idrissaissa5607 9 หลายเดือนก่อน

    Sawa big kazi iendeleeeee

  • @rafaelpaschal2245
    @rafaelpaschal2245 ปีที่แล้ว

    Mhw.waziri mkuu saluuti kwako

  • @Solace577
    @Solace577 7 หลายเดือนก่อน

    Yaan wazir mkuu nakuonea huruma sana pole sana ndgu, hawa watu ni hovyo sana, yaan wakikuta barabarani na migari yao mikubwa wewe na ki passo chako weweee utapigiwa hon 😂

  • @WinifledyMbugi-ur1hq
    @WinifledyMbugi-ur1hq 9 หลายเดือนก่อน

    Unaeleweka waziri mkuu

  • @ayoublamesi6347
    @ayoublamesi6347 8 หลายเดือนก่อน

    Wazili mungu akulinde kwa kazi unazofanya

  • @mkuluwaukae2221
    @mkuluwaukae2221 ปีที่แล้ว +1

    Bilioni 7? Kweli nchi ina mambo mengi kwakweli!
    Ila PM MAJALIWA ulitakiwa wewe ndio uwe rais wa nchi hii, lkn chakushangaza 2025 hutokua Waziri mkuu tena,

  • @yustahyera4288
    @yustahyera4288 ปีที่แล้ว

    Duuuuh we baba nakuombea maisha mengi mbali ufike pia uje uwe rais wa nchi yetyu

  • @Petro.John.
    @Petro.John. หลายเดือนก่อน

    Ase nchi hii ngumu sana,usikute huyu jamaa hawamtaki halafu wakamazunguka.

  • @MajaliwaAssenga-ev9jg
    @MajaliwaAssenga-ev9jg ปีที่แล้ว +1

    Magufuli si huyu hapa

  • @priscabonifas7037
    @priscabonifas7037 ปีที่แล้ว +1

    Tunashukuru mheshimiwa Ila Mimi Kama mzalendo napendekeza pia huyo mkuu wa chuo Kama mwenyekiti wa kamati za ujenzi awajibishwe vikali maana anajua Kila kitu kilichokuwa kinaendelea katika chuo chake

  • @saidimgawe6548
    @saidimgawe6548 ปีที่แล้ว

    Ndio👏

  • @bajagihaji8923
    @bajagihaji8923 ปีที่แล้ว +4

    Ukiwa kiongozi Tanzania ni pasua kichwa ofisi imeungua nyaraka tu hii ndiyo bongo

    • @ndayishimiyeelias9692
      @ndayishimiyeelias9692 ปีที่แล้ว

      Amini usiamini akiwa kiongozi atakua busy na yangine, hata Suluh alkua hivo

  • @lawrencechacha7863
    @lawrencechacha7863 ปีที่แล้ว

    Mh.waziri mkuu wewe ni wapekee.hata mungu anavutiwa na utumishi wako.futa wapuuzi hao.

  • @manning979
    @manning979 ปีที่แล้ว +2

    Tumechelewa sana kuendelea kwasababu kama hizi nchi ni maskini kila siku kumbe watu wanapiga tu

  • @radhiambwana3353
    @radhiambwana3353 ปีที่แล้ว

    Waziri Mkuu✅

  • @hassann4209
    @hassann4209 ปีที่แล้ว

    Wanyoshe sana. Namukumbuka JPM🇧🇮

  • @kyambarungwe6960
    @kyambarungwe6960 ปีที่แล้ว

    Nakupnd Sana kipenzi Cha roho yangu majaliwa ♥️♥️♥️♥️♥️

  • @rizionesegeza9742
    @rizionesegeza9742 ปีที่แล้ว

    Asntee wazirii mkuu bt naona kama unawachelewesha hao duuh sisi tnasumbuka na kodi jaman kwa jpm hao walikuwa na kipengele jamaaaaa jpm 🙏🙏🙏👈

  • @MmadiJuma-is2kz
    @MmadiJuma-is2kz ปีที่แล้ว

    Honngela munguakubaliki akupeuwepesi afya njema amin

  • @beatriceisack5317
    @beatriceisack5317 ปีที่แล้ว +1

    Ameni ameni

  • @rahabuahimas7410
    @rahabuahimas7410 ปีที่แล้ว

    Baba Asante kwakututia moyo

  • @Christopher-ns6cq
    @Christopher-ns6cq ปีที่แล้ว +2

    Ee mungu mlinde huyu baba ndiye aliebaki tumaini la watanzania

  • @abdallahamad4682
    @abdallahamad4682 ปีที่แล้ว +1

    Tia ndanii,,,, soma iyooo... tutajuwa mbelee

  • @yunislemnhe9560
    @yunislemnhe9560 ปีที่แล้ว

    Waziri mkuu wetu namkumbuka baba jamani enzi zake

  • @loner_wolf
    @loner_wolf ปีที่แล้ว

    ILA hii nchi ukiwa mkweli unakuwa mbaya. Majaliwa mungu akupe nguvu usimame kwenye haki tu na mungu karim atakunyanyua inshallah utashika uraia nambari moja utetee nchi yako.

  • @yekoniakusiluka469
    @yekoniakusiluka469 ปีที่แล้ว

    Raisi Hana pesa waziri mkuu pesa niza wanachii walipa Kodi zimeibwa pesa za wananchi zinaibwa Kodi zetu

  • @huseinikhamiskibwa2545
    @huseinikhamiskibwa2545 ปีที่แล้ว

    Powa

  • @jumamasoud1188
    @jumamasoud1188 ปีที่แล้ว

    Wew nijembe safi sana.

  • @shinemakenzi8101
    @shinemakenzi8101 ปีที่แล้ว

    Hii nchi watu wajipigia pesa za walipa kodi wa nchi hii kama za familia zao tu. Tatizo mfumo mbovu wa uongozi kuanzia ngazi za juu vigogo wanachota pesa bila hata soni tuoneeni huruma jamani ss walipa kodi wenu tumechoka ipo siku tutakinukisha bora mtuue tu wote mbaki na nchi yenu mtumbue vizuri

  • @renatusblandes1131
    @renatusblandes1131 ปีที่แล้ว

    JPM part 2 kazi nzuri

  • @benjaminemiku8200
    @benjaminemiku8200 ปีที่แล้ว +3

    inawezekana nao ni washiriki wa hilo kosa ndio maana hawajaona kosa

  • @swalehembich2247
    @swalehembich2247 ปีที่แล้ว

    Mheshimiwa waziri mkuu wote hao ni wahusika hata hao takukuru kwa nini hawaku chukua hatua na wao ndio chombo cha sheria

  • @kilalaurio9922
    @kilalaurio9922 ปีที่แล้ว

    Hawezi kuwamaliza kwani wanawekwa na watu ambao hana mamlaka ya kuwafukuza. Njia pekee ya kutokomeza hao ni kufukuza viongozi wao. Kwa kifupi kuwajibisha kuanzia na mawaziri, wakuu wa mikoa nk. Kuwafukuza hawa ni sawa . MUNGU AZIDI KUKUBARIKI MH. MAJALIWA

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 ปีที่แล้ว

    Kosa lipo lakini ni kinyume na utaratibu kiongozi yoyote kuipa amri Polisi kumkamata mhalifu,

  • @edosichilengwe3150
    @edosichilengwe3150 ปีที่แล้ว

    Eeeeeeh, hapo sawa chuma

  • @mzalendowaasili1727
    @mzalendowaasili1727 ปีที่แล้ว

    Mazito

  • @zegelibilishanga6047
    @zegelibilishanga6047 ปีที่แล้ว +1

    Piga chini Rc Rs Dc na vikolombeezo vyote hawafai wote

  • @frankngoloka2589
    @frankngoloka2589 ปีที่แล้ว

    Inatia uchungu watu wanavyopiga hela,wako kitu kimoja hao mkuuu

  • @bahatisaimon6019
    @bahatisaimon6019 ปีที่แล้ว +1

    Tatizo kubwa tena liko Kwa hao takukuru

  • @user-tt8bz5zs6b
    @user-tt8bz5zs6b 9 หลายเดือนก่อน

    MH. WAZIRI MKUU WW. ALIE KUA WAZIRI MKUU. AMBA SASA NI MREHEMU NI BABA MMOJA KATIKA. KUCHAPA. KAZI

  • @emmanuelqaday6949
    @emmanuelqaday6949 ปีที่แล้ว

    Piga kazi comrade

  • @yasinomary2147
    @yasinomary2147 ปีที่แล้ว

    Majaliwa Qassim majaliwa mwenyez MUNGU akujaalie Baba uje kuwa mkuu wa nchi yetu ifikapo 2030

  • @geitandelwa299
    @geitandelwa299 ปีที่แล้ว

    Waliohusika wote MUNGU AWANYOSHEE HUKU URAIANI KUGIMU SANA WENYEWE HUKO MWALA HELA NA KUFICHA HELA AAAA MUNGU. AWAFICHUE WOTE

  • @user-ut3gf1tg2n
    @user-ut3gf1tg2n 5 หลายเดือนก่อน

    Hawa n wahuni wamechoma makusudi ili kuzipoteza nyaraka ili serikali ikidai hakuna kitu hii nchi bila ujanja kwan haiwezekani tukijenga nchi zetu kama wachina tukiwa wazalendo tuifikishe nchi sehemu ya uchumi wa juu mbona inawezekana tu kuliko ujanjaujanja mwingi embu tubadilike

  • @user-in6ml5zg6b
    @user-in6ml5zg6b 9 หลายเดือนก่อน

    Waziri mkuu mafia 0:59

  • @allynditi3492
    @allynditi3492 ปีที่แล้ว

    Tengeneza Hiyooo!!!!!!

  • @mwimbeatilio707
    @mwimbeatilio707 ปีที่แล้ว

    Majaliwa wew ni mfano jaman ifike hatua tumuogope Mungu tukienda tukimuona tutamjibu majibu gani?Ikiwa shetani anamuogooa Mungu sisi ni akina nani wizi umejaa watu hawana huruma Mungu anawaona

  • @pascalgasper403
    @pascalgasper403 ปีที่แล้ว

    Kwani Waziri Mkuu Haluhusiwi Kugombea Uraisi?
    Maana........

  • @pacomezouzoua9175
    @pacomezouzoua9175 ปีที่แล้ว

    Hivi hamuwaonei huruma wananchi wanyonge kweli roho inaniuma sana

  • @gabumremi4876
    @gabumremi4876 ปีที่แล้ว

    sweka ndani

  • @nikodemmwahangila3334
    @nikodemmwahangila3334 ปีที่แล้ว

    Wazili piga kazi wametapakaa sana hao

  • @hajiharoub8125
    @hajiharoub8125 ปีที่แล้ว

    Ashkuru Sana maana ingekuwa ni raisi mwenyewe basi angemfukuza kazi hapo hapo na pesa angezitoa

  • @chemstry409
    @chemstry409 ปีที่แล้ว

    Tatizo kizuri hakidumu....😢😢😢

  • @amehassanrehanirehani7906
    @amehassanrehanirehani7906 ปีที่แล้ว

    Safi san mkuu madudu yote na majipu usaha mafisadi waso uchungu na uzalendo na wenye tamaa wanaorudusha nyuma maendeleo yetu na kuwakosesha haki wengn wote wapasue mh. Majaliwa bila hurum maan wao wenyew hawana imani

  • @ahmedshkeli85
    @ahmedshkeli85 ปีที่แล้ว

    Msaidie mama Ili tunufaike watu wa chini

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 ปีที่แล้ว +3

    Mama samia ikikupendeza nenda navmajaliwa miaka5 tena

    • @florencemeza6540
      @florencemeza6540 ปีที่แล้ว +1

      Samia anatoka katiba ya ccm Rais anatoka bara samia alipata zari la mentaly tu, majariwa ndo Rais wa 25

  • @abhambomihambo6754
    @abhambomihambo6754 ปีที่แล้ว

    Imefika wakati Takukuru nayo ichunguzwe na ifumuliwe upya na kuangalia mwenendo mzima wa utendaji wake na uwezo au uweledi wa watendaji wake!Cheo ni dhamana na inaonesha elimu zao hazitusaidii tena,tunahitaji"people of integrated,Responsible,seriously and willingness to do the job"I started to doubt even their religion faith isn't an issue anymore....we should think differently now

  • @alexsambia3046
    @alexsambia3046 ปีที่แล้ว

    Wwe ndo tegemez la wa Tanzania tunakuombea Mkuu

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 ปีที่แล้ว

    CCM amkeni baana na hao wajiri wenu mmojomba Kwa binamu

  • @djmeza411a58
    @djmeza411a58 ปีที่แล้ว

    Uyu ndiye mridhi wa jpm anaitwa Kasim majariwa magofuli