WAZIRI SILAA AKUTANA NA MAAJABU KOROGWE |TUTAMPIGA HUYU DIWANI ANATUTUKANA |MAKONDA ATAJWA HADHARANI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 121

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 5 หลายเดือนก่อน +7

    ❤❤Yaan Majembe ya Samia wangu ni Kassim Majaliwa Waziri Mkuu'Makonda' Silaa waziri wa Aridhi'Ali Hapi'Chalamila'.Yaan watu hawa wanatisha wazuri wazuri tena.Chukuen Maua yenu.Hawagopi jambo lolote.❤❤❤❤

    • @abdallahibrahim280
      @abdallahibrahim280 4 หลายเดือนก่อน

      Yaani umewaona km mimi haswaaa ❤❤

  • @IbrahimMadulo
    @IbrahimMadulo 5 หลายเดือนก่อน +6

    Ukoo huo ukioa una kazi 😂😂😂

  • @allyabdallah4357
    @allyabdallah4357 3 หลายเดือนก่อน

    Waziri mungu akupe moyo wa busara sana kwani watu wanaumia sana

  • @SalimKombo-xo4pq
    @SalimKombo-xo4pq 2 หลายเดือนก่อน

    Waziri salaa mbona hii kwesi inaelekea ni gumu.
    Mbona umeshidwa kutoa uwamuzi
    Mzuri.
    Napenda utoe haki

  • @deniskaguo4698
    @deniskaguo4698 5 หลายเดือนก่อน +2

    Hii familya balaaa

  • @msatibongonyuzi14
    @msatibongonyuzi14 5 หลายเดือนก่อน +1

    Waziri umeshindwa kuwasaidia wananchi😢😢

  • @chrispinrafael3831
    @chrispinrafael3831 5 หลายเดือนก่อน +11

    Tunakupenda wewe na makonda mpa vizuri

    • @hadijauledi6995
      @hadijauledi6995 5 หลายเดือนก่อน +1

      Kweli kabisa ❤❤❤❤❤❤❤❤tunawapenda sana sana mwenyezi mungu awape afya njema ila muheshimiwa wazir silah mbunge wetu barabara yetu ya kitunda haifaii tusaidie muheshimiwa❤❤🙏

    • @yohanajelemia7116
      @yohanajelemia7116 5 หลายเดือนก่อน

      😢​@@hadijauledi6995😢😢😢😢safi

    • @SaidChambi
      @SaidChambi 5 หลายเดือนก่อน +1

      Afisa wa ardhi korogwe chanzo Cha migogoro korogwe

  • @abdallahibrahim280
    @abdallahibrahim280 4 หลายเดือนก่อน +2

    Ila unayechukua videos tafadhali sauti ipo Chini

  • @evelynmwaimu-vd9jo
    @evelynmwaimu-vd9jo 5 หลายเดือนก่อน +1

    Ccm hoyeee!!!

  • @MubinaRoshan
    @MubinaRoshan 5 หลายเดือนก่อน +1

    Walikuwa wanalala kwa sababu ya watoto wao walikuwa hawez kwenda barabara zilifungwa

  • @moyolameck555
    @moyolameck555 5 หลายเดือนก่อน

    Jaman wazee wa KWA MSISI HAO. OOOHHH MSICHEZE NAO SHAURI YENU

  • @allyabdallah4357
    @allyabdallah4357 3 หลายเดือนก่อน

    Waziri oparesheni vijiji tulipewa maeneo ya kujenga makazi mashamba tukawa tunalima kulekule kwenye mashamba yetu yale yale mkuu

  • @ChikuRamadhani-o2p
    @ChikuRamadhani-o2p 5 หลายเดือนก่อน

    Silaha unapo twambia sisi ni wavamizi alafu wanachukua matajiri sisi masikini tukale wapi

  • @MedrinaUtonga-dg5lg
    @MedrinaUtonga-dg5lg 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mh unakutana na vingi

  • @basumegheMbotwa
    @basumegheMbotwa 4 หลายเดือนก่อน

    Hapo Kunamambo ya siasa majilani zao waliuza je kwanini wengine wazuiwe

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 5 หลายเดือนก่อน

    Huyo diwani kama Anatukana viongozi wa serekali simu za mikononi mnazo mlicodini muwe na Ushaidi wa kumpeleka jela mshenzi kwanini Atukane viongozi huyu mzee Anategemia majini yake ndio Mdomo mlefu

  • @kwilasacharles1747
    @kwilasacharles1747 5 หลายเดือนก่อน

    Masikini hawezi kuwa na haki hata siku moja

  • @godfreylutengano9367
    @godfreylutengano9367 5 หลายเดือนก่อน

    Ila ukweli hiyo familia ni mbovu

  • @rashidabdallah5825
    @rashidabdallah5825 5 หลายเดือนก่อน

    Diwan anataka kujifanya eneo la serikali ili alifanyie mchakato

  • @frankyjohn9629
    @frankyjohn9629 5 หลายเดือนก่อน

    Wazirhapo hakuna no Bora makonda

  • @HashimYahya-ic2wn
    @HashimYahya-ic2wn 4 หลายเดือนก่อน

    Waze wamajini hao

  • @BahatiLewis
    @BahatiLewis 5 หลายเดือนก่อน

    Shida hamjui kujieleza

  • @mudhihirIbrahim-hb7ry
    @mudhihirIbrahim-hb7ry 5 หลายเดือนก่อน

    Raia wamedata hao

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim7930 5 หลายเดือนก่อน

    Hii familia kiboko 😂

  • @MohamedMkota
    @MohamedMkota 5 หลายเดือนก่อน +4

    duh hawa 😂😂 utafikiri watoto wachekechea😂😂

  • @raphaelkessy7360
    @raphaelkessy7360 5 หลายเดือนก่อน +3

    Mwenye kiti wa zamani aende kwa waziri wa zamani nime ipenda sana hiyo Mweshimiwa Jerry Wazigua ni Kichefu chefu hao😂😂😂

  • @BahatiLewis
    @BahatiLewis 5 หลายเดือนก่อน +5

    We mzee hujui kujieleza b

  • @reaganevral5258
    @reaganevral5258 3 หลายเดือนก่อน +1

    Uyu ajuwiii kitu makonda njo ana anajuwa saaana…awezi shika wamwiziiii

  • @HappyEmanuel-u1i
    @HappyEmanuel-u1i 2 หลายเดือนก่อน

    Dada mwenye kitambaa cheusi ni suzy bale mtupu

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kosa kubwa ni la Serikali mnamwacha mtu anatumia ardhi ambayo Serikali imeishapanga matumizi lakini wananchi hawaeleweshwi. Hilo ni tatizo kubwa. Waziri nenda kwenye msingi wa tatizo. Wasaidie wananchi kutokana na msingi wa tatizo.

  • @msatibongonyuzi14
    @msatibongonyuzi14 5 หลายเดือนก่อน +2

    Hapo waziri umechemka wananchi wanaonekana wanaonewa😢😢

  • @lawrencegwerino1656
    @lawrencegwerino1656 4 หลายเดือนก่อน +1

    Ukioa kwenye hiyo familia shuhuri 😅

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 5 หลายเดือนก่อน +4

    TATIZO SERIKALI NI YA CHAMA KIMOJA. KAMA SERIKALI INGEKUWA NI MSETO BASI HAO VIONGOZI WADOGOWADOGO WA VIJIJINI WANGEKUWA NA ADABU.

    • @MnubiMm
      @MnubiMm 5 หลายเดือนก่อน +1

      Usifanye Mseto ndio utatizi wa Matatizo watendaji ndio haohao Sio Kila unachowaza sahihi huo ni mtazamo wako chama hichohicho ndio katoka huyo

    • @GodfreyOsward
      @GodfreyOsward 5 หลายเดือนก่อน +2

      Tatizo si chama kimoja, tatizo ni sisi wenyewe tunapenda dhuluma. Msonge wa dhuluma ni rushwa wakati wa kuchaguana. bila kujali chama gani! Adhabu zingine hazisubili Ziko ndani kitendo chenyewe unacho kitenda. Mwl Nyerere

    • @RusanzuRubigo
      @RusanzuRubigo 5 หลายเดือนก่อน

      Dhuruma haina chama,ni suala la mtu mmoja mmoja,huyu waziri anae washughurikia Manyangumi ya dhuruma ni CCM sio chadema wala ACT

  • @SwaumuHassan-k9s
    @SwaumuHassan-k9s 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu.awasaidie

  • @SwaumuHassan-k9s
    @SwaumuHassan-k9s 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu.awasaidie

  • @SalimKombo-xo4pq
    @SalimKombo-xo4pq 2 หลายเดือนก่อน

    Hawa wazee wa mezulumiwa haki zao.

  • @RoseMziray
    @RoseMziray 2 หลายเดือนก่อน

    Kazi ngumu hii

  • @Josephineexsuper
    @Josephineexsuper 5 หลายเดือนก่อน +1

    Hii familia imeshindwa kijipanga ktk maelezo..wana hasira sana na wanaongea kupitiliza.. ila wasiingize itikadi

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 5 หลายเดือนก่อน +7

    Mzee wa kwamsisi hao ..wanatembeaga na majini hao...mungu akulinde tu mweshimiwa

  • @HashimYahya-ic2wn
    @HashimYahya-ic2wn 4 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉

  • @RachelLaizer-n2p
    @RachelLaizer-n2p 5 หลายเดือนก่อน +2

    Makonda na slaa juu juu zaidi tunawakubali majembe ya kazi hayapepesi macho arusha wakuu wa vitengo matumbo joto😂😂😂😂😂

    • @ZUWENADELLOW
      @ZUWENADELLOW 5 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂

  • @audifacejosephat7071
    @audifacejosephat7071 5 หลายเดือนก่อน +2

    Duh huyu mzee mzigua ni shida mbishi kinyama

  • @abdallahibrahim280
    @abdallahibrahim280 4 หลายเดือนก่อน +1

    Daaah wazigua ni kuupanda mchongoma kuumbe kushuka ni ngoma😂😂

  • @FredMwamgogwa-td6ni
    @FredMwamgogwa-td6ni 5 หลายเดือนก่อน +1

    Uwo ukoo usiombe umpe mimba mtoto wao 😂😂😂😂

  • @Lundege_Hips
    @Lundege_Hips 5 หลายเดือนก่อน +2

    Rai TV jirekebishe saiti habar zako nyingi zinasumbua sauti

    • @Rai_online_tv
      @Rai_online_tv  5 หลายเดือนก่อน +1

      Asant kwa Ushauri tunaufanyia kazi kaka Abdul

  • @salimumohammedsalimu1720
    @salimumohammedsalimu1720 4 หลายเดือนก่อน +1

    masikini hana rafiki

  • @yussufhashim4472
    @yussufhashim4472 5 หลายเดือนก่อน +2

    I love Tanzania

  • @eppiemodest
    @eppiemodest 5 หลายเดือนก่อน

    Mh. Slaa. Huku barabara mbovu ukianzia Mwanagati hafi kitunda na Banana uje uangalie. Ukienda benki kutuma school fees ya mwanafunzi unatozwa pesa pembeni eti diwani wenu haturekebishii barabara tumemchagua bure wanasema. Benki zote hawafanyi hivyo ila ni benki ya Mwanagati mdomo wa simba. Imefunguliwa juzijuzi tu. Siyo ile benki ya mama Mary Nchimbi.

  • @richardnganya2311
    @richardnganya2311 5 หลายเดือนก่อน +1

    Tuijue ratiba ya mkoa wa Singida tujiandae

  • @basumegheMbotwa
    @basumegheMbotwa 4 หลายเดือนก่อน +1

    Hapo panashida eti tutampiga🤣🤣🤣🤣 kkkk

    • @Rai_online_tv
      @Rai_online_tv  4 หลายเดือนก่อน

      Ha ha ha akileta za kuleta wata Mtwanga

  • @RamadhaniSuru
    @RamadhaniSuru 5 หลายเดือนก่อน +1

    Silaa endelea kusimamiya sheria mungu yupamoja nawe

  • @MuhammadHassan-xp6dc
    @MuhammadHassan-xp6dc 5 หลายเดือนก่อน +2

    huyu mzee mwenye kofia kanifanya nicheke sana kila akiambiwa anyamaze hakubali

    • @Rai_online_tv
      @Rai_online_tv  5 หลายเดือนก่อน

      Ha ha Uongozi sio mchezo Mh silaa apewe heko kwa kweli wengine hatuwezi hivi hapa Nishampiga mtu kichwa cha Mdomo

    • @senseiamani4684
      @senseiamani4684 5 หลายเดือนก่อน

      Haaaaaahaaaa

    • @asifiwematimbwi8600
      @asifiwematimbwi8600 4 หลายเดือนก่อน

      Nimecheka sanaaa😅😅😅

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 5 หลายเดือนก่อน +1

    Wazee wamsisi hao mmmh wanamajini hao

  • @dalalihakweahakweya6662
    @dalalihakweahakweya6662 5 หลายเดือนก่อน

    DAAAAAH KIONGOZI WANGU POLE SANA MAANA HAO WAZEWANGU WATANGA NYUMBANI KWANGU KOLOGWE MMENIANGUSHA SANA HAMJA JIPANGA KABISA WABISHI SANA KUELEWEKA NIKAZI SANA HAPO WAZIRI KAPATA TABU SANA KUTATUA

  • @susananyasani6526
    @susananyasani6526 4 หลายเดือนก่อน

    Watendaji wa Serikali wengi hawafuati Sheria kwa haki wanachukuwa Rushwa kutoka kwa Wananchi wanyonge

  • @nanguniMtaita-hz4zt
    @nanguniMtaita-hz4zt 5 หลายเดือนก่อน

    Waziri shauri hili nKuona leo limekuzidi kimo. Mbona umeshindwa kulitatua?

  • @lawrencegwerino1656
    @lawrencegwerino1656 4 หลายเดือนก่อน

    Sıkılızeni nyie uongozi hauna umri ..

  • @yussufhashim4472
    @yussufhashim4472 5 หลายเดือนก่อน +1

    Wewe mzee nakupenda bure mpaka waziri amesalenda

  • @ChikuRamadhani-o2p
    @ChikuRamadhani-o2p 5 หลายเดือนก่อน

    Masikini tunaonewa silaha hujatendahaki kwenye shamba labwembwera tulisha pewa wajanja wana tuzulum mungu anaona

  • @hajjiomary2383
    @hajjiomary2383 4 หลายเดือนก่อน

    Mkuu tunakusubiri kigamboni bado atupo sawa

  • @alfinmbilinyi5985
    @alfinmbilinyi5985 5 หลายเดือนก่อน

    Hiyo kesi ni rahisi sana waziri kutoa maamuzi,kama historia inaonyesha ni lao serikali wapeni hilo eneo mkitaka kutumia kwa serikali wapeni pesa za fidia kwisha.wakipata mamilioni ni raia watanzania hao wapeni tz ina ardhi malumbano ya nini?Mtaanza kuuana kisa ardhi.Hapo kuna tatizo kubwa sana.

  • @AlHamra-k4u
    @AlHamra-k4u 5 หลายเดือนก่อน +1

    Sauti hamna

  • @IssaIddi-vb9yi
    @IssaIddi-vb9yi 4 หลายเดือนก่อน

    Apo mueshimiwa kazi unayo

  • @josephminja7953
    @josephminja7953 3 หลายเดือนก่อน

    😂 serikal ninan🤣

  • @kashindesalha8107
    @kashindesalha8107 5 หลายเดือนก่อน

    Mweshimiwa nakuaminia Leo pangumu hapo

  • @frankgichuhi8993
    @frankgichuhi8993 5 หลายเดือนก่อน

    The guy next tu waziri always rude..and corupt

  • @lawrencegwerino1656
    @lawrencegwerino1656 4 หลายเดือนก่อน

    Haha wasambaa shuhuri

  • @libeberu
    @libeberu 5 หลายเดือนก่อน

    Huku ndo Tanga sasa, ukitaka kwenda kujifunza sheria nenda mahakama za huku

  • @aslaykweka7408
    @aslaykweka7408 4 หลายเดือนก่อน

    Silaa utapata sukar wala pressure

  • @HashimYahya-ic2wn
    @HashimYahya-ic2wn 4 หลายเดือนก่อน

    Nani nani ndo nini

  • @geraldlyimo2859
    @geraldlyimo2859 5 หลายเดือนก่อน

    Kumbe hapo pana uongozi wa chadeee na usisi m hapo hawapati kituuu

  • @MussaAlly-t6m
    @MussaAlly-t6m 5 หลายเดือนก่อน

    Nirichoona apo diwani hana history ya kijiji awo wazee wahaki

  • @zaharamlau8817
    @zaharamlau8817 5 หลายเดือนก่อน

    Hiyo familia ni konyoo asee😂😂😂😂😂

  • @othumanomari1589
    @othumanomari1589 5 หลายเดือนก่อน

    Mrango8

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 4 หลายเดือนก่อน

    Waziri una kazi

  • @hamidabarraball3162
    @hamidabarraball3162 5 หลายเดือนก่อน

    Msimamizi wa mirasi hajui kiongea

  • @lightnessmarwa1755
    @lightnessmarwa1755 5 หลายเดือนก่อน

    Ukiooa kwa huyo mama mwenye kilemba chekundu umeenda na maji😂😂😂

    • @jasonwatz7457
      @jasonwatz7457 5 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂 imeaisha hiyo

  • @Commentsplus
    @Commentsplus 5 หลายเดือนก่อน

    Hahahahahahahahaha

  • @giftmusa6543
    @giftmusa6543 5 หลายเดือนก่อน

    Waziri katupiwa kitu

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb 5 หลายเดือนก่อน

    Hawa nikiboko

  • @jackmabirangacharles9398
    @jackmabirangacharles9398 5 หลายเดือนก่อน

    Hao ndio Waziguwa 😂

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa 5 หลายเดือนก่อน

    Mzee ana mawenge😂😂

  • @shafiijuma3282
    @shafiijuma3282 5 หลายเดือนก่อน

    piga kazi

  • @jescasanga2005
    @jescasanga2005 5 หลายเดือนก่อน

    😂😂

  • @jtheophil5499
    @jtheophil5499 5 หลายเดือนก่อน

    Bongooo😂😂😂😂

  • @waluohopaulo2116
    @waluohopaulo2116 5 หลายเดือนก่อน

    Huyu diwani achunguzwe

    • @damianikimario5695
      @damianikimario5695 5 หลายเดือนก่อน

      Waziri uko vizuri wakati mwgine inaleta hasira kuwasikliza nikipaji tosha ongera saanaa..piga kazi kaka sllaa mwenyezi mungu akusimamie unabusara sana na hekma.

  • @anastaziashihumbi
    @anastaziashihumbi 5 หลายเดือนก่อน

    Slaa hamna kitu...ukonga barabara ni shida kuanzia mombasa hadi bombambili shida lakini hata kuonekana kwa watu wake haonekani....25 hayupo bungeni

    • @rehemakilapilo3507
      @rehemakilapilo3507 5 หลายเดือนก่อน +1

      Barabarabza mitaa zipo chini ya Tarura ndio wahusika wa kukarabati na kujenga

    • @anastaziashihumbi
      @anastaziashihumbi 5 หลายเดือนก่อน

      @@rehemakilapilo3507 acha kumtetea ww...ukonga imemshinda na hatakiwi kabisa...mbona mbunge gwajima anafuatilia barabara zote kwenye jimbo lake yy yupo tu ...hata kama ni zarura yy ni msimazi mkuu wa jimbo la ukonga ameferi sana

    • @JosephuSwai
      @JosephuSwai 5 หลายเดือนก่อน

      Barabara ni changamoto ya kawaida kaka ata ulaya mpaka Leo wanatengeneza

    • @CharlesNkanda
      @CharlesNkanda 5 หลายเดือนก่อน

      25 slaa yupo bungeni upende usipende yupo kwa nguvu ya watanzania wote tena atabaki kuwa waziri

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa 5 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂kivumbi na jasho

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 4 หลายเดือนก่อน +1

    Watendaji wazuri mwingine nilisahau Rc wa Manyara Bi Sendega ni hatari sana huyu mama❤❤❤

  • @DanyEnto
    @DanyEnto 5 หลายเดือนก่อน +1

    Kumi tena kwa mheshimiwa🙌🙌🙌🙌🙌

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258 5 หลายเดือนก่อน +1

    Kwani ndg waziri mahame ni sawa na kuipoteza haki? mbona watu wengi tulihamishwa na bado tunamiliki maeneo yetu? Ina maana tumevamia?

  • @bilid4128
    @bilid4128 5 หลายเดือนก่อน

    Wazigua ni wajinga sanaa😊

    • @zainabumohamed600
      @zainabumohamed600 5 หลายเดือนก่อน

      acha dharau

    • @emmanueltuppa5459
      @emmanueltuppa5459 5 หลายเดือนก่อน

      Hiyo kauli sio njema kama ulivyo itamka kwa mjumuisho,bilashaka unatatizo la (kutofikiri jambo kabla ya maamuzi) hii inatafsiri maisha yako halisi,pole sana, bora ya huyo mjinga kuliko hilo kabila lako kama ndio hivyo watu wa sampuli hii ya mjumuisho hawawezagi hata kujisimamia binafsi ktk familia,wanataka mjumuisho kila jambo wakifikiri watu wote ni sawa na wanakua watu wa lawama siku zote kwenye familia hilo ni tatizo

  • @yussufhashim4472
    @yussufhashim4472 5 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu waziri ni chalii anacheka tu

  • @Lundege_Hips
    @Lundege_Hips 5 หลายเดือนก่อน +2

    Mbona hapa Dr slaa kama ameelemea sana upande wa serekali hawa raia mbona wanaonekana wanahaki

    • @emmanuelmlowe-ew7gx
      @emmanuelmlowe-ew7gx 5 หลายเดือนก่อน

      Serikali pia ina haki

    • @jamesmailo8780
      @jamesmailo8780 5 หลายเดือนก่อน

      Wakolofi sana ningumu kupata haki hawajui kujieleza

    • @emmanuelmlowe-ew7gx
      @emmanuelmlowe-ew7gx 5 หลายเดือนก่อน

      Usije dhan serikali haina haki

  • @humphreyjosephat5002
    @humphreyjosephat5002 5 หลายเดือนก่อน +1

    Hii familia sio yakuoa kabisa

    • @ZUWENADELLOW
      @ZUWENADELLOW 5 หลายเดือนก่อน

      Cha moto utakiona utakua jahanam ya duniani😂😂😂.