❤❤Yaan Majembe ya Samia wangu ni Kassim Majaliwa Waziri Mkuu'Makonda' Silaa waziri wa Aridhi'Ali Hapi'Chalamila'.Yaan watu hawa wanatisha wazuri wazuri tena.Chukuen Maua yenu.Hawagopi jambo lolote.❤❤❤❤
Kweli kabisa ❤❤❤❤❤❤❤❤tunawapenda sana sana mwenyezi mungu awape afya njema ila muheshimiwa wazir silah mbunge wetu barabara yetu ya kitunda haifaii tusaidie muheshimiwa❤❤🙏
Huyo diwani kama Anatukana viongozi wa serekali simu za mikononi mnazo mlicodini muwe na Ushaidi wa kumpeleka jela mshenzi kwanini Atukane viongozi huyu mzee Anategemia majini yake ndio Mdomo mlefu
Kosa kubwa ni la Serikali mnamwacha mtu anatumia ardhi ambayo Serikali imeishapanga matumizi lakini wananchi hawaeleweshwi. Hilo ni tatizo kubwa. Waziri nenda kwenye msingi wa tatizo. Wasaidie wananchi kutokana na msingi wa tatizo.
Tatizo si chama kimoja, tatizo ni sisi wenyewe tunapenda dhuluma. Msonge wa dhuluma ni rushwa wakati wa kuchaguana. bila kujali chama gani! Adhabu zingine hazisubili Ziko ndani kitendo chenyewe unacho kitenda. Mwl Nyerere
Mh. Slaa. Huku barabara mbovu ukianzia Mwanagati hafi kitunda na Banana uje uangalie. Ukienda benki kutuma school fees ya mwanafunzi unatozwa pesa pembeni eti diwani wenu haturekebishii barabara tumemchagua bure wanasema. Benki zote hawafanyi hivyo ila ni benki ya Mwanagati mdomo wa simba. Imefunguliwa juzijuzi tu. Siyo ile benki ya mama Mary Nchimbi.
DAAAAAH KIONGOZI WANGU POLE SANA MAANA HAO WAZEWANGU WATANGA NYUMBANI KWANGU KOLOGWE MMENIANGUSHA SANA HAMJA JIPANGA KABISA WABISHI SANA KUELEWEKA NIKAZI SANA HAPO WAZIRI KAPATA TABU SANA KUTATUA
Hiyo kesi ni rahisi sana waziri kutoa maamuzi,kama historia inaonyesha ni lao serikali wapeni hilo eneo mkitaka kutumia kwa serikali wapeni pesa za fidia kwisha.wakipata mamilioni ni raia watanzania hao wapeni tz ina ardhi malumbano ya nini?Mtaanza kuuana kisa ardhi.Hapo kuna tatizo kubwa sana.
Waziri uko vizuri wakati mwgine inaleta hasira kuwasikliza nikipaji tosha ongera saanaa..piga kazi kaka sllaa mwenyezi mungu akusimamie unabusara sana na hekma.
@@rehemakilapilo3507 acha kumtetea ww...ukonga imemshinda na hatakiwi kabisa...mbona mbunge gwajima anafuatilia barabara zote kwenye jimbo lake yy yupo tu ...hata kama ni zarura yy ni msimazi mkuu wa jimbo la ukonga ameferi sana
Hiyo kauli sio njema kama ulivyo itamka kwa mjumuisho,bilashaka unatatizo la (kutofikiri jambo kabla ya maamuzi) hii inatafsiri maisha yako halisi,pole sana, bora ya huyo mjinga kuliko hilo kabila lako kama ndio hivyo watu wa sampuli hii ya mjumuisho hawawezagi hata kujisimamia binafsi ktk familia,wanataka mjumuisho kila jambo wakifikiri watu wote ni sawa na wanakua watu wa lawama siku zote kwenye familia hilo ni tatizo
❤❤Yaan Majembe ya Samia wangu ni Kassim Majaliwa Waziri Mkuu'Makonda' Silaa waziri wa Aridhi'Ali Hapi'Chalamila'.Yaan watu hawa wanatisha wazuri wazuri tena.Chukuen Maua yenu.Hawagopi jambo lolote.❤❤❤❤
Yaani umewaona km mimi haswaaa ❤❤
Ukoo huo ukioa una kazi 😂😂😂
Waziri mungu akupe moyo wa busara sana kwani watu wanaumia sana
Waziri salaa mbona hii kwesi inaelekea ni gumu.
Mbona umeshidwa kutoa uwamuzi
Mzuri.
Napenda utoe haki
Hii familya balaaa
Waziri umeshindwa kuwasaidia wananchi😢😢
Tunakupenda wewe na makonda mpa vizuri
Kweli kabisa ❤❤❤❤❤❤❤❤tunawapenda sana sana mwenyezi mungu awape afya njema ila muheshimiwa wazir silah mbunge wetu barabara yetu ya kitunda haifaii tusaidie muheshimiwa❤❤🙏
😢@@hadijauledi6995😢😢😢😢safi
Afisa wa ardhi korogwe chanzo Cha migogoro korogwe
Ila unayechukua videos tafadhali sauti ipo Chini
Ccm hoyeee!!!
Walikuwa wanalala kwa sababu ya watoto wao walikuwa hawez kwenda barabara zilifungwa
Jaman wazee wa KWA MSISI HAO. OOOHHH MSICHEZE NAO SHAURI YENU
Waziri oparesheni vijiji tulipewa maeneo ya kujenga makazi mashamba tukawa tunalima kulekule kwenye mashamba yetu yale yale mkuu
Silaha unapo twambia sisi ni wavamizi alafu wanachukua matajiri sisi masikini tukale wapi
Mh unakutana na vingi
Hapo Kunamambo ya siasa majilani zao waliuza je kwanini wengine wazuiwe
Huyo diwani kama Anatukana viongozi wa serekali simu za mikononi mnazo mlicodini muwe na Ushaidi wa kumpeleka jela mshenzi kwanini Atukane viongozi huyu mzee Anategemia majini yake ndio Mdomo mlefu
Masikini hawezi kuwa na haki hata siku moja
Ila ukweli hiyo familia ni mbovu
Diwan anataka kujifanya eneo la serikali ili alifanyie mchakato
Wazirhapo hakuna no Bora makonda
Waze wamajini hao
Shida hamjui kujieleza
Raia wamedata hao
Hii familia kiboko 😂
duh hawa 😂😂 utafikiri watoto wachekechea😂😂
Mwenye kiti wa zamani aende kwa waziri wa zamani nime ipenda sana hiyo Mweshimiwa Jerry Wazigua ni Kichefu chefu hao😂😂😂
We mzee hujui kujieleza b
Uyu ajuwiii kitu makonda njo ana anajuwa saaana…awezi shika wamwiziiii
Dada mwenye kitambaa cheusi ni suzy bale mtupu
Kosa kubwa ni la Serikali mnamwacha mtu anatumia ardhi ambayo Serikali imeishapanga matumizi lakini wananchi hawaeleweshwi. Hilo ni tatizo kubwa. Waziri nenda kwenye msingi wa tatizo. Wasaidie wananchi kutokana na msingi wa tatizo.
Hapo waziri umechemka wananchi wanaonekana wanaonewa😢😢
Ukioa kwenye hiyo familia shuhuri 😅
TATIZO SERIKALI NI YA CHAMA KIMOJA. KAMA SERIKALI INGEKUWA NI MSETO BASI HAO VIONGOZI WADOGOWADOGO WA VIJIJINI WANGEKUWA NA ADABU.
Usifanye Mseto ndio utatizi wa Matatizo watendaji ndio haohao Sio Kila unachowaza sahihi huo ni mtazamo wako chama hichohicho ndio katoka huyo
Tatizo si chama kimoja, tatizo ni sisi wenyewe tunapenda dhuluma. Msonge wa dhuluma ni rushwa wakati wa kuchaguana. bila kujali chama gani! Adhabu zingine hazisubili Ziko ndani kitendo chenyewe unacho kitenda. Mwl Nyerere
Dhuruma haina chama,ni suala la mtu mmoja mmoja,huyu waziri anae washughurikia Manyangumi ya dhuruma ni CCM sio chadema wala ACT
Mungu.awasaidie
Mungu.awasaidie
Hawa wazee wa mezulumiwa haki zao.
Kazi ngumu hii
Hii familia imeshindwa kijipanga ktk maelezo..wana hasira sana na wanaongea kupitiliza.. ila wasiingize itikadi
Mzee wa kwamsisi hao ..wanatembeaga na majini hao...mungu akulinde tu mweshimiwa
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉
Makonda na slaa juu juu zaidi tunawakubali majembe ya kazi hayapepesi macho arusha wakuu wa vitengo matumbo joto😂😂😂😂😂
😂😂😂
Duh huyu mzee mzigua ni shida mbishi kinyama
Daaah wazigua ni kuupanda mchongoma kuumbe kushuka ni ngoma😂😂
Uwo ukoo usiombe umpe mimba mtoto wao 😂😂😂😂
Rai TV jirekebishe saiti habar zako nyingi zinasumbua sauti
Asant kwa Ushauri tunaufanyia kazi kaka Abdul
masikini hana rafiki
I love Tanzania
Mh. Slaa. Huku barabara mbovu ukianzia Mwanagati hafi kitunda na Banana uje uangalie. Ukienda benki kutuma school fees ya mwanafunzi unatozwa pesa pembeni eti diwani wenu haturekebishii barabara tumemchagua bure wanasema. Benki zote hawafanyi hivyo ila ni benki ya Mwanagati mdomo wa simba. Imefunguliwa juzijuzi tu. Siyo ile benki ya mama Mary Nchimbi.
Tuijue ratiba ya mkoa wa Singida tujiandae
Hapo panashida eti tutampiga🤣🤣🤣🤣 kkkk
Ha ha ha akileta za kuleta wata Mtwanga
Silaa endelea kusimamiya sheria mungu yupamoja nawe
huyu mzee mwenye kofia kanifanya nicheke sana kila akiambiwa anyamaze hakubali
Ha ha Uongozi sio mchezo Mh silaa apewe heko kwa kweli wengine hatuwezi hivi hapa Nishampiga mtu kichwa cha Mdomo
Haaaaaahaaaa
Nimecheka sanaaa😅😅😅
Wazee wamsisi hao mmmh wanamajini hao
DAAAAAH KIONGOZI WANGU POLE SANA MAANA HAO WAZEWANGU WATANGA NYUMBANI KWANGU KOLOGWE MMENIANGUSHA SANA HAMJA JIPANGA KABISA WABISHI SANA KUELEWEKA NIKAZI SANA HAPO WAZIRI KAPATA TABU SANA KUTATUA
Watendaji wa Serikali wengi hawafuati Sheria kwa haki wanachukuwa Rushwa kutoka kwa Wananchi wanyonge
Waziri shauri hili nKuona leo limekuzidi kimo. Mbona umeshindwa kulitatua?
Sıkılızeni nyie uongozi hauna umri ..
Wewe mzee nakupenda bure mpaka waziri amesalenda
Mzee nimempenda buree
Masikini tunaonewa silaha hujatendahaki kwenye shamba labwembwera tulisha pewa wajanja wana tuzulum mungu anaona
Mkuu tunakusubiri kigamboni bado atupo sawa
Hiyo kesi ni rahisi sana waziri kutoa maamuzi,kama historia inaonyesha ni lao serikali wapeni hilo eneo mkitaka kutumia kwa serikali wapeni pesa za fidia kwisha.wakipata mamilioni ni raia watanzania hao wapeni tz ina ardhi malumbano ya nini?Mtaanza kuuana kisa ardhi.Hapo kuna tatizo kubwa sana.
Sauti hamna
Apo mueshimiwa kazi unayo
😂 serikal ninan🤣
Mweshimiwa nakuaminia Leo pangumu hapo
The guy next tu waziri always rude..and corupt
Haha wasambaa shuhuri
Huku ndo Tanga sasa, ukitaka kwenda kujifunza sheria nenda mahakama za huku
Silaa utapata sukar wala pressure
Nani nani ndo nini
Kumbe hapo pana uongozi wa chadeee na usisi m hapo hawapati kituuu
Nirichoona apo diwani hana history ya kijiji awo wazee wahaki
Hiyo familia ni konyoo asee😂😂😂😂😂
Mrango8
Waziri una kazi
Msimamizi wa mirasi hajui kiongea
Ukiooa kwa huyo mama mwenye kilemba chekundu umeenda na maji😂😂😂
😂😂😂 imeaisha hiyo
Hahahahahahahahaha
Waziri katupiwa kitu
Hawa nikiboko
Hao ndio Waziguwa 😂
Mzee ana mawenge😂😂
piga kazi
😂😂
Bongooo😂😂😂😂
Huyu diwani achunguzwe
Waziri uko vizuri wakati mwgine inaleta hasira kuwasikliza nikipaji tosha ongera saanaa..piga kazi kaka sllaa mwenyezi mungu akusimamie unabusara sana na hekma.
Slaa hamna kitu...ukonga barabara ni shida kuanzia mombasa hadi bombambili shida lakini hata kuonekana kwa watu wake haonekani....25 hayupo bungeni
Barabarabza mitaa zipo chini ya Tarura ndio wahusika wa kukarabati na kujenga
@@rehemakilapilo3507 acha kumtetea ww...ukonga imemshinda na hatakiwi kabisa...mbona mbunge gwajima anafuatilia barabara zote kwenye jimbo lake yy yupo tu ...hata kama ni zarura yy ni msimazi mkuu wa jimbo la ukonga ameferi sana
Barabara ni changamoto ya kawaida kaka ata ulaya mpaka Leo wanatengeneza
25 slaa yupo bungeni upende usipende yupo kwa nguvu ya watanzania wote tena atabaki kuwa waziri
😂😂😂kivumbi na jasho
Watendaji wazuri mwingine nilisahau Rc wa Manyara Bi Sendega ni hatari sana huyu mama❤❤❤
Kumi tena kwa mheshimiwa🙌🙌🙌🙌🙌
Kwani ndg waziri mahame ni sawa na kuipoteza haki? mbona watu wengi tulihamishwa na bado tunamiliki maeneo yetu? Ina maana tumevamia?
Wazigua ni wajinga sanaa😊
acha dharau
Hiyo kauli sio njema kama ulivyo itamka kwa mjumuisho,bilashaka unatatizo la (kutofikiri jambo kabla ya maamuzi) hii inatafsiri maisha yako halisi,pole sana, bora ya huyo mjinga kuliko hilo kabila lako kama ndio hivyo watu wa sampuli hii ya mjumuisho hawawezagi hata kujisimamia binafsi ktk familia,wanataka mjumuisho kila jambo wakifikiri watu wote ni sawa na wanakua watu wa lawama siku zote kwenye familia hilo ni tatizo
Huyu waziri ni chalii anacheka tu
Mbona hapa Dr slaa kama ameelemea sana upande wa serekali hawa raia mbona wanaonekana wanahaki
Serikali pia ina haki
Wakolofi sana ningumu kupata haki hawajui kujieleza
Usije dhan serikali haina haki
Hii familia sio yakuoa kabisa
Cha moto utakiona utakua jahanam ya duniani😂😂😂.