SAKATA LA MGOMO WA WAFANYAKAZI, RC MTAKA ATINGA KIWANDANI AMBANANISHA MWEKEZAJI, WALIPENI MSHAHARA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ค. 2024

ความคิดเห็น • 34

  • @SinemaZaChina
    @SinemaZaChina 5 วันที่ผ่านมา +1

    aloo watu wa viwandani kwa africa ni mateso Mungu awasimamie

  • @saidalhinai1131
    @saidalhinai1131 4 วันที่ผ่านมา +1

    Chai yetu ya Tz ni bora kuliko kenya na nchi nyingi duniani

    • @DesertTears
      @DesertTears 4 วันที่ผ่านมา

      Kasema nani???😂😂😂 Ujinga ni kuamini vya kwenu ni Bora ila hamna chochote umasikini tu

  • @avitusmichael5
    @avitusmichael5 5 วันที่ผ่านมา +6

    Nilidhani wameanza mkesha wa mwamposa😅😅

  • @DesertTears
    @DesertTears 4 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂 wanajigaragaza chini sab ya kumuina RC😂😂😂 kumbe miezi minne hawana mishahara

  • @REUBENIMWAMBUJULE
    @REUBENIMWAMBUJULE 5 วันที่ผ่านมา

    Kwanini hawa wakenya wanatusumbua sana nchini kwetu? Na serikali inaangalia tuh Wala ata hawana hofu

  • @IddiHasani-vq4rd
    @IddiHasani-vq4rd 5 วันที่ผ่านมา

    Majina ya mway popp ni Cheng

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd 4 วันที่ผ่านมา

    jamani Mimi mshamba hebu Niambieni chai Ndio Nini

  • @user-wj6zj1ly4e
    @user-wj6zj1ly4e 5 วันที่ผ่านมา

    Wakpata tenda ya chai kuagiza wanapewa kampuni ya simu, lkn mxhahara ukichelewa srkl iko macho

  • @EagerFriendlyRobot-qx2ui
    @EagerFriendlyRobot-qx2ui 4 วันที่ผ่านมา

    Hmeshimiwa anajua kudai

  • @objstv6976
    @objstv6976 5 วันที่ผ่านมา

    Sio kosa lao hao hiyo ni kosa la sukari kupanda bei na ndio maan watu hawanywi chai 😂😂😂

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 5 วันที่ผ่านมา

    Wakati wa jpm!!!!!!

  • @caesar7745
    @caesar7745 5 วันที่ผ่านมา

    Wanalipwa na Reba au. This so sad. Hivi viongozi nao mishahara inachelewa

  • @himanmwalwala7569
    @himanmwalwala7569 5 วันที่ผ่านมา

    Mbona hao viongozi wanaonekana wanalipwa

  • @mariamcrispo8296
    @mariamcrispo8296 4 วันที่ผ่านมา

    Waajiri wengi wanadaiwa sana.

  • @alanusrespicius1796
    @alanusrespicius1796 5 วันที่ผ่านมา

    Nilichogundua jina MTUMWA walilibadilisha na kuwa MFANYAKAZI, mtumwa na mfanyakazi hakuna tofauti yoyote.

  • @mariamcrispo8296
    @mariamcrispo8296 4 วันที่ผ่านมา

    Watu wanasomesha hawa familia zinawategemea inauma hili limeniumiza na mimi hakuna tofauti na mtu mmoja hivi mwenye kampuni halipi mshahara wala NSSF.

  • @simongwandu7392
    @simongwandu7392 5 วันที่ผ่านมา

    Wafukuzwe siyo wawekezaji ni wanyonyaji

  • @user-wk8yl6jp9i
    @user-wk8yl6jp9i 5 วันที่ผ่านมา

    Jamani Yaani hata mshahara wananchi wanakosa? Hii ni kitu gani????

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 5 วันที่ผ่านมา

    Chai imeanguka ndiyo nini, kwani mnapopataga faida kubwa huwa mnawagawia? Wapemi hela zao haraka.

  • @masalakulwa7601
    @masalakulwa7601 5 วันที่ผ่านมา

    Namuona Mr Kasira hapo

  • @vom84
    @vom84 5 วันที่ผ่านมา

    Wakenya wanachukua sana ajira , na sielewi ni kwann

    • @jasonwatz7457
      @jasonwatz7457 5 วันที่ผ่านมา +1

      Elimu yenu haitwngwnezi competitive individuals

  • @REUBENIMWAMBUJULE
    @REUBENIMWAMBUJULE 5 วันที่ผ่านมา

    Asisikilizwe huyo kuma alafu hapo wanatabia ya kuwafukuza watu ambao wamehamasisha mgomo

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 5 วันที่ผ่านมา

    Lakini mhe. Mkuu wa Mkoa makampuni mengi wanalipa hela ndogo sana hasa wachina. Wananchi hawakui kiuchumi. Wawekeeni wawekezaji viwango vya kuwalipa wafanyakazi. Wanakuja huku wanarudi kwao wametajirika wanaacha wananchi huku wamedhoofika na umaskini wa kutosha. Afrika iamke Viongozi teteeni watu wenu.

  • @caesar7745
    @caesar7745 5 วันที่ผ่านมา

    Movie linaanza meneja mkenya. Miaka mbili😂

  • @mtotowamanka
    @mtotowamanka 5 วันที่ผ่านมา

    Ss unatupa statistics Kwan mkataba unasemaadje? Nifany kaZ.nilipe kwishaaa

  • @simongwandu7392
    @simongwandu7392 5 วันที่ผ่านมา

    Huyu mkenya ni vipi mbona ananyanyasa watanzania

  • @martinurio6631
    @martinurio6631 5 วันที่ผ่านมา

    duuh

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 5 วันที่ผ่านมา

    Walipwe

  • @faharikhamisi3091
    @faharikhamisi3091 4 วันที่ผ่านมา

    RC naomba ondoa huyo mkenya Wana roho mbaya sana hawa kila mahali walipo,hawa jamaa ni tatizo mbona wao wanalipwa vizuri bila shida

    • @emanuelnisetas7510
      @emanuelnisetas7510 4 วันที่ผ่านมา

      Usilaum mkenya bali tatizo latu ni viongozi watu hawajielew na maana unakuta kenye wanafuata sheria bongo kujuana hilondilotatizo