Lakini mhe. Mkuu wa Mkoa makampuni mengi wanalipa hela ndogo sana hasa wachina. Wananchi hawakui kiuchumi. Wawekeeni wawekezaji viwango vya kuwalipa wafanyakazi. Wanakuja huku wanarudi kwao wametajirika wanaacha wananchi huku wamedhoofika na umaskini wa kutosha. Afrika iamke Viongozi teteeni watu wenu.
aloo watu wa viwandani kwa africa ni mateso Mungu awasimamie
Chai yetu ya Tz ni bora kuliko kenya na nchi nyingi duniani
Kasema nani???😂😂😂 Ujinga ni kuamini vya kwenu ni Bora ila hamna chochote umasikini tu
Nilidhani wameanza mkesha wa mwamposa😅😅
😂😂😂
😂😂😂 wanajigaragaza chini sab ya kumuina RC😂😂😂 kumbe miezi minne hawana mishahara
Kwanini hawa wakenya wanatusumbua sana nchini kwetu? Na serikali inaangalia tuh Wala ata hawana hofu
Majina ya mway popp ni Cheng
jamani Mimi mshamba hebu Niambieni chai Ndio Nini
Wakpata tenda ya chai kuagiza wanapewa kampuni ya simu, lkn mxhahara ukichelewa srkl iko macho
Hmeshimiwa anajua kudai
Sio kosa lao hao hiyo ni kosa la sukari kupanda bei na ndio maan watu hawanywi chai 😂😂😂
😂😂😂😂
Wakati wa jpm!!!!!!
Wanalipwa na Reba au. This so sad. Hivi viongozi nao mishahara inachelewa
Mbona hao viongozi wanaonekana wanalipwa
Waajiri wengi wanadaiwa sana.
Nilichogundua jina MTUMWA walilibadilisha na kuwa MFANYAKAZI, mtumwa na mfanyakazi hakuna tofauti yoyote.
Watu wanasomesha hawa familia zinawategemea inauma hili limeniumiza na mimi hakuna tofauti na mtu mmoja hivi mwenye kampuni halipi mshahara wala NSSF.
Wafukuzwe siyo wawekezaji ni wanyonyaji
Jamani Yaani hata mshahara wananchi wanakosa? Hii ni kitu gani????
Chai imeanguka ndiyo nini, kwani mnapopataga faida kubwa huwa mnawagawia? Wapemi hela zao haraka.
Namuona Mr Kasira hapo
Wakenya wanachukua sana ajira , na sielewi ni kwann
Elimu yenu haitwngwnezi competitive individuals
Asisikilizwe huyo kuma alafu hapo wanatabia ya kuwafukuza watu ambao wamehamasisha mgomo
Lakini mhe. Mkuu wa Mkoa makampuni mengi wanalipa hela ndogo sana hasa wachina. Wananchi hawakui kiuchumi. Wawekeeni wawekezaji viwango vya kuwalipa wafanyakazi. Wanakuja huku wanarudi kwao wametajirika wanaacha wananchi huku wamedhoofika na umaskini wa kutosha. Afrika iamke Viongozi teteeni watu wenu.
Movie linaanza meneja mkenya. Miaka mbili😂
Ss unatupa statistics Kwan mkataba unasemaadje? Nifany kaZ.nilipe kwishaaa
Huyu mkenya ni vipi mbona ananyanyasa watanzania
duuh
Walipwe
RC naomba ondoa huyo mkenya Wana roho mbaya sana hawa kila mahali walipo,hawa jamaa ni tatizo mbona wao wanalipwa vizuri bila shida
Usilaum mkenya bali tatizo latu ni viongozi watu hawajielew na maana unakuta kenye wanafuata sheria bongo kujuana hilondilotatizo