ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
God is good 🙏🙏
Mama kalokolaa weeeeee😂😂😂😂ila wahayaaaa
Ila anaonekana mwema jaman
Wema wake umemponya tenda wema utakufuata kila uendako. Mungu ni mwema
Mubarikiwe na BWANA YESU wakina mama.endeleeni na moyo hiyo hiyo.
Wahaya semeni amen!
Wamama wanaupendo hadi raha kuish na watu raha
Jambazi huyi lnawezekana hakuwa jambazi Mungu wetu sote
Mmefanya ihsan kwahy sio mbya 😅😅😅
Mwenyezi Mungu na awashushie Baraka zake kwa Roho zenu za Dhahabu.
Amen 🙏
Mubarikiwe
Mungu awabariki MOI🙏🙏Mungu ampe umri mrefu na Afya njema🙏🥰
Huyu mama kafanana naye ase Mungu mwema 🙏
Mungu umbariki huyu mama pamoja na familia yake🙏🙏
Jamani kweli mna roho nzuri kweli mmeonyesha ubinadamu
Hongerah MOI
Inaweza hakuwa jambazi uyo ndo mana mungu akamlipa wema wa kuzikwa ivyo a
haswaaa inawezekana Mungu ana sababu
Sure
Kweli kabisa
Duh inasikitisha sana.Mungu akujalie mama.
Huyo jambazi aliezikwa kishujaa huenda hakuwa jambazi au ni jambazi aliingia bila kupenda kazi hiyo
Jambazi alikuwa tu anawazoom wanavoshoboka
mama muhaya kama muhaya
Nlishangaa muhaya asiseme hela kitu gani😅 halaf asitaje vyanzo vya mapato yake🙌😂
😂😂😂
Mama Asante
MOI Hospital Mpo vizuri sana.
Kabisa walitajguliza utu kwanza , nimeamini bado zipo hospitali za Umma za kiaminiwa
Sio pw kwa kwel
❤❤❤❤
Doctor kakeneno, wahaya oyeeee
Uyo jambawazi hata ndugu zake hawajui aliko wanategemea iko siku atarudi
🥰🥰
Furaha iliyoje.
Huyo jambazi alozikwa hana watu hawamtafuti
inawezekana hata hiyo Maiti hakuwa jambaz labda NI wezi ndo walimuua Mungu akawapa hiyo nafas ya kumzika
Nimelia MACHOZI ya furaha. Hongereni akina mama
pole dear
Jambazi kazikwa kishujaa hii ndiyo tz na Hospital zake
Hahahaha
Rizki yake
@@fatmamsiliwa8485 Kwakweri?
Jambazi kalala mahara pema peponi😮😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
So sad
Kuish na waty Vizur raha sana
hakika
Hakika wema unalipa
Hela kitu gani ubarikiwe mwaya mama❤❤
Mungu watunze madacktar wote wa moi hakika nyie ni watu na nusu pendine huduma mpaka utangulize pesa
Ndo yale mambo unaskia amefufuka 😂
Uhai anarudisha mungu wahya nyie
Mkamtoe huko makaburini akombolewe kiroho
Hahaa
😢😢wakati mwingine muwe na subira
Subra Gan na mtu kachomwa moto Watajuaje na wakat wat wake wa karib ndo wamesema nin yy ulitak ndung wawe na subra Gan Sasa 😢😢😢😢😢😢😢😢
@@mymuhnabdallahshaban7763ndio subra inahitajika vipimo vingefata yale yale ya arusha wanang'ang'ana ni amefufuja kumbe wamezika sio
@@mymuhnabdallahshaban7763kwani hakuna vina saba
Wahaya bwana eti anatulindia nyumba mfyuu
I ndo inaitwa tuishi na watu vzr
Kwn ndgu yenu alikuwa jambazi?
muhaya banah eti wamzike kishujaa
Mim nauliza hiv.. hospital hawakupim DNA?
DNA wanapima bila kuwepo ndugu akili yako ikoje bob mfano wew tukuokote tukupime DNA tutajua unaitwa nani na ni mtoto wa nani wew vp
Kwan akili yake ukoje 😂😂@@worldrapamako3960
Walahi huyu huenda alionewa
Kafukueni lile jambazi mchape viboko kwanini linazikwa kiheshima halisemi nawakati mtumwema yupo 😢
Ha haa haaa!! We jamaa bhana acha mambo yako, ndio keshazikwa kishujaa wanambezi kwa upendo mkubwa misosi na mambo kemkem, hauwezi kubadikisha
MAWAZO YA MUNGU SIO YAKO KAMWE😅😅 POLE😂
We jamaa najaribu kufikiria situation ulokua nayo mda unaandika af sipat picha 😂😂😂
Hahaaa nmecheka kama mazuri ila ww 😂😂😂😂
😁😁😁
Daah aisee hiyo milion 2 kasoro kidogo kwa wahaya sio pesa nyingi ila ndg hamkuwa makin hyo ndio yale ya arusha walizika mtu maiti sio yao
Kashasema sio ndugu yao bali wameishi nae tu vizuriii
Jambaz mlokole 😂😂😂
Mulikuz na mihemko tu wahaya si munasifa?
Acha ujinga
Sio ujinfa ni ukweri
God is good 🙏🙏
Mama kalokolaa weeeeee😂😂😂😂ila wahayaaaa
Ila anaonekana mwema jaman
Wema wake umemponya tenda wema utakufuata kila uendako. Mungu ni mwema
Mubarikiwe na BWANA YESU wakina mama.endeleeni na moyo hiyo hiyo.
Wahaya semeni amen!
Wamama wanaupendo hadi raha kuish na watu raha
Jambazi huyi lnawezekana hakuwa jambazi Mungu wetu sote
Mmefanya ihsan kwahy sio mbya 😅😅😅
Mwenyezi Mungu na awashushie Baraka zake kwa Roho zenu za Dhahabu.
Amen 🙏
Mubarikiwe
Mungu awabariki MOI🙏🙏Mungu ampe umri mrefu na Afya njema🙏🥰
Huyu mama kafanana naye ase Mungu mwema 🙏
Mungu umbariki huyu mama pamoja na familia yake🙏🙏
Jamani kweli mna roho nzuri kweli mmeonyesha ubinadamu
Hongerah MOI
Inaweza hakuwa jambazi uyo ndo mana mungu akamlipa wema wa kuzikwa ivyo a
haswaaa inawezekana Mungu ana sababu
Sure
Kweli kabisa
Duh inasikitisha sana.Mungu akujalie mama.
Huyo jambazi aliezikwa kishujaa huenda hakuwa jambazi au ni jambazi aliingia bila kupenda kazi hiyo
Jambazi alikuwa tu anawazoom wanavoshoboka
mama muhaya kama muhaya
Nlishangaa muhaya asiseme hela kitu gani😅 halaf asitaje vyanzo vya mapato yake🙌😂
😂😂😂
Mama Asante
MOI Hospital Mpo vizuri sana.
Kabisa walitajguliza utu kwanza , nimeamini bado zipo hospitali za Umma za kiaminiwa
Sio pw kwa kwel
❤❤❤❤
Doctor kakeneno, wahaya oyeeee
Uyo jambawazi hata ndugu zake hawajui aliko wanategemea iko siku atarudi
🥰🥰
Furaha iliyoje.
Huyo jambazi alozikwa hana watu hawamtafuti
inawezekana hata hiyo Maiti hakuwa jambaz labda NI wezi ndo walimuua Mungu akawapa hiyo nafas ya kumzika
Nimelia MACHOZI ya furaha. Hongereni akina mama
pole dear
Jambazi kazikwa kishujaa hii ndiyo tz na Hospital zake
Hahahaha
Rizki yake
@@fatmamsiliwa8485 Kwakweri?
Jambazi kalala mahara pema peponi😮😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
So sad
Kuish na waty Vizur raha sana
hakika
Hakika wema unalipa
Hela kitu gani ubarikiwe mwaya mama❤❤
Mungu watunze madacktar wote wa moi hakika nyie ni watu na nusu pendine huduma mpaka utangulize pesa
Ndo yale mambo unaskia amefufuka 😂
😂😂😂
Uhai anarudisha mungu wahya nyie
Mkamtoe huko makaburini akombolewe kiroho
Hahaa
😢😢wakati mwingine muwe na subira
Subra Gan na mtu kachomwa moto Watajuaje na wakat wat wake wa karib ndo wamesema nin yy ulitak ndung wawe na subra Gan Sasa 😢😢😢😢😢😢😢😢
@@mymuhnabdallahshaban7763ndio subra inahitajika vipimo vingefata yale yale ya arusha wanang'ang'ana ni amefufuja kumbe wamezika sio
@@mymuhnabdallahshaban7763kwani hakuna vina saba
Wahaya bwana eti anatulindia nyumba mfyuu
I ndo inaitwa tuishi na watu vzr
Kwn ndgu yenu alikuwa jambazi?
muhaya banah eti wamzike kishujaa
Mim nauliza hiv.. hospital hawakupim DNA?
DNA wanapima bila kuwepo ndugu akili yako ikoje bob mfano wew tukuokote tukupime DNA tutajua unaitwa nani na ni mtoto wa nani wew vp
Kwan akili yake ukoje 😂😂@@worldrapamako3960
Walahi huyu huenda alionewa
Kafukueni lile jambazi mchape viboko kwanini linazikwa kiheshima halisemi nawakati mtumwema yupo 😢
Ha haa haaa!! We jamaa bhana acha mambo yako, ndio keshazikwa kishujaa wanambezi kwa upendo mkubwa misosi na mambo kemkem, hauwezi kubadikisha
MAWAZO YA MUNGU SIO YAKO KAMWE😅😅 POLE😂
We jamaa najaribu kufikiria situation ulokua nayo mda unaandika af sipat picha 😂😂😂
Hahaaa nmecheka kama mazuri ila ww 😂😂😂😂
😁😁😁
Daah aisee hiyo milion 2 kasoro kidogo kwa wahaya sio pesa nyingi ila ndg hamkuwa makin hyo ndio yale ya arusha walizika mtu maiti sio yao
Kashasema sio ndugu yao bali wameishi nae tu vizuriii
Jambaz mlokole 😂😂😂
Mulikuz na mihemko tu wahaya si munasifa?
Acha ujinga
Sio ujinfa ni ukweri