PART 2: “TUMEZIKA JAMBAZI ALIYECHOMWA MOTO TUKIDHANI NDUGU YETU, TUMEMFANYIA IBADA KANISANI” MAMA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ก.ค. 2024

ความคิดเห็น • 81

  • @user-go8nm4mh1k
    @user-go8nm4mh1k 29 วันที่ผ่านมา +7

    God is good 🙏🙏

  • @user-lk3pz6uq6q
    @user-lk3pz6uq6q 23 วันที่ผ่านมา +1

    Mama kalokolaa weeeeee😂😂😂😂ila wahayaaaa

  • @user-qh2bx5em6j
    @user-qh2bx5em6j 29 วันที่ผ่านมา +10

    Ila anaonekana mwema jaman

  • @elizabethmushi1332
    @elizabethmushi1332 28 วันที่ผ่านมา +1

    Wema wake umemponya tenda wema utakufuata kila uendako. Mungu ni mwema

  • @NeemaNabintu
    @NeemaNabintu 29 วันที่ผ่านมา +1

    Mubarikiwe na BWANA YESU wakina mama.endeleeni na moyo hiyo hiyo.

  • @KatabaroCleophace
    @KatabaroCleophace 29 วันที่ผ่านมา +4

    Wahaya semeni amen!

  • @luluray2115
    @luluray2115 29 วันที่ผ่านมา +4

    Wamama wanaupendo hadi raha kuish na watu raha

  • @EmmanuelMajele-ny2hk
    @EmmanuelMajele-ny2hk 28 วันที่ผ่านมา +1

    Jambazi huyi lnawezekana hakuwa jambazi Mungu wetu sote

  • @OmanOman-vb4uj
    @OmanOman-vb4uj 29 วันที่ผ่านมา +4

    Mmefanya ihsan kwahy sio mbya 😅😅😅

  • @user-xn8jh1yw1h
    @user-xn8jh1yw1h 29 วันที่ผ่านมา +3

    Mwenyezi Mungu na awashushie Baraka zake kwa Roho zenu za Dhahabu.

  • @kiboshokiboshomungumkubwa7789
    @kiboshokiboshomungumkubwa7789 29 วันที่ผ่านมา +4

    Mubarikiwe

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus7068 29 วันที่ผ่านมา +4

    Mungu awabariki MOI🙏🙏Mungu ampe umri mrefu na Afya njema🙏🥰

  • @samwelerasto7138
    @samwelerasto7138 29 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu mama kafanana naye ase Mungu mwema 🙏

  • @epema632
    @epema632 28 วันที่ผ่านมา

    Mungu umbariki huyu mama pamoja na familia yake🙏🙏

  • @user-qk4lx4hg7g
    @user-qk4lx4hg7g 26 วันที่ผ่านมา +1

    Jamani kweli mna roho nzuri kweli mmeonyesha ubinadamu

  • @user-fz1ph3cn4s
    @user-fz1ph3cn4s 29 วันที่ผ่านมา +2

    Hongerah MOI

  • @khadijathani9064
    @khadijathani9064 29 วันที่ผ่านมา +4

    Inaweza hakuwa jambazi uyo ndo mana mungu akamlipa wema wa kuzikwa ivyo a

  • @emmanueltillya2017
    @emmanueltillya2017 24 วันที่ผ่านมา

    Duh inasikitisha sana.Mungu akujalie mama.

  • @daslamonline4665
    @daslamonline4665 23 วันที่ผ่านมา

    Huyo jambazi aliezikwa kishujaa huenda hakuwa jambazi au ni jambazi aliingia bila kupenda kazi hiyo

  • @blessedme7852
    @blessedme7852 29 วันที่ผ่านมา +3

    Jambazi alikuwa tu anawazoom wanavoshoboka

  • @mwasa_tv
    @mwasa_tv 29 วันที่ผ่านมา +3

    mama muhaya kama muhaya

  • @neemamboya99
    @neemamboya99 28 วันที่ผ่านมา +1

    Nlishangaa muhaya asiseme hela kitu gani😅 halaf asitaje vyanzo vya mapato yake🙌😂

  • @infodigtechforcommunityemp4103
    @infodigtechforcommunityemp4103 29 วันที่ผ่านมา +1

    Mama Asante

  • @EvarineMdaki
    @EvarineMdaki 29 วันที่ผ่านมา +3

    MOI Hospital Mpo vizuri sana.

    • @gilbertkalanda9354
      @gilbertkalanda9354 28 วันที่ผ่านมา

      Kabisa walitajguliza utu kwanza , nimeamini bado zipo hospitali za Umma za kiaminiwa

  • @Lily-rn6xc
    @Lily-rn6xc 29 วันที่ผ่านมา +4

    Sio pw kwa kwel

  • @daslamonline4665
    @daslamonline4665 23 วันที่ผ่านมา

    ❤❤❤❤

  • @Dipeson700
    @Dipeson700 27 วันที่ผ่านมา

    Doctor kakeneno, wahaya oyeeee

  • @willsonmsuya9261
    @willsonmsuya9261 22 วันที่ผ่านมา

    Uyo jambawazi hata ndugu zake hawajui aliko wanategemea iko siku atarudi

  • @marthageorge5043
    @marthageorge5043 26 วันที่ผ่านมา

    🥰🥰

  • @blessingmapazia9545
    @blessingmapazia9545 29 วันที่ผ่านมา +1

    Furaha iliyoje.

  • @khadijaa815
    @khadijaa815 29 วันที่ผ่านมา +3

    Huyo jambazi alozikwa hana watu hawamtafuti

    • @msakadoobongeladada-uh3sk
      @msakadoobongeladada-uh3sk 29 วันที่ผ่านมา

      inawezekana hata hiyo Maiti hakuwa jambaz labda NI wezi ndo walimuua Mungu akawapa hiyo nafas ya kumzika

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 29 วันที่ผ่านมา +4

    Nimelia MACHOZI ya furaha. Hongereni akina mama

  • @SalimSalimu-z5c
    @SalimSalimu-z5c 29 วันที่ผ่านมา +3

    Jambazi kazikwa kishujaa hii ndiyo tz na Hospital zake

  • @user-gt4ki8js1u
    @user-gt4ki8js1u 29 วันที่ผ่านมา +1

    Jambazi kalala mahara pema peponi😮😂😂😂😂😂

    • @mwanaidimussa
      @mwanaidimussa 29 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂

  • @MuhamedKasim-x8t
    @MuhamedKasim-x8t 29 วันที่ผ่านมา +1

    So sad

  • @OmanOman-vb4uj
    @OmanOman-vb4uj 29 วันที่ผ่านมา +2

    Kuish na waty Vizur raha sana

  • @NovathMwacha
    @NovathMwacha 29 วันที่ผ่านมา +2

    Hakika wema unalipa

  • @enockmaige8936
    @enockmaige8936 27 วันที่ผ่านมา +1

    Hela kitu gani ubarikiwe mwaya mama❤❤

  • @pendoyese4452
    @pendoyese4452 26 วันที่ผ่านมา

    Mungu watunze madacktar wote wa moi hakika nyie ni watu na nusu pendine huduma mpaka utangulize pesa

  • @user-bz7kg2lr3f
    @user-bz7kg2lr3f 29 วันที่ผ่านมา +2

    Ndo yale mambo unaskia amefufuka 😂

  • @user-iw5hu3mc7l
    @user-iw5hu3mc7l 29 วันที่ผ่านมา +1

    Uhai anarudisha mungu wahya nyie

  • @user-oy2gp3nq4j
    @user-oy2gp3nq4j 29 วันที่ผ่านมา +3

    Mkamtoe huko makaburini akombolewe kiroho

  • @barackmoses7003
    @barackmoses7003 29 วันที่ผ่านมา +3

    😢😢wakati mwingine muwe na subira

    • @mymuhnabdallahshaban7763
      @mymuhnabdallahshaban7763 29 วันที่ผ่านมา +2

      Subra Gan na mtu kachomwa moto Watajuaje na wakat wat wake wa karib ndo wamesema nin yy ulitak ndung wawe na subra Gan Sasa 😢😢😢😢😢😢😢😢

    • @Zuu673
      @Zuu673 29 วันที่ผ่านมา

      ​@@mymuhnabdallahshaban7763ndio subra inahitajika vipimo vingefata yale yale ya arusha wanang'ang'ana ni amefufuja kumbe wamezika sio

    • @wilfredywilhelm1426
      @wilfredywilhelm1426 29 วันที่ผ่านมา

      ​@@mymuhnabdallahshaban7763kwani hakuna vina saba

  • @esterpaul5856
    @esterpaul5856 29 วันที่ผ่านมา +1

    Wahaya bwana eti anatulindia nyumba mfyuu

  • @DavalsonMarlony
    @DavalsonMarlony 25 วันที่ผ่านมา

    I ndo inaitwa tuishi na watu vzr

  • @user-xd4lu1xl6c
    @user-xd4lu1xl6c 29 วันที่ผ่านมา

    Kwn ndgu yenu alikuwa jambazi?

  • @josephineokama2200
    @josephineokama2200 28 วันที่ผ่านมา

    muhaya banah eti wamzike kishujaa

  • @vicentmapunda3146
    @vicentmapunda3146 29 วันที่ผ่านมา +2

    Mim nauliza hiv.. hospital hawakupim DNA?

    • @worldrapamako3960
      @worldrapamako3960 27 วันที่ผ่านมา +1

      DNA wanapima bila kuwepo ndugu akili yako ikoje bob mfano wew tukuokote tukupime DNA tutajua unaitwa nani na ni mtoto wa nani wew vp

    • @hisanmwakijungu10
      @hisanmwakijungu10 27 วันที่ผ่านมา

      Kwan akili yake ukoje 😂😂​@@worldrapamako3960

  • @gilbertkalanda9354
    @gilbertkalanda9354 28 วันที่ผ่านมา

    Walahi huyu huenda alionewa

  • @user-nb6yh2bn9y
    @user-nb6yh2bn9y 29 วันที่ผ่านมา +5

    Kafukueni lile jambazi mchape viboko kwanini linazikwa kiheshima halisemi nawakati mtumwema yupo 😢

    • @lusese1
      @lusese1 29 วันที่ผ่านมา +1

      Ha haa haaa!! We jamaa bhana acha mambo yako, ndio keshazikwa kishujaa wanambezi kwa upendo mkubwa misosi na mambo kemkem, hauwezi kubadikisha

    • @gilliardgodfriend5745
      @gilliardgodfriend5745 29 วันที่ผ่านมา +2

      MAWAZO YA MUNGU SIO YAKO KAMWE😅😅 POLE😂

    • @DM.2200
      @DM.2200 29 วันที่ผ่านมา +2

      We jamaa najaribu kufikiria situation ulokua nayo mda unaandika af sipat picha 😂😂😂

    • @khadijabakari2932
      @khadijabakari2932 29 วันที่ผ่านมา +2

      Hahaaa nmecheka kama mazuri ila ww 😂😂😂😂

    • @joyce55727
      @joyce55727 29 วันที่ผ่านมา +1

      😁😁😁

  • @ruqaiamohammed345
    @ruqaiamohammed345 29 วันที่ผ่านมา

    Daah aisee hiyo milion 2 kasoro kidogo kwa wahaya sio pesa nyingi ila ndg hamkuwa makin hyo ndio yale ya arusha walizika mtu maiti sio yao

    • @hamisaally968
      @hamisaally968 29 วันที่ผ่านมา

      Kashasema sio ndugu yao bali wameishi nae tu vizuriii

  • @enoskilongo7685
    @enoskilongo7685 26 วันที่ผ่านมา

    Jambaz mlokole 😂😂😂

  • @user-iw5hu3mc7l
    @user-iw5hu3mc7l 29 วันที่ผ่านมา

    Mulikuz na mihemko tu wahaya si munasifa?