ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Mwenyezi Mungu na awashushie Baraka zake kwa Roho zenu za Dhahabu.
Amen 🙏
Mama kalokolaa weeeeee😂😂😂😂ila wahayaaaa
God is good 🙏🙏
Inaweza hakuwa jambazi uyo ndo mana mungu akamlipa wema wa kuzikwa ivyo a
haswaaa inawezekana Mungu ana sababu
Sure
Kweli kabisa
Jambazi huyi lnawezekana hakuwa jambazi Mungu wetu sote
Wema wake umemponya tenda wema utakufuata kila uendako. Mungu ni mwema
Mubarikiwe na BWANA YESU wakina mama.endeleeni na moyo hiyo hiyo.
Wahaya semeni amen!
Jamani kweli mna roho nzuri kweli mmeonyesha ubinadamu
Mungu awabariki MOI🙏🙏Mungu ampe umri mrefu na Afya njema🙏🥰
Duh inasikitisha sana.Mungu akujalie mama.
Mungu umbariki huyu mama pamoja na familia yake🙏🙏
Nlishangaa muhaya asiseme hela kitu gani😅 halaf asitaje vyanzo vya mapato yake🙌😂
😂😂😂
Huyu mama kafanana naye ase Mungu mwema 🙏
MOI Hospital Mpo vizuri sana.
Kabisa walitajguliza utu kwanza , nimeamini bado zipo hospitali za Umma za kiaminiwa
Ila anaonekana mwema jaman
Mubarikiwe
Hela kitu gani ubarikiwe mwaya mama❤❤
Mmefanya ihsan kwahy sio mbya 😅😅😅
Wamama wanaupendo hadi raha kuish na watu raha
Huyo jambazi aliezikwa kishujaa huenda hakuwa jambazi au ni jambazi aliingia bila kupenda kazi hiyo
mama muhaya kama muhaya
Hongerah MOI
Doctor kakeneno, wahaya oyeeee
Kuish na waty Vizur raha sana
hakika
Mama Asante
Jambazi kalala mahara pema peponi😮😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Mungu watunze madacktar wote wa moi hakika nyie ni watu na nusu pendine huduma mpaka utangulize pesa
Nimelia MACHOZI ya furaha. Hongereni akina mama
pole dear
Huyo jambazi alozikwa hana watu hawamtafuti
inawezekana hata hiyo Maiti hakuwa jambaz labda NI wezi ndo walimuua Mungu akawapa hiyo nafas ya kumzika
Uyo jambawazi hata ndugu zake hawajui aliko wanategemea iko siku atarudi
❤❤❤❤
Sio pw kwa kwel
Jambazi alikuwa tu anawazoom wanavoshoboka
😢😢wakati mwingine muwe na subira
Subra Gan na mtu kachomwa moto Watajuaje na wakat wat wake wa karib ndo wamesema nin yy ulitak ndung wawe na subra Gan Sasa 😢😢😢😢😢😢😢😢
@@mymuhnabdallahshaban7763ndio subra inahitajika vipimo vingefata yale yale ya arusha wanang'ang'ana ni amefufuja kumbe wamezika sio
@@mymuhnabdallahshaban7763kwani hakuna vina saba
Furaha iliyoje.
Mim nauliza hiv.. hospital hawakupim DNA?
DNA wanapima bila kuwepo ndugu akili yako ikoje bob mfano wew tukuokote tukupime DNA tutajua unaitwa nani na ni mtoto wa nani wew vp
Kwan akili yake ukoje 😂😂@@worldrapamako3960
Ndo yale mambo unaskia amefufuka 😂
Hakika wema unalipa
Jambaz mlokole 😂😂😂
I ndo inaitwa tuishi na watu vzr
🥰🥰
Jambazi kazikwa kishujaa hii ndiyo tz na Hospital zake
Hahahaha
Rizki yake
@@fatmamsiliwa8485 Kwakweri?
Mkamtoe huko makaburini akombolewe kiroho
Hahaa
Uhai anarudisha mungu wahya nyie
So sad
Daah aisee hiyo milion 2 kasoro kidogo kwa wahaya sio pesa nyingi ila ndg hamkuwa makin hyo ndio yale ya arusha walizika mtu maiti sio yao
Kashasema sio ndugu yao bali wameishi nae tu vizuriii
Walahi huyu huenda alionewa
muhaya banah eti wamzike kishujaa
Kafukueni lile jambazi mchape viboko kwanini linazikwa kiheshima halisemi nawakati mtumwema yupo 😢
Ha haa haaa!! We jamaa bhana acha mambo yako, ndio keshazikwa kishujaa wanambezi kwa upendo mkubwa misosi na mambo kemkem, hauwezi kubadikisha
MAWAZO YA MUNGU SIO YAKO KAMWE😅😅 POLE😂
We jamaa najaribu kufikiria situation ulokua nayo mda unaandika af sipat picha 😂😂😂
Hahaaa nmecheka kama mazuri ila ww 😂😂😂😂
😁😁😁
Wahaya bwana eti anatulindia nyumba mfyuu
Kwn ndgu yenu alikuwa jambazi?
Mulikuz na mihemko tu wahaya si munasifa?
Acha ujinga
Sio ujinfa ni ukweri
Mwenyezi Mungu na awashushie Baraka zake kwa Roho zenu za Dhahabu.
Amen 🙏
Mama kalokolaa weeeeee😂😂😂😂ila wahayaaaa
God is good 🙏🙏
Inaweza hakuwa jambazi uyo ndo mana mungu akamlipa wema wa kuzikwa ivyo a
haswaaa inawezekana Mungu ana sababu
Sure
Kweli kabisa
Jambazi huyi lnawezekana hakuwa jambazi Mungu wetu sote
Wema wake umemponya tenda wema utakufuata kila uendako. Mungu ni mwema
Mubarikiwe na BWANA YESU wakina mama.endeleeni na moyo hiyo hiyo.
Wahaya semeni amen!
Jamani kweli mna roho nzuri kweli mmeonyesha ubinadamu
Mungu awabariki MOI🙏🙏Mungu ampe umri mrefu na Afya njema🙏🥰
Duh inasikitisha sana.Mungu akujalie mama.
Mungu umbariki huyu mama pamoja na familia yake🙏🙏
Nlishangaa muhaya asiseme hela kitu gani😅 halaf asitaje vyanzo vya mapato yake🙌😂
😂😂😂
Huyu mama kafanana naye ase Mungu mwema 🙏
MOI Hospital Mpo vizuri sana.
Kabisa walitajguliza utu kwanza , nimeamini bado zipo hospitali za Umma za kiaminiwa
Ila anaonekana mwema jaman
Mubarikiwe
Hela kitu gani ubarikiwe mwaya mama❤❤
Mmefanya ihsan kwahy sio mbya 😅😅😅
Wamama wanaupendo hadi raha kuish na watu raha
Huyo jambazi aliezikwa kishujaa huenda hakuwa jambazi au ni jambazi aliingia bila kupenda kazi hiyo
mama muhaya kama muhaya
Hongerah MOI
Doctor kakeneno, wahaya oyeeee
Kuish na waty Vizur raha sana
hakika
Mama Asante
Jambazi kalala mahara pema peponi😮😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Mungu watunze madacktar wote wa moi hakika nyie ni watu na nusu pendine huduma mpaka utangulize pesa
Nimelia MACHOZI ya furaha. Hongereni akina mama
pole dear
Huyo jambazi alozikwa hana watu hawamtafuti
inawezekana hata hiyo Maiti hakuwa jambaz labda NI wezi ndo walimuua Mungu akawapa hiyo nafas ya kumzika
Uyo jambawazi hata ndugu zake hawajui aliko wanategemea iko siku atarudi
❤❤❤❤
Sio pw kwa kwel
Jambazi alikuwa tu anawazoom wanavoshoboka
😢😢wakati mwingine muwe na subira
Subra Gan na mtu kachomwa moto Watajuaje na wakat wat wake wa karib ndo wamesema nin yy ulitak ndung wawe na subra Gan Sasa 😢😢😢😢😢😢😢😢
@@mymuhnabdallahshaban7763ndio subra inahitajika vipimo vingefata yale yale ya arusha wanang'ang'ana ni amefufuja kumbe wamezika sio
@@mymuhnabdallahshaban7763kwani hakuna vina saba
Furaha iliyoje.
Mim nauliza hiv.. hospital hawakupim DNA?
DNA wanapima bila kuwepo ndugu akili yako ikoje bob mfano wew tukuokote tukupime DNA tutajua unaitwa nani na ni mtoto wa nani wew vp
Kwan akili yake ukoje 😂😂@@worldrapamako3960
Ndo yale mambo unaskia amefufuka 😂
😂😂😂
Hakika wema unalipa
Jambaz mlokole 😂😂😂
I ndo inaitwa tuishi na watu vzr
🥰🥰
Jambazi kazikwa kishujaa hii ndiyo tz na Hospital zake
Hahahaha
Rizki yake
@@fatmamsiliwa8485 Kwakweri?
Mkamtoe huko makaburini akombolewe kiroho
Hahaa
Uhai anarudisha mungu wahya nyie
So sad
Daah aisee hiyo milion 2 kasoro kidogo kwa wahaya sio pesa nyingi ila ndg hamkuwa makin hyo ndio yale ya arusha walizika mtu maiti sio yao
Kashasema sio ndugu yao bali wameishi nae tu vizuriii
Walahi huyu huenda alionewa
muhaya banah eti wamzike kishujaa
Kafukueni lile jambazi mchape viboko kwanini linazikwa kiheshima halisemi nawakati mtumwema yupo 😢
Ha haa haaa!! We jamaa bhana acha mambo yako, ndio keshazikwa kishujaa wanambezi kwa upendo mkubwa misosi na mambo kemkem, hauwezi kubadikisha
MAWAZO YA MUNGU SIO YAKO KAMWE😅😅 POLE😂
We jamaa najaribu kufikiria situation ulokua nayo mda unaandika af sipat picha 😂😂😂
Hahaaa nmecheka kama mazuri ila ww 😂😂😂😂
😁😁😁
Wahaya bwana eti anatulindia nyumba mfyuu
Kwn ndgu yenu alikuwa jambazi?
Mulikuz na mihemko tu wahaya si munasifa?
Acha ujinga
Sio ujinfa ni ukweri