Lipo jambo chunguzeni tu mtagundua kitu ilo jambo linausisha familia kunakitu kimefanya watoto kufanya ivo tutasingizia katuni lakini hata baadhi ya familia maisha yao nizaidi yaizo katuni utu akuna unyama uanfanyika mbeleya watoto tu ategemea nini mbona sisi tuliangalia katuni lakini atukufanyaivi ayonimaisha alisi wanayo yashuhudia watoto kwa machoyao tutalaumu. Watoto bure
Huyo mama aliyekataa kuwapa chumba cha kupanga yeye binafsi anajitambua angekuwa mwehu angechukua tu hela na huyo mtoto mwehu akaanza maisha. Hiyo akili ya kupanga nyumba si yake ni ya mwanaume ambaye ni hawala yake na huyo mtoto. polisi wachunguze vizuri habari hiyo inaukakasi kidogo hakuna kitu kama hicho hiyo ni stori tu.
HAPO WALA HAWAHITAJI KUPIGWA AU KUFUNGWA HUYO MTOTO MKAE NAYE CHINI KWA UTULIVU NA UPENDO ATAWAAMBIA KWANINI KAFANYA HIVYO, UNAWEZA KUTA FAMILIA MAMA BABA NI WATATA WANAWANYANYASA WATOTO HAO NDO MAANA KAAMUA KUKIMBIA NA MDOGO WAKE KATUMIA AKILI SANA KULIKO KIJIDHURU.
Jamani nyie Mwanza duu,,,mtoto wa miaka 12 hawezi kufanya haya mabo,,hizi ni foundatiom za ushoga za wahindi wenu mnaowazungusha kila sehemu waharibu nchi,,waharibu elimu na wabake na kurawiti watoto,,i swear watoto wanaharibiwa na serikali inahusika
Ameenda kupanga Ameshanunua cm Ameshanunua vyombo na gadoro huyu mtoto lengo lake ni kuanza maisha yakujitegemea ama ni nini jaman sijampatia jibu angejua maisha yalivyo magumu kuna cm atajutia 😭😭
Watoto wa siku hizi wanaakili sana kweli miaka 12 anawaza kujitegemea!? wakati huku kwetu kuna mtoto ana miaka 30 amepata kazi lkn muoga kwenda kuanza maisha ya peke yake!
Du, huyo kapangwa tu, na Boda boda. Mana si kwa bajeti hiyo ya laki na nusu. Godoro,simu, vyombo. Hapo ningewalipia Kodi tu wajiachie kwa Amani, si kwa kina hicho cha utapeli. 😂
Hongereni ila mbona waliomteka sativa na wengne wengi waliotoa tarifa kipindi cha ziara ya makonda akiwa muenez wa ccm wakasema ndugu zao wametekwa mbona hao watekwaji hawakuoatkani?
Apo kuna jambo akuna laki moja inayoweza kupanga chumba kununua godolo kununua sim na kununua vyombo afu mbona awatutajii iyo pesa aliyo kuwa amenwomba mama yake afu mbona awatuoneshi awo watoto siniwatuhumiwa tunafaa tuwafahamu
Hawa ni Generation Z ndo wale wa miaka ya 2000 kwenda mbele, Generation Y ndo ile nyuma ya miaka ya 2000 mpaka miaka 1990. Nyuma zaidi ya 1990 mpaka 1980 Walikuwa ni Generation X. Hawa Generation Z mambo ni mengi sana. Ndo wale kule kenya wanajiita Gen Z. Hatari sana 😂😂😂😂
@@zebedayokatamaduni9676 🤣🤣🤣🤣MJINI maokoto kwanza, habari za kuanza kuulizia mbona wewe ni mtoto,inahusiana Nini? Kwani kupanga kuna mahali kwenye KATIBA ya Tanzania pamesema ,mpangaji awe ma umri Fulani?!huko ni kuingilia Uhuru wa MTU.🤣🤣🤣🤣
Movie na catoon zinaharibu watoto wetu. Wanajifunza kupitia vituhivyo.
Cartoon tena!?
SUBHANALLAH yarabbi tujaalie kizazi chetu uwahidi wtt wetu
@@ZalkhaRawahi Allah humma Amiin
Mtoto jambazi huyo anayataka maisha kabla ya wakati wake.
Hawa nabinti wanapenda sana wanaume wakikoswa pesa wanatafuta namna yakupata pesa
hahahaha 😂😂😂 awa watoto duu pasuwa kichwa
Ongeeni na mtoto kirafiki Zaid ana mengi zaidi moyon mwake
Mwanajeshi mtarajiwa. Ana ujasiri sana.
😢😢fatilieni uwezi jua wanaishi maisha gani
Lipo jambo chunguzeni tu mtagundua kitu ilo jambo linausisha familia kunakitu kimefanya watoto kufanya ivo tutasingizia katuni lakini hata baadhi ya familia maisha yao nizaidi yaizo katuni utu akuna unyama uanfanyika mbeleya watoto tu ategemea nini mbona sisi tuliangalia katuni lakini atukufanyaivi ayonimaisha alisi wanayo yashuhudia watoto kwa machoyao tutalaumu. Watoto bure
Athari za movie kwa watoto wasiojielewa
Tatizo mnawadekeza amuwachapi mnalea viburi, au watoto kuna kitu wanateseka sasa mtoto anatafuta namna ya kujikomboa yeye na mdogo wake
Mama akiwa bahili ndio inatakiwa ivyo😂😂
😮
Hilo nalo neno 😢
Dah yaan wewe😅😅
Kweli mama ukizijua pesa sana na kuwanyima wanao , ujue haya lazima yatokeee
Kanunua mwiko na sufuria kikombe 😂😂😂😂jmn wanetu mtatuua
😂😂😂😂anajua vitu muhimu vya kuanzia maisha😂
Hapo mwishoni kamanda umeongea vizuri sana wazazi tumekuwa chanzo kwa namna moja ama nyingine
😂😂watoto wa 2000
Huwezi amini tena huyu ni wa 2012
Utoto una mengi. Mungu awasaidie warejee kwenye akili zao. Ni utoto tu haina haja ya kushangaa sana. Maombi Mungu Afanye upya kumbu zao
Utoto wa miaka hii umekuwa tofauti maana Sisi wengine hatukuwahi kufanya hivyo
HIYO AKILI WANAIPATA WAPI.NA UMRI MDOGO JAMANI WAZAZI WAPI TUNAKOSEA.HUO SASA C UTT BALI NI UJAMBAZI
@@user-hd5bg8qw1bMovies
😂nacheka kama mazuri looh
😭😭😭 mwenyezi mungu awalinde watoto wetu
Daah dogo kashajipanga na vyombo kashanunua mzazi nae ajitathimini..
Huyo mama aliyekataa kuwapa chumba cha kupanga yeye binafsi anajitambua angekuwa mwehu angechukua tu hela na huyo mtoto mwehu akaanza maisha. Hiyo akili ya kupanga nyumba si yake ni ya mwanaume ambaye ni hawala yake na huyo mtoto. polisi wachunguze vizuri habari hiyo inaukakasi kidogo hakuna kitu kama hicho hiyo ni stori tu.
Subhanallah mtihani mkubwa huu maadili yameporomoka sana
Mola atuongeze sisi na vizazi vyetu
Mtoto umleavyo ndivyo akuwavyo.
Nb!usilee mtoto kwa kumprnda sana
Kazi kweli kweli
Alhuma Amiin
Huyo dada anampenda sana mdogo wake aliamua kuondokane😂😂😂 Dada zetu mungu awalinde
Sio dada bali ni watoto,
Hahaha tena ni wapare 🤣🤣
Mungu awalinde watoto wetu na vizazi vyao
@@user-pk7yg1cq1g Amiin
Allahuma Amin🤲
HAPO WALA HAWAHITAJI KUPIGWA AU KUFUNGWA HUYO MTOTO MKAE NAYE CHINI KWA UTULIVU NA UPENDO ATAWAAMBIA KWANINI KAFANYA HIVYO, UNAWEZA KUTA FAMILIA MAMA BABA NI WATATA WANAWANYANYASA WATOTO HAO NDO MAANA KAAMUA KUKIMBIA NA MDOGO WAKE KATUMIA AKILI SANA KULIKO KIJIDHURU.
Mmmhhh aise hii ni hatari sana😮
Chunguzen vizuri kuna shida kwny familia
Ila mwanza, mwaka jana tena mwanachuo alijiteka
Jamani nyie Mwanza duu,,,mtoto wa miaka 12 hawezi kufanya haya mabo,,hizi ni foundatiom za ushoga za wahindi wenu mnaowazungusha kila sehemu waharibu nchi,,waharibu elimu na wabake na kurawiti watoto,,i swear watoto wanaharibiwa na serikali inahusika
uyo mutoto mungu asimame2 ata ungekaa nae akuna namuna sasa upo utafanyaje
Mzazi usi cheleweshe huyu Binti boarding haraka
HAYO WAMEYAPATA KWENYE MOVIE
😂😂😂Ok powa
Huyo mtoa nguo kwenye Mfuko ana KIHEREHERE kama mbwa
Ni makuzi tu ndio yanamsumbua,umri waheka heka..
Watoto wa kizazi hiki jamani mtatutoa roho Wazazi wenu
Katuni ndo tatizo watoto wanacheki vitu vibaya sana 😂😂
Ameenda kupanga
Ameshanunua cm
Ameshanunua vyombo na gadoro huyu mtoto lengo lake ni kuanza maisha yakujitegemea ama ni nini jaman sijampatia jibu angejua maisha yalivyo magumu kuna cm atajutia 😭😭
Ana nyota ya utajili
Dah niatari
Kuna wasenge wangesema ni serekali au watu wasojulikana bora imejulikana mapema
Kwakeli
Miaka 12.waenda kupanga chumba duh...Atari sana
Sisi wapare tunashida gani uwiiiiii.
Akili kubwa sana uyo mtoto
Kizazi hiki kitatutoa roho hamani.khaaa!!! Hao watakuwa wanaangali movie za kivita saana haki!!
Mi Naisi Wazazi Wamepitiliza Ubaili Mpaka Watoto Wanaisi Awana Wazazi Kosa Apo Ubaili2
Duh waguduzi wanaongezeka huku tuendako tutakuwa na jeshi la Siri linaloishu uraiani hao ni wasichana wangekuwa wanaume Tanzania imeisha
Watoto wa siku hizi wanaakili sana kweli miaka 12 anawaza kujitegemea!? wakati huku kwetu kuna mtoto ana miaka 30 amepata kazi lkn muoga kwenda kuanza maisha ya peke yake!
😂😂😂😂mtoto au mke wa mtu
Mmmh inamana hiyo laki ndoinunue godoro vyombo na ilipe kodi na chakula mmmh
😂😂😂😂😂😂😂kashaparamia mabwana mapemaaaaa
Huyu ni kuchapa vibooko
Huyo ana D mbili moja ya kibabe
😁 ila, kwa nn (io ni mission impossible)
Du, huyo kapangwa tu, na Boda boda. Mana si kwa bajeti hiyo ya laki na nusu. Godoro,simu, vyombo. Hapo ningewalipia Kodi tu wajiachie kwa Amani, si kwa kina hicho cha utapeli. 😂
Kuna tatizo mahali sio bure kabisaaa tatizo hili limeanzia mbali huyu mtoto angekua mtukutu asingeondoka na mdogo wake angeondoka mwenyewe tu
Na Mimi nimewaza kama wewe kuna tatizo Kwa mzazi wakihojiwa wataeleza tatizo kuna kitu wanakwepa tusiwaone wajinga hata kidogo
Kweli kabisa lipo jambo tena kubwa
Malezi yapoje huenda mama kuna vitu anavyo vifanya na kuona afadhali amchukue mdogo wake wakaishi mbali
Watoto wengine ni vichomi
Maji yanafata mkondo,atakua karisi iyo tabia either kwa mama,
Maadil yamekwisha jmn dah
🤸
Itakua mama huyo mbahili sana😢
Hongereni ila mbona waliomteka sativa na wengne wengi waliotoa tarifa kipindi cha ziara ya makonda akiwa muenez wa ccm wakasema ndugu zao wametekwa mbona hao watekwaji hawakuoatkani?
Watoto wa Mwanza ni matapeli sana nmewahi kupigwa laki 150,000 hvhv aseeh pale Igoma sitasahau mtu na Dada yake wakaniliza
Ila movie😂😂😂😂
Hiyo mtoto ni malaya
😢😢😮
Apo kuna jambo akuna laki moja inayoweza kupanga chumba kununua godolo kununua sim na kununua vyombo afu mbona awatutajii iyo pesa aliyo kuwa amenwomba mama yake afu mbona awatuoneshi awo watoto siniwatuhumiwa tunafaa tuwafahamu
Uongo huu, acheni Uongo.. upuuzi mtupu....
KUMBE SIO KILA ANAE TEKWA N POLIS WAMEHUSIKA INATAKIWA TUPUNGUZE KUWALAUM POLIS😢😢😢
Unazani kwanini walaumiwe polisi
@@michaelthobias9967 ukilaum polisi we utakuwa ni Gen Zoro😮😮😮
Upo sawa kabisa kila siku lawama kwa polisi kumbe watu wanajiteka wenyewe
Na aliyewapangish pia washikiliw maan watot wadog wanapewaj chumb na kula walikuw wanakul wap hii dunia sijuw
Umeelewa lkn
MAKE HAPO ISINGEJULIKANA MUHUSIKA MNGESEMA N POLIS
Ukiona una mtoto ana tabia mfano wa hiyo basi jua huwenda umewakosa watoto wenye akili
Dunia simama nishuke kah
Binti mtukutu😅😅😅😅
😳😳
Mpare😂
Huyu ni zaidi ya jasusi
Naaliyewapangishia hiyo nyumba je?
Sasa huyo sianataka kuolewa ndiomana anataka kuish kivyake
😢😢😢😢😢
Watoto hawa 😢
Huyo mtoto aingie jeshini.awe Askari au mwanajeshi.tena ni bint.mtoto nux huyo.
hapana asije akapindua selikali bulee kwani dalili ya mvua nimawingu ubaya tumeuona mapema ☹️☹️☹️
😂😂kabisa kabisa @@user-nb6yh2bn9y
mwachieni mtoto wa watu huyo bado mtoto
Duuuh
Makubwa dah hatari
Ivi ni komed au ni ni ni
Hawa ni Generation Z ndo wale wa miaka ya 2000 kwenda mbele, Generation Y ndo ile nyuma ya miaka ya 2000 mpaka miaka 1990. Nyuma zaidi ya 1990 mpaka 1980 Walikuwa ni Generation X. Hawa Generation Z mambo ni mengi sana. Ndo wale kule kenya wanajiita Gen Z. Hatari sana 😂😂😂😂
😂😅😂😂😂😂
Akuna mtoto hapo ni hasala tu
Hii ndo Gen ZORo ya🇹🇿
😂😂😂
😂😂😂😂
Mama atakuwa ma shida
Kbs shida ivyo😢😢
Maisha ya Tanzania hayo
Maisha kwani maisha magumu yameanza leo mbona lawama za kijinga sana
Duh watoto wamepata wapi ujasiri wa kufanya yote haya??
Ni hayahaya masizon au tamthilia, lkn point kubwa sana ameiongea kamanda kuanzia dk 5:09
Huyo mtoto ana akili sana yani amepangisha chumba amenunua vyombo na mdogo wake uenda mama anawatesa
Huyu dogo aende Kenya
We matako umeona ya Kenya jambo zuri sana basi nenda wewe msenge sana
😂😂😂
Tumefka mbal
😂😂😂😂
Vp mtoto miaka 12 anapangishwa chumba jamani ?
Hata AWE miaka 8,mimi anapanga tu,kikubwa maokoto tu mimi,mengine sina mpango nayo😂😂😂
Yani nimtihani sana
@@israelkisaila8401😂😂😂😂acha utani badi😅
@@zebedayokatamaduni9676 🤣🤣🤣🤣MJINI maokoto kwanza, habari za kuanza kuulizia mbona wewe ni mtoto,inahusiana Nini? Kwani kupanga kuna mahali kwenye KATIBA ya Tanzania pamesema ,mpangaji awe ma umri Fulani?!huko ni kuingilia Uhuru wa MTU.🤣🤣🤣🤣
@@israelkisaila8401sawa Gen Z
Mimi nikisem hich kizaz kuazia 2000 kam wamelaaniw uwa anielew haya sasa daah eti kajitek duuh
😡😡😡😡👎👎👎👎👎
@@user-nb6yh2bn9yHahaha naona ume comment kama kijana wa 2000
ᴴⁱⁱ ᵈᵘⁿⁱᵃ ⁱᵐᵉⁱˢʰᵃ
Movie na catoon zinaharibu watoto wetu. Wanajifunza kupitia vituhivyo.