Mheshimiwa, sababu kubwa ya kutokuwepo maji kwenye matanki ni hii. Wana Magari yao ya kusambaza maji mitaani, na hasa maeneo ya King'azi B wana soko kubwa la maji. Mabomba yapo, lakini yanatoka kwa mwezi mara 2 au hayatoki kabisa. Asante kwa ufatiliaji, mkiwa mnafanya hivi, wananchi tutapata raha kwenye Nchi yetu. Mungu akubariki Mh.
Wafanyakazi wa serikali asilimia 99% ni wapumbavu haswa ndiyo maana wanalialia kuongezewa mishahara for nothing ni kama walimu hakuna wanacho fanya ila wanataka mishahara mikubwa.
Hawa mameneja wa Mamlaka za maji mtatuulia Waziri wetu Aweso mnamfanya aingie hadi kwenye matank kwa uzembe. Sasa dawa yenu inachemka sheria kali ziletwe ikibidi kufungwa maisha na kufilisiwa huu ni uhujumu uchumi😢😢😢😢😢
Waziri Aweso na wewe ujitathmini, unaongeaje na huyo mzee anajitafuna-tafuna na humuwashi kibao. Ujue anapokudharau wewe ameidharau jamhuri ati! Ungemdhalilisha na wewe, hongera kwa uvumilivu,. Na wewe mzee acha kujitafuna, bosi mzima
Mhe.WAZIRI WA MAJI!!. Utamuonea bure huyu MTAFUNA Big G. PICHA KUBWA NDANI YA UKUMBI INAJIELEZA● Hii ni HUJUMA DHIDI YAKO. Jaribu kuzipekua Sura za WASHIRIKI WOTE AND NINASEMA WOTE WA HICHO KIKAO; It's A Very Open Msg. HIZI NI SIASA ZA KIJINGA. Kuzuia hatua za Maendeleo Yetu! ●KAMA JAMII; Let's Be Serious😎
Mnabembeleza sana watu wazembe kama hawa fukuza wote kazi patia wengine kazi achana na hao wazembe;waziri wangu take action ya nguvu watu wengine wajifunze kwamba hatuigizi.
Viongozi Kama hao wapo wengi Sana ,, hata Hulu IRINGA wapo wao kazi yao ni kubambikizia watu bili za maji ,ndio wanachoweza TENA tunaomba mtuletee mita za kununua maji kabla ya matumizi hapo mtakuwa mmetusaidia 😮
Waziri wa maji tembelea mwanza Nako kuna ujuma kubwa kwenye chanzo kipya Cha maji akitoi maji kama tulivyotangaziwa matatizo ya maji yamekuwa makubwa kuliko ilivyokuwa kabla ya ujenzi wachanzo hicho maeneo ya buhongwa ziwaunaliona lakini maji ayapatikani
Mbagala utakuja lin mhe,make tunateseka mpk basi mwezi mzm maji hayatoki na bili zinasomwa tukiuliza sababu ya maji kutotoka tunaambiwa umeme wakati umeme upo!
Hili ndio tatizo la ajira za kujuana, mtoto wa fulani,kwa akili za kawaida ,huwezi kufanya ujinga wa namna hii,waziri hao wote timua,wanakuharibia kazi,na wanawatesa Watanzania sana,
Kama.sisi wananchi tuna uwezo aa kujaza maji kwenye. Mantenki yetu majumbani nyie mnashindwaje kujaza hayo ni makusudi na nihujuma tunateseka bila sababu
Waziri Aweso watu wana kufanyia Hujuma Kwa Makusudi Kwanza huyo Mfanyakazi anaonekana Mlevi hivi hivi fanya kazi Yako Mkuu Usimwonee huruma mtu fukuza tu Vijana wengi wakoitaani hawana kazi na Wana Elimu ya kutosha tu
NJOO ARUSHA MKUU OJIONEE MAAJABU YA WIZARA YAKO IDARA MAJI WAMEJIGEUZA MUNGU MTU MAJI NI YA KUBEMBELEZA WANATUFUNGULIA MUDA WANAO TAKA WAO NA WAKI YA FUNGULIA NI NYAKATI ZA USIKU SAA 7 WANAYAKATA SAA 11 ALFAJIRI
Miezi mitatu maji hakuna City centre bill inasoma 172,500/= na nimelipa kitu kinaitwa hewa yaani kila ukijaribu kuwasha pump na line ikiwa haina maji hewa ndiyo inahesabu maji pale sasa bora kuwa na meter kama za luku pata unit kutokana na pesa yako siyo kubambikwa bill zisizokuwa na mantiki bei ya maji kuliko dhahabu duuh na wakati hakuna ,
Hao mawaziri mbona wao hawasemi. Km haya magari tunayotumia ni ya gharama sana bei yake ni ya juu mno ili kupunguza gharama tuwaonee huruma wananchi tununueni magari ya bei ya kawaida .hawa mawaziri wao ndio watu wa mwanzo kupigwa na chini
HATUWEXI KUENDELEA TUKIFUGA UZEMBE. PAMOJA NA KUWA KIONGOZI , LAZIMA UFUATILIAJI UWEPO KILA SIKU. KUHAKIKISHA YALE ULIYAAGIZA YAMEFANYWA. NA AKISIMAMISHWA HUYO , NA MSHAHARA APEWE NUSU MSHAHARA..
Hiyo ni hujuma asilimia 💯 sio huyo tuu yupo na wenzake halafu matusi yote anatukanwa mama hivi nyie mawaziri hatuwaelewi kabisa mnabembrmelezana mno mama sie ndio wapiga kura wako na ndio tunaolipa kodi na hao watendaji wote tunawalipa inakuaje wanatuchezewa kiasi hiki mda huhatumbuwa mawaziri hebu waguse wanajisahau mno
@@collinndabi1914 kupiga. Unapiga ira unapigaje hapo angekua kakuria uswahilini angekua namna ya kupiga we SI unaona kama kina msukuma kina Bashe wana piga huwezi shtuka
Mungu atusaidie sana tuna chukia nchi yetu kumbe ni viongozi walio pewa zamana ndio mazombi wanataka tumchukie mama,mtu analizwa maswali anafumba macho huyo jeuli,kibuli
Maji ni uhai,viongozi wetu hamjui? Jamani tuacheni utani hivi mji wa Dar es salaam kwa umati ule wa watu ni wa kukosekana maji jamani? Acheni utani jamani na maisha!! Hivi maji hadi yamsubiri waziri atoke Dodoma, viongozi wengine mpo wapi? Acheni utani bwana!!
Huyu wa Bodi naye anaongea upuuzi eti anasubiri maelekezo ya waziri. Kwani bodi walikuwa wapi hata wasijue matatizo haya? Amekaa tu anapaka nywele black bila aibu. Waziri amekosea kutokumpasha huyu mtu. Bodi iwajibike. Kanchi ka ajabu kweli .
We jamaa bhana!! Umenifanya nimepaliwa kwa kucheka ghafla bila kutegemea!!!hivi ni kibogoyo au anamambo ya jadi kama unavyosema maana sio kwa kunung'unya huko!! Loh
makampuni ya serekali watu wanakula pesa tu kazi hawafanyi kama mm nimeomba internet ya ttcl jirani yangu anatumia nimejaza formu nikaambiwa nisubiri mpaka ifike zamu yangu ikapita mwezi nikawapigia wakaniambia ikifika zamu yako utakuja kufungiwa hadi sasa nnavyokuambia ishapita miezi nane juzi nimepiga simu tena wameniambia ombi langu lipo kwenye system niendelee kusubiri
Waziri Wangu Ndiyo ujue watendaji wako niwajeuri sanaaa hata ukiwapigia simu ndivyo wanajibu Kwa jeuri Tusaidie Watakuwa wameanza Biashara ya uuzaji wa magari
Mheshimiwa, sababu kubwa ya kutokuwepo maji kwenye matanki ni hii.
Wana Magari yao ya kusambaza maji mitaani, na hasa maeneo ya King'azi B wana soko kubwa la maji.
Mabomba yapo, lakini yanatoka kwa mwezi mara 2 au hayatoki kabisa.
Asante kwa ufatiliaji, mkiwa mnafanya hivi, wananchi tutapata raha kwenye Nchi yetu.
Mungu akubariki Mh.
Wafanyakazi wa serikali asilimia 99% ni wapumbavu haswa ndiyo maana wanalialia kuongezewa mishahara for nothing ni kama walimu hakuna wanacho fanya ila wanataka mishahara mikubwa.
Ndugu!,
Mbona UMEAMUA KUYASEMA MANENO YAKIWA MABICHI KABISA!? Hujayakaanga, hukuyachemsha &hata kuyaanika juani pia hukutaka!?
HII NI
"NGURUWE Aitwe NGURUWE●
Wapuuzi sana. Waachie ngazi
Bro kwani sisi walimu kwenye maji tunaingiajee😢😢😂😢😂😢
Kama una akili huwezi kuasema walimu hawana wanacho kifanya siwez kuwadharau kabisa hao watu ni kama wazee kwetu
@@MohamedAhmada-ie7ke tatizo lako ni kukosa akili....tafuta akili utajua naongea nini ?
Huyu bwana kuna kitu kinampa jeuri maana hiyo confidence sio ya kitoto😢
Hana confidence ana afya ya akili na anatafuna dawa
Hy mzee white mbona ka kalewa au👀😳
Tena alivyokua Jeuri anatafuna huku anaongea na Mkuu wake...Hyu ndo Kibaka sugu w Kodi za wananchi.
Hatafuni. Ana tatizo la meno 😅
Hawa mameneja wa Mamlaka za maji mtatuulia Waziri wetu Aweso mnamfanya aingie hadi kwenye matank kwa uzembe. Sasa dawa yenu inachemka sheria kali ziletwe ikibidi kufungwa maisha na kufilisiwa huu ni uhujumu uchumi😢😢😢😢😢
Waziri Aweso na wewe ujitathmini, unaongeaje na huyo mzee anajitafuna-tafuna na humuwashi kibao. Ujue anapokudharau wewe ameidharau jamhuri ati! Ungemdhalilisha na wewe, hongera kwa uvumilivu,. Na wewe mzee acha kujitafuna, bosi mzima
Mhe.WAZIRI WA MAJI!!.
Utamuonea bure huyu MTAFUNA Big G.
PICHA KUBWA NDANI YA UKUMBI INAJIELEZA●
Hii ni HUJUMA DHIDI YAKO.
Jaribu kuzipekua Sura za WASHIRIKI WOTE AND NINASEMA WOTE WA HICHO KIKAO; It's A Very Open Msg.
HIZI NI SIASA ZA KIJINGA.
Kuzuia hatua za Maendeleo Yetu! ●KAMA JAMII;
Let's Be Serious😎
😂😂. Labda anatafuna miti shamba,sio big g
Nakumbuka mbali sana, Kaka jipe moyo na kubali hii ndio dunia. Pole
Tumbua wote hao wanafanya kaz kwa mazoea. hawana hata wasiwasi maana mishahara wanalipwa
Kabisa Kama serekal inafanya yte haya alafu hawa wajingawajinga hajui jinsi tuna yo pata shida ya maji tumbua Muheshimiwa 😢
Hatutakii mema huyo! Anatesa Jamii! Maji ni Uhai! Anahujumu uchumi.
Watu wanateseka kununua maji ndoo hamsini kwa elfu ishirini huku njia panda ya makabe, ni mateso wao wanakula mshahara na majumbani mwao maji yapo
Njia panda ya makabe Wana magari yanauza maji boza elfu ishirini kwa maisha gani ni manyanyaso
Pwani na Dsm kuna upotevu wa Maji kwa kiasi kikubwa na watumishi wa Idara ya Maji wanaona ni hatari sana.
Mnabembeleza sana watu wazembe kama hawa fukuza wote kazi patia wengine kazi achana na hao wazembe;waziri wangu take action ya nguvu watu wengine wajifunze kwamba hatuigizi.
Viongozi Kama hao wapo wengi Sana ,, hata Hulu IRINGA wapo wao kazi yao ni kubambikizia watu bili za maji ,ndio wanachoweza TENA tunaomba mtuletee mita za kununua maji kabla ya matumizi hapo mtakuwa mmetusaidia 😮
Waziri wa maji tembelea mwanza Nako kuna ujuma kubwa kwenye chanzo kipya Cha maji akitoi maji kama tulivyotangaziwa matatizo ya maji yamekuwa makubwa kuliko ilivyokuwa kabla ya ujenzi wachanzo hicho maeneo ya buhongwa ziwaunaliona lakini maji ayapatikani
Yani unatafuna kabisa huwazi😂😂😂
Kweli ni dharau kubwa sana, watu wanahangaika maji mzembe mmoja anazingua. Lengo serikali ya Mh. Samiah ionekane hafanyi kazi. Safi sana Mh Waziri
Anaficha harufu ya pombe au dawa za kuzindika asufukuzwe.
🤣@@verdianabanabi2205
Hahahaha
Aiseee daaaah! Yaaani hayo majamaa niyakufukuza kazi ili yaje ulaiyani uku yaone joto la jiwe tunalolipata wananchi sio poa kabisa
Boss njoo na Mwanza Umeme upo ziwa tunalo lakini maji ya mgao🙏
Awamu ya majizi tupu. Hongereni
Kwa Mtazamo wako haki yako
Hiyo ni hujuma waziwazi apo kuna watu wanakutengenezea zengwe ili utumbuliwe Mh Waziri
Kweli kabisa na maada ye waziri anaondolewa wanabakia waharibifu palepale na kuendelea uzembe
Adabu hana fukuza kazi sio kusimamisha unaongea nae yete anatafuna big G
Anaonesha zarau kwa wazir cjui ninani anayempa kiburi cha kujiamin mbwa huyu fukuza kabisa
Ukiskia kazi na mazoea ndo haya mazoea mengiii aisee kummke tia ndani woteee
Mbagala utakuja lin mhe,make tunateseka mpk basi mwezi mzm maji hayatoki na bili zinasomwa tukiuliza sababu ya maji kutotoka tunaambiwa umeme wakati umeme upo!
Hili ndio tatizo la ajira za kujuana, mtoto wa fulani,kwa akili za kawaida ,huwezi kufanya ujinga wa namna hii,waziri hao wote timua,wanakuharibia kazi,na wanawatesa Watanzania sana,
Huyo
atakuwa anatafuna Kizizi siyo Big G. Waziri na hapa Dodoma shida ipo unalipa pesa lkn hawafiki kuunganisha maji. Sijui tatizo ni nini?
Anatafuna kizizi ndio maana ana confidence zakutosha
Ongera waziri ,bado waziri wa nishati na madini atuonyeshe cheche zake, umeme garama sana atue tamko atueleweshe kwanini garama za umeme zimekuwa juu
Yaani unaongea na kiongozi wako huku ukitafuna BG 🤔🤔
Mheshimiwa Waziri wa Maji Njoo Kigoma Ujiji
Ni siku zaidi ya sita atupati maji ubungo kibangu chini sasa tmeambiwa matenk yamejaa maji iweje ayatoki
Jaman hao wafanyakaz wanaoesabu mita ni wiz mtupu tunajaziwa bil ambayo hatujatumiwa mita yangu haifanyi kaz ila wananijazia init
Mama Samia meongezeee Aweso mingine
Na sis Nyashishi hatuna maji tokea Uhuru
Shabaan Mkwanye umeyakanyaga leo
Kama.sisi wananchi tuna uwezo aa kujaza maji kwenye. Mantenki yetu majumbani nyie mnashindwaje kujaza hayo ni makusudi na nihujuma tunateseka bila sababu
Wanamagari yao wanawauzia maji wananchi majizi hao
Mbona hapa mpiji magohe hakuna maji
Njoo na mwanza haraka sana mkuuu same kunamichezo mibaya hakuna maji hapa mjini mgao mkali sana hapa Nyegezi
Acha uchochezi
Mzee White kalewa hahaha ndio maana kaamua kutafuta bigG kuua harufu
Alafu ako ka baba keupe kanadharau sana,kanatafuta kitu sijui dawa
Waziri Aweso watu wana kufanyia Hujuma Kwa Makusudi
Kwanza huyo Mfanyakazi anaonekana Mlevi hivi hivi fanya kazi Yako Mkuu Usimwonee huruma mtu fukuza tu Vijana wengi wakoitaani hawana kazi na Wana Elimu ya kutosha tu
😂😂😂😂😂
Huyo anadawa mdomoni
NJOO ARUSHA MKUU OJIONEE MAAJABU YA WIZARA YAKO IDARA MAJI WAMEJIGEUZA MUNGU MTU MAJI NI YA KUBEMBELEZA WANATUFUNGULIA MUDA WANAO TAKA WAO NA WAKI YA FUNGULIA NI NYAKATI ZA USIKU SAA 7 WANAYAKATA SAA 11 ALFAJIRI
Miezi mitatu maji hakuna City centre bill inasoma 172,500/= na nimelipa kitu kinaitwa hewa yaani kila ukijaribu kuwasha pump na line ikiwa haina maji hewa ndiyo inahesabu maji pale sasa bora kuwa na meter kama za luku pata unit kutokana na pesa yako siyo kubambikwa bill zisizokuwa na mantiki bei ya maji kuliko dhahabu duuh na wakati hakuna ,
Njoo kigoma Ujiji
Simamisha wote chukua wahitimu wapya
Hii nchi inarudishwa nyuma na watendaji wa serikali, mambo ya ovyoo yanayofanyika..alafu hawajali wanamapuuzaa balaa!
Aweso baba uje na iringa tunakufa huku
Hao mawaziri mbona wao hawasemi. Km haya magari tunayotumia ni ya gharama sana bei yake ni ya juu mno ili kupunguza gharama tuwaonee huruma wananchi tununueni magari ya bei ya kawaida .hawa mawaziri wao ndio watu wa mwanzo kupigwa na chini
Safiii sana
Mweshimiwa njoo mwanza nyegez hamna maj miez 3 njoo tusaidiye
Na buhongwa pia
UJE HAPA KIBAHA MILE MOJA NIMELIPA KUUNGANISHIWA MAJI NOW MWEZI WA PILI SIJAWEKEWA MAJI SHIDA NINI MUESHIMIWA
Njoo iringa aweso
HATUWEXI KUENDELEA TUKIFUGA UZEMBE. PAMOJA NA KUWA KIONGOZI , LAZIMA UFUATILIAJI UWEPO KILA SIKU. KUHAKIKISHA YALE ULIYAAGIZA YAMEFANYWA. NA AKISIMAMISHWA HUYO , NA MSHAHARA APEWE NUSU MSHAHARA..
WASIKUMWAGIE KITUMBUWA MCHANGA HAO MUHESHIMIWA UWESO. WATIMUWE . NYERERE ALISEMA USIONE HAYA KUMWONEA HAYA MLEVI. NA UKITAKA KUMWUWA NYANI , USIMWANGALIE USINI.
Nenda machine ya maji mtoni tandika ukaone hali ya maji mbaya .ulipomtumbua meneja wa Dawasa maji yakatoka kutwa ,na sasa yameondoka Tena
HATA Waziri naye amechelewa kufanya inspection kwa nn aje vry late watu walishateseka
Waziri nae bomu tu, alikua wapi Leo ndio anabeba makamera kukuonyesha anafanya kazi😂😂😂
Alikuwa amelala kidogo @@darajalakidatukilomgi2362
Maji yenyewe ukitaka kuunganishiwa nimelipa Nina mwezi mitatu bado maji sijaunganishiwa hani hawa wanakera sio sir
Maji yanatoka machafu tope tupu shoda ipo wapi jamani na bill tunalipa tumefikia huku kweli Waziri Aweso?
Goba tegata A huu ni mwezi wa pili hatuna maji hata
Anatafuna kitu au ndivyo alivyo?
Hiyo ni hujuma asilimia 💯 sio huyo tuu yupo na wenzake halafu matusi yote anatukanwa mama hivi nyie mawaziri hatuwaelewi kabisa mnabembrmelezana mno mama sie ndio wapiga kura wako na ndio tunaolipa kodi na hao watendaji wote tunawalipa inakuaje wanatuchezewa kiasi hiki mda huhatumbuwa mawaziri hebu waguse wanajisahau mno
Wasomi wengi ni wezi na wapigaji ira hili swala Kuna wakubwa wapo nyumba yake picha inajionyesha kua wewe ni mtu mdogo sana kwake
Hata wewe ungewekwa ungekuwa mwizi tu
@@collinndabi1914 kupiga. Unapiga ira unapigaje hapo angekua kakuria uswahilini angekua namna ya kupiga we SI unaona kama kina msukuma kina Bashe wana piga huwezi shtuka
Mungu atusaidie sana tuna chukia nchi yetu kumbe ni viongozi walio pewa zamana ndio mazombi wanataka tumchukie mama,mtu analizwa maswali anafumba macho huyo jeuli,kibuli
Hata huyu Wazori naye hayuko serious. Inakuwaje Leo siku ni siku ya Tano sasa maji yanatope.
Maji ni uhai,viongozi wetu hamjui? Jamani tuacheni utani hivi mji wa Dar es salaam kwa umati ule wa watu ni wa kukosekana maji jamani? Acheni utani jamani na maisha!! Hivi maji hadi yamsubiri waziri atoke Dodoma, viongozi wengine mpo wapi? Acheni utani bwana!!
fukuza wapuuzi kama ao wako wengi wako wako tu
Aweso anaonekana mrevi tu
Sasa hivi maji tunayopokea ni machafu yana rangi uzurungi inaonyesha hayawekwi madawa ya kusafisha.
Ndiyoo maana makongo maji shidaaaa dahhh sukumia ndani banaa unachelewaaa
Very Sad..Tena kwa Dsm? Hii ni hujuma kabisa.
Huyo jamaa anaakili sawa kweli mbona anaulizwa anatafuna bublish
Njoo Morogoro Morowasaa .maji bigwa tunapata mara moja Kwa Wiki
Aweso huku mbezi makabe hakuna maji wakiamua ata wiki 3 awatoi maji tunanunua maji unit 1sh 15000
Sijui hii biashara ni yao?
Dah,ndo mana wanatubambikia maden
Huyu wa Bodi naye anaongea upuuzi eti anasubiri maelekezo ya waziri. Kwani bodi walikuwa wapi hata wasijue matatizo haya? Amekaa tu anapaka nywele black bila aibu. Waziri amekosea kutokumpasha huyu mtu. Bodi iwajibike.
Kanchi ka ajabu kweli .
Waziri nae anachekesha leo ndio ubebe makamera kujifanya mkali😂😂😂😂
Ulikua wapi siku zote mpaka madudu yamefikia hapo? Hujui uongozi wewe
Bila makamera tungeonaje Aya madudu
@@sultanmsolon8428 hatujitani kiki simamia kazi, uko wapi mpaka madudu tuje kuyaona, usimamizi mbovu Wananchi tunahitaji maji makamera waachie waigizaji
Wazir aweso anapigya kazi atakimasihara kabisa kwenywe swala lamaji
Ila hii nchii hiii😢😢
PIA HUYU MSHIRIKINA ANATAFUNA MTI FULANI ANADHARAU
We jamaa bhana!! Umenifanya nimepaliwa kwa kucheka ghafla bila kutegemea!!!hivi ni kibogoyo au anamambo ya jadi kama unavyosema maana sio kwa kunung'unya huko!! Loh
Njoo na mbeya
makampuni ya serekali watu wanakula pesa tu kazi hawafanyi kama mm nimeomba internet ya ttcl jirani yangu anatumia nimejaza formu nikaambiwa nisubiri mpaka ifike zamu yangu ikapita mwezi nikawapigia wakaniambia ikifika zamu yako utakuja kufungiwa hadi sasa nnavyokuambia ishapita miezi nane juzi nimepiga simu tena wameniambia ombi langu lipo kwenye system niendelee kusubiri
Waziri wa maji mugu akupemaisha marefu kazi yako inaonekana
Unaambiwa vifaa hakuna lakini ukitoa rushwa vinapatikana mimi nimeambiwa sijasoma kiuba nilikuwa sijaelewa kumbe hadi utoe rushwa vifaa vinapatikana
Dah, Shaban hauko serious
Muwe mnavaa japo kamba mkiingia huko chini ili iwe rahisi kuvutwaa kukiwa na matatizo.
DAWASA tangu LUHEMEJA AONDOKE IMEKUFA
huyu waziri ndo huwaga namuelewa kweny maamuzi lakn wengne ni nyumbu tu
JILEVI HILO HULIONI DOMO LAKE ?. HANA MAANA HUYO NI MUUWAJI. MTOWENI HAPO , WAWEKENI WATU WENYE AKILI ZAO HAPO WAFANYE KAZI. WATIMUWE HAO.
Anatafuna dawa huyo Mkuu kuwa makini badala yakumfukuza kazi unaweza kumpandisha cheo
😊
Aya matope ndio tunayolalamikia Savei
KUMBE TANZANIA TUNAWAZIRI WA MAJI??? NILIKUWA SIJUI!!! NILIFIKI MAJI LAZIMA UJICHIMBIE KISIMA MWENYEWE🤣
Wapige Spana, Vichwa vitakaa sawa tu.
Huyo jamaa ni jeuri sana fukuza mshenzi hakuna kubembeleza
Waziri Wangu
Ndiyo ujue watendaji wako niwajeuri sanaaa hata ukiwapigia simu ndivyo wanajibu Kwa jeuri
Tusaidie
Watakuwa wameanza Biashara ya uuzaji wa magari
Huyo kiongozi ni jeuri Kuna kitu anajivunia
Anatafuna ...dharau
Angalia channel yangu😂