Pole mtoto wangu. Mi nakushauri usifanye Tena kazi ya bodaboda, maana wameshaona sura Yako, wanaweza wakalipiza, kwakuwa Mungu amekuponya, watanzania tunakuchangia ulipe pikipiki na tafuta kazi ingine tafadhali kwa usalama wsko, ikibidi hama hata hapo unapokaa kwa sasa.
Wewe tajiri wa pikipiki mungu Anakuona leo Angepoteza maisha ungedahi nini? Siyo sawa bora msaidiane yeye Ajapenda kuvamiwa kweli mungu Anakuona haya maisha bhana
@@mariamkibindo1741yani hata mimi nimewaza hivyo hivyo istoxhe kapelekwa hadi sehemu ya tukio jambazi kalikuta linaungua moto bado anafungulia kesi huyu dogo
Aise umeniambia hivi nikakumbuka tuliwahi kuvamiwa na nyuki shambani basi mama alisema inameni chini kimuweni mavumbi basi tulifanya vile hatukuzurika 👏
Nimefurahi lkn pia namuonea huruma sana uyu kijana mdogo walivyomuonesha sura kuna watu wamebaki bado hawataridhika wataendelea kumuwinda vip kuhusu usalama wake
Piki piki ni bei gani jamani kwa atakae guswa na hili tueze kuchangia chochote hata ikiwa ni mia tano tano..umoja ni nguvu.. sis ni WATanzania .mngu atulinde..maisha ya boda boda yamekua hatarini sana kwa nyakati hizi..
Pole sana aiseee uyo aliyeiba pikipiki ndio tatizo ofu yangu kama utaishi salama ungeweza ungeama io sehemu ukaenda kuishi sehemu nyingine majaribu yatakuwa mengi mungu akuepushie
Ndo tujue Mungu akiruhusu ushindi Kwa anaemtaka. Huwa hazingatii wew. Unapambana na jitu la milaba minane ama kitugani tuweni na imani na Mungu alitupatia Akiri kama sehem ya vitendea kaz kujitetea💪
Asikari wa bongo wajinga sana badara ya kumpongeza wanakatisha tamaha uyo angekuwa nchi hi uku kwa wenzetu angepata tunzo na kupewa kaz ya jeshi,,Kwan ni jasiri sana, na mungu kampa nguvu alhamdulillah kashinda?
Hongera Sana shujaa hakika Mungu hajakuacha mkumbuke sana huyo Mungu aliekupigania maana hujapigana mwenyew Mungu atakupa pikipiki yako na ya tajiri pia
Pole Sana mtoto wetu mungu akulinde popote ulipo mwizi likaliwe na majoka na huyo alikimbia na boda boda afe Kama kifo kibaya nawe tajili TUNAKUOMBA msamehe mtoto Bado mdogo amejitahidi kupambana msamehe
Pole sana hapa duniani hakuna alie salama hata asie na kitu lakini umepambana na ni msaada wa MUNGU tu hutabaki kama ulivyo wapo watakaosimama na wewe na utatoka kwenye shida pole
Boda boda washachoka hongera sana mdg angu mana mnauwawa sana wengine wanaacha watt" wadogo ona kama huyu n mdg sana" sana " miaka 19 ni mwanangu wa kwanza mtt anajitafutia lkn mnataka kumuua kisa pik pik jmn
Sadkata wanawaonea kwa sababu ni wadogo ni mwanangu wa pili kwa kweli mibaba mizima haitaki kujituma kazi kuwakoromea watt wa wenziwao na huyo alieiba pikipiki huko aendako akapate ajali akose hiyo mali ya dhulma
Wewe kaka Mungu Akusaidie sana kwakweli duh Mungu Alikupa nguvu mpya Yaani siyo kwa uwezo wako mdogo wangu ni Mungu tu Usiache kumuomba Mungu Usiache Kumtumikia Mungu Usiache Kumshukuru Mungu
Mungu atakusaidia ni kijana mdogo ila kikubwa pumzi umetetea uwahi wako dah kuna watu umlikama wako wameshapata matukio haya nakupotez maisha na tulikuwa nao mtaani ila Kwa ss wameshakuwa marehem Kwa sbabu ya hao hao wezi wachomwe tu moto
Tajiri usihofie Mali, Mali utapata tena, mwachilie kijana kweli Mungu atakubariki utapata tena. Usihofie pikipiki Yako mpya, ilikuwa mpya ndio maana walimfuata. Mwachilie huyo mtoto utafanikiwa zaidi.
Hongera Sana kijana , your such a hero! 💪 Walio tafsiri bible kwa kingereza na kiswahili wamekosea maneno mengi sana! Bible haijasema usiue ukisoma kiebrania inamaanisha "don't Mudder" Maana yake usiue bila sababu . Kwamba kama ilivyotokea kwa huyu kijana wangu alikua anatetea uhai wake hivyo hana kosa! Hongera sana kijana. MUNGU mbariki kijana Ibariki Israel 🇮🇱 Ibariki Tanzania 😂😂😂kijana ni zaidi ya jambazi 🙌😂💪
Huyu boss hana utu kabisa angekuwa boda mwingine kuona panga tu angekimbia🏃 na kuacha pikpik lakn kijana wa watu mdogo kapambania pikipiki japo ilichukuliwa lakn kapambna mpaka dakka ili tu kuokoa usafir na uhai wake😢😢alafu unaenda kumfingulia kesi angekufa huyo ungemdai nan bas umpe hata muda wa kutafuta hio pesa unataka kulipwa haraka🙌
Kiukweli tajili wahuyu charii kuwa na utu bas iv chukulia ni ndug yako ata mtoto wa kaka yako au mwanao kbs kuwa na huruma ALLAH hana sifa yakushindwa hasa ukiuamini kiukweli pole san charii
Pole mtoto wangu. Mi nakushauri usifanye Tena kazi ya bodaboda, maana wameshaona sura Yako, wanaweza wakalipiza, kwakuwa Mungu amekuponya, watanzania tunakuchangia ulipe pikipiki na tafuta kazi ingine tafadhali kwa usalama wsko, ikibidi hama hata hapo unapokaa kwa sasa.
Nimewaza kama weww
Nimeumia jamani kama kaka yangu@@mwajabumsami6388
Wewe tajiri wa pikipiki mungu Anakuona leo Angepoteza maisha ungedahi nini? Siyo sawa bora msaidiane yeye Ajapenda kuvamiwa kweli mungu Anakuona haya maisha bhana
Yaani mpaka mtu unaeza his kama nae anajua huo mchongo sababu pikipik mpya siku mbili TU alafu tukio Hilo boss anadai mmmh?
@@mariamkibindo1741 hapa duniani kuna watu wanateseka kisirisiri huyo kabahatika kukutana na mwandishi wangapi wanaonewa kama yeye ni wengi mnoo kpz.
😅😅😅😅
Hatareeeee !Anajali pesa tuuu ila ukimaliza den lake achana nae kwanza hujui misingi aliyotumia huyo boss kupata pikpik yamkin ungekua kafara yke
@@mariamkibindo1741yani hata mimi nimewaza hivyo hivyo istoxhe kapelekwa hadi sehemu ya tukio jambazi kalikuta linaungua moto bado anafungulia kesi huyu dogo
Mchanga ni silaha moja matata sana. Hata mbwa alikukimbiza mkabidhi mchanga. Big up chalii kwa kupambana.
Aise umeniambia hivi nikakumbuka tuliwahi kuvamiwa na nyuki shambani basi mama alisema inameni chini kimuweni mavumbi basi tulifanya vile hatukuzurika 👏
@@HusnaMtitiko-yt4ru Duuh 😢 MashaAllah nimejifunza
JE DANGOTE
Safi Sana bro
duh huyu dogoni noma❤
Nimefurahi lkn pia namuonea huruma sana uyu kijana mdogo walivyomuonesha sura kuna watu wamebaki bado hawataridhika wataendelea kumuwinda vip kuhusu usalama wake
Daah aisee umeongea point sanaaa yaan anahitaj ulinzi maana pia aliekufa anawatu wake
Yaani Mungu amlinde mdogo wangu
Hata Mimi nimeshangaa Kwann wamemuonesha Sura
Mungu bado anakupenda mwanangu🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Amen 🙏🙏🙏🙌🙌🙌
Piki piki ni bei gani jamani kwa atakae guswa na hili tueze kuchangia chochote hata ikiwa ni mia tano tano..umoja ni nguvu.. sis ni WATanzania .mngu atulinde..maisha ya boda boda yamekua hatarini sana kwa nyakati hizi..
Hili ni wazi zuri sana
Mchanga fimbo nzuri sana😂hongera mwanangu wewe ni shujaa
Hii mbinu ya mchanga na kumvuta pua aisee😂🦁🦁🦁 we ni zaidi ya mjeda🎉
😂😂😂kavuta pua ikapasuka. Asee huyu ni zaidi ya jambazi
😂😂😂
Nimeinjoy Sana
Ila Yote kwa yote nikwanguvu ya Allah
Pole sana aiseee uyo aliyeiba pikipiki ndio tatizo ofu yangu kama utaishi salama ungeweza ungeama io sehemu ukaenda kuishi sehemu nyingine majaribu yatakuwa mengi mungu akuepushie
Ndo tujue Mungu akiruhusu ushindi Kwa anaemtaka. Huwa hazingatii wew. Unapambana na jitu la milaba minane ama kitugani tuweni na imani na Mungu alitupatia Akiri kama sehem ya vitendea kaz kujitetea💪
InshaAllah
Kabisa
Kabisaaa
Mungu ni mwema. Pole zake . Huyo ni jasiri ila tajiri yake hana utu. Askari wasitoe maneno ya kukatisha tamaa ,
Asikari wa bongo wajinga sana badara ya kumpongeza wanakatisha tamaha uyo angekuwa nchi hi uku kwa wenzetu angepata tunzo na kupewa kaz ya jeshi,,Kwan ni jasiri sana, na mungu kampa nguvu alhamdulillah kashinda?
Aslay wa bongo wenyew waoga
Tumsaidie jamani. Anafaaa aende jeshini❤❤. Kikubwa tumsaidie. Brother wetu mdogo wetu😢 ila alihamundulih. Umetoka salama
Mungu tusahidie na watt wetu wa kiume kupata kazi ninngumu maskin wana pambana pole kijana wngu❤
Huyu apewe kazi ya jeshi
😂😂 kwa sabab gan sasa kumwaga mchanga machon au
Ndio utaki au?au we ndio mtoa ajira
Et kama majaliwa😂
@@MauaDumba sijui
Ni shujaa na bado mdogo sana🎉
Hongera Sana shujaa hakika Mungu hajakuacha mkumbuke sana huyo Mungu aliekupigania maana hujapigana mwenyew Mungu atakupa pikipiki yako na ya tajiri pia
Pole dogo, pia hongera kwa kupambania roho yako
Mnge mficha sura hii nhatari kwakwel Allah akulinde babaa 🤲🤲
Kwakweli we ni daudi umemuweza goliati hongera sana kijana
Maa Shaa Allah hongera sana mdogo wangu kwa ujasiri pia pole kwa mashakil na iman utapata msaada kwa uwezo wa Allah
Pole Sana mtoto wetu mungu akulinde popote ulipo mwizi likaliwe na majoka na huyo alikimbia na boda boda afe Kama kifo kibaya nawe tajili TUNAKUOMBA msamehe mtoto Bado mdogo amejitahidi kupambana msamehe
Mungu anakupenda sana kijana sifa na utukufu kwayesu tu
Aisee hongera kwa kuonyesha ushunjaa 🙏🙏🙏
Pole sana kijana....na hongera Kwa kupambania maisha yako
Pole sana dogo binadamu tunajali mali zaid ya utu ndicho alichokionesha uyo tajiri
Pole sana dingii ,askri anao wajue kupigana na ktu sio mwili ni mbwinu tu,na mbwinu zake kazitaja
Achana na iyo kazi dogo tafuta kazi nyingine 😊
Shujaa kapambania maisha..hongera sana. Mungu kakupa ujasiri.
Na kweli ni Mungu tu kampa ujasir
Pole sana hapa duniani hakuna alie salama hata asie na kitu lakini umepambana na ni msaada wa MUNGU tu hutabaki kama ulivyo wapo watakaosimama na wewe na utatoka kwenye shida pole
Mungu mwema hongera kwa ushindi huu mkubwa Mungu azidi kukulinda ❤❤❤
Pole kijana wangu wewe ni zaidi ya mjeshi. Mpeni nafasi jeshini huyu
Uende kanisan ukasali Umshukuru Mungu, ujikite kwenye Sala usiku na mchana umwombe Mungu akulinde.
Hongera sana,dogo! Umepambana kiume. Usijal kuhusu jino lililotoka.
😂😂😂👍👍👍
😂😂😂😂😂
Boda boda washachoka hongera sana mdg angu mana mnauwawa sana wengine wanaacha watt" wadogo ona kama huyu n mdg sana" sana " miaka 19 ni mwanangu wa kwanza mtt anajitafutia lkn mnataka kumuua kisa pik pik jmn
Sadkata wanawaonea kwa sababu ni wadogo ni mwanangu wa pili kwa kweli mibaba mizima haitaki kujituma kazi kuwakoromea watt wa wenziwao na huyo alieiba pikipiki huko aendako akapate ajali akose hiyo mali ya dhulma
@@FatimaAli-of4gh Yan huwa wanawaonea mno mno
@@FatimaAli-of4gh😢
huyu kamanda sana apewe kaz jeshin
kabisa kamuua pekeake ahahahahaha
siri ya ushindi ni mungu kampa akili ya kupambana nakapata akili ya kutumia michanga mungu nimwema
Daaa mungu akutie nguvu mdogo wangu na pole sana
Vijana wa chuga siowakuchezea mtoto mdogo lakini kapambana mungu atakusaidia utapata pikipiki nyingine namba tumeiona
Wewe kaka Mungu Akusaidie sana kwakweli duh
Mungu Alikupa nguvu mpya Yaani siyo kwa uwezo wako mdogo wangu ni Mungu tu
Usiache kumuomba Mungu Usiache Kumtumikia Mungu Usiache Kumshukuru Mungu
Mdogo wangu mungu bado ana haja na wewe
Pole sana Mwanangu Mungu Anakupenda
Pole sana dear, ashukuriwe Mungu alokuponya 🙏🙏🙏
Pole mwanangu na hongera kwa ukakamavu
Dogo hongeraa kwa kupambana,MUNGU awe nawe pukipiki utapata MUNGU yupo hamwachi mja wake
Uwe makini kwa atakae kupigia maana wabaya wako wamezipata namba zako
Big up kijana kwa ushujaa wako,,unekonesha wezi wa pikipiki
Pole kijana mungu akulinde
Huyu kaka ni shujaa jamani afu Bado mdogo, umepambana sana mungu anakupenda sana siyo kazi rahisi.
Mungu ni mwema 🙏hongera kwa kupambana na pia pole. Uyo boss hawe na hofu ya Mungu hata kidogo 😢
Cha muhimu uhai mengine sasa hayo ya tajiri sasa🙌🙌
Mungu atakusaidia ni kijana mdogo ila kikubwa pumzi umetetea uwahi wako dah kuna watu umlikama wako wameshapata matukio haya nakupotez maisha na tulikuwa nao mtaani ila Kwa ss wameshakuwa marehem Kwa sbabu ya hao hao wezi wachomwe tu moto
Ila mngeficha sura ya huyu kijana kwa usalama wake jamani hamjui zamira ya yule alobaki 😢😢
Kweli kabisa, Mungu amlinde.
@@StellaWaillupia wangetumia hata namba nyingine kwenye kuchangia jamani yaani kijana hatarini sana kuwa makini
@@Sweetnaah Umeona ee!
Boss kuna kitu anacho😢Munguu atusaidie kwa kweeeli ubinadamu umeishaa uuwii
Yaaani wanaume wamaana wanashindwa kufanya kazi wanakaba watoto wadogo Jamanii
Pole Sana Dogo
Simu ya Huyu alieuawa haijapatikana isaidie kuwasaka Hao wezi sugu😢
Huyo boss ana roho mbaya na hatofanikiwa 😢je kama angeuliwa huyo boda.......Unaweza kuwa mtu mkubwa ila haujui kupambana vitu viwili tofauti
Pole sana majukumu kweli umepambana
Pole sana mwanangu! Mungu anakupenda sn,wewe ni Shujaa,mwenye piki2 kuwa na huruma.
Unatakiwa upewe ulizi na mkubwa mapolisi akupe nyota kwakuwa umeweza kumuuwa jambazi ongera sana dogo.
Tajiri usihofie Mali, Mali utapata tena, mwachilie kijana kweli Mungu atakubariki utapata tena. Usihofie pikipiki Yako mpya, ilikuwa mpya ndio maana walimfuata. Mwachilie huyo mtoto utafanikiwa zaidi.
Pole sanaa aisee du!
Hongera Sana kijana , your such a hero! 💪
Walio tafsiri bible kwa kingereza na kiswahili wamekosea maneno mengi sana!
Bible haijasema usiue ukisoma kiebrania inamaanisha "don't Mudder"
Maana yake usiue bila sababu . Kwamba kama ilivyotokea kwa huyu kijana wangu alikua anatetea uhai wake hivyo hana kosa!
Hongera sana kijana.
MUNGU mbariki kijana
Ibariki Israel 🇮🇱
Ibariki Tanzania
😂😂😂kijana ni zaidi ya jambazi 🙌😂💪
Daah chalii wa home pole sana mdogo wang
Nmekubali goliati alikufa kwa nguvu za mwenyez mungu!! Allah akujalie upate Tena kwa wepes amen!!
Mmhh pole. Sana Mwananguuu kwa Mtihani uliokufika
Kijana anajua kujieleza ~maa shaa allah..mngu akujaalie afya njema..wezi sina hamu nao.
Hongera kwa kupambania uhai wako
Huyu boss hana utu kabisa angekuwa boda mwingine kuona panga tu angekimbia🏃 na kuacha pikpik lakn kijana wa watu mdogo kapambania pikipiki japo ilichukuliwa lakn kapambna mpaka dakka ili tu kuokoa usafir na uhai wake😢😢alafu unaenda kumfingulia kesi angekufa huyo ungemdai nan bas umpe hata muda wa kutafuta hio pesa unataka kulipwa haraka🙌
Hii dawa ya wizi ni nzuri wawe wanapewa tuu
Mungu atakupa riziki polesana
Macho n mawe ndo Siri kubwa, aise pole Sana kijana
Mtihani pole sana
Kijana amejitahidi sana kwa kiwango cha juu ukilinganisha na umri wake apewe maua yake🎉🎉🎉na ametumia ujasiri wa hali ya juu na sana
Hongera kijana
Mungu akulinde kijana
Pole mdogo wng hakika Mungu ni mwema kila wakati lkn binadam jmn Mungu anatuona hivi ungekufa hyu tajiri angemdai nani 😂
😢😢😢😢nimelia mwee eti tajiri anipe bike nyingine nifunge kwa 15 tutakuchangia utapata
Huyo boss ni msenge anajali pikipik kukiko uzima wa mtu so angekufanya uyo dogo je angemdai
Hapo sasa
hongera Mungu amekuponya
Tuletee mwendelezo wa sister
Maskini Mungu akulinde kaka hao watu wanakuwaga na kundi wasije kukuwinda Tena kulipa kisasi
Ni +MUNGU+ tu alisimama na akakuvusha🙌 +MUNGU+ ni MWEMA MILELE yote ISAYA 54:10🙏🙏🙌
Mungu Akusaidie kijana, Upate mfadhili,
Hu wizi bado upo jmn aisee pole sana mwanangu,vijana fanyeni kazi sio pow kuiba mari za watu
Mungu nimkubwa ❤❤❤❤
Pole kijana Mungu bado anakusudi lako kubwa 😢😢
Duh hadi nasikia kulia ila tunamshukuru Mungu kwa kukuepusha na hili Mungu akupe njia ya kupata rizki
Hakika kama anavyosema ni sawa!Anastahili kuangaliwa na serikali yetu na kuingizwa jeshini!Shujaha huyu kijana!
Mungu alikuwa upande wako usi ache ku mtukuza Mungu alikuteteya akakupa nguvu
Ushujaa amin mungu chaly wang ! ALLAH abarik uishi!
Pole sana na hongera kwa ujasiri
But nimecheka ya kumfungulia kesi marehemu
Nyokaa umetisha sana..chuga hatokagi fala
Pole sana kaka
Napenda bodaboda walivyona umoja ila Tajiri awe na huruma jaman
Mungu akutie nguvu na akuongoze na akufanyie wepesi Kila hatua
Kiukweli tajili wahuyu charii kuwa na utu bas iv chukulia ni ndug yako ata mtoto wa kaka yako au mwanao kbs kuwa na huruma ALLAH hana sifa yakushindwa hasa ukiuamini kiukweli pole san charii
Yote kwa yote,,,, Mungu ashukuriwe sana. Vile tu upo hai
Mungu amekuokoa mwanangu pole sana
Pole mwanangu huyu tajiri amsaidie huyu kijana jamani
Nikwer kiusalama usikubali kwenda kwa mtu yeyote uso mfaha
Pole mwanangu nimejisikia vibaya jaman😢
Hongera sana na pongezi kwako ww ni shujaa mwanangu
Mgemuekea giza usoni kwa usalama mana kaua kijana wa genge, pia namba ulizotoa pokea hela tu usimfuate yyte atakaekupigia kwa madai kukupa msaada
Rudia kumsikiliza vizuri utaelewa