MTOTO wa MANJI AMUOMBA MSAMAHA MSTAAFU KIKWETE KUTOMZIKA MANJI - ''ALITAKA AZIKWE na BABA'AKE''....
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 6 ก.ค. 2024
- MTOTO wa MANJI AMUOMBA MSAMAHA MSTAAFU KIKWETE KUTOMZIKA MANJI - ''ALITAKA AZIKWE na BABA'AKE''....
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Pole sana kijana wetu mtoto wa Manji ... MUNGU akutie nguvu ktk kipindi hiki kigumu.
Bado wewe waweza kuwa makini kuliko mzee watanzania Bado wapo sehem yenu
Poleni sn kijana na ndugu yako na familia Kwa ujumla. Mungu atazidi kuwapigania.
💔💔💔🇹🇿🤲🤲🤲Allah awape subra na nguvu💪family yote ya manji
Mwenyezi Mungu Awajaze rehma na baraka. Poleni sana ! Tutamkumbuka sana baba yenu .
Poleni sana kwa kuondokewa na mzee mliye mpenda
Allah amjaalie pepo Firdaus Amiin.
May God give you strength during this difficult period of your father's loss. In fact, my father has raised me with wisdom and prudence, we are all on the same path
Poleni sana Mungu awalinde awaepushe na shari za Dunia. Mungu amuweke mahali pema peponi ampe kitabu chake kwa mkono wa kulia.
My deepest condolences to family members and friends of Yusuf Manji, may Allah give you strength at this difficult moment. Love from los angels California
Mwenyezi mungu amrehemu Marehemu Manji!😢 sote safari yetu moja...Ila Mtoto wa Manji uyo mwenye macho ya mzungu,yuko handsome sanaa Mashaallah!❤👍🏻
Mwehu ww unatamani mfate
@@aminadjuma7555 mwehu wewe mwenyewe,🤬weh vipi? Kwani nimekusifu wewe?
Poleni sana kwa msiba wa mzazi wenu, Mtanzania mwenzetu mpenda watu na maendeleo. Msiumizwe na comments mbaya za watu, ndivyo jamii ilivyo. Focus on love.
Pole Sana Mahboub karibu Sana Jangwani tupo pamoja na wewe
Afate nn mumpige kama babaake 😅😅😅
MUNGU awatie ngumvu sn family yoote kwa jumlaa inshallah ❤🎉
Mungu atakulinda mwanchi mwenzangu
Mtoto ana busara mashallha
Hongera umeongea maneno mengi ya kiswahili kupita Wema Sepetu😊
Kwani umemaanisha nini hapo!!😅
😂😂😂
😂😂
😂😂😂😂😂😂yaani teari mashangingi washamdaka na kiswahili kafunzwa teari ?
@@scholarmawala1403Wema ni mswahil lkn neno moja kiswahil maneno kumi kizungu 😅😅😅
Pole sana mungu awape nguvu katika nyakati hizi ngumu rip manji
pole sana safari yetu sote hiiii
Pole sana dogo
May Allah forgive him and take him in jannah firdaus sorry in difficult time
Matajiri hao msiba wa baba Yao wanalia tu wamempoteza baba ila Hawaii kuwa ni masikini
Hakuna kupigana kwenye mgawanyo wa mali
Innalilah wainnaylilah rajiuun! Mwenyezimungu amjalie kauli thabiti Yusuph! Poleni Sana familia!
Pole sana
Lakini anaonekana yupo humble
Pole kufiwa na baba inauma sana mzazi akikuacha
Hajui kusema innaa lillahi wa innaa lilahi raajiuun. Muislam gani
Inna lillahi wainna ilayhi rajioon
Al fateha
Poleni wafiwa, Mzee Mengi katoka jamani.
Pole kijana
Pole sana kijana
Poleni.sana
Matajiri wanazaa watoto wachache sisi sasa 😅😅😅
Kila mtoto na ridhiki zake kuzaa mwanzo mwisho
Na Tuzae sana ili mungu akupe zaidi!!Usiogope kuzaaa
siyo kweli
Masikini na wanae tajiri na mali zake😂
Masikini anazaa sana sababu tegemeo lake ni watoto, na ni lazima katika hao wengi kuna mmoja au hata saa nyingine wote wanakuja kuwa matajiri. Ndio maama msondo walisema"MASIKINI NA WANANGU TAJIRI NA MALI YANGU"
Poleni sana
Mashallah
MUNGU amlinde huyu kijana na mashangingi wa mjini 😢😢😅😅
😂😂😂 mashangingi?
@@ayoubmtumishi50hujaelewa
Hawapendi waswahili hawa wabaguzi
hahahahaha we mwehu sana hahah yan sisi tupo kwenye maombolezi we watuchekesha
😂😂😂😂😂😂
Poleni sana kwa msiba
Pole Sana kwa kufiwa na Mzazi,R.i.p Manji
Innalilah wahina illahi rajoun polen
Poleni sana vijana kufiwa na baba .
Poleni
Pole sana Kwa kipindi hiki kigumu
Sorry for the lose of your Father.Amen
Yani Global mmeeenda na camera moja utadhani hamjalipwa hela duuuu.
😢😢😢😊😊😊😊😊
😅😅😅
Poleni sana familia nzima ila Allah amebakia atawalinda.
Pole sana Mungu ampe kauli thabit💔😭
Am sorry😢😢
Allah amrehemu yarrab Amin
Innalillahi wa innaillah rajeun
Chalamila anasemaje yumo humu kweli
Polesan kwa kifocha baba yako
Yesu amuweke pema peponi
Hana uwezo huo
Yesu ana uwezo WA kumuweka MTU peponi 😂😂
Pumbavu wewe
Sijui kwa nini mtu akifariki wanamumiminia sifa. Mańji ni mmoja aliyoitafuna Tanzania. Alijiingiza kwenye moira na akakubalika. Ukitaka Kuwaitis watanzania jiunge na Simba au Yanga. Manji alisaidiwa na serikali ya Kikwete kupiga tenda za mabilioni. Mtanzania mwenye passport zaidi ya moja. Fedha alizopiga wenye kuelewa ni mabilioni. Mungu amusamehe kwa dhuruma aliyowafanyia watanzania.
Roho mbaya ni uchawi na umasikini , badilika kijana.
Ndo umeandika nini maana naona mauza uza tu😂😂😂
@@yusufismail3116 sisi ni matajiri sana. Ni masikini kwa ujinga wetu
@@seifmiraji43 ni vigumu kunielewa, mpaka uwe na akiri za kuzaliwa
@@Mima-cl2im naanzaje kukuelewa ikiwa hata kuandika hujui, sasa "akiri" ndio nini!? 😂😂
Mnawapeka watoto nje mapema sana SASA LUGHA KWISHA GONGANA MANJIS😂
shida iko wapi??ni mwarabu Huyo
Ni Mtanzania
Mwacheni kijana. Kama mambo mabaya amefanya baba yake ni baba yake.
Mtoto wa tajiri
Pole sana ndugu
Watt wa matajir hawaliagi msibani
Innaalillaah wainna ilyhi Raajioon ALLAH amsameh madhambi yake AMYN
🤲🤲🤲😭😭💔💔💔
❤❤
Lakini wote wameondoka magu manji kec kwa hakimu aw haki
Hiii comment ndo nilkua naitafta haya tueleze vzr 😮
Pole sana dogo, ila kiswahili chako ni changamoto utafikiri sio mtanzania
Si ajabu kazaliwa huko kakulia huko huko, Kiswahili kakijua akija likizo bongo, kwa hali hii hivi atakiongea kama mimi na wewe?!😅😅😅
Yapo makabila hapa tanzania mpaka leo hawajui kiswahili mfano wahadzabe
Wamasai.wazandaki n.k. hawajui sembuse aliyezaliwa nje na kukulia huko
@@MikidadiKimilikehata wakurya 😅😅😅
Mmhh tz😮 Imebakwa
Dunia haipo huko ulipo Dunia ni ya binadam wote hiki ni chungu mungu alipotuweka
Matajir
sasa huyu bwege sie jua kiswahili kabx kafata Nini uku linaonekana lina zarau kama malehemu baba yake alimuambia magufuli siongei Na mmbwa Naongea Namwenye mmbwa Next time yule mmbwa akaota meno manji alijua hajui
Kijana jifunze, maneno yatakayokusaidia mfano kufanya kazi kwa bidii. Roho mbaya ni uchawi unatakaokuloga wewe mwenyewe.
Kuwa na utu, punguza chuki usije kufa mdomo wazi
Kwani Katiba inasema kuwa Mtanzania lazima ujue Kiswahili?
Unaonekana unachuki binafsi mwezetu. Jiangalie
Umasikini ni shift sana
Huyu nae anajiita mtanzania . Mtanzani wa wapi huyu 😂
Ubaguzi
Mtanzania ni mama ako tu! Mbuzi ww!
@@nassirali7499 mbona povu ndugu yako huyo au Shobo .kwa akili yangu unafikili ni ndugu zako hao . Hao wapo kwa niaba ya kutafuta2 ndio hata watoto wake wamezaliwa huko wamekulia huko hapa bongo wanakuja kutembea
Hao ndio wale watanzania walaji wa nchi yetu.
Mtu siyo raia anakopa hela kwa wazungu wenzie ili kuiba utajiri wetu kwa utajiri hewa
Kwani mtanzania ni nani? Acha ubaguzi
Kumbe hata kiswahili hajui na bado mnamuita mtanzania. Hawa siku zote wapo kuiba na kwenda kulia nje ya nchi. Kumbe wana uraia pacha halafu mnawazuia wachovu wengine waliojilipua huko majuu!
kama amepewa.Uraia ni MTanzania tu wivu wako tu huo
Baba punguza chuki, kwani kua mtanzania ni kuongea kiswahili😂😂. Punguza roho mbaya
Kiswahili hakina faida kama Huna hela au umelala njaa
Mwonho ukikata damu kijani au nyekungu?
Damu Yakiijani
Mungu wangu huyu kijana anaishi nchi gani au kazaliwa wapi.Inakuwaje kuwa kiswahili kinamshinda kiasi hicho😢😢
Bora hata huyu anakimudu kidogo ingekuwa mwanao wema sepetu 😅😅😅 tena wa kishua
kwani hapo anaongea kisukuma mbona hata watanzania walio zaliwa tz hawajui kiswahili unashangaa nn
Hawa ni wachumi wanaojifanya watanzania kujitajirisha. Hawatukubali, sisi tunawakubali na kuwakabidhi mali zetu
@@Mima-cl2imwewe umegundua
@@Mima-cl2im hao waliweze toa ajira 2370 wewe umetoa ngapi.
Mazishi yamefanyika wapi
USA
Ila mtu kama hajui kiswahili vzuri akawa anaongea inaweza kudhani fuse imekatika...
Ila akiswitch kwenye English ndio utakuwa kumbe ni mzima..
MFANO bongozozo
hahaha tuko wengi
@@trophywilson7211 nawewe hujui kiswahl vzr🤣
Luga ya swahili huijui na mzaliwa wa tz what is wrong with this people
Mbona anajua unataka nini ??
Kama unajua Kiswahili na Huna hela ina maana gani
Shida ya baba Yako ni kutaka kuuza madawa ya kulevya kuaribu inch yetu🥹🥹
Alikuajiri wewe ukauze
Una ushahidi wewe au unaongea kwa chuki zako binafsi
@@timetravellor5367 Nyie najua ndio wale mnao jipendekeza kwa wenye nacho sema ukwel mungu atakusimamia usiwe na tabia za msaka tongue😂😂
Uzaa na ww km ni rahis😢
@@bockerNyarusahi Sina chuku mm ni msema kweli najua unataka mkate kidogo lakin uwez kupewa watoto wake unaona et hawajui kiswahili ata ujipendekeze upat kitu
Pole sana
Pole sn kijana ikuze kampun yamzee wako
Mali ya Muhindi kufa ni ngumu sana, ukoo Mzima huziangalia kwa jicho la maendeleo zaidi.
@GeorgeAkasha-zx2rj siyo Waafrica watataka wauze utu
Pole sana