MTOTO wa MANJI AMUOMBA MSAMAHA MSTAAFU KIKWETE KUTOMZIKA MANJI - ''ALITAKA AZIKWE na BABA'AKE''....

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ก.ค. 2024
  • MTOTO wa MANJI AMUOMBA MSAMAHA MSTAAFU KIKWETE KUTOMZIKA MANJI - ''ALITAKA AZIKWE na BABA'AKE''....
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

ความคิดเห็น • 169

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  7 วันที่ผ่านมา

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @user-uz9mw1ie6z
    @user-uz9mw1ie6z 8 วันที่ผ่านมา +32

    Pole sana kijana wetu mtoto wa Manji ... MUNGU akutie nguvu ktk kipindi hiki kigumu.
    Bado wewe waweza kuwa makini kuliko mzee watanzania Bado wapo sehem yenu

    • @hafsalucky1088
      @hafsalucky1088 7 วันที่ผ่านมา +1

      Poleni sn kijana na ndugu yako na familia Kwa ujumla. Mungu atazidi kuwapigania.

    • @ayshasaid1547
      @ayshasaid1547 7 วันที่ผ่านมา

      💔💔💔🇹🇿🤲🤲🤲Allah awape subra na nguvu💪family yote ya manji

  • @user-ly2tv5og1n
    @user-ly2tv5og1n 7 วันที่ผ่านมา +7

    Mwenyezi Mungu Awajaze rehma na baraka. Poleni sana ! Tutamkumbuka sana baba yenu .

  • @moriskalegeleshusha2619
    @moriskalegeleshusha2619 7 วันที่ผ่านมา +4

    Poleni sana kwa kuondokewa na mzee mliye mpenda

  • @stonetown578
    @stonetown578 7 วันที่ผ่านมา +3

    Allah amjaalie pepo Firdaus Amiin.

  • @ezramichael7038
    @ezramichael7038 8 วันที่ผ่านมา +15

    May God give you strength during this difficult period of your father's loss. In fact, my father has raised me with wisdom and prudence, we are all on the same path

  • @jamilajiwan9890
    @jamilajiwan9890 7 วันที่ผ่านมา +9

    Poleni sana Mungu awalinde awaepushe na shari za Dunia. Mungu amuweke mahali pema peponi ampe kitabu chake kwa mkono wa kulia.

  • @riazshaikh8577
    @riazshaikh8577 7 วันที่ผ่านมา +4

    My deepest condolences to family members and friends of Yusuf Manji, may Allah give you strength at this difficult moment. Love from los angels California

  • @SatuParmukh
    @SatuParmukh 7 วันที่ผ่านมา +3

    Mwenyezi mungu amrehemu Marehemu Manji!😢 sote safari yetu moja...Ila Mtoto wa Manji uyo mwenye macho ya mzungu,yuko handsome sanaa Mashaallah!❤👍🏻

    • @aminadjuma7555
      @aminadjuma7555 7 วันที่ผ่านมา

      Mwehu ww unatamani mfate

    • @SatuParmukh
      @SatuParmukh 6 วันที่ผ่านมา +1

      @@aminadjuma7555 mwehu wewe mwenyewe,🤬weh vipi? Kwani nimekusifu wewe?

  • @ianak4
    @ianak4 7 วันที่ผ่านมา +8

    Poleni sana kwa msiba wa mzazi wenu, Mtanzania mwenzetu mpenda watu na maendeleo. Msiumizwe na comments mbaya za watu, ndivyo jamii ilivyo. Focus on love.

  • @ramadhanitawaqal8958
    @ramadhanitawaqal8958 7 วันที่ผ่านมา +4

    Pole Sana Mahboub karibu Sana Jangwani tupo pamoja na wewe

    • @hassanmfaume4522
      @hassanmfaume4522 7 วันที่ผ่านมา +1

      Afate nn mumpige kama babaake 😅😅😅

  • @MS.independent8934
    @MS.independent8934 7 วันที่ผ่านมา +3

    MUNGU awatie ngumvu sn family yoote kwa jumlaa inshallah ❤🎉

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz 8 วันที่ผ่านมา +14

    Mungu atakulinda mwanchi mwenzangu

  • @daslamonline4665
    @daslamonline4665 6 วันที่ผ่านมา +2

    Mtoto ana busara mashallha

  • @chris_jabari
    @chris_jabari 7 วันที่ผ่านมา +13

    Hongera umeongea maneno mengi ya kiswahili kupita Wema Sepetu😊

    • @scholarmawala1403
      @scholarmawala1403 7 วันที่ผ่านมา +1

      Kwani umemaanisha nini hapo!!😅

    • @lucakakuru3138
      @lucakakuru3138 7 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂

    • @JosephBWAGIZO-fs5ig
      @JosephBWAGIZO-fs5ig 7 วันที่ผ่านมา

      😂😂

    • @aishaalbalushaishabalush8291
      @aishaalbalushaishabalush8291 6 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂😂yaani teari mashangingi washamdaka na kiswahili kafunzwa teari ?

    • @MashaMbwana
      @MashaMbwana 6 วันที่ผ่านมา

      @@scholarmawala1403Wema ni mswahil lkn neno moja kiswahil maneno kumi kizungu 😅😅😅

  • @mariamemadoshi5540
    @mariamemadoshi5540 7 วันที่ผ่านมา +1

    Pole sana mungu awape nguvu katika nyakati hizi ngumu rip manji

  • @shabanrufumbo3701
    @shabanrufumbo3701 7 วันที่ผ่านมา +3

    pole sana safari yetu sote hiiii

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 6 วันที่ผ่านมา +1

    Pole sana dogo

  • @mrokay1time958
    @mrokay1time958 7 วันที่ผ่านมา +2

    May Allah forgive him and take him in jannah firdaus sorry in difficult time

  • @ziadasalimu1730
    @ziadasalimu1730 7 วันที่ผ่านมา +6

    Matajiri hao msiba wa baba Yao wanalia tu wamempoteza baba ila Hawaii kuwa ni masikini

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 7 วันที่ผ่านมา +1

      Hakuna kupigana kwenye mgawanyo wa mali

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 7 วันที่ผ่านมา +4

    Innalilah wainnaylilah rajiuun! Mwenyezimungu amjalie kauli thabiti Yusuph! Poleni Sana familia!

  • @Jamila-v2l
    @Jamila-v2l ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Pole sana

  • @farajaMezza-qn4be
    @farajaMezza-qn4be 5 วันที่ผ่านมา +1

    Lakini anaonekana yupo humble
    Pole kufiwa na baba inauma sana mzazi akikuacha

  • @111dudi
    @111dudi 3 วันที่ผ่านมา

    Hajui kusema innaa lillahi wa innaa lilahi raajiuun. Muislam gani

  • @user-wl3bg9ed1l
    @user-wl3bg9ed1l 7 วันที่ผ่านมา +4

    Inna lillahi wainna ilayhi rajioon

  • @shirazremtullah3935
    @shirazremtullah3935 วันที่ผ่านมา

    Al fateha

  • @davinaheven4794
    @davinaheven4794 2 วันที่ผ่านมา

    Poleni wafiwa, Mzee Mengi katoka jamani.

  • @DelightfulMacawBird-tl5hf
    @DelightfulMacawBird-tl5hf 7 วันที่ผ่านมา +2

    Pole kijana

  • @robertphilip385
    @robertphilip385 7 วันที่ผ่านมา +1

    Pole sana kijana

  • @user-bh2bx3kk4u
    @user-bh2bx3kk4u 2 วันที่ผ่านมา

    Poleni.sana

  • @moriscollins4494
    @moriscollins4494 7 วันที่ผ่านมา +7

    Matajiri wanazaa watoto wachache sisi sasa 😅😅😅

    • @agustinohizza1395
      @agustinohizza1395 7 วันที่ผ่านมา +1

      Kila mtoto na ridhiki zake kuzaa mwanzo mwisho

    • @ErnestJosephat
      @ErnestJosephat 7 วันที่ผ่านมา +1

      Na Tuzae sana ili mungu akupe zaidi!!Usiogope kuzaaa

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 7 วันที่ผ่านมา

      siyo kweli

    • @eusebiaurassa3417
      @eusebiaurassa3417 7 วันที่ผ่านมา +2

      Masikini na wanae tajiri na mali zake😂

    • @devisshirima6780
      @devisshirima6780 7 วันที่ผ่านมา +1

      Masikini anazaa sana sababu tegemeo lake ni watoto, na ni lazima katika hao wengi kuna mmoja au hata saa nyingine wote wanakuja kuwa matajiri. Ndio maama msondo walisema"MASIKINI NA WANANGU TAJIRI NA MALI YANGU"

  • @user-pm7oe5gj8g
    @user-pm7oe5gj8g 7 วันที่ผ่านมา

    Poleni sana

  • @hanifaa1487
    @hanifaa1487 7 วันที่ผ่านมา

    Mashallah

  • @noelswai2660
    @noelswai2660 7 วันที่ผ่านมา +11

    MUNGU amlinde huyu kijana na mashangingi wa mjini 😢😢😅😅

  • @neemamasudi7988
    @neemamasudi7988 7 วันที่ผ่านมา +5

    Poleni sana kwa msiba

  • @bahatadof5543
    @bahatadof5543 7 วันที่ผ่านมา

    Pole Sana kwa kufiwa na Mzazi,R.i.p Manji

  • @ibrahimkibira9943
    @ibrahimkibira9943 7 วันที่ผ่านมา +1

    Innalilah wahina illahi rajoun polen

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni9676 6 วันที่ผ่านมา

    Poleni sana vijana kufiwa na baba .
    Poleni

  • @frankevaristo6918
    @frankevaristo6918 7 วันที่ผ่านมา

    Pole sana Kwa kipindi hiki kigumu

  • @florianhenry7198
    @florianhenry7198 7 วันที่ผ่านมา +1

    Sorry for the lose of your Father.Amen

  • @ayoubmtumishi50
    @ayoubmtumishi50 7 วันที่ผ่านมา +7

    Yani Global mmeeenda na camera moja utadhani hamjalipwa hela duuuu.

  • @hamidashaban1203
    @hamidashaban1203 7 วันที่ผ่านมา

    Poleni sana familia nzima ila Allah amebakia atawalinda.

  • @beatricejohn1659
    @beatricejohn1659 7 วันที่ผ่านมา

    Pole sana Mungu ampe kauli thabit💔😭

  • @ErnestJosephat
    @ErnestJosephat 7 วันที่ผ่านมา +1

    Am sorry😢😢

  • @FatmaFerej
    @FatmaFerej 7 วันที่ผ่านมา

    Allah amrehemu yarrab Amin

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x 7 วันที่ผ่านมา

    Innalillahi wa innaillah rajeun

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x 7 วันที่ผ่านมา +1

    Chalamila anasemaje yumo humu kweli

  • @SeifAlly-g9i
    @SeifAlly-g9i 7 วันที่ผ่านมา +1

    Polesan kwa kifocha baba yako

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473 7 วันที่ผ่านมา +1

    Yesu amuweke pema peponi

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im 7 วันที่ผ่านมา +2

    Sijui kwa nini mtu akifariki wanamumiminia sifa. Mańji ni mmoja aliyoitafuna Tanzania. Alijiingiza kwenye moira na akakubalika. Ukitaka Kuwaitis watanzania jiunge na Simba au Yanga. Manji alisaidiwa na serikali ya Kikwete kupiga tenda za mabilioni. Mtanzania mwenye passport zaidi ya moja. Fedha alizopiga wenye kuelewa ni mabilioni. Mungu amusamehe kwa dhuruma aliyowafanyia watanzania.

    • @yusufismail3116
      @yusufismail3116 7 วันที่ผ่านมา +2

      Roho mbaya ni uchawi na umasikini , badilika kijana.

    • @seifmiraji43
      @seifmiraji43 7 วันที่ผ่านมา

      Ndo umeandika nini maana naona mauza uza tu😂😂😂

    • @Mima-cl2im
      @Mima-cl2im 7 วันที่ผ่านมา

      @@yusufismail3116 sisi ni matajiri sana. Ni masikini kwa ujinga wetu

    • @Mima-cl2im
      @Mima-cl2im 7 วันที่ผ่านมา

      @@seifmiraji43 ni vigumu kunielewa, mpaka uwe na akiri za kuzaliwa

    • @seifmiraji43
      @seifmiraji43 7 วันที่ผ่านมา

      @@Mima-cl2im naanzaje kukuelewa ikiwa hata kuandika hujui, sasa "akiri" ndio nini!? 😂😂

  • @demicratia4071
    @demicratia4071 7 วันที่ผ่านมา +5

    Mnawapeka watoto nje mapema sana SASA LUGHA KWISHA GONGANA MANJIS😂

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l 5 วันที่ผ่านมา

    Mwacheni kijana. Kama mambo mabaya amefanya baba yake ni baba yake.
    Mtoto wa tajiri

  • @mmassyferguson4959
    @mmassyferguson4959 8 วันที่ผ่านมา +5

    Pole sana ndugu

  • @edsonmnego4030
    @edsonmnego4030 7 วันที่ผ่านมา

    Watt wa matajir hawaliagi msibani

  • @omeerrasheed7192
    @omeerrasheed7192 7 วันที่ผ่านมา +1

    Innaalillaah wainna ilyhi Raajioon ALLAH amsameh madhambi yake AMYN

  • @ModextaModexta-on7mi
    @ModextaModexta-on7mi 7 วันที่ผ่านมา

    🤲🤲🤲😭😭💔💔💔

  • @fatmaabdi7192
    @fatmaabdi7192 6 วันที่ผ่านมา

    Lakini wote wameondoka magu manji kec kwa hakimu aw haki

    • @denismasele4130
      @denismasele4130 6 วันที่ผ่านมา

      Hiii comment ndo nilkua naitafta haya tueleze vzr 😮

  • @shabanponera2895
    @shabanponera2895 7 วันที่ผ่านมา +6

    Pole sana dogo, ila kiswahili chako ni changamoto utafikiri sio mtanzania

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 7 วันที่ผ่านมา +5

      Si ajabu kazaliwa huko kakulia huko huko, Kiswahili kakijua akija likizo bongo, kwa hali hii hivi atakiongea kama mimi na wewe?!😅😅😅

    • @MikidadiKimilike
      @MikidadiKimilike 7 วันที่ผ่านมา +8

      Yapo makabila hapa tanzania mpaka leo hawajui kiswahili mfano wahadzabe

    • @tanzcanmediatv4473
      @tanzcanmediatv4473 7 วันที่ผ่านมา +4

      Wamasai.wazandaki n.k. hawajui sembuse aliyezaliwa nje na kukulia huko

    • @hassanmfaume4522
      @hassanmfaume4522 7 วันที่ผ่านมา +3

      ​@@MikidadiKimilikehata wakurya 😅😅😅

  • @gallegalleson4427
    @gallegalleson4427 8 วันที่ผ่านมา +1

    Mmhh tz😮 Imebakwa

    • @magorymara5515
      @magorymara5515 7 วันที่ผ่านมา +1

      Dunia haipo huko ulipo Dunia ni ya binadam wote hiki ni chungu mungu alipotuweka

  • @avinrwegasira3448
    @avinrwegasira3448 7 วันที่ผ่านมา +1

    Matajir

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd 7 วันที่ผ่านมา

    sasa huyu bwege sie jua kiswahili kabx kafata Nini uku linaonekana lina zarau kama malehemu baba yake alimuambia magufuli siongei Na mmbwa Naongea Namwenye mmbwa Next time yule mmbwa akaota meno manji alijua hajui

    • @yusufismail3116
      @yusufismail3116 7 วันที่ผ่านมา +1

      Kijana jifunze, maneno yatakayokusaidia mfano kufanya kazi kwa bidii. Roho mbaya ni uchawi unatakaokuloga wewe mwenyewe.

    • @birianination7097
      @birianination7097 7 วันที่ผ่านมา +1

      Kuwa na utu, punguza chuki usije kufa mdomo wazi

    • @ustawiwetu
      @ustawiwetu 7 วันที่ผ่านมา +1

      Kwani Katiba inasema kuwa Mtanzania lazima ujue Kiswahili?

    • @mussahussein3583
      @mussahussein3583 7 วันที่ผ่านมา

      Unaonekana unachuki binafsi mwezetu. Jiangalie

    • @patriciamaganga3891
      @patriciamaganga3891 4 วันที่ผ่านมา

      Umasikini ni shift sana

  • @ProsperUlungi
    @ProsperUlungi 7 วันที่ผ่านมา +2

    Huyu nae anajiita mtanzania . Mtanzani wa wapi huyu 😂

    • @SaidiMkome-qq7hy
      @SaidiMkome-qq7hy 7 วันที่ผ่านมา +3

      Ubaguzi

    • @nassirali7499
      @nassirali7499 7 วันที่ผ่านมา +3

      Mtanzania ni mama ako tu! Mbuzi ww!

    • @ProsperUlungi
      @ProsperUlungi 7 วันที่ผ่านมา

      @@nassirali7499 mbona povu ndugu yako huyo au Shobo .kwa akili yangu unafikili ni ndugu zako hao . Hao wapo kwa niaba ya kutafuta2 ndio hata watoto wake wamezaliwa huko wamekulia huko hapa bongo wanakuja kutembea

    • @mataypanga5262
      @mataypanga5262 7 วันที่ผ่านมา +1

      Hao ndio wale watanzania walaji wa nchi yetu.
      Mtu siyo raia anakopa hela kwa wazungu wenzie ili kuiba utajiri wetu kwa utajiri hewa

    • @paulinaobiria9649
      @paulinaobiria9649 7 วันที่ผ่านมา +3

      Kwani mtanzania ni nani? Acha ubaguzi

  • @nkwazigatsha
    @nkwazigatsha 7 วันที่ผ่านมา

    Kumbe hata kiswahili hajui na bado mnamuita mtanzania. Hawa siku zote wapo kuiba na kwenda kulia nje ya nchi. Kumbe wana uraia pacha halafu mnawazuia wachovu wengine waliojilipua huko majuu!

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 7 วันที่ผ่านมา

      kama amepewa.Uraia ni MTanzania tu wivu wako tu huo

    • @birianination7097
      @birianination7097 7 วันที่ผ่านมา

      Baba punguza chuki, kwani kua mtanzania ni kuongea kiswahili😂😂. Punguza roho mbaya

    • @ustawiwetu
      @ustawiwetu 7 วันที่ผ่านมา

      Kiswahili hakina faida kama Huna hela au umelala njaa

  • @user-xd4lu1xl6c
    @user-xd4lu1xl6c 7 วันที่ผ่านมา

    Mwonho ukikata damu kijani au nyekungu?

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 7 วันที่ผ่านมา

    Mungu wangu huyu kijana anaishi nchi gani au kazaliwa wapi.Inakuwaje kuwa kiswahili kinamshinda kiasi hicho😢😢

    • @moriscollins4494
      @moriscollins4494 7 วันที่ผ่านมา +3

      Bora hata huyu anakimudu kidogo ingekuwa mwanao wema sepetu 😅😅😅 tena wa kishua

    • @salimalmughairi1634
      @salimalmughairi1634 7 วันที่ผ่านมา +2

      kwani hapo anaongea kisukuma mbona hata watanzania walio zaliwa tz hawajui kiswahili unashangaa nn

    • @Mima-cl2im
      @Mima-cl2im 7 วันที่ผ่านมา +1

      Hawa ni wachumi wanaojifanya watanzania kujitajirisha. Hawatukubali, sisi tunawakubali na kuwakabidhi mali zetu

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 7 วันที่ผ่านมา

      ​@@Mima-cl2imwewe umegundua

    • @birianination7097
      @birianination7097 7 วันที่ผ่านมา +1

      ​@@Mima-cl2im hao waliweze toa ajira 2370 wewe umetoa ngapi.

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x 7 วันที่ผ่านมา

    Mazishi yamefanyika wapi

    • @Namtumbo
      @Namtumbo 7 วันที่ผ่านมา +1

      USA

  • @naimasbuguza2395
    @naimasbuguza2395 7 วันที่ผ่านมา +1

    Ila mtu kama hajui kiswahili vzuri akawa anaongea inaweza kudhani fuse imekatika...
    Ila akiswitch kwenye English ndio utakuwa kumbe ni mzima..
    MFANO bongozozo

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 7 วันที่ผ่านมา

      hahaha tuko wengi

    • @naimasbuguza2395
      @naimasbuguza2395 7 วันที่ผ่านมา

      @@trophywilson7211 nawewe hujui kiswahl vzr🤣

  • @mzalendomzalendo2567
    @mzalendomzalendo2567 7 วันที่ผ่านมา

    Luga ya swahili huijui na mzaliwa wa tz what is wrong with this people

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 7 วันที่ผ่านมา

      Mbona anajua unataka nini ??

    • @ustawiwetu
      @ustawiwetu 7 วันที่ผ่านมา +1

      Kama unajua Kiswahili na Huna hela ina maana gani

  • @user-jn2qj5wf6c
    @user-jn2qj5wf6c 7 วันที่ผ่านมา +1

    Shida ya baba Yako ni kutaka kuuza madawa ya kulevya kuaribu inch yetu🥹🥹

    • @timetravellor5367
      @timetravellor5367 7 วันที่ผ่านมา +2

      Alikuajiri wewe ukauze

    • @bockerNyarusahi
      @bockerNyarusahi 7 วันที่ผ่านมา +1

      Una ushahidi wewe au unaongea kwa chuki zako binafsi

    • @user-jn2qj5wf6c
      @user-jn2qj5wf6c 7 วันที่ผ่านมา +1

      @@timetravellor5367 Nyie najua ndio wale mnao jipendekeza kwa wenye nacho sema ukwel mungu atakusimamia usiwe na tabia za msaka tongue😂😂

    • @Hajer-be2kh
      @Hajer-be2kh 7 วันที่ผ่านมา +1

      Uzaa na ww km ni rahis😢

    • @user-jn2qj5wf6c
      @user-jn2qj5wf6c 7 วันที่ผ่านมา

      @@bockerNyarusahi Sina chuku mm ni msema kweli najua unataka mkate kidogo lakin uwez kupewa watoto wake unaona et hawajui kiswahili ata ujipendekeze upat kitu

  • @AlexDitto-cf8ed
    @AlexDitto-cf8ed 7 วันที่ผ่านมา

    Pole sana

  • @user-hj5hh4zg4e
    @user-hj5hh4zg4e 8 วันที่ผ่านมา +1

    Pole sn kijana ikuze kampun yamzee wako

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj 7 วันที่ผ่านมา +2

      Mali ya Muhindi kufa ni ngumu sana, ukoo Mzima huziangalia kwa jicho la maendeleo zaidi.

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 7 วันที่ผ่านมา

      ​@GeorgeAkasha-zx2rj siyo Waafrica watataka wauze utu

  • @shufaashaban3805
    @shufaashaban3805 8 วันที่ผ่านมา +1

    Pole sana