LEMA AANGUA KILIO WANAICHI WAMEWACHOSHA BOLA WAHAMIE CCM WOTE HAYO AMEYASEMA AKIWA KATIKA MKUTANO ALIPOKUA AKIZUNGUMZA NA WANA NCHI AKIYASEMA KWA UCHUNGU MKUBWA
Mwenyezi Mungu Tunakuomba Ibariki CHADEMA na Mwenyekiti Mbowe kwa jinsi anavyojitolea kwa hali na mali kuwezesha viongozi wake kuelimisha wananchi kuhusu mambo mengi ya Nchi hii ,Hakika najifunza mengi kupitia siasa za CHADEMA .#M4C #CDM .❤
@@ndogoroedson199Wahuni ni Ccm wanao hujum wananchi wao nakufundisha watoto wetu idadi ya miguu ya panzi wakati Hio idadi ya miguu ya Panzi haiwasaidii ktk maisha
Hoaja zako zinaeleweka Mhe Lema nadhani Mungu ni mwaminifu naye atafanya kwa wakati wake. Watanganyika kama hatuelewi tupo tu kufikiria betting na michezo ya timu za nje tunazojua majina ya wachezaji wote ambayo haina faida kabisa katika ustawi wetu, lakni hatuna habari na jinsi gani mali zetu zinavyotumiwa. Laiti watu wangejifunza kutoka kwa Gen Z ya jirani. Mungu atuhurumie
Chama hiki kinazungumzia wabunge kukamatwa mara lema kuwa na kesi mara risasi,, sasa hik chama kitazungumzia matatzo ya wananchi? Hiki chama kila mtu ni selfish
Lema mnalipwa pesa za Wabunge Wabunge VT Maalum mmelipa pesa za Ruzuku ya chama zaidi ya bilioni 2 useme na hayo Kama kweli wewe na chama chako ni wakweli chama chenu lema sio chama Cha kutawala nchi ni kwa sbb sio chama Maamuzi yote yako kwa Mtu mmoja ni hatali hataki kupingwa ww lema na ubabe wako wote ww unamuogopa Mbowe kazi yenu kudumisha fikra za MWENYEKITI hayo unayosema aliyasema Ruto siku mia moja Leo kafeli Kila kitu Kodi mmpaka kwenye mkate kusema kitu kingine kutenda kingine lema nchi sio Jimbo usirahisishe Kila kitu wenye Akili wanaelewa hiyo katiba mpya tume huru ndio iliyomuweka Dr Ruto Madarakani Kama ndio hoja Leo Kenya ingekuwa Paradiso lakini Kenya hapakaliki kisa Kodi Matunda ya katiba mpya na tume huru katiba mpya tume huru sio dawa Dawa Nani Mtawala ingekuwa dawa tungeona Kenya
Watanzania wapo Timamu. Tofauti na mnavyo wafikiria., Bora kibaya ulichonacho, kuliko kibaya zaidi, ambacho Aupo nacho. Wa Tz tunawafahamu vizuri saana, walio madarakani na nyinyi msio kuwa madarakani. Toa sera safisha Kwanza kwako ndo umwambie jirani uchafu wake, unamsema mwenzio ajaoga siku mbili wakati wewe mwenyewe ujaoga mwezi!!!!
Chama ni CCM tu. Nchi hii, tunajuwa baadhi ya makabila yenye ukabila. Tunajuwa watu wa kaskazini asili yao wanaukabila sana, huo ndio ukweli. Haito tokea nchi kuchukuwa Chadema, labda chama kingine
Hakuna anaelipwa mshahara ila nyie mnapiga hela milioni hizo mnatoa wapi?acheni kutudanganya lema hiyo hela mngefanyia maendeleo madarasa zahanati mimi ningewaelewa acheni porojo
Sasa mheshimiwa kama hulipwi nini kinakutesa ww mpaka uteseke hivyo?mm naona una maslahi binafsi.hakuna mtu yyte anafanya kazi isiyo na malipo isipokuwa yesu kristo pekee mwingine yeyote ni anapambania ugali wake
Mwenyezi Mungu Tunakuomba Ibariki CHADEMA na Mwenyekiti Mbowe kwa jinsi anavyojitolea kwa hali na mali kuwezesha viongozi wake kuelimisha wananchi kuhusu mambo mengi ya Nchi hii ,Hakika najifunza mengi kupitia siasa za CHADEMA .#M4C #CDM .❤
Mungu hawezi kukibariki chama cha wahuni
Wapenda uhuru wa ushoga hawa, labda sera zao wazibadili upya ,uhuru uwe na mipaka,.@@ndogoroedson199
Anajitolea vp na chama ni mali ya familiar
@@ndogoroedson199Wahuni ni Ccm wanao hujum wananchi wao nakufundisha watoto wetu idadi ya miguu ya panzi wakati Hio idadi ya miguu ya Panzi haiwasaidii ktk maisha
Ccm au walimu wanaofundisha miguu ya panzi?@@TegemeaFutemakatifu
Nakukubali tuu kwa kuishauri ccm kuboresha huduma kwa njia tofauti tofauti
Point god bless lema
Mashaaalah lema,huna baya,
Mzee democrasia ipi mnaongelea jamanii? Tengeneza kwanza democrasia ya chama chenu ndo muongelee hiyo democrasia
Hoaja zako zinaeleweka Mhe Lema nadhani Mungu ni mwaminifu naye atafanya kwa wakati wake. Watanganyika kama hatuelewi tupo tu kufikiria betting na michezo ya timu za nje tunazojua majina ya wachezaji wote ambayo haina faida kabisa katika ustawi wetu, lakni hatuna habari na jinsi gani mali zetu zinavyotumiwa. Laiti watu wangejifunza kutoka kwa Gen Z ya jirani. Mungu atuhurumie
Salute bro
Nenda ccm lema,chadema utafulia sana
Hakuzaliwa hivo
Akili zako na kufikiri kwako ndiyo kumeishia hapo! Lema siyo type yako kununuliwa kwa tamaa kama mnavyonunua wengine! Hovyoooo kabisa!
@@usembiphonedar5632 hii komment naitunza,ni swala la mda tu
Anakaribishwa hata Msigwa mlisema hataenda CCM yako wapi na Lema ajee tu chadema wamekwisha ki siyasa wanaimba taarbu tu sasa 🤣🤣🤣🤣
#TUNAIMANI NA SAMIA MITANO TENA,MAMA SAMIA OYEE, MAKONDA OYEEE, PITER MSIGWA OYEEE, BASHE OYEEE, CCM OYEEE.
Oyeeeeeeeeeeeeeeee
Oyeeeee CCM oyeee Msigwa oyeeee mama Samia oyeee Makonda oyeee ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Hongera kwa mawazo mazur
Wanataka Mungu ashuke labda aongee mwenyewe ? Wakati unakuja.
Hogera sana kiongozi makini
Nakukubali Mwamba
Mbalikiwe Mungu ndugu zangu
Mungu atusaidie WA Tanzania ambao hatuna uelewa, pipooooosss
ila hawa wapinzani wameteseka kweli
Kama Lema ni mwongo basi mkweli atashuka kutoka juu
Ulipo kuwa mbunge ulishindwaje kufanya hayo muzeeee acha uongo watanzania wanaakili
Mh
Mbunge kazi yake ni kuishauri serikali wewe
Leo wanasema Tanzania ya viwanda
Hamna kitu hapoo, utawadanganya wasiojitambuaa.
amina ccm mwamba
Aisee Mungu atusaidie
Mungu awenawe mwambaaa 🙏🙏
Lema hebu acha story njooni kwenye Mada ya chaguzi zijazo na jinsi gani tunaleta mabadiliko.!!
Subiri kampeni zianze
Hii ndiyo hoja ndugu ambayo itakutia wewe uchungu uiondoe ccm Kisha ndo tuje tutengeneze katiba.
Ccm hawataki kabisa kusikia hiyo kitu
Chama hiki kinazungumzia wabunge kukamatwa mara lema kuwa na kesi mara risasi,, sasa hik chama kitazungumzia matatzo ya wananchi? Hiki chama kila mtu ni selfish
mbona kipindi ukiwa ukiwa mubunge mbona hujawai kusikika
Unamfaham vzr alipokuwa bungeni
Kapunga wameiua wenyewe, halafu wanaagiza mchele kutoka
Na mashamba ya Basuto enzi hizi😮😮
Lema mnalipwa pesa za Wabunge Wabunge VT Maalum mmelipa pesa za Ruzuku ya chama zaidi ya bilioni 2 useme na hayo Kama kweli wewe na chama chako ni wakweli chama chenu lema sio chama Cha kutawala nchi ni kwa sbb sio chama Maamuzi yote yako kwa Mtu mmoja ni hatali hataki kupingwa ww lema na ubabe wako wote ww unamuogopa Mbowe kazi yenu kudumisha fikra za MWENYEKITI hayo unayosema aliyasema Ruto siku mia moja Leo kafeli Kila kitu Kodi mmpaka kwenye mkate kusema kitu kingine kutenda kingine lema nchi sio Jimbo usirahisishe Kila kitu wenye Akili wanaelewa hiyo katiba mpya tume huru ndio iliyomuweka Dr Ruto Madarakani Kama ndio hoja Leo Kenya ingekuwa Paradiso lakini Kenya hapakaliki kisa Kodi Matunda ya katiba mpya na tume huru katiba mpya tume huru sio dawa Dawa Nani Mtawala ingekuwa dawa tungeona Kenya
Lema umeongea jambo sahihi sana
Kweli tunaongozwa na watu wasio na uwezo
Nabii ikulu ni yenu #CHADEMA# WANAMAPINDUZI.
Thubutuu kwa huyo mkimbizi wa saccos ya mfalme mbowe makengeza?
Sema lema inatakiwa tushikamane hakuna kujali kitu😂
😂😂😂hapo kwenye tunaongozwa na machiziiiii😅😅😅
LEMA MUONGO SANA WEWE ULIKUWA MBUNGE ULIFANYA NINI?
Ulitegemea atafanya nini na bajeti ya utekelezaji wa maendeleo kwenye majimbo wanatoa ccm kunachakufanya happ
Peleka huko,wewe hata familia inakulalamikia, licha ya Nchi,mkimbizi
Kwa hiyo tukudaidie.nini
mbona ujawai kuongelea bungeni
kichwa san mwamba
Iko sawa mkuu wangu
Lema zuri gani umewafanyia watanzani?
Sasa wewe unawatetea wanyonge yajaze hayo maji acha ngonjera zako
Hamna mtu hapo lema ni hewa nenda machame
Unasikika mwanaume
Hongera sana kamanda lema
Mungu akubariki Lema. Kweli tupuu unayoiongea.
Mngefanya hata moja lamaana sio kusambaza maneno hata kwenye kanga yapo
Huna mpango kilichobaki kakojoe ukalale unataka siasa ndo hiyo
umesahau na kesi ya mkeo
Nabii wa Mungu piga kazi Ikulu safari hii ni yenu
Kaka ikilu ipi ,kwa katiba gani?
Nimekuelewa lema
Wananchi siku wakiweelewa hoja zenu amtatumia nguvu kushawshi watu
Napita tu...ila njaa mbaya
Nisuala la muda tu
Mnatoa wap pesa
Upo sawa
kweli chadema mnazidiwa na mwamposa
Kama hampati Hela yoyote.Hela ya ruzuku imetoka juzi imeenda wapi?
We ni mpuuzi tu
Tulikupa ubunge ukaenda bungen kupinga kilsa kitu tuambie kipindi chako ulifanya nini
Unachongea tu
Hao watu au mchanga???? People's!!!!!!!!!!!!!!!
PAMBANENI. KARIBU KUNAKUCHA
Cha msingi watu wajiandikishe tukutane kw sanduku la a kura
Mungu mbariki Makonda
Makonda Kwa nafasi yake si haba Lakini Hawa jamaa wanafanya Kazi kubwa sana kutufungua faham zetu, vinginevo Ccm watatuumiza sana
Great visionary
Luzuku mnapeleka wapi wacheni usani
Ee Mwenyenzi Mungu tusaidie.
Kwa hiyo
Fisiyemu ni korona ya taifa la tanganyika
chadema bado sana nyie pigeni kelele tu mtimize wajibu wenu wa kupayuka mchoke mpate usingizi vizuri
Hiyo kauli ya magufuli umeiba
Kauli Gani? Au Kauli zikigongana ni kosa? Acheni Ushamba nyie ma Ccm
Hamna lolote mjingatuu ndo atakuerewa
Zero brain ww
Kuwa na hakili kidog
Asee mungu anaona yote haya hao mambwa wachache kwa nini tusiwauwe tu mizoga hao wanatesa watu kwa faida gani
Watanzania wapo Timamu. Tofauti na mnavyo wafikiria., Bora kibaya ulichonacho, kuliko kibaya zaidi, ambacho Aupo nacho. Wa Tz tunawafahamu vizuri saana, walio madarakani na nyinyi msio kuwa madarakani. Toa sera safisha Kwanza kwako ndo umwambie jirani uchafu wake, unamsema mwenzio ajaoga siku mbili wakati wewe mwenyewe ujaoga mwezi!!!!
Viongozi
wew n hasara kwa taifa
Ulipatikana Guest akili mgando ndiyo maana mnajiita Chawa wachafu wakubwa nyie miccm
Huwezi misquote ukimya,bora ukae kimya kuliko kuzungumza ujinga wenye akili watakudharau,
nai penda chadema sana wa sema kweli siyo wale uki sema ukweli una tolewa bungeni muongo ana pigiwa makofi
Upon sawa
Kenya demokrasia sasa inawatesa.
Kateshi ulikuwa na ngano saafi,wengi hamjui lkn sisi tunaona ulikuwa ni kama ulaya
Majitu ya Tanzania hayaelew kabsa
tatizo hapo kunawapiga hela kila mtu anatetea tumbo lake
✌️✌️✌️
Tunawaomba Karagwe jamani
Wachane hao
Chadema mna Kura nyingi
Yeye amepata wapi?
Lema lkn ulikuwa Mbunge hapa Arusha miaka 10 je huduma inayopatikana Arusha ni tofauti na majimbo ambayo ni ccm ?.
Au ndo kusema mpaka serikali
Huyu huwa hamna kitu ungekuwa mkweli mngelekebisha chama cha cdm
We ndo hamna k2
@@KudraWanguvu-em1xw wewe ndio zaidi
Ruzuku ya chama inatumika kwenye nini?
😢😢😢😢😢😢😢
Hapa wapi?
Chama ni CCM tu. Nchi hii, tunajuwa baadhi ya makabila yenye ukabila. Tunajuwa watu wa kaskazini asili yao wanaukabila sana, huo ndio ukweli. Haito tokea nchi kuchukuwa Chadema, labda chama kingine
Hakika ccm ni chama dume chama imara kigum kutoka madarakan
❤⁹ooo😊
Wakati wewe ni mbunge mbona hayo haukufanya nakwenye jimbo lako ulifanya nini wewe
Hakuna anaelipwa mshahara ila nyie mnapiga hela milioni hizo mnatoa wapi?acheni kutudanganya lema hiyo hela mngefanyia maendeleo madarasa zahanati mimi ningewaelewa acheni porojo
Yani Kodi akusanye mwigulu harafu zahanati ajenge lema huna Akiri
Unatembea faida yako nn
Ruzuku kazi yake nini?
Haitoshi ndugu
Business
😅😅
Lema wewe ni mzalendo
Mzalendo kwenye nn? Halopwi mshahara na hayo matumizi anapata wapi?
😂😂😂😂😂@@kiyabolnjemu9646
Sasa hapo kuna sera gani
🥹
Sasa mheshimiwa kama hulipwi nini kinakutesa ww mpaka uteseke hivyo?mm naona una maslahi binafsi.hakuna mtu yyte anafanya kazi isiyo na malipo isipokuwa yesu kristo pekee mwingine yeyote ni anapambania ugali wake
Propaganda nyingi
Una lolote mchumia tumbo
Upuuzi mtupu
Mganga njaaa tu wewe