#kivumbi

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 ก.ค. 2024
  • LEMA AANGUA KILIO WANAICHI WAMEWACHOSHA BOLA WAHAMIE CCM WOTE HAYO AMEYASEMA AKIWA KATIKA MKUTANO ALIPOKUA AKIZUNGUMZA NA WANA NCHI AKIYASEMA KWA UCHUNGU MKUBWA

ความคิดเห็น • 159

  • @mackrankagenzi5236
    @mackrankagenzi5236 13 วันที่ผ่านมา +26

    Mwenyezi Mungu Tunakuomba Ibariki CHADEMA na Mwenyekiti Mbowe kwa jinsi anavyojitolea kwa hali na mali kuwezesha viongozi wake kuelimisha wananchi kuhusu mambo mengi ya Nchi hii ,Hakika najifunza mengi kupitia siasa za CHADEMA .#M4C #CDM .❤

    • @ndogoroedson199
      @ndogoroedson199 13 วันที่ผ่านมา

      Mungu hawezi kukibariki chama cha wahuni

    • @graysonpastory1918
      @graysonpastory1918 13 วันที่ผ่านมา

      Wapenda uhuru wa ushoga hawa, labda sera zao wazibadili upya ,uhuru uwe na mipaka,.​@@ndogoroedson199

    • @nyerere1259
      @nyerere1259 13 วันที่ผ่านมา

      Anajitolea vp na chama ni mali ya familiar

    • @TegemeaFutemakatifu
      @TegemeaFutemakatifu 12 วันที่ผ่านมา +4

      ​@@ndogoroedson199Wahuni ni Ccm wanao hujum wananchi wao nakufundisha watoto wetu idadi ya miguu ya panzi wakati Hio idadi ya miguu ya Panzi haiwasaidii ktk maisha

    • @damianmcba9525
      @damianmcba9525 12 วันที่ผ่านมา

      Ccm au walimu wanaofundisha miguu ya panzi?​@@TegemeaFutemakatifu

  • @shikuhata
    @shikuhata 9 วันที่ผ่านมา +1

    Nakukubali tuu kwa kuishauri ccm kuboresha huduma kwa njia tofauti tofauti

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 13 วันที่ผ่านมา +10

    Point god bless lema

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz 13 วันที่ผ่านมา +7

    Mashaaalah lema,huna baya,

  • @Anordgration
    @Anordgration 12 วันที่ผ่านมา +2

    Mzee democrasia ipi mnaongelea jamanii? Tengeneza kwanza democrasia ya chama chenu ndo muongelee hiyo democrasia

  • @sammykateregga6238
    @sammykateregga6238 13 วันที่ผ่านมา +6

    Hoaja zako zinaeleweka Mhe Lema nadhani Mungu ni mwaminifu naye atafanya kwa wakati wake. Watanganyika kama hatuelewi tupo tu kufikiria betting na michezo ya timu za nje tunazojua majina ya wachezaji wote ambayo haina faida kabisa katika ustawi wetu, lakni hatuna habari na jinsi gani mali zetu zinavyotumiwa. Laiti watu wangejifunza kutoka kwa Gen Z ya jirani. Mungu atuhurumie

  • @stanastana3199
    @stanastana3199 13 วันที่ผ่านมา +9

    Nenda ccm lema,chadema utafulia sana

    • @ramadhanchenga4606
      @ramadhanchenga4606 13 วันที่ผ่านมา +1

      Hakuzaliwa hivo

    • @usembiphonedar5632
      @usembiphonedar5632 13 วันที่ผ่านมา

      Akili zako na kufikiri kwako ndiyo kumeishia hapo! Lema siyo type yako kununuliwa kwa tamaa kama mnavyonunua wengine! Hovyoooo kabisa!

    • @stanastana3199
      @stanastana3199 13 วันที่ผ่านมา

      @@usembiphonedar5632 hii komment naitunza,ni swala la mda tu

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 7 วันที่ผ่านมา

      Anakaribishwa hata Msigwa mlisema hataenda CCM yako wapi na Lema ajee tu chadema wamekwisha ki siyasa wanaimba taarbu tu sasa 🤣🤣🤣🤣

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf 11 วันที่ผ่านมา +4

    #TUNAIMANI NA SAMIA MITANO TENA,MAMA SAMIA OYEE, MAKONDA OYEEE, PITER MSIGWA OYEEE, BASHE OYEEE, CCM OYEEE.

    • @olivermwakikuti
      @olivermwakikuti 11 วันที่ผ่านมา

      Oyeeeeeeeeeeeeeeee

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 7 วันที่ผ่านมา

      Oyeeeee CCM oyeee Msigwa oyeeee mama Samia oyeee Makonda oyeee ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @JamesMatondo-fk4bh
    @JamesMatondo-fk4bh 13 วันที่ผ่านมา +4

    Hongera kwa mawazo mazur

  • @Flaviosafari
    @Flaviosafari 13 วันที่ผ่านมา +10

    Wanataka Mungu ashuke labda aongee mwenyewe ? Wakati unakuja.

  • @JeremiaholendikaMakeseni
    @JeremiaholendikaMakeseni 13 วันที่ผ่านมา +3

    Hogera sana kiongozi makini

  • @MnyamaTolu-kd5ct
    @MnyamaTolu-kd5ct 13 วันที่ผ่านมา +8

    Nakukubali Mwamba

  • @foibennjeje7730
    @foibennjeje7730 13 วันที่ผ่านมา +2

    Mbalikiwe Mungu ndugu zangu

  • @user-kc6hg1se7b
    @user-kc6hg1se7b 11 วันที่ผ่านมา

    Mungu atusaidie WA Tanzania ambao hatuna uelewa, pipooooosss

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 13 วันที่ผ่านมา +10

    ila hawa wapinzani wameteseka kweli

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb 13 วันที่ผ่านมา +17

    Kama Lema ni mwongo basi mkweli atashuka kutoka juu

  • @user-vb8ki3jo9t
    @user-vb8ki3jo9t 10 วันที่ผ่านมา +2

    Ulipo kuwa mbunge ulishindwaje kufanya hayo muzeeee acha uongo watanzania wanaakili

    • @talentshow2024
      @talentshow2024 9 วันที่ผ่านมา

      Mh

    • @user-vr1ly3rw4h
      @user-vr1ly3rw4h 8 วันที่ผ่านมา

      Mbunge kazi yake ni kuishauri serikali wewe

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb 13 วันที่ผ่านมา +4

    Leo wanasema Tanzania ya viwanda

  • @allyalijai7143
    @allyalijai7143 18 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Hamna kitu hapoo, utawadanganya wasiojitambuaa.

  • @mwaramimbuya5443
    @mwaramimbuya5443 5 วันที่ผ่านมา

    amina ccm mwamba

  • @carloschikawe3244
    @carloschikawe3244 12 วันที่ผ่านมา +1

    Aisee Mungu atusaidie

  • @user-od1pl6ox5m
    @user-od1pl6ox5m 11 วันที่ผ่านมา

    Mungu awenawe mwambaaa 🙏🙏

  • @tibbsminja2575
    @tibbsminja2575 13 วันที่ผ่านมา +4

    Lema hebu acha story njooni kwenye Mada ya chaguzi zijazo na jinsi gani tunaleta mabadiliko.!!

    • @ShamteMaganga
      @ShamteMaganga 13 วันที่ผ่านมา

      Subiri kampeni zianze

    • @karolikisaka8991
      @karolikisaka8991 13 วันที่ผ่านมา

      Hii ndiyo hoja ndugu ambayo itakutia wewe uchungu uiondoe ccm Kisha ndo tuje tutengeneze katiba.
      Ccm hawataki kabisa kusikia hiyo kitu

  • @edgeredson9691
    @edgeredson9691 11 วันที่ผ่านมา +1

    Chama hiki kinazungumzia wabunge kukamatwa mara lema kuwa na kesi mara risasi,, sasa hik chama kitazungumzia matatzo ya wananchi? Hiki chama kila mtu ni selfish

  • @thomasrobert-bf1mf
    @thomasrobert-bf1mf 12 วันที่ผ่านมา +2

    mbona kipindi ukiwa ukiwa mubunge mbona hujawai kusikika

    • @JoshuaSabu-r2p
      @JoshuaSabu-r2p 9 วันที่ผ่านมา

      Unamfaham vzr alipokuwa bungeni

  • @justardzelphine6526
    @justardzelphine6526 13 วันที่ผ่านมา +7

    Kapunga wameiua wenyewe, halafu wanaagiza mchele kutoka

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 13 วันที่ผ่านมา

      Na mashamba ya Basuto enzi hizi😮😮

    • @MnubiMm
      @MnubiMm 13 วันที่ผ่านมา

      Lema mnalipwa pesa za Wabunge Wabunge VT Maalum mmelipa pesa za Ruzuku ya chama zaidi ya bilioni 2 useme na hayo Kama kweli wewe na chama chako ni wakweli chama chenu lema sio chama Cha kutawala nchi ni kwa sbb sio chama Maamuzi yote yako kwa Mtu mmoja ni hatali hataki kupingwa ww lema na ubabe wako wote ww unamuogopa Mbowe kazi yenu kudumisha fikra za MWENYEKITI hayo unayosema aliyasema Ruto siku mia moja Leo kafeli Kila kitu Kodi mmpaka kwenye mkate kusema kitu kingine kutenda kingine lema nchi sio Jimbo usirahisishe Kila kitu wenye Akili wanaelewa hiyo katiba mpya tume huru ndio iliyomuweka Dr Ruto Madarakani Kama ndio hoja Leo Kenya ingekuwa Paradiso lakini Kenya hapakaliki kisa Kodi Matunda ya katiba mpya na tume huru katiba mpya tume huru sio dawa Dawa Nani Mtawala ingekuwa dawa tungeona Kenya

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz 13 วันที่ผ่านมา +13

    Lema umeongea jambo sahihi sana

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k 13 วันที่ผ่านมา +3

    Kweli tunaongozwa na watu wasio na uwezo

  • @TarimoMangi
    @TarimoMangi 13 วันที่ผ่านมา +10

    Nabii ikulu ni yenu #CHADEMA# WANAMAPINDUZI.

    • @MilloWamilonga-ft8ir
      @MilloWamilonga-ft8ir 13 วันที่ผ่านมา +3

      Thubutuu kwa huyo mkimbizi wa saccos ya mfalme mbowe makengeza?

  • @UmmyDaud
    @UmmyDaud 9 วันที่ผ่านมา

    Sema lema inatakiwa tushikamane hakuna kujali kitu😂

  • @heriethmsambili5711
    @heriethmsambili5711 10 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂hapo kwenye tunaongozwa na machiziiiii😅😅😅

  • @MohamedHamsini
    @MohamedHamsini 13 วันที่ผ่านมา +2

    LEMA MUONGO SANA WEWE ULIKUWA MBUNGE ULIFANYA NINI?

    • @ericlowasa3097
      @ericlowasa3097 9 วันที่ผ่านมา

      Ulitegemea atafanya nini na bajeti ya utekelezaji wa maendeleo kwenye majimbo wanatoa ccm kunachakufanya happ

  • @sarikielimbise447
    @sarikielimbise447 12 วันที่ผ่านมา +1

    Peleka huko,wewe hata familia inakulalamikia, licha ya Nchi,mkimbizi

  • @epifaniamilinga2848
    @epifaniamilinga2848 13 วันที่ผ่านมา +2

    Kwa hiyo tukudaidie.nini

  • @thomasrobert-bf1mf
    @thomasrobert-bf1mf 12 วันที่ผ่านมา +1

    mbona ujawai kuongelea bungeni

  • @rehemakarafuu-xi1py
    @rehemakarafuu-xi1py 13 วันที่ผ่านมา +2

    kichwa san mwamba

  • @abubakarimchani8362
    @abubakarimchani8362 12 วันที่ผ่านมา

    Iko sawa mkuu wangu

  • @RwegoshoraPatt-os2ik
    @RwegoshoraPatt-os2ik 12 วันที่ผ่านมา +1

    Lema zuri gani umewafanyia watanzani?

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 13 วันที่ผ่านมา +3

    Sasa wewe unawatetea wanyonge yajaze hayo maji acha ngonjera zako

  • @davidmalisa8043
    @davidmalisa8043 11 วันที่ผ่านมา +1

    Hamna mtu hapo lema ni hewa nenda machame

  • @sadicksingogo260
    @sadicksingogo260 12 วันที่ผ่านมา +1

    Unasikika mwanaume

  • @user-qh5lq7gx2b
    @user-qh5lq7gx2b 12 วันที่ผ่านมา

    Hongera sana kamanda lema

  • @ceciliamagalabajimmy4391
    @ceciliamagalabajimmy4391 13 วันที่ผ่านมา +2

    Mungu akubariki Lema. Kweli tupuu unayoiongea.

  • @AbdallahBabu-jl8ld
    @AbdallahBabu-jl8ld 13 วันที่ผ่านมา +1

    Mngefanya hata moja lamaana sio kusambaza maneno hata kwenye kanga yapo

  • @user-rk9gr9yf3i
    @user-rk9gr9yf3i 13 วันที่ผ่านมา +1

    Huna mpango kilichobaki kakojoe ukalale unataka siasa ndo hiyo

  • @samwelsimon7392
    @samwelsimon7392 13 วันที่ผ่านมา +1

    umesahau na kesi ya mkeo

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb 13 วันที่ผ่านมา +7

    Nabii wa Mungu piga kazi Ikulu safari hii ni yenu

    • @DanisNwita-il8zg
      @DanisNwita-il8zg 13 วันที่ผ่านมา +1

      Kaka ikilu ipi ,kwa katiba gani?

  • @edsonmoris
    @edsonmoris 13 วันที่ผ่านมา +1

    Nimekuelewa lema

  • @HashimuAbubakar-ej8gc
    @HashimuAbubakar-ej8gc 13 วันที่ผ่านมา +2

    Wananchi siku wakiweelewa hoja zenu amtatumia nguvu kushawshi watu

  • @molenicharles9107
    @molenicharles9107 13 วันที่ผ่านมา +1

    Napita tu...ila njaa mbaya

  • @emmanuelmashishanga7141
    @emmanuelmashishanga7141 13 วันที่ผ่านมา +3

    Nisuala la muda tu

  • @emmanuelkyandochali990
    @emmanuelkyandochali990 12 วันที่ผ่านมา +1

    Mnatoa wap pesa

  • @barakamanga5502
    @barakamanga5502 13 วันที่ผ่านมา +1

    Upo sawa

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa5179 13 วันที่ผ่านมา +1

    kweli chadema mnazidiwa na mwamposa

  • @AnaniaBulaya-rc3jv
    @AnaniaBulaya-rc3jv 13 วันที่ผ่านมา +2

    Kama hampati Hela yoyote.Hela ya ruzuku imetoka juzi imeenda wapi?

  • @mbikamtanganaki
    @mbikamtanganaki 12 วันที่ผ่านมา +1

    Tulikupa ubunge ukaenda bungen kupinga kilsa kitu tuambie kipindi chako ulifanya nini

  • @user-px1tc1nj1w
    @user-px1tc1nj1w 13 วันที่ผ่านมา +2

    Unachongea tu

  • @daudibukuku6490
    @daudibukuku6490 13 วันที่ผ่านมา +4

    Hao watu au mchanga???? People's!!!!!!!!!!!!!!!

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 13 วันที่ผ่านมา

      PAMBANENI. KARIBU KUNAKUCHA

    • @KaburuKimath-eu5nf
      @KaburuKimath-eu5nf 13 วันที่ผ่านมา +2

      Cha msingi watu wajiandikishe tukutane kw sanduku la a kura

  • @sarahdeograthias9097
    @sarahdeograthias9097 13 วันที่ผ่านมา +3

    Mungu mbariki Makonda

    • @TegemeaFutemakatifu
      @TegemeaFutemakatifu 12 วันที่ผ่านมา

      Makonda Kwa nafasi yake si haba Lakini Hawa jamaa wanafanya Kazi kubwa sana kutufungua faham zetu, vinginevo Ccm watatuumiza sana

  • @pennymahombo9528
    @pennymahombo9528 13 วันที่ผ่านมา +4

    Great visionary

  • @user-bj9nb1yh3o
    @user-bj9nb1yh3o 9 วันที่ผ่านมา

    Luzuku mnapeleka wapi wacheni usani

  • @godhelpmassam3480
    @godhelpmassam3480 10 วันที่ผ่านมา +1

    Ee Mwenyenzi Mungu tusaidie.

  • @ngwandukadama4229
    @ngwandukadama4229 13 วันที่ผ่านมา +2

    Kwa hiyo

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 13 วันที่ผ่านมา +3

    Fisiyemu ni korona ya taifa la tanganyika

    • @samwelsimon7392
      @samwelsimon7392 13 วันที่ผ่านมา +1

      chadema bado sana nyie pigeni kelele tu mtimize wajibu wenu wa kupayuka mchoke mpate usingizi vizuri

  • @gracemairusya2950
    @gracemairusya2950 13 วันที่ผ่านมา +3

    Hiyo kauli ya magufuli umeiba

    • @TegemeaFutemakatifu
      @TegemeaFutemakatifu 12 วันที่ผ่านมา

      Kauli Gani? Au Kauli zikigongana ni kosa? Acheni Ushamba nyie ma Ccm

  • @MeshackKaboja
    @MeshackKaboja 13 วันที่ผ่านมา +2

    Hamna lolote mjingatuu ndo atakuerewa

  • @davidchihimba9489
    @davidchihimba9489 13 วันที่ผ่านมา

    Asee mungu anaona yote haya hao mambwa wachache kwa nini tusiwauwe tu mizoga hao wanatesa watu kwa faida gani

  • @azizimangara9024
    @azizimangara9024 13 วันที่ผ่านมา +4

    Watanzania wapo Timamu. Tofauti na mnavyo wafikiria., Bora kibaya ulichonacho, kuliko kibaya zaidi, ambacho Aupo nacho. Wa Tz tunawafahamu vizuri saana, walio madarakani na nyinyi msio kuwa madarakani. Toa sera safisha Kwanza kwako ndo umwambie jirani uchafu wake, unamsema mwenzio ajaoga siku mbili wakati wewe mwenyewe ujaoga mwezi!!!!

    • @user-lw3tg3yg5b
      @user-lw3tg3yg5b 13 วันที่ผ่านมา

      Viongozi

    • @noelyhaule5695
      @noelyhaule5695 13 วันที่ผ่านมา +2

      wew n hasara kwa taifa

    • @erickmsigala138
      @erickmsigala138 13 วันที่ผ่านมา +1

      Ulipatikana Guest akili mgando ndiyo maana mnajiita Chawa wachafu wakubwa nyie miccm

    • @pennymahombo9528
      @pennymahombo9528 13 วันที่ผ่านมา

      Huwezi misquote ukimya,bora ukae kimya kuliko kuzungumza ujinga wenye akili watakudharau,

  • @user-md7sd3hk6l
    @user-md7sd3hk6l 13 วันที่ผ่านมา

    nai penda chadema sana wa sema kweli siyo wale uki sema ukweli una tolewa bungeni muongo ana pigiwa makofi

  • @eliasnshashi3196
    @eliasnshashi3196 13 วันที่ผ่านมา

    Upon sawa

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l 13 วันที่ผ่านมา

    Kenya demokrasia sasa inawatesa.

  • @karolikisaka8991
    @karolikisaka8991 13 วันที่ผ่านมา

    Kateshi ulikuwa na ngano saafi,wengi hamjui lkn sisi tunaona ulikuwa ni kama ulaya

  • @dunstankihaa2383
    @dunstankihaa2383 12 วันที่ผ่านมา

    Majitu ya Tanzania hayaelew kabsa

  • @athumanmtunguja4412
    @athumanmtunguja4412 12 วันที่ผ่านมา

    tatizo hapo kunawapiga hela kila mtu anatetea tumbo lake

  • @dianamakyara4210
    @dianamakyara4210 13 วันที่ผ่านมา

    ✌️✌️✌️

  • @nabimanyafesto5014
    @nabimanyafesto5014 13 วันที่ผ่านมา

    Tunawaomba Karagwe jamani

  • @NusraMwalyawa
    @NusraMwalyawa 10 วันที่ผ่านมา

    Wachane hao

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko 13 วันที่ผ่านมา

    Chadema mna Kura nyingi

  • @justardzelphine6526
    @justardzelphine6526 13 วันที่ผ่านมา

    Yeye amepata wapi?

  • @ibrahimgwasma1223
    @ibrahimgwasma1223 12 วันที่ผ่านมา

    Lema lkn ulikuwa Mbunge hapa Arusha miaka 10 je huduma inayopatikana Arusha ni tofauti na majimbo ambayo ni ccm ?.
    Au ndo kusema mpaka serikali

  • @KudraWanguvu-em1xw
    @KudraWanguvu-em1xw 13 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu huwa hamna kitu ungekuwa mkweli mngelekebisha chama cha cdm

    • @hanujoseph8809
      @hanujoseph8809 12 วันที่ผ่านมา

      We ndo hamna k2

    • @Flaviosafari
      @Flaviosafari 12 วันที่ผ่านมา

      @@KudraWanguvu-em1xw wewe ndio zaidi

  • @nasibuabasi4701
    @nasibuabasi4701 12 วันที่ผ่านมา

    Ruzuku ya chama inatumika kwenye nini?

  • @hamiltonmzee6120
    @hamiltonmzee6120 13 วันที่ผ่านมา

    😢😢😢😢😢😢😢

  • @TonyTrans-xw3bb
    @TonyTrans-xw3bb 13 วันที่ผ่านมา

    Hapa wapi?

  • @abuuawalina2625
    @abuuawalina2625 12 วันที่ผ่านมา +2

    Chama ni CCM tu. Nchi hii, tunajuwa baadhi ya makabila yenye ukabila. Tunajuwa watu wa kaskazini asili yao wanaukabila sana, huo ndio ukweli. Haito tokea nchi kuchukuwa Chadema, labda chama kingine

    • @olivermwakikuti
      @olivermwakikuti 11 วันที่ผ่านมา

      Hakika ccm ni chama dume chama imara kigum kutoka madarakan

  • @MajaliwaTalali
    @MajaliwaTalali 12 วันที่ผ่านมา

    ❤⁹ooo😊

  • @MichaelEliasmwampamba
    @MichaelEliasmwampamba 10 วันที่ผ่านมา

    Wakati wewe ni mbunge mbona hayo haukufanya nakwenye jimbo lako ulifanya nini wewe

  • @ombenipenieli1432
    @ombenipenieli1432 11 วันที่ผ่านมา

    Hakuna anaelipwa mshahara ila nyie mnapiga hela milioni hizo mnatoa wapi?acheni kutudanganya lema hiyo hela mngefanyia maendeleo madarasa zahanati mimi ningewaelewa acheni porojo

    • @ZakayoYohana
      @ZakayoYohana 11 วันที่ผ่านมา

      Yani Kodi akusanye mwigulu harafu zahanati ajenge lema huna Akiri

  • @samsongazika8908
    @samsongazika8908 11 วันที่ผ่านมา

    Unatembea faida yako nn

  • @ShamteMohmed-ed2kk
    @ShamteMohmed-ed2kk 13 วันที่ผ่านมา +1

    Ruzuku kazi yake nini?

  • @lorubaadvocates
    @lorubaadvocates 13 วันที่ผ่านมา +1

    Business

  • @DanielManumbo
    @DanielManumbo 9 วันที่ผ่านมา

    😅😅

  • @jumashimba9620
    @jumashimba9620 13 วันที่ผ่านมา +1

    Lema wewe ni mzalendo

    • @kiyabolnjemu9646
      @kiyabolnjemu9646 13 วันที่ผ่านมา +2

      Mzalendo kwenye nn? Halopwi mshahara na hayo matumizi anapata wapi?

    • @YassinRajabu
      @YassinRajabu 13 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂​@@kiyabolnjemu9646

  • @user-px1tc1nj1w
    @user-px1tc1nj1w 13 วันที่ผ่านมา +1

    Sasa hapo kuna sera gani

  • @MenelusCzar
    @MenelusCzar 13 วันที่ผ่านมา

    🥹

  • @JosephM.meiliari
    @JosephM.meiliari 10 วันที่ผ่านมา

    Sasa mheshimiwa kama hulipwi nini kinakutesa ww mpaka uteseke hivyo?mm naona una maslahi binafsi.hakuna mtu yyte anafanya kazi isiyo na malipo isipokuwa yesu kristo pekee mwingine yeyote ni anapambania ugali wake

  • @nasibuabasi4701
    @nasibuabasi4701 12 วันที่ผ่านมา

    Propaganda nyingi

  • @MosesKamba-tk3lp
    @MosesKamba-tk3lp 13 วันที่ผ่านมา +3

    Una lolote mchumia tumbo

  • @MakameAbdallah-wn3hc
    @MakameAbdallah-wn3hc 13 วันที่ผ่านมา +1

    Upuuzi mtupu

  • @samwelnevele7796
    @samwelnevele7796 13 วันที่ผ่านมา

    Mganga njaaa tu wewe