Dr. Chris Mauki: Mbinu 4 za kupona haraka penzi linapo vunjika
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 3 ต.ค. 2024
- Je unahangaika sana kwa sababu tu penzi lako limevunjika? Unashindwa kulala au kula? Maisha hayaendi? Jibu ninalo hapa. Hizi hapa mbinu 4 za kupona penzi linapo vunjika.
#DrChrisMauki#Kupona#PenziKuvunjika
Kama ningeijua hii Chanel mapema nisingekua mtu wa kujihukumu but namshukuru Mungu niliijua katika wakati sahihi God bless you doctor Chris
Asante Sana mungu akupe heri siku zote,nimepona na naendelea kuishi nae ingawa kila mtu anaishi Maisha yake,umenikomboa mauki🙏🙏
No 1,,,pekee ni jambo zur sana,,,,, jiambie mwenyewe, lazma maisha yaendeleee❤️
Safi kabisa samehe alafu achiliia kumbeba yaani nenda zako kajichanganye michenzoni huko pambana na kazi Toka nje watu wakuone utaipata mwingine usijifungie kaa vinzuri kuliko mwanzo
I have learn a lesson through this..🔥🔥🔥
Napenda ushauri wako ni WA thamana sana,,nmekua nikikufuatilia sana,,mungu akubariki sana 💝💝
Mungu akubariki kaka umenisaidia mnoo
Thanks najifunza mengi kutoka kwako God bless you and your family
Ubarikiwe Sana kaka angu
Asante sana Dr umenitia moyo...umenipa moyo wa kusonga mbele ..mungu akubariki sana
Asante sana kaka mungu akujaalie kila la kher umenibadilisha sanaa
Hii ya kukaa ndani inaumiza sana
Amina mungu akufanye kuwa kichwa na si mkia kaka.
Nafundisho zako inanisaidia sana,asente mungu akubariki sana.
Asante baba MUNGU akubariki sana its me suzie
Mung akupe maisha marefu
Ahsante sana maana leo hii nimeshaachana na mpenz wang
Mungu akubariki kak yangu
Mke wangu kaniachia g'alfa sina kosa. Nasikia yuko na mtu mwingine naumia sana tena sana. Nimemwachia Mungu tu apambane naye
Nakupenda wewe kaka wallah kwa ushauri wako
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
Aksante ndugu kwa ushaur
Kweli lazima maisha yaenderee
Mungu wa mbinguni akubariki sana kaka Mauki
mungu akuweke kaka tunajifunza sana kupitia wewe
Brooo ishi miaka mingi mungu akutunze🙏🙏🙏
Chris nashindwa kusamehe sijui nifanye nn jmn
My best channel Ever... thank you chriss you tought me alot..😘
Nashukuru sana sana kutazama. Natumaini ume subscribe tayari rafiki
Dah 😭😭😭nmejifunz vit ving aisee npo kwny wakati mgum
Shukrani
Asante
Mpnz jamn ivo mnavosema tofauti kwakwel kama umeingia deep katika kupenda ila kilakitu kinawezekana watu wanapata uchiz kwakupenda dah noma sana
Daah,mume wngu ameniacha cjamaliza eda bado juzi ijumaa kaoa kaniacha na mtoto naumia hana hata Salam wala huduma lakini nitajitahidi😔😔😔
Pole Sana ndogo wangu,tupo wengi tumetelekezwa, jipe moyo muombee mungu atakutetea,
Pole bby😢
ina uma kweli
inaumiza sana pole sana ila ipo siku atakutafuta
Pole mungu atupe ujasiri
Asntsa mmi nimeuzwasana
Swadakta
Point taken ...alot thxz boss
🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Chris mauki
Samehe
Mie mwanmme nilipenda kichizi ila nilichitiwa na kitu kilichonifanya niweze kuachana nae nilikua kila nikikumbuka daimond kachana na hamisa mobeto jins alivokua mzur basi najikuta na mm naweza kumuacha pengine ntapata mwemgine kama zuchu
😂😂😂 umeanza vzr ila huku chin umenichekesha, samahan lkn kpenz
Nimeachilia kutoka Moyon
Mwangu....
Tanks 4 ur advice broo
Ahsate dk mauki. Mm.sijawahi kujuta hata siku moja.kukusikiliza.
Thanks a lot bro ,
Usikute bro Chris mwenyew ukiachwa reaction yako n balaa....but so thanks....
Miriam akiniacha nahamia anakoenda.
Hahaha ety akiachwa
@@ChrisMauki1 🤣🤣🤣
@@ChrisMauki1😂❤
😂
Nashkur sana kwahili somo, kwasbb mm nimuhanga mana mahusiano yangu yamevunjika mwezi mmoja tu uliopita lkn kila nikifikiria bado moyo unaniuma sana mana sikutarajia kwakweli
Nashukuru sana sana kutazama. Natumaini ume subscribe tayari rafiki
Asante sana mpendwa nina changamoto kubwa sana katika mahusiano yangu ila nimejifunza kitu kutoka kwako
Nina mimba yake alafu kaniacha nifanyaje
On Point
Thanks nimejifunza apa sana
Nimepona sehemu kubwa ubarikiwe mno Dr. Lakin npo karb nae lakn Kila nkimuona moyo wangu unaniuma sana
Pole
Ni muda mrefu tangu moyo wangu uumie nime kuja hapa nikiwa nime umia tena 20-10-2023
❤
Dr.shukran kuna kitu ntakuomba unishauri ntakucheki inbox ngoja nitulie kidogo
Shukran sanaa
MUNGU akubariki sana
Nimependa hii point👉 jichanganye...
Yaan kk cjui nikushukuru vip.Unanipa faraja Sana ubarikiwe
Napt moy kwa mafunz yk niilikt tamaa san mung akubarik
Salute kwako Doctor 🙏🙏 nakukubali sana
Asante sana my brother from another mother hakika umenitoa mbali
Namshukuru Mungu nimepona moyo wangu
Ongera
Shukran sana Ubarikiwe😢
Hongera happynes hapa lazima upone
Hakuna mkamilifu, bora kusamehe
Yaan km vile unaniambia mie
Daaah Mauki umenisaidia sana kaka thanx
Asante nimejifunza kitu
Asante Dr kwa ushauri wako nimeshasamehe
Be blessed
Yes,,,, uko sawa kabisa ushaur konk
Daah wewe baba uko vizuri ubarikiwe
Nimekuelewa kaka
Thank you doctor Mungu Akuweke
Asante sana🙏
Doctor nisaidie niko kwa wakati mugumu Sana baada ya mpenzi wangu kuniaza kwa sababu ya rafiki yangu wa ndani na kuingia nae kwenye mausiano na kuniaza Mimi..naumia sana
Pole jaman
Habari yako kaka Chris mauki naitwa Isack nimeachana na mpenzi wangu baada ya kugundua kuwa hanipendi tena mapenzi yamekufa hayapo tena kwangu mawasiliano amekata anitafuti tena wala kunijulia hali yangu hanijulii lakini bado nampenda sana nifanyaje kaka yangu
MH Acha Tu pole matatizo yetu yanafanana
Asante Sana mauki.
asantee
Ushaur konk, 👍👍👍👍👍👍👍👍👍❤️👍
Mungu akubariki hakika umekuwa msaada kwangu
Mungu akubilki
Ameni najifunza sana kwako Dr.
Nakupenda
Asntee
Asante kaka yangu
Mungu akubariki Sana mtumishi wa mungu
Thanks bro god bless u
Asant san Dr Chris🙏
Thanks
😢
Asante sanaa kakaa
Kikubwa kusamehe, na maisha yaendeleee
Barikiwa sana!
Dr nabarikiwa Sana na mafundisho yako mungu azidi kukuweka najifunza vitu vipya kila siku kutoka kwako🙌🙌🙌🙌
Shukrani
Yaani doct nacheka mpaka basi japo inauma
Merci beaucoup
Nashukuru sana sana kutazama. Natumaini ume subscribe tayari rafiki. Merci
D'accord mauki
Doctor Mimi nilikuwa na mwezangu sasa basi ani najikuta Sana Nina maumivu Sana katika moyo wangu kwakweli