Dr. Chris Mauki: Usifanye makosa haya mara tu mnapo achana

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 1 ต.ค. 2024
  • Ni kwa nini wengi wanapoachana hali huwa mbaya na machungu huongezeka? Ni kwa sababu kuna mambo hawapaswi kufanya na wao hufanya. Nimekupatia hapa baadhi ya mambo hayo

ความคิดเห็น • 33

  • @anithamsoke2329
    @anithamsoke2329 หลายเดือนก่อน +2

    Asante mtumishi wa Mungu. Huu ujumbe ni wangu kabisaa. Wakati nimepewa talaka baada ya miaka 17 ya ndoa yangu nili assume kama vile mume amekufa kwahiyo nilibaki kujiazama mm kama mm na maisha yangu. Sikujali juu ya tatizo. Niliamua kujitafuta na mpaka sasa nakaribia kujipata🙏

  • @TundaEmanuel-ns8kj
    @TundaEmanuel-ns8kj หลายเดือนก่อน +1

    Nasikia Amani San nahayo ndio maswal nilikuwa najiuliza kumbe najikosea nazid kukonda tu

  • @JanethMadios
    @JanethMadios 2 หลายเดือนก่อน +1

    Umezidi kuwa baraka kwenye maisha ya waliojeruhiwa ktk mahusiano, endelea kubarikiwa baba

  • @sarahlameck195
    @sarahlameck195 ปีที่แล้ว +4

    Umenena ukweli, heri nijipende na kujiundumia💪💪🥳🥳

  • @EmanuelSaloon
    @EmanuelSaloon 14 วันที่ผ่านมา

    Nayapitia mimi

  • @RosemaryDaniel-q7h
    @RosemaryDaniel-q7h 7 วันที่ผ่านมา

    Dr unanigusa mm

  • @Nemesolomi21
    @Nemesolomi21 4 หลายเดือนก่อน +1

    Nitapona mm sio wa kwanz Duniani kuachana

  • @anithamsoke2329
    @anithamsoke2329 หลายเดือนก่อน

    Asante mtumishi wa Mungu. Baada ya miaka 17 ya ndoa yangu na talaka juu bila sababu ya msingi, niliamua kukubali matokeo na kuanza toka zero. Na mpaka sasa najitafuta na naona nakaribia kujipata. Najua kila kitu kinatokea kwa sababu kwahiyo namshukuru Mungu ktk yote.

  • @clovicemusobozi3891
    @clovicemusobozi3891 3 หลายเดือนก่อน +1

    Asante sana ubarikiwe

  • @FasdaJamali
    @FasdaJamali ปีที่แล้ว +1

    Asnte sana MUNGU akubarik🤲🤲🙏

  • @UwantegeZapinga
    @UwantegeZapinga 11 หลายเดือนก่อน

    Asante sana Mungu akubarik kwa kweli tunanjifuza mengi kuhus ndowa zetu endeya kutupa mafunzo

  • @queenhassanngwilizi
    @queenhassanngwilizi 2 หลายเดือนก่อน

    Unakuta unaamua maamuzi magumu wakati haukua tayari

  • @salmavicky6095
    @salmavicky6095 11 หลายเดือนก่อน

    I wish ungefundisha pia kuhusu co-parenting

  • @JemaJema-m9q
    @JemaJema-m9q 28 วันที่ผ่านมา

    Asanteee sanaa mtumishiii

  • @irennyamanda7465
    @irennyamanda7465 ปีที่แล้ว

    Asante sana kwa kweli watu kuongea lazima waongee lakini maisha lazima yaendelee,Mungu akubariki sana Dr Chris kwa mafundisho

    • @nellymichael2782
      @nellymichael2782 11 หลายเดือนก่อน

      Mungu akubafiki sana kwa Elimu

  • @pendojoram6039
    @pendojoram6039 หลายเดือนก่อน

    Mm naomba no yako tu

  • @StellaIbrahimu-j9p
    @StellaIbrahimu-j9p ปีที่แล้ว

    Kweli baba mungu akubaliki kwa haya mavunzo mema

  • @StellaIbrahimu-j9p
    @StellaIbrahimu-j9p ปีที่แล้ว

    Amina kabisa baba napenda mavunzo mazuri

  • @TzMwenge-wy5lf
    @TzMwenge-wy5lf ปีที่แล้ว

    Huu ukweli kabsa Asante San ticha

  • @RehemaNjowela
    @RehemaNjowela 2 หลายเดือนก่อน

    Asante sana

  • @nyamizichilimali9420
    @nyamizichilimali9420 2 หลายเดือนก่อน

    Kabisaaa kabisaa

  • @henrymwalugala3619
    @henrymwalugala3619 11 หลายเดือนก่อน

    ushauri mzuri

  • @pendonestory1366
    @pendonestory1366 11 หลายเดือนก่อน

    Ahsante sana

  • @MajidAbdullah-p9s
    @MajidAbdullah-p9s ปีที่แล้ว

    ys. I realy like this.

  • @BinthamoudAlmauly-fd6cx
    @BinthamoudAlmauly-fd6cx ปีที่แล้ว

    Shukraan.....

  • @michmaurjames1016
    @michmaurjames1016 ปีที่แล้ว

    Nimepona

  • @angelinasendwa8633
    @angelinasendwa8633 11 หลายเดือนก่อน

    Okay

  • @catherinemutiembu5611
    @catherinemutiembu5611 ปีที่แล้ว

    Thank you

  • @eshawakesho625
    @eshawakesho625 ปีที่แล้ว

    Thanks

  • @lilliesnganzi89
    @lilliesnganzi89 ปีที่แล้ว

    🙏🙏🙏🙏

  • @annaomar-m8u
    @annaomar-m8u ปีที่แล้ว

    Nashukur san