Ni kwa nini wengi wanapoachana hali huwa mbaya na machungu huongezeka? Ni kwa sababu kuna mambo hawapaswi kufanya na wao hufanya. Nimekupatia hapa baadhi ya mambo hayo
Asante mtumishi wa Mungu. Huu ujumbe ni wangu kabisaa. Wakati nimepewa talaka baada ya miaka 17 ya ndoa yangu nili assume kama vile mume amekufa kwahiyo nilibaki kujiazama mm kama mm na maisha yangu. Sikujali juu ya tatizo. Niliamua kujitafuta na mpaka sasa nakaribia kujipata🙏
Asante mtumishi wa Mungu. Baada ya miaka 17 ya ndoa yangu na talaka juu bila sababu ya msingi, niliamua kukubali matokeo na kuanza toka zero. Na mpaka sasa najitafuta na naona nakaribia kujipata. Najua kila kitu kinatokea kwa sababu kwahiyo namshukuru Mungu ktk yote.
Asante mtumishi wa Mungu. Huu ujumbe ni wangu kabisaa. Wakati nimepewa talaka baada ya miaka 17 ya ndoa yangu nili assume kama vile mume amekufa kwahiyo nilibaki kujiazama mm kama mm na maisha yangu. Sikujali juu ya tatizo. Niliamua kujitafuta na mpaka sasa nakaribia kujipata🙏
Nasikia Amani San nahayo ndio maswal nilikuwa najiuliza kumbe najikosea nazid kukonda tu
Umezidi kuwa baraka kwenye maisha ya waliojeruhiwa ktk mahusiano, endelea kubarikiwa baba
Umenena ukweli, heri nijipende na kujiundumia💪💪🥳🥳
Nayapitia mimi
Dr unanigusa mm
Nitapona mm sio wa kwanz Duniani kuachana
Asante mtumishi wa Mungu. Baada ya miaka 17 ya ndoa yangu na talaka juu bila sababu ya msingi, niliamua kukubali matokeo na kuanza toka zero. Na mpaka sasa najitafuta na naona nakaribia kujipata. Najua kila kitu kinatokea kwa sababu kwahiyo namshukuru Mungu ktk yote.
Asante sana ubarikiwe
Asnte sana MUNGU akubarik🤲🤲🙏
Asante sana Mungu akubarik kwa kweli tunanjifuza mengi kuhus ndowa zetu endeya kutupa mafunzo
Unakuta unaamua maamuzi magumu wakati haukua tayari
I wish ungefundisha pia kuhusu co-parenting
Asanteee sanaa mtumishiii
Asante sana kwa kweli watu kuongea lazima waongee lakini maisha lazima yaendelee,Mungu akubariki sana Dr Chris kwa mafundisho
Mungu akubafiki sana kwa Elimu
Mm naomba no yako tu
Kweli baba mungu akubaliki kwa haya mavunzo mema
Amina kabisa baba napenda mavunzo mazuri
Huu ukweli kabsa Asante San ticha
Asante sana
Kabisaaa kabisaa
ushauri mzuri
Ahsante sana
ys. I realy like this.
Shukraan.....
Nimepona
Okay
Thank you
Thanks
🙏🙏🙏🙏
Nashukur san
Asante sana mauki.