1:Ushonaji na upunifu 2:Agiza vitu kutoka nje (cargo) 3:home business (choma viazi,sambusa,chapati,cake) 4:kilimo biashara (mifugo) 5:kununua na kuuza kwa faida (trading) 6:beuty business (vipodozi) 7:real estate (nunua kiwanja jenga rentals)
Kaka Joel wewe ni zawadi ya pekee sana kwa kuvusha wengi,kuinua mioyo iliyokata tamaa na kufungua akili iliyochoka...hua nabarikiwa sana na machapisho yako,na ninaushuhuda wa mahali ulinijenga nikasimama tena. Barikiwa
🤔Katika watu wanaofanya mapinduzi na mageuzi ya kweli nchini Tanzania ni wewe na wale wote wenye kutoa elimu ya fedha na biashara. Hongera na kila hatua hakika unafanya mageuzi kwa watu🤝
BARIKIWA MNOO MTUMISHI JOEL NANAUKA NAKUELEWA SANA.ILA NAOMBA UWAFUNDISHE WABABA WASIWE NA INFERIORITY COMPLEX. WANAWAKE PIA TUSIWE NA JEURI HADI KUKANYAGA WABABA TUKIFANIKIWA.STAY BLESSED
Asante naenda kuwa mpya mchumgaji ubarikiwe niombee sana niweze simama tena maana maadui ni wengi eeee kwenye maisha yangu lkn kwa ujumbe wko huu barikiwa
Hakika Tena wengi TUNALIA NJAA NJAA ata mionekano yetu wengi inamwaibiaha MUNGU Kwa NJAA , tumebweteka na kuridhika tu Kwa dini na KUKESHA kulia na KUOMBA makanisani na kusaka miujiza ,wakati BWANA ALISHAWEKA KILA KITU NDANI YETU ,TUAMKE
Hakika Mda Na MB. MH. Joeli Nanauka Nazo Tumia Kukufatilia Na Kusikiliza Video Zenye Ujumbe Wenye Kutu Jenga Hakika Kukufahamu Na Hata Vitabu Vyako Vyote%86 Ni Hazina Kubwa Kwa Mtu Ambaye Yupo Tayari Kubadilika Na Kuwa Mtu Wa Kitofauti Yani Kuishi Maisha Aliyo Kusudia Mungu Tuishi Au Mtu huyo Aishi Awe Vile Kama Ambavyo Mungu Amekusudia Katika Maisha Yetu Katika Maisha Yake
1:Ushonaji na upunifu
2:Agiza vitu kutoka nje (cargo)
3:home business (choma viazi,sambusa,chapati,cake)
4:kilimo biashara (mifugo)
5:kununua na kuuza kwa faida (trading)
6:beuty business (vipodozi)
7:real estate (nunua kiwanja jenga rentals)
Kaka Joel wewe ni zawadi ya pekee sana kwa kuvusha wengi,kuinua mioyo iliyokata tamaa na kufungua akili iliyochoka...hua nabarikiwa sana na machapisho yako,na ninaushuhuda wa mahali ulinijenga nikasimama tena. Barikiwa
Ahsante sana......nitafika hatua hiyo ya Mume wangu kujivunia mimi.....Amina
👏👏👏👏👏😁😁😁Yan mpk Raha, shukran sana kaka acha nifanye kushare na wanawake wa nguvu
🤔Katika watu wanaofanya mapinduzi na mageuzi ya kweli nchini Tanzania ni wewe na wale wote wenye kutoa elimu ya fedha na biashara. Hongera na kila hatua hakika unafanya mageuzi kwa watu🤝
Asante kaka me at nikiwa nyumbani naweza kumsuka MTU na nikajipatia pesa
Mungu amekutumia kunijibu😢 ubarikiwe kaka❤
Amina. Amina. Ubarikiwe mtu wa Mungu.
BARIKIWA MNOO MTUMISHI JOEL NANAUKA NAKUELEWA SANA.ILA NAOMBA UWAFUNDISHE WABABA WASIWE NA INFERIORITY COMPLEX. WANAWAKE PIA TUSIWE NA JEURI HADI KUKANYAGA WABABA TUKIFANIKIWA.STAY BLESSED
Nashukuru kwa kunipa wasia mwema .acha nimjaribishe mke wangu maana hana kazi yoyote
Usijarib fanya
@@happinesspraygod7276Kwanini asimsaidie mkewe?
Kumsaidia mke wako ni akiri asikudanganye mtu kaka
Hongera mkaka Mungu akupe moyo huohuo mzuri
Amina...Injili iliyonyooka
Mungu akubariki saaaaana, Bado najichanga nikijipata nakupigia
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu
Nimependa hii mtumishi wa mungu ubalikiwe
Amen ni mebarikiwa sn na ujumbe waleo
Asante mtu wa Mungu ubarikiwe wewe na uzao wako amen 🙏
Mungu ni mwema kusikia hili neno
Mungu nipe neema ya kuchagua kitu sahii
Amina mtumishi wa Mungu .
Hakika umenisaidia sana barikiwa sana mtumishi.
Amin...alhamdulillah nimo japo kidogo
Umesema vyema sana barikiwa sana mtumishi wa Mungu
Hongera mwalimu; Juu ya taa inayowaka bila kuzimika, fuatilia yaani Fanya exegetical research. But all is fine!
Ubarikiwe sana mchubgaji asante
Asante naenda kuwa mpya mchumgaji ubarikiwe niombee sana niweze simama tena maana maadui ni wengi eeee kwenye maisha yangu lkn kwa ujumbe wko huu barikiwa
Ubalikiwe sana kaka joel
Hongera mwalimu Mungu akupe siku Nyingi
Dah sante sana bro umenigusa ktk biashala asante kwa kunihakikishia kile nilicho kua nawaza kukifanya❤
Wamama hallooo God bless you servant of the most high God
Asante Mungu
Nipo nasubiri 😊🏆🥇
Barikiwa sana hakika 🙏🙏
Asantee Kaka Joel Nanauka
Somo 🔥🔥🔥🔥🔥
Asante Joel
Mungu akubariki mtumishi
Amina mtumish
God bless you nwalimu
Mungu nipe wateja kwenye duka yangu
Barikiwa sana kaka joel
Barikiwa Sanaa❤❤
Mungu atubariki kwenye harakati zetu za utafutaji.
Ahsante sana Mungu azid kukutunza
Amen Sema watu wa Mungu tuamke maana wacha Mungu tunamzalaulisha Mungu kana kwamba Mungu hawezi kubaliki kumbe hatujakaa mkao wa kupokea.
Hakika Tena wengi TUNALIA NJAA NJAA ata mionekano yetu wengi inamwaibiaha MUNGU Kwa NJAA , tumebweteka na kuridhika tu Kwa dini na KUKESHA kulia na KUOMBA makanisani na kusaka miujiza ,wakati BWANA ALISHAWEKA KILA KITU NDANI YETU ,TUAMKE
Asante ushonaji na ubunifu ❤❤❤❤
Proverb 31🎉❤
Mwanamke ni mtu nanusu Mama zetu hakika madini makubwa hayo
Asante 🙏🏻❤️
Barikiwa sanaaa
Ahsante Sana
Amina mtumishi Ila Mmi mumee wangu hataki nifanye biashara yoyete😢😢 Sasa hapo nifanyeje
Anakupa kila kitu??
Asante sana
Asante baba ubarikiwe maana sasa
Amina na Mimi naamka jamani,mungu nisaidie
Asante sana kaka
Barikiwa sana mwalimu
Well said NANAUKA
Safi kaka nimejifunza kitu hapa
Amen, barikiwa sana mtumishi naomba kujua maandiko yanapatikana katika kitabu gani
Mithali 31
Barikiwa sana brother
Ni kweli soma limeeleweka
Asante sana,barikiwa sana
Tena nilikuwa nataka kununua shamba kibaha na nimemwambia Mungu aingilie kati uhitaji huu.
Asante Joel 🎉
Kibaa watakuibia...
Bora kanunue Mkulanga dadaangu
Ubarikiwe sana jmn 🙏
Hakika Mda Na MB. MH. Joeli Nanauka Nazo Tumia Kukufatilia Na Kusikiliza Video Zenye Ujumbe Wenye Kutu Jenga Hakika Kukufahamu Na Hata Vitabu Vyako Vyote%86 Ni Hazina Kubwa Kwa Mtu Ambaye Yupo Tayari Kubadilika Na Kuwa Mtu Wa Kitofauti Yani Kuishi Maisha Aliyo Kusudia Mungu Tuishi Au Mtu huyo Aishi Awe Vile Kama Ambavyo Mungu Amekusudia Katika Maisha Yetu Katika Maisha Yake
thanks and god bless you
Asante kwa maono mazuri
Wow i like itbarikiwa😊
Well said mtumishi🙏
Ubarikiwe sanaa nimepata kitu
Point MR JOEL
Thank you 😊
Imenijenga sana 🙏🏽❤️
Barikiwa mnoooo
Thenks sana,umesoma kitabu gani
🙌🙌🙌🙌
Genius one ever 🙌
Ubarikiwe sana kijana
Barikiwa sana mtumishi, umenijibu maswali yangu leo
Amina
Asant ubarikiwe
Ubarikiwe
Umeapprove my business idea. Kweli tunaangamia kwa kukosa maarifa. Asante kaka kwa maarifa haya.
Ameni mtumishi
Asantee sana kaka
God bless you my brother
Am blessed
SoMo🔥🔥🔥
Exactly ❤❤
Barikiwa sana
Safi sana mimi nimejifunza kitu katakana nipige hatua japo nafuga kuku wa mayai
Amen 🙏 Amen 🙏 Amen
Barikiwa kaka
Asante!🙏
Hakika mtumishi.
Asante kaka
Shukuran❤
Mungu akubariki sana
Wooow🙏🏽
Hakika ubarikiwe
Amen
Aminaaa