Dr. Chris Mauki: Sababu 5 kwanini mnagombana hovyo
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ย. 2024
- Hivi unajua kuna wapenzi wengi sana hujikuta wanagombana sana na hawajui kwanini wanagombana hivyo. Kila mmoja anamwona mwenzake ndio tatizo. Hali hiyo ikiendelea mnaweza kujikuta mnaachana. Hizi hapa SABABU 5 ZA KWANINI MNAGOMBANA HOVYO, Jifunzeni ili mbadilike#Sababu5#Kugombana#Hovyo
1) Mawasiliano mabovu
2) Kukosekana uelewa
3) Kutokuwepo uelewano
4) UBINAFSI
5) Tabia ya kudhania
NB: Tusifanye hayo
Safi Sana
Nimependa najua hii mada sio ya hapa
Mimi na mchumba wangu tuko mbali geographically Love languages yake Ni physical touch na mahusiano yetu Yana mda wa mwezi mmoja tangu tuwe mbali ananiambia hayuko happy kwasababu there is no physical touch as a way to be Happy
Nifanyaje
Nisahihi kabisa ,ila kweli Mungu aturehemu 🙏❤️
Dr mauki ubarikiwe kwa kutufunza na kuweka akili mpya ndani ya vichwa vya watu wengi tunapitia mengi katika yote unayofundisha lakini tunapona sana ubarikiwe
This is one of the Best video katika video ambazo Dr nimekutana nazo..hakika hii Nita I play mpaka iwe scratches, plan yangu ni kuwa bora na makini kwenye mahusiano yangu. Kweli mahusiano yanajengwa hayajijengi kama wengi tunavyodhani. Maarifa, vitendo, uvumilivu ndio dawa ya kusonga mbele na kufanikiwa kwenye hili eneo
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
Nimejifunza tena mm nimegunduwa ninatabia mbaya lakini Sasa nimeacha kuanzia Leo nimejifunza kabisaa ahsantee mauki kwa somo lako zuriii
Doctor hili ni kweli kabisa mm ni muhanga wa hilo halafu mm ndy mwenye hizo tabia
Asante San doctor nimekuelewa San mungu Akubariki San mausiano yangu yanachangamoto San mi kila cku Ni MTU wa kulia tu
🎉Doctor 🎉mauiki ❤
Hii inatugusa moja kwa moja wanawake, aisee asante sana Dr Mungu akubariki nimejikuta nabadilika kwa mafunzo yako namsaada wa Mungu, kwasasa ni furaha tu maana namuelewa
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
Dr ubarikiwe sanaaa nimekuelewa vzr,ila wanaume wengi ni pasua kichwa Mungu atusaidie wamama tulio kwenye ndoa jamani.
Amiin
Dah dokta mungu akupe maono zaidi mimi nimekua mwanamke wakutengeneza nyumba isiyotengenezeka. Watu wengine niwagumu kuwaweka sawa.nimeamini wengine ndivyowalivyo kwenye koo zao
Pole sana jaribu kumchunguza nakumuuliza Mungu mwana mkeatakiwi kuwa ivyo bali anatakiwa kukuombea lakini akikufumania iyo ni tiketi
Asante Sana Father
Amina Mungu akubariki sana kwa mafundisho mazuri
Napenda unavyofundisha Dr Chris
Uko sahihi Brother. Mimi ndie nilikuwa muhanga wa hizi tabia zote ulizotaja hapo. Shukran sana NITABADILIKA
Very inspiring videos. Thanks. Please do more on communication between two people living together or husband and wife and listening to gossip would break relationship
Asante sana Mtumishi wa mungu, umenigusa mimi moja kwa moja,,,,, 😱 😱
Chris unafundisha vizuri. Nawapenda wote wewe na mke wako Miriam. Mbarikiwe Sana Sana kwakweli
Shukran kaka mauki kwakutupatia elimu bora
Amen Mungu wa mbinguni akubariki
Dokta Nina kuelewa aisee ahsanteee sana dokta
yan kwenye ndoa yangu tunagombana Sana mke wangu ananiambia kuwa Mimi Malaya na wakati hiyo tabia Sina kabisa unazani hiyo ni dalili gan nikichelewa kidogo tunagombana yaan ugomvi ndan ya nyumba Kila ikipita mwez sababusababu zinakua nyingi Sana
Asante sana Dr saivi nimebadilika sana na mume wangu ananifurahia nilikuwa na vimaneno mimi jmn
Stopic hoi imenifungu akili thaks
Asanteee kwa somo zuri nimejifunza kitu ndio maana magomvi yanatokea sana sana
Mungu akubariki sana chris mauki 👏🏾
Ahasante Dr Chris's mimpka hpa tumeishagombana
Kweli iro somo lime nigsa sana mm nampenzi wangu tnagombana ovyo
Asante kwa Somo zuri me mwenyewe ni muhanga wa jambo Hilo
Asante sana kwa somo zuri
Teacher i love your topc so yanabadirisha maisha yangu GOD bleas you
Asante sana apo umipa elemu xx nnimejua hongora dctr
Asante Sana Doctor Nimejifunza Mambo Mengi Sana Ubarikiwe Sana
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
Doctor ninashida sana namsaada waushauri ninamgogoro mkubwa kwenye mahusiano yangu nanimjazito pls dokta
Nashukuru sana Mwl. Kwa masomo mazuri unayotupa Mungu wa mbinguni akubaliki sana
Kweli iyi somo inanigusa sana tena sana. Mimi na mpenzi wangu tunagombana sana tena zaidi kila siku. Akuna uaminifu kati yetu.
Kaka sio wew Tu Mim mpaka saiz mda huu nime itwa na balozi uku
Kufny nn kwabalozi
@@AngellasimonkivuyoSimon-of4xs😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂MUNGU nisamehe yasinikute ,pole jaman😢
@@raphaelyesaya188 🤣🤣🤣
Ubarikiwe San Docter nikipata mahusiano mapya nitaishiii na ivi vitu
Asante dr nawezaje kuongea nawewe mimi nipo Mozambique
Ahsant kwa somo🙏
Congratulations Dr mauki your the solver to us heart breakers
Indeed he teaches very well
Thank you sir
Somo zuri sana mm nina mpenzi wangu ambaye hataki kunielewa hususan upande wa fedha ety akoradhi nikope ili yeye anunue nguo mpya za sikukukuu
Asante sana kwa somo hili ambalo limekuwa ni mimi umeniongelea hadi natafuta plani B sasa
Asante sana kwa ushauri mzuri
Barikiwa Dr. Chris unanifanya napiga hatua
Umeningusa sana
Nimekuelewa sana
Yaaani ni kweli kbs.....be blessed
nasemakutoka moyonimwangu hakunaulijo kisema ambajo sijawahi kukumbana najo katika ndowayangu nimepitiya mengisana shidanyingi sana nikiyanza kusimuliya utaniyoneyahuluma kweli achatu
You are ablessing in Dr
Nimepata somo kubwa
😢😢 🙌🏻
Daaah uwelewaa nimejifunzaa 🥺
Perfect💯
Hongera
Kwel Dr unajua
Barikiwa sana kwa somo zuri.
Umeniongelea mimi maana hata sasahivi siko sawa na mke wangu ahsante kwa mafunzo nitakaa chini kujifunza ili tuishi vyema
Kazi mzuri brother
Dr,Mungu akubariki me nina mume wangu tumezaa nae lakin hatujafunga ndoa lakin kuna kipindi tunagombana hadi inabidi niondoke nirudi nyumban ili kupunguza hasira lakini kuna mda yani tunaongea vizuri hadi naona raha nifanyaje na sijui huwa inakuwa shida ni nn
Thanks nabarikiwa Sana na mafundisho yako
Sante jamn sisi tukiwa maliza wiki tumuombee Mungu yaan mwez hauishi Ugomvi usio na sababu mtu anatoka na Maneno hko anakuja kuuliza ukijib kosa ni ugomvi
Kweli kabisa huyo ni mm lkn maisha ndo yanafanya hivyo ndugu watu tunaokutana na balaa
Mimi na mpenz wangu tunagombana sana na mim ndie chanzo na yeye uchukua atua kunifukuza kwake ikisha sijui kwa nini ila maray sana
Mbona kwangu aifunguki
Thank you 🙏
Thanks somo zuri sana
Aisee 😮🎉❤
Asante sana kaka mauki
Asante sana imenikusa mazima
Broo bigi up sana broo wahaya sina hamu nao malaya wakubwa
Umalaya ni Tabia Ya Mtu kila Sehem wapo wanao kuwa hiv
Criss mauki is the best 😅
That's true
Nakuelewa sana Dr. Sijuti kuwa mwanafamilia ya chanel hii , kiukweli unanibadilisha kila ninapo angalia kila unachokifundisha. BWANA akutunze!!
Kweli kabisa na Mimi ico kitu kinanifikiaga ten nasisi tunagombana na Mme wang san
Sisi ni wanandoa , lakini Mumewangu amezaa Zambia na mwanamke mwingine nifanyaje mwalim
Asant San Dr Chris 🙏
Mungu azidi kukutunza Dr.Chris🙏
Asante dr nawezaje kuongea nawewe mimi nipo Mozambique🇲🇿
Uko zawapi sufo,me niko pemba
Palma
Inanigusa sana Dr
Barikiwa sana kaka
Nimejifunza sana
Ahasante kwa ushaur mzur Kaka
Mm Nina mpenz wangu Kila 2kikutana mm nayeye haniangaliii uson ata dakka m1 yn ananiona aibu sn tn zaid ya sn yn
Blessing
Mafunzo mazuri barikiwa San.
Duu Asante kaka kwa ushaul wako
Fact
Samahani Dr,m na mume wng tumekuwa tukigombanana mume wng na kila tukigombana amekuwa akiniambia kila mtu afanye yake na amekuwa akinitelekeza na kwenda kuishi na rafiki yake lakini na anarudi tena nampokea
Aise mimi nampigia simu mara nyingi sana mume wangu maana ni mtu wa safari sana,lakini yeye anachuna kimyaa!nikichoka kupiga nayeye hapigi,nikaamua kutafuta company ya marafiki tu kwaajili ya mawasiliano maana nilipolalamika alilalamika zaidi naamua kunyamaza
Nikweli baba
Eeh jamani me mpenz wang akiongeà nisipomuelewà ananitukanà kabisà jamani 😭😭😭😭me nimeamuà tyu nimuache coz anielekez kwalughà nzuuuuriiiiii but anàongeà kiukali duuuh me siwezi😭😭😭
Pole sana ana tatizo sehem sio bure.
Asante
kweli kabisa, unasikia wewe wakati wengine wameshasikia miaka mingi Sana, unapokuja kusikia wewe wanakushangaa
Mungu akubariki Dr. Chris
Nasumbuliwa sana na mapenzi yan pak moyo unauma coz baby wangu anao weng
Anza upya
Najifunza mengi sana
Nimejifunza mengi kwako mungu akupe maisha mrfu nafatilia san video zako lakin bado najikuta nang'ang'ania penzi fake sijui nashida gan nampenda mtu ambae hana mda na mimi namtumia txt hanijibu anajibu akijisikia na nikimwambia hiyo tabia sipendi anaomba msamh lakin bado anarudia kile kile usk .naomb nisaidie kaka nijitoe uku nashindwa
Kuna shida hapo kuna kidudu mtu yupo hapo i akili yake imetekwa sehemu nyingine uwe na jicho la 3
Mahusiano fake
Wakati mwingine mtu anakua na ubabe uliopitiliza l hate sana😢
The best lesson 🙏
Mimi nagombana Sana hovyo,,,namke wangu
I wish I listened to you sooner before I got into this fake marriage I would hav made a better decision,ata hivo naomba ushauri wako maanake tuko na watoto watatu sai lakn ndoa haina ladha wala amani 😢
Docta nimekuelewa
Kweli kabisa yani mm ni mtu wa kupanic mnooo
Nikweli hata Mimi na mpenzi wangu tunagombana kila mara na ukiangalia hakuna sababu ya msingi sijui mpaka sasa nifanyeje 😢
Kwel kaka