Wakati mwingine unapokua mtu wa kutendwa mara kwa mara inabidi ukae utafakari kwa kina , kwanza uanze kujisafisha wewe kimwili na kiroho ukishajikamilisha geukia upande wa ukoo pengine Kuna laana za ukoo ndo zinakutesa uwe mtu wa kutendwa mara kwa mara , lakini pia ujitafakari katika safari Yako ya kimahusiano pengine ulishawahi kumtendamtu bila sababu ya msingi halafu machozi yake mungu akayapokea na yakakuweka katika wakati mgumu Tena usiosameheka yote hayo inabidi tujiulize , usilaumutu kua mbona unakua wa kuachwa Kila wakati, jitafakari ukipata majibu mkimbilie mungu, Kila changamoto inakisababishi, Asante CHIEF JOEL
Nimechelewa kukujua japo nishapona maumivu ila 😢nikimtizama mtoto wake kumsahau inakua ngm jpo asahv ctaki ata ukarb nae mana hata malez ya mtot pia hayajui bc nikajivua mazima tumebakia na jina lake2🙌
Umekuwa daktari wangu kwa kiasi kikubwa ktk somo hili nimejifunza mengi,ukweli nilikuwa namaumivu mengi kwa kutendwa vibaya na mtu niliye mpenda kwa kumaanisha lakini alicho nitenda najua mwenyewe,nimemtoa ktk mazingira magumu lakini alivyo nigeuka sihitaji kuelezea,akinikosea mimi ndie namuomba msamaha,ukweli nilikuwa mtumwa wa mapenzi kwake,ila kwa sasa sihitaji kukumbuka chochote kuhusu yeye na mimi kwa ajili ya usalama wa nafsi yangu,kwasababu nikiendelea kukumbuka nitajikuta nimekuwa na roho yakisasi kwake,lakini pia nataka kuishi maisha marefu,lakini pia naamini kisicho riziki hakiliki,ukikilazimisha kitakuua mwishowe
Asante kwa somo zur mm yamenikuta na nimefuta namba zote zawad zake nimegawa zote hakuna kitu chake tena na amekula brock maana anakuwa msumbufu ilihal hana mapenzi ya kweli...ni zaid ya mwez sasa nina Amani na furaha ykutosha maisha yanaendelea vzr kabisaaa
Haki leo joel umenizungumzia mimi na kunifundisha somo ninalopitia kwa sasa kwenye maisha yangu duhh kaka yangu ubarikiwe sana na Mungu maana nimesubilia hili somo ili nijifunze jinsi gani nitapona🙏🙏🙏🙏
Asante doct ukweli mie nimesota sana niliachwa na ujauzito mpka nimejifungua hakutaka mazoea na mimi kabisa lakin nilijitahidi kumpotezea mpka saiv ndo naenda nikipona mara nyingi apenda kuangalia muv na kusikiliza music,,,dah ila namtoto wake ila sijalii naiman na kwa somo lako hili nitazidi kumwona wa kawaida tu..
Ahsante sana Kwa somo lako hakika unatuponya wengi, mimi ilinitokea alionekana kunipenda ila baada ya mda aliniacha nkawa siwez kumsahau ila baada ya kuchukua maamuzi nkamua kufuta Kila chake , ila bado yeye aninitafuta na aliniacha , iyo Hali najikuta namrudia Bado ananiumiza na me nampenda Bado , kaka angu ili limekuwa tatizo kubwa sana kwangu
Dah ebana jamn tuseme ukweli huyu brother anatuokoa sana na ni asilimia zote wengi tunakumbwa na hili tatzo na hii hali inanikuta sasa nashindwa kufanya kazi , nashindwa kufanya chchte kwa ajili ya mwanamke nnaempenda kwa dhati lkn yeye haoni thamn yangu
MUNGU Ameumba vyombo vyake kwa ajili ya KUJENGA UFALME wake kwa ajili ya UTUKUFU WAKE.(Yeremia 17:1-27'10,14'Zaburi 19:12,51:1-19.Asante somo ni zuri kazi ni kuliishi, EL-SHADDAI=Waefeso 3:20
Habari jaman, hapa brother Nanauka ameongelea pale unapompenda mtu lkn yeye hakupendi, sasa kinacho nikuta mm Kwa sasa ni tofauti na hilo, mm ninampenda mwanamke na nimesha mwambia ukweli siku kadhaa zilizopita, alinikataa akidai tayar Yupo na mahusiano, lkn bado ananitafuta tunaongelea maisha na kadhalika, nahisi pengine haniamini lkn najiuliza nifanye nn ... Naomben ushauri
Aiseee inauma sana kwakweli hii ilinikuta niliugua sitokuja kusahau kidogo nife uuuuwiiii namshukuru Mungu pekee kwakweli nilikaa sawa sema inanipa ugumu wakupenda tena sijui najionaje😭
Mimi nilipitia pia ila sisi tulikua tunapendana kabla ila baadae mwenzangu akaja akachenji gafla kiukweli nilisota sana nililia sana nilijaribu kila njia ili kuweza kirejesha penzi ila haikuwezekana mwisho wa siku nikaanza kusota tena kutaka kujitoa katika mawazo hayo nilijaribu njia tofauti tofauti ila sikuweza mpka saiku moja ndipo nikapata mtu akanishauri jambo moja zuri sana na ndo hilo lilo nosaidia mpka leo niko poa na hata nikumuona hapo naona kama nikipande cha nyama tu cha kawaida buchani
Kwa kweli hii hali ngumu sanaa nna mpnz wangu tumekuwa kwa mahusiano miaka 2 Nimegunduwa ana mpnz Mwingine naona fika hanipendi Naumia Sanaa Lkn nashindwa kumuacha Naona mafunzo yako yatansaidia
Mzee upendo sio hisia.....marekebisho tu! Watu wengi wanachanganya hisia na upendo....hisia hua zinabadirika kila dakika.....na hubadirishwa na vitu vingi ndani ya mwili...so upendo sio hisia, upendo ni nguvu inayotoka ndani ambayo hutokana na maamuzi. Asante
Kaka Joel kiukwel mafundisho yako huwa yananilenga sana nina mzazi mwenzangu kiuhalisia nilimpenda sana yaani tuliweka malengo lkn saiv ana mke mwingine na nilikuwa najipa matumain lkn naona km inashindika ingawa anabaki kunipumbaza tu naona, Asante kwa somo zuri nimejifunza kitu
Njia nyengine ambayo huwa inasaidia kwa kiasi kikubwa ni kutafuta mpenzi mwengine na uzuri zaidi baada ya kuwa naye ni vizuri umuelezee huyo mpenzi wako mpya hali ulikuwa ukipitia punde tu baada ya kuingia na yeye kwenye mahusiano ili ajuwe vipi akusaidie kuondoa stress ambazo umekuwa nazo. Ni njia nzuri sana na mie ni mmoja ya waliowahi kufanya hivyo
Hapo kwenye vitu hapo mfano mtu alikupa gari, unatakiwa umrudishie gari lake ila kutokana na ufukara wetu na ukute mtu alikupenda sababu ya vitu basi akishavuna hivyo vitu na akaondoka kwenye maisha yako ndo kwanza anakuona bwege wewe uliejitoa kwako. Hivyo tuwe na kiasi kwenye kutoa hizi zawadi mana kadiri unavyojitoa zaidi ndio utakavyoumia zaidi siku ukigundua kua hupendwi na mtu ameondoka kwenye maisha yako.
Hata mm limepitia maumivu makali xnaaaa tumefunga hadi ndoa ila ndoa yetu mwaka haikutimiza mwezangu alibadilika ghafla nimebaki n mtoto namshukuru Mungu kwa kunisimamia ila ngumu kumsahau ila niweza kutoka kwenye jeraha la moyo
Yan nacheka kama mazuriiii uuuuuuw😂😂hapa kichwa cha habar ni unampenda lakin hakupendi,,,, haya ukija huku kwenye habar ifuayayo,,,, ni jinsi ya kupona machungu,,, bora nifungue nahapo pa,,,, jins yakupona machungu,,, eee jaman😭
Asante sana kaka ila kama mtu huyo ni sister tupo naye kila siku ,mezani , nyumba moja ,kusali pamoja .inakuwaje nifanye nini nimejengewa chuki kwa sababu ya vipaji vyangu naomba ushauri
Asanti Sana nimefurahi atah Niko karibu kumweka block Kali sana 😂, uzuri nafurahi Sana Mimi sijawahi weka mtu 💯 kwa roho , because itakuja kukusumbua , Mimi Sina stress Niko free stress siwezi jipa pressure, namwomba mwenyezi mungu , asanti Sana kaka Mimi mwenyewe Niko kufikiria hivyo unavvyo sema , asanti Sana nimefurahi umetufunza Sana shukran
Ni miezi miwili tangu asepe na mwanaume mwingine.. Na tuna watoto tumeishi miaka 10 hajawahi kujali kitu yule mwanamke.. Namuombea uzima ingawa kaniumiza sana tena kwa muda mrefu hadi kuniacha..
Wewe ni shujaa ulietutowa wengi kwenye maono finyu…ambayo yalituweka kifungoni kwa muda mrefu! Glory to hanuman! Keep doing you,faida ya maono yako ni mwanga kwa wengi
Umeeleza vizuri saana kaka yangu. Nondo za maana sana katika kukabiliana na msongo wa mawazo unaotokana na mapenzi. Yes kubali kwamba huyo mtu hana hisia nawe. Anakupenda kama kaka au dada tu na si kama mwandani. Wala huna kasoro yoyote isipokuwa ni hisia tu hazipo kwako. Tulia kuna siku naye atakuja akute hisia zimeisha, mrushe kichurachura akome.
Dahhh kumbe hii kumpenda mtu Sana afu yeye hakupendi kama unavyompenda ipo kwa Kila mtu!!! SoMo nzuri najikuta nafarijika Sana let me throw it away anything from him. It's help me to forgot him kwakweli
Nimeelewa sana hili somo mimi limenikuta swala kama hili lakini nashidwa kumsahau kabisa nifanyeje nishajaribu kufanya hayi yote lakin bado tu nisaidieni
Wakati mwingine unapokua mtu wa kutendwa mara kwa mara inabidi ukae utafakari kwa kina , kwanza uanze kujisafisha wewe kimwili na kiroho ukishajikamilisha geukia upande wa ukoo pengine Kuna laana za ukoo ndo zinakutesa uwe mtu wa kutendwa mara kwa mara , lakini pia ujitafakari katika safari Yako ya kimahusiano pengine ulishawahi kumtendamtu bila sababu ya msingi halafu machozi yake mungu akayapokea na yakakuweka katika wakati mgumu Tena usiosameheka yote hayo inabidi tujiulize , usilaumutu kua mbona unakua wa kuachwa Kila wakati, jitafakari ukipata majibu mkimbilie mungu, Kila changamoto inakisababishi, Asante CHIEF JOEL
Nimechelewa kukujua japo nishapona maumivu ila 😢nikimtizama mtoto wake kumsahau inakua ngm jpo asahv ctaki ata ukarb nae mana hata malez ya mtot pia hayajui bc nikajivua mazima tumebakia na jina lake2🙌
Nimejikuta nakupenda napenda kufatilia darasa lako kwa sababa unauponya moyo wangu🙏Mungu akubariki
Umeachwa wee Umeachwa..KUBALI KUBALI utampta wako mtapendana kwa dhati😂😂😂 Brother JOEL 🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼
Umekuwa daktari wangu kwa kiasi kikubwa ktk somo hili nimejifunza mengi,ukweli nilikuwa namaumivu mengi kwa kutendwa vibaya na mtu niliye mpenda kwa kumaanisha lakini alicho nitenda najua mwenyewe,nimemtoa ktk mazingira magumu lakini alivyo nigeuka sihitaji kuelezea,akinikosea mimi ndie namuomba msamaha,ukweli nilikuwa mtumwa wa mapenzi kwake,ila kwa sasa sihitaji kukumbuka chochote kuhusu yeye na mimi kwa ajili ya usalama wa nafsi yangu,kwasababu nikiendelea kukumbuka nitajikuta nimekuwa na roho yakisasi kwake,lakini pia nataka kuishi maisha marefu,lakini pia naamini kisicho riziki hakiliki,ukikilazimisha kitakuua mwishowe
Somo lako limekuja wakati sahihi kwangu asnt Joel
Pole sana, hata mm nipo hapo ktk wkt mgum sana
Asante kwa somo zur mm yamenikuta na nimefuta namba zote zawad zake nimegawa zote hakuna kitu chake tena na amekula brock maana anakuwa msumbufu ilihal hana mapenzi ya kweli...ni zaid ya mwez sasa nina Amani na furaha ykutosha maisha yanaendelea vzr kabisaaa
Kuna ki2 nimejifunza thanks brooh halki kama iyo ilisha nitokea nimejua namna ya kukabiliana nayo.
Kusikiliza nyimbo
Kuimba
Kusifu kufuta namba ikiwezekana kuacha kabisa mawasiliano yaan kumkaushia
Kama ilivo elezwa unakua poa2.
Ebwanae imenitokea iyoo kaka daah sasaivi nipo mbali nae sana sasa ananitafuta yeye mie sina mpango nae tena nimesha mtoa moyon
Kwa kweli maumivu niliyonayo nataman kubadilisha no ya simu l😢😢😢
😢😢😢
Raha ya mtu akikupenda wewe ni kumpenda zaid ndio ninavyo jua Mimi sasa we unamuonesha upendo ye anakuonesha maumivu that is not love
Umenena
Ni kujipendekeza kabsa.mapenzi nikupendana
Haki leo joel umenizungumzia mimi na kunifundisha somo ninalopitia kwa sasa kwenye maisha yangu duhh kaka yangu ubarikiwe sana na Mungu maana nimesubilia hili somo ili nijifunze jinsi gani nitapona🙏🙏🙏🙏
Amina, nakuombea uvuke salama na kwa ushindi pia.
Tupo wengi ndugu
@@aminaally7116 kweli mama kupitia haya mafunzo tunaweza kupona kabisa
@@joelnanauka kaka yng nisaidy namb yk ya simu kk
@@aminaally7116 nimefunguka akili niliona maamuzi ninayotaka kuyafanya nakosea kumbe nipo sahihi mim nakaa nae mbali nimekubali sipendwi Acha nikae nae mbali
Daaaaah umenifurahisha kwelii ulivo imba Apooo🤣🤣🤣🤣🤣🔥🔥🔥🙌🙌🌹
😂😂😂 umependa uimbaji wangu
Hiyo nyimbo kweli naimbaga
Joel sema,sema usiogope sema,wahoo imenichekesha sanamungu akupe zaiidi
Asante doct ukweli mie nimesota sana niliachwa na ujauzito mpka nimejifungua hakutaka mazoea na mimi kabisa lakin nilijitahidi kumpotezea mpka saiv ndo naenda nikipona mara nyingi apenda kuangalia muv na kusikiliza music,,,dah ila namtoto wake ila sijalii naiman na kwa somo lako hili nitazidi kumwona wa kawaida tu..
Duh , yaani mahusiano yangu Mimi na mpenzi Wangu yalipo fikia mungu nishahidi jamani.
😂😂Mungu akupe nguvu
this dude is super genius he was first student in tanzania
Ni kukaa kwenye maombi tu na kumtukuza Mungu baadae taratibu utapona.
Kabisa hasa kupenda kwa sana asiekupenda ni ngumu sana!!
Yani sana, kumpata mtu akupende nikazi sana. Mungu atusamehe sana
Kwa kweli wewe ni mwalim wangu mengi unayofundisha yananipa faraja na fundisho kwangu
Uko sahihi Joel Ila nashukuru kufatilia video zako nimekua nikimove on ,,,,,,,asante kakka joel mungu akutie nguvu na pumz ndefu kaka
Ahsante sana Kwa somo lako hakika unatuponya wengi, mimi ilinitokea alionekana kunipenda ila baada ya mda aliniacha nkawa siwez kumsahau ila baada ya kuchukua maamuzi nkamua kufuta Kila chake , ila bado yeye aninitafuta na aliniacha , iyo Hali najikuta namrudia Bado ananiumiza na me nampenda Bado , kaka angu ili limekuwa tatizo kubwa sana kwangu
Asantee kaka joel ni wengi tunapita iyo satuation inaumiza mnoo
Dah ebana jamn tuseme ukweli huyu brother anatuokoa sana na ni asilimia zote wengi tunakumbwa na hili tatzo na hii hali inanikuta sasa nashindwa kufanya kazi , nashindwa kufanya chchte kwa ajili ya mwanamke nnaempenda kwa dhati lkn yeye haoni thamn yangu
MUNGU Ameumba vyombo vyake kwa ajili ya KUJENGA UFALME wake kwa ajili ya UTUKUFU WAKE.(Yeremia 17:1-27'10,14'Zaburi 19:12,51:1-19.Asante somo ni zuri kazi ni kuliishi, EL-SHADDAI=Waefeso 3:20
Habari jaman, hapa brother Nanauka ameongelea pale unapompenda mtu lkn yeye hakupendi,
sasa kinacho nikuta mm Kwa sasa ni tofauti na hilo, mm ninampenda mwanamke na nimesha mwambia ukweli siku kadhaa zilizopita, alinikataa akidai tayar Yupo na mahusiano, lkn bado ananitafuta tunaongelea maisha na kadhalika, nahisi pengine haniamini lkn najiuliza nifanye nn ... Naomben ushauri
Nilikua na msongo wa mawazo hususani juu ya mada hii ya mahusiano lkn baada ya somo hili akili yangu kunakitu imekitua hakinitesi tena
Be blessed with this song
th-cam.com/video/syQCeCNTHRo/w-d-xo.html
Mungu akubariki kaka umeokoa maisha yangu,nilikuwa nateseka sana kwa sasa naendelea vizuri
Mambo
Sasa kama umeolewa huyo mtu unaishi naye unafanyaje
Unanisaidia sana Joel, Mwenyezi Mungu akubariki.Unatusaidia sana kwa hizi elimu.
Ahsante
Yaani siyo kwa mateso haya nimegundua kitu Mungu akubari sana
Shukran Ndugu Nan 📚📚📚📚📚📚📚📚📚 mazuri hayo 🎙️...............
Aiseee inauma sana kwakweli hii ilinikuta niliugua sitokuja kusahau kidogo nife uuuuwiiii namshukuru Mungu pekee kwakweli nilikaa sawa sema inanipa ugumu wakupenda tena sijui najionaje😭
Mimi nilipitia pia ila sisi tulikua tunapendana kabla ila baadae mwenzangu akaja akachenji gafla kiukweli nilisota sana nililia sana nilijaribu kila njia ili kuweza kirejesha penzi ila haikuwezekana mwisho wa siku nikaanza kusota tena kutaka kujitoa katika mawazo hayo nilijaribu njia tofauti tofauti ila sikuweza mpka saiku moja ndipo nikapata mtu akanishauri jambo moja zuri sana na ndo hilo lilo nosaidia mpka leo niko poa na hata nikumuona hapo naona kama nikipande cha nyama tu cha kawaida buchani
Ulishauriwa nn tuambie na ss
Kwa kweli hii hali ngumu sanaa nna mpnz wangu tumekuwa kwa mahusiano miaka 2 Nimegunduwa ana mpnz Mwingine naona fika hanipendi Naumia Sanaa Lkn nashindwa kumuacha Naona mafunzo yako yatansaidia
Asante kwa Somo zuri Mimi ndiyo Niko kuya pitia hayo kira nikitaka kumuacha nashindwa kabisa
Ubarikiwe sana kaka Joel tunajifunza vitu vingi kutoka kwako, sasa kama nimezaa nae na mtt kafanana nae itakuaj 😌😌
Shida ndo inakuja hapo naumia sana sjui la kufanya
Mzee upendo sio hisia.....marekebisho tu! Watu wengi wanachanganya hisia na upendo....hisia hua zinabadirika kila dakika.....na hubadirishwa na vitu vingi ndani ya mwili...so upendo sio hisia, upendo ni nguvu inayotoka ndani ambayo hutokana na maamuzi. Asante
Ubarikiwe sana masomo Yako yamenitengeneza kivingine kabisa,nipo vizuri sana, naomba tuwasiliane,
Ahsante sana 😍Alfu kaka Uje kutu fundisha na, afya! Ya akili 🤦♀️maana ai wezekena' umpend mtu wakati 'Yeye a kupenda!??? 💔
Kupenda sio jambo la akili
Umenikumbusha kitu kweli kuna sababu kubwa sana ya kuitibu akili kila mtu ana sitaili yake ya ukichaa kwahiyo hilo somo lije maana atujielewi
Jaman mm Kuna kaka nampenda nimemueleza lkn naona Kam vile bd hajanielewa nfanyaj
@@abdulyshabany8502 Huyo akupendi alf unakubali vp ww kumweleza hisia zako wakati ni mwanamke?. Eeeb acha utampata wako tu. Huko nikujipunguzia thaman km mwanamke.
@@sarahsaimon4095👀
Napitia magumu sana sijui jifanyaje kila nikijaribu kukaa mbali nae nshindwa
Kweli kaka hiyo imenipata Mara kibao Sana daaah upo good sana
Hongera sana Kijana kwa Elimu unayotupatia. Mungu Akubariki.
Barikiwa Kaka Joel,Nimejifunza. Ingawa kweli Ni kitu kigumu Sana💔Ila mafundisho Kama haya kweli yanahitajika Sana
Nimejifunza. Ingawa natamani kupata uponyaji zaidi natamani kupata ushauri zaidi
Asante sana,akika nimejifunza Vingi saana kupitia wew,mwenyezi mungu akubariki saaana🙏
Kaka Joel kiukwel mafundisho yako huwa yananilenga sana nina mzazi mwenzangu kiuhalisia nilimpenda sana yaani tuliweka malengo lkn saiv ana mke mwingine na nilikuwa najipa matumain lkn naona km inashindika ingawa anabaki kunipumbaza tu naona, Asante kwa somo zuri nimejifunza kitu
Yah vyote ulivyoongea hp ni kweli na nilitumia njia hiyo nimejikuta nimekuwa sawa pka najishagaa....Asante cna mr joel
Asante wekaka sasachangamoto nilionayo nimme naeishinaye nisaidie nifanyeje naomba msaada wako
Njia nyengine ambayo huwa inasaidia kwa kiasi kikubwa ni kutafuta mpenzi mwengine na uzuri zaidi baada ya kuwa naye ni vizuri umuelezee huyo mpenzi wako mpya hali ulikuwa ukipitia punde tu baada ya kuingia na yeye kwenye mahusiano ili ajuwe vipi akusaidie kuondoa stress ambazo umekuwa nazo. Ni njia nzuri sana na mie ni mmoja ya waliowahi kufanya hivyo
Hapana, usijaribu kujiponya kwa kuanzisha mahusiano mengine, kwanza hayatodumu hataaa
Sometimes unatakiwa ukubaliane na unacho kiona maana ukilizia kutoka moyoni ya kwamba mtu akupendi aitokutesa trust me 😌
Kwel
Hakika
Sasa kama kwa wale walio olewa kwa watu wasio wapenda waliolewa juu ya wazazi lakini waoa awakuwapenda wanaume wafanyeje sasa
Hapo kwenye vitu hapo mfano mtu alikupa gari, unatakiwa umrudishie gari lake ila kutokana na ufukara wetu na ukute mtu alikupenda sababu ya vitu basi akishavuna hivyo vitu na akaondoka kwenye maisha yako ndo kwanza anakuona bwege wewe uliejitoa kwako. Hivyo tuwe na kiasi kwenye kutoa hizi zawadi mana kadiri unavyojitoa zaidi ndio utakavyoumia zaidi siku ukigundua kua hupendwi na mtu ameondoka kwenye maisha yako.
Mtoto wangu, kila nikimwangalia basi namkumbuka sana jamaa, no way yaani
Nimekuwa nikisikiliza sana nyimbo na pia kufuta no yake vile kufanya mazoezi ila mazingira bado yamekuwa changamoto cjui unanisaidiaje
Hata mm limepitia maumivu makali xnaaaa tumefunga hadi ndoa ila ndoa yetu mwaka haikutimiza mwezangu alibadilika ghafla nimebaki n mtoto namshukuru Mungu kwa kunisimamia ila ngumu kumsahau ila niweza kutoka kwenye jeraha la moyo
Utampata wa kufanana na ww inshallah n swala la muda tu!.utasahau😊❤
Napitia changa moto hy brother nilimpenda na tumeishii miaka minne sasa akasema hanipendi
Mimi Niko kwaiyo Hali nampenda anipendi nateseka sana
Anayependa na mwanaume, mwanamke hana upendo mwanamke anatii.
Ahsante sana. Umefanya nicheke kidogo, " si Kila anayefanya maziezi anajenga afya ya mwili" wengine wanajenga moyo.... Congraturation
Kaka ukitufundisha sana kuhusu mahusiano utaokoa ndoa nyingi sana hasa zilizopo kwenye migogoro mungu akubariki sana
Barikiwa sana kaka somo zuri sana limenivusha mahali
Asante sana Kaka mimi pia ni muanga na hilo kwa somo lako naamini nimepata tiba halisi ubarikikiwe sana
Inaumasana pale anapokwambia atakuchukia ukienderea kumwambia
😭😭😭😭😭😭😭 umeongea kabisa maisha yalivo kaka akika nimejifunza kitu kamwe sitoumia tena
Daaaaaa kumbe tupo wengi sana tunapitia hii hali
Yan nacheka kama mazuriiii uuuuuuw😂😂hapa kichwa cha habar ni unampenda lakin hakupendi,,,, haya ukija huku kwenye habar ifuayayo,,,, ni jinsi ya kupona machungu,,, bora nifungue nahapo pa,,,, jins yakupona machungu,,, eee jaman😭
Ninampenda lkin siwezi kumuacha lkn yeye hanipendi
Asante sana kaka ila kama mtu huyo ni sister tupo naye kila siku ,mezani , nyumba moja ,kusali pamoja .inakuwaje nifanye nini nimejengewa chuki kwa sababu ya vipaji vyangu naomba ushauri
Asanti Sana nimefurahi atah Niko karibu kumweka block Kali sana 😂, uzuri nafurahi Sana Mimi sijawahi weka mtu 💯 kwa roho , because itakuja kukusumbua , Mimi Sina stress Niko free stress siwezi jipa pressure, namwomba mwenyezi mungu , asanti Sana kaka Mimi mwenyewe Niko kufikiria hivyo unavvyo sema , asanti Sana nimefurahi umetufunza Sana shukran
Ahsante kaka Mungu akubariki sana, umenifundisha nimepata kitu kipya kwenye maisha uangu
Ahsante kwa kushukuru Tausi
@@joelnanauka nahitaji namba zako za whatssap maana nimetuma 5000 kwa kutaka ofa ya watoto Afrika )muamala ntakutumia whatssap nikipata nambazko
Mungu Asimame nawe Uzidi kutujenga mana unamchango Mkubwa SANA Katika hii Dunia Kaka angu
Asante sana kwa somo hii linanisaidia Sana
Nashukuru kutuponya ila ni ngum hasa yule wa karibu
Nilifanya mazoezi sana na kiukweli nilikaa nae mbali sana na nilikata kabisakabisa mawasiliano.
Mungu akubariki sana brother Joel kwa somo zuri na lenye mantiki kubwa..hakika wew ni zaid ya mwalimu sabab unagusa sana maisha ya watu nikiwemo mimi.
Kweli kabsa hakuna binadam mwenye akili timamu ajapitia haya mambo
Mungu akubariki kaka
Mungu akubariki kw mafunzo yko aki nimeyapenda
Ni miezi miwili tangu asepe na mwanaume mwingine..
Na tuna watoto tumeishi miaka 10 hajawahi kujali kitu yule mwanamke..
Namuombea uzima ingawa kaniumiza sana tena kwa muda mrefu hadi kuniacha..
Asante Sana KK hayo mm yamenikuta Yani nmeumia mnoo
Wewe ni shujaa ulietutowa wengi kwenye maono finyu…ambayo yalituweka kifungoni kwa muda mrefu! Glory to hanuman! Keep doing you,faida ya maono yako ni mwanga kwa wengi
Ukovizili kaka unamafunzo mazuli ilachakutu saidia tunaomba wapunguze matangazo kwenye vipindi vyoka yanachukuwa mudamlefu sana
Kaka nataman kukaa nae mbali lakin ninamtoto nae nafanyaje nateseka sana kiukweli nampenda sana
Niko na zawadi ya sm niko na nguo pia nifanyaje natamani hata kujiua maana bado nampenda sana nikavichome moto au nivigawe 😭
Ukivichoma moto utajipatia laana ww kitu cha kufanya vigawanye Kwa wedzako tuu
Pole sana ,mapenzi Yana umiza sana
Asant sana kwa somo zury joel
Tatizo langu mimi kila siku namuona na haliepukiki mana nafanya nae kazi sijui hata nifanyaje
Umeeleza vizuri saana kaka yangu. Nondo za maana sana katika kukabiliana na msongo wa mawazo unaotokana na mapenzi. Yes kubali kwamba huyo mtu hana hisia nawe. Anakupenda kama kaka au dada tu na si kama mwandani. Wala huna kasoro yoyote isipokuwa ni hisia tu hazipo kwako. Tulia kuna siku naye atakuja akute hisia zimeisha, mrushe kichurachura akome.
Mungu akubariki sana mafundisho yako yananipa kupiga hatua moja zaidi
Nipo kabisa kwenye hali hio na inanitesa sana
weèee yanifika lakn naona ngumu sana
Nmejifunza kitu God bless you 🙏
😂😂😂😂😂😂😂😂 axant mwalim ila inaum
brother nakupendasn kwaajili ya mungu lakinipia nakukubali coz nakuelewasn
Thanks mr I Know moreeeeeee💪💪💪
Uko vizuri kka l love you so much sema apo kwenye kuama mtaa du 😂😂😂😂😂😂
😂😂
Dahhh kumbe hii kumpenda mtu Sana afu yeye hakupendi kama unavyompenda ipo kwa Kila mtu!!! SoMo nzuri najikuta nafarijika Sana let me throw it away anything from him. It's help me to forgot him kwakweli
Nateseka sana na hali hii
Kaka, Mungu akubariki huwa najifunza vitu vingi kikubwa zaidi huwa unatoa elimu ya kuonya,kushauri na kunibadilisha.be blessed.
Asantee kwa mafundisho nime yapokea vizur na, nimeelewa jambo
Be blessed with this song
th-cam.com/video/syQCeCNTHRo/w-d-xo.html
Nimeelewa sana hili somo mimi limenikuta swala kama hili lakini nashidwa kumsahau kabisa nifanyeje nishajaribu kufanya hayi yote lakin bado tu nisaidieni
Mie na kubali mwingine amen ni cheza aka zip umenisaidia
Ubalikiwe.mtumishi.ninakuelewa.mimi.ninachangamoto.nilimuóa.mwanamke.ambae.hanipendi.ila.wazazi.wananipenda.nataman.nmwache.nashindwa.nabaki.kuteseka.
Mungu akupe Uhai Mrefuu
Hiyo kukaa nae mbali nafanyaje mana nimezaa nae ana mtto wangu
Doctor thanks sana umenisaidia me napitia hiyohari sasaivi thanks God bless you
Utapona tu kaka
mi nimeama nchi brother
ahaaa subutu kwa nchi sihami kwaajili ya mjinga hata mkoa tu yenyewe sihami labda nihame mtaa😂
Hili limenikuta lakini niliamua kuanza maisha mapya kwa kukubali
Nilikuwa nalia... Nikasikia et " nitampata mwinginee.. mzur zaidi"🎧 dah sema mm ndo na experience hiki kitu saivi... Ila naimami ntamsahau