Somo zur Sana.. Naendelea kurud kwenye hali yangu nimefikia Hatua ya 4 ila siezi jinyonga kabisa japo chamoto nipo nakiona... Wanaume Mungu awape sehem zenu zakuishi mbingun... MUNGU nisaidie nivuke salama 😔😔 🙏
Nashukuru sana kaka Joel, ila mimi ninachangamoto kwenye mahusiano, naomba japo ushauri maana nipo njiapanda, naomba kama naweza kupata mawasiliano yako
With emphasis.... "I can live without her" thanks so much my dearest brother Joel..... I have passed from this brother... but ultimately it ended with a lot of pains.... I thank God now all pains have gone away... and I am living my new life without her.... before that I thought my life would be more harder without her... but it was a matter of time....
Mm mwanaume aliyenambia ninywe dawa za mitishamba nipate mimba tukahangaika maporini kutafuta dawa nikanywa zilikuwa chungu leo hii ananiacha na mtoto mdogo mdogo sana MUNGU anisaidie kwakweli labda kuna siku na mm nitakaa sawa namlea mtoto nyumbani pekeangu nmeharibu kila kitu sijui niseme vipi naona kila rangi ya dunia kwel wanajinyonga wote wanachoka yanaumiza haya mambo ila ALHAMDULILLAH🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Kweli bro mm nipo kwenye changamoto hii ya Mahusiano saiv ni week tatu zimepita nimetengana na mpenz wng sema nimejifunza vitu vingi toka kwako ingawa Bado na mahumiv rohon
Anza na kusalimia kidogo mfano Habari? Then Leo Tunazungumzia hiki hiki then unaendelea huo ni mtazamo wangu binafsi maana video inavyoanza tu unaanza kuongea huwa nahisi tofauti sana au ndo kuenda na mda?
Ni kweli brother mimi nilisema sitomuamini mwanaume yeyote kwani wote wanafanana lakini now nimetoa hiyo kitu kichwani nimekua vizuri now siwazii wala sifikilii kilichonikuta so na angalia mbele niendako ya nyuma yatakua tuu kama kumbukumbu thanks brother🙏🙏
Ukweli kabisa napia usivunje ma penzi kisa umepata mpenzi mpya kabla hujamfaham... napia usivunje mahusiano kabla hujamkosoa huyo mpenzi wako Tabia zinazo kukera. Napia usianze mahusiano mapya ili umkomoe mpenzi wako wazamani utajikuta umeingia kwenye shida zaidi.. Pamoja Bro.
Ninarafiki yangu ambae urafiki wetu ulianza mwaka jana maongezi yetu yalikuwa yanahusu maisha kuelekeza namna ya kuishi kwenye mahucano huyu kqka alikuwa anapenda sana kuniita dada kila anaponipgia au tukiwa tunachati....mwaka Jana mwishoni ile hali ya kuniita dada akaacha mm nikimuta kaka haitiki na tukiwa tunachat nikimuita tu kaka ananiaga ananiambia atanitafta badae badae aliniambia nipange Siku tuonane anamazungumzo na mm ambayo hataki tuongee kwa simu na kabla hajaniambia kuonana alianza kuniita majina ya kimahucano kila akipiga cm utackia anaitaa baby wang,my n.k na siku moja akaniambia katokea kunielewa kutokana na mazungumzo yetu nyuma...... Mpaka sasa sijaonana nae lakn Jana alinipgia akasema kavumilia kashindwa inabidi aseme tu kwa cm sababu sijaenda kuonana nae na md unaenda nikamwambia Sena akaniambia anahitaji anivishe Pete ya uchumba na mwaka huu afunge ndoa na mm mpaka sasa cjamjibu kitu chochote.....napata shida bro kutoa majibu sababu kutokana na maumivu nilopata huko nyuma naomba unisaidie bro kwa kunishauli nn nifanye maana dah
Hii ni kwakuwa nini cha kufanya baada ya mahusiano kuvunjika ndio tatizokubwa pia linakumba wengi, Saidia Umma Kaka katika hilo pia Maana tayar tumezifaham hatua ambazo mtu hanabudi kupitia
Kipindi unashauri hiki sikukuelewa kbsaa,maana nilikua ktk kipindi kigumu mno..akili yg iliganda kbsaa.. niliwaza ivi huyu anatushaur hivi anajua maumivu kweli yakuumizwa ktk mahusiano/ndoa?kiukweli sikukuelewa kbsaa..sasa nimiaka 5 ndio nakuelewa kaka.namshukuru sn mungu nmepona kbsa nimeanza upya na sikumbuki tena kuumizwa kule kulikonikosesha kbs furaha..nmekua nikikufuatilia sn kupitia mafundisho yako nmejifunza mengi mno yaliyonisaidia..jp kiukweli nimekua muoga sn kuanza mahusiano mapya mpk leo.
Nimeyapitiya niliachwa na mutu nilipenda sana ilinichukuwa 3yaer kujikubali kuwa Isha tokeya.....nilibembeleza nilituma badi ya watu kumuongelesha ila wapi
Nama zangu hizi 0689707586, 065272092 na 073777077. Kaka mm nmeachana na mke wangu nilidumu nae katika mausiano miaka minne na tukajaliwa kupata mtoto wa kike anaitwa nadhra, mwaka 2020 nikaanza kuona mabadiliko katika ndoa. mwishowe akapata ujauzito bila ya kujuwa ni wanani, hatimae nimefahamu kuwa ujauzito sio wangu tukaachana leo kaja tumegawana vitu. Sasa tatizo siwezi kulala na nikilala nawaota mke na mtoto, nasikia maumivu xana ktk moyo. nasindwa kulala sijui nianyaje naomba msahada namba zangu hizo 0689707586, 065272092 na 073777077. Nampenda xana mwanangu na nilikuwa nishamwandalia jina mtoto mpya atakae kuja Nadhir. Nashindwa ata kuanya kazi
Somo zuri, Naomba pia uweke njia ama solution ambazo mtu atachukua baada ya mahusiano kuvunjika maana Kaka Joel wapo waliowengi hawajui wafanyeje baada ya mahusiano kuvunjika,
Ukweli mtupu binafsi nilipoona video yako hii hatua hizo nimepitia na Niko hatua ya mwisho. ila hatua zote ngumu asikuambie mtu bwana. Mafundisho yako nayakubali see you at the to
Thanks,mwenzi tatu still na jaribu kutaka kusahau na shindwa kinachoniumiza nikiwanza miaka sita yote nilikuwa na danganywa na fake promises . But mungu mwema ipo siku nitasahau complete
Pole sana' njia pekee ya kuondoa maumivi ni kusamehe tu'yani kisamehe inakusaidia wewe mwenyewe'mimi niliposamehe na kusahau ndipo nilikua huru'japo ilinigarimu mda'ila niligundua kuendelea kushikilia jambo lisilo na maana tena nikujiua tararatibu ,
yaaaan broo kuna rafikia angu limemkuta hilooo lakn haaaamin anasema yy bora hata amrudie alf aje kumwacha kwa njia nyingine em nisaidie sa hapo namsaidiaje
Mi nishamaliza hatua hizo zote lkn Sasa kinachonisumbua nakua namuota saana Mala Nampiga😔,Mala ananitext na kunirushia picha aise Naomba unisaidiee nifanyaje maan naona Kama nateseka 🙏
inauma jmn.. Kujipa moyo na kukubaliana na Hali.. Sikomi na siachi kupenda...
Nimekubali kuwa bila yy nitaishi na tayar nimeanza ukulasa mpya wa maisha yangu ila kaka sijajua kwa nn tukikutana nnpoteza mudi nashidwa kuwa jasili
Umeona ee
Thanks so much 🙏🙏🙏 kwa SoMo lako zuri . Na nimejifunza mengi kutoka kwako , lakini katika point ya kutokukubali hiyo Ni kweli kabisa na ningumu pia
Somo zur Sana.. Naendelea kurud kwenye hali yangu nimefikia Hatua ya 4 ila siezi jinyonga kabisa japo chamoto nipo nakiona... Wanaume Mungu awape sehem zenu zakuishi mbingun... MUNGU nisaidie nivuke salama 😔😔 🙏
Haupo pekeako tupo wengi 😔
Bado hamjapenda mnanusanusa tu
Nimecheka kama mazuri but tuko pammoja sana ,,allihamndulillah skuweza kuchukua uamuz hatarish but now walau mood ya kazi imeanza kurud
Dah nimekubali sana hii, nilipitia na nimefika kwenye acceptance
Asante kaka
Asante Teacher wngu JoelNanauka
Ali Saleh pamoja sana Saleh
Asante sana 🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Thanks nimeshapitia zote now nipo kwenye acceptance
Nashukuru sana kaka Joel, ila mimi ninachangamoto kwenye mahusiano, naomba japo ushauri maana nipo njiapanda, naomba kama naweza kupata mawasiliano yako
kweli Nanauka unafundisha broo
umenifanya nitoke sehem moja na kwenda sehem nyingine... thanks my brother
SHUKRAN SANA
With emphasis.... "I can live without her" thanks so much my dearest brother Joel..... I have passed from this brother... but ultimately it ended with a lot of pains.... I thank God now all pains have gone away... and I am living my new life without her.... before that I thought my life would be more harder without her... but it was a matter of time....
So sory brother Edy
JUDITH NYONYI ... thanks so much my dearest...be blessed there
kaka
Mm mwanaume aliyenambia ninywe dawa za mitishamba nipate mimba tukahangaika maporini kutafuta dawa nikanywa zilikuwa chungu leo hii ananiacha na mtoto mdogo mdogo sana MUNGU anisaidie kwakweli labda kuna siku na mm nitakaa sawa namlea mtoto nyumbani pekeangu nmeharibu kila kitu sijui niseme vipi naona kila rangi ya dunia kwel wanajinyonga wote wanachoka yanaumiza haya mambo ila ALHAMDULILLAH🙏🏻🙏🏻🙏🏻
0713841552,, naitaji uxhauli mana mbaka xaxa nixhapoteza mwelekeo wang wa maixha nafanya kile nixichopenda kufanya
Thanks broo me nipo katka hatua ya 3 najaribu kumuweka sawa ila naingia kwenye hatua ya 4 nikiona haelekei daaah haya mambo hayana ubingwa.
Nakuelewa kinomanoma
Nisaidie please yaani nimeachwa sikutegemea kama nitaachwa
uvizur sana tunajifunza
Kweli bro mm nipo kwenye changamoto hii ya Mahusiano saiv ni week tatu zimepita nimetengana na mpenz wng sema nimejifunza vitu vingi toka kwako ingawa Bado na mahumiv rohon
Kweli mm nipo acceptance
Umenena vyema cjui npo hatua gn
Anza na kusalimia kidogo mfano Habari? Then Leo Tunazungumzia hiki hiki then unaendelea huo ni mtazamo wangu binafsi maana video inavyoanza tu unaanza kuongea huwa nahisi tofauti sana au ndo kuenda na mda?
Niko hatuwa ya nne nasijui nifanyeje maana nateseka sana
Baada ya miaka minne ndo nikafikia hatua ya 5 hatua ya hasira ilinitesa Sana namshukuru Mungu nilivuka salama
Ni kweli brother mimi nilisema sitomuamini mwanaume yeyote kwani wote wanafanana lakini now nimetoa hiyo kitu kichwani nimekua vizuri now siwazii wala sifikilii kilichonikuta so na angalia mbele niendako ya nyuma yatakua tuu kama kumbukumbu thanks brother🙏🙏
Hivyo mahusiano yanahitaji kua makini sana bila kukurupuka kikubwa kumuomba m mungu kwa sana yeye ndio muamuaji wa kukupa chaguo sahihi
Dah pole sana mi niliacha kuwaamini wanawake wote duniani kumbe nilikua nakosea sana
njoo kwangu.
Ukweli kabisa napia usivunje ma penzi kisa umepata mpenzi mpya kabla hujamfaham... napia usivunje mahusiano kabla hujamkosoa huyo mpenzi wako Tabia zinazo kukera. Napia usianze mahusiano mapya ili umkomoe mpenzi wako wazamani utajikuta umeingia kwenye shida zaidi.. Pamoja Bro.
Maneno Lugendo kabisa Maneno,ni kweli unayosema???
Fact
@@joelnanauka hae bro... Naomba nipigie na hii naba, 0719483205, naitwa Kelvin kutoka Nairobi kenya.,, nakuomba ndugu yngu.
💓💓
@@agathakayanda3427 🙄
Yaa
Kaka Joel asante kwa somo lako
brother mimi nipo kwenye kipengele cha dépression ,,naumia xanah
Tari Kideu pole
Colman Mallya thank
@@tarikideu8380 pole ndugu sali sn
Tunafanana
Yani mm taree moja mwenzi huuu ndio nimeachana kabisa kabisa na mpnzi wangu
Yaani mlikua ktk kipindi cha mpito bado? Yaani huamini ila ndio imetokea unajaribu uweka contacts na yeye yaani unahisi labda alichanganya files.
Poleee ndug
Pole kaka Hilary
Bro kazi nzuti sana unayoifanya naomba unisaidie katika hili
Ninarafiki yangu ambae urafiki wetu ulianza mwaka jana maongezi yetu yalikuwa yanahusu maisha kuelekeza namna ya kuishi kwenye mahucano huyu kqka alikuwa anapenda sana kuniita dada kila anaponipgia au tukiwa tunachati....mwaka Jana mwishoni ile hali ya kuniita dada akaacha mm nikimuta kaka haitiki na tukiwa tunachat nikimuita tu kaka ananiaga ananiambia atanitafta badae badae aliniambia nipange Siku tuonane anamazungumzo na mm ambayo hataki tuongee kwa simu na kabla hajaniambia kuonana alianza kuniita majina ya kimahucano kila akipiga cm utackia anaitaa baby wang,my n.k na siku moja akaniambia katokea kunielewa kutokana na mazungumzo yetu nyuma...... Mpaka sasa sijaonana nae lakn Jana alinipgia akasema kavumilia kashindwa inabidi aseme tu kwa cm sababu sijaenda kuonana nae na md unaenda nikamwambia Sena akaniambia anahitaji anivishe Pete ya uchumba na mwaka huu afunge ndoa na mm mpaka sasa cjamjibu kitu chochote.....napata shida bro kutoa majibu sababu kutokana na maumivu nilopata huko nyuma naomba unisaidie bro kwa kunishauli nn nifanye maana dah
ila kwa sasa nimeamua kukubali kwamba niko peke yangu
Niko napitia hiyo na mtu ashaenda na life yake lakin maumivu niko nayo almost 6yrs najitahid bt nashindwaa accept
Mim nimeachwa juzi tu akiri yangu imevurugika naomba unisaidie
Kwani Dr ukiachwa na mtu ambaye ameamua kutengana na ww mapenzi ni lazima au mpaka ulipize kisasi
Hii ni kwakuwa nini cha kufanya baada ya mahusiano kuvunjika ndio tatizokubwa pia linakumba wengi, Saidia Umma Kaka katika hilo pia Maana tayar tumezifaham hatua ambazo mtu hanabudi kupitia
Nashukuru kaka saivi nipo kwenye hatua ya tano .
Nipokwenyeatua yapili unanisaidiaje
Nakataa Kwa jina la Kristo yesu mahusiano yangu kuharibika,No! No naipenda family yangu aisee
Mm ni mwanafunzi ya kwanza kuingia darasani leo hii
Kombo Omar umetisha,hongera sanaaaa 👏👏👏
Karbu jifunze
Nishawahi pitia hatua zote hizi ni kweli unachokizungumza salute kwako
Kipindi unashauri hiki sikukuelewa kbsaa,maana nilikua ktk kipindi kigumu mno..akili yg iliganda kbsaa.. niliwaza ivi huyu anatushaur hivi anajua maumivu kweli yakuumizwa ktk mahusiano/ndoa?kiukweli sikukuelewa kbsaa..sasa nimiaka 5 ndio nakuelewa kaka.namshukuru sn mungu nmepona kbsa nimeanza upya na sikumbuki tena kuumizwa kule kulikonikosesha kbs furaha..nmekua nikikufuatilia sn kupitia mafundisho yako nmejifunza mengi mno yaliyonisaidia..jp kiukweli nimekua muoga sn kuanza mahusiano mapya mpk leo.
Msaada
Kabisa
Nilipitia hizo hatua nampaka sasa niko n.a. miaka 6 bado sijaona mtu sahihi kwangu naomba ushauri
Asante kaka but mm nipo katka hatua ya 3 na cjui nifanye nn
Yaani hizo atua zote zinanihusu mm kaka jamani nimeachwa na baba mtt wangu juni 25 lakn kwa video zako najihisi mm ni mt tena asante kwa elemu yako
Kaka mm napitia mpaka Sasa nasijui sababu kwann hasema chochote nahisi kufa
Nilipitia kipindi cha mahusiono kuvunjika tena bila ya kunambia tena akahama nchi ila nashkur nimevuka salama
Tangu na x wangu yapata miez 11 sasa mwanzo ilikuwa ngumu lakn now naweza sana na nimeamin bila yeye naweza tena zaidi
Hajawai kurud kukutafuta?
Ya pili sasa
Nimeyapitiya niliachwa na mutu nilipenda sana ilinichukuwa 3yaer kujikubali kuwa Isha tokeya.....nilibembeleza nilituma badi ya watu kumuongelesha ila wapi
Nama zangu hizi 0689707586, 065272092 na 073777077. Kaka mm nmeachana na mke wangu nilidumu nae katika mausiano miaka minne na tukajaliwa kupata mtoto wa kike anaitwa nadhra, mwaka 2020 nikaanza kuona mabadiliko katika ndoa. mwishowe akapata ujauzito bila ya kujuwa ni wanani, hatimae nimefahamu kuwa ujauzito sio wangu tukaachana leo kaja tumegawana vitu. Sasa tatizo siwezi kulala na nikilala nawaota mke na mtoto, nasikia maumivu xana ktk moyo. nasindwa kulala sijui nianyaje naomba msahada namba zangu hizo 0689707586, 065272092 na 073777077. Nampenda xana mwanangu na nilikuwa nishamwandalia jina mtoto mpya atakae kuja Nadhir. Nashindwa ata kuanya kazi
Kuna MTU anapita utanisaidiaje mana nimeomba msamahaa ADI nimechoka bado ako na hasra
real 100% hakuna ulipokosea. hizo stage zisikie kwa mtu zisikukute
Mm kaka napitia ayo
Najuaje kama nimesha fika hatua hiyo ya acceptance
Kwani ukiachana na ex wako kaka mpaka akutishie?
Somo zuri, Naomba pia uweke njia ama solution ambazo mtu atachukua baada ya mahusiano kuvunjika maana Kaka Joel wapo waliowengi hawajui wafanyeje baada ya mahusiano kuvunjika,
togolani saidi sawa,tafuta video yangu inayosema Usiogope kuanza upya
Ukweli mtupu binafsi nilipoona video yako hii hatua hizo nimepitia na Niko hatua ya mwisho. ila hatua zote ngumu asikuambie mtu bwana. Mafundisho yako nayakubali see you at the to
ahsante kaka minaachaga tuu sijawai kuachwa unakua makini ukiona anabadilika unamwelekeza haelewi unamuacha kabla yayeye kufikiria kukuacha
Daah! Asante kaka ndio neno langu ilo nimepata kitu cha kujifunza
Hakika hii video ilinifungulia dunia kuwa ninachokitaka na hivyo nilivyo Leo ni kwa neema ya mungu tu
Mimi bado napitia hatua ya kwanza kabisa maana mahusiano yangu yamevunjika muda siyo mrefu
Mungu atakusaidia utapita utasahau
Mm jampo hili limenitokea wiki tatu zilizopita ila nashukuru mungu saiv niko stage ya mwisho nimekubaliana na kila kitu
mimi mpenz wangu aliniambia tuachane lakin had leo sijaamin n mwez wa pil hui naamin atarud yu.
Ni ukweli asilimia kama zote bro,,endelea kuelimisha
Congratulations Mr for your good lesson
Ningeomba nipate namba yako nikupigie mkuu nipo kwenye kipind hicho Cha angel
Mimi imenitokea juz tu nimeachana na girlfriend wangu.
Nani kamuacha mwenzake? Maana kwa nijuavyo mimi anaeachwa ndio anakua ktk hali tete.
Mimi ndio nimepitia ila aijajua niko WAP kwa hatua hizo
Yan unaongeaaa mle mle namopitiaa mm
Mm bado hatua ya tatu nimeshidwa kufika hatua ya tano bado nateseka kaka nahitaji msaada wako
mie ndo nko katika kpind hicho cha mpito nmetokea kuachana na mke yapata tar 29-01-2019
Pore kaka angu tunao texeka na Ayo Mambo no wengi
Mmh
Mimi hapa wala siamini but nimeshafika hatua ya mwisho ya kukubali na nianze life yangu upya
Mm
kaka mm nimepitia hali zote nipo kwenye hali ya kukubali sasa
Asante
Nina swali bro, je mpenzi wako ukienda na mimba yake na hataki nifanyeje?? Ni Maggy.
Niko kwenye mahusiano yanayo nipa maumivu kila wakati nifanyeje?
Mazali hujawa na maamuzi sahihi lazima uendelee kuwa na maumivu.
Niko kwa stage ya Kwanza please help me bro😢
Thanks,mwenzi tatu still na jaribu kutaka kusahau na shindwa kinachoniumiza nikiwanza miaka sita yote nilikuwa na danganywa na fake promises . But mungu mwema ipo siku nitasahau complete
Havisahauliki my dear, na usijaribu kulazimisha... Yapokee yabebe ishi nayo taratibu utapona, ikubali hiyo hali
Nipo depression mwee
Asante sana Mr
Mimi bado nipo kwenye depression...
😄😄
hakika sichoki kukufatilia kk
Shukran sana mr. Mimi apo nipo napitia hatua kama 3 kwa mpgo hatua ya kwanza ya nne na ya tano hata sielewi niende vipi hatua ya tano moja kwa moja
Hezron Ngulwa 😂😂😂😂Huwezi kuruka stage
Unayo yasema ni kweli kaka nimepitia ila nimefika hatua Ya tano ila sijajua kwa nn tukikutana moyo wangu unashtuka yani nahis maumivu
Pole sana' njia pekee ya kuondoa maumivi ni kusamehe tu'yani kisamehe inakusaidia wewe mwenyewe'mimi niliposamehe na kusahau ndipo nilikua huru'japo ilinigarimu mda'ila niligundua kuendelea kushikilia jambo lisilo na maana tena nikujiua tararatibu ,
Usi ingie kwenye mahusiano sababu ya upweke ingia ukiwa na utayari.
Kabisa bro
Asante sna bro Joel kwa somo zuri nimekuelewa sna ubarikiwe
Npo kwenye hiyo hatua ya kwanza yn kila saa nachunguliya sim nkisikia text t najua ndye
Yeah
Brother Unanifanya Nijiamnii zaidi
Masomo mazuri endelea kuktuelimisha kaka Joel
Kaka namba 5 yenyewe naikubali
But depression 😓 ili niumiza saana 😔
poleeee saaaan Mung ni mwem
yaaaan broo kuna rafikia angu limemkuta hilooo lakn haaaamin anasema yy bora hata amrudie alf aje kumwacha kwa njia nyingine em nisaidie sa hapo namsaidiaje
Mi nishamaliza hatua hizo zote lkn Sasa kinachonisumbua nakua namuota saana Mala Nampiga😔,Mala ananitext na kunirushia picha aise Naomba unisaidiee nifanyaje maan naona Kama nateseka 🙏
🤔🤔
Bro me nimeachwa na nikatukanwa