WAZIRI SILAA ATINGA KARIAKOO KUTATUA MGOGORO wa JENGO LILILOTOLEWA WAQFU - "OCD MADRASA IRUDI LEO"..

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 มี.ค. 2024
  • WAZIRI SILAA ATINGA KARIAKOO KUTATUA MGOGORO wa JENGO LILILOTOLEWA WAQFU - "OCD MADRASA IRUDI LEO"..
    Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa ameingilia kati mgogoro wa eneo la jengo la ghorofa lilipo Kariakoo jijini Dar es salaam ambalo sehemu ya jengo hilo lilitolewa Waqfu na marehemu Sheikh Mohamed Ardini ambaye aliacha usia.
    Waziri Silaa alifika eneo hilo ambalo limekuwa na ugomvi mkubwa wa ndugu ambao ni watoto wa marehemu Ardini waliogawanyika katika pande mbili zinazokinzana kuhusu usia wa kuwekwa Waqfu eneo la Madrasa katika jengo hilo.
    Aidha, baada ya kusikilizwa kwa pande mbili za ndugu ambao ni watoto wa marehem Mzee Ardini Waziri Silaa aliamuru kurejeshwa kwa Madrasa ambayo ilikuwa ndio usia wa marehem.
    Awali, ndugu wawili wanao pingana na wenzao waliamua kuhamishwa kwa madrasa hiyo nje ya eneo hilo la Kariakoo na kumuuzia mtu mwingine sehemu ya kengo hilo.
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

ความคิดเห็น • 617

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  2 หลายเดือนก่อน +11

    JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...

    • @BilalShingwa
      @BilalShingwa 2 หลายเดือนก่อน

      Baadhi ya watoto. Hawajawa tiyari kuuza

    • @josephmakrina8851
      @josephmakrina8851 2 หลายเดือนก่อน +1

      Jamani na Mimi nina kesi ya Shamba naombeni namba ya SILAA NINAMATUMAINI ATANISAIDIA

    • @saningolenoi8961
      @saningolenoi8961 หลายเดือนก่อน

      ​@@BilalShingwa😊😊iijj

  • @mussamtupa
    @mussamtupa 2 หลายเดือนก่อน +49

    Mpaka nitokwa machozi😢 Waziri jinsi anavyo dada vua vizuri sana Allah akulipe

  • @justinemcharo1727
    @justinemcharo1727 2 หลายเดือนก่อน +21

    Hongera sana mh silaa ukweli kazi unaiweza mama ameteua mtu sahihi

  • @IsihakaAmbar
    @IsihakaAmbar หลายเดือนก่อน +12

    Mama Samia hongera sana kuchagua watu sahihi katika uongozi wako!! CCM oyeeeeeeee

  • @user-pf2mb2ri2d
    @user-pf2mb2ri2d 2 หลายเดือนก่อน +29

    Waziri nimekusikiliza zaidi ya mara moja Mungu akulipe kila la kheri

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 หลายเดือนก่อน +7

    Rais wangu Samia umechagua waziri sahihi.Yaan Silaa mtendaji mzuti sana.❤❤❤❤❤🙏🙏👍👍

  • @Mozline1
    @Mozline1 2 หลายเดือนก่อน +50

    Uyu waziri ni mzuri sana, mungu amlinde

    • @FranciscoKatakwa
      @FranciscoKatakwa หลายเดือนก่อน +1

      Sawa lkn n Mungu co mungu

    • @ricklandennis
      @ricklandennis 15 วันที่ผ่านมา

      Ww ni mwalimu wa shule gani😂😂​@@FranciscoKatakwa

  • @mulolemary1317
    @mulolemary1317 หลายเดือนก่อน +8

    Kwakweli Wewe ni Waziri ALLAH azidi kukulipa MashaALLAH ivi marehemu anaendeleya kujipatiya thawabu zaki madrasa yamerudi ALLAH azidi kukupa afya njema

  • @mussamabawa2973
    @mussamabawa2973 2 หลายเดือนก่อน +18

    Wazir slaa Mungu akulipe kwa utendaji wenye uadilifu

  • @UpendopeterPeter-cq8ds
    @UpendopeterPeter-cq8ds 2 หลายเดือนก่อน +6

    Mh, Waziri silaa uko vizuri sana.Mungu akubaliki sana katika utendaji wako Nakuomba Mh,Rais wangu Samia usimtoe huyu waziri

  • @husseinidd5751
    @husseinidd5751 2 หลายเดือนก่อน +12

    Allah amjaalie afya njema huyu Mh waziri,anasaidia kweli kweli,halafu ni kijana wa mjini,ukija kiujuaji anakuja hivo hivo,na vifungu vya sheria vimelala..

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 2 หลายเดือนก่อน +26

    Asante sana Mheshimiwa Slaa Mungu akubariki sana. Mh Raisi Samia nakuomba usimtoe huyu Waziri kwenye hii Wizara asante

  • @elenzianjk5543
    @elenzianjk5543 2 หลายเดือนก่อน +21

    Pele limepata Mkunaji. Asante Mbunge wangu Mh. Jerry Silaa, Elimu hii nami nimestafidi si haba. Kila la heri katika majukumu yako. "TUKAMILISHIE BARABARA YA MAJOHE KUWA KIWANGO CHA LAMI TAFADHALI. INAVIGEZO NA SIFA ZOTE KULIKO ILE YA ULONGONI MAMBAYO YENYEWE TAYARI" (Nimechomekea hapo! Kila la heri Mh Waziri)😊

  • @ullymwaipopo398
    @ullymwaipopo398 หลายเดือนก่อน +19

    Moja ya Mawaziri mahiri kabisa. Huyu CCM hata wakija kumpa nchi wala hawatakuwa wamekosea. Mwerevu, jasiri, eloquent akiongea! Hawa ndo wanafaa kukaa kwenye uongozi! Mungu akubariki Mh. JS!

  • @richarddavidmk
    @richarddavidmk 2 หลายเดือนก่อน +25

    Huyo waziri Ana Akili sana🎉

    • @husseinmeena4175
      @husseinmeena4175 หลายเดือนก่อน +2

      Nikweli anaakili nyingi anakipaji, na anajua kuongea kwa point

  • @jamalibaruti7126
    @jamalibaruti7126 2 หลายเดือนก่อน +5

    Maashaalah Mh.Waziri Silaa wewe uwe mfano wa kuigwa uko dhahiri ktk kusimamia haki hongera sana Allah azidi kukuongoza ktk kusimamia haki😊

  • @user-hz3jx7wu4p
    @user-hz3jx7wu4p หลายเดือนก่อน +7

    Mr . ministry u deserve to be a president ❤

  • @atugonzalugemalila5142
    @atugonzalugemalila5142 หลายเดือนก่อน +8

    Mhimili wa mahakama mjitafakari hii kazi sio ya wazir Ila mmeshindwa kusimamia haki sababu ya rushwa

  • @NicoNey5
    @NicoNey5 2 หลายเดือนก่อน +20

    Kazi nzuri sanaa mungu atu jalie viongoz kama wewe kwenye nchi yetu ya Tanzania..

    • @fatmasaleh9516
      @fatmasaleh9516 2 หลายเดือนก่อน +1

      Masha Allah wazir m.mung axidi kukuongoza kwenye kheri dah kuna watu wahikma humu

    • @fatmasaleh9516
      @fatmasaleh9516 2 หลายเดือนก่อน +1

      Wazir silaa kijana mmbich mwerev shupavu na kajaaliwa hikma pia

    • @FranciscoKatakwa
      @FranciscoKatakwa หลายเดือนก่อน +1

      Ni Mungu sio mungu

  • @maulidimopen1273
    @maulidimopen1273 2 หลายเดือนก่อน +22

    Congratulations Minister SLAA

  • @twiseghekisilu8845
    @twiseghekisilu8845 2 หลายเดือนก่อน +14

    Mungu ambariki huyo baba huko aliko

  • @user-ki3gt6gy1l
    @user-ki3gt6gy1l 2 หลายเดือนก่อน +11

    Mweshimiwa uko vizuri big up piga kazi msaidiye mama kazi kama makonda hongereni

  • @user-ws8bc1jn7z
    @user-ws8bc1jn7z 2 หลายเดือนก่อน +17

    Mama usimtoe kwenda sehemu yengine silaa yupo vizuri apo umepata jembe kwa sisi wanyonge

    • @ALIMOHD-bk9lr
      @ALIMOHD-bk9lr 2 หลายเดือนก่อน

      Mpk natokwa machozi ya furaha kwa huyu kijana.

  • @chembejohn9605
    @chembejohn9605 2 หลายเดือนก่อน +34

    Shekh...msimamiz umepotoka....unapenda vitu vy duniiaa.inalilah waina rajiun

    • @hejmabohejhej9
      @hejmabohejhej9 2 หลายเดือนก่อน

      Ndio aoao mashehe makanzu wanaswali wanawaza ubaya

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 2 หลายเดือนก่อน

      Ndo nashangaa, wanaume wazima na makanzu yao hata aibu hawaoni. Ukiona walivyo waongo eti wanamfundisha sheria waziri wakati ni mwanasheria.

    • @abdulsataribashiri8300
      @abdulsataribashiri8300 หลายเดือนก่อน

      Kbsaaa

  • @gudimbwana8088
    @gudimbwana8088 2 หลายเดือนก่อน +6

    Slaaa mwili Mdoogo AKILI kubwaaa busara zimejaa hongera sana

    • @user-zn9zl4kh1w
      @user-zn9zl4kh1w หลายเดือนก่อน

      Huyu wazur ni mtt wa doctor Slaa wa Chadema au

  • @RoseMshana-pm8op
    @RoseMshana-pm8op 22 วันที่ผ่านมา +2

    Huyu mwamba wa ccm anajua sanaaa, alafu mtoto wa mjini haswaaa ❤❤❤mungu akulinde,

  • @user-rw5jl9qp6y
    @user-rw5jl9qp6y 29 วันที่ผ่านมา +1

    Cs Silaa is the Best Minister in Tanzania the Way He Go throughout His Groundwork I Could Adore Him To be Kenyan Cs blessed Silaa Waziri wa Ardhi Tz (Bongo)

  • @user-ng1po1dh4z
    @user-ng1po1dh4z 2 หลายเดือนก่อน +5

    Waziri Slaha, umenena jambo la Ukweli na Busara❤

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 2 หลายเดือนก่อน +13

    Hapa kuna kazi, kumbe Slaa kumbe una busara sana, wewe una weledi sana.

  • @maimunahemedi6491
    @maimunahemedi6491 2 หลายเดือนก่อน +11

    Huyu waziri yupo vizuri sana, mola amjaalie sana aendelee hvhv

  • @linamosha2453
    @linamosha2453 2 หลายเดือนก่อน +4

    Jery Mungu akubariki sana

  • @user-cq4bw6xt9j
    @user-cq4bw6xt9j 2 หลายเดือนก่อน +3

    Duuuh...! Nimesikiliza kwa makini sana yani anamaliza tatizo kirahisi kabisa nimeona hekima ya suleiman Mungu akupe rehema mh ; Jerry slaa

  • @georgekimboka9821
    @georgekimboka9821 2 หลายเดือนก่อน +10

    Hakuna waziri Mzuri Mama Samaia amapata kama Huyu Jamaa,ana Akili za kizalendo zaidi
    Mh Raisi mlinde sana Huyu Waziri ameitendea Haki sana hii nafasi

  • @user-qz7xl1xj7v
    @user-qz7xl1xj7v 2 หลายเดือนก่อน +25

    Ocd ukipewa agizo na kiongoz unatakiwa kupiga salute sio kuitikia kwa kichwa

  • @DaimaNyakunga-jb6do
    @DaimaNyakunga-jb6do 2 หลายเดือนก่อน +9

    Safi sana Tena sana tu

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mashallah, hongera sana Wazir nimekukubali sana, Warithi wa Maguful bado wapo, Alhamdulilah 🙏Alhamdulilah Allah kareem, haki ya mtu haipotei, nimejifunza kitu hapa, wosia ni muhimu sana 🙏

  • @richbird.123
    @richbird.123 หลายเดือนก่อน +2

    Mashallah waziri Allah akuongeze. Apa nimejifunza mambo mengi sana na sai 3:34am sijalal nafatilia silaa❤

  • @user-dz5jc6pp8e
    @user-dz5jc6pp8e 2 หลายเดือนก่อน +2

    Allah akulinde allah azidi kukupa urinzi slaa akuna waziri wa ardhi aijawai kutokea tanzania uko km rula umenyooka hadi kiama utapelekwa kuliko nyooka

  • @user-od1xx3tk9y
    @user-od1xx3tk9y หลายเดือนก่อน +2

    Tuhitaji kua na mawazir kama hawa maashaallah. Mungu akuongoze kitika kuonahaki inshaallah

  • @dotnatajoseph2620
    @dotnatajoseph2620 2 หลายเดือนก่อน +10

    Safiiiiiiiiii madrasa irudi yeeeeeee baba kaburi lako lipo pepon inshallah 🙏

  • @efrahfarahahmed8960
    @efrahfarahahmed8960 19 วันที่ผ่านมา +1

    MH Waziri SiLLA MUNGU akubarik umejua dasaka tul jaliya kwa marehem

  • @saidgawawa8519
    @saidgawawa8519 28 วันที่ผ่านมา +1

    Allah amlinde na kumhifadhi huyu waziri jasiri mwenyewe hekma bila kumdhulumu raia yeyote kwa kupata haki yake! Inshalla awe Raisi mtarajiwa siku za usoni ..mhe, marehenu Rais magufuli kweli aliwapa elmu na mafundisho raia wake katika kutekeleza haki kwa raia yeyote yule....

  • @MsanyaMrisho
    @MsanyaMrisho หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akuoneshe njia iliyosahihi wazari umeongea haki umenigusa mno duwa yangu kwako sima hivyohivyo

  • @mako331
    @mako331 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu waziri Mungu ambariki saana, nimejifunza mengi hapa

  • @IsihakaAlly-fj4qo
    @IsihakaAlly-fj4qo 2 วันที่ผ่านมา

    Shekhe na devu kapaka rangi lakini kashindwa kuheshimu husia wa marehemu,Mungu azidi kukulinda mheshimiwa Waziri slaaa .

  • @AinesiKissuda
    @AinesiKissuda หลายเดือนก่อน +1

    Katika mawaziri wote wewe ni kichwa mungu akubariki sana akuzidishie hekima busara na maarifa mara mia pia akupe maisha marefu uwatumikie watu wake

    • @FranciscoKatakwa
      @FranciscoKatakwa หลายเดือนก่อน

      Sawa lkn n Mungu co mungu 🙏

  • @ramadhanjuma610
    @ramadhanjuma610 2 หลายเดือนก่อน +1

    Safi Sana Mkuu hao walo uza nyumba wana tamah tu nja Zina wasumbua uko vzr Mkuu Mungu akulipe

  • @hassanjuamchipua9384
    @hassanjuamchipua9384 หลายเดือนก่อน +1

    Wallahy umenifurahisha sana waziri

  • @user-dl2fp8eb7r
    @user-dl2fp8eb7r หลายเดือนก่อน +1

    Go go go jerry Mungu yupo na wewe kwa kila hatua utakayoipiga

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 2 หลายเดือนก่อน +26

    Yaani waziri umetengua kesi ambayo miaka kadhaa hata mahakama imeshindwa, uamuzi wako mzuri mno..!

    • @onionpeeling5822
      @onionpeeling5822 หลายเดือนก่อน

      KWANI YEYE NI MAHAKAMA! HATUNA NCHI ! YANI WAZIRI KAWA HAKIMU / JURO/ PROSECUTOR / na Hakimu hapo hapo ! / MIFUMO YETU HOVYO NA HII INADHIHIRISHA !

    • @baloz8974
      @baloz8974 หลายเดือนก่อน

      ​@@onionpeeling5822hiyo ndio moja wapo kazi ya waziri kutatua matatizo ya ardhi kama hujui uliza utaambiwa

    • @swahilifashion2206
      @swahilifashion2206 หลายเดือนก่อน

      Najiukiza hivi kweli rushwa itaisha maana huyu sio hakimu wala wakili lakini anayajua vipi wenye nafasi za hakimu na wakili wameshindwa kudadavua yote hayo miaka yote.😂😂😂😂

    • @onionpeeling5822
      @onionpeeling5822 หลายเดือนก่อน

      ​​@@swahilifashion2206 Eti kisa Waziri tu ndo kaenda kutengua kesi iliyoshindikana MAHAKAMANI ! inamaa yeye ni above the law ! WEZI WATUPU HAWA GENGE LA WAHUNI KUTUIBIA NCHI YETU// HATUNA NCHI / HATUNA MIFUMO / MIFUMO YOTE IMETEKWA NA WAZURUMISHI SO CALLED VIONGOZI

    • @swahilifashion2206
      @swahilifashion2206 หลายเดือนก่อน

      @@onionpeeling5822 maswali ni mengi mno ndugu yangu kwamba hawakuwaza alivyowaza au sheria hazikueaongoza na je waziri ndio kajua sheria ama

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l หลายเดือนก่อน +4

    Huyo aliyenunua imekula kwake. Nyumba za urithi kuna utaratibu mpana.
    Na huyu marehemu alikuwa na akili kubwa sana kwenda kusajili wosia. Big up marehemu.
    Wewe uliyenunua mdai msimamizi wa miradhi kukutapeli.
    Tena wewe uliyenunua ukionekana hapo unafukuzwa huna hati miliki😂😂
    Duh balaa

    • @demicratia4071
      @demicratia4071 หลายเดือนก่อน

      fundishoooo kwa wote

    • @demicratia4071
      @demicratia4071 หลายเดือนก่อน

      FUNDISHO KWA WOOTEE KUMBE URIDHI UNASAJILIWA HATA ARDHI JAMANI ARDHI TUFUNDISHENI MENGIIII ILI KUTATUA WALANGUZU KILAIINI

    • @IsmailElmazroui
      @IsmailElmazroui หลายเดือนก่อน

      Atachukua hio ilojengwa ilala ghorofa na mbili na madras na km haitoshi makusanyo ya Kodi atalipwa deni lake

  • @user-up2kg1wm9p
    @user-up2kg1wm9p 2 หลายเดือนก่อน +9

    Mungu ninusuru na vituvyamiradhi

  • @Amry-xx4ps
    @Amry-xx4ps 2 หลายเดือนก่อน +3

    Professor jerry silaa🔥🔥🔥🔥

  • @hasaabdi7199
    @hasaabdi7199 2 หลายเดือนก่อน +23

    Waziri very smart mungu akubariki

    • @FranciscoKatakwa
      @FranciscoKatakwa หลายเดือนก่อน

      🙏,lkn n Mungu co mungu

    • @careen26mrope76
      @careen26mrope76 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      @@FranciscoKatakwa Yaani nachukia mimi kuandika mungu😪😪

  • @neemabright3635
    @neemabright3635 2 หลายเดือนก่อน +5

    Jerry slaa mfano wa kuigwa na mawaziri wote wakuu wa mikoa wilaya be responsible he is definitely doing a good Job

    • @joshuamuro9494
      @joshuamuro9494 หลายเดือนก่อน

      True

    • @baloz8974
      @baloz8974 หลายเดือนก่อน

      Very smart and intellectual man

  • @nuruathumani1590
    @nuruathumani1590 หลายเดือนก่อน +1

    Daaah ,nimejifunza kwa muda mfupi ,kumbe busara ni tunu ,YAAH ALLAH TUJAALIE TUWE NA BUSARA JUU YA KUTATUA MAJAMBO YETU

  • @EmeldaMachary
    @EmeldaMachary หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sana mh Silaa wizara imepata jembe

  • @bagaileshabani3179
    @bagaileshabani3179 2 หลายเดือนก่อน +2

    Haka ka bwana Kako vzr sana kamenyooka mungu akajaalie kafike mbali ( srah )

  • @soudbako5925
    @soudbako5925 2 หลายเดือนก่อน +3

    Allah akufanyie wepesi muheshimiwa waziri

  • @user-sd5zf6fz4v
    @user-sd5zf6fz4v หลายเดือนก่อน

    😮mashallah wazir sila mungu akupe pepo yako

  • @elizabethkikoti7265
    @elizabethkikoti7265 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akujalie waziri wangu kwa kutenda haki kwa sisi wanyonge

  • @mohamedmtahiyatu9113
    @mohamedmtahiyatu9113 2 หลายเดือนก่อน +9

    HUYU WAZIRI ANA AKILI NYINGI ALLAH AMLINDE

  • @hassanamtunzitv2368
    @hassanamtunzitv2368 2 หลายเดือนก่อน +3

    Asante sana Mh Waziri

  • @ALIMOHD-bk9lr
    @ALIMOHD-bk9lr 2 หลายเดือนก่อน

    Namuona JPM ndani ya huyu good boy. Dah!!!! Mungu akubariki sana ktk utendaji wako mr. JERRY SLAA. kweli wewe umewiva licha ya umri mdogo uliyonao💯💯💯💯💯💯💯💯

  • @user-zz1sj6sp8z
    @user-zz1sj6sp8z หลายเดือนก่อน +1

    Mashaallaah hongera waziri umeongea. Vipi

  • @Hbk206
    @Hbk206 2 หลายเดือนก่อน +3

    I like how he is respectful, teaching and taking charge All the time representing well.

  • @allyabdallah4357
    @allyabdallah4357 10 วันที่ผ่านมา +1

    Daa kweli waziri mungu atakulinda sana mkuu🤲🏻🤲🏻🤲🏻🤲🏻🤲🏻

  • @user-kz2jk1jf5l
    @user-kz2jk1jf5l 2 หลายเดือนก่อน +1

    Asante sana wazili wambie watafute pesa zao hio mali ya malehemu

  • @kanobayirelambert8400
    @kanobayirelambert8400 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mwenyezi Mungu akupe kila la kheir, Waziri Slaa

  • @Ambeniwatano
    @Ambeniwatano 2 หลายเดือนก่อน +9

    Aliegundua pesa kwakweli amejua kutupata Sasa Mali kaacha Mzee na amefarik kaacha wosia mashekh maimamu wameitupa qruan wanashupalia dhuruma Kuna kitu nilicho kigundua Kuna watu wanagombea vyeo misikitini kwa maslahi binafsi

  • @lindermuro8113
    @lindermuro8113 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mheshimiwa Waziri Slaa uko vizuri keep it up

  • @SuzanaSuzanamwangingo-uu4ct
    @SuzanaSuzanamwangingo-uu4ct 2 หลายเดือนก่อน +1

    Namuelewa silaha vizuri .mungu mtunze silaha

  • @RamaNgadu
    @RamaNgadu 25 วันที่ผ่านมา +1

    Hivi ndio vichwa vinaofanya kazi sahihi

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sana waziri na inaonyesha Jengo lina waqfu ila wanataka kuleta janja janja.

  • @ismailjuma1452
    @ismailjuma1452 2 หลายเดือนก่อน +2

    Jerry mkuu umetenda haki ubarikiwe sana suala la hela watamalizana wenyewe

  • @chikusangalala7759
    @chikusangalala7759 หลายเดือนก่อน +1

    Mwenyewe kalala anataka duwa kwa kweli nimempenda huyu baba❤❤❤

  • @kikoadventures6933
    @kikoadventures6933 2 หลายเดือนก่อน

    Nimejofunza kitu hapa, salute Mh. Waziri

  • @dotnatajoseph2620
    @dotnatajoseph2620 2 หลายเดือนก่อน

    Safi sana mkuu fanya kazi yako wewe sio mtu wa rushwa wewe ni mtu wa watu na haki inshallah 🙏 haki itendeke dada wa watu apewe haki yake

  • @user-mi7cd8ch1b
    @user-mi7cd8ch1b 2 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana silaah unatenda haki allah akurinde na shari uyo arienunua mgumu wa kuerewa ubishi unaingia hasara

  • @saidhmuhammad5567
    @saidhmuhammad5567 2 หลายเดือนก่อน +1

    Waziri uko vizuri..well done..ww unajua kazi yko

  • @user-vv1te9fu8q
    @user-vv1te9fu8q หลายเดือนก่อน

    Waziri slaa uko vzr m,mungu akuweke nawajua hawa jamaa mpk dada zao nawajua hawa jamaa wamewaendea kinyume dada zao

  • @yassirrashid7802
    @yassirrashid7802 2 หลายเดือนก่อน +5

    Safi sana waziri

  • @ibrahimmatola1529
    @ibrahimmatola1529 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mwenyezi Mungu akulipe kheri mheshimiwa waziri

  • @ZenaMwakalambile
    @ZenaMwakalambile 2 หลายเดือนก่อน

    Hongera waziri,watoto wa mama mwenye upepo kutatua matatizo.anamawaziri bora.samia suluhu hasan.

  • @hamadiayossy
    @hamadiayossy 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akupe maisha marefu waziri slaa

  • @richardchawenda5938
    @richardchawenda5938 2 หลายเดือนก่อน +4

    Hongera saana kaka

  • @KisileAbdallah
    @KisileAbdallah หลายเดือนก่อน

    Mashaallah mashallah allah akulipe khery inshaallah

  • @user-pz9mj2rm2q
    @user-pz9mj2rm2q 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mh silaa Allah akupe afya njema

  • @khadijaseif3897
    @khadijaseif3897 2 หลายเดือนก่อน +2

    Sahihi kabisa mashaAllah Alhamdulillah

  • @inocentlema5574
    @inocentlema5574 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sn Waziri

  • @hameesnassoro7158
    @hameesnassoro7158 2 หลายเดือนก่อน +8

    Waqfu sio lazima iandikwe yaani kule kutamka tu hii ni Waqfu yatosha ni kama mfano wa Talaka sio lazima iandikwe kule kutamka tu nimekuacha si mke wng ndo tayari tena hiyo haina utani, ila mzee mwnyewe marhumu Allah amrahamu alifanya hvyo alishawaona watoto wake mwenendo wao.

    • @chuchufplatnumz4888
      @chuchufplatnumz4888 2 หลายเดือนก่อน +5

      Unachokisema ni Sawa kisheria za dini. Ila Sheria za nchi zinahitaji kisajili hvyo vyote

    • @faridanurdin9635
      @faridanurdin9635 2 หลายเดือนก่อน

      MashaAllah

    • @OmaryLiku
      @OmaryLiku 2 หลายเดือนก่อน

      Ameen

    • @Ins3ctsworld
      @Ins3ctsworld 2 หลายเดือนก่อน +1

      Kwamaisha yanavoenda kasi sasaivi itapendeza iandikwe binadamu vigeugeu shk

    • @user-lk3pz6uq6q
      @user-lk3pz6uq6q หลายเดือนก่อน

      ​@@Ins3ctsworldsisi tumefanyiwa hivihivi na familia Ila tunamuachia Mana alotafta amekufa

  • @IsmailElmazroui
    @IsmailElmazroui หลายเดือนก่อน

    Mashallah jazakah llahu kheyr Allah akuomgoze uwe kiongoz mwema siku zote

  • @mustaphamilao9372
    @mustaphamilao9372 5 วันที่ผ่านมา

    Da huyu dogo nampenda sana Allah amrinde...

  • @AmbroseSven
    @AmbroseSven 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu ambariki

  • @tobosha3236
    @tobosha3236 2 หลายเดือนก่อน +10

    Huyu waziri Mungu amtangulia nimemfwatilizia sana jinsi anavo toa maamuzi ya haki bila ubaguzi

  • @benedictobujiku842
    @benedictobujiku842 22 วันที่ผ่านมา

    .mungu akubariki sanaaa kk

  • @mokitaa8750
    @mokitaa8750 2 หลายเดือนก่อน +3

    MASHAALLAH

  • @user-yv7xg4em4s
    @user-yv7xg4em4s 2 หลายเดือนก่อน +6

    Waziri wetu hyu tunamuombea.

  • @zawadmohammad2682
    @zawadmohammad2682 2 หลายเดือนก่อน

    mashallah mashallah mashallah Allah akupe mwisho mwema wazir

  • @suleimankb0210
    @suleimankb0210 2 หลายเดือนก่อน +2

    Maa sha Allah