MCHINA AUZIWA ENEO LAKE WAKIDHANI AMEFARIKI KWA KORONA - WAZIRI SILAA AMKAMATA ALIYEUZA - AJITETEA!

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 29 ส.ค. 2024
  • MCHINA AUZIWA ENEO LAKE WAKIDHANI AMEFARIKI KWA KORONA - WAZIRI SILAA AMKAMATA ALIYEUZA - AJITETEA!
    Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Jerry Silaa ameagiza kukamatwa kwa Mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa Mwanjelwa aliyejulikana kwa jina la Brayan Mwakalukwa na Ezekiel Mwanje mwakilishi wa mmiliki wa anayedaiwa kuuziwa Nyumba hiyo ambayo ni mali halali ya Li Shi Cai ambaye ni mwekezaji raia wa China. Aidha Waziri Silaa amaeagiza kutafutwa mwanamke mmoja anayefahamika kwa jina la Nida ili aweze kueleza jinsi alivyozibeba milioni 80 ambazo ni pesa za mauzo ya nyumba ya Li Shi Cai.
    Waziri ametoa maagizo hayo mapema leo alipotembelea eneo hilo lililopo katika mtaa wa Mwanjelwa jijini Mbeya ili kusikiliza na kutatua mgogoro huo..
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9z...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

ความคิดเห็น • 418

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  4 หลายเดือนก่อน +8

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

    • @maweinctv2645
      @maweinctv2645 4 หลายเดือนก่อน +1

      ok

    • @ExcitedJapaneseMaples
      @ExcitedJapaneseMaples 4 หลายเดือนก่อน

      11​@@maweinctv2645

    • @stevesafarishow
      @stevesafarishow 3 หลายเดือนก่อน

      Hapo kwa rode wireless go, punguza db (volume) hadi -6 au -9 Kama uli nje na watu wanazungumza kwa sautibya juu. Ukiwa ndani ndio uweke -3 ama 0. Otherwise, kazi safi sana👏🏾

    • @michaelmahaja
      @michaelmahaja 3 หลายเดือนก่อน

      Nitakuja

  • @MasoudSalum-rb3ts
    @MasoudSalum-rb3ts 4 หลายเดือนก่อน +37

    Huyu waziri mwenyezi mungu Akipenda Akiwa hai 2030 Atakua Raisi wetu

    • @emmanuelndotela9412
      @emmanuelndotela9412 3 หลายเดือนก่อน

      Mchina hana haki ya kumiliki Ardhi Tanzania sheria zetu za inchi zimeeleza wazi kabisa kuwa ni watanzania tu ndiyo wenye sifa ya kumiliki Ardhi.

    • @alfredymalata269
      @alfredymalata269 3 หลายเดือนก่อน

      watu wa ivi hawatoboagiii ndugu

    • @sophsoph4740
      @sophsoph4740 3 หลายเดือนก่อน +1

      ​@emmanuelndotela9412 ishapitishwa mgeni hanamiliki ardhi bila was was ndugu ..na uyo mamaaenu haNvyozunguka nchi za 😂😂lazm wagen wamiliki

    • @user-em4zz3lh1h
      @user-em4zz3lh1h 3 หลายเดือนก่อน +1

      Kabisa amekuwa akitenda haki kweli these days

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@emmanuelndotela9412 Mtu yeyote anaekuja kufanya biashara anaweza kumiliki Ardhi kwa ajili ya biashara.
      Na kama huyo mchina ameishi Tanzania muda mrefu akaomba uraia Tanzania akakubaliwa ana haki ya kumiliki ardhi kama mtanzania mwingine.

  • @stephanokanyika6321
    @stephanokanyika6321 4 หลายเดือนก่อน +53

    Apewe haki yake tu bila kujali ni mchina au laaa sheria ifate mkondo wake

  • @knowledgetv5594
    @knowledgetv5594 4 หลายเดือนก่อน +22

    Mh, Jerry Slaa, popote ulipo Mungu akusaidie na kukulinda ili uendelee kutetea watanzania.

  • @user-yf4zo1sm5l
    @user-yf4zo1sm5l 4 หลายเดือนก่อน +29

    Mama tunaomba uchunge huyu waziri wasikuretee fitina zao kazi unayo fanya na mungu akusaidie mm adi ni eria wageni ni ndugu zetu

  • @user-ei2ud7gh5h
    @user-ei2ud7gh5h 4 หลายเดือนก่อน +11

    Haki itendekeee hata kama ni mchinaaaaa❤❤❤❤

  • @josephmihayo6236
    @josephmihayo6236 4 หลายเดือนก่อน +12

    Mungu akulinde Jerry Silaa na hakika tuna muomba Mungu pia asikuhamishe kwenye hiyo wizara. IDARA YA ARDHI IMEJAA DHULUMA SANA NA INATOKANA NA WATENDAJI WENYE DHULUMA KAMA HAO.

  • @AyubuMmari
    @AyubuMmari 4 หลายเดือนก่อน +23

    Mungu akupe maisha marefu waziri slaa tunakupenda unaijua haki hutaki maskini aonewe

  • @RashidMilanzi-ht1wb
    @RashidMilanzi-ht1wb 4 หลายเดือนก่อน +31

    Docta silaa wewe ni wazili ulie na hofu ya mungu naomba raisi Samia asikuamishe wizala hiyo tia ndani hao wapigaji watendaji wa Haina hiyo wapo wengi sana mungu akupe maisha malefu japo kua wazili awadumu wewe mungu akupe miasha malefu

  • @mpetafrank7195
    @mpetafrank7195 4 หลายเดือนก่อน +23

    Duuuh hii nchi ngumu sana na wananchi wake hongera waziri nyoosha mwenye haki yake apewe wasimuonee mchina wa watu

  • @al-bleproshooteur1922
    @al-bleproshooteur1922 หลายเดือนก่อน +1

    Nakubali tanzania kwa lugha moja From M23

  • @margaridaagostinhoacaciona3656
    @margaridaagostinhoacaciona3656 4 หลายเดือนก่อน +6

    Bismilahi Rahman raahim namshukuru mungu tena sana alhaamdulilaah na yeye ni mfalme hakuna mwingine zaidi yake Amin Amin Amin yaraab Amin alhaamdulilaah namshukuru mungu tena sana tuna serikali yetu ipoo imara alhaamdulilaah naishukuru serikali ya Tanzania ipoo imara alhaamdulilaah mama Samia rais wa watanzani viongozi wapo imara sana na haki ipooo hapo mchina ana pata haki yake alhaamdulilaah serikali ya Tanzania naishukuru sanaaa alhaamdulilaah

  • @RoseMallya-dd6uu
    @RoseMallya-dd6uu 4 หลายเดือนก่อน +23

    Mhs. silaa Mungu akulinde..kwani unawasaidia San wananchi kupata haki zao.

    • @joycekisamo4896
      @joycekisamo4896 4 หลายเดือนก่อน

      Mama Samia tafadhali huyu Mheshimiwa mwache kwenye hiyo nafasi /wizara kwa kama miaka mingine 5; nchi hii itabadilika sana na kila mwananchi atakua na furaha ya kweli. Miji itapangika pia na ustaarabu kuongezeka 🙏🏽 🤔

    • @user-ur7pw9ek6s
      @user-ur7pw9ek6s 4 หลายเดือนก่อน

      🎉🎉🎉​@@joycekisamo4896

  • @bakarially253
    @bakarially253 4 หลายเดือนก่อน +9

    Hongera sana Wazira Allah akulinde

  • @saloomidd1084
    @saloomidd1084 3 หลายเดือนก่อน +3

    Wachina wote kufa huko corona😅😅😅😅😅dah haya maisha sio kabisa watu wanajiongeza

  • @dannylema3125
    @dannylema3125 4 หลายเดือนก่อน +3

    Wabongo njaa Kali Sana Na tutazidi kuto aminiwa Na watu weupe

  • @richarddavidmk
    @richarddavidmk 4 หลายเดือนก่อน +19

    Huyu waziri ,anafaa kuwa Raisi wa Jmt

    • @nyiqatonyiqa7114
      @nyiqatonyiqa7114 4 หลายเดือนก่อน +2

      Tena Hadi akae Darakani Hadi uzeeni ❤❤❤

    • @justice607
      @justice607 4 หลายเดือนก่อน

      Never

    • @LuhanyaMipawantobi-pj1iu
      @LuhanyaMipawantobi-pj1iu 4 หลายเดือนก่อน

      Hahahaaaaaaa shenzi wewe umenichekesha Sana,,,😊eti kae darani ​@@nyiqatonyiqa7114

  • @ramadhanomar6757
    @ramadhanomar6757 3 หลายเดือนก่อน +1

    Bw Waziri. Mwenyewezi Mungu akulinde akupe afya njema na umri mrefu. Amiin. Endelea kutenda Haki Kaka.
    From Mombasa Island 🏝️ Kenya.

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u 4 หลายเดือนก่อน

    VIVA MH. WAZIRI SILAA....WAHUSIKA WOTE HAO NI MATAPELI....WAMESHIRIKI KWA NAMNA MOJA AU NYINGINE KUMDHULUMU HUYO MCHINA....MWENYEZI MUNGU MTUKUFU AKUBARIKI.

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 4 หลายเดือนก่อน +1

    Dhuruma sio nzuri..waziri silaha washughulikie wote wadhurumishi

  • @pedwin6187
    @pedwin6187 4 หลายเดือนก่อน +2

    Jery Slaa you doing good job
    Hongera

  • @UzalendoNaUtu
    @UzalendoNaUtu 4 หลายเดือนก่อน

    Mkurugenzi Mbeya, Brother John! Nakukubali sana, kuna pahala una feel maumivu ya watu na kusimama kama wakili wao

  • @Jacklinejohn7
    @Jacklinejohn7 4 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sana 😊 muheshimiwa

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 4 หลายเดือนก่อน +1

    Waziri wng silaha nakupendaga Sana ..mungu akulinde Kwa kutetea haki za watu safi Sana kaka ..endelea kuwasimamia wanyonge.. nakupenda Sana baba Kwakusimamia haki zawatu

  • @ramaaman4020
    @ramaaman4020 3 หลายเดือนก่อน

    Ahsantesana kiongozi dhulumasio nzuri Mungu anatuonawote.

  • @florentinigawday1094
    @florentinigawday1094 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mama samia kwa huyu waziri hukukosea kumuweka,hongera mama yetu samia ,tunakupendaaaa

  • @abdulkaleemmbarak6670
    @abdulkaleemmbarak6670 4 หลายเดือนก่อน +6

    Kweli haki haizami. Jack chang amenga'ngana kuongea kujieleza Kiswahili mpaka kapata haki yake.Pongezi waziri Kwa kutenda haki.

  • @user-bj2xs3tc7h
    @user-bj2xs3tc7h 4 หลายเดือนก่อน

    Kazi nzuri Waziri nakuombea Mungu akusaidie Na akulinde

  • @barakajotam
    @barakajotam 3 หลายเดือนก่อน

    Dhuruma sio nzuri pia watanzania tujaribu kutenda kwa uwaminifu yani walipo ona roho mbona harudi na tena mzehe wakajua atakua amekufacorona

  • @louisisd1090
    @louisisd1090 4 หลายเดือนก่อน +2

    Grobal tv mnanikosha nimejikuta namfatilia sana mh silaha sasa hivi na mna mtendea vizuri kuonyesha full length video

  • @SalimKombo-xo4pq
    @SalimKombo-xo4pq หลายเดือนก่อน

    Mungu atakusaidia

  • @lulugama1547
    @lulugama1547 4 หลายเดือนก่อน +1

    That's our Jerry the brilliant

  • @paulinef.millanzinana8279
    @paulinef.millanzinana8279 4 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana baba hakika Mchina haki yake atapata kwa kupitia wewe na Mungu Baba wa Mbinguni azidi kukutunza

  • @saidaahmedshapi7783
    @saidaahmedshapi7783 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kenyan politician should learn from Tanzanian politicians God bless them🇰🇪

  • @saidmoussa909
    @saidmoussa909 4 หลายเดือนก่อน

    Hii kumbe wezi naajsmbazi wako kila sehemu..
    SubhanaAllah..

  • @WilliamNkondokaya
    @WilliamNkondokaya 4 หลายเดือนก่อน

    Ni kweli Mungu amlinde Mh. Slaa, waziri wa Ardhi

  • @saudalilingani9264
    @saudalilingani9264 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kazi kweli kweli duuu

  • @OmesmoNaikoyo
    @OmesmoNaikoyo 4 หลายเดือนก่อน

    Hongera zake Sana Mh Waziri Silaa, endelea kuwapambania wananchi wanaonewa

  • @graceamos7337
    @graceamos7337 4 หลายเดือนก่อน +2

    Da Dunia ina mambo

  • @user-vb8ug7hp3q
    @user-vb8ug7hp3q 4 หลายเดือนก่อน +1

    Hapo ume chemka mchina ata baki kua mchina akamiliki aridhi China 🤣🤣🤣🤣

    • @abdirizakhtuke2882
      @abdirizakhtuke2882 3 หลายเดือนก่อน

      Akili zako ni sawa na za mwenyekiti wa mtaa.

  • @allyadam7355
    @allyadam7355 4 หลายเดือนก่อน

    Yani huyu kiongoz wallah nmetokea kumuelewa sana daaah hongera kiongoz bora

  • @hamishassan6784
    @hamishassan6784 4 หลายเดือนก่อน +4

    Kiukweli wenyeviti wa Mitaa wanajitafutia matatizo wenyewe, hivi ni sheria ipi kwenye mambo ya Ardhi wao wanahusika hata kiasi cha kujifanya madalali au wanajua saaaaaana. safi sana Waziri ukweli binafsi siwapendi wenyeviti wote wanaojihusisha kwenye matatizo na mizozo pamoja na migogoro ya Ardhi

    • @SharifuJuma-zj6ww
      @SharifuJuma-zj6ww 4 หลายเดือนก่อน

      Wanajifanya wao wenyeji wanaujua mtaa navitu vyake

  • @yustomwaisomania2587
    @yustomwaisomania2587 3 หลายเดือนก่อน +1

    Chezea na mwenye haki wewe. Jackchan mpaka kajieleza kwa kiswahili 😂😂😂

  • @AmaniAbel
    @AmaniAbel 4 หลายเดือนก่อน +1

    safi sana

  • @joshuamfizi4816
    @joshuamfizi4816 4 หลายเดือนก่อน +5

    Tanzania ya mama Samia hiyooo.Haki mbele kwa mbelee.Big up Mhe.Slaa.

  • @gildopitapita1383
    @gildopitapita1383 4 หลายเดือนก่อน +1

    Chapa kazi

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb 4 หลายเดือนก่อน +1

    Angalia huyu mwenyekiti anaonyesha mwizi

  • @saumsheshe4585
    @saumsheshe4585 4 หลายเดือนก่อน

    Mungu akulinde na maadui waziri wetu kwa wema uutendao.

  • @salehothman6144
    @salehothman6144 4 หลายเดือนก่อน +1

    Jerry uko vizuri sana

  • @annadavid1445
    @annadavid1445 4 หลายเดือนก่อน +6

    Safi sana mbunge wangu shikilia hapo hapo. Hao wadhurumaji na majizi papa uwashikishe adabu. Wewe na mama Samia 25 tutavumilia foleni kitaeleweka tuu.

    • @Neema935
      @Neema935 4 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂❤kabisaa.❤

  • @MehmetMtonga-bq5kg
    @MehmetMtonga-bq5kg 4 หลายเดือนก่อน

    Well minister

  • @wanguwangu34
    @wanguwangu34 4 หลายเดือนก่อน +1

    Tumwombeeni Yuko vizuri

  • @mlangaliromwenda6945
    @mlangaliromwenda6945 4 หลายเดือนก่อน +1

    Maelezo ya mwenyekiti. Sio ya kweli. Nimependa sana maamuzi yalio chukuliwa

  • @user-up2kg1wm9p
    @user-up2kg1wm9p 4 หลายเดือนก่อน +1

    Asantee. Kiongozi.

  • @jackisonmlaari4556
    @jackisonmlaari4556 3 หลายเดือนก่อน

    Mwenyezi mungu atuzidishie heshima na roho ya huruma hivyo

  • @bijou5038
    @bijou5038 4 หลายเดือนก่อน

    Well done good job Tanzania 🇹🇿 we want the same thing in Rwanda 🇷🇼 😢😢

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 3 หลายเดือนก่อน

    Aseeee pain kinomaaaa😢😢😢

  • @KaziTutu
    @KaziTutu 4 หลายเดือนก่อน

    Waziri Mungu akubariki

  • @laylayl5166
    @laylayl5166 4 หลายเดือนก่อน +3

    Mungu akulinde waziri wetu slaah

  • @shikuhata
    @shikuhata 3 หลายเดือนก่อน

    Safi sana waziri na mkurugenzi mpambanaji

  • @Surebet705
    @Surebet705 4 หลายเดือนก่อน

    Kazi nzuri wazuri❤❤❤

  • @sautikaliitz934
    @sautikaliitz934 4 หลายเดือนก่อน

    waziri Mungu akubariki sana

  • @user-yf4zo1sm5l
    @user-yf4zo1sm5l 4 หลายเดือนก่อน +4

    Wabongo unasumbua Sana ndugu zetu wageni wa napata shida Sana kwajiri ya watu wasio waaminifu

  • @youngtomuller-vh2pu
    @youngtomuller-vh2pu 4 หลายเดือนก่อน

    Bom trabalho ❤❤❤

    • @baloz8974
      @baloz8974 4 หลายเดือนก่อน

      Muito mesmo isso mostra nao importa a sua nacionalidade si adiquirir bem material sempre teria o seu direito.

  • @user-dl1eu5em8w
    @user-dl1eu5em8w 4 หลายเดือนก่อน

    Mungu akulinde

  • @zulekhasaud483
    @zulekhasaud483 3 หลายเดือนก่อน

    Haya John nchimbi nakuona .katka ubora wako .asante kanzi nzuri.from 🇴🇲

  • @zafarmohamedy3013
    @zafarmohamedy3013 3 หลายเดือนก่อน +1

    70 naa kwenye mfuko jamaa is very humble

  • @user-tz8yn9uf2k
    @user-tz8yn9uf2k 3 หลายเดือนก่อน

    Nakukubali sana kiongoz

  • @abibumussa8808
    @abibumussa8808 3 หลายเดือนก่อน

    Tuna mjomba mwenyezi. Mungu mtumufu yeyote anae zurumu haki. Za wananchi aridhi nyumba basi mwenyezi mungu amlaani hapahapa duniani nakesho akhera hu

  • @user-dr1su7pf7w
    @user-dr1su7pf7w 4 หลายเดือนก่อน +3

    china yote kufaa😂😂 jamani tamaa mbaya sana😢

    • @Jacklinejohn7
      @Jacklinejohn7 4 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂dah

  • @wanguwangu34
    @wanguwangu34 4 หลายเดือนก่อน

    Good job

  • @IssaSimbilla-hw9ev
    @IssaSimbilla-hw9ev 4 หลายเดือนก่อน

    Congratulations jerry Allah akuongoze ktk haq

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 4 หลายเดือนก่อน

    Safi sana waziri 🙏🏽🙏🏽🙏🏽

  • @hamisiamani962
    @hamisiamani962 3 หลายเดือนก่อน

    Jerry Mungu akuweke Sana Kaka kwa hakika Nakuelewa Sana kwauongzi wako uliotukukq

  • @dignachami7382
    @dignachami7382 4 หลายเดือนก่อน +1

    waziri mzuri wa muda wote

  • @WilfredKuyonza-jz2nj
    @WilfredKuyonza-jz2nj 4 หลายเดือนก่อน

    Safi sanaaaa

  • @dicksondkaganga1290
    @dicksondkaganga1290 4 หลายเดือนก่อน

    Waziri Mungu Akutunze

  • @OmesmoNaikoyo
    @OmesmoNaikoyo 4 หลายเดือนก่อน

    Mungu mtakatifu Zaidi kukuinua zaidi

  • @user-mg6wn5bj2z
    @user-mg6wn5bj2z หลายเดือนก่อน

    Kwani mchina huyo ana uraia wa Tanzania anamilikeje ardhi

  • @dignachami7382
    @dignachami7382 4 หลายเดือนก่อน

    God bless u broo mungu akusimamie nimekuwa nikikufuatilia unafaa sana ,ww nimtenda haki wa kweli

  • @erichemily4890
    @erichemily4890 3 หลายเดือนก่อน

    Watu wana tamaa sana aisee sio fresh kabsa

  • @frankrobert9706
    @frankrobert9706 4 หลายเดือนก่อน +2

    Bongo kwa deal ni Hatari sana

    • @mwanaidimussa
      @mwanaidimussa 4 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂🙌🏼

    • @femidayahaya4882
      @femidayahaya4882 2 หลายเดือนก่อน

      Tena Deal za kishenzi sana.

  • @user-fv4zw5ki3x
    @user-fv4zw5ki3x 4 หลายเดือนก่อน

    Waziri wawanyonge nakupenda sana

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd 4 หลายเดือนก่อน +5

    mama samia huyu wazili muache kwenye hii wizara mpaka asitaafu usimguse

    • @joycekisamo4896
      @joycekisamo4896 4 หลายเดือนก่อน +2

      Kabisaaaaa, angalau kwa miaka 5; hii nchi itapangika na kueleweka👏🏽 👏🏽 👏🏽

    • @ScopionScopion-zj9cd
      @ScopionScopion-zj9cd 4 หลายเดือนก่อน +4

      sasa kama samia angekua kama magufuli nahuyu wazili mambo yangekua saf sana

  • @shirutv1139
    @shirutv1139 4 หลายเดือนก่อน +3

    Wabongo wanatamaa

  • @jacquelinesangu1521
    @jacquelinesangu1521 4 หลายเดือนก่อน +1

    Wabongo kiboko zurumu hadi mchina

  • @edisonmaliva1719
    @edisonmaliva1719 4 หลายเดือนก่อน +1

    Ila mchina anatia huruma! 😢 mpeni haki yake bwana chongwanchai

  • @browskymuba6923
    @browskymuba6923 3 หลายเดือนก่อน

    Aise waziri slaa kwanza bright hlf second fear enuf aise mungu amuweke huyu waziri siku moja awe rais hii nchi itasogea mbele sana

  • @user-wc8rm2yo9m
    @user-wc8rm2yo9m 4 หลายเดือนก่อน

    Safi saaana 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @shariffsuleiman2889
    @shariffsuleiman2889 4 หลายเดือนก่อน

    Nampenda sana waziri🇰🇪🇰🇪🇰🇪254

  • @lolymkongo4721
    @lolymkongo4721 3 หลายเดือนก่อน

    Safi sana tanzania ayo djoo sheria safi.

  • @patellaisangai6013
    @patellaisangai6013 4 หลายเดือนก่อน +3

    CCM hoyee upigaji uwendelee 😭 😭 n😂😂😂

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh 4 หลายเดือนก่อน

    Safiiiiiiiiiiii😊

  • @sure2odds484
    @sure2odds484 4 หลายเดือนก่อน

    Hakika haki imetendeka hongera Sana mkuu

  • @user-kj2xh6bt5y
    @user-kj2xh6bt5y 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kimenukaa Tama mbaya 🤣🤣

  • @lightsonnjau2910
    @lightsonnjau2910 4 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana kiongozi kwa kuzingatia sheria

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus7068 4 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu akubariki Dr Slaa🙏🙏❤️

  • @user-cz9zu7ur1h
    @user-cz9zu7ur1h 4 หลายเดือนก่อน

    Safi sana raisi samia tunataka vyuma kamahivi ila kuna sheria gani mgeni kuuziwa eneo?

  • @nickylyanga2139
    @nickylyanga2139 4 หลายเดือนก่อน +7

    Kumbe Tanzania Bado Kuna watu bana

    • @barbarasara4033
      @barbarasara4033 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂😂

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 4 หลายเดือนก่อน

    Global tv. Hongera sana kwa kufuatilia maswala haya