MWANAFUNZI AKODISHA GHOROFA KARIAKOO, ANAINGIZA MILIONI 30 KWA MWEZI, "NILIANZA UDALALI CHUONI"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 เม.ย. 2024

ความคิดเห็น • 515

  • @irenesisamo2184
    @irenesisamo2184 9 วันที่ผ่านมา +8

    Libarikiwe tumbo lililo kuzaa Mungu akupe maisha uibadilishe nchi yetu ukiwa minister of investment naiona nchi ikiwa mbali mwanangu

  • @user-sw6uo6rv6j
    @user-sw6uo6rv6j หลายเดือนก่อน +130

    Wanao tudharau ma last born dogo katuwakilisha vyema hongera mashallah Allah atupe hekma ya kutafuta rizki ya halali

  • @FrancissamwelfrancisSamwelfran
    @FrancissamwelfrancisSamwelfran 11 วันที่ผ่านมา +1

    Sio kweli kwa sis ambao tunahaso huwez kupata gorofa kariakoo kwa million 2 asituzuge huyu jamaa , lamda atuambie Kuna mwamba nyuma yake

  • @joyceKingu
    @joyceKingu หลายเดือนก่อน +15

    Hongers kijana. Utafika mbali na huo ubunifu. You are real marketing expert. You can also do a short course in real estate/ property management to help you to the business professionally

  • @AfricaQueen
    @AfricaQueen หลายเดือนก่อน +37

    Dah! Smart Boy 🤝💯💯💯💯💯🙌🙌🙌🙌Hongera sana Mungu Azidi kuleta Baraka nyingi kwako Ubarikiwe kakaangu🕊️🤝

    • @user-fr7jj1bo7y
      @user-fr7jj1bo7y 26 วันที่ผ่านมา

      Millardayo weka website yake au namba ya dogo

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 หลายเดือนก่อน +27

    Hongera kijana mwema. Una bidii sana. Mungu azidi kukubariki na kukuinua katika maono yako.

  • @nasiwasumari3830
    @nasiwasumari3830 หลายเดือนก่อน +20

    Hongera sana Basil! Mwenyezi Mungu aendelee kukuwezesha. Amina!

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 29 วันที่ผ่านมา +8

    MashaAllah 🙏🙏🙏🙏🙏akili ongeza neema ya mwenyezi Mungu lazima utoboe..
    Wanafunzi wengi wanapenda kujibweteka,wanaamini katika kuprovaidiwa na wazazi na kushindwa kujituma au kuthubutu,lakini pia mifumo yetu ni mibovu haisapoti vijana kujishughulisha na mambo mengine nje ya masomo.
    Hata mimi na utu uzima wangu nimejifunza jambo,

  • @annachales9623
    @annachales9623 หลายเดือนก่อน +17

    Hongera sana dogo yaani wewe ni hatari na nusu...Mungu azidi kukusimamia

  • @stevenjohn7905
    @stevenjohn7905 หลายเดือนก่อน +38

    Very Smart jamaa ana akiri nyingi Sana, serikali inabidi iwekeze kwa huyu kijana

    • @OchoaHomeDecor_
      @OchoaHomeDecor_ หลายเดือนก่อน +2

      Wapo wengi sana 😂
      Kilamtu apambane

    • @ahmed-shakirmwamba4992
      @ahmed-shakirmwamba4992 25 วันที่ผ่านมา

      AKILI

    • @febiolam5904
      @febiolam5904 21 วันที่ผ่านมา

      Na wewe inabidi uwe na AKILI Sio AKIRI

    • @lilianeerica3318
      @lilianeerica3318 12 วันที่ผ่านมา +1

      ​@@febiolam5904😂😂😂😂😂😂 bora umeelewa

  • @beatricerobert8985
    @beatricerobert8985 12 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu angesoma bsness admin au interprnurshp

  • @annndunda3953
    @annndunda3953 หลายเดือนก่อน +30

    Kwa hio my daughter ako sawa she's in grade eight, lakini musimu wa maembe na machungwa hua anazibeba shule anauza ajibuyia vitu ndogo ndogo

    • @rerisamba
      @rerisamba 26 วันที่ผ่านมา

      Heri wewe watoto wengine hata uwawekee barafu wauze hapo nje angalao ajipatie pocket mani hataki

    • @Jjm172
      @Jjm172 26 วันที่ผ่านมา

      Smart

  • @moahmed7588
    @moahmed7588 หลายเดือนก่อน +18

    Apo na Rais Mwinyi pakoje apo? Big up dogo

  • @pilotmadata5791
    @pilotmadata5791 หลายเดือนก่อน +45

    Elon musk, billgate, jeff bezos wooote walianza mdogo mdogo kama huyu kijana wetu🇹🇿❤🥂🥂

    • @PrinceBonnyTz8
      @PrinceBonnyTz8 หลายเดือนก่อน +2

      Wewe unawajua hao majamaa lakn wao hawakufaham😅

    • @pilotmadata5791
      @pilotmadata5791 หลายเดือนก่อน +5

      @@PrinceBonnyTz8 hamna umuhim kwa wao kukujua ila cha muhimu ni kujifunza kutoka kwao🙏🏼❤

    • @PrinceBonnyTz8
      @PrinceBonnyTz8 หลายเดือนก่อน

      @@pilotmadata5791 Acha nikutumie namba za Musk uongee nae 😅

    • @AminaIssa-ee6kl
      @AminaIssa-ee6kl 28 วันที่ผ่านมา

      ​@@PrinceBonnyTz8😂😂😂

    • @Thynkmypodcast
      @Thynkmypodcast 28 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂

  • @axelmalekia2558
    @axelmalekia2558 28 วันที่ผ่านมา

    Hongera sana. Very inspiring. Hukuna kukata tamaa. Mungu akubariki sana.

  • @evachuwa3809
    @evachuwa3809 หลายเดือนก่อน +21

    DUH SMART BOY🎉🎉🎉

  • @Economically-Growth-Musicians
    @Economically-Growth-Musicians หลายเดือนก่อน +5

    Congratulations 🎉🎉🎉 Basil💪

  • @user-du5wk9ns9m
    @user-du5wk9ns9m หลายเดือนก่อน +2

    Ametukuka Allah kwa kujalia akil ubunif kwa kijana huyu, namuona mbali saana kijana, mungu akuzidishie

  • @ramadhankipati7740
    @ramadhankipati7740 29 วันที่ผ่านมา

    Very cool young Man...Maua yake mjasiliamali🎉👏

  • @danielsighis9953
    @danielsighis9953 23 วันที่ผ่านมา +1

    safi sana, afaa kuwa kiongozi mkubwa saana, big up saaa hata anvyojibu maswali najibu kwa akili sananaa. MUNGU akufunikieee

  • @wisperfect5320
    @wisperfect5320 หลายเดือนก่อน +5

    Huyu alikuwa na pesa kwa hiyo ukiwa na pesa kila unachofanya unagusa tu ww kukodi ghorofa unafikili kz ndogo?

  • @beatricepallangyo2821
    @beatricepallangyo2821 29 วันที่ผ่านมา +9

    Daaaah!!
    Hongera sana mdogo wangu...., mwenyewe na utu uzima wangu kina kitu nimepata.
    Mwenyenzi Mungu Azidi Kukuinua!!!!

    • @tazamamaajabuyaulimwengu2786
      @tazamamaajabuyaulimwengu2786 28 วันที่ผ่านมา

      Tatizo mitaji tz sasa yeye alikuwa na mtaji wa kukodi ghorofa kariakoo alikuwa vzr xana

    • @khadjamhozya
      @khadjamhozya วันที่ผ่านมา

      Kira kitu umepata

  • @tanzaniantraveller
    @tanzaniantraveller 29 วันที่ผ่านมา +6

    Uko vizuri sana mdogo wangu, nina Imani utapiga hatua kubwa sana, na nafahamu utajenga magorofa yako mwenyewe.

    • @basilmswahili3685
      @basilmswahili3685 29 วันที่ผ่านมา +1

      Amina sana😀🙏

    • @tanzaniantraveller
      @tanzaniantraveller 29 วันที่ผ่านมา

      @@basilmswahili3685 MUNGU NI MWEMA 🙏🇹🇿

    • @AminaIssa-ee6kl
      @AminaIssa-ee6kl 28 วันที่ผ่านมา +1

      Amin Thumma Yarabby...🤲🤲🤲

    • @tanzaniantraveller
      @tanzaniantraveller 28 วันที่ผ่านมา

      @@AminaIssa-ee6kl Amina 🙏

    • @Monyo04
      @Monyo04 24 วันที่ผ่านมา

      ​@@basilmswahili3685hongera kijana

  • @Kibeche
    @Kibeche หลายเดือนก่อน +6

    Big up sana kijana

  • @MM-pb7fw
    @MM-pb7fw หลายเดือนก่อน +15

    tofauti ya huyu kijana na watu wengine wanaolalamika maisha magumu na kwamba ajira hamna ni UTHUBUTU, UTHUBUTU, UTHUBUTU

    • @nurumligo4862
      @nurumligo4862 28 วันที่ผ่านมา +2

      Hujiulizi alipata wapi hela ya kukodi ghorofa, ukarabati, furniture. Hakuna mtu hapendi fursa, think beyond the box

    • @MM-pb7fw
      @MM-pb7fw 27 วันที่ผ่านมา

      @@nurumligo4862 tatizo hamsikilizi mnaanza tu kucomment,au kuna shida ya uelewa?? dogo kasema aliongea na mwenye jengo,akampa idea kwamba amuachie jengo,yeye ataorganize wanafunzi wenye shida ya hostel,yeye ndio atawasimamia na kukusanya kodi ambayo huyu dogo ataipanga yeye ili na yeye apate faida..baada ya miezi kadhaa atakua anamlipa kodi,hela ya kununulia vitanda amekwambia hapo kwamba alikua na million mbili ya kuanzia ambayo aliipata kwenye kazi ya udalali na boom la chuo...kabla ya kucomment em muwe mnasikiliza interview yote muelewe

    • @MM-pb7fw
      @MM-pb7fw 27 วันที่ผ่านมา

      @@nurumligo4862 aliyekwambia hakuna mtu hapendi fulsa nani?? fulsa sio swala la kuipenda tu, ni swala la kuiona kwanza,then kuipambani,kujifunza,kuacha uoga na kuthubutu....acha mawazo mgando

    • @edwardmkwelele
      @edwardmkwelele 23 วันที่ผ่านมา

      Mtaji Alipata wapi hilo ndilo swali

    • @MM-pb7fw
      @MM-pb7fw 15 วันที่ผ่านมา

      @@edwardmkwelele muwe mnasikiliza interview nzima kabla hamjakurupuka kuuliza maswali...mbona ameeleza hapo vizuri tu..au madishi yameyumba kuelewa ndio shida

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 หลายเดือนก่อน +4

    Safi sana sana ubarikiwe

  • @shebbymazua8216
    @shebbymazua8216 หลายเดือนก่อน +4

    Mungu akutangulie bro umetuwakilisha vzk ziba sec

  • @niyonzimakatama6516
    @niyonzimakatama6516 29 วันที่ผ่านมา +1

    Keep it up kijana be blessed 🙌

  • @riddi676
    @riddi676 26 วันที่ผ่านมา +10

    Watanzania siyo wadadisi sana na tunaishi na hisia zaidi kuliko uhalisia ndo maana mtu akija na story kama hizi ni rahisi kuamini. Kwa tulio kariako kutushawishi bwana millard ulitakiwa kumtafuta huyo mmiliki wa jengo ili uweke vitu sawa hapa. Sizijekuwa biashara za matikiti mil 50 kwa heka😅. Jengo lina vyumba 26 kila chumba watu wawili mara laki 5 ni kama mil 20 na kitu. Sasa hii hesabu ndogo inagoma something is missing. Mfano, mmiliki anapata nn na yy anapata nn? Unless aniambie yy ni dalali wa vyumba kwenye hilo jengo na anapercent kama dalali it's ok. Otherwise mwenye hiyo story aongeze umakini kwenye kutafiti vitu vingi maana umma unajua vitu vingi zaidi ya hivyo. All in all big up brother kwa namna yoyote you deserve respect 🎉🎉

    • @lailatmondwe9829
      @lailatmondwe9829 23 วันที่ผ่านมา +1

      Hata mm japo sipendi na sijui hesabu Iła design kama tumepigwa….. chumba 1 milioni 1, 26 ni milion26 per semester. Mwenye jengo anaipata nn na yeye anaipata nn. Anyway tuendelee kumpongeza!!!!

    • @khadjamhozya
      @khadjamhozya วันที่ผ่านมา

      Una akiri Sana👍 nimekuerewa

  • @jaynetasha4190
    @jaynetasha4190 14 วันที่ผ่านมา

    Eeh Mwenyezi Mungu mjalie mwanangu uwezo huu mkubwa wa kufikiri na umfikishe juu kileleni. Amen.
    Hongera sana Basil

  • @lusseraymond5449
    @lusseraymond5449 29 วันที่ผ่านมา +1

    Big brain bravooo

  • @esterkimath1214
    @esterkimath1214 หลายเดือนก่อน +4

    Basil ❤unaakili sana 😇

  • @ezrommussamusssa2540
    @ezrommussamusssa2540 หลายเดือนก่อน +7

    Nikijicheki nategemea boom alafu sielewi hata linaishaje nabaki nachoka

  • @Yohana-cz2ek
    @Yohana-cz2ek หลายเดือนก่อน +4

    Respect bro

  • @verbalverbal2019
    @verbalverbal2019 หลายเดือนก่อน +10

    Mi nakumbuka kipindi niko chuo nilikodi ghorofa kama tano hivi pale posta mpya, nikawa napangisha wanafunzi wenzangu, sema sikuwaga napenda ma-interview interview... Amenikumbusha mbali sana

    • @user-bw2zn3il3n
      @user-bw2zn3il3n หลายเดือนก่อน +3

      😀😀😀😀😀😀

    • @Jifunzenami
      @Jifunzenami หลายเดือนก่อน +2

      😂😂😂😂

    • @zenadaudzena2849
      @zenadaudzena2849 หลายเดือนก่อน +3

      😂😂😂

    • @highskills5883
      @highskills5883 หลายเดือนก่อน +2

      💨

    • @ASMAFTAAH
      @ASMAFTAAH หลายเดือนก่อน +2

      😂😂😅
      Naam Sheikh

  • @user-jx9xc6vo9x
    @user-jx9xc6vo9x หลายเดือนก่อน +3

    Mungu akutangulie mwanangu

  • @user-ks7zc6kd7u
    @user-ks7zc6kd7u หลายเดือนก่อน +2

    Du jamani huyo mtoto ni brilliant Mungu amtunze na Ulinzi wa kiMungu uwe juu yake

  • @user-xd4rj2iu5q
    @user-xd4rj2iu5q 28 วันที่ผ่านมา

    Aiseee basil that is sure kweli wakati wa mungu ni sahihi Sana Hongera kaka

  • @sweet16honey75
    @sweet16honey75 25 วันที่ผ่านมา +1

    Congrats I am from kenya my mum is from Tabora kudos our Taborian

  • @tatumwakitwange8369
    @tatumwakitwange8369 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki akupe fursa zaidi kwenye maisha yako

  • @Nyamko-christmas
    @Nyamko-christmas หลายเดือนก่อน +18

    Kariako ni kubwa na hii huwez fanya bira msaada kuna vitu vingi mnaficha hamuweki wazi kariako nisehemu zenye kodi kubwa labda jengo ni lao kuna kitu mnaficha kwa Dar kariakoo kuna kodi kubwa Sana

    • @jovinmancomedytz
      @jovinmancomedytz หลายเดือนก่อน

      Duh kwa kariakoo sidhani labda inawezekana

    • @user-so3gy2io8l
      @user-so3gy2io8l หลายเดือนก่อน

      Mbona kaongea

    • @funekamole6742
      @funekamole6742 หลายเดือนก่อน

      Wangese wanazingua!😢

    • @tanzcanmediatv4473
      @tanzcanmediatv4473 หลายเดือนก่อน +1

      Fichua wewe mbwa mmoja yaani akilo za maskini.nawe fanya hivyo vitu

    • @zaytunhijja6771
      @zaytunhijja6771 หลายเดือนก่อน +1

      Mtabaki ivo ivo akili zenu kisoda

  • @Adeen.1
    @Adeen.1 หลายเดือนก่อน +3

    Dogo safi sana umetisha mie nimechagua kukuamini sema jitahidi ukaze huu mji na ulaini wako usije leftishwa group ni hatari pia kama ni biashara za kuaminiwa na watu jitahidi uwa fahamu husije jiingiza kwenye ma group ya hovyo yote kwa yote kama kweli ni hustle yako big up pambana utafika mbali ila kama umejiingiza makundini be careful....

    • @abrahamtitusi8967
      @abrahamtitusi8967 29 วันที่ผ่านมา

      laivu bila chenga mzee

    • @Leeeeeeee-96
      @Leeeeeeee-96 8 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂 hatari 😂

  • @user-bn8wj2lz1z
    @user-bn8wj2lz1z 9 วันที่ผ่านมา

    Wewe noma mungu akuongezee njia

  • @twentyacresfarms3464
    @twentyacresfarms3464 หลายเดือนก่อน +5

    Hili tangazo zuri sana kwa wanaohitaji vyumba

  • @carolinepeter961
    @carolinepeter961 18 วันที่ผ่านมา

    Kijana Yuko vizuri ..very smart

  • @mwanajaajuma9042
    @mwanajaajuma9042 28 วันที่ผ่านมา

    Masha Allah Mungu akuzidishie na sisi wengine pia tuige mfano mzuri kama huo

  • @adolfkirway5715
    @adolfkirway5715 หลายเดือนก่อน +3

    Akili sn hongera mwamba tunahitaji vijana mbali nakusoma tu tuwe wangunduzi na kutatua changamoto za kimaisha kwetu na wenzetu unafaa kuwa kiongozi

  • @user-fr7jj1bo7y
    @user-fr7jj1bo7y 26 วันที่ผ่านมา

    Hongera sana Basil keep up the good work

  • @cyrustimothy2714
    @cyrustimothy2714 29 วันที่ผ่านมา +1

    Umetisha mwana, umenipatia fursa ghafla ninapoishi

  • @jescarwegoshola1754
    @jescarwegoshola1754 28 วันที่ผ่านมา

    Hongera sana, Mungu azidi kukupigania 🤝🙏

  • @eldawilliam3541
    @eldawilliam3541 16 วันที่ผ่านมา

    Hongera sana mwangu Mungu akubariki sana

  • @mawazoaliselemani
    @mawazoaliselemani หลายเดือนก่อน +11

    Shirika la nyumba lijitathmini..ila nampa Big up saana tu huyu dogo..

    • @barbarasara4033
      @barbarasara4033 หลายเดือนก่อน

      Sijui hata kama lipo

    • @moudys
      @moudys หลายเดือนก่อน

      Wewe bado akili imefunga, madhaifu ya sector hizi ndio fursa kwa vijana wenye akili.

  • @user-qb7ej8cp5y
    @user-qb7ej8cp5y 28 วันที่ผ่านมา

    Upo vizuri sana hongera

  • @honorykwahhay4364
    @honorykwahhay4364 29 วันที่ผ่านมา

    Vizuri sana Basil Kwa kuona fursa na kuitumia, umetoa funzo kwa vijana na hata hamasa

  • @JoyceAlfred-dv6cw
    @JoyceAlfred-dv6cw 16 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Big up kijana

  • @directorabiero340
    @directorabiero340 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sana bro

  • @user-xc7qj7ze7m
    @user-xc7qj7ze7m 4 วันที่ผ่านมา +1

    Mahesabu ya mm la saba yanagoma hayo ni mastory ya ayo

  • @wakanaiautogaragecarpaints7753
    @wakanaiautogaragecarpaints7753 29 วันที่ผ่านมา +2

    I see kijana nampatia mauwa yake kabisa mwenyezi mungu adhidi kukupa afya njema na adhidi kua saidie na watu wengine ambao hata sio wanafunzi wa chuo

  • @tenajtenaj4284
    @tenajtenaj4284 26 วันที่ผ่านมา

    Very smart guy🙌🏽🙌🏽🙌🏽

  • @Abbysalaam
    @Abbysalaam หลายเดือนก่อน +2

    Jamaa anajua kujibu maswali 🎉

  • @joycebenjamin6017
    @joycebenjamin6017 27 วันที่ผ่านมา

    Dogo ana akili kuzidi watawala,Mungu akulinde uzidi kutimiza ndoto zako👍🏻👏🏽🙏

  • @muchunofrank1326
    @muchunofrank1326 28 วันที่ผ่านมา

    Kwenye Nia pana Njia, vizuri sana dogo

  • @Jammie626
    @Jammie626 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana Basil

  • @medystarter
    @medystarter หลายเดือนก่อน +3

    Hii inaweza kuwa nzuri pia inaweza kumfanya mmiliki akatamani kuchukua iyo fursa

  • @erastojr1195
    @erastojr1195 28 วันที่ผ่านมา +6

    Utofaut wa kijana mwenzetu na sisi ni kwamba yeye ana uthubutu but hatuwez jua labda Kuna watu wanamshika mkono au wazazi wake wako vizur kimaisha ni tofaut na wengne unakuta ana mpango lakn kipato Cha kuendeleza huo Mradi Hana😮

    • @Africaner21
      @Africaner21 24 วันที่ผ่านมา +1

      Kuna watu wanamshika mkono maana hawezi Kukodi Ghorofa bila maokoto

    • @erastojr1195
      @erastojr1195 24 วันที่ผ่านมา

      @@Africaner21 kabisaaa kaka

  • @caramellaswirl3503
    @caramellaswirl3503 10 วันที่ผ่านมา

    Hongera sana

  • @user-jz9bb6lw1c
    @user-jz9bb6lw1c หลายเดือนก่อน

    Yes..my University mate .. muhimbili...nimeshawahi kufika hapo

  • @user-qv9ii6qz7q
    @user-qv9ii6qz7q หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akusimamaie kaka

  • @kevinmary7129
    @kevinmary7129 28 วันที่ผ่านมา +2

    Genius ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-mr5yf1hp7t
    @user-mr5yf1hp7t หลายเดือนก่อน

    Mashaallah allah akuzidishie kipaji chako

  • @shyfettymtunda4619
    @shyfettymtunda4619 หลายเดือนก่อน +12

    Akili kubwa.🎉

  • @ezekielmbise9766
    @ezekielmbise9766 หลายเดือนก่อน +1

    hongera basil

  • @rkcomercialenterprises3209
    @rkcomercialenterprises3209 หลายเดือนก่อน +67

    Jamani,kuna swala la capital aliwezeshwa na nani. Million mbili huwezi kukodi gorofa Kariakoo

    • @pendosailo1989
      @pendosailo1989 หลายเดือนก่อน +7

      Sure...atueleze kapataje mtaji. Tuanzie hapo

    • @philej
      @philej หลายเดือนก่อน +10

      Ukimsikiliza tena vizuri utamuelewa Kwa msaada tu nikeleweshe kidogo, Jamaa kaongea na mliki wa jengo ampe muda kidogo wakumlipa pesa yake uku akiendelea kulitumia jengo

    • @selemanindege9933
      @selemanindege9933 หลายเดือนก่อน +16

      Hakuna tajiri wa hvyo yaan akupe ghorofa utumie alafu umpe Kidogo kidogo wakati kaliakoo​ watu wenye pesa zao wanatafuta hizo ghorofa@@philej

    • @ashelimwamlima602
      @ashelimwamlima602 หลายเดือนก่อน +1

      Asa mbn unatak kuweka DEBATE kubisha yani,, n jamaaq kasema

    • @barbarasara4033
      @barbarasara4033 หลายเดือนก่อน +6

      ​@@selemanindege9933 NI mwongo 😂I 😂😂😂😂 Kariakoo Kwa hiyo bei

  • @rosemarykipesha3898
    @rosemarykipesha3898 29 วันที่ผ่านมา

    Very creative

  • @PozzTonny-in8vy
    @PozzTonny-in8vy หลายเดือนก่อน

    Akili kubwa big up brother

  • @richkaja3317
    @richkaja3317 24 วันที่ผ่านมา

    Hongera sanaa Boy

  • @hajudocompanylimited7996
    @hajudocompanylimited7996 หลายเดือนก่อน +1

    Safi sana mdogo wangu

  • @elieshistephen1534
    @elieshistephen1534 26 วันที่ผ่านมา

    Basili muinue sana Mungu kila wakati ili azidi kukuongoza na kukuepusha na kila ubaya.

  • @bakarimasanga3634
    @bakarimasanga3634 25 วันที่ผ่านมา

    Your testosterone level is high, u know what I mean Basil.big up bro!

  • @beatricembunda6168
    @beatricembunda6168 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana Kijana

  • @patriciovicente2891
    @patriciovicente2891 23 วันที่ผ่านมา

    Hongera kijana kwa kuzitumia ipaswavyo akili yako

  • @EstherMinja-jv1qf
    @EstherMinja-jv1qf 28 วันที่ผ่านมา

    Hongera sana mwanangu

  • @ZuleikhaSalim
    @ZuleikhaSalim หลายเดือนก่อน +8

    Hongera kijan umeupig mwing

  • @khadjamhozya
    @khadjamhozya วันที่ผ่านมา

    mwenyenyumba arimuaminije nahari Kariakoo nyumba zinagombaniwa huwu ni mchongo msiwe mnatudanganya wengine tunaerewa zaidi hatufuati mkumbo

  • @ibrahimmhapa4856
    @ibrahimmhapa4856 15 วันที่ผ่านมา

    Big up big fighter 💪💪💪💪💪💪

  • @owlbig
    @owlbig 29 วันที่ผ่านมา

    Congratulations brother

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 หลายเดือนก่อน

    😮mashaallah❤❤❤❤❤🤲🤲

  • @getrudewillson308
    @getrudewillson308 หลายเดือนก่อน

    Kiukweli MUNGU AKUBARIKI sana mwanangu

  • @trillionthamani5736
    @trillionthamani5736 27 วันที่ผ่านมา +1

    Ni mdogo wangu,lakini ngoja nimpe shikamoo

  • @omeraJR
    @omeraJR หลายเดือนก่อน +6

    Genius for REAL👊👊

  • @hassankongolilo8408
    @hassankongolilo8408 หลายเดือนก่อน +1

    maashaallah mungu awabariki nyote kwa interview nzuri kama hii

  • @anithamaganga
    @anithamaganga 27 วันที่ผ่านมา

    Vichwa bado vinazaliwa👏👏👏safi bro

  • @ConsolathangairoConsolathamart
    @ConsolathangairoConsolathamart 29 วันที่ผ่านมา

    Hongera🙏🏻

  • @kulwaemmanuel2875
    @kulwaemmanuel2875 29 วันที่ผ่านมา

    Mungu azidi kukusimamia na kukufanya uzidi kufanikiwa na kubarikiwa day to day mwamba.

  • @merinaemmanuel3593
    @merinaemmanuel3593 3 วันที่ผ่านมา

    Congratulations

  • @fatimajuma3330
    @fatimajuma3330 หลายเดือนก่อน

    Nimeipenda hii

  • @bajagihaji8923
    @bajagihaji8923 หลายเดือนก่อน +10

    Tusiishi kwa mazoeya lazima tutafute Mbadala

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 หลายเดือนก่อน

    Great boy

  • @sein.208
    @sein.208 หลายเดือนก่อน

    Masha Allah

  • @user-rv7nm5ep4p
    @user-rv7nm5ep4p 26 วันที่ผ่านมา

    Hongera sana Kwa ubunifu.