Hongers kijana. Utafika mbali na huo ubunifu. You are real marketing expert. You can also do a short course in real estate/ property management to help you to the business professionally
MashaAllah 🙏🙏🙏🙏🙏akili ongeza neema ya mwenyezi Mungu lazima utoboe.. Wanafunzi wengi wanapenda kujibweteka,wanaamini katika kuprovaidiwa na wazazi na kushindwa kujituma au kuthubutu,lakini pia mifumo yetu ni mibovu haisapoti vijana kujishughulisha na mambo mengine nje ya masomo. Hata mimi na utu uzima wangu nimejifunza jambo,
@@nurumligo4862 tatizo hamsikilizi mnaanza tu kucomment,au kuna shida ya uelewa?? dogo kasema aliongea na mwenye jengo,akampa idea kwamba amuachie jengo,yeye ataorganize wanafunzi wenye shida ya hostel,yeye ndio atawasimamia na kukusanya kodi ambayo huyu dogo ataipanga yeye ili na yeye apate faida..baada ya miezi kadhaa atakua anamlipa kodi,hela ya kununulia vitanda amekwambia hapo kwamba alikua na million mbili ya kuanzia ambayo aliipata kwenye kazi ya udalali na boom la chuo...kabla ya kucomment em muwe mnasikiliza interview yote muelewe
@@nurumligo4862 aliyekwambia hakuna mtu hapendi fulsa nani?? fulsa sio swala la kuipenda tu, ni swala la kuiona kwanza,then kuipambani,kujifunza,kuacha uoga na kuthubutu....acha mawazo mgando
Watanzania siyo wadadisi sana na tunaishi na hisia zaidi kuliko uhalisia ndo maana mtu akija na story kama hizi ni rahisi kuamini. Kwa tulio kariako kutushawishi bwana millard ulitakiwa kumtafuta huyo mmiliki wa jengo ili uweke vitu sawa hapa. Sizijekuwa biashara za matikiti mil 50 kwa heka😅. Jengo lina vyumba 26 kila chumba watu wawili mara laki 5 ni kama mil 20 na kitu. Sasa hii hesabu ndogo inagoma something is missing. Mfano, mmiliki anapata nn na yy anapata nn? Unless aniambie yy ni dalali wa vyumba kwenye hilo jengo na anapercent kama dalali it's ok. Otherwise mwenye hiyo story aongeze umakini kwenye kutafiti vitu vingi maana umma unajua vitu vingi zaidi ya hivyo. All in all big up brother kwa namna yoyote you deserve respect 🎉🎉
Hata mm japo sipendi na sijui hesabu Iła design kama tumepigwa….. chumba 1 milioni 1, 26 ni milion26 per semester. Mwenye jengo anaipata nn na yeye anaipata nn. Anyway tuendelee kumpongeza!!!!
Mi nakumbuka kipindi niko chuo nilikodi ghorofa kama tano hivi pale posta mpya, nikawa napangisha wanafunzi wenzangu, sema sikuwaga napenda ma-interview interview... Amenikumbusha mbali sana
Kariako ni kubwa na hii huwez fanya bira msaada kuna vitu vingi mnaficha hamuweki wazi kariako nisehemu zenye kodi kubwa labda jengo ni lao kuna kitu mnaficha kwa Dar kariakoo kuna kodi kubwa Sana
Dogo safi sana umetisha mie nimechagua kukuamini sema jitahidi ukaze huu mji na ulaini wako usije leftishwa group ni hatari pia kama ni biashara za kuaminiwa na watu jitahidi uwa fahamu husije jiingiza kwenye ma group ya hovyo yote kwa yote kama kweli ni hustle yako big up pambana utafika mbali ila kama umejiingiza makundini be careful....
Utofaut wa kijana mwenzetu na sisi ni kwamba yeye ana uthubutu but hatuwez jua labda Kuna watu wanamshika mkono au wazazi wake wako vizur kimaisha ni tofaut na wengne unakuta ana mpango lakn kipato Cha kuendeleza huo Mradi Hana😮
Ukimsikiliza tena vizuri utamuelewa Kwa msaada tu nikeleweshe kidogo, Jamaa kaongea na mliki wa jengo ampe muda kidogo wakumlipa pesa yake uku akiendelea kulitumia jengo
Libarikiwe tumbo lililo kuzaa Mungu akupe maisha uibadilishe nchi yetu ukiwa minister of investment naiona nchi ikiwa mbali mwanangu
Wanao tudharau ma last born dogo katuwakilisha vyema hongera mashallah Allah atupe hekma ya kutafuta rizki ya halali
Amin kka
😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂kwakweli
Kabisa ✊
Mtaji mkubwa sana. Je kaupataje??
Sio kweli kwa sis ambao tunahaso huwez kupata gorofa kariakoo kwa million 2 asituzuge huyu jamaa , lamda atuambie Kuna mwamba nyuma yake
Hongers kijana. Utafika mbali na huo ubunifu. You are real marketing expert. You can also do a short course in real estate/ property management to help you to the business professionally
Dah! Smart Boy 🤝💯💯💯💯💯🙌🙌🙌🙌Hongera sana Mungu Azidi kuleta Baraka nyingi kwako Ubarikiwe kakaangu🕊️🤝
Millardayo weka website yake au namba ya dogo
Hongera kijana mwema. Una bidii sana. Mungu azidi kukubariki na kukuinua katika maono yako.
Hongera sana Basil! Mwenyezi Mungu aendelee kukuwezesha. Amina!
Amen🙏
MashaAllah 🙏🙏🙏🙏🙏akili ongeza neema ya mwenyezi Mungu lazima utoboe..
Wanafunzi wengi wanapenda kujibweteka,wanaamini katika kuprovaidiwa na wazazi na kushindwa kujituma au kuthubutu,lakini pia mifumo yetu ni mibovu haisapoti vijana kujishughulisha na mambo mengine nje ya masomo.
Hata mimi na utu uzima wangu nimejifunza jambo,
Hongera sana dogo yaani wewe ni hatari na nusu...Mungu azidi kukusimamia
Very Smart jamaa ana akiri nyingi Sana, serikali inabidi iwekeze kwa huyu kijana
Wapo wengi sana 😂
Kilamtu apambane
AKILI
Na wewe inabidi uwe na AKILI Sio AKIRI
@@febiolam5904😂😂😂😂😂😂 bora umeelewa
Huyu angesoma bsness admin au interprnurshp
Kwa hio my daughter ako sawa she's in grade eight, lakini musimu wa maembe na machungwa hua anazibeba shule anauza ajibuyia vitu ndogo ndogo
Heri wewe watoto wengine hata uwawekee barafu wauze hapo nje angalao ajipatie pocket mani hataki
Smart
Apo na Rais Mwinyi pakoje apo? Big up dogo
Elon musk, billgate, jeff bezos wooote walianza mdogo mdogo kama huyu kijana wetu🇹🇿❤🥂🥂
Wewe unawajua hao majamaa lakn wao hawakufaham😅
@@PrinceBonnyTz8 hamna umuhim kwa wao kukujua ila cha muhimu ni kujifunza kutoka kwao🙏🏼❤
@@pilotmadata5791 Acha nikutumie namba za Musk uongee nae 😅
@@PrinceBonnyTz8😂😂😂
😂😂😂
Hongera sana. Very inspiring. Hukuna kukata tamaa. Mungu akubariki sana.
DUH SMART BOY🎉🎉🎉
Congratulations 🎉🎉🎉 Basil💪
Ametukuka Allah kwa kujalia akil ubunif kwa kijana huyu, namuona mbali saana kijana, mungu akuzidishie
Very cool young Man...Maua yake mjasiliamali🎉👏
safi sana, afaa kuwa kiongozi mkubwa saana, big up saaa hata anvyojibu maswali najibu kwa akili sananaa. MUNGU akufunikieee
Huyu alikuwa na pesa kwa hiyo ukiwa na pesa kila unachofanya unagusa tu ww kukodi ghorofa unafikili kz ndogo?
Daaaah!!
Hongera sana mdogo wangu...., mwenyewe na utu uzima wangu kina kitu nimepata.
Mwenyenzi Mungu Azidi Kukuinua!!!!
Tatizo mitaji tz sasa yeye alikuwa na mtaji wa kukodi ghorofa kariakoo alikuwa vzr xana
Kira kitu umepata
Uko vizuri sana mdogo wangu, nina Imani utapiga hatua kubwa sana, na nafahamu utajenga magorofa yako mwenyewe.
Amina sana😀🙏
@@basilmswahili3685 MUNGU NI MWEMA 🙏🇹🇿
Amin Thumma Yarabby...🤲🤲🤲
@@AminaIssa-ee6kl Amina 🙏
@@basilmswahili3685hongera kijana
Big up sana kijana
tofauti ya huyu kijana na watu wengine wanaolalamika maisha magumu na kwamba ajira hamna ni UTHUBUTU, UTHUBUTU, UTHUBUTU
Hujiulizi alipata wapi hela ya kukodi ghorofa, ukarabati, furniture. Hakuna mtu hapendi fursa, think beyond the box
@@nurumligo4862 tatizo hamsikilizi mnaanza tu kucomment,au kuna shida ya uelewa?? dogo kasema aliongea na mwenye jengo,akampa idea kwamba amuachie jengo,yeye ataorganize wanafunzi wenye shida ya hostel,yeye ndio atawasimamia na kukusanya kodi ambayo huyu dogo ataipanga yeye ili na yeye apate faida..baada ya miezi kadhaa atakua anamlipa kodi,hela ya kununulia vitanda amekwambia hapo kwamba alikua na million mbili ya kuanzia ambayo aliipata kwenye kazi ya udalali na boom la chuo...kabla ya kucomment em muwe mnasikiliza interview yote muelewe
@@nurumligo4862 aliyekwambia hakuna mtu hapendi fulsa nani?? fulsa sio swala la kuipenda tu, ni swala la kuiona kwanza,then kuipambani,kujifunza,kuacha uoga na kuthubutu....acha mawazo mgando
Mtaji Alipata wapi hilo ndilo swali
@@edwardmkwelele muwe mnasikiliza interview nzima kabla hamjakurupuka kuuliza maswali...mbona ameeleza hapo vizuri tu..au madishi yameyumba kuelewa ndio shida
Safi sana sana ubarikiwe
Mungu akutangulie bro umetuwakilisha vzk ziba sec
Keep it up kijana be blessed 🙌
Watanzania siyo wadadisi sana na tunaishi na hisia zaidi kuliko uhalisia ndo maana mtu akija na story kama hizi ni rahisi kuamini. Kwa tulio kariako kutushawishi bwana millard ulitakiwa kumtafuta huyo mmiliki wa jengo ili uweke vitu sawa hapa. Sizijekuwa biashara za matikiti mil 50 kwa heka😅. Jengo lina vyumba 26 kila chumba watu wawili mara laki 5 ni kama mil 20 na kitu. Sasa hii hesabu ndogo inagoma something is missing. Mfano, mmiliki anapata nn na yy anapata nn? Unless aniambie yy ni dalali wa vyumba kwenye hilo jengo na anapercent kama dalali it's ok. Otherwise mwenye hiyo story aongeze umakini kwenye kutafiti vitu vingi maana umma unajua vitu vingi zaidi ya hivyo. All in all big up brother kwa namna yoyote you deserve respect 🎉🎉
Hata mm japo sipendi na sijui hesabu Iła design kama tumepigwa….. chumba 1 milioni 1, 26 ni milion26 per semester. Mwenye jengo anaipata nn na yeye anaipata nn. Anyway tuendelee kumpongeza!!!!
Una akiri Sana👍 nimekuerewa
Eeh Mwenyezi Mungu mjalie mwanangu uwezo huu mkubwa wa kufikiri na umfikishe juu kileleni. Amen.
Hongera sana Basil
🙏🙏
Big brain bravooo
Basil ❤unaakili sana 😇
Nikijicheki nategemea boom alafu sielewi hata linaishaje nabaki nachoka
Respect bro
Mi nakumbuka kipindi niko chuo nilikodi ghorofa kama tano hivi pale posta mpya, nikawa napangisha wanafunzi wenzangu, sema sikuwaga napenda ma-interview interview... Amenikumbusha mbali sana
😀😀😀😀😀😀
😂😂😂😂
😂😂😂
💨
😂😂😅
Naam Sheikh
Mungu akutangulie mwanangu
Du jamani huyo mtoto ni brilliant Mungu amtunze na Ulinzi wa kiMungu uwe juu yake
Amen
Aiseee basil that is sure kweli wakati wa mungu ni sahihi Sana Hongera kaka
Congrats I am from kenya my mum is from Tabora kudos our Taborian
Mungu akubariki akupe fursa zaidi kwenye maisha yako
Kariako ni kubwa na hii huwez fanya bira msaada kuna vitu vingi mnaficha hamuweki wazi kariako nisehemu zenye kodi kubwa labda jengo ni lao kuna kitu mnaficha kwa Dar kariakoo kuna kodi kubwa Sana
Duh kwa kariakoo sidhani labda inawezekana
Mbona kaongea
Wangese wanazingua!😢
Fichua wewe mbwa mmoja yaani akilo za maskini.nawe fanya hivyo vitu
Mtabaki ivo ivo akili zenu kisoda
Dogo safi sana umetisha mie nimechagua kukuamini sema jitahidi ukaze huu mji na ulaini wako usije leftishwa group ni hatari pia kama ni biashara za kuaminiwa na watu jitahidi uwa fahamu husije jiingiza kwenye ma group ya hovyo yote kwa yote kama kweli ni hustle yako big up pambana utafika mbali ila kama umejiingiza makundini be careful....
laivu bila chenga mzee
😂😂😂😂😂 hatari 😂
Wewe noma mungu akuongezee njia
Hili tangazo zuri sana kwa wanaohitaji vyumba
Kijana Yuko vizuri ..very smart
Masha Allah Mungu akuzidishie na sisi wengine pia tuige mfano mzuri kama huo
Akili sn hongera mwamba tunahitaji vijana mbali nakusoma tu tuwe wangunduzi na kutatua changamoto za kimaisha kwetu na wenzetu unafaa kuwa kiongozi
Hongera sana Basil keep up the good work
Umetisha mwana, umenipatia fursa ghafla ninapoishi
Hongera sana, Mungu azidi kukupigania 🤝🙏
Hongera sana mwangu Mungu akubariki sana
Shirika la nyumba lijitathmini..ila nampa Big up saana tu huyu dogo..
Sijui hata kama lipo
Wewe bado akili imefunga, madhaifu ya sector hizi ndio fursa kwa vijana wenye akili.
Upo vizuri sana hongera
Vizuri sana Basil Kwa kuona fursa na kuitumia, umetoa funzo kwa vijana na hata hamasa
Big up kijana
Hongera sana bro
Mahesabu ya mm la saba yanagoma hayo ni mastory ya ayo
I see kijana nampatia mauwa yake kabisa mwenyezi mungu adhidi kukupa afya njema na adhidi kua saidie na watu wengine ambao hata sio wanafunzi wa chuo
Very smart guy🙌🏽🙌🏽🙌🏽
Jamaa anajua kujibu maswali 🎉
Dogo ana akili kuzidi watawala,Mungu akulinde uzidi kutimiza ndoto zako👍🏻👏🏽🙏
Kwenye Nia pana Njia, vizuri sana dogo
Hongera sana Basil
Hii inaweza kuwa nzuri pia inaweza kumfanya mmiliki akatamani kuchukua iyo fursa
Nalo neno!
Utofaut wa kijana mwenzetu na sisi ni kwamba yeye ana uthubutu but hatuwez jua labda Kuna watu wanamshika mkono au wazazi wake wako vizur kimaisha ni tofaut na wengne unakuta ana mpango lakn kipato Cha kuendeleza huo Mradi Hana😮
Kuna watu wanamshika mkono maana hawezi Kukodi Ghorofa bila maokoto
@@Africaner21 kabisaaa kaka
Hongera sana
Yes..my University mate .. muhimbili...nimeshawahi kufika hapo
Mungu akusimamaie kaka
Genius ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mashaallah allah akuzidishie kipaji chako
Akili kubwa.🎉
Kwel
hongera basil
Jamani,kuna swala la capital aliwezeshwa na nani. Million mbili huwezi kukodi gorofa Kariakoo
Sure...atueleze kapataje mtaji. Tuanzie hapo
Ukimsikiliza tena vizuri utamuelewa Kwa msaada tu nikeleweshe kidogo, Jamaa kaongea na mliki wa jengo ampe muda kidogo wakumlipa pesa yake uku akiendelea kulitumia jengo
Hakuna tajiri wa hvyo yaan akupe ghorofa utumie alafu umpe Kidogo kidogo wakati kaliakoo watu wenye pesa zao wanatafuta hizo ghorofa@@philej
Asa mbn unatak kuweka DEBATE kubisha yani,, n jamaaq kasema
@@selemanindege9933 NI mwongo 😂I 😂😂😂😂 Kariakoo Kwa hiyo bei
Very creative
Akili kubwa big up brother
Hongera sanaa Boy
Safi sana mdogo wangu
Basili muinue sana Mungu kila wakati ili azidi kukuongoza na kukuepusha na kila ubaya.
Your testosterone level is high, u know what I mean Basil.big up bro!
Hongera sana Kijana
Hongera kijana kwa kuzitumia ipaswavyo akili yako
Hongera sana mwanangu
Hongera kijan umeupig mwing
Mzma Zuleikha?
Hey Zu"+44
@@khadijaalimohd1320 hamdellah nan
mwenyenyumba arimuaminije nahari Kariakoo nyumba zinagombaniwa huwu ni mchongo msiwe mnatudanganya wengine tunaerewa zaidi hatufuati mkumbo
Big up big fighter 💪💪💪💪💪💪
Congratulations brother
😮mashaallah❤❤❤❤❤🤲🤲
Kiukweli MUNGU AKUBARIKI sana mwanangu
Ni mdogo wangu,lakini ngoja nimpe shikamoo
Genius for REAL👊👊
maashaallah mungu awabariki nyote kwa interview nzuri kama hii
Vichwa bado vinazaliwa👏👏👏safi bro
Hongera🙏🏻
Mungu azidi kukusimamia na kukufanya uzidi kufanikiwa na kubarikiwa day to day mwamba.
Congratulations
Nimeipenda hii
Tusiishi kwa mazoeya lazima tutafute Mbadala
Great boy
Masha Allah
Hongera sana Kwa ubunifu.