WAZIRI SILAA AWABANANISHA WATAALAM ISHU ya KITUO cha MAFUTA MIKOCHENI -WADAI ni MAAGIZO ya MAGUFULI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 22 ธ.ค. 2023
- WAZIRI SILAA AWABANANISHA WATAALAM ISHU ya KITUO cha MAFUTA MIKOCHENI -WADAI ni MAAGIZO ya MAGUFULI....
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Jerry Silaa amesimamisha matumizi ya Kituo cha Mafuta cha Barrel Petrol Energy cha Mikocheni jijini Dar es salaam na kupiga marufuku ujenzi holela wa vituo vya mafuta nchi nzima vinavyojengwa kwenye makazi ya watu hatua inayohatarisha usalama wa watu na mali zao.
Waziri Silaa ametoa agizo hilo Desemba 23, 2023 alipoenda kukagua eneo kilipojengwa kituo hicho na aliambatana na Kamati ya ulizi na usalama ya Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es salaam.
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Wazili uko sawa, ww verry intelligent. Big up waziri. Piga kazi baba.
Waziri silaa endelea kuchapa kazi usiogope pesa silolote wala sichochote pesa ambazo si halalari hua hazizidi vizazi 3 zinakua zimeisha mjaribu kufanya ufuatiriaji kwa wale waliokwisha zichuma harizao kifedha zikoje waziri silaa endelea kumuogopa mungu utamaloza kazi zako vizuri na mungu ataendelea kuubariki uzaowako na vizazi vyako vitaendelea kua salama hata kamau utakua haupo duniani.
Mh waziri hivi vituo vya mafuta vipo vingi karibu nchi nzima,sio hapo tu kwa mstaafu,unda tume ichunguze kwa kuanzia anza na mikoa mikubwa then baadae uje na majibu na maamuzi sahihi wengi wa wamiliki nivigogo wenye fedha zao wanaweza kutushitaki na serikali ikaingia matatani na kulipa fidia kwa fedha za kodi za wananchi wasio na hatia.hongera kwa kazi nzuri ila ushauri wangu uzingatiee
Mweeeh kumbe afisa utumishi wangu umeondoka handeni ..doohh . Anyway may God keep u..Omary mhagama
Ila Jamaa yuko Vizuri sana ,anajiamini anapotoa maelezo.
Waziri WE ni mpole ila maswali yako ni verry intelligent big Up
Fanya kazi baba
Waziri fanya hadharani. Maana huko mtaani ndio kwenye siri nyingi za maswala ya ardhi.
Mambo haya yakifanyika kiofisi ndiko rushwa zinatawala.
Wananchi wanajua ukweli.
Nakupongeza waziri endelea na hii clinic.
Ardhi hazipo ofisini. Nenda eneo husika utakutana na ukweli
Pongezi zako waziri. Big up.
Piga keleleleeeeee
Mh wazili Amakweli Nimekuelewa iyo Nafasi upo sawa kitaaluma km nikilaza huzielewa hao jamaa wanatumia shule yao kudanganya watu kisomi zaidi umefafanua Vema Naomba upitenao na mmiliki washeli Asanteeeee
Hapo kinachoonekana taratibu zimefatwa ila inaonyesha kuna watu wanajifanya wao ndo watu muhimu hawataki kilele Kings hata hivyo haohao wamejimilikisha maeneo ya wazi wakaweka uzio wao wapo sawa
Tuko pamoja mzee. Umesema kweli kbs.
Mi nilifikiri mawazo yangu pekee yangu kumbe wengi
Well said brother bonge🎉🎉
😢😢ttuwapare wapi watu kama wewe mweshimiwa waziri??
Mungu wa mbinguni akulinde usiku na mchana...
Global shenzi zenu picha ya mpendwa wetu MAGUFULU mmeweka hapo ya nini??fyooooiio
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mungu akulinde wazili damu ya yesu kristo ikulinde
Ukweli nimekuelewa utendaji wako ssa baba kaatayari kwa yoyote kwa lolote Ata malehem Magufuri alikua zaidi yako lakini walichomfanyia kwenyekitengo hicho anajua mungu Yenyewe hayo na mengine unayohapohapo ulipo yan asema pesa ndiokilakitu Kamavile yataenda nnazo kabulini mpatakuweza atakumuuwa mtu Mungu akutangulie Isha allah
kibonge uyo ni mwizi mwenye mipango anayejuajua sheria kidogo ndio maana amesimama badala mkurugenzi
Wazili kweli comment imechelewa lakini Wazili angalia hayo ndiomauwaji wazurumati wa haki zawatu Angalia baba na muombe mungu wako nasisi walimwenngu tunaependa haki tunakuombea uwepo milele n amungu akulinde Isha allah tun atafuta ambao wenye maamuzi kumbe mmmefichwa kuzim na mahasim Hongera saaaaana Slaa hongera Mama ulikuahaujamuona kiumbe huyu mtenda haki na muelewa wa sheria
Ishu hii naona kuna watu wamekula rushwa sas na wao wachukuliwe hatua mazee
Hili taifa tatizo lake ni mifumo yake imejaa rushwa kila kona
Hisia za Magufuli bado zipo. Haki kwa watu wote. Asante Jerry Slaa. Umeonyesha uadilifu wa dhati Katika serikali ya Mama
Waziri Mungu akulinde hii vita ni ngumu maana unapambana na wenye fedha walio kusudia kuvunja sheria na umezungukwa na watendaji wengi wenye njaa
Mh Jerry ni kijana mwenzangu lkn hii ni show na siyo taratibu za kufanya unataka kumfurahisha nani!??? Kwani hiyo kazi lazima ifanyike mbele ya kamera hakuna taratibu za kiofisi!?? Utajikuta umetengeneza mgororo na watendaji wako utakwama kwenye hiyo wizara
Mwenye kituo cha mafuta alitembeza talanta kisawa Sawa hili swala kwa wanaadamu ni ngumu lakini kwa Mungu ni ♥ Rahisi saana na woote wanajua mioyoni mwao wamefanya nini haya kila la kheri
Alianza na Mwenyekiti 😂😂😂😂😂 Hatari Sana
Hongera waziri unatufaa watanzania hakika we we ni raid ajaye
Hii ngoma ni ngumu.
Huyu Waziri mpaka hapa amefeli tena 💯. Na asipoangalia atatumbuliwa si muda mrefu. Anataka Kiongoza anavyojua na si mazingira ya Kitanzania.
Acha upumbavu ww
omari.unatririka.safi
Broud if this Men. Love u bro. Mh. Waziri
Una kiingereza kizuri mkuu...😅
Tafadhali waziri njoo Mwanagati viwanja vya umma vimeuzwa
Mwambie aje jimboni😅😅😅 aje aone na mahandaki barabarani
Mpaka kituo cha mafuta kinafikia hata hiyo Bila Shaka ana vibali vyote au isiwe Kwa vile kimezungukwa na vigogo hao wote niarafiki zake acheni siasa nchi isonge mbele ni vituo vingi Tu vinajengwa na vinafanana na hicho nchini
Hiyo ndo point
Nyinyi wakati mnauza bandari hamkushilikisha wananchi sheli imejengwa mnataka wananchi wahusishwe kwa sababu sheli hana mana kwenu ila bandari mlipiga pesa nyinyi mawaziri howcome
sasa wewe unasema nini huelewi nini
Slaa jerry mtu na nusu.hili ni swala dogo sana kwake.
Huyo kijana mwenye t-shirt nyeusi ni mpumbavu sana na ana sura ya kilevi
Tatizo mlifanya araka kwa nguvu ya pesa,
Waziri uko sawa hao wataalm Wana mazarau kwa wanchi
Kwahiyo waziri sio serekali kweli wasomi mjaa TZ kwa mtazamo wangu fitina hapo ni nyingi sana hawo wazee ni wasomi ni wastaafu na hayo yote wao ndio wametuachia huo mfumo sio wakamilifu mioyo yao inachembex2 za unafiki . 27:43
Saaana sio uongo Tibaijuka ni mnafiki sana huyo mama pamoja na wenzie
Na ukiangalia wooote ni kutoka huko huko BUKOBA
Ni kweri ndugu yangu
Kweli
Mh waziri kwa maelezo ya watumishi wote wanayo yatoa unaona thahiri wameisha kura rushwa Toka kwa tajiri anaejenga kituo Cha mafuta.uwachukulie hatuna Kila mtu kwa nafasi yake.
Duh! Mheshimiwa Silaa. Natamani ungekuwepo tangia kitambo! Yote kwa uote, safari mpya imeanza........
Mh.nakuombea silaa
Hao ndio wafanyakazi hewa aliowaondoa mzee wet in j p m , inasikitisha mama kawarudisha daa inaumiza sana ,
Mh silaa yupo makini
Safiiii
Kwa mtazamo wangu slaa anatetea sheli flani sababu ya biashara hapa AIRPORT KUNA SHELI3 TENA YA 3 imejengwa juzi ni LAKE OIL MBONA HUJAIPIGA STOP???
Kikteee heheheeere
Shukran nyingi na pongezi kwa wazili Silaa.mimi nimyarwanda niko Kigali. Namfwata wazili 100 kwa 100 .kazi kwenda mbere.ndiyo viyongozi africa inaitaji.
Waziri slaa wangalie sana hao wamepewa pesa kama wewe mwenyewe umeletewa milioni 300 wao wamepewa pesa wakamatwe wote na mwenyekiti afukuzwe kazi haraka siyo mwungwana
That's not fair
Mmmmmmh watanzania buana,
Bado kuna watu hamjamuelewa waziri,
Mbona yupo kutetea raia:
Yani mgwkuwa hivi toka zamani, bandali zetu zisinge uzwa.
Inakuja kipindi jamii imeanza kuamini usomi ni wizi mm na kilinikweli Kuna wakt wanaongea kujichanganya tu
Bigi ana jua kuji elezea sana. Na kwa utulivu wa ali ya juuuu
Magari yanapita hayapiti maendeleo Tanzania ni shida roho za Kwanini ni nyingi
Ingekuwa mtu asie na kitu aidha kaporwa ardhi au chochote usingewaona hao na ma vx yao hapo
Raia tuwe tunafund8shwa hizo terms zinazotumika ili tuelewe vizuri kwa kuwa sisi ndiyo Wananchi!
Huyu bwana ni mwanasheria ambaye arienda shule kisha shule akaondoka nayo kisha anaitumia na ana talent ya uongozi
Janja janja tu, aondoke tu hatuhitaji kituo hapo
😂😂😂😂😂
Mmh hata waziri lukuvi alisema kapewa 2 bil. Bila ushahidi kumbe Akitaka sifa tuu. Sio mnasema tu bila ushahidi.
Mh!hawa watu muwachunguze si kiutendaji tu,angalieni akaunti zao na mali zao na watoe maelezo ya namna walivyopata..Wizara inahitqji mabadiliko seriously.
Kama kunatatizo kuna MAHAKAMA YA ARDHI WAZIRI SIO JUDGE
We umefeli cy kitu mahakaman au una maslahi huko
Hili mheshimiwa fulani..mimi nalichukiaaaa to the extent so soryy Tanzania
Nmemkubali afsa utumishi anaelewa anachokifnya,
Wazir aache nashauri aache kuumbuana na staff wake akae vikao vya ndani achunguze na mavikao vyao vya ndani wasemane wacharurane kisha watoke na maazimio sasa hapo kinachofanyika sielewi kinachofanyika ni nini
Ili ufiche Nini, wananchi tuna haki ya kujua yanayofanyika yawezekana ww ni kama hao.
Weka wazi madudu yote
Big up waziri
BIG UP WAZIR UKIMALIZA A NA HAO WA KITU CHA MAFUTA MENGINE YAKO UKU KWENYE COMMENT YABANANISHE NA TCRA YAKANYEE NDOO ASANTE
Hapo kunachuki binafsi vituo vingapi vimejengwa kinyume na sheria lkn hakuna malalamiko
Coz nyie hamuend kulalamika Wenzenu wanajua haki zao na wanapambana
Slaa ni kama nakuelewa vile....
Piga kazi kaka...
Afroil amejenga kwenye geti la kuingia stend ya msamvu nahapo ni green belt.aende akatunishe msuli ndo tutaamini anatenda haki.
😮😮😮 wee jamaa ni noma
@@user-kt9qg1mo6l muhimbili mbele ya geti amejenga super star.aende na hapo.
Zipo nyingi sana mbona, mtaani kabisa na wananchi hatukushirikishwa?rushwa ipo hapo uchunguzi ufanyike haraka sana
@@peterkipuyo4008 na mbele ya geti la muhimbili kituo cha super star imejengwa.hpo atusaidie
Nadhani hadi watu walalamike hivi hivi hakuna wakugusa maslahi ya mtu kawekeza
Mh. Waziri hao ni wapigaji wanakuzungusha ndio maana mkurugenzi kakimbia Hana hudhuru Wala nini. Hana hogopa kubananishwa. Maswali
Kwan hiki kituo kua hapo kinamatatizo gani mbona mm sijaelewa
Sante huko wanakaa wakinamama Tibaijuka huko kwingine Mungu yupo atajibu tu ni swala la mda
Wapite na mazese waone
Matajiri wana dharau sana yaan wanadhani pesa zao zinawafanya wawe juu ya sheria na kukanyaga haki za wengine
Wazir wa ardhi awe makonda au chalamila nikuteua tu awe mbunge kuwa nasifa za kuwa wazir
FiIDA HUSSEIN NI MWIZI WA MAJUMBA YA WANYONGE
Mimi swali langu serekali ilkuwa wapi tangu muekezaji ananza msingi mpaka anafika juu au huyo mama tibaijuka alkuwa wapi siku zote hadi leo ndo atafute wazee wenzake waseme kituo hakina haki za kuwa hapo mtu kama huyo barel Ni muekezaji mkubwa sana na analipa Kodi serekalin (hapa kuna kitu chin ya kapet Ila Mungu yupo haki itasimama )
Hzo sku wanazosema magu ameshakufa😢😢😢😢😢
Tatizo Urasimu inaturudisha nyuma. Tumejenga utamaduni wa Rushwa ndio tunefika hapa ukienda kwa haki kaa miaka 50 hakuna kitacho fanyika, utawekewa vikwazo kibao. Nchi tunafanya mazingira ya kufanya biashara kuwa ngumu sana.
Afisa utumishi uko vizuri
Sasa waziri atoe waraka mtaalam amuambie huu waraka sio kweli ataachwa salama?
Hata waziri leo atoe waraka mtumishi aupinge au atoe comment popote una mapungufu huyo mtumishi ataachwa salama kweli?
Hakika silaa wewe mtt ninoma sana wape kaba ngoz hao mataper wanajifanya waswahili swahili sana,wasikuchulie poa hao viongozi wanatamaa yavisent sent ndo ccm uchwara ngurwe izo vijana pigen kaz hamna wakuwasumbua .ccm ina waungwana wachache ndo silaa,makonda,na chalamila tupen ndan viongoz wanaoitukanisha ccm paka hao
Yaan waziri slaa wewe Mungu wa pili umekuja Tena Fanya kazi watu wanaonewa sana
Kweli anafanya kazi nzuri...ila usimfananishe na Mungu...tupongeze na tusikufuru
Silaha acha ubabaishaji ondoka utatapika mihela yatibaijukwa mama ondoa huyo hatoshi silaha analipa fadhila Kwa timaijukwa mama wazamboga
Yaani huyo mama anaeita 10m hela ya mboga ndie anaetetemesha hivi?,. Waziri si ukague vituo vingi hapa dar uone maajanu
Kwani sheli hii inauza sumu mbona issue inakuwa michongo michongo mala milion 300 mnanichanganya hapo.
Wote hao wamekula rushwa woooote hao
Nashauri hicho kituo kiachwe sabb mpka kafkia hapo serikali mlikuwa wapi?
FIDA HUSSEIN NI MNYYAMA ANADHULUMU WANYONGE HAKI ZAO.
Kwa mawaziri wazarendo wapo. Kumbe
Mbona hawataki maendeleo ya kampuni za ndani? Na sioni tatizo la kituo hicho NARUDIA HAKUNA KITUO MIJINI AMBACHO HAKIKO KARIBU NA MAKAZI
Subiri mpaka mtu akujengee Gesti au club karibu na nyumba yako ndo utajua kuna umuhimu WA mipango miji.
Aje kitambaa cheupe aone sheli mpyaaa
WARIBA FAMILY WATAKA ENEO
Na wote wanaojiingiza kusema uongo WaATAUMBUKA TUU
dadeki
WOTE WAMEKULA RUSHWA PAMOJA NA BOSS WAO MBWA KABISA HAPO WANAJIFANYA NA MADOCUMENT YAO YA KUTENGENEZA
Shida ni kuweka nyaraka kuwa ni siri weka mtandaoni itaondoa rushwa
Vita ya matajiri
Hapo shida ni mifumo ya uongozi haijakaa sawa
. Kila mtu anafanya mamb anavotaka
The system is bleed over Curruption
Wanaleta file..... barua nyingine zimenyofolewa? Kwa nini waseme barua nyingine zimesahaulika? Kituo cha mafuta kina haraka gani? Vituo viko kibao!
Matajiri wamewaweka watendaji mfukoni inasikitisha sana. Hivi vituo vinajengwa kila mahali ninacho jiuliza watu wa usalama imekaaje? Hivi watu wetu wa usalama huwa wanaangia vita vinavyo endelea kwenye nchi nyingine? Ikitokea vita hivi vituo vinavyo jengwa kila mahali vikilipuliwa nani atapona?
Hao walihongwa mamilioni😢
Tunataka tuelewe uwepo wa hiyo Petrol Station katika hilo eneo lina tatiza kitu gani hasa kwa wakazi wa hilo eneo!? Tuache roho mbaya na biashara za watu.
Kama huelewi vitu, kaa kimya
Hataukisema ukalime nako tumbili wanakula mahindi mchana fika
Wakamatwe wanaonea wanyonge na mali zao
Huyu Slaa sijuhi hatakwanini alipewa uwaziri.
Bado huelewe anachotetea hapo!!!?
Kila mahali wanachi hata kama wanakosea basi wanajiona wao ndo wenye hakki tuuuu
Ni sawa mtu Kujenga Gesti pembeni ya nyumba yako
Mh huyo mwenyekiti wa mtaa haujamwambia kuhusu Kutoka 23:8