Lissu atowa hotuba ya mwaka Zanzibar, asema CHADEMA inamuunga mkono Maalim Seif
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 6 ก.ย. 2020
- Mgombea urais wa Tanzania kupitia CHADEMA, Tundu Lissu amehutubia wakaazi wa Mjini Unguja akizungumzia masuala muhimu sana kuhusu ushirikiano wa vyama na hadhi ya Zanzibar kwenye Muungano wa Tanzania. Msikilize hapa.
- บันเทิง
Ujasiri wa harli ya juu na kuwa mkweli bila woga wala upedeleo kwa kwango cha juu sana kuyasemahaya mbele ya hadhara iliyosheni wanachama wa CHADEMA Zanzibar. Huyu ni mwanasiasa mwaadilifu kwelikweli . Ubarikiwe sana mwanangu Tundu Lissu
Wenzake wamemdharau wanamwacha aropoke atachoka
Ubarikiwe pia Dr Lwaitama
Kamandaaa Lissu anamkubali mnooo Maalim Seif Sharif Hammad
Tundu wewe genius
Martin Luther King, Bob Marley, Rev. Alsharpton, Patrice Lumumba, Nelson Mandella, Louis Farrakhan, Tundu Antipas Lissu, Steve Biko, Dedan Kimathi, Marcus Garvey. My Top ten
Jesus Christ,izack Newton,Galileo galilai,Albert esteen, Muhammad, Aristotle,St Augustine,..,......... Genius person's
Please do not insult the people you mentioned here. Tundu Lissu is a traitor you can not compare this traitor with people like Mandela and others .
Dah u have very little knowledge on the names u mentioned comparing to lissu
Mhuni tu huyo
th-cam.com/video/zuPzr5WXG5A/w-d-xo.html
Mashaallah amazing leader , May Allah protect you
Lissu you deserve to be the president of Republican of Tanzania
th-cam.com/video/zuPzr5WXG5A/w-d-xo.html
Pumba
Pumba
Pumba tena lililo oza
Real
Nimekimbia yumbani zanzibar toka 2000.mpakasasa naishi kamamkibizi wa kisiasa lissu good jobs speaking up
Innshallah bi inzni laaa marahii utarud nyumban kaka,
@@abdallahhassani6377 👍
Duh kwakweli ndugu zetu wengi wamekuwa watumwa nchin mwa watu
Inshallah mwaka huu mtarudi nyumban
@@mamafaiza2651 nimefurahi.sana nduguzagu wa zanzibar msimamo wetu dio uleule mungu atusaidie nautu.wetu wa zanzibar salam zagu kutoka USA marekani front for freedom everyone be safe
Kaka pole Sana nyumba kumenoga mkombozi amepatika muombee kwa Mungu siku so nyingi nawe yutarejea nyuma. Haki huinua taifa.
Kila la kheri Tundu Lissu Mungu yu pamoja nawe
Jamani mimi naomba tume elewe lissu hivi kweli tuna shidwa kubadili mboga miaka yote maharagetu jamani tutamani hata kula nyama 2020 iko juu yetu
Zanzibar wenyewe wabara hatujielewi tu, ukiingia kwenye koo utakuta wengi twatokea huko , na tushaoana tushaa zaa alimradi baaaaa , jamaa yatoshaa Tenaaaa . Mchezo ni mchafu huo. Kama huongopi jeshi Nda pekeoooo usitaketluulisha kamakushapigwa weye risasi tukachezee na siye hatwebu Babu Nda pekeo.
@@mamyomar1241 wacha akili finyu hiyo . Km kashapogwa risasi maanake nini? Sasa km umeoa umezaa ndio tuwaachite watufanye mkoa? Unawalakin naona sio bure
th-cam.com/video/zuPzr5WXG5A/w-d-xo.html
Jembeeee
Hongera baba lisu
Umemuelewa jamaa alivyo mkweli kabisa Zanzibar inataealiwa na Tanganyika
@@faustinepeter3139 Hakika
th-cam.com/video/zuPzr5WXG5A/w-d-xo.html
Mwenyezi Mungu azidi kukubariki Tundu lissu
Mungu akubariki, afya njema na uwezo wa kuleta haki
Mungu akupe uzima lisu nchi nzima wanakuombea
Amiin
Ameen rabila Alamini
Amin✌🙏🙏
th-cam.com/video/zuPzr5WXG5A/w-d-xo.html
Pipoziiiii
Katika miaka 100 mtu Kama LISU huwa ANAZALIWA mmj tu🙌
Kabisaaa
Hahahahahhahaha😂😜😅
Mzalendo pitia hapa th-cam.com/video/zuPzr5WXG5A/w-d-xo.html
Ni yeye
Nmecheka kifala
Kama kuna kiongozi wa siasa ninaye mkubali kutoka Tanganyika basi ni wewe lissu
Kabisaaa
Fact
Na marehemu mtikila
th-cam.com/video/zuPzr5WXG5A/w-d-xo.html
hakuna kitu amepandwa na mabbru kuja kuvuruga aman hapa hatukubalian nayo. nyie wajinga mtakoma wakati yakiwafika makuu. hakuwepo wakat wasisi wanafanya makubaliano muongo huyo
Huyu jamaa kweli mpango wa Mungu
Wasomeshe c c m
Taila
Risasi 16 anaishi Mungu mkuu
LISSU LISSU LISSU LISSU LISSU LISSU LISSU CHUMA LISSU CHUMA LISSU CHUMA LISSU CHUMA
Kabisaaa
@@tawfiqissa6123 k
Mzalendo chungulia hapa th-cam.com/video/zuPzr5WXG5A/w-d-xo.html
We umebarikiwa tupe baraka zako
Kabisaaa
Baraka za mabeberu was ulaya waliomtuma atashindwa pesa za mabeberu utazirudishaje
th-cam.com/video/zuPzr5WXG5A/w-d-xo.html
th-cam.com/channels/dGIWWMhfo7St8SnyPtXf9Q.html
@@estermpagama9664 zitachangw na watanzania waliomchangia kwenye matibabu!! Mlipokataa kumtibu mlidhani atakufa? Mungu siyo mshamba kama mnavyodhan mlidhan atakuf!! Mungu atabaki kuwa Mungu na ataendelea kuish mpak Sir God atapoamua maana Mungu aliwaaibish wapumbavu waliomuwazia vibay Lissu Mungu alimuwazia mema!! Ndo maan yuko hai kwa nguvu za Sir God upo
Na spika mbov za wana kijiji ila fundi wao anakuja soon kutoka ubelgiji ,, kama mmemuona fundi like
We nae
Unatukebehi?
Hotuba Imesimama Vizuri Inaeleweka. Hongera Sana Mh. Lissu. Nimepata Ufahamu Wa Kutosha Kuhusu Muungano
Kujitawala inategemeya Zanzibar kuna unguja na upemba OK tukajitawala itakuja ukabila lisu hayajuwi yote mfano Sudan kusini kabla ya kujitawala walikuwa wamoja baada ya kujitawala wakaanza kugombaniya madaraka na ukabila juu ambapo Zanzibar upo upemba na uunguja leo sudani kusin nchi ipo tafrani hilo linajulikana kama miye babu yangu muunguja anasema mkiowa mcije mkanileteya mpemba kwa hiyo msishabikie vitu ambavyo baadaye tutajuta
Kuna wakati mwalimu Nyerere alisema wanajiita wazanzibar kwa sababu ya muungano nje ya muungano kuna upemba na uunguja
Huyu lisu katumwa kuja kuivuruga nchi kwa uwezo WA mungu hatafanikiwa shetani mkubwa
Asha Ramadan kwani tatizo liko wapi?
Asha Ramadan shetani mumeo
This man is genius
th-cam.com/video/zuPzr5WXG5A/w-d-xo.html
Duh bondela point hingera lissu mungu aku bariki sana
Tundu Antipasi Lissu Genius
Speach bora kabisa!!!
Hayo yooote uliyaongea kuhusiana na znz hakika ni kweli hakuna pingamizi juu ya wazanzibari wenyewe kuumia ni wazanzibari halisi na sio wazanzibari wakaazi... wazanzibari nadhan ni fursa yao kwa sasa kufanya maamuzi kwa manufaa ya znz..
Hata seif anaogopa kusema haya
Huyu ndio mwana siasa
Kweli
Akisema sef nishida
Wanatafuta Sababu ili wakamatwe wapate cha kusema ila October 28 2020 tutajua mbivu na mbichi
Tundu Lissu ndiye raisi wetu 2020-2025-2030 kwa namna yeyote ile. Chadema juuuuuuu sanaaaaa!
Kabisaaa
Nchi ipi?
Tz
@@simonmagaigwa6634 jamuhuri ya muungano wa Tanzania macho yako na masikio yako yatalidhibitisha hilo October.
@@elishadamas2247 tuweke ahadi ili tusijue kuanza kusema mimi nilikuwa muunga mkono fulani kumbe sio tar 20-10-2020 John Joseph pombe magufuri ndie atakae shinda uchaguzi akianza na kura yangu
#Niyeye lissu 2020
Hotuba bora
Kabisaaa
th-cam.com/video/zuPzr5WXG5A/w-d-xo.html
Exceptional leadership skills. Hongera.
Lack of knowledge n highest level of leluctance would always make Africans muwe washangiliaji wa hoja na kuwapa kila majina bila kutafakari
Leluctance is not an english word. We tafakari hayo😂😂. Funny how you feel like your opinion as an 'african' is the right one. Lol. Everyone is entitled to one. He is exceptional deal with it.
Wenye akili wote watakupa kura wasio na akili kura zao zote watazipoteza.
Kabisaaa
walio na akili timamu hawawezi kumuunga lisu mkono
lisu anayafanya hayo hali akijua nini madhara yake lisu ameshaona ameshashindwa kuwa rais bara kwa kuwa hana hadhi ya kushindana na magufuli ko wazanzibar muwe makini sana
Huyu Lissu sio mwema.....mbona hasemi umuhimu wa muungano??? Hili ni jambo la kihuni sijapata kuona.... udongo ulichanganywa ukawekwa baharini.... huwezi vunja muungano wewe....
Wa zanzibar hatutaki mungano uvunjike tusha owana na tusha zaa ila tuna taka mungano wenye micngi ya kila mmoja kuwa na uwa muz kwakile kiccho cha mungano na vilivo vya mungano vikwe waz
"Mimi huwa sipendi sana muziki nikiwa nazungumza tafadhali"
Ana stress kichwani anatoa ya moyoni anaona anachelewa msikilizeni kichwa hicho hakuna kitu mtatambua akishawapoteza muulizeni kijijini kwake wilaya yake mkoa kafanya nini? Polojo kibao
@@estermpagama9664 "Mimi sipendi sana muziki nikiwa nazungumza tafadhali" 🤣
@@estermpagama9664 huyu ni mtu wa taifa zima sio nazareti pekee
@@estermpagama9664 Elimu Elimu Elimu......ndo unachokosa kichwani dada Ester.
Ester Mpagama sasa na ww unatwmbia nn
Hii kweli ni hotuba ya mwaka
alicho kisema lisu so kigeni muda mrefu sefu alikizungumza
Mhe. Lissu ni raisi wa watu wote sio mdini, mkabila wala sio mbaguzi wa rangi
Mzee tunakuelewa28√
Aisee mzee Antipas Lisuuuuuu alizaa mwanaume wa shoka na hapa tz ilipofikia tunapaswa kusauhau msamiati wa woga Hawa wehu lazima mwisho wao tuuone. Shenzi taip.
Kabisaaa
Wanawake wengine huwa wanajifungua ila mama yake Lisu alizaa jamani. Mungu kumponya ana makusudi yake.
Pipoziiiii
Ndio maana walitaka kukuua wew ni kidume
Kweli huyu Tundulisu anajua kupangilia pointi na Kama ingekuwa Kula zipigwe hapohapo anapita kwa kishindo
Kabisaaa
Ataonekana anapangila hoja kwa mbumbumbu ila kwa waeleo huyu ni mbumbumbu
@Salma Sebastian nikujuze tu kitu kimoja kuwa hakuna ukweli thabiti kwenye siasa bali huwa ni kujitahidi kugeuza jambo lolote hata lisilo na tija kwenye siasa ili liweze kukisaidia chama kushika dola.
Usije ukachukulia siasa kuwa ndiyo ukweli thabiti ndg maana utajikuta unazubaa.
Pili @Salma Sebastian hakuna ajenda ya msingi hapo ya kukufanya watu wakuchague kwa kuwaambia vitu ambavyo havina maslahi yoyote kwao bali unapaswa kutumia muda wako mwingi kuwaambia kuwa utawapatia nini. Maana hiyo ndy ajenga.
Tatu, tambua kuwa ww ni mtanzania na moja kati ya sababu kuu ya kutoigawa Tanzania ni pamoja na suala la ulinzi wa nchi hii kwani hakuna kikubwa ambacho bara inakin'wng'ania zaidi ya kuangalia ulinzi wa nchi kqtika eneo ambalo ni hatarishi kwa taifa.
Ila wasiojua hili ndiyo wanaoshabikia upuuzi wa kuhatarisha usalama wa nchi kwa maslahi wa watu wachache wasiofikiri hata maisha ya watu wengine kwasababu wao wanaweza kupanda ndege na kuishia wajuako kikinuka.
Poleni sana msioelewa hilo kwa kushabikia msichokijua
@@salmasebastian1340 ukweli uko wapi hapo? Sisi ni ndugu mbona anatangaza utengano?
Nimechelewa kuangalia hii clip lakini sijachelewa kusikia nilichokuwa nakiota kila siku,Binafsi naweza nikawa mdogo sana kisiasa ila Napenda Kuwahakikishia wananchi wa Zanzibar na Tanzania kuwa SIKU VYAMA VYA UPINZANI VIKITULIA NA KUAMUA KUWA NA NGUVU MOJA NA KUAMUA KUSIMAMISHA WAGOMBEA WAO kwa umoja wao WALLAH nakuhakikishieni neno CCM litapotea kinywani mwa sisi VIZAZI VIPYA tunaohitaji TANZANIA na ZANZIBAR inatoka katika mikono ya UMILIKI BINAFSI wa CCM🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Toweni hoja .kwanini Luna vyama vingi tusiwe na chama kimoja. Rais nyerere alikataa vyama vingi. Benki ya dunia ikasitisha mikopo tulifunga mikanda miezi 18 fumbo hilo akatatuwa mwinyi. Vyama vya siasa nishinikizo lakimatifa kuwe na vyama
Mataifa yote ya kiafrika lazima waabudu vyama vingi tubaki na kimoja muone kitakacho tokea muishawishi serikari tubaki
Ni yeye 2020
Uwa nakukubali kufafanua muungano hata ccm baadhi wanakuelewa
Hatumuelewi arudishe nchi kwa sultani
th-cam.com/video/zuPzr5WXG5A/w-d-xo.html
Wanajifanya hawaelewi
Lisu nakuombea kwa ALLAH uwe muislamu nitakupatia ndugu yangu bure
Ahahaha
Kuwa Muislamu ni jambo la msingi sana na muhimu
@@othmanhaji1832 acha udini
Hakika upande uliopo ni SAHIHI,tunahitaji mtu mkweli,mdadisi,mjuzi na shabab kuelekea ukombozi wetu
Nimeipenda sana hii✌
Speech nzuri xana by great leader TL
Raisi wakweli hapendi Sana mziki Yule mwenzake mpaka anacheza daa😃😃
Yule si msanii huyu ni mwanasiasa
ukiijuwa kweli nawe utakuwa huru kweli kweli tundu lisu anaijuwa kweli nayo kweli imemuweka huru kwahiyo watanzania tuna muombea kwa Mungu ampe ulinzi na ushindi wa kimbunga na sunami
amin
Thanks very much muweheshimwa Lissu Tunakushukur sana Wazazibar CCM basi tena tumechoka na mateso yao kama noma naiwe noma Allah atupe wepesi
Tunakuombea kwa Allah akustiri na akuongoze na kila mwenye shari zimrejee mwenyewe. Lissu tunakupenda sana wazanzibari.
Ameeen
Point tupu
Nikweli tena safali hii wazanzibar mmedharauliwa sana mmeletewa mtanganyika ni aibu
Nakukubali sana jinsi ulivyokua na msimamo usiokua wakinafki..
Si wamemleta kuimaliza Znz. Kuna mambo Shein alikataa kusign ndio kaletwa yete aweke sign lakini mara hiiAli hassan ataisoma number km hawajui waZnzatawajua mara hii
Mzalendo chungulia link th-cam.com/video/zuPzr5WXG5A/w-d-xo.html
Mzalendo chungulia link th-cam.com/video/zuPzr5WXG5A/w-d-xo.html
Msidanganye watu kwa kauri za uwongo mchana kweupe muwe na aibu mti wenye matunda ndiyo unaopigwa mawe
Jamaa anajua kujipanga sana
Watu kama hawa huletwa na mungu kujakutetea wanyonge jaman Lisuuuuu mungu akusimamie katika vitahihi mungu atakua pamojanawe utashinda
#Niyeye tundu lissu 2020
This is GOOD Reader
Point tupu mh lissu ni wewe
Kabisaaa
Safii th-cam.com/video/zuPzr5WXG5A/w-d-xo.html
Hiyo ni mifano hai kabisa lakini Kuna vibaraka kutoka Tanganyika wamepandikizwa chuki ili waikandamize zanzibar
Kabisaaa
Nani anawakandamiza? Fanyeni kazi acheni mawazo ya kudhani kuwa mnakuwa masikini kwa sababu ya muungano.
@@simonmagaigwa6634 wapo wanatukandamiza , Ajira kwa ubaguzi kila kitu mZnz anabaguliwa . Mwaka huu tunataka nchi yetu liwalo na liwe
Mzalendo pitia link tafadhali th-cam.com/video/zuPzr5WXG5A/w-d-xo.html
@@kiri5807 ukisema ho leo ipo siku utakuja kijutia,wewe ni mfano wa mtu anaekatazwa na walinzi kuingia Mbuga za wanyama wakali anaanza kulalamika nakuwatukana MI nawaona swala na pundamilia ntaliweje,baadae kaingia kwa lazima mwisho wa siku anatokea chui au simba anatolewa mikono na miguu halafu anatolewa akiwa Hana mikona na miguu,Kuna wanasiasa Zanzibar na Bara ni kama wanyama wakali wanasubiri walinzi waje kutumaliza, tuangalie sana
Membe akupishe mapema ili upangwe mpango wa ushindi;
Lissu anavoongea ni Kama mwalim nyelele
Nakukubali sana upo vizuri kamanda.
Lissu 2020 uhakika
Kabisaaa
#niYEYE#
Zanzibar wakijitawala watapata maendeleo makubwa sana kuliko Bara wanaishi kama wafungwa ndani ya nchi yao huru
Kwa kweli tundulisu mungu akulinde sana endlea kupigania haki,
@@rashidseif6095 umesema kweli bro,huyu lisu kwa kweli ambae hamuelewi amepungukiwa ubongo,
@victor ...znz wana nini??
Zanzibar haiwezi kujitegemea ikijitoa kwenye muungano itavamiwa mapema Sana
kuna watu haya wanajifanya hawayajui wala hawayaoni hawa ccm waliokuepo zanzibar nimaiti kuna vituko vingi tu nayoyote yule hata awe ccm anayetaka kusema habari za muungano basi cha moto anakiona mifano ikowazi yuko wapi JAKU yuko wapi RAZA yuko wapi SAADA MKUYA yukowapi MANSOUR wapo wengi tu sasa maneno ni hayo kazi kwetu wazanzibar
Wewe sema utafanya nn sio ulifanywa nn
Hahahaa maiti tena mizombi😂
Mtatukanana Sana kila mmoja atamwita mwenziwe mjinga , lakini mkitizama siasa niungo ulikomaaaaa. Mchezo mchafu.
😂😂😂
Kabisaaa
Genious
Mimi ni mwanaume Ila lisu kidume
Yes absolutely yes
SANA HUYU JAMAA NI NABII WA UKWELI
Yp
We utakua unagongwa ww
@@topotachilemba9196: wee wacha bangi nabii ndio nini?
Tatizo wakesha mtangaza hy mgombea wao ndio itakuwa ishatoka hio
tutaona kama imekwisha mwaka huuuu
Nyinyi munaodharau maneno ya lissu nichuki binafsi nakutojielewa ila kweli wazanzibari hatuna uhuru nanchi yetu nyinyi ungeni endeleeni kuwaunga mkono hao ccm wale waislamu wenzetu wazidi kuteseka kwaajili yasiasa
Huyu ndiye Raila Odinga wa Tanzania🇰🇪🇰🇪🇰🇪👍🏾👍🏾
Sawa kabisa
LISSU NAKUPENDA NAKUELEWA SANA
Nakukubali muheshimiwa lisu
Lisu ndiye rais wangu ndiye rais wawatanzania 💪💪💪💯✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️
Mimi huwa cpendi muziki nikiwa naongea Tafadhali haaaa haaaaaaaaaaaaaaa
😂😂😂😂🔥🔥🔥
Na mm nmeisoma hiyoo
Mzalendo twende th-cam.com/video/zuPzr5WXG5A/w-d-xo.html
Mzalendo twenzetu th-cam.com/video/zuPzr5WXG5A/w-d-xo.html
Nakuelewa sana lisu wetu tunakuombea sana Mungu alie kuponya atakutetea✌✌
Hoja ya zanzibar ni nzito mno mwili wote unatetemeka oktoba 28 naomba iamue sihitaji kuongeza neno nimetekewa!
Hakuna kama LISU tz
Ndio kwel
Lisu unasubiliwa tuu kuapishwa.
Hahaa nakucheka kwa dharau
th-cam.com/video/zuPzr5WXG5A/w-d-xo.html
@MAIKO YISEGA ACHA KUJIDANGANYA NA MHEMKO WAKO ALOKWAMBIA NANI KWAMBA LISU ANAKUBALIKA NA KILA MTU?
Atahapishwa na mama yako
Honger boss lisu
Upo sahihi 100%
Huyu jamaa ni kiongozi wa watu kweli hana unafik Mungu akulindieni watanzania
Tumechoka tumechoka
nbbbyg
bbbbbnuunn
Iko ck wataitema 2 inshaallah
Mkuu anapiga sehem muhim tu ambao atujajutia mb zetu tujuane apa
Wasio kuelewa wakapimwe akili
Mchukueni huko Zanzibar awawashie moto hadi ulaya
Minilikuwa namtafuta nani ataweza kuweka wazi tokeya 1995 tuu huko nyuma wala nilikuwa sisubiri nalijuwa leyo kidoogo umesema maana 1995 nilisimamiya kituoni tume shinda redio SMZ tume shindwa
Innshallah mungu atawaziba kauli marahii hao
@@abdallahhassani6377 in shaa allah
Mzalendo usiache kufuata link th-cam.com/video/zuPzr5WXG5A/w-d-xo.html
Wajinga hawawez kumuelewa Lissu Vita vitaa show show mpk ikulu
NI YEYEEEE
Toeni comments zenye uchambuzi na tumieni akili zenu vizuri ili kila asomaye ulichoondika apate faida acha kuandika unavyojisikia Watanzania TUELEVUKE kwa ajiri ya vizazi vijavyo
Kabisaaa
walipiga risasi mwili wakasahau ubongo na moyo .. na roho ikakataa kutoka . ameteuliwa na mungu .
Be BLESSED LISSU hiyo ndo maana sasa ya muungano wengine wanasoma tu shulen hawaelewi #PEOPLES'_POWER AND NOT POLICES' POWER Tunataka mapinduzi
Lisu lisu lisu. Umetisha
Lissu nikikusikiliza hadi tumbo linashtuka maana unaongea makubwa
Mwamba uzuri wa lisu anasimama kwenye ukweli safi sana
Pamoja kaka
Lisu oyeeeee✌✌✌✌
Ewe Mungu tuwekee huyu MTU hai na utuondolee magufuli . Ametesa sana familia zetu na maisha yetu. Yeye si Mungu. Ametutapeli sn ss imetosha. Lissu + maal seif 100
Lisu kweli ni mteule
HATA NA MIE NAKUOMBEA UWE MUISLAM KWA ALLAH LISU
Ubaguzi wa kidini huo
Wew dini sio kitu ilikuwepo kuendeleza ukoloni tu kwani kabla ya uislamu watu wa afrika hawakua na dini? Acha hizo wew unataka kurudisha nyuma jutihada dini yyte haiusiki kwani huyo anayeongea angekua mdini angetamka hayo kwenu kwani yeye ananufaika nini mkiwa huru??? Jitambue wacha ujinga huyo mtu kajitoa hata maalim sefu mwenyewe hajawahi ongea mambo mazito km hayo
@@vladiminlenin8883
Uislam ndio dini ya hali mbele ya Mwenyemungu.
Na uislam kama uislam unamfunza mtu mazuri na kuzidi kumtia imani duniani na maisha ya kesho
@@stanslausmteme8455
Wewe kafir ndio maana upo mbele.
Sasa sisi waislam tupo nyuma.
Mie sijakulingania wewe ulielaanika pamoja na wazee wako na kizazi chako.
Nakiombea kizazi chako kiwe waislam.
Sasa kama hutobadilika ufe kefir . Ubakie kuwa kafir sikulazimishi kuwa muislam.
Makafir kama nyie tunawaaja kama kawaida muende mbele mbele🤣🤣🤣🤣
Tundu lisu anatumia Akili kuanga Mambo yake
Sauti ya Umma kwa Wazanzibari na Watanganyika,"Sema kweli daima fitina kwako ni mwiko"!!!
lissu ni jembe linalima
Kampeni ziwe na amani
Kwako Mh.Magufuli
Mheshimiwa mimi kula yangu utaipata iwapo tu utajibu masuali yangu haya -
Kwavile wewe ni msema kweli. Na unadai unamuogopa Mungu : ___
1. Uliahidi milioni 50 kila kijiji. Je! Ututajie kijiji Angalau kiMoja ulizowapelekea.
2. Utuambie hizo ndege. Ni nani alieizinisha ununuzi? Na zimenunuliwa kwa Kiasi gani. Na hadi muda huu zimeingiza faida Kiasi gani.
Utuambie sababu za kuzuiliwa ndege zetu mala kwa Mala zikienda nje. Mbona zinaMADENI $ 133 milioni ?
Utuambie wanaozipanda hizo ndege ni akina nani?
3. Utuambie Uwanja wa Chato wa kiMataifa ulijengwa kwa Kiasi gani. Nani alieizinisha . Na hela ya ujenzi imetoka wapi? Na kwanini Uwanja huo ujengwa kijijini CHATO ?
4. Utuambie zile Trilioni 1.5 mfuko wa hazina ya selikali zimepotea wapi? Au zimetumika vipi ?
Na kwanini Ukamtumbua CAG Mzee Musa Asadi?
5. Mh.Laisi Utuambie kwanini vyombo vyako vya Dola vimeshindwa kuwatambua Na kuwakamata " KIKUNDI CHA WATU WASIOJULIKANA " .?
kilichokuwa kinawanyonga Laia zako. Wengine kutekwa. Wengine kupigwa lisasi.
Kama bado kipo inchini . Unawakikishiaje laia zako usalama wao?
Ili Mo Dewji aondokwe Na hofu.
6. Utuambie wale " mafisadi wawili wa ccm " walioekeza nje ya inchi. Uliwachukulia hatua gani? Mbona hatukukuona ukifatilia miHela yao iyo kwenye Account za nje ya inchi?
7. Mh. Laisi unapoongelea COLONA. Kila kwenye kampeni zako. ivi ni Wapinzani ndio walioileta ? Na Je ! Imeondoka kwa Nguvu za mungu wa Chato au Mungu Mkuu wa mbinguni baada ya maombi yaliofanywa kanisani Na misikitini?
8.Mh Laisi ulidai uchaguzi huu utakuwa wa haki Na hulu. Mbona tayali tunaona wagombea wengi tu wa ccm Na wale wa upinzani wakienguliwa ?
9. Mh.Laisi uliahidi Utajenga mashule na MaHospitali hadi wilayani. Ni hospitali ipi iliojengwa hadi muda huu?
10. Mh.Laisi ulisema inchi yetu ni tajili sana. Mbona laia wako wanaishi maisha duni. Hela haionekani. ?
Tunaowaona wakifaidika ni vigogo vya ccm / vigogo vya selikali na watu wa usalama taifa. Wanaozi kujenga majumba ya kifahali kila sehemu Bila ya wasiwasi.
11. Kwanini unawatumia wasanii kwenye kampeni zako zote.?
Utuambie hiyo mikataba uliofanya na wasanii. .wanalipwa na hela za nani?
12 Mheshimiwa Laisi. Eti kama tunaitaji kuanzisha Kiwanda Tuanzie na CHELEHANI ngapi ?
Suali la mwisho Muheshimiwa
13. Wanasema Ulitembea na shemegi yako. Je ! Ulizaa nae ?
Au ulikuwa ukipita pita juu juu tu?
KULA YANGU MHESHIMIWA NI KWAKO. UKINIJIBU VISUALI VYANGU IVO.
BWANA YESU ASIFIWE !
CCM OYEEE !!!!___
Huna jipya wew.... Ushamba mtupu
@Amos mosese cjajua haya huyasemayo kama atakusaidia usipojituma ndugu yangu,kama huamini nikiwekee mfano toka magufuri ameingia madarakani kunasehemu umesikia Kuna njaa? Coz n mkweli kwamba sitatoa chakula komaeni kuli a, fanya kazi utapata hela achana na mbwembwe za wanasiasa wasemao serikali inaleta ndege, barabara, meli, Umeme, nimaendeleo ya vitu kuliko mnaendeleo ya watu halafu wao wanaahidi kujenga masoko ya usiku😂😂😂 MI ni fikiri watakuwa Wana gawa fedha kwa wananchi? Kumbe itatakiwa wafanye kazi? Daa
Majibu yake ni kwamba Pesa tunajengea reli, tunjenga bwa LA umeme wakati gesi tunayo, tunanunua ndege mpande, tunaijenga Dodoma, kwanz, kwahiyo nyie komaeni tu hivyohivyo na hii miaka mitano ndio tunamalizia hiyo miradi, hakuna cha dawa Hosp, hakuna cha kuongeza mishahara, kwanza mnataka muongezewe mishara ya nini? Mnataka munenepeane mupata pressure?, hakuna kuongezewa mishara
Maswali yako magumu banaaa, we unaniulizaje maswli mgumu ivi?, we si unipe tu kura yako? Yaani we unauliza ndege bei yake! Si utafute hela na wewe ukapande uende kwenu pangani kwenu?! Kwani hakuna kiwanja?
@@karllawrence165 hahahah aseee we Jamaa noma
Hongera hongera hongera hongera hongera hongera hongera hongera hongera hongera hongera hongera hongera hongera hongera hongera ♥️🙏🙏♥️♥️♥️♥️♥️🙏♥️🙏♥️🙏♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️🙏♥️♥️🙏♥️🙏♥️🙏♥️🙏♥️🙏😁🙏😁♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️🙏😁🙏♥️🙏🙏♥️🙏♥️🙏😁♥️🙏♥️🙏♥️🙏♥️🙏😁🙏😁♥️🙏😁♥️🙏♥️🙏♥️🙏♥️🙏♥️🙏♥️🙏♥️🙏♥️🙏😁😁♥️
Du, th-cam.com/video/zuPzr5WXG5A/w-d-xo.html
Duah!!!magufuli Anajuta hapo alipo kwanini hakukuwa kwa point hizi.
Ukweli unauma, lakini ndio ukweli, haukimbiliki
Lisu kwa historia hii unawaliza wazanzibar moja kwa moja wanaona wameonewa vya kutosha kwa miaka mingi
Hilo tunalijua wazi waZnz na muamsho walielimisha vizuri sana ndio maana wakawaeka ndani hadi leo
Fateni ushabiki wa wasaka ruzuku uwongo karibu na ukweli
Ester up ndo ukweli unaumia au
Karibu Zanzibar yetu
Mzalendo th-cam.com/video/zuPzr5WXG5A/w-d-xo.html